Nani mwingine ameona shei shei angekuwa mwanajeshi angelinda nchi yake kwa matashi makubwa sana makofi kwa shei shei 👏👏👏👏👏ameitendea hii movie haki kweli
Kisai ananifundish jambo moja na limenisaidia sana kwamba kikulacho kingwoni mwako , sio kila anaekuchekea anakutakia mema, Rafiki wa karibu ndiye anaekumaliza hapa kuna cha kujifunza hongera mzee kitambi Pili nimempenda anavojiweka smart mzee wa suit❤
@@DEJONG_LEEH yah kaka mm team clam VEVO SEMAA hapaa pamoto ilaa clam VEVO ana balaaa sanaa aisee ngojaaa tuone u babe WA Tanu Kwa usalitii alafu bailamu kaka ameludiiii😂😂
Picha linaanza... Baba yao akina Norah ni mgonjwa yupo hospital... Baba yao akina Norah ndye aliyembaka mama yk kp Kwahyo kp, Norah na zebuu ni ndugu Chen ambayo aliachiwa kp na Mama yake ndyo itamfanyaa baba yao akina Nora kumjua kp kupitia Chen ya Mama take Nimewaza mbele...
Sheyshey wewe n moto wa kuotea mbali,,, big up girl🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉sending love from kenya and team kp kwa ujumla kazi nzuri mungu awaongezee maarifa zaidi muzidi kutuburudisha
Anae soma comenti hii mwenyez mungu ampe hitaji LA moyo wake ❤
Amen
🤲🤲🤲@@rufinalucas-bv9ct
😅😅😅
Ameen
Tulikuw tunamuombea sheyshey afanikiw kubrock system tujuanjmn 🙌🙌😅😅
Wow shey shey kongole sana
Mm hapa😘😘
Nataman sana shelyshely afanikiwe
😂😂
Namimi nimo
Sheyi sheyi
Nakukubari kinoma kazinzuri❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤benitha gutoka Burundi tunawapenda sana
Wao Bora ata wewe unajua kulike
Tunahitaj épisode ya17
Nani mwingine ameona shei shei angekuwa mwanajeshi angelinda nchi yake kwa matashi makubwa sana makofi kwa shei shei 👏👏👏👏👏ameitendea hii movie haki kweli
Mungu Amkuzie kipaji zaidi 🙏
Hakika
Saña😂😂😂🎉🎉🎉
Uyu dada anajuwa mpk anaker😂❤❤❤
Kwanza akiigiiza anaroho mbaya anapendeza akiigiiza mhuni anakuwa mhuni kweli
Nampenda mzee likoma vile anavaa huusika kama nawewe una mkubali like
Kama zebu anamficha kitu nable hamwambie ukweli kuhusu mjamzito wa kp hata like nipatieni mungu ata wabarik
Kp wetu Bujumbura Burundi tuko pamoja leo mimi Niko wakwanza nipeni like zenu hata tanu tu
Ok pokea uko active kusubir 🎉🎉
❤
Fungua uonje
❤❤
Nawapendaa😂
WA MWISHO LEO🇹🇿🇹🇿🇹🇿.. EWE UNAESOMA HII COMMENT MUNGU AKUZIDISHIE RIZIKI ZAKO ZOTE NA AKUPE MAISHA MAREFU AMEEN🙏🙏🙏🙏🙏
Kwako pia
Amiin
🙏🙏🙏🙏
In sha Allah 🙏
Nawe pia
Shey shey alivyo shinda kuweka password nimefrahi mpka nimeamsha majilani ebu mpeni shey shey na kp maua yao❤❤❤❤❤❤
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉😢
Kweli hii ni plan B kazi yenu ipo vzr sana shey shey hongera sana kwa plan zako
Wangapi hawataman kisai afanikishe kufujisha for tag tujuane hapa
Mi nataka 😂😂
Nyoko😂😂😂😂@@CarolyneNyanchama-yk1gf
Mm sitaki
Mm sitaki
Mm sitaki
jmn Toka. nianze kuangalia plan B sijapt hata like Moja 😢😢
Like sio zako dear wewe ndo utoe like Kwa wahusika mnatuchosha kuomba like utafikiri ndo mmetunga script
Sikuizi vijana mnapenda like
Ndiyo like zina faida gani@@numpefikimwaipopo
Na hautapata mwehu wewe😂😂 nenda uigize ya kwako😂😂😂
Za Leo mingi ...kula kidogo zingine uuze
30 mint watu mi 900 jamani 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉movie nzuri sana enjoy from kenya 🇰🇪 😂😂😂😂😂zuu utafanya nini umemuona mbaya wako leo
Kazi safi sana Sheila 😅😅😅,nimefurahia Kwa kazi ambayo umeifanya siku ya leo,hongera dadangu,I hayam from Kenya🇰🇪🇰🇪👏👏👏👏
Nampendag shei shei mm chukuw maua yakoo🎉🎉🎉🎉
Sheila au komando kipens nakupendraaaaa ❤
K p mko poa sana nawapenda sana.❤❤❤🎉 from kenya 🇰🇪 😍 nipeni like 👍 shangu 😅😅😅😅
Shei shei kiboko yao good job girl 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Shei shei mwenyewe nakupenda sana kwa kazi nzuri
