"Mimi NITAJIUZULU, Waziri TUSIJIBIZANE" Mbunge Shangai akiwasha Bungeni

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 20 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 26

  • @barakalesukwi5636
    @barakalesukwi5636 Місяць тому

    Hongera xanaaaaa Mheshimiwa kwa kuwatetea wananchi wako wa ngorongo Mungu wa mbinnguni na aendelee kukulinda xana.

  • @FahmiAbdalla-oi8ed
    @FahmiAbdalla-oi8ed Рік тому +3

    HONGERA MH EMANUEL SHANGAI(BIG UP

  • @ShekutuKillel
    @ShekutuKillel Рік тому +1

    Asanteee sana mbunge wetu Kwa kuwa tetea wananchi wako mungu akulinde

  • @williamkeko9244
    @williamkeko9244 Рік тому +1

    Mh. Mbunge wangu nachukua nafasi yangu kumuomba mwenyenzi Mungu akulinde,akupe afya ,akuinue ufike hatua nyingine ,kama sii huyu mwarabu na Manongi 😢😢😢,tungekuwa na uhakika wa mambo unayoyasemea juu ya wanangorongoro 🙏🙏

  • @MelauKoitumet
    @MelauKoitumet 8 місяців тому

    Mungu akubariki ndugu shangai kwa kazi mzuri unayofanya❤

  • @LazaroMoringe-f3i
    @LazaroMoringe-f3i Місяць тому

    Mambo ngeza moshimiwa Shangai Mungu akulite ngorongoro atuami mimi musaliwa wa ngorongro nitama kwenda wap sanare satinda

  • @Eliaelibarik
    @Eliaelibarik Рік тому +1

    Tunakuelewaaaa sanaaaa mh mbunge wetu mungu azidi kukulinda ili uzidi kuwatetea wanchi wako na tunakuombea

  • @KondeeeCharles
    @KondeeeCharles Рік тому +1

    Asante mbunge wetu unatupigania

  • @DaudiNasari-o9r
    @DaudiNasari-o9r 2 місяці тому

    Mzee mungu akulinde san

  • @JEMISOLEMORUAISiria
    @JEMISOLEMORUAISiria 11 місяців тому

    Asante sana kwa kua unatetea wananchi wako,,Mungu akisaidiwa?.

  • @LebahatiLaizer-b4q
    @LebahatiLaizer-b4q 9 місяців тому

    Hongera sana mhe uko vizuri kabisa 💯

  • @ngakenyatinayai
    @ngakenyatinayai 8 місяців тому

    mheshimiwa mungu akubariki sana

  • @Danielmatanda-di2jc
    @Danielmatanda-di2jc 5 місяців тому

    Asante sana shangai hayo nikweli

  • @KosyandoKadege
    @KosyandoKadege Рік тому +1

    Ongea brother

  • @lazaromoko1227
    @lazaromoko1227 Рік тому +1

    Shangai nakukubali sana

  • @ErickBenson-ld6mh
    @ErickBenson-ld6mh 6 місяців тому

    Mungu akuongeza vema mbuge wetu

  • @njironairabamollel710
    @njironairabamollel710 Рік тому +1

    ongera sana mbunge

  • @francismadoshi8529
    @francismadoshi8529 Рік тому +3

    Royal Tour imefail, inaonyesha Zanzibar na mkoa wa Arusha tu. Sijuwi ni kwa nini? Tanzania ni kubwa sana. Kwanini mikoa mingine hayionyeshwi? Unaogopa nini?

  • @YohanaTapwaa
    @YohanaTapwaa Рік тому

    mbunge ubarikiwe san mungu yupo pamoja na ww

  • @OlesabetiMamasita
    @OlesabetiMamasita 11 місяців тому

    Sawa

  • @SurprisedCamel-ow6md9
    @SurprisedCamel-ow6md9 Місяць тому

    Ongela

  • @benedictmrisho1800
    @benedictmrisho1800 Місяць тому

    Kuepukana na machozi ya wananchi. Mbunge anaongea kwa unyenyekevu mkubwa. Tujifunze kwake.

  • @LoataMollel
    @LoataMollel Місяць тому

    Njoo kimayani olashee lemaaa

  • @JoshuaMunyere040-px7nj
    @JoshuaMunyere040-px7nj Рік тому

    Mambo

  • @jastinmollel5502
    @jastinmollel5502 6 місяців тому

    Hawa ndio wabunge wa mfano wa kuigwa wanajua kutetea wanainchi wake sio unaenda bungeni kugonga meza masaa ziishe urudi nyumbani zambi kubwa sana