Hotuba ya Mwl. Nyerere Mwaka 1958, Jangwani DSM iliyoamsha Vuguvugu la kudai Uhuru, Sehemu ya II

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 18 вер 2024
  • Hotuba ya Baba wa Taifa Mwl. JK Nyerere Mwaka 1958, Jangwani DSM iliyoamsha vuguvugu la kudai uhuru
    SEHEMU YA PILI
    Ni hotuba ya Baba wa Taifa ya Mwaka 1958 ukiisikiliza utajua kwanini tulidai uhuru wetu kutoka kwa Waingereza kwa jazba.
    Historia ndio kiini na msingi wa uzalendo kwa Waafrika

КОМЕНТАРІ • 27

  • @egenmaster93
    @egenmaster93 3 дні тому +2

    Hakika ulikuwa zawadi baba. Pumzika kwa amani, I love you so much... The special one!

  • @allythabiti8150
    @allythabiti8150 6 днів тому +5

    Wote hao karibu washakufa, dunia inatukimbia

  • @user-ly2tv5og1n
    @user-ly2tv5og1n 4 дні тому +2

    Hotuba na picha haviendi pamoja. kwani ilipotolewa hakuwa amevaa Shati la aina ya nusu shingo. Ni kweli Jangwani ndipo alipotoa hotuba hiyo. Kwani Jangwani palitumika kuwa eneo la mikutano. Picha ya mwanzoni ipo sawa, lakini nyingine siyo.. Shati la muundo wa duala shingoni. alianza kuvaa enzi ya Ujamaa, tukiwa na urafiki na mwanzo na Wachina. Hotuba hiyo ni kabla ya Uhuru.

  • @majidfrolian4904
    @majidfrolian4904 4 дні тому +1

    Hadi rahaaaaaaaaaaa
    Mijanasiasa ya siku hizi mioga michawa ya chefuuuuu

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 15 днів тому +5

    Hii elimu nyeupe ktk nchi zetu za kiafrica Haina faida sababu raia wa nchi zilizoendelea anaweza kuwa na thamani kubwa kuliko PhD ya Africa sababu elimu ya Africa wazungu walichagua aina ya elimu gani tunaitaji Africa ndio maana Kuna watu wakiajiriwa nchi zilizoendelea wengine hawana. Faida na elimu yao huko njee kwa nn ujinga wetu Africa mpaka kesho tunazani kutengeneza vitu tunaiji elimu sana kubwa kuliko tulio nayo kumbe sisi shamba la wajinga ndio maana wazungu wako bise kuleta misaada ya madaftari vifaa vya elimu nyeupe isio na technology sisi tunataka kusoma sana elimu nyeupe isio na fiucha ktk nchi zetu za kiafrica

  • @SMKF4
    @SMKF4 4 дні тому +1

    Uongo siyo kweli hapo alikuwa na miaka 36 unamaanisha na mvi zimekua za muongo mkwabwa

  • @user-kg9fn1ph9d
    @user-kg9fn1ph9d 13 днів тому +2

    Lakin video zinazoonekana haziendani na sauti video hizi ni za miaka ya 70 na 80

  • @Mapenzi2635
    @Mapenzi2635 15 днів тому +1

    Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, nakupenda kwa moyo wote. Tungekutana ana kwa ana tungeongea mengi. Moja, ningekupongeza kwa kuwa msomi pekee Africa uliyeandika nadharia ya Serikali, hadi leo hakuna nyingine bora zaidi duniani. Kule Chuo Kikuu cha Harvard, Shule ya Kennedy School of government, walirudufu yako ikaitwa 'nadharia ya haki'. Imetumiwa Billy Clinton na Barack Obama kugombea na kuombea kura. Hivyo ningefurahi sana kujadiliana nawe. Nina yangu pia nimeandika.

    • @faza4023
      @faza4023 5 днів тому +1

      Nilikua sijui Bora umesema

  • @jamaa2760
    @jamaa2760 15 днів тому

    Asante

  • @magigesabai8674
    @magigesabai8674 8 днів тому +2

    kipindi hicho babu zetu walikua wanajielewa sio kama sisi

  • @edmundnkarangu134
    @edmundnkarangu134 4 дні тому

    Nyerere mwaka huo hakywa Mze hivyo

  • @paschaljoachim13
    @paschaljoachim13 4 дні тому

    Urithi wa Ukombozi, Fahari ya Afrika 🙌🙌

  • @SamuelOsei-Somuah
    @SamuelOsei-Somuah 15 днів тому

    What did Nyerere first tell Kwame Nkurumah vis Avis our Relationship with the outside world We still much do not live in isolation

  • @Mohamedychilungu-t7y
    @Mohamedychilungu-t7y 7 днів тому +1

    Kalibia wote hapo ni marehemu hapo

  • @Ryan-z5g
    @Ryan-z5g 7 днів тому

    Johnson Jennifer Clark Eric Walker Maria

  • @SafaKabir-k3v
    @SafaKabir-k3v 9 днів тому

    Johnson Jessica Martin Joseph Hernandez Brenda

  • @HarryaJacksona
    @HarryaJacksona 9 днів тому

    Jones Frank Young Michelle Perez Mary

  • @NoddinSummi-d3n
    @NoddinSummi-d3n 9 днів тому

    Taylor Eric Anderson Kimberly Thompson Daniel

  • @DaudiMazengoMasterDTEM
    @DaudiMazengoMasterDTEM 12 днів тому

    Ivi baba wa Taifa muda wote alikuwa na mvi TU?

    • @wazirimakua8769
      @wazirimakua8769 7 днів тому

      Kumbuka hapo alikuwa na umri wa miaka 36 tu, nywele nyeupe zilimuandama mapema sana.

  • @hamadali5062
    @hamadali5062 15 днів тому

    😂😂😂😂 Yaani dhahabu almasi gas misitu na Mali chungi nzima iliyope Tanzania mpaka kitu kidogo umeme unakuwa shida. Vipi namna hii?

  • @hassaniulende-sp6io
    @hassaniulende-sp6io 7 днів тому

    Mikutano hii ndio iliyozalisha ujinga tuliokuwanao hivi sasa tanzania , kwakweli hakuna nchi ya kijinga afrika kama tanzania ,

    • @faza4023
      @faza4023 5 днів тому

      Mjinga ni ww

    • @Atmospherec3
      @Atmospherec3 5 днів тому

      @hassaniulende wewe ni mmoja ya wapumbavu katika wapumbavu mnaojazana upumbavu wa ubaguz flani kisiri siri, hongera kwa kuwa mpimbavu mwelevu uliyeshika vizuri upumbavu na kuwa tayar kuuongea upumbavu pasipo shaka.

    • @rkcomercialenterprises3209
      @rkcomercialenterprises3209 4 дні тому

      Tutafakari tulipotoka,tulipo na tunakoelekea.,jibu ndio muhimu