Inawezekana jamani, amepata umaarufu na deals nyingi za kutangaza biashara za watu. Hayo mengine tumuachie mwenyewe. Pisi kali kama huyu wangekua wanabadili madanga tu na sehemu za starehe lkn kaamua kuwa konda na kutafuta hela yake bila kujali uzuri alionao. MNYONGE MNYONGENI LKN HAKI YAKE MPENI. Big up Nice
@@hildajoel5 Dada yangu HILDA,ni kweli tumuachie tu mwenyewe,huo ukondakta ni kivuli tu cha kujifichia dadangu,ila umeshamalizia vizuri,tumuachie mwenyewe,na Mimi Kwa heshima yako,acha nisiendelee.🙏🙏
@@pasiensiabel7278 wewe M 17 najuwa ni pesa ndogo sana,hata mwenyewe nimewahi kuwanazo zaidi ya hizo,Kwa level yake huyo,hakuna wakumpa pesa nyingi kwenye tangazo lake,bado Hana influence kubwa kiivyo,watu wanaolipwa mamilioni kwenye matangazo ni kina wema,diamond,hamisa NK,si huyo kondakta.
Kuna watu hapa wanahisi wivu mkali balaa usiokuwa na sababu. Mwenzako akifanikiwa ni wakati wa kujifunza mazuri yaliyomfikisha pale na kama kuna madhaifu, uyaseme kwa namna chanya ukilenga kusaidia mtu huyo. Chapa kazi, Sali Sana, wasaidie wazazi. Siyo lazima upate zawadi na Mali alizopata mwanadada huyu lakini Mungu atakupatia kinachokufaa. Subira na uaminifu ni ngao za maendeleo mahali popote.
Ukiona mtu anafanikiwa mshukru Mungu kwaajili yake mtie moyo ndipo na wewe Mungu atakubariki kupitia yeye, Hongera sana mwanangu ukawe mfano kwa wengine wanaochagua na kubeza kazi za watu piga kazi mwanangu umeubariki moyo wangu much love toto nzr❤
Songa mbele Binti. Miaka 2 ijayo nunua gari linguine 20mil, wakukasirika wakasirike na wakukutukana wakutukane, lakini mwisho wa siku, utachomoka unawaacha wakishangaa shangaa na maneno na matusi yao. Piga kazi usisikilize vya kukurudisha nyuma, bali sikiliza vya kukupeleka mbele zaidi. Pambanaaaa.....
Hongera sana mtoto mzuri,Mwenyezi Mungu azibariki juhudi zako,usisikilize maneno ya watu,hao hawana kazi weee fanya kazi zako hiyo Ni nature ya wabongo wasikusumbue hataa
Congratulation nice Moshi unajuhudi Sana hata kipindi ulikuwa shuleni tulikuwa wote advance ulikuwa na juhudi Sana endelea hivyo hivyo waache hao wanao kubeza hata hawakujui by professor Jacob nyakahura
MashaAllah 🎉🎉🎉🎉dunia imebadilika,unatoboa popote,ni kujutuma tu na kufanya ur best,pesa unapata popote. Kujituma,fanya kazi kama ya kwako kwa moyo. Do your best,and God will do the rest .
Strength woman keep it up my dear i know there are a lot of snitches arround you so live your life let them live their life let them go God protect you Nancy
Shida ya watanzania waliowengi hawawezi kufurahia au kuunga juhudi za mtu anaeonyesha maendeleo wengi ni roho za korosbo badilikeni Huyo dada awe ni mfano au mtu wa kuigwa kwa wadada na wakaka wanaokaa bila kujishughulisha igeni mazuri ndio siri ya maendeleo
Binadam bwana wamekaza mafuvu oo anadanga sasa mtu anapata madili ya matangazo na kaz yake na unakuta familia haina njaa kama wengine kwann asipate pesa ya kununua gari acheni wivu sifien vizuri vya wenzenu
Inawezekana jamani, amepata umaarufu na deals nyingi za kutangaza biashara za watu. Hayo mengine tumuachie mwenyewe. Pisi kali kama huyu wangekua wanabadili madanga tu na sehemu za starehe lkn kaamua kuwa konda na kutafuta hela yake bila kujali uzuri alionao. MNYONGE MNYONGENI LKN HAKI YAKE MPENI. Big up Nice
@@hildajoel5 Dada yangu HILDA,ni kweli tumuachie tu mwenyewe,huo ukondakta ni kivuli tu cha kujifichia dadangu,ila umeshamalizia vizuri,tumuachie mwenyewe,na Mimi Kwa heshima yako,acha nisiendelee.🙏🙏
@@hildajoel5 hapo wadada wote watataka wawe makondakta ili na wao wapate 17m,wakidhani ni UKWELI,dunia hii, mtihani Kwa kweli😭😂😂😂
@@israelkisaila8401 yaani gari la milioni 17 tu ndo unashangaa? Hv unajua tangazo moja analipwa shngap kwa siku au wiki?