Tunaamini mr kisai anaenda kushindwa weka like
Sijutii kufatilia plan B😊 shey shey na kp 😊
Ii plan B ni bonge la mouve iko n'a experience ya wachezaji wao
hii ndio maana halisi ya PLANI B wangapi tunaikubari tujuwane hapa❤
Shey shey n stadi qwa kuigiza❤😅😅
Jamani nawapenda sana kp pamoja na shey shey ninamatumaini mutaishinda vita kisai hata fanyikiwa💝💝
Movie ikiwa n Sheishei huwa ni tamu sana
Sheyshey na Kp me naona mngemshirikisha na likoma ingekuwa poa maana yko vnzur kweny mamb ya hayo
Sheishei kazi nzuri upo juu kama mwezi na nyota nimependa kazi yako
Kila mmoja anaye angalia na ku like movie hii awe na baraka za MUNGU maishani wakwaza ku like in 15second
Amen
Amina
Amen
Amen 😊
Amen Amen Amen 🙏
❤❤wow KAZI nzuri hongera shey shey .
Tunakukubali sana sheyshey huna show mbovu mauwa yako mama❤❤❤❤❤
Pokea mauwa yako shey shey ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤😅
Naombeni like zenu jaman
Nimeingoja Sana plan b thanks wanangu
Wagapi wanatamani mipango y kisai ifeli❤❤❤😢
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉😂😂😂😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉😂😂🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍✊✊✊✊✊✊✊✊✊✊✊✊✊✊✊✊✊✊✊✊✊✊✊✊✊🤜🤛🤜🤛🤜🤛🤜🤛🤜🤛🤜🤛🤜🤛🤜🤛🤜🤛🤜🤛🤝
Kama ww bado hujalala unatazama plan b weka like hapa❤
🎉
wakwanz mm leo🎉🎉🎉
😂😂😂😂nisamee kwakuhisi vibaya beb... Rafiki yangu, sawa beb😮 rafiki yangu aki nyinyi tuuu
wakwanza kutoka Burundi nawapenda sana❤
Jmn kp ebu wayisha next ep usiwe unatukaiza sana nakupenda kutoka burundi❤ hongera kwa kaz nzuli🎉
Hii ndio kazi yangu bora kwakweli plan B ❤❤❤
Nakupa like kama shabiki wa KP na Zebuu from Saud Arabia 🇸🇦
Za nn zote hizo 25 zinatosh
@@isayamwanjoka3958😂😂😂 naona umenikwamisha 😂😂😂
Wakwanza leo ❤❤
Hii movie inatufundisha tusikate tamaa katika maisha tunayopitia wangapi tunakubaliana like zenu ni muhimu sana ❤❤
Tokea nifatilie kp na zebuu bado sijapata likes hata moja
@@ConfusedBeetle-tw3um like sio zako dear ni za KP na Zebuu
Nilikuwa na chunga kwa amu épisode ya 16🎉🎉🎉🎉🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Kazi nzur saana kep na sheishei mungu mungu awabarik kwenye kazi yenu nzuri
Khåzī khåzī ❤❤❤
Wenyetunataka kuona zebuu stafanya nn like hapa
ila mzee likoma jamaniii 😂😂😂😂
😂😂😂🎉❤nyuma ya bajaji sasa
😂😂😂😂 nilikuwa naisubili hi comment hahahhah
Mzee likoma ndo apande nyuma ya bajaji😂😂😂😂😂😂😂😂
Haki ya Mungu😂😂😂
Kp good bless you kaz nzur San
Sijachelewa naomba like na mm wa2 wa kp
Nyie nao mnatuchosha bana Kila mtu anasema wakwanza anataka like mnakela bana
Wakwanza🎉🎉🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Jamani yote tisa mm nimemmisi suraji jaman ivi mmempeleka wapi
Mko chap sana na mnaleta vitu vizr big up sana kwenu lakini sulaji yuko wap
Oyaa sheishei nakukubali mwamba❤
Kisai ananifundish jambo moja na limenisaidia sana kwamba kikulacho kingwoni mwako , sio kila anaekuchekea anakutakia mema, Rafiki wa karibu ndiye anaekumaliza hapa kuna cha kujifunza hongera mzee kitambi
Pili nimempenda anavojiweka smart mzee wa suit❤
Hahaaaa likoma ndo uliona sehemu ya kupanda ni huko nyuma ya bajaji tuu
Kp & zebu mnabamba like clam vevo
Kazi nZuri hingereni
Sheila nakukubali sana rafiki yangu aseee
Kwenye iyi movîe mtu ambaye amuja mutendeya haki kama zebuu mume Ambaye amepewa Awa endane kabisa ❤❤❤ mahana iyo couple si ipendi Kweli
Wakwanza kutoka Kenya,, naomba likes zenu
🎉🎉❤ wow hii kali kazi nzuri sana kp
Hodiii umu ndani wapendwa❤❤❤❤ nawapenda sana team kp na zebu
Wakwanza munipe like zangu
Team zebuu na kp uhakika wanaupiga mwing snaaaa
clam habari ya mjini
@@NiyeraJacqueline ni gud cjui ww!!!!
