YANGA SC 2-0 MARUMO GALLANTS | FULL MATCH HIGHLIGHTS | MAGOLI | SEMI FINAL | CAF CONFEDERATION CUP.

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 9 тра 2023
  • Kwa story zaidi za kimichezo, matukio, vicheko na vilio vya kispoti tufuatilie kupitia Mitandao ya kijamii hii :
    ►JOIN OUR WhatsApp Group: chat.whatsapp.com/Go7uQgGCzSI...
    ►SUBSCRIBE: / @tv3tanzania
    ►Instagram / tv3tz
    ►TikTok / tv3tz
    ►Facebook / tv3tanzania
    ►Twitter / tv3tanzania
    #Tv3Tanzania Katika kisimbuzi cha @startimestz CH 131 (Antena) na CH 197 (Dish)
    RATIBA ZA VIPINDI VYETU
    DIMBANI JUMATATU HADI IJUMAA KUANZIA SAA 1 KAMILI ASUBUHI
    KIJIWE JUMATATU HADI IJUMAA KUANZIA SAA 1:30 USIKU
    BENCHI LAUFUNDI JUMATATU HADI IJUMAA SAA 12 JIONI
    TOBOA JUMATATU KUANZIA SAA TATU KAMILI USIKU
    #Tv3Tanzania #GameOn
    #Manula #kapombe #Onyango #Sakho #MosesPhiri #Henock #Inonga #Chama #Clatus #TripleC #Bocco #JohnBocco ##Mzamiru #Kanoute #Nyoni #Kyombo #Kibu #KibuDenis #Hussein #Beno #Mkude #Okrah #Diarra #Djuma #Lomalisa #Job #DicksonJob #Bangala #YanickBangala #Aucho #Sureboy #Moloko #Mayele #FistonMayele #ZanzibarFinest #FeisalSalum #Feisal #Kisinda #BakariMwamnyeto #BernardMorrison #Morrison #Clement #AzizKi #Farid #FaridMussa #KibwanaShomari #WilbolMaseke #LusajoMwaikenda #BruceKangwa #EdwardManyama #DanielAmoah #SospeterBajana #KipreJunior #JamesAkaminko #PrinceDube #YahyaZayd #AyoubLyanga #Sopu #Msindo #Sebo #Foba #Muguna #Edinho #Nado #Mbombo #Mkandala
  • Спорт

КОМЕНТАРІ • 96

  • @scopy0428
    @scopy0428 Рік тому +111

    Huu ni mwaka wa Yanga kama unaungana nami Gonga like yako hapa

    • @adolfmathew9698
      @adolfmathew9698 Рік тому +4

      Mwaka wa Yanga kweli huu

    • @yohanayohanaadamu6483
      @yohanayohanaadamu6483 Рік тому +2

      Mwaka wa yanga nimashindano gani we pimbi mashindano ya wa2 waliofeli kweli aliyewaambiaga hamunazo hakukosea 😂😂😂😂😂😂😂

    • @samwelygilyaofficial7160
      @samwelygilyaofficial7160 Рік тому +1

      @@yohanayohanaadamu6483 achana nao maana hawajui nawakitamba sisi tulisha cheza fainali ya hili kombe tena uhuru pale

    • @hassanchiwambo687
      @hassanchiwambo687 Рік тому +1

      @@yohanayohanaadamu6483 kombe hili lilianza 2004 we fainal hiyo ulicheza mwaka upi na ligi gani.

    • @jonhdewwis5089
      @jonhdewwis5089 Рік тому

      me mwananchi mwenzio safi

  • @lovenesskalenge2683
    @lovenesskalenge2683 Рік тому +67

    Mungu tunaomba usituache mpaka mwisho wa safari💛💚💛💚🙏🙏💪💪😊

  • @FrankMponda-eg9jr
    @FrankMponda-eg9jr Рік тому +11

    Mmenifuraisha yanga Mungu awabariki katika safari yenu tuandike historia ndani ya Nchi yetu pendwa Tanzania

