Ukizungumzia pesa sisi Caf tumekula nyingi maana ktk team 8 kubwa Africa zilizo chaguliwa kucheza Super Cup zilipewa Bilioni6 kwaajili ya maandalizi2 ya kombe wakati mshindi wa kilabu bingwa akichukua kombe pesa ni 6B Shilikisho 2.5B je mwenye pesa ninani kama sima kapewa B6 za maandalizi unahic robo au Nusu atachukua ngapi tena au fainal akifika?
Mimi ni Simba lkn huyo mayele ninawasiwasi alikuwa mwanariadha kabla ya kuwa mchezaji mpira,Yani sio fea kabisa!!!! Unawezaje kuutanguliza mpira mbele ya beki na Kuanza mbio wakati beki yupo mbele na kumpita🙆🙆
Hiiiii nd mech tulishinda lkn aucho alitukost kwa kujisabbshia kad ya Njano na kushindwa kucheza fainal dhidi ya Alger kujitakia kad yaNjano kwa kumpgilizia mpira mchezaj mpira kwa hasra😂😂😂lkn fresh acha Tuishi nae tu
Wananchi!! huyo mayele mjengeeni sanamu lake mkishindwa mimi namletea mdoli kutoka uturuki. Yule beki baada ya kukimbizwa alishika magoti na kuomba kutolewa.
Kombe la azam atacheza mechi ambayo hataruhusiwa kucheza ni mechi ya kwanza ya fainali ambapo yanga itakuwa Tanzania mechi ya pili ya fainali ataruhusiwa kucheza
Mungu saidia tuchukue ubingwaa💚💛💚💛💚💪💪💪💪😊🙏
Mechi Bora Kwa maisha yangu yote yakuijua Yanga congratulations fans Young Africans
Mechi bora kabisa! Haichoshi kuiangalia 🔥🔥🔥🔰🔰💚💛
Mayele😍😍 nimependa assist zote Musonda aletoa assist ya Mayele na Mayele kaassist kwa Musonda 🔥🔥🔥🔥🔥
Ndivyo teamwork inavyotakiwa iwe.
Yanga oyeeeee😊
Leo September 28 2023 Bado nawacheki Yanga..Hii ilikuwa Yanga BORA Sana..
Vivaaaaaaaaa Yanga Africa..Naipenda yanga yanguuuuuuuu.....viva TANZANIA
Watapendaaaaaa on
Ally ni mungu TU na kitihada zake binafsi,sisi tuna wachezaji etii
Daaaa❤❤❤ yan apo moyo wang ulivyokuaga ukigunda
Yanga 👊👊👊👊
Yanga 2licheza mpira mzuri San ongera wachezaji na benchi la ufundi kwa kazi kubwa mliee fny na amin tuta pambn tuta chukua
Yanga yanga we yanga wewe, unajuw kutowa Raha kabisaa!!!!!! """🌺🌺🌺🌺🌺
Atari Sana Safi sana
Welcom 🇩🇿❤️✊🖤
💚💚💚💛💛💛💛💛
USMA United, African Champion, don't dream.
Yanga bingwa
Hongera Sana alie mleta Mayele YANGAAAAAA aongezewe Mda kuishi tunaitaj yanga Kama hiiiii naliona kombe tz
Mtasubiri sana makolo
Samweli huelewi mpira .tuache tupeperushe bendera ya tanzani na tule mapesaaaa
Ukizungumzia pesa sisi Caf tumekula nyingi maana ktk team 8 kubwa Africa zilizo chaguliwa kucheza Super Cup zilipewa Bilioni6 kwaajili ya maandalizi2 ya kombe wakati mshindi wa kilabu bingwa akichukua kombe pesa ni 6B Shilikisho 2.5B je mwenye pesa ninani kama sima kapewa B6 za maandalizi unahic robo au Nusu atachukua ngapi tena au fainal akifika?
Wanainchiiiiii hiii hiii hiii
Mayele pia anaeza fanya vizuri kwa kukimbia mbio za mita Mia moja
Mmejua kunifurahisha yanga jamani
Goli la pili lipewe Oscar...
