kwa kweli mzee wangu nashukuru pia hata kuunga mawazo yangu maana hata alipoitwa kuhojiwa na kamati kuu nilisema ni wakati wa wao kumpongeza na sio kumvunja mori kiukweli kila mwanadamu anakosea ila pale tunapo baini kuwa hilikuwa na nia njema ni kumuelekeza na kumfahamisha mbinu mbadala isiyoweza kuondoa nia na malengo ya utekelezaji. Makonda Nakuombea sana hata kama umepunguziwa eneo la kutoa huduma kwa kuwekwa Mkoa mmjoja tu naamini mama ana maana yake na ndio akaona msaidie Mkoa huo wa kistratejia kwenye kufikia alilojiwekea kwa manufaa ya Watanzania. AHSANTENI SANA BABU ZANGU
Hapo ndipo ccm inapovipiga bao hivi vyama vya 2-2-× 3.. Hazina kubwa ya Wazee.. Mzee Wangu Big up.. Watu dizaini ya Samia,Majaliwa, Bashungwa,Makonga na wenye uwezo mkubwa wa uongoza kama haoo... Tunawaombea Duwa nzito Mungu awalinde sisi Watu tunaojielewa Nchi mzima.
Yaani msipojitathimini haki ya mungu ccm inawafia mikononi kitendo mlichowafanyia vijana na viongozi hatujafurahishwa hofu ya ni i au tunatamani vurugu hii mbaya sana haijakaa vizuri
Mzee ameona kura kwa CCM Arusha zimejaa mgongoni mwa Makonda kwa kazi zake watavaa sare za chama bila bughudha. Kwa kazi za Makonda Arusha akitoa agizo wanafuata wengi na anayebisha atanyoshwa siyo na pilisi bali raia wenzake
Ni wazi PM ni binadamu na sifa mojawapo ya binadamu ni kukosea ni vizuri hanapokosea arudishwe njia kuu na sikuleta fitina.PM piga spana,kanyaga moto mpaka wakuelewe unataka Arusha ya aina gani.Ongela mzee wangu kwa mawazo mazuri
Hao wanafikki wachamanaserikali ndio hao wanaotamani hata chamakiondoke.madarakani kwakukiuka utawala bora iwejemchi nzima mheshimiwahuyo tunaomba hata wangetokea wasaidizi waRais hatasitatu kama makonda nchi aumalalamiko mengi kwaserikali yangepungua sana haonao wanawakilisha sehemu nenelagiza serikalini weawa chunguze kunanini wamebeba nyuma yake.
Mzee umeongea vizur sana point. Kweli kabisa wapo baadhi ya viongozi wana fitina na husda kwa Mh Makonda Safi sana mzee umeongea point Mungu akulinde
Wazee ni hazina tuwatumie vizuri Ili tupate mafanikio endelevu
@@henrychacha5592 Hakika
KWELI mzeee nawapenda sana makonda one love 💕💕💕💕💕💕💕💕❤❤❤
Makonda ,Mungu akulinde ,aendelee kukuhekimisha ,kukuinua ili wakati wa Bwana utakapofika uje ukalie kile kiti
Ameen 🙏🙏
kwa kweli mzee wangu nashukuru pia hata kuunga mawazo yangu maana hata alipoitwa kuhojiwa na kamati kuu nilisema ni wakati wa wao kumpongeza na sio kumvunja mori kiukweli kila mwanadamu anakosea ila pale tunapo baini kuwa hilikuwa na nia njema ni kumuelekeza na kumfahamisha mbinu mbadala isiyoweza kuondoa nia na malengo ya utekelezaji. Makonda Nakuombea sana hata kama umepunguziwa eneo la kutoa huduma kwa kuwekwa Mkoa mmjoja tu naamini mama ana maana yake na ndio akaona msaidie Mkoa huo wa kistratejia kwenye kufikia alilojiwekea kwa manufaa ya Watanzania. AHSANTENI SANA BABU ZANGU
kakaagu makonda hakika ww nichicho la uhongozi ss kama viongozi vijana tunamengi makubwa ya kujifunza kutoka kwako chapa kazi mungu u pamja nawe!🎉
Uhakika maneno mazima sana❤❤❤❤hana baya makonda
Hapo ndipo ccm inapovipiga bao hivi vyama vya 2-2-× 3..
Hazina kubwa ya Wazee..
Mzee Wangu Big up..
Watu dizaini ya Samia,Majaliwa, Bashungwa,Makonga na wenye uwezo mkubwa wa uongoza kama haoo...
Tunawaombea Duwa nzito Mungu awalinde sisi Watu tunaojielewa Nchi mzima.
Mzee Gerald Gwaha,vzr sana
Mzee kanena vema watu wanamuonea wivu sana Makonda!
Asante mzee alindwe
Asante Mzee wetu, Makonda Alindwe.
