Nyerere alikuwa wa Aina yake hata Leo hakuna kila kiongozi anaangalia yake hawasaidiani kila mmoja anakufa kivyake lakini Nyerere alikuwa anapambana na mabebelu WA dunia walifanya kila mbinu kumuuwa waka kwama very smart 🎉🎉🎉
Jamani jamaniiiiii! Nyie mnaomtajataja Nyerere bado hamkomi tu? Shauri Yenu hivi hamkusikia familia huko Butiama kimenuka?? Hawataki mumtajetaje Baba yao mpoooo???
Kwa Magufuli hata baadhi ya wanachama ndani ya chama chałę, wamejaribu sana kulichafuwa na kubeza mageuzi makubwa aliyoleta Hayati Magufuli.. watanzania wapenda haki kwa wote tumekataa Kukubali.
Hebu tuandike kitabu cha historia ya mwl Nyerere na ukombozi wa afrika,ili kutunza kumbukumbu kwa bara hili la afrika kama shujaa wa afrika kwa ajili ya vizazi vya afrika vijavyo.
1. USA amepigana Japan, na ameweka Amani, demokrasia na uchumi bora kule. Japan yenyewe ime influence maendeleobyabkaribu Asian Tigers wote. 2. Urusi ilipigana au ku influence sera za Mozambique, Angola, Ethiopia, cuba et.c. hakuna democrasia na/ au amani ya uhakika, 3.
Mwalimu kumbuka Mandela aliwai pewa passport ya Tanzania enzi ya mwalimu kuwakwepa makaburu mugabe na Mandela na kaunda wenyewe waliwai sema nyerere ni role model wao
Nyerere alikuwa wa Aina yake hata Leo hakuna kila kiongozi anaangalia yake hawasaidiani kila mmoja anakufa kivyake lakini Nyerere alikuwa anapambana na mabebelu WA dunia walifanya kila mbinu kumuuwa waka kwama very smart 🎉🎉🎉
🎉😂
Nbjh
😅😮😮😮😮😢😮😢😮😅
Angalia mwimbo wa taifa ndio utajua nyerere ni raisi wa Africa
Na ule wimbo haukupaswa kuwa wimbo wa taifa
Hapa umezingua huwezi mufananisha Ibrahim Traore na Nyerere
Yule Mandela alisha uliwa zamani huko huko jera
Ni kweri kabisa unayo yaongea wakati wa baridi hatari
Jamani jamaniiiiii! Nyie mnaomtajataja Nyerere bado hamkomi tu? Shauri Yenu hivi hamkusikia familia huko Butiama kimenuka?? Hawataki mumtajetaje Baba yao mpoooo???
Ni sahihi Nyerere ni zaidi ya ata Mandela ni vile watanzania hatujampa airtime ya kutosha
Kwa Magufuli hata baadhi ya wanachama ndani ya chama chałę, wamejaribu sana kulichafuwa na kubeza mageuzi makubwa aliyoleta Hayati Magufuli.. watanzania wapenda haki kwa wote tumekataa Kukubali.
Nimrekebishe kidogo hapo mwalimu Joseph Kabila amesoma Mbeya 'Irambo sec school 'nimesoma nae yeye akiwa form five mimi form two
Sawa kabisa mkuu nilichanganya badala ya kusema Irambo nlikaja kichwani Sangu Asante sana
Ukweli m2pu
Mwalim isaya uposahihikabisa
Alikua mtumwa wa ngozi nyeupe Tena ana shindwa na magufur
Nyerere alikuwa mtu wa kawaida2
Kama idiamini dada histoliayake imekanyangwa utakuwa yanyrlele 😢
Hebu tuandike kitabu cha historia ya mwl Nyerere na ukombozi wa afrika,ili kutunza kumbukumbu kwa bara hili la afrika kama shujaa wa afrika kwa ajili ya vizazi vya afrika vijavyo.
Nyerere alikuwa kibaraka wa wazungu A to Z chui mwenye sura ya kondoo mnyenyekevu (kondoo jike)
Hujui chochote juu ya nyerere
1. USA amepigana Japan, na ameweka Amani, demokrasia na uchumi bora kule.
Japan yenyewe ime influence maendeleobyabkaribu Asian Tigers wote.
2. Urusi ilipigana au ku influence sera za
Mozambique, Angola, Ethiopia, cuba et.c. hakuna democrasia na/ au amani ya uhakika,
3.
USA yupi wa gaza au!? Yupi Ukraine
Vipi kuhusu Libya 😂😂 we
Nyie wagonjwa ati nyerere ni bora kuliko mandela ubora wa nyerere nikuwaua wenye imani tafauti nae
Mijitu hii banaaa hawa unawajua kina Nani !!! ?😂😂
Mandela alikuwa puppet
Acha hizo bhana traore usimfananishe na vitu vya, ajabu huyo nyerere alikuwa kibaraka wa Cia mtiifu
Yaani watanzania hamthamini chenu
Mwalimu kumbuka Mandela aliwai pewa passport ya Tanzania enzi ya mwalimu kuwakwepa makaburu mugabe na Mandela na kaunda wenyewe waliwai sema nyerere ni role model wao
Nyerere bila shaka ndo baba wa Africa ila historia inafichwa tu
We jamaa
Kwani cia ni nn sitaasisi ya kiiterensia au