@@pasiensiabel7278 wewe M 17 najuwa ni pesa ndogo sana,hata mwenyewe nimewahi kuwanazo zaidi ya hizo,Kwa level yake huyo,hakuna wakumpa pesa nyingi kwenye tangazo lake,bado Hana influence kubwa kiivyo,watu wanaolipwa mamilioni kwenye matangazo ni kina wema,diamond,hamisa NK,si huyo kondakta.
Kwa matangazo hiyo ni hela ndogo sana. Watu wanalipwa hadi milion mia mbili kwa tangazo moja
Kuna watu hapa wanahisi wivu mkali balaa usiokuwa na sababu. Mwenzako akifanikiwa ni wakati wa kujifunza mazuri yaliyomfikisha pale na kama kuna madhaifu, uyaseme kwa namna chanya ukilenga kusaidia mtu huyo. Chapa kazi, Sali Sana, wasaidie wazazi. Siyo lazima upate zawadi na Mali alizopata mwanadada huyu lakini Mungu atakupatia kinachokufaa. Subira na uaminifu ni ngao za maendeleo mahali popote.
Ukiona mtu anafanikiwa mshukru Mungu kwaajili yake mtie moyo ndipo na wewe Mungu atakubariki kupitia yeye, Hongera sana mwanangu ukawe mfano kwa wengine wanaochagua na kubeza kazi za watu piga kazi mwanangu umeubariki moyo wangu much love toto nzr❤
Uko vzr dear usiwasikilize songa mbele dada mzuriiiii😍
❤❤Jaman tuacheni wivu sio poa kwani matusi.ya nn? Mtoto wa watu bidii zake zinakukera nm?? Wivu bana hata akihonqwa wewe inakuuma nn?keep it up mamy.
Ata akihongwa anafanya kwa marengo hongera dada nance
@@JoyceMwita-e3wkwel kabixa
Kumb kitot cha 2000 waooh hongela lakin piya hongela kwa bidii na kuwa na malengo saf ❤
Nimekupenda mtoto we ubajieliwa. Pambana utafika mbali. God bless you
Songa mbele Binti. Miaka 2 ijayo nunua gari linguine 20mil, wakukasirika wakasirike na wakukutukana wakutukane, lakini mwisho wa siku, utachomoka unawaacha wakishangaa shangaa na maneno na matusi yao. Piga kazi usisikilize vya kukurudisha nyuma, bali sikiliza vya kukupeleka mbele zaidi. Pambanaaaa.....
Gari iloilo linamtosha,,awekeze tuu sasa
Wacha ajenge nyumba
Boss ali mpumzisha Mwenye nyota ya kampuni yake. Adhabu zinatufanya tuwe bora zaidi
MashaaAllah Mungu akulinde zaidi bint nzuri❤❤
Hongera sana mtoto mzuri,Mwenyezi Mungu azibariki juhudi zako,usisikilize maneno ya watu,hao hawana kazi weee fanya kazi zako hiyo Ni nature ya wabongo wasikusumbue hataa
Nakupenda sana nance unajituma sana MUNGU WA MBINGUNI AKUBARIKI
Hongera Nancy, fanya ununue kiwanja Arusha, hili ni jiji la kitalii, unaweza kuwekeza, Mungu amekuinua,usiache kutoa sadaka na kusaidia wahitaji.
Anakiwanja kwao moshi jiji lakitalii pia😊
@@VanShayokviewshoursagoMoshi sio mkoa hata sembuse kuwa Jiji
Mbulula mkubwa wewe!
@@Ndu-wa.uroony2 sasa kwn mimi nimesema kajeng mkoani moshi???
@@Ndu-wa.uroony2 Unajua hata tofauti ya jiji na mkoa kweli mbulula mwenzangu??