  • @elineswai2933
    @elineswai2933 Рік тому +28

    Leo nimempenda twisila mnooo,katengeneza nafas bomba sana

    • @lainacemmmwasote1862
      @lainacemmmwasote1862 Рік тому

      Mi nahivi cjawah mkataa pamoja na mda mwingine kufanya makosa..yaan sasa ndo animaliza kabisaaa,unajua kwa timu yetu bado tunamhitaji Sana Tuisila kwasababu ukikutana na timu ambayo wanacheza kwa kasi sana kusaka goli la mapema Sana like Mallumo, e.t.c bila kuw na winga Kama akina Kisinda,Moroko aaaaa...inakua kwisha habari yako.

  • @stivenyoungson2288
    @stivenyoungson2288 Рік тому +14

    Nawakubari yanga

  • @Deborahkarebu
    @Deborahkarebu Рік тому +5

    Love u yanga💛💚💛💚

  • @christopherngunwa9522
    @christopherngunwa9522 Рік тому +6

    yanga tunatisha Kama🥰🔥🔥🔥🔥🔥

  • @michaelminja
    @michaelminja Рік тому +21

    Asante sana kwa highlight ndefu

  • @octavianmbunda8903
    @octavianmbunda8903 Рік тому +7

    Fainali hiyoooooooooo

  • @mohamedyOmary-mh3td
    @mohamedyOmary-mh3td Рік тому +5

    Wa kwanza leo

  • @bahatimwangangi7857
    @bahatimwangangi7857 Рік тому +7

    Well done my team yanga africans

  • @sevarinijrchitandachitanda138
    @sevarinijrchitandachitanda138 Рік тому +3

    Mwaka wetu 🔥🔥🔥🔥💛💚👍

  • @nicolebitendelo1420
    @nicolebitendelo1420 9 місяців тому

    Dahhhhh mwaka jana yanga walikuwa na bahati sana ❤️❤️❤️❤️❤️❤️🇹🇿

  • @mohamedyally570
    @mohamedyally570 Рік тому +6

    Master k aziz Stephanie

    • @fettiemaganza1484
      @fettiemaganza1484 Рік тому

      Pole kwa feisal wenzie wapo kwenye neema yy ndo anasusa

  • @IbrahimMohamedally
    @IbrahimMohamedally Рік тому +4

    Hersiiii oyeee

  • @jumakassim8718
    @jumakassim8718 Рік тому +7

    Chama la wana young african

  • @lightnesscharlse2281
    @lightnesscharlse2281 Рік тому +2

    Mungu tufikishe nchi ya ahadi tunakuomba wanayanga.

  • @ednambata9503
    @ednambata9503 Рік тому +4

    Nimechek hy Farther Bernad Morrison

  • @sullehtz9327
    @sullehtz9327 Рік тому +2

    Mwaka wetu huu🔰🏆🙏

  • @CathyRichard-km8ww
    @CathyRichard-km8ww Рік тому +6

    Wa pili leo

  • @YusuphHemed-vv9bp
    @YusuphHemed-vv9bp Рік тому +3

    Makolo wamenuna, haooo pyeeee

  • @thadeongongathadeongonga
    @thadeongongathadeongonga Рік тому +5

    Watatu leo

  • @athumanimgumia7209
    @athumanimgumia7209 Рік тому +4

    Inshaalah Mungu tufungulie njia, angalau na sisi tuonekane, wape nguvu yanga wape bahati, wape kila kinachohitajika ili leo wavuke (tuvuke) Mungu tuaidie kwako hili ni dogo sana kwetu sisi ni gumu inshaalah amina, wachezaji wetu jitahidini kufa na kupona Mungu pia tumuombe. Saa inayokuja ni muhimu sana kwa wachezaji woooote hata walio benchi nimuhimu mno kwetu, maana kwa Nabi mchezaji alie nje ndie wa ushindi tunawaheshimu wote,

