'Niliteuliwa nikiwa mwaka wa pili chuoni sitasahau maishani'
Вставка
- Опубліковано 7 вер 2024
- Katika mfululizo mpya wa makala kuhusu vijana walio chini ya miaka 30 tunaangazia vijana waliofanya vizuri na wanaoendelea kufanya vizuri katika teknolojia, siasa na kijamii kwa nchi za Afrika Mashariki na leo tunae Bi Zainab Abdallah ambaye ni Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo.
Akiwa na umri wa miaka 23 ndipo aliaminiwa kufanya kazi kubwa ya kumuwakilisha rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kama Mkuu wa Wilaya.
Licha ya hilo hakusita kukumbatia kipaji alicho nacho cha utunzi na ughani wa mashairi ambacho kimempa umaarufu mkubwa hasa siku za hivi karibuni.
#bbcswahili #tanzania #wanwake #talanta #uongozi
She deserve more than mkuu wa Wilaya, she is asset for Tanzania if protected well and good wisdom.
So Proud of her.....she performed a very bold Poem during our Jangwani Girls Sec School - 2008 Form Four Graduation day...she is a STAR...
Safi sana, huyu mama ni mwanamke jasiri na mwenye talanta ya uongozi. Mungu akulinde binti jasiri
Hongera sana Mheshimiwa nakupenda sana kwa ajili ya Allah. Nakuombe sana uje uwe hadi mkuu wa mkoa nakupenda mnooo
Wallah huyu ni super mama anazote sifa siijui roho yake lkn namuona kiongozi mzuri sana dada huyu.
Hongera sana Zainab umetia moyo vijana wengi big up. "NEVER GIVE UP"
DC zainab you are a talented... Keep it up
Zainab you bless me a lot and I learn more from you. Let dayz go on
Mungu akupe uhai Soma sana duaa umenirudsha kwa marehem Amina Chifupa
Hongera sana young lady you are an example of other girls no matter what happened keep on struggling there's a lot of great chance for you. Don't waste your time with narrow minded people, and congratulations also for your brave attitude to welcome co-wife in your life. Mungu akubariki.
Mashallah, hongera sana Bi zainabu Abdallah
MashaAllah, MashaAllah,, ma role model,,one day..I will meet with you inshaAllah,,nijifunze mengi kutoka kwako..hakika nakupenda sanaa kwa ajili ya Allah
Kwa kweli nikupe Hongera sana. Mh. Rais wetu akuone kwa hizo talents ulizonazo it's a marvellous nakuombea Mh. Rais akupe cheo zaidi.
Beauty with brain 👏👏👏👏
🙏 Bismillah Mashallwah 🙏 Nimejifunza Kitu Kutoka Kwako D.C Leoo . Uthubutu Ndio Mafanikio Yako Na Ndo Kuweza Kwako ❣️ Congratulations 👏👏
This speech is very rich . im very inspired by you Zainab.. Congratulations
Hongera sana sana kwahatua uliyofikia. Hakika umepitia changamoto tena kali. Lkn mungu amekupoza. Wanawake tunapitia changamoto nyingi sana zinazopelekea kushindwa kufikia malengo na kukata tamaa kabisa. Ni kweli kuwa watu humdhania mtu kwa mawazo potofu na kumhukumu wawezavyo bila kujua anapitia changamoto zipi. Naimani wengi waliosikiliza clip hii wamekuelewa na watabadili mitazamo yao juu yako. Nakuomba upambane zaidi utafika mbali. Usisahau kutushika mkono sisi tuliokata tamaa, huenda tukanyanyuka tena. Asante.
U r genius n blessed Zainab...big up
Kweli naamini mlango mmoja ukifungwa mwingine utafunguka, shukuru mungu kwa kila kitu,allahamdulillah kila kitu.
Kuna Cha kujifunza hapa kikubwa Sana. Umegusa baadhi ya maisha yangu kiuhalisia. Ipo siku nitashuhudia na Mimi. Kila lakheri katika majukumu yako ya kazi mpambanaji mwenzangu.
Hongera sana sister Zainab for your inspiration story. Mungu akubariki wakati wote.
Yes Dc big up for your struggle, as you said in every commitment we have to put God first.
Maa Shaa ALLAH, Tabaraka ALLAH. Wanawake Tunaweza
Kipenz Zainabu Abdallah... Allah akuzidishie kila la kheri...zidi kumtegemea Mungu... Penda sana wewe...