Mungu anambariki mtu katika kila kazi, si lazima iwe kazi kubwa sana.
Mungu aendelee kukusimamia Nancy
Nice hongera sana my dear unajuwa kupambania sana❤❤❤❤
Congratulation nice Moshi unajuhudi Sana hata kipindi ulikuwa shuleni tulikuwa wote advance ulikuwa na juhudi Sana endelea hivyo hivyo waache hao wanao kubeza hata hawakujui by professor Jacob nyakahura
HGE nyakahura
Hongera sna bint yangu umepambana sana zaid ya sana miaka 2 kwa mafanikio hayo aise umewafundisha bint mwenzako waache kudanga
Safi sana kwa kupenda kazi yako hakika ukipenda kazi kutoka moyoni lazima ufanikiwe 👏👏👏
Sidhani
@@rumdeesonsoa1811kweli jaribu uone matunda yake
Hongera Sana Nice nawaombea wanangu wafanikiwe wakiwa na umri mdogo🙏🙏🙏
Insha'Allah
Hongera sna mwanangu nice
MashaAllah 🎉🎉🎉🎉dunia imebadilika,unatoboa popote,ni kujutuma tu na kufanya ur best,pesa unapata popote. Kujituma,fanya kazi kama ya kwako kwa moyo.
Do your best,and God will do the rest .
Mnaosema amedanga jmn mbona maelezo yanatosha kapata kampuni na kafanya matangazo na support kwa mamaake
Mbona wadangaji wengi wapo mitaani na hawatoboi? Watu acheni roho mbaya mwombeni asonge mbele.
@@dicksonkilupa2258Wanadhani wadangaji wana hela sana. Hv kuna watu wenye njaa kama wadangaji kweli
Kwa malengo kila kitu kinawezekana
Hongera binti
Nakupenda bure mchaga wangu uko vzr sana mpambanaji.mchaga hashindwi na kazi
wanawake wafupi mmeweza naombeni like zetu mnaakili sana sio nice pekeake
😂😂😂😂
Ushasema 😅😅😅tn wabishi i
😂😂😂😂😂
@@sarahrashidabdallah3109
Mtuacheee 😂😂😂😂
Uko vizuri sana my daughter usikate tamaa, nungefurahi pia ungetumia ile kanuni ya *PUSH* --Prray Untill Something Happen- tutafanya vizuri zaidi
Strength woman keep it up my dear i know there are a lot of snitches arround you so live your life let them live their life let them go
God protect you Nancy
ongera Sana mungu akulinde uwe tu na Imani ya mungu❤❤ 13:05 13:05
Ongeza gari nyingine, nunua viwanja jenga mahoteli mdogo wangu, yanawezekana
Shida ya watanzania waliowengi hawawezi kufurahia au kuunga juhudi za mtu anaeonyesha maendeleo wengi ni roho za korosbo badilikeni
Huyo dada awe ni mfano au mtu wa kuigwa kwa wadada na wakaka wanaokaa bila kujishughulisha
igeni mazuri ndio siri ya maendeleo
Kabisa Awina,
Kweli, hata ukivaa kiatu cha mchina wanauliza shhiii, amepata wapi, si bure kaiba hela mahali
Nimekubali kaka mkubwa umeongea fact 😂😂😂😂
Hongera sana kazi nzuri
Hongera Sana Nancy mungu Akutie nguvu uzonge said ya hapo uwe muvano kwa wadada wengine wajue kumbe inawezekana zio wanaume Tu ❤
Huyu Binti ni mchapakazi sana
hongera sana kwa kujitambua maana makondakta wengi wanajizarau
From #EconomicallyGrowthMusicians Congratulations 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Beautiful!!
Congratulations, keep it up 🎉
Bismillah mashalah kanajituma kazuri❤❤ufup ni wake.kaumbwa hajajiumba
Hongera mdogo wangu, ucjal maneno ya watu kwan mti wenye matunda ndiyo hupigwa mawe zaid mtangulize Mwenyenzi Mungu kwa kila hatua
Honger dada kwa juhudi zko
Mungu akuzidishie zaidi na zaid nausi mwache mungu jishushe eshima iwe ngao yako utiifu uwe fimbo yako pia mungu akulinde mpnz
Hongera sana mchaga mwenzangu mungu azidi kukupambnia
Hongera sana mdogo angu😘😘😘😘
You can excel in anything! She is very bright!