  • @Alihamdulil
    @Alihamdulil Рік тому +1

    Sio plesha = pressure ❤

  • @hawahabibu3881
    @hawahabibu3881 Рік тому +3

    Faisaly😂 NAKUSALIMU KWA HERUF KUBWA

  • @AdamaOuattara-on9eb
    @AdamaOuattara-on9eb Рік тому +8

    🇧🇫🇧🇫❤️❤️❤️

  • @NeemaKokumo
    @NeemaKokumo Рік тому

    Naipenda yanga❤❤

  • @IbrahimMohamedally
    @IbrahimMohamedally Рік тому +2

    Hersii Kila kitu rer Ahmed juu

  • @mpangaladickson6837
    @mpangaladickson6837 Рік тому +2

    Yangaaa oyeeeerrr

  • @daudiipyana2862
    @daudiipyana2862 Рік тому

    Mungu ibarik yang 👏

  • @elishagabriel1292
    @elishagabriel1292 Рік тому +2

    wanayanga kazen

  • @bahatirashid6964
    @bahatirashid6964 Рік тому

    Kila la kheri Yanga African's kila hatua dua kama kauri mbiu ya Mwamnyeto de kapten Mwenzi Mungu akawape nguvu ujasiri upambanaji wa hari ya juu na mtoke na matokeo hiyo siku ya tar_ 17-05-2023, tuingie kwenye history ya kucheza fainal namuomba Allah Jallali jalia dua hii Amiiin 🙏 tukisha ingia fainal ndio tuweke dua kubwa kwa ajili ya UBINGWAAA.

  • @kondeladuwa8696
    @kondeladuwa8696 Рік тому

    Asante Sana mungu wetu kwa kuzid kutujalia ushind

  • @graceaabongo7344
    @graceaabongo7344 Рік тому +1

    Sema nn pia wachezaji wa yanga naona wanapenda sana

  • @lainacemmmwasote1862
    @lainacemmmwasote1862 Рік тому +1

    Mtangazaji mmojawapo hapo ni Kolo..et ooo Mallumo hawana presha,..oooh wanavdk 90 za kule kwao... Kolo unaumia.

  • @samsonmwankosole375
    @samsonmwankosole375 Рік тому +1

    Father Bernard

  • @salumumwala7151
    @salumumwala7151 Рік тому +3

    Yanga timu kumbwa

  • @user-rw1ug2cs4y
    @user-rw1ug2cs4y Рік тому +1

    ❤❤❤

  • @samwelipima3795
    @samwelipima3795 Рік тому

    Hii jezi nyeusi ukiiona jua shughuli ipo yanga noma

  • @veronicangwale7159
    @veronicangwale7159 4 місяці тому

    💚💚💚💚💚💚💚💛💛💛💛💛💛💛💛

  • @martonemmanuel9309
    @martonemmanuel9309 Рік тому +1

    Lekebisha HD picha hazionekani

  • @yohanasapanjo5425
    @yohanasapanjo5425 Рік тому +1

    Mwaka wa wananch

  • @user-gq7pl8pw5k
    @user-gq7pl8pw5k 9 місяців тому

    Ukweli Hawa watangazaji hawajui chochote walijikita kutafri lakini nooo kabisa

  • @IbrahimMohamedally
    @IbrahimMohamedally Рік тому +2

    Hersii isakia juu

  • @africatanzaniatours5980
    @africatanzaniatours5980 Рік тому

    Ameni 🙏

  • @amedeuslyimo2315
    @amedeuslyimo2315 Рік тому

    mtangazaji hamna kituu kabisa 😮

  • @AllyNyipeta-hi4el
    @AllyNyipeta-hi4el Рік тому +3

    Mbona picha haing'ai vizurii why?

  • @allykhamista5360
    @allykhamista5360 Рік тому

    Deal done

  • @hidhirhaji6830
    @hidhirhaji6830 Рік тому +5

    💚💛🖤🥀🌹

  • @fanuelmpakele9764
    @fanuelmpakele9764 Рік тому +5

    Yanga oyee niseme nini.

