LEMA ATOA MANENO YA UCHUNGU NIMESEMA SANA NIMEKIMBIA NCHI SIDAIWI CHOCHOTE
Вставка
- Опубліковано 10 жов 2024
- Endelea kufuatilia taarifa mbalimbali za kina na zenye ukweli na kuaminika
Tufuatilie kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
Facebook: / kusagamedia
Instagram: / kusaganews
UA-cam : www.youtube.co...
Tiktok. www.tiktok.com...
Msema ukweli mpenzi WA Mungu Lema Mungu akubariki na kukulinda
Aibu sana ktk nchi yetu uoga ukizidi ni ujinga ktk taifa
Mungu akubariki San mh lema,
Unasema kweli mkuu kazi yakujituma ni ngum sana.Ila Mungu yuko pamoja na wewe usiogope amini tuu.
Kwa kweli watanzania tunamatatizo ya akili
Labda wewe usijumuishe wote
Focus uliyonena ni ya ukweli
Hata mm nafikili tungepimwa akili nchi nzima
@@asinahussein2176kwani wewe mtanganyika?😂
@@asinahussein2176kwani amesema wote? Kasema watanzania.
Kweliiiii mh lema dah point
Nakubali kiongonzi
Mungu akuzidishie ujasiri na akuepushe na lolote baya mkuu
Tuko pamoja sana broo🎉🎉
Lema hutubia watu ambao hawaja tembelea maeneo mbalimbali dunia...Mimi bara zote na nchi mbalimbali dunia nimesha tembea...USA ombaomba wako wengi kuliko Tanzania... Sicilia Italy kuna machinga kuliko Tanzania...Na hizo ni nchi zenye uchumi mkubwa duniani...
Uko sahihi one day
Ni kazi ngumu na yakukatisha tamaa,ila shida Mungu ameweka mzigo mzito ndani yenu. Wakati wa Mungu utafika tu msikate tamaa tafadhali
Ila lema Mungu akuinue siku Moja pole sana nina hasira sana ila Sina namna
Mm nmekaa bench mungu anisaidie. Watz wanalia kila kona lkn bdo wanapgia kura ccm. Kuna mtu nimempa elf 5 juzi alikuwa na mtoto wa mwaka mmoja alikuwa mgonjwa kaenda kituo cha afya dawa kambiwa kanunue sasa pesa hana kanieleza mm nikampa elf 5. Leo nmeenda kujiandikisha nimemkuta ni wakala wa ccm nmeumia sana
Ungemdai ela ako apo apo kumamake
😢😢😢😢😢 jamaa nikweli
Ungengata lipua lake
@@ZephaniaKambaine hilo ndo natarajia jion atoke huko nmfate anipe pesa yangu japokuwa nilimpa km kusaidia ila leo naifata lzma
Pole kakubeba ujinga
Hakika hauna Denis brother
Deni siyo Denis
Bismillah rrahmaani rrahiim.Bismllaah rrahmaani rrahiim, Bismillah rrahmaani rrahiim! Mwenyezimungu tupe moyo na nguvu kupigania haki za msingi,tuondoshee wadhalim ,watekaji na kila balaa la wasiojulikana.Aaaamina.
Bro Lema tangu kitambo nimekuwa nikikusikiliza umekuwa ukijenga hoja na ukitumia busara sana ktk speech zako. These days baada ya issue ya maandamano umekuwa ukiwalaumu wananchi na kuwatukana softly. Kaka tambua watanzania hawajaandaliwa ktk misukosuko ya kisiasa. naamini unajua kuwa ktk siasa hawakosi mamluki. Siyo kila ahudhuriaye ktk speech za kisiasa ni mfuasi na kwamba yuko tayari likitokea la kutokea mfano hata hapo likitokea tim tim mfano mpira au tairi la gari au puto kupasuka, usishangae wanaokusikiliza usimuone hata mmoja. Jengeni hamasa na msichoke na kukata tamaa kwa kutoitika maelekezo. Leo waoga na unaowashutumu na kuwaona hawana maana kwa kuwa kimya ndiyo mnaowahitaji wakupeni kura kesho. Wapo manabii walikataliwa neno la mungu sembuse siasa. Tunahitajiana. Kaka unaonekana umechoka siasa. Tafakari Jitathmini. Mpe hadhi raisi unapolitaja jina lake hata wakubwa zako wanamuita kwa prefix mheshimiwa Raisi.... Siasa zitaendelea kuwepo sawa na wapanda miti ya matunda wengine hawabahatiki kuyala wanaokuja kula ni wajukuu au vitukuu.
Ni kweli kabisa
Maneno ya lema ya umiza sana ni maneno mazito sana
Ngumu kumeza.
sema ukweli hakuna mwanasiasa anaepiginia watu unajipaginia ww na famili yako
Huyu pa1 na mimi ni Rasilimali ya Taifa.
Hii ndiyo mchi pekee polisi wanaweza kumkamata mtu kwa kutabiri kwamba huyu mtu atafanya kosa kesho. Walikamatwa watu kwa sababu watafanya vurugu kwenye maandamano..
Lema nakuelewa mno
Mungu alipiganie taifa
Mungu amesha shoka jipiganie ndiposa naye atawesa saidia
Lema siku inakuja,
🤣🤣🤣🤣nyie ni wana Siasa Lema.ndio maana WATU wa maana mmewapeleka Ulaya,MKE wako, watoto wako N.K una Cha kupoteza,🤣🤣🤣🤣
Kweli we unafilwa
mm kuipigia ccm kura yang bor nife
Hawa maccm wamefanya nchi ni mali ya familia yao.