Hakika ni raha iliyojeee, yanga raha
Mama samia tunakupenda sana tozo na kupandisha umeme ndio vinakuchafua
YANGA HII HAITASAHAULIKA AFRICA KUSIN SIO WALE WAKUWASHA MOTO
Nimekuja kumuangalia mayele baada ya kuondoka yanga, ni huzuni jamani
Nyie efm achen ujinga sasa kwa nn mnatoa sauti hizo za mashabiki kweli azam tv watabaki kuwa juu
yaan hiii yanga ndo imenifanya nilale saiz yaaan furaha niliyo nayo haielezek
Amn bd by Dani kutoka xepek mayele no mchezaj mxur xn axe xem 2 anambio Kam mbuni axe guy n mwamba
Hawa watangazi hakuna kituuu
Mimi ni Simba lkn huyo mayele ninawasiwasi alikuwa mwanariadha kabla ya kuwa mchezaji mpira,Yani sio fea kabisa!!!! Unawezaje kuutanguliza mpira mbele ya beki na Kuanza mbio wakati beki yupo mbele na kumpita🙆🙆
Ni The King 👑
Mayele ana balaa. Haya mambo alikuwa anafanya Thiery
Ni level nyingine huyu Mayele
Wewe ni YANGA🤣🤣🤣
Nimeikubali kazi ya bacca
Hiiiii nd mech tulishinda lkn aucho alitukost kwa kujisabbshia kad ya Njano na kushindwa kucheza fainal dhidi ya Alger kujitakia kad yaNjano kwa kumpgilizia mpira mchezaj mpira kwa hasra😂😂😂lkn fresh acha Tuishi nae tu
😮
Yanga tafuteni namba 10 mwingine huyu Aziz ki hamna kitu mipira mingi sana inapotea anapoteza kuzima mpira kwake ni tatizo kubwa
Bdo aziz haufai au unaweza kumtaka radhi
SHIJA RUDIA KUSOMA HII COMMENT YAKO MWAKA HUU WA 2024 HALAFU USEME TENA AZIZ KI HAFAI HALAFU UONE MASHABIKI WA YANGA WATAKUFANYAJE?!
Skudu yu wapi
Weeeeeeewe kula chuma hicho
kisinda anaupepo na nainal za caf😆😆
Kabisa yan
Kosa la Khalid Aucho alilofanya pale 21:12 halikuwa na umuhimu wowote lakini ndilo lililomkosesha final na huenda kuikoseasha Yanga ubingwa.
Una jicho la mpira mkuu🙏🙌
kaz ilifanyika
Is a type of straikr not branch
Yani ukimwangalia Aziz ki upotezaji wa mipira ni mwingi kuliko kuuzuia yani hovyo kabisa
Hapa bakali nondo hakuluka jmn huyu jamaa mi simuelew
Kama nww ungefanya nn....sio kila ktu ukosoe
Angeruka vipi ikiwa diarra aliingilia mchezo?
Ni bahat mbaya tuu
Wee samweli sijui km hata mpira wenyewe unaujua,lini simba waliingia fainali.lile kombe ni la mashood Abiola.wewe ni dunduka 😅😅😅😅kabisa
fainal ya google hata babaake alikua hajazaliwa😄😄😄😄
Huyo samuel atuonyeshe medali ya mshindi wa pili
Yanga timu sofa Kwa nabii profess na mayere Wana Simba wenye mapenz mema mtusapoti wezenu tu ipeperushe benders ya tazania na tuwekehistoria ya yanga.
Ukwel ni kwamba kuna watu wanaumia wakituona tunasonga mbele na sasa cyo nini wala nn fainal tupo
Kazu muliifanya hakika mlistahil tuzo
Samwel simba kacheza fainal lin,wote wanao sema tz yanga imeeandka hstoria unaona hawajui,wewe utabaki hvo
ally mohamed icho ndo kilinipa mm bumbuwazi kuwa uyu jamaa ni.jinii
Tanga vs marumo
Tukiruhusu waarabu kumnunua Mayele tukumbuke yaliyo wapata Simba kwa kumuuzia Mmakonde wa msumbiji
Sauti mbovu
Journaliste plz
Pronounce vizuri
Sio Mpila = Ni mpira
Sio blanch = Branch 😅
Kwaiyo kikubwa tumeelewa
30:21
Wananchi!! huyo mayele mjengeeni sanamu lake mkishindwa mimi namletea mdoli kutoka uturuki. Yule beki baada ya kukimbizwa alishika magoti na kuomba kutolewa.
Final alicheza ipi hiyooo jmn
Naombeni kujua Aucho ana kadi mbili za njano na mechi inayofata ni kombe la azam vipi Final atacheza au? Kwa anayejua anijulishe.
Ya mikataifa haihesabik na mpira wa ndan kwaiy na singida atacheza hat angepewa nyekundu kwet angecheza
Hata cheza fainali mchezo wa kwanza nyumbani ila atacheza kule algeria maanake ataukosa mchezo mmoja
Kombe la azam atacheza mechi ambayo hataruhusiwa kucheza ni mechi ya kwanza ya fainali ambapo yanga itakuwa Tanzania mechi ya pili ya fainali ataruhusiwa kucheza
Hachezi mechi moja ya kwanza kwenye caf confiredesion. FA ya bongo anacheza bila wasiwasi
😂 24:47
Is a type not
Fainal hata Simba Sc alisha cheza zidi ya Stela sio ety yanga anaandika history no.
Sio kombe hili fatilia vizur
Check ur facts kbl ya kuongea
Kiume Cup
Ww ni mbwa panya we 😅😅😅😅😅😅😅
@@athumanisaid-oe7dl 🤣🤣🤣