  • @johannmaloda6027
    @johannmaloda6027 10 місяців тому

    Jigue djiara ana raha hutu

  • @tungaraza7794
    @tungaraza7794 Рік тому +1

    HUYU MTANGAZAJI WA MPIRA HAJUI SIJUI ALIATAJE HII NAFASI YA KUTANGAZA

  • @martinswai239
    @martinswai239 Рік тому

    Yanga hii unaweza ukafurahi Hadi ukalia. Inshallah msimu unaokuja uwe Bora kama huu

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud6001 Рік тому

    We Mtangazaji unazingua tu, bora uache KELELE za uwanjani tu

  • @zachariamagesa7230
    @zachariamagesa7230 Рік тому

    Kocha Nabi ni Wa pekee sana, hana Maneno mengi kama makocha wengine ,ila ni mtu Wa kazi , nanfanaisha na MAGFULI, Maneno kidg kzi kbwa

  • @Samwelpascal
    @Samwelpascal Рік тому

    Hatamimi nitakubali

  • @Shack8425
    @Shack8425 Рік тому

    Join

  • @deusmoris3036
    @deusmoris3036 Рік тому

    Mtangazaji mwenyewe huyu

    • @amedeuslyimo2315
      @amedeuslyimo2315 Рік тому

      yanii hana maajabu emepoozeshaa kabisa mechi yenye furahaa

  • @user-te1oy4gx9d
    @user-te1oy4gx9d Рік тому

    Mm nimefraia golii la Bernad Morson Aliangushwaaa hakutaka kujalii km ameangukaa ameinuka na kwendaaa kufunguaa tenaa

    • @asyashariffu7717
      @asyashariffu7717 Рік тому

      Ni kwl jamb ambalo si kawaid yke cku zot...ila ivo ndo inavotakiw afany

  • @billgussy6099
    @billgussy6099 Рік тому

    A load to final mtangazaji wa mchongo😂

  • @galluskanenge4898
    @galluskanenge4898 Рік тому

    Ukiona hivyo ujue kwamba hawa washangilia hivi ujue wataelekea kuchukia kama wale.....................eee (sisi)

  • @thomasbmangwe6807
    @thomasbmangwe6807 Рік тому

    UNGU MKUBWA. FAINALI NI YETU.

  • @husseinyusuph5458
    @husseinyusuph5458 Рік тому +1

    Moloko angekutulia angepata walau goli mbili ila haikuwa siku njema kwake

  • @elishangoma8235
    @elishangoma8235 Рік тому

    Mlio tengeneza hii video mmezingua mmetoa sauti ya mashabiki uwanjani mnaongea wenyewe video haina hata hamasa kuitazama jifunzeni vitu vidogo kama hivi otherwise msivamie fani za watu

  • @bizmangwimo5823
    @bizmangwimo5823 Рік тому

    Yanga nomasana

  • @shijamakoye6013
    @shijamakoye6013 Рік тому

    Ukiisikiliza mitangazaji yote nikama mikima tu yote
    Yani ukiyasikiliza yote yalijiindaa kuwa marumo atashinda yani yanatangaza huku yanaumia kabisa
    Yani haya nimakuma kweli nendeni nao basi south mkaolewe kabisa

  • @shijamakoye6013
    @shijamakoye6013 Рік тому

    Yani wewe kwa hii sauti yako hii nenda kafanyie mapenzi tu kwe video za ngono ila sio mpira

  • @ibrahimsuleyman9465
    @ibrahimsuleyman9465 Рік тому

    Kombe la walioshindwa!! Walio feli wanapambana kivyao

  • @shijamakoye6013
    @shijamakoye6013 Рік тому

    Mpira umevamiwa aisee sauti zamademu ndio zinatangaza mpira hata wataokusikiliza labda redio iwe moja tu Tanzania nzima kwanini msiende hata kulima nyanya kumanyoko nyie

  • @shijamakoye6013
    @shijamakoye6013 Рік тому

    Utakunya bure kumanyoko wewe

  • @androidhms8184
    @androidhms8184 Рік тому

    Mtangazaji wa pili Kiswahili hajui
    Analudi
    malumo
    ubola
    hakutalajiwa
    Kiufupi arudi Shule kujifunza Kiswahili