YANGA SC 2-0 MARUMO GALLANTS | FULL MATCH HIGHLIGHTS | MAGOLI | SEMI FINAL | CAF CONFEDERATION CUP.
Вставка
- Опубліковано 9 тра 2023
- Kwa story zaidi za kimichezo, matukio, vicheko na vilio vya kispoti tufuatilie kupitia Mitandao ya kijamii hii :
►JOIN OUR WhatsApp Group: chat.whatsapp.com/Go7uQgGCzSI...
►SUBSCRIBE: / @tv3tanzania
►Instagram / tv3tz
►TikTok / tv3tz
►Facebook / tv3tanzania
►Twitter / tv3tanzania
#Tv3Tanzania Katika kisimbuzi cha @startimestz CH 131 (Antena) na CH 197 (Dish)
RATIBA ZA VIPINDI VYETU
DIMBANI JUMATATU HADI IJUMAA KUANZIA SAA 1 KAMILI ASUBUHI
KIJIWE JUMATATU HADI IJUMAA KUANZIA SAA 1:30 USIKU
BENCHI LAUFUNDI JUMATATU HADI IJUMAA SAA 12 JIONI
TOBOA JUMATATU KUANZIA SAA TATU KAMILI USIKU
#Tv3Tanzania #GameOn
#Manula #kapombe #Onyango #Sakho #MosesPhiri #Henock #Inonga #Chama #Clatus #TripleC #Bocco #JohnBocco ##Mzamiru #Kanoute #Nyoni #Kyombo #Kibu #KibuDenis #Hussein #Beno #Mkude #Okrah #Diarra #Djuma #Lomalisa #Job #DicksonJob #Bangala #YanickBangala #Aucho #Sureboy #Moloko #Mayele #FistonMayele #ZanzibarFinest #FeisalSalum #Feisal #Kisinda #BakariMwamnyeto #BernardMorrison #Morrison #Clement #AzizKi #Farid #FaridMussa #KibwanaShomari #WilbolMaseke #LusajoMwaikenda #BruceKangwa #EdwardManyama #DanielAmoah #SospeterBajana #KipreJunior #JamesAkaminko #PrinceDube #YahyaZayd #AyoubLyanga #Sopu #Msindo #Sebo #Foba #Muguna #Edinho #Nado #Mbombo #Mkandala - Спорт
Huu ni mwaka wa Yanga kama unaungana nami Gonga like yako hapa
Mwaka wa Yanga kweli huu
Mwaka wa yanga nimashindano gani we pimbi mashindano ya wa2 waliofeli kweli aliyewaambiaga hamunazo hakukosea 😂😂😂😂😂😂😂
@@yohanayohanaadamu6483 achana nao maana hawajui nawakitamba sisi tulisha cheza fainali ya hili kombe tena uhuru pale
@@yohanayohanaadamu6483 kombe hili lilianza 2004 we fainal hiyo ulicheza mwaka upi na ligi gani.
me mwananchi mwenzio safi
Mungu tunaomba usituache mpaka mwisho wa safari💛💚💛💚🙏🙏💪💪😊
Amen
AMINA 🙏🏻🙏🏻🙏🏻💚💚💚💛💛💛
Amini💚💛💚💛 inshaallah
Ameen 🙏
Amina 🙏
Mmenifuraisha yanga Mungu awabariki katika safari yenu tuandike historia ndani ya Nchi yetu pendwa Tanzania
Leo nimempenda twisila mnooo,katengeneza nafas bomba sana
Mi nahivi cjawah mkataa pamoja na mda mwingine kufanya makosa..yaan sasa ndo animaliza kabisaaa,unajua kwa timu yetu bado tunamhitaji Sana Tuisila kwasababu ukikutana na timu ambayo wanacheza kwa kasi sana kusaka goli la mapema Sana like Mallumo, e.t.c bila kuw na winga Kama akina Kisinda,Moroko aaaaa...inakua kwisha habari yako.
Nawakubari yanga
Love u yanga💛💚💛💚
yanga tunatisha Kama🥰🔥🔥🔥🔥🔥
Asante sana kwa highlight ndefu
Ll
Ll
L
P
Fainali hiyoooooooooo
Wa kwanza leo
Well done my team yanga africans
Mwaka wetu 🔥🔥🔥🔥💛💚👍
Dahhhhh mwaka jana yanga walikuwa na bahati sana ❤️❤️❤️❤️❤️❤️🇹🇿
Master k aziz Stephanie
Pole kwa feisal wenzie wapo kwenye neema yy ndo anasusa
Hersiiii oyeee
Chama la wana young african
Mungu tufikishe nchi ya ahadi tunakuomba wanayanga.