2015 ana MIAKA 22 😳😳😳kwahiyo ad mimi nimkubwa kwake au naota mbona anaonekana mmama
Ma sha Allah
Mungu akubariki na familia yako
Nakupenda sana muheshimiwa muda mwingi nakufuatilia ,una zawadi za kiMungu nyingi ,weww ni dhahabu ,
Kumbe mkuu wetu yupo vizuri sanaaaa
Mwenyenzi Mungu Mtakatifu akubariki sana mdogo wangu
Nikuambie kitu hiki inawezekana sitakuwepo Duniani kipindi hiko ila kwa mapenzi ya Mwenyenzi Mungu Mtakatifu nakutabiria hili na Mwenyenzi Mungu Mtakatifu ninamuomba uje kuwa Waziri Mkuu wa kwanza Mwanamke
Chukua hili
Ninachokupenda hauna kinyongo kbsa kbsa na mimi nilivyo hivyo hivyo
Pole sana Mpendwa wangu mzuri mdogo wangu
Dada Nimekupenda unavyojieleza. Mungu akubariki. Utafika mbali Sana!
Nafaham kidogoo DC wetu akiwa pale chuo cha kodi, kwa hiyo huyo pia ni mtaalam wa Mambo ya kodi.. Alikuwa very charming na mtu wa watu kwa kweli.. Pia alikuwa mwenye uthubutu.. Kwa hiyo she is very talented in different carriers.. Mungu akupe afya njema na baraka tele ktk majukumu yako ya kumsaidia Mh. Rais mama Samia Suluhu Hassan.
Nimekupenda ,uko vizuri sana mdogo wangu.Mungu azidi kukuinua
Mungu akubariki sana
👏👏🇰🇪 nakuaminiya dada .kuna watu hawapendelei mazuri
Yes you are right madame, it's like a lecture very good story. I have learn a lot through this story.
Wow brilliant lady!
Your exclusive interview D.c zainab makes me crying
Hongera Mungu azidi kukusimamia bi zainab
Hongera Sana Dada piga mwingi upo vizuri mkuu wa wilaya
Mungu akubariki mamy
Hongera sana Bi. Zainabu. Mollah anaweza.
Good speech keep it up HON.Zainab
Nimeipenda sana mlango mmoja ukifungwa mwingine unafunguliwa na momi naamini kila jambo linalo tokea mungu ana makusudi yake
Hongera sana🙏🙏
Hongera sana Mhe na asante kwa maneno ya hekima kiongozi wetu
Kuna kitu nimejifunza...njia ya Mungu sio sawa na wanadamu
🥰🥰you are blessed 🙏
Zainab my role model jmny remember you from jangwani high school
U r gud mamaa Zaynab,Allah bless ya,very inspired to others
Duhh hayo mashahiri ni superb👈🔥🔥💯
Nimekupenda bureeeeeee Mh.DC.....MUNGU AZIDI KUKUINUA
Nimekupenda bure wow
Cogratulation dear. You in courage others.
Uko vizuri Mamy
Mungu ni mwema kwako
I proud of you mama
Mungu akuhifadhi akubarikieni zaidi Ameen Yaarabi
Mungu aendelee kukuinua
Respect to you.
Masha Allah
You are a gem! Keep it up and God bless you.
Tuna vipaji vimejificha vinahitaji kuinuliwa na exposed and used beneficially for the country, I'm looking to seeing higher up, may be I will no longer be there, rest be assured that I support and acknowledge you and pray for you dear 🙏 ❤
Whaooooo....😍🙌 thank you.
Uthubutu..
Hongera mama, kazi iendelee .
I love kwaajili ya ujasiri na conference yako dada Allah akuweke
Did you mean confidence?
How do you call a self success to be a politician? No! to be a politician means a success to all people and not to an individual. If you call a success to be a politician that is a selfish mentality.
Inspiringggggg
Mama fanya mazoezi upunguza mwili huo na manyama uzembe ni hatari kwa maisha yako, huo unene kupita kiasi ni mwili wa kisukari huo na high blood pressure, lipia gym na punguza kula ovyo ovyo
Jamn mpk namuonea huruma yuko ovyo ovyo maskin jitahid mdogowangu uwe smart jmn hee uko vizur lkn hujipendi kabisa
Very sure mdada, you deserving to be on that post!
Jamani kwa hiyo Sasa hivi ana 29 yrs
Waoo umeniinspire sana
Zainabu safi sana
God give you more chance in shaa Allah.
My question to sister.
Why you shatter doors for others even to talk to???
How she shut doors?
Waoh
We dada unani inspire sana.
Hongera sana
Hongera dana mdada kwa ujasiri wako
Hongera madame
Ameeeeen nafata mimi hapa
Nimekupenda bureeeee
I love you ❤️❤️❤️
Amina
Maashaallaah Allhamdullaah
True
My umesoma dini basi jitahidi na sitara kwan ukiwa kwenye stara unapendeza sana
Nakukubali sana
Wow wow duug
Nzuri
Mashallah
Hongera Sana Mh
Kumbe haituhusu Sana wanaume hii eti.... It's all about WOMEN
Kwani Kujifunza kitu ni