Safi sana kiongozi Mungu amlinde kijana wetu
Mzee uko sawa kabisa
Mungu anawaona hao maadui wanaomchafua mtumishi wa Mungu Makonda.
Wazee warusha hongereni sana kwakuliona iloo
Mwenyezi Mungu hata mlinda Mh:kw mema anayo ya tenda
Kweli Mzee , makonda oeeee Samia oeeeeee CCM oeee
Makonda oyee uyo mwingine sioni hiyo oyee ni ya nini.
Yaani msipojitathimini haki ya mungu ccm inawafia mikononi kitendo mlichowafanyia vijana na viongozi hatujafurahishwa hofu ya ni i au tunatamani vurugu hii mbaya sana haijakaa vizuri
Mtu mzima dawa wazee hongereen Sana kwa kuona mbali
Mzee umeongea vizuri sana,inatakiwa usalama uimalishwe kwake
Mzee ameona kura kwa CCM Arusha zimejaa mgongoni mwa Makonda kwa kazi zake watavaa sare za chama bila bughudha. Kwa kazi za Makonda Arusha akitoa agizo wanafuata wengi na anayebisha atanyoshwa siyo na pilisi bali raia wenzake
Kwakweli naamini kama kuna aliempenda mwonaji mze magu hakika atakupenda makonda nahuyo ndo atarudisha chadeka ccm nampenda makonda mpaka nakufa mttezi wa wanyonge ingefaa aje daresalam
Huyo Mzee ameongea sana hongera mzee
Safiiiii sana wazee babaa
Yuko wapi saivi makonda kashatolewa tayar hiii ndio Tanzania
Chama hakina uwezo wa kumlinda makonda naomba ujue hilo someni maandiko matakatifu.....wailindao nyumba........waijengao nyumba.......mtajua wenyewe
Ni wazi PM ni binadamu na sifa mojawapo ya binadamu ni kukosea ni vizuri hanapokosea arudishwe njia kuu na sikuleta fitina.PM piga spana,kanyaga moto mpaka wakuelewe unataka Arusha ya aina gani.Ongela mzee wangu kwa mawazo mazuri
Wansfiki wakubwa
Mtazoaje kura zote wakati mmezungukwa na rushwa😢😢😢😢😢
Kama mnaona chama kina figisu mtoke mnasubiri nn au majunngu tu
Makonda makonda makonda❤❤❤
Usikute Kilichomponza ni zle kauli zake ya kua atawataja wanaomchafua Rais
Tuendeleee kusema ccm iyoooo!!! Atakama inatung'ata
Kwakweri baba Makonda alindwe kila Kona wanataka ateteleke ili asifanye kazi
Tutasoma alalbadr kwa wale wote waliohusika kumhujumu makonda
Tangu lini ccm ikapata kura za Halali bila rushwa mmm
Lkn mnatushangaza, ninyi viongozi wa ccm,
Jamii ya wana Arusha ndiyo tunaona kuwa kazi ya kiongozi ni nn,
Hakika mmelala mno,
Makonda apewe ulinzi,,
Mzee yupo vzuri ila siasa za saiv znahitaji vijana ,Mzee wa umri wake anatakiwa awe mshauri tu na apumzike nyumban
Hapo kafanyaje ww ulivyosikia
Hapo kafanyeje??
@robertzamani5612 tuna tatizo pahala
CCM oyeeeeeeeeeeee
MZEE GERALD GWAHA
Makonda kiboko yaani Hana mbambamba safi mkuu
kiboko kwiyo
Wanaosema kafanana namrema wapo
CCM ilikubali Harmonize atumie uchawi kuharibu youtube accounts za Wasanii wa WCB....Aibu Tanzania😂😂😂😂😂😂
Tukipata wazee 10 tu kama hawa Tanzania itatakasika
Ngo zao wafukunyuliwe mbali hawa ngo wasenge sana wanaawaacha mashoga uko wasenge watoto wanalawitiwa hawaongei chochote ...
Shetani kijifanya malaika
Hao wanafikki wachamanaserikali ndio hao wanaotamani hata chamakiondoke.madarakani kwakukiuka utawala bora iwejemchi nzima mheshimiwahuyo tunaomba hata wangetokea wasaidizi waRais hatasitatu kama makonda nchi aumalalamiko mengi kwaserikali yangepungua sana haonao wanawakilisha sehemu nenelagiza serikalini weawa chunguze kunanini wamebeba nyuma yake.
Umenena vyema
Siasa za uwoga hizo mzee RC ni mbabe kama alovokua hayati Magufuli. The man dies in all who keep silent in the face tyranny - Wole Soyinka.
Nunueni drones za kumwagilia dawa.
ua-cam.com/users/shortsFFahCgzDmHA?si=vIjx-M65TPxAOicb
Mambo yamefikashingoni
Huo ni uwongo mtupu,acheni siasa Makonda abaki Mkuu wa mkoa,ajitoe siasa.Wewe mzee huelewi