Nimechek hy Farther Bernad Morrison
Mwaka wetu huu🔰🏆🙏
Wa pili leo
Makolo wamenuna, haooo pyeeee
Watatu leo
Inshaalah Mungu tufungulie njia, angalau na sisi tuonekane, wape nguvu yanga wape bahati, wape kila kinachohitajika ili leo wavuke (tuvuke) Mungu tuaidie kwako hili ni dogo sana kwetu sisi ni gumu inshaalah amina, wachezaji wetu jitahidini kufa na kupona Mungu pia tumuombe. Saa inayokuja ni muhimu sana kwa wachezaji woooote hata walio benchi nimuhimu mno kwetu, maana kwa Nabi mchezaji alie nje ndie wa ushindi tunawaheshimu wote,
Sio plesha = pressure ❤
Faisaly😂 NAKUSALIMU KWA HERUF KUBWA
🇧🇫🇧🇫❤️❤️❤️
Naipenda yanga❤❤
Hersii Kila kitu rer Ahmed juu
Yangaaa oyeeeerrr
Mungu ibarik yang 👏
wanayanga kazen
Kila la kheri Yanga African's kila hatua dua kama kauri mbiu ya Mwamnyeto de kapten Mwenzi Mungu akawape nguvu ujasiri upambanaji wa hari ya juu na mtoke na matokeo hiyo siku ya tar_ 17-05-2023, tuingie kwenye history ya kucheza fainal namuomba Allah Jallali jalia dua hii Amiiin 🙏 tukisha ingia fainal ndio tuweke dua kubwa kwa ajili ya UBINGWAAA.
Asante Sana mungu wetu kwa kuzid kutujalia ushind
Yanga wanaupiga mwingi
Sema nn pia wachezaji wa yanga naona wanapenda sana
Wanapenda nn?
Wanapendana sana ndio
Mtangazaji mmojawapo hapo ni Kolo..et ooo Mallumo hawana presha,..oooh wanavdk 90 za kule kwao... Kolo unaumia.
Father Bernard
Yanga timu kumbwa
❤❤❤
Hii jezi nyeusi ukiiona jua shughuli ipo yanga noma
💚💚💚💚💚💚💚💛💛💛💛💛💛💛💛
Lekebisha HD picha hazionekani
Mwaka wa wananch
Ukweli Hawa watangazaji hawajui chochote walijikita kutafri lakini nooo kabisa
Hersii isakia juu
Ameni 🙏
mtangazaji hamna kituu kabisa 😮
Mbona picha haing'ai vizurii why?
Deal done
💚💛🖤🥀🌹
Yanga oyee niseme nini.
Jigue djiara ana raha hutu
HUYU MTANGAZAJI WA MPIRA HAJUI SIJUI ALIATAJE HII NAFASI YA KUTANGAZA
Yanga hii unaweza ukafurahi Hadi ukalia. Inshallah msimu unaokuja uwe Bora kama huu
We Mtangazaji unazingua tu, bora uache KELELE za uwanjani tu
Kocha Nabi ni Wa pekee sana, hana Maneno mengi kama makocha wengine ,ila ni mtu Wa kazi , nanfanaisha na MAGFULI, Maneno kidg kzi kbwa
Hatamimi nitakubali
Yangaaaaàaaa kweli
Join
Mtangazaji mwenyewe huyu
yanii hana maajabu emepoozeshaa kabisa mechi yenye furahaa
Mm nimefraia golii la Bernad Morson Aliangushwaaa hakutaka kujalii km ameangukaa ameinuka na kwendaaa kufunguaa tenaa
Ni kwl jamb ambalo si kawaid yke cku zot...ila ivo ndo inavotakiw afany
A load to final mtangazaji wa mchongo😂
Ahahahahhaha
Ukiona hivyo ujue kwamba hawa washangilia hivi ujue wataelekea kuchukia kama wale.....................eee (sisi)
UNGU MKUBWA. FAINALI NI YETU.
Moloko angekutulia angepata walau goli mbili ila haikuwa siku njema kwake
Mlio tengeneza hii video mmezingua mmetoa sauti ya mashabiki uwanjani mnaongea wenyewe video haina hata hamasa kuitazama jifunzeni vitu vidogo kama hivi otherwise msivamie fani za watu
Yanga nomasana
Ukiisikiliza mitangazaji yote nikama mikima tu yote
Yani ukiyasikiliza yote yalijiindaa kuwa marumo atashinda yani yanatangaza huku yanaumia kabisa
Yani haya nimakuma kweli nendeni nao basi south mkaolewe kabisa
Yani wewe kwa hii sauti yako hii nenda kafanyie mapenzi tu kwe video za ngono ila sio mpira
Kombe la walioshindwa!! Walio feli wanapambana kivyao
Mpira umevamiwa aisee sauti zamademu ndio zinatangaza mpira hata wataokusikiliza labda redio iwe moja tu Tanzania nzima kwanini msiende hata kulima nyanya kumanyoko nyie
Utakunya bure kumanyoko wewe
Mtangazaji wa pili Kiswahili hajui
Analudi
malumo
ubola
hakutalajiwa
Kiufupi arudi Shule kujifunza Kiswahili