Congratulations mummy you deserve 🎉
Anastahili kwakweli
Congratulations nice sister from another mother
Hongela dada nmekupenda
Mitandao inaela sana mimi naamini
Muongo kwa mshahara gn wa kununua gr miaka mitatu kwa kz ya ukondacta uwo mshahara ci unamalizia kweny faction yk tu
Hongera sana dada😘😍🥰❤️
Hongera sana Nice you Deed it.
BRAVO 💪🔥💪
Siangejenga kwanza mrembo wangu ❤❤❤
Nakupenda sn ww mdada ❤❤❤
HONGERA SANA DADA, KAZI NI KAZI MRADI PESA INAINGIA SAFI SANA DADA 👍💐👌👏🌺😘🇹🇿🔥🔥🔥🔥🔥
Sema anajituma lakn jaman
Sanaa
Mungu aibarik kaz yako, mm pia natamn kweli kaz kama hiyo lakn nakosa nafasi,na tunatapeliwa sana
Pambana dogo na Mwenyezi Mungu akufungulie milango zaidi
Binadam bwana wamekaza mafuvu oo anadanga sasa mtu anapata madili ya matangazo na kaz yake na unakuta familia haina njaa kama wengine kwann asipate pesa ya kununua gari acheni wivu sifien vizuri vya wenzenu
Umeongea point watu wanafikra zakimaskini sana ndokinacho wasumbua wamekazana anadanga embu wakadange nawao watuletee ata bajaji tuone😒
"Wamekaza mafuvu" 😂😂😂
@@user-em9zw4sd3c😂😂😂😂
Wow❤❤❤🎉
Very good. Keep going to attain your goals
Hongera sana mdongo wangu
Hongera sana mdogo wangu uko vzr
Congrats bebe ❤
Keep chasing the bag Bby girl
Congrats once again love
Inapendeza❤ sana
Ooh good🎉
Safi sana Mungu akulinde
Hongera sana binti
Hongera mdogo WANGU. Wee songa mbele tuu fuata neno la MUNGU usikate tamaa..
Jaman gari kanunua mwenyewe kwa kuwekeza kidogo kidogo mil 17 aliuziwa ni IST jmn kwa wale motors muende mkanunue pia
Hongera sn Binti❤
Good I love you unapambana by madam yuster.
Mpe salamu nyingi mr.MWANYA
Hongera sana
Wewe ni Tajiri wa Afrika,, piga kazi MTT 🎉❤🎉🎉
Tuliza mihemko😂😂😂
Hongera sana kwa upambanaji mdgwangu
Good dada achana na shombo za wabongo wengi wao wanamaisha ya kizamani wanapenda maisha ya tufe wote
Kabisa mzee 😂😂😂😂
Kumbe mdgo tu hongera💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚
Hongera mdogo wangu 🤝❤️
Haya manbo yanasiri miaka mitatu milioni 17 uko vzr.
Yaaa it's possible
Tunaozijua sauti za hivo tujuane, yaani ni lazima anunue gari tu. Maelezo hayana uhalisia😅😅
Ivi kumbe ukifanikiwa ni lazima ujitangaze mi naona nikutafuta husda na nikaushamba flan maana huelewa uko tofaut tofaut
Hongera binti ❤
Nice fanya ujenge nyumba,maisha ndo haya haya.
Mwambie
Ajenge wakati anasubiri kuolewa hahaha
Kwel boss wa tilisho ni mstaharabu sana
Hongera nance
Hongera sana nice
Hongela mdogowangu kwabidi
Tabaraka ❤❤❤
Honger dadaa
Waoooo amazing 😍
Nancy, nimekukubali mwanangu! endelea hivyo.
❤mungu akutnze mtoto was kichaga
Hongera,Mdogo,wangu,wakua,ishuwezavo
Watu mkiacha wivu mtagundua huyu dada anajituma na anajuhudika jamani 😅
😂😂😂😂😂
Hyo miaka kila cku mnatwambia v2 tofauti😂😂anyway hayanihusu😅😅
Mmekosa cha kupost
Mi mchanga ban wao nimeipenda iyo kabila gani linguine linaweza kujitambulisha kama hii
Hii nisifute... Hongera
Pambana kipenzi vaa vizuri sanaaaa achana na walimwengu
malayatu uyo