MAKONDA MATATANI
Вставка
- Опубліковано 13 жов 2024
- DODOMA: TUME ya Haki za Binadamu na Utawala Bora imebaini ukiukwaji wa sheria na taratibu kwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda kuhusu amri aliyoitoa kukamatwa mkazi wa mkoa huo hivi karibuni.
Mwenyekiti wa Tume hiyo, Jaji Mstaafu Mathew Mwaimu ameeleza hayo kwa waandishi wa habari mkoani Dodoma leo wakati akisoma taarifa ya chunguzi mbalimbali zilizofanywa na tume hiyo.
Katika uchunguzi iliyoufanya tume hiyo kuhusu Mkuu huyo wa Mkoa ya tuhuma dhidi yake ya kutoa amri ya kukamatwa na kuwekwa mahabusu mkazi wa Mkoa wa Arusha kinyume na utaratibu wa kisheria mnamo Juni 2024, tume imebaini kuwa amri iliyotolewa na Makonda ya kumkamata na kumuweka ndani mkazi huyo haikuwa halali na haikuzingatia aina ya makosa na utaratibu ulioainishwa kisheria wa utekelezaji wa mamlaka hayo.
Na pia mwananchi huyo hakuwa mhusika wa madai ya msingi ambayo Mkuu wa Mkoa huyo aliyatumia kushughulikia suala lililokuwa mbele yake.
Aidha tume imebaini pia, Mkuu huyo wa Mkoa alivuka mipaka ya majukumu yake kwa kushughulikia na kutoa maamuzi katika suala ambalo ilipaswa kufuata mkondo wa kisheria wa kimahakama kwa kuwa madai hayo yangeshughulikiwa kama shauri la daiwa.
Imeandaliwa na Fadhili Akida
Follow us on:
FACEBOOK;
SpotiLeo: / spotileo-176. .
HabariLeo: / habarileo
DailyNews: / dailynewstz
INSTAGRAM;
HabariLeo: ....
SpotiLeo: ....
TWITTER;
Twitter HabariLeo: Ha...
Upuuzi mtupu huu sisi ndo wananchi tuachieni Makonda wetu!!!
Tanzania Nchi yangu. Makonda hana hatia yoyote. Maadui wa Nchi hii wako wengi
Iweje leo kwa Makonda, wangapi wanawekwa ndani mbona hamjawahi kusema, acheni Makonda afanye kazi yake.
Kwenda zako makonda naomba mmuajeche kabsaaaaa!!
Kariakoo machinga wananyanyaswa mbona hamjitokezi kuwatetea?
Makonda piga kazi kaka....hizo tume zipo kisheria nawe upo kisheria
Watu walishajua waz makonda kuhamishwa dar kupelekwa Arusha ulikuwa mpango wa kumpoteza
Yani mi nashangaa kwani mkuu wa mkoa hana amri ya kuamuru akamatwe mtu kama ana hatia jamaa embu msitusumbulie mkuu wetu acheni afanye kazi
Nchi inamajambazi wengi sana😭
Nimegundua ccm wanalindana sana kosa la makonda liko wapi wangapi wako magereza miaka ila haki za binadamu hawajawaona walkomuona ni makonda
Tume hii nayoo inaonekana imeozaa , mnashindwa kuwawajibsha askari wa maliasili pamoja na askari polisi wanaouaa raiaa kila kukicha afu mnajiita tume ya haki za binadamu... au hiyo tume inafanya kazi Tamisemi tuu? mbona lile tukio lilotokea tanga polisi likiwahusishaa maofisa wa polisi kwa kumuuaa raiaa kutumia tindikali hamkusemaa
Nyieeeee mwogopeni Mungu
Hii nchi bana ukifany vzur tu unaanza kuwekewa mikinzamo duu mungu na akulinde makonda
Muacheni makonda afanye kazi yake
Aliye wa rohoni anajua kinachoendelea. Vita yetu si ya mwili wa damu na nyama, bali ni katika ulimwwngu wa roho. Ukijua hilo utajua la kufanya kwa bidii.. Maombi
Walio kamata wadada wanaojiuza hamuoni! Makonda mwacheni afanye kazi!
Nchiii hii ngumu Yani ndo Yale Yale haki za kimarekani daa kazi iendeleeeee mama Yuko kaziniii
Nimegundua na kujiridhisha kwamba:Viongozi hawana matatizo sana.Nilichogundua,wananchi ndiyo tuna matatizo,tena matatizo makubwa.Kubwa zaidi,ni kwamba hatuna uwelewa wa mambo mengi,ikiwemo haki zao ,haki za wengine.Maswsla ya haki za binadamu ni mazito sana kuliko kumshabikia mtu muhalifu.Tupunguze uchawa kwa viongozi,tunawaharibu.
Yesu asulubiwe baraba aachiwe huru wenye akili wamenielewa mhmm dunian mbona tutaona mengi mungu nisaidie
Watu corupt hawapendi utendaji
Makonda achana nao hao awajui wasemalo
R.i.p magu😢😢😢😢
Hakuna aliekuwa juu sharia
Makonda hajawahi kuwa kiongozi hata siku moja.Sema makonda anabebwa na kitu kinaitwa ngekewa(bahati ya kupendwa)Makonda ni kivuruge kama alivyo Chalamila na Slaa .Huwezi kwenda kuonana na wananchi na dharau eti wewe ni waziri,mkuu wakoa.Weka ndani huyu,bila kumsikiliza,huo ni udhalilishaji,Kama kinachotakiwa ni haki basi sheria zifuatwe,siyo vitsho.Kiongozi hatakiwi kuwa na mihemko na ushamba.
Hivi mmekosa Kazi, kila kukicha Makonda, tuachie, Kipenzi chetu, Mahakama za Arusha zimejawa na Hila
Makonda sio Malaika huenda akakosea Sasa akikosea jambo moja tu mnafanya uchunguzi hii Dunia
Ubey nimubay san nbona akiwa apo aukugea leo hii aonekan unahoa aya
Hawa ndowalewale
Muambieni rais..kwani ye kajileta arusha
Mtu akiwa mchapakazi ana husudiwa.Kuna matatizo kibao ya wananchi wala hamuyashughulikii.
yameaza
Huyu wanamlea kipumbavu sana huyu kwa nn na yeye asimalizwe kama anavyomaliza wenzake
Kwendeni huko mwacheni makonda wetu achape kazi
Mkuu wa mkoa au mkuu wa wilaya atalazimika kuamru mtu kutiwa ndani ikiwa mtu huyo anahatarisha amani maharia husika.Ikiwa usalama wa mtu husika mwenyewe umo katika hatari asipohifadhiwa.Lkn kwa tuhuma za wizi ,udanganyifu, utovu wa nidhamu nk hatua za kawida tu zipo ikiwemo kuonywa,kushitakiwa mahakamani au kama ni mtumishi basi mwajiriwa wake atamwajibisha kwa mujibu ww taratibu za kiajira.Tupunguze mihemko na ushamba wa matumizi ya madaraka kwa nafasi tulizo nazo.Achana na mambo ya kutafuta sifa.Mkuu wa mkoa kutwa nzima ushindwa hata kunywa chai unakalia umbeya
Nyie ni mmeshidwa kufatilua kesi zingine huko
Mjue MUNGU yupo na atawalipa.
Du aya majitu vip mbona mnakua maboya sana aya mpeni mtoto wa nape mkuu wa mkoo
Yaani ya makonda ndo kichwa Cha habari toa upuuzi huo
Haki zakijinga ndio nyingi muacheni makonda afanye kazi
Sisi tunamtaka makonda maneno yenu hatutaki nani atakuwa mwema kwenu mbona mnatuumiza watanzania!!!?
Kwa makonda mtamaliza soli bureee bora mumjadili nape kakosea akatoboa siri kwamba walioko madarakani hawastaili waliiba kura
Mambo mazito yanatokea lakini hawaonekani,mnachuki nahuyu mkuuwamkowa wawatu
Tuma mmeoza hakuna kitu apo
Ndio maana Jpm alikataa huu ujinga wa hizi tume
Achani makonda afany kaz
Huna lolote achana kabisa na makonda
Uyu jamaaa utawala Bora anaujua kweli ?
Tume hizi
CHAPAKAZI DOGO MAK
Pumbavu
Yaani hili zee limevaa na tai na suti kumbe bwege tu hamuoni watu wengine wanavyopata shida mkawasaidia? Mmeliona hilo la kijinga
Hizo ni fitina wewe Sali na utende haki
mbpna mmewakamata öashekh na kuwekwa maanusu öıqka 7/8/9... sasa mpka leo, na hakuna ushahıd wwote !
Au mnaanza kujikimgia mgongo arudi nyumaa!!
Achek faking acting!