Mh. Mbunge wangu nachukua nafasi yangu kumuomba mwenyenzi Mungu akulinde,akupe afya ,akuinue ufike hatua nyingine ,kama sii huyu mwarabu na Manongi 😢😢😢,tungekuwa na uhakika wa mambo unayoyasemea juu ya wanangorongoro 🙏🙏
Royal Tour imefail, inaonyesha Zanzibar na mkoa wa Arusha tu. Sijuwi ni kwa nini? Tanzania ni kubwa sana. Kwanini mikoa mingine hayionyeshwi? Unaogopa nini?
Hongera xanaaaaa Mheshimiwa kwa kuwatetea wananchi wako wa ngorongo Mungu wa mbinnguni na aendelee kukulinda xana.
HONGERA MH EMANUEL SHANGAI(BIG UP
Asanteee sana mbunge wetu Kwa kuwa tetea wananchi wako mungu akulinde
Mh. Mbunge wangu nachukua nafasi yangu kumuomba mwenyenzi Mungu akulinde,akupe afya ,akuinue ufike hatua nyingine ,kama sii huyu mwarabu na Manongi 😢😢😢,tungekuwa na uhakika wa mambo unayoyasemea juu ya wanangorongoro 🙏🙏
Mungu akubariki ndugu shangai kwa kazi mzuri unayofanya❤
Mambo ngeza moshimiwa Shangai Mungu akulite ngorongoro atuami mimi musaliwa wa ngorongro nitama kwenda wap sanare satinda
Tunakuelewaaaa sanaaaa mh mbunge wetu mungu azidi kukulinda ili uzidi kuwatetea wanchi wako na tunakuombea
Asante mbunge wetu unatupigania
Mzee mungu akulinde san
Asante sana kwa kua unatetea wananchi wako,,Mungu akisaidiwa?.
Hongera sana mhe uko vizuri kabisa 💯
mheshimiwa mungu akubariki sana
Asante sana shangai hayo nikweli
Ongea brother
Shangai nakukubali sana
Mungu akuongeza vema mbuge wetu
ongera sana mbunge
Royal Tour imefail, inaonyesha Zanzibar na mkoa wa Arusha tu. Sijuwi ni kwa nini? Tanzania ni kubwa sana. Kwanini mikoa mingine hayionyeshwi? Unaogopa nini?
Usijali tunaandaa part2😁😁
mbunge ubarikiwe san mungu yupo pamoja na ww
Sawa
Ongela
Kuepukana na machozi ya wananchi. Mbunge anaongea kwa unyenyekevu mkubwa. Tujifunze kwake.
Njoo kimayani olashee lemaaa
Mambo
Hawa ndio wabunge wa mfano wa kuigwa wanajua kutetea wanainchi wake sio unaenda bungeni kugonga meza masaa ziishe urudi nyumbani zambi kubwa sana