Jamaa wanapiga makofi maadaye wanachagua ccm
😢😢😢😢😢
Unafiki ni Mwingi sana nchi hii
Kwani wewe ulitakaje sisi siyo Wakenya kila siku fujo tulipata Uhuru kwenye Amani na tunaomba iendelee nyie mnatumiwa nchi isiwe na Amani
@@margarethpolepole7438 umejuaje mimi ni mkenya?
Hakuna anaekubali kufa pelekeni watoto wenu wakaandamane maskini wakiandamana wakavunjika miguu mnawasaidia nini kwa matibabu acha wajitafutie ridhiki zao
Lema hiyo imetoka ikirudi pancha Ccm huiwezi
Ndio nyie ambae hamjitambui
Mzee Lema polen sana najua kuwa unaumia sana ila hiyo ndio nchi yetu sasa twende wapi maana ccm imegawa nchi kuwa makundu mawili wanaolindwa na kutunzwa na ambao hawana ulinzi wanaolindwa wajitaba kupita kias na ambao hawana haki.
😢😢daah inasikitisha
👏
Ninyi niwatumishi wa mung tupo pamoja tunaomba juu yenu msikate tamaawanaharakatitupo wote jaman
Kwani wewe hapo unapiga kelele unataka nini? Si uache sasa upumzike mdogo wangu! Uongozi mtamu!😂😂😂
Acha ujinga hii ni nchi guru
@@dionismutayoba3542 Nchi GURU tena! Ama kweli wewe una akili nyingiii!
Lema hata huku machawa wapo wataongea utumbo
Ccm walishafanya Yao kitambo , watu wa hovyo kabisa ,nadhani dawa Yao Bado haijapatikana
Hawajielewi Tatizo shule Tz tumelogw wp, elimu n tatizo, Tanganyika,
😢😢😢
Wewe ndiyo ujitambuwiiiii ,
Kweli mtu ana kipimo anachokijua juu ya uzalendo. Siwez kukulaumu unaembeza lema. Uko upande salama, huwezi kujutia. Ila ubaya unalaana mbaya, kama hutalia wew watalia wanao
Hakuna mtu mpuuzi kama lema yeye alikua mbunge na walishika alimashauli alifanyanini zaidi ya kujiongezea posh tuu
Hhhhhhhhh maboya hawa
Mafisiemu. Mnatusumbua. Mnaumwa. Mavi. Mkanye mtuache bana
Amesema""Hakuna kazi ngumu kama kupigania "haki" ya watu ambao hawajitambui"" je ni kweli au sio kweli?
Ni kweli kabisa, nikaz ngumu kumpigania asiyejitambua, licha ya kwamba asiyejitambua ukimwambia Hujitambui, utasema natukanwa, Wala hawezi kukubaliana
Ila wewe utaishi milele! Halafu huyu hata la kusema hana!
Kibaraka 😂😂😂haya ukishaharibu hata haka ka amani tulikonako kimbia nenda kwa mabwana zako ulaya wakupididi sisi tutafia hapa hapa na Tanzania yetu,ila mtajibu kwa mungu mwenyez
Mama yenu mbona anapokea misaada kutoka kwa mabeberu ambao baba zako waarabu
@idiphoncekiimbi2021 hakuna aliyekataa ila lisu hana akili zaid kusaliti taifa Lake kwa mabwanyenye,ngoja avuruge alaf wakishamaliza kumtumia utaon watakavombokoa makalio,lisu ni kama mobutu seseko,tu
Mijitu ambavyo hamjitambui Iko mingi
Hata mimi nimesema wakiiba mungu atafanya kitu atazima soketi kabisa kweli mtaona
Mama wa mtoto c wewe
Wwe ndio hujitambui
Lisu unamwiita mh ila Raisi wa nchi unamwiita Samia! Unawaita maboya! Hizo kauli zenu zitawagharimu! Kiongozi gani una kauli mbaya na unategemea watu wakuchague! Rekebisheni kauli za kibabe ni machukizo hata mbele za Mungu!😢😢
Bumbuwazi😂
Pimbi wewe Dora
Tahira nyumbu wewe Dora au nikuite doa
Mubwa wewe tena kenge mukubwa jinga wewe @@MiriamAbdallah
Dora nenda ukapime akili juu akili Yako Iko na maji
Haujitambui wewe na familia yako
Kweli kabisa atuji tambui bilakatiba mpya siendy kujitambulisha
Lema kwisha kabisha watu wengi wako wapi????? Lema mambo yamegeuka sio miaka ilio pita.....Kwa sasa wana nchi wamejielewa zaidi...
Ndg MUNGU akupe heri wewe ndy unaifanya kazi MUNGU watu wengi wanaganga njaa
Acha matusi wewe jamaa nani hajitambui ni njaa zako ndio zinakufanya utukane iache hiyo kazi uje tupige boda boda
Mubwa wewe tena kenge mukubwa
Hamasisha.watu.wajiandikishe.acha.blabla.mukoje.maneno.yeleyele.
Yeye anafikiri kufokea watu kwa lugha za kihuni ndio watakupigia kura! Hamasisha watu kwa sera nzuri pia wajiandikishe kupiga kura! Acha maneno ya shombo hao watu wanajitambua!!😮😮
Chi iliisha piganiwa na kukombolewa acha uhuni
We ndo umekombolewa
Msema ukweli mpenzi WA Mungu Lema Mungu akubariki na kukulinda