wee niii team clam VEVO bwnaa
@@patrickkahangwa6666 yeah vp ww!?
@@DEJONG_LEEH yah kaka mm team clam VEVO SEMAA hapaa pamoto ilaa clam VEVO ana balaaa sanaa aisee ngojaaa tuone u babe WA Tanu Kwa usalitii alafu bailamu kaka ameludiiii😂😂
Safi Sana kp,ila jaribu ku harakisha❤🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬
Waoooo❤️❤️❤️❤️
From zambia lusaka 🇿🇲🇿🇲 unajuwa kazi Kaka mkubwa tupia like zangu apo atakama nimechelewa kidogo team aquino❤
Good job kp na zebun keep it up ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
PGA kelele kwa wadada wapambanaj kama shey shey. Oyoooo kwny hii movie shey umetsha girl
Shey shey na dogo nani bingwa wa computer?🤔🤔
N sheyshey🎉🎉
Utafikiri mm ndo niliempa komwe 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Kazi nzuri saaana ❤️❤️🌹
Walahi hii ni zaidi ya movie..... congrats kp kwa kufikiria ...... sheyshey uko sawa mamaaa..... zaidi nawapogeza wooote .... fizzoh wa kenya🍹🍹🍹🍹🍹🍹🍷
Hongera binti likoma unafnya kazi kwa ufasaha🎉🎉🎉
Shey shey apewe maua yake jaman 🎉🎉🎉🎉 anajiamini uyu dada nampenda bure
Kisai nae kaambiwa nanani hiyo passowd
yeah mzigo on trending tunasepa na kijij chap tu hongeren San 🔥🔥
Sheishei nakubali dada yetu sheishei wangu ilove you so much from Burundi 🇧🇮🇧🇮 nawapenda bure my family 💯💯😘😘😘👌🏻👌🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🫰🏻🫰🏻
Du good job
Nawakubali sana Boss ❤❤❤❤
Watching from kwetu home😂😂😂
A shei shei we kiboko ila nawapenda sana big up
Today as a first to comment nawapenda san kp gang
Wa kwanza kutoka kongo GOMA liké zangu jmn
Wakwanza Leo
Kazi safi
Kama unamkubali shei shei na kp,bonyeza👍,❤❤❤❤shei shei the plan Master 🫡
She'll.sheli.lazima
Tukupe.mauwa.yako.upo.makini.saba.nakupenda.kupita.maelezo.ilanawapenda.wote❤❤❤❤❤
Wow!!!! zebuu ameshangaa zake yote😅😅😅 alafu hakuwa anadharajia sister yake amependana na adhui wake 😊😅😅😅 from Kenya 🇰🇪
Wa Kwanza Leo like zangu
Jamani huku watu wako mbioni kazi nzuri Leo mimi pia niko among the first ones
woow sheishei najua hizo sio petrol😄😄😄😄🤩😍lakini big up. nakupenda tuu sna
Picha linaanza...
Baba yao akina Norah ni mgonjwa yupo hospital...
Baba yao akina Norah ndye aliyembaka mama yk kp
Kwahyo kp, Norah na zebuu ni ndugu
Chen ambayo aliachiwa kp na Mama yake ndyo itamfanyaa baba yao akina Nora kumjua kp kupitia Chen ya Mama take
Nimewaza mbele...
Na kk mtu karudi kambaka dadake
Kuna lakujifunza hapa wazazi
Yan nacheka na cjamalza
Nilikuwa naisubili toka asubh jamn❤❤❤❤❤❤
Kila siku nawahi hamjawahi nipa like zangu Leo naombeni ajili ya timu nzima ya kp na zebuu ❤❤
Âme naswa jamani 😂❤ nawa penda sana❤
Sheyshey wewe n moto wa kuotea mbali,,, big up girl🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉sending love from kenya and team kp kwa ujumla kazi nzuri mungu awaongezee maarifa zaidi muzidi kutuburudisha
Japo nimecelewa ilasiyosan nipeni lank atakumi kp nazebu nawapend bila kumusahahu nora
Hehe kimeumana kp zebuu wapedwa 😂😂😂😂nilikuwa naisubi kwa ham