@@martinmkoba361Quruan imesema kuhusu wewe kuidharau hiyo Quruan na leo inatimiza Biblia ni Kitabu kilichotungwa ili Roma empire itawale dunia na mnapingana na uislamu kwasababu mnajua huku ndio kuliko kuwa na haki na kweli
@@AlYasri-s3t we mbona hujafa???? Nyie wajinga Sana 🤣🤣🤣 Amesem kuwa YESU kristo ni mwokozi wa Dunia, so unatak aje kumuombea muhamad , Hata hajui alikoenda 🤔🤔🤔🤔
Uislamu ni Dini ya haki hata majini mapepo wachafu mashetani wapo kwenye hiyo Dini mpaka yanajitamba 72:14 6:128 46:29-31 Dini Dini Dini ya majini hoyeeeeeerr😂😂😂😂😂😂
@@prochesernest5439 Leta andiko linalosema Uislam ni dini ya Majini. Acha kufuata mkumbo bali Soma na ufanye Utafiti Kwa yale yasemwayo ili ujue ukweli ni upi.
@@prochesernest5439hujakosea uislamu ndio dini ya haki kwa viumbe wote ila wapo walioasi katika Majini na watu Hawa ndio makafiri waliomkana Allah na kufanya viumbe kuwa ndio Mungu wao..
Mwamba sana huyu Mtu anawaweka wazi,Yaani kama Liza Kila kitu ndivyo walivyo Wenye Kuishi kwa Kuuchukia Uisilamu! Wajanja wanajua Ukweli njaa2 ndizo zinawafanya waendelee kubak uko
Wote hawako sawa na nyinyi mpokeeni Yesu kristo awe Bwana na mwokozi wa maisha yenu bila Yesu hamwezi kwenda mbinguni msijifiche kwenye hiki kichaka Cha waongo hawa
Yesu kristo ni siri ya Mungu,,,ndio maan hat wayahudi aliwaambia ninyi hamnijuii wala baba yangu hamumjuii Hata leo waislamu kwa wakristo mamilioni hawamjuii yesu kristo ni nan....📌📌✅️
@@RajabJr-r6y fresh kak,,tatzo dini zmewafanya mmekosa uhuru wa dhamiri,,unalazimisha kukalili ulichofundishwa...kwanza mm nikikwamby BIBLIA imeandika historia yote ya kukua kwa UISLAMU unaweza kubali?😂😂,,soma ufunuo 8 na 9 yote najua huwezi kuelewa atleast tafta mtu akusaidie ,,ni vile2 wakristo wa leo hawana neno la kweli lkn BIBLIA hakuna kitu haijaandika✅️,,history ya dunia yote ipo,uislamu kukua,G7,kuanguka kwa majengo marekani 2001,,n.k broh sitaki niandike mamb mengi lkn kam unatak kumjua Mungu usikalilishwe,,,ndo maan nikasem yesu alivyofunulia agano la kale na jipya,,wakristo wengi 99% na waislam hawajuii✅️✅️
Hapo chief watakuelewa tuu unajua wanadamu malezi Yao ndio chanzo Cha kucoment hovyo na kiujumla hawasomi wanasubiri kusomewa ndo maana wanajibu hovyo Mimi nakurispect baba yangu wa kiroho miaka 120
@@allyhassan7522 😂😂😂😂😂saw mi zuzu ila vp kuhus ww unaemuombea mtume wamungu??? Mtume wa Mungu mbakaji, ndo kutwa mara 5 mnamuombea rehma 🤔🤔sas hizo rehma nizanin Kam si uzinzi wake 😂😂😂 We ukiona wapi mtume anaombea ilihali ashakufa 😂😂 acheni matani
Kwa msomi hafuati mkumbo. Hata Waislamu maamuma hufikiri huyu jamaa anapinga Ukristo ni HAPANA. Fahamu ktk inani ya Ukristo Kuna madhehebu mengi sn hata usiyo yajua. Kila dhehebu na utaratibu wake wapo Wala Nguruwe Wapo Wanywa pombe wapo wasiogusa kbsa hivyo vitu. Kwahyo Yesu Mungu na wapo Yesu sio Mungu. inategea na dhehebu lako. mm ni Mkristo ila Yesu sio Mungu so, nikijirekodi niseme Yesu sio Mungu basi nasilimu is not true. Anachosema huyu Kiongozi ni km ktk Uislamu Wako wanao Muamini Hussein, nawapo Wanao Muamini Mhamadi pia Kuna madhehebu km Ahmadia, Shia, Suni, na ninyi ambao Hanna jina la dhehebu mnajiita BAKWATA na Mengine Hadi ya Kihidi, (Jamatini) na ktk ibada za madhehebu haya yote kunautofauti. Hata Biblia zipo tofauti Tofauti na Qurani hivyo hivyo wengi hufikiri Quran ni hii tu yenye aya 114 hapana ipo nyingine yenye haya 7 ambayo inaaminiwa na Maqadian waislamu. Someni hadithi ktk kitabu cha wakeze mtume wakubwa bi Aisha anachoeleza. Tatizo viongozi wenu hawatoi ukweli hadharani km walivyo Wakristo niwakali ropoka uone. Leo hii mnanabii Yuko Kibaha Misugusugu anaitwa Elyasa (ingia YTube) huyo nabii Hana amani kwa mikwara aliyopewa. Hakuna freedom expression ktk Imani yenu. Lisekelo amesema kweli. No God after God but only God's Messengers Naomba niache swali nikipewa jibu Naahidi kuslimu haraka sn najirekodi kbsa Kisha nawatumia hapahapa Y'Tube. Swali..Je, ni akina nani walio andika kitabu Cha Qrn ktk makaratasi haya yaitwayo kitabu.ikiwa mtume yy hakuandika ktbu mpaka umauti wake. Mwisho kbsa Wakristo tumepokonywa salamu yetu ya "ASLAMU ALYKUM" nisikilize vyema usipaniki Yesu ndiye alianza kuja kabla ya Mtune alichagua wanafunzi wake. Na alikuwa akiwasalimu kwamaneno haya AMANI IWE JUU YENU Yoh 20:21. Mtume nae akaiga kuwa na masaaba pia Salamu ileile ASLAMU ALYKUM yaani amani iwe juu yenu.Tofauti ni lugha tu, MKURESH na MYAHUDI, tambua Lugha ya Yesu inaitwa ARAMAIC haipishani sn na Kiarabu km vile Mpare na Msambaa wanavyo elewana lugha. Nafahamu mengi kwakuwa nayasoma sn.
Wewe unataka adangabye ndio unuamu kwamba ni mkristo au wewe unaamini yasu nimungu au haya maandiko niyauongo jifunze ndugu USIWE unashabikia ujinga maana maandiko yapo wazi yesu anasema mwenyewe wakujue wewe Mungu wapekee na yesu uliemtuma kumanisha yesu katunwananungu
Hawa ni wafuasi wa Shetani ndiyo maana wanaropoka, hawa ndiyo waliotabiriwa maana hakuna sehemu inasema mtu ujiite nabii hawa ndiyo waliotabiriwa, MASHETANI wakubwa.
😂😂😂 mzee wa upako , na jo devi, na wakinapetro ,yohana , Paulo mtu wa saniedrin chini gamarieli waliofundisha Yesu ni Mungu na hizi kenge mbili unalinganishaje😂😂😂 pole sana shafiihi , mzee wa upako aliitwa na bishop ngonyani akatee kua Yesu sio Mungu akaishia mitini
Sasa kati ya yesu anaemuabudu mungu nawewe unaemuabu yesu kama mungu katiyayesu na wewe nani yupo sahihi maana yesu alikesha usiku kucha tena mlimani akimuomba mungu je swali yeye kama ndio mungu alikua anamuomba mungu Gani??? Ikiwa yeye ndio mungu???au alikua anajiomba mwenyewe
@@zaidiissa3714 unazingumzia Yesu akiwa duniani , likua kama mwanadam , Kwa asilimia 💯 na NI Mungu asilimia 💯 kuna muda alikua anazungumza kama mwanadam na kuna Muda alikua akizungumza kama Mungu
@@zaidiissa3714 mfano Yesu anaposema Mimi sio mwema ila mwema ni Baba pekee, then anakuja kusema Mimi ndo mchungaji mwema , inategemea nazungumzia nini
Hawa waislam mnafurahi hawa MASHETANI wanavyobwabwaja, furahini ila mjue huu ndiyo mwisho uliotabiriwa. Huyu katumwa kutoka kuzimu, mengine anasema kwel mengine anapotosha
Bado wanawaita mayahudi.." ni watu wa mungu watukufu...the chosen people of god. Hao hao mayahudi wanawaita wakristo washirikina waliopotea...wnamuita yesu mtoto wa haramu...bastard child... Lakini wagalatia bado tu wanawathamini na kuwaona wenye maana...kweli huu ni msiba ...
Ndyo nashangaa Sasa dini Yao wanajiona wako sahihi coz dini Yao inaendeshwa kimabavu Zaid kimwil kuliko kiroho vingnevyo niseme kitu kizuri ndiyo kinapigwa vita mwisho yesu alisema watakuja makristo wauongo
@@focusernest5610 Yesu alisema wakati dunia itakapokua imefika mwisho kutatokea makristo wauongo nao watatenda miujiza naishara nao ndio Hawa wapinga kristo
Yesu ni mtoshelevu, ni Mungu,; Natumfanye mtu Kwa mfano wetu na Kwa sura yetu, unadhani. anayeshirikishwa hapo ni nani? au ni Mungu yupi? Yesu alisema kipofu akimuongoza kipofu watatumbukia shimoni pamoja
Wakristo wakiona wanaumia lakini hawajui wafanye nini njia ni1 kusilimu2 basi.Hivi hawaoni wachungaji na walinganizi wengi wa kikristo wanasilimu!! Washaona masheikh wangapi wanaritadi? Muislamu ukiona karitadd mara nyingi basi ni njaa2.
@@prochesernest5439mtakalia ujinga huo huo na chuki kusoma ili muelewe hamtaki mkiambiwa ukweli matusi ndio majibu yenu! Ivi pamoja na kusoma kwenu biblia kuna andiko yesu kasema kuwa yeye ni Mungu? Em punguzeni ijinga mjibidishe kuitambua niia sahihi sio mnabisha kila jambo ata kama lina ukweli ndani yake.
NDACHA Hamna Mwalimu hapo, Anaficha kweli na Kusambaza UONGO, Ndio Maana Siku Zote Anapo kaahifu UISLAMU Hawezi kutumia QURANI , Anajimbilia Sijui MAYUNGA, Cjui MKWELI MWAMINIFU , Cjui UKIMWENGU WA MAJINI, hivyo vyooote Ni VITABU Vilivyotungwa na Kuandikwa na WANADAMU na KITABU CHA MAISHA YA MUHAMMAD. Lakini Yeye Akisomewa KITABU Kimoja tu Cha PASTA MKOROFI Anakipinga,🤣🤣🤣
Kama Huamini , Chukua QURANI Kisha NDACHA Akitoa Aya Isome hiyo Aya Halafu Msikilize Anachokisema ndio Aya inavyosema? Na Hawezi kutoa Aya Zaidi ya 3 Ndani ya QURANI Lazima Akimbilie Kwenye VITABU Nje ya QURANI Huko ndiko Anakoona Anaopatia USHINDI
Waisilam hamtumii akili sasa huyo nabii mkuu mfanyakazi wa shetani na mzee wa upako ndo muwaamini wanasema ukweli nyinyi mmepotea nae wanaosilimu washakataa pepo
Yesu ni Mungu, kihivi , unafahamu kilichoandikwa katika Kitabu Cha mwanzo ni HIKI Natumfanye mtu Kwa mfano wetu na Kwa sura yetu, wewe unadhani anayehusishwa hapo ni nani?na nikupeleke Kwa Selemani kitabu chake Cha Mithali :Bwana alikuwa. NAMI katika mwanzo wa njia yake kabla ya matendo yake ya kale, Nalitukuka tokea milele, tangu swali kabla haijawako Dunia, Wakati visipokuwako vilindi NALIZALIWA Alipokuwa hajaiumba Dunia Wala makonde Ndipo nilipokuwa pamoja naye kama stadi wa kazi
Wanawafikishia ujumbe kuwa uislaam ndio dini pekee ya M/Mungu ila wapo na nyinyi Bado wanayahitaji mafungu ya sadaka waendelee ishi maisha yasiyo na tabu
Sasa wamepotoka nanini ulitaka wamuite yesu mungu ndio ujue waposawa?? Sasa katiyako wewe na yesu nani nikweli?? Maana yesu alikesha usiku kucha tena mlimani katika kumuomba mungu sasa alikua anamuomba mungu Gani wakatihuo ikiwa yeye ndio mungu mwenyewe au alikua anajiomba mwenyewe???
Swala lingine la ajabu na ambalo limefichwa ni kwamba waliwauwa maswahaba wa mtume ili wasije kutoa siri mkawasingizia wamekufa kwa urevi anzeni leo kuzunguka kwenye virabu vyenu vyote tanzania watu wanalewa kila siku mpaka wanazima wengine adi wanabakwa lakini awafi sasa hao maswahaba wenu inamaana walikuwa warevi kupita warevi wa gongo wanaozima kila siku lakini hawafi?
Siku ya mwisho wengi wataniiita Bwana. Watasema, ‘Bwana, kwa nguvu za jina lako tulihubiri. Na kwa nguvu za jina lako tulitoa mashetani na kufanya miujiza mingi.’ Ndipo nitawaambia waziwazi, ‘Ondokeni kwangu, ninyi waovu. Sikuwahi kuwajua.’ Mathayo 7:22-23
Maamuma Shafii kila siku unakatakata vi clip kumwonyesha Ndacha Kwa kweli Ndacha alikupiga vibaya mpaka hata ukilala usingizini unaweweseka ukimuota Ndachaaaaaa!! mwenzako alishasahau kama alifanya mhadhara na wahadhiri wa Kiislamu pamoja na wewe😅😅
We know there is no trinity in the bible. This junk is a myth made up by the Romans church. Mungu huapa Kwa nafsi yake tuu na si Kwa nafsi zake. Come back to bible.
Subhanallah ahadi ya Allah imefika akhra zamani watu watasilimu kwa wingi inshallah na hao watakuja tu
Kitabu kinachosema kweli ni biblia.kila kilichoandikwa lazima kitimie Quran imesema nini tangu iandikwe kikatimia??
@@martinmkoba361Quruan imesema kuhusu wewe kuidharau hiyo Quruan na leo inatimiza
Biblia ni Kitabu kilichotungwa ili Roma empire itawale dunia na mnapingana na uislamu kwasababu mnajua huku ndio kuliko kuwa na haki na kweli
inshaAllah ☝️🕌🙏🙏🙏
@@martinmkoba361Kimetimia nn na makosa ndo hyo wanayaongea wachungaji wenu kasome Quran co wakija kukikisoa na ujakisoma
kuruani imetia kabisa maana bibilia haina amri yakuawaambia muoge janaba hata dua yakumuingilia mkeo hujui @@martinmkoba361
SUBHANALLAH
LAILAHA ILLALLAH WAHDAHU LASHARIKALAHU LAHULMULKU WALA HULHAMDU WAHUWA ALA KULLISHAIIN KADER WAANNA SAIDINA MUHAMMADIN RASULULLAHI SWALLAAHU ALAIHI WASALLIM WA BARIK ALAIHI
ALLAHUMA SWALLI ALA SAIDINA MUHAMMADIN RASULULLAHI SWALLAAHU ALAIHI WASALLIM WA BARIK ALAIHI
Barakallahu Feek
Ukweli ukidhihiri uongo unajitenga,waislamu Takbyr
ALLAHU AKBAR
ALLAH AKBAR
Allahu akbar
Allah Huakbar
Allahu Akbar
Mzeeee silim ili ufe ,ukiwa mwenye faida mim nilisilim mapemaa naiv Inshallah naswali Allah azid kunijalia daima
Aamin
@@AlYasri-s3t we mbona hujafa???? Nyie wajinga Sana 🤣🤣🤣
Amesem kuwa YESU kristo ni mwokozi wa Dunia, so unatak aje kumuombea muhamad ,
Hata hajui alikoenda 🤔🤔🤔🤔
uislamu rahaaaaa. ukafiri ni taabu tupu hapa duniani hadi akhera motoni milele
Mzee wa upako uko sawa kabisa ,Mungu ni mmoja tu
Swadakta 😂😂😂 ewe Allah tuokoe na adhabu ya moto sisi wadhaifu tusioweza kuhimili adhabu zko ameen
Ndacha pia yuwajua ila yuwaona haya kusema ukweli kwavile anavobishana😂
Walim wa kiislam wathibitishe Kwa maandiko waache kulia mitandaoni.
Km ushaona ukwel fuata kijana @@GeraldMswazi-bp2kw
@@FatwimaZahrau ndacha kumbe mnajua kuwa nikiboko yenu 😂😂😂 atawanyosha mpka asubuhi alooo
Mungu ni moja tuu na yes ni mtume kama vile Muhammad
Muhamad Malaya tuu mbakaji
@@Nim68182matusi yako haya muongezei Wala haya mpunguzii Kuna kweli iliyo wazi basi ifuate
Acha kumfananisha YESU MWOKOZI WANGU na wanadamu YEYE NI MUNGU
Subhanallah
Alhamdulillah kwa neema ya Nuru ya Uislamu ☝️🕌🙏🙏 🙏
Wakristo mtakao msikia mzee wa upako msitukane bali someni.
Mzee wetu wa upako kama jina lako MUNGU akuongoze usilimu.
Ukisema yesu sio mungu nafurah sana kumbe wakristo waelewa mpo
Uislam ndio dini ya haqq Wallah
Uislamu ni Dini ya haki hata majini mapepo wachafu mashetani wapo kwenye hiyo Dini mpaka yanajitamba 72:14 6:128 46:29-31 Dini Dini Dini ya majini hoyeeeeeerr😂😂😂😂😂😂
@@prochesernest5439
Leta andiko linalosema Uislam ni dini ya Majini.
Acha kufuata mkumbo bali Soma na ufanye Utafiti Kwa yale yasemwayo ili ujue ukweli ni upi.
@@sadikiissa7756 andiko Hilo hapo Quran 72:14 majini ni waislamu mpinga Allah wenu
@@prochesernest5439hujakosea uislamu ndio dini ya haki kwa viumbe wote ila wapo walioasi katika Majini na watu Hawa ndio makafiri waliomkana Allah na kufanya viumbe kuwa ndio Mungu wao..
@@prochesernest5439 Hiyo Dini ya MAJINI Unaijuwa Wewe . WALAWI 17:7 NYAKATI WA PILI 11;5 MAJINI Hyo Ndani ya BIBILIA 🤣🤣🤣
Ewe Allah mjaalie Mzee Wa upako aweze kutamka shahada
Aamin
Yesu hajasema yeye mungu ila sasa cha ajabu wakristo wanamlazimisha kua yeye mungu😂😂😂😂.
Utasikia nyie mnamjua kimwili hamumjui kiroho 😂😂😂
Qulhuwa llahu ahad, allahu swamad, lam yalid walam yuulad, walam yakun llahu kuf"an ahad.
Mwamba sana huyu Mtu anawaweka wazi,Yaani kama Liza Kila kitu ndivyo walivyo Wenye Kuishi kwa Kuuchukia Uisilamu! Wajanja wanajua Ukweli njaa2 ndizo zinawafanya waendelee kubak uko
Wote hawako sawa na nyinyi mpokeeni Yesu kristo awe Bwana na mwokozi wa maisha yenu bila Yesu hamwezi kwenda mbinguni msijifiche kwenye hiki kichaka Cha waongo hawa
Allahu wahidu kweli mungu ni mmoja
Alhamdulillah bado kidogo tuu Allah ni muweza wa yote .
Wakristo wanepoteya sana 🤔
Asante sana lusekelo Kwa mesege nzuri
Kidogo kidogo dozi inawaingiya ila musilie san ndiyo kutakwa na maraz mtapowa tuu inshallah
Mashallah ukweli unaanza ficuka. Allah Akbar. Mungu Akulipe kilaheri.
Alhamdulillah alaa niimatil isilaam
Allahu akbar
Laa ilagh ila llah muhammadu lasulullah hapana mola apasae kuabudiwa kwa haki ispokua mungu ni mmoja na muhammadi ni mtume wake
Huyu ndacha hawaoni wenzake wanakuwa wakweli yeye sasa kubsha tu navle mungu kampa saut yakuwa tchiya watu n
Tunafata haki ilipo
Waislam wote motoni Na Dini yenu mpya.
Andiko naomba@@GeraldMswazi-bp2kw
hao wenzak wamesema YESU kristo ni mwokozi wa Dunia , vp kuhus wew unalikubali
@@Nim68182 bila yesu huwezi kuiona Pepo Kwa kila mwenye Mwili.
Na huu ndio ukwel Allah awafanyie wepesi wakuelewa insha'Allah
Maasha alla wanatuelewa sana ila huenda wapo huko kwa mazoea na maslahi tuu.
Akili itawakaa sawa tu inshallah tutaelewana tu bado miaka kama hamsini ijayo wakristo waanza kujificha
Je kama wakati mgawanyo wa kazi Huenda Yesu aliiumba roho ya Adamu ama nafasi au moyo, Jiulize haya ndugu
Yesu anaokoa
Masha Allah
Leo nimeamin wakiristo wasomi wanajua yesu sio mungu ushauri wa Bure Mzee wa upako jua linazama silimu kabla hujafa ukiristo sio din ya haki
Allahu Akbar
Wewe nimpumbavu uakitu uyo yesu ndo mungu mwenyewe Kama ujui
Yesu kristo ni siri ya Mungu,,,ndio maan hat wayahudi aliwaambia ninyi hamnijuii wala baba yangu hamumjuii
Hata leo waislamu kwa wakristo mamilioni hawamjuii yesu kristo ni nan....📌📌✅️
Sasa Wewe Umemjuaje 😂😂😂..Bhangi Hizi
@@jumajuma3670 sawa mkuu lkn huo ni ukweli,,,
Ww tu ndio humjui ila waislam tunamjua kua ni mtoto wa maryam ,mtume na nabii wa mungu ni mtu km ww na mm alikua anakula ,analala ,anaenda chooni
Hawa ndio wale, Unamjua kimwili lkn humjui kiroooho 😂😂washapotezwa na Wachungaji wao kwa kupandikizwa Chuki na Mafundisho ya kipagani
@@RajabJr-r6y fresh kak,,tatzo dini zmewafanya mmekosa uhuru wa dhamiri,,unalazimisha kukalili ulichofundishwa...kwanza mm nikikwamby BIBLIA imeandika historia yote ya kukua kwa UISLAMU unaweza kubali?😂😂,,soma ufunuo 8 na 9 yote najua huwezi kuelewa atleast tafta mtu akusaidie ,,ni vile2 wakristo wa leo hawana neno la kweli lkn BIBLIA hakuna kitu haijaandika✅️,,history ya dunia yote ipo,uislamu kukua,G7,kuanguka kwa majengo marekani 2001,,n.k broh sitaki niandike mamb mengi lkn kam unatak kumjua Mungu usikalilishwe,,,ndo maan nikasem yesu alivyofunulia agano la kale na jipya,,wakristo wengi 99% na waislam hawajuii✅️✅️
Ndacha na Daniel in future wataongeya laukweli nawatasilimu
Munaamini sasa kuwa Mayahudi wamesema si Miaka na miaka waislamu wawaeleza lakini hamutaki kusikia
Hapo chief watakuelewa tuu unajua wanadamu malezi Yao ndio chanzo Cha kucoment hovyo na kiujumla hawasomi wanasubiri kusomewa ndo maana wanajibu hovyo Mimi nakurispect baba yangu wa kiroho miaka 120
Wakristo ni watu wa ajabu sana,yesu anasema mim siyo mungu wao wanasema ni mungu,yesu anasema hajui siku ya mwisho wao wanasema anajuwa 😂😂😂
Innallilah wainna illaih rajiun (msibaaaaa huuu)
Shida yetu makanisa mengi na mafundisho mengi sana sana...na mengi hatuyaelewi
Taqbiiiiir
Haya ni matokeo ya kukosa au kutoifaham Torati, na manabii na Yesu Kristo Kwa maneno yake km 10: 34 na
Wewe na hao kina lusekelo 😢 unatatizo la afya ya akili bila shaka
Ndacha anajua vizuri isipokua anaangalia riziki
Jesus is my everything,
Hata mseme vp YESU yuko hai,siwez kwenda kw mbakaji mtu ambaye hajui alikoenda,
We baki na ujinga wako hujalazimishwa kuelewa.Mazuzu kama wewe mbona wapo wengi tu.
@@allyhassan7522 😂😂😂😂😂saw mi zuzu ila vp kuhus ww unaemuombea mtume wamungu???
Mtume wa Mungu mbakaji, ndo kutwa mara 5 mnamuombea rehma 🤔🤔sas hizo rehma nizanin Kam si uzinzi wake 😂😂😂
We ukiona wapi mtume anaombea ilihali ashakufa 😂😂 acheni matani
@@Nim68182punguza chuki na uislamu jifubze ili uelewe umelishwa sumu nyingi
Yaan waislam wao kuhusu ukristo tuu
wataelewa tu inshaallah
Ukiona wezi wa sadaka manabii wa uongo wanakataa utukufu wa Kristo huwezi kushangaa😂
Kwamatendo yenu TU, tunawatambuwa, siku za mwisho jiandae ndugu yangu.
Mmemsikia mzee w upako, amesema Yesu ni mwakozi wa dunia😂😂 hiyo inatosha kenge nyie cjui mnataka nini,
YESU kristo ni mwaokozi wa dunia fullstop😂😂😂
Haki haipatikani wala kujulikana nje ya Kristo.
Huko kwingine mmepotea tu njooni kwa Yesu muokolewe na kuhesabiwa haki bure
Sasa hawa watu mpaka leo awamjui mungu wanategemea nini
WAZIDI KUONA HAQI WARUDI KWENYE DINI YA KWELI YA KIISLAMU
Kwa msomi hafuati mkumbo. Hata Waislamu maamuma hufikiri huyu jamaa anapinga Ukristo ni HAPANA.
Fahamu ktk inani ya Ukristo Kuna madhehebu mengi sn hata usiyo yajua. Kila dhehebu na utaratibu wake wapo Wala Nguruwe Wapo Wanywa pombe wapo wasiogusa kbsa hivyo vitu. Kwahyo Yesu Mungu na wapo Yesu sio Mungu. inategea na dhehebu lako. mm ni Mkristo ila Yesu sio Mungu so, nikijirekodi niseme Yesu sio Mungu basi nasilimu is not true. Anachosema huyu Kiongozi ni km ktk Uislamu Wako wanao Muamini Hussein, nawapo Wanao Muamini Mhamadi pia Kuna madhehebu km Ahmadia, Shia, Suni, na ninyi ambao Hanna jina la dhehebu mnajiita BAKWATA na Mengine Hadi ya Kihidi, (Jamatini) na ktk ibada za madhehebu haya yote kunautofauti. Hata Biblia zipo tofauti Tofauti na Qurani hivyo hivyo wengi hufikiri Quran ni hii tu yenye aya 114 hapana ipo nyingine yenye haya 7 ambayo inaaminiwa na Maqadian waislamu. Someni hadithi ktk kitabu cha wakeze mtume wakubwa bi Aisha anachoeleza. Tatizo viongozi wenu hawatoi ukweli hadharani km walivyo Wakristo niwakali ropoka uone. Leo hii mnanabii Yuko Kibaha Misugusugu anaitwa Elyasa (ingia YTube) huyo nabii Hana amani kwa mikwara aliyopewa. Hakuna freedom expression ktk Imani yenu. Lisekelo amesema kweli. No God after God but only God's Messengers Naomba niache swali nikipewa jibu Naahidi kuslimu haraka sn najirekodi kbsa Kisha nawatumia hapahapa Y'Tube. Swali..Je, ni akina nani walio andika kitabu Cha Qrn ktk makaratasi haya yaitwayo kitabu.ikiwa mtume yy hakuandika ktbu mpaka umauti wake. Mwisho kbsa Wakristo tumepokonywa salamu yetu ya "ASLAMU ALYKUM" nisikilize vyema usipaniki Yesu ndiye alianza kuja kabla ya Mtune alichagua wanafunzi wake. Na alikuwa akiwasalimu kwamaneno haya AMANI IWE JUU YENU Yoh 20:21. Mtume nae akaiga kuwa na masaaba pia Salamu ileile ASLAMU ALYKUM yaani amani iwe juu yenu.Tofauti ni lugha tu, MKURESH na MYAHUDI, tambua Lugha ya Yesu inaitwa ARAMAIC haipishani sn na Kiarabu km vile Mpare na Msambaa wanavyo elewana lugha. Nafahamu mengi kwakuwa nayasoma sn.
Shafi wakati wa mdahalo unashindwa kuthibitisha inabidi utafute video za wakristo ufanye editing,Wacha uvivu thibitisha Wacha kulia lia.
Huyu mzee ni mkristo kweli
Wewe unataka adangabye ndio unuamu kwamba ni mkristo au wewe unaamini yasu nimungu au haya maandiko niyauongo jifunze ndugu USIWE unashabikia ujinga maana maandiko yapo wazi yesu anasema mwenyewe wakujue wewe Mungu wapekee na yesu uliemtuma kumanisha yesu katunwananungu
@@zaidiissa3714 hebu ondoa ujinga wako hapa ,
nabado mtasema tu Allah hashindwi😂😂
Wakristo kiongozi wao hata akiwapondea dini yao wanampigia makofi tu..duh, sisi waislamu sheh akiipondea dini yetu tutafunga milango kwanza
Anajielewa huyu pasta
Hawajui lolote hawa,Wachungaji wa mshahara
Hawa ni wafuasi wa Shetani ndiyo maana wanaropoka, hawa ndiyo waliotabiriwa maana hakuna sehemu inasema mtu ujiite nabii hawa ndiyo waliotabiriwa, MASHETANI wakubwa.
Ww ni mmoja wa viumbe wa shetan wapotoshaji wa maandiko
Huyu hajui anachoo gea
😂😂😂 mzee wa upako , na jo devi, na wakinapetro ,yohana , Paulo mtu wa saniedrin chini gamarieli waliofundisha Yesu ni Mungu na hizi kenge mbili unalinganishaje😂😂😂 pole sana shafiihi , mzee wa upako aliitwa na bishop ngonyani akatee kua Yesu sio Mungu akaishia mitini
Sasa kati ya yesu anaemuabudu mungu nawewe unaemuabu yesu kama mungu katiyayesu na wewe nani yupo sahihi maana yesu alikesha usiku kucha tena mlimani akimuomba mungu je swali yeye kama ndio mungu alikua anamuomba mungu Gani??? Ikiwa yeye ndio mungu???au alikua anajiomba mwenyewe
@@zaidiissa3714 unazingumzia Yesu akiwa duniani , likua kama mwanadam , Kwa asilimia 💯 na NI Mungu asilimia 💯 kuna muda alikua anazungumza kama mwanadam na kuna Muda alikua akizungumza kama Mungu
@@zaidiissa3714 mfano Yesu anaposema Mimi sio mwema ila mwema ni Baba pekee, then anakuja kusema Mimi ndo mchungaji mwema , inategemea nazungumzia nini
Wewe km hujaaaelewa walimu wako huwaelewi tena na ndio utakuja kuingia ktk matatizo na mpinga kiristo jwa sababu hujielewi@@francisjoseph1074
Hawa waislam mnafurahi hawa MASHETANI wanavyobwabwaja, furahini ila mjue huu ndiyo mwisho uliotabiriwa. Huyu katumwa kutoka kuzimu, mengine anasema kwel mengine anapotosha
Yule sio Ndacha ni Ndaza
Bado wanawaita mayahudi.." ni watu wa mungu watukufu...the chosen people of god.
Hao hao mayahudi wanawaita wakristo washirikina waliopotea...wnamuita yesu mtoto wa haramu...bastard child...
Lakini wagalatia bado tu wanawathamini na kuwaona wenye maana...kweli huu ni msiba ...
TAQBIIIR
Allahu Akbar
Ukweri mchungu bora umesema ukweri
Haya yameshanunuliwa na shetani, hayataki kwenda peke yao motoni kama shetani yanakokota roho za watu motoni
Ssa Hawa ma freemason ndo mnasema wanaamin 😂😢
Ndyo nashangaa Sasa dini Yao wanajiona wako sahihi coz dini Yao inaendeshwa kimabavu Zaid kimwil kuliko kiroho vingnevyo niseme kitu kizuri ndiyo kinapigwa vita mwisho yesu alisema watakuja makristo wauongo
Sasa kati yako wewe na yesu nani ananuabudu mungu
@@focusernest5610 Yesu alisema wakati dunia itakapokua imefika mwisho kutatokea makristo wauongo nao watatenda miujiza naishara nao ndio Hawa wapinga kristo
Yesu ni mtoshelevu, ni Mungu,; Natumfanye mtu Kwa mfano wetu na Kwa sura yetu, unadhani. anayeshirikishwa hapo ni nani? au ni Mungu yupi?
Yesu alisema kipofu akimuongoza kipofu watatumbukia shimoni pamoja
Ma kanisa ya mifukoni lazima yapotee njia
Hawa ni wajjinga tu, hakuna haki wanayoanza kuijua.
Mjinga ndo wew broo,hao wanasoma hiyohyo Biblia.Tafakari
Bado shadada tu huyu mzee
Rusekero ulevi unakusumbua kichwan
Wakristo wakiona wanaumia lakini hawajui wafanye nini njia ni1 kusilimu2 basi.Hivi hawaoni wachungaji na walinganizi wengi wa kikristo wanasilimu!! Washaona masheikh wangapi wanaritadi? Muislamu ukiona karitadd mara nyingi basi ni njaa2.
Haki mpaka mapepo wachafu majini wamejiunga kazi mnayo waislamu kuijitamba majini yananukaika nanyi 6:128 quruan
😂😂😂 Yani Mimi nione mbwa ana kula jalalani harafu niumieee
@@paulmushi2428 wengine wanatimiza maandiko 24:24 mathayo tuwaombee wajiludi ni wakwetu Yesu kristo yupo kuwapokea
@@prochesernest5439Huwez elewa qur an ukiwa akili yako bado yaamini Gwajima anaweza kufufua mtu.
@@prochesernest5439mtakalia ujinga huo huo na chuki kusoma ili muelewe hamtaki mkiambiwa ukweli matusi ndio majibu yenu! Ivi pamoja na kusoma kwenu biblia kuna andiko yesu kasema kuwa yeye ni Mungu? Em punguzeni ijinga mjibidishe kuitambua niia sahihi sio mnabisha kila jambo ata kama lina ukweli ndani yake.
Wewe Safhi, ni mpumbafu shana kwanini unaubiri mengine ongea lako. Wewe ni mpungufu wa akili.
7:40 Anakuonesha wewe ukweli
Pasta ndacha ni Mwalimu anasema ukweli
NDACHA Hamna Mwalimu hapo, Anaficha kweli na Kusambaza UONGO, Ndio Maana Siku Zote Anapo kaahifu UISLAMU Hawezi kutumia QURANI , Anajimbilia Sijui MAYUNGA, Cjui MKWELI MWAMINIFU , Cjui UKIMWENGU WA MAJINI, hivyo vyooote Ni VITABU Vilivyotungwa na Kuandikwa na WANADAMU na KITABU CHA MAISHA YA MUHAMMAD. Lakini Yeye Akisomewa KITABU Kimoja tu Cha PASTA MKOROFI Anakipinga,🤣🤣🤣
Kama Huamini , Chukua QURANI Kisha NDACHA Akitoa Aya Isome hiyo Aya Halafu Msikilize Anachokisema ndio Aya inavyosema? Na Hawezi kutoa Aya Zaidi ya 3 Ndani ya QURANI Lazima Akimbilie Kwenye VITABU Nje ya QURANI Huko ndiko Anakoona Anaopatia USHINDI
😂😂😂
Waisilam hamtumii akili sasa huyo nabii mkuu mfanyakazi wa shetani na mzee wa upako ndo muwaamini wanasema ukweli nyinyi mmepotea nae wanaosilimu washakataa pepo
Wasiotumia akili ni hao apo kanisani pamoja na wewe au ni waislam? Umeelewa wewe kweli?
Sasa hao walijaa makanisani ndio hawana akili au waislam?
@@fatumamwalimu5765 kanisa la mungu ni moja pekee ambalo linashika amri na sheria za mungu tofauti na hapo waisilam na wakirsto njia yenu ni jehanam
Akili wew ndio hauna yesu anasema wakujue Mungu wa pekee na mim yesu ulienituma
@@Khalidmwangwai4651 sawa ukimjua mungu ndo unakuwa muisilam au? Hacha ujinga kumjua na yesu ni kutii amri za mungu
Hhhhhh ndio wajinga wakristo wengine wajielewe sasa
Yesu ni Mungu, kihivi , unafahamu kilichoandikwa katika Kitabu Cha mwanzo ni HIKI Natumfanye mtu Kwa mfano wetu na Kwa sura yetu, wewe unadhani anayehusishwa hapo ni nani?na nikupeleke Kwa Selemani kitabu chake Cha Mithali :Bwana alikuwa. NAMI katika mwanzo wa njia yake kabla ya matendo yake ya kale, Nalitukuka tokea milele, tangu swali kabla haijawako Dunia, Wakati visipokuwako vilindi NALIZALIWA
Alipokuwa hajaiumba Dunia Wala makonde
Ndipo nilipokuwa pamoja naye kama stadi wa kazi
Wachungaji wa tanzania wamepotoka
Wanawafikishia ujumbe kuwa uislaam ndio dini pekee ya M/Mungu ila wapo na nyinyi Bado wanayahitaji mafungu ya sadaka waendelee ishi maisha yasiyo na tabu
Hawa wanaelewa wew ndio hujitambui
Sasa wamepotoka nanini ulitaka wamuite yesu mungu ndio ujue waposawa?? Sasa katiyako wewe na yesu nani nikweli?? Maana yesu alikesha usiku kucha tena mlimani katika kumuomba mungu sasa alikua anamuomba mungu Gani wakatihuo ikiwa yeye ndio mungu mwenyewe au alikua anajiomba mwenyewe???
Swala lingine la ajabu na ambalo limefichwa ni kwamba waliwauwa maswahaba wa mtume ili wasije kutoa siri mkawasingizia wamekufa kwa urevi anzeni leo kuzunguka kwenye virabu vyenu vyote tanzania watu wanalewa kila siku mpaka wanazima wengine adi wanabakwa lakini awafi sasa hao maswahaba wenu inamaana walikuwa warevi kupita warevi wa gongo wanaozima kila siku lakini hawafi?
Unajua ata unacho ongea😂 au wewe mwenyew ushalewa na hizo gongo
Yesu nakupenda u mali yangu ❤️❤️❤️
😅😅😅
Siku ya mwisho wengi wataniiita Bwana. Watasema, ‘Bwana, kwa nguvu za jina lako tulihubiri. Na kwa nguvu za jina lako tulitoa mashetani na kufanya miujiza mingi.’ Ndipo nitawaambia waziwazi, ‘Ondokeni kwangu, ninyi waovu. Sikuwahi kuwajua.’
Mathayo 7:22-23
Sasa yjimpenda ndio atabadilika nakuamungu??
Sote tunampenda kwasababu Ni Mtume WA Mungu.
Wamesha kengeuka hawa yamebaki majina tu lakin ndani yao Fkra zimepofushwa
Huu ndo ukweli kwa mwenye akili.
Mzee wa upako na ndacha waliitwa na Bishop ngonyani waende wakatetee hoja kua Yesu sio Mungu , wakaishia mitini , shafihi nakwambia hao uliowapost , sio lolote sio chochote kuna mtu anaitwa bishop makarius ngonyani , the master geneous fundi wa maandiko alimwita ndacha akatetee sabato na atetee hoja kua Yesu sio Mungu ndacha akaishia mitini shahidi simulizi tv , kwahy wasiongelee chumbani , waje mezani
Hoja anazo ama hana?😂
@@AhmadSalim-dm4uk ndacha aliitwa akatetee Mada ya sabato akakimbia , nakwambia hivi kama unamwalimu wako anajiamini anakaribishwa jogoo mbezi bichi wapo TV, jamaa anajua Biblia sio poah! Nafikili waiinjiri wanakazi ya zaida kusoma biblia na wanapaswa wajifunze wale shule Kwa bishop ngonyani
@@francisjoseph1074 we upo upande gan kwamba Yesu ni Mungu au
@@Yu-jr9uf mi naamini kua Yesu NI Mungu
@@francisjoseph1074kwa vigezo gani unaamini yesu ni Mungu
Nyie waislam ni hata shetani akiwaambia ukristo sio dini ya MUNGU mnafata nyuma hata kama atakua anawapeleka motoni😂😂kwahio ni vyema nyie kufurahi
Maamuma Shafii kila siku unakatakata vi clip kumwonyesha Ndacha Kwa kweli Ndacha alikupiga vibaya mpaka hata ukilala usingizini unaweweseka ukimuota Ndachaaaaaa!! mwenzako alishasahau kama alifanya mhadhara na wahadhiri wa Kiislamu pamoja na wewe😅😅
Paulina mushi kila siku unapambana kuukataa ukweli hata wa video hakiki ww ni likondooo lililopotea
@@TheAlman unasemaje Bedui 😅😅
Tumekuzowea na vicomment vyako vya ovyo, silimu ndugu acha ukaidi ukiristo ni uwongo wa paulo
@@aasatt78 Nilisha silimu kwa YESU KRISTO MWANA WA MUNGU ALIYE HAI AMBAYE NDIYO NJIA YA KWELI NA UZIMA MTU HAJI KWA BABA ILA KWA NJIA YAKE
@@aasatt78 Nilisha silimu kwa YESU KRISTO MWANA WA MUNGU ALIYE HAI AMBAYE NDIYO NJIA YA KWELI NA UZIMA MTU HAJI KWA BABA ILA KWA NJIA YAKE
We know there is no trinity in the bible. This junk is a myth made up by the Romans church. Mungu huapa Kwa nafsi yake tuu na si Kwa nafsi zake. Come back to bible.
Allah akbar
Allahu Akbar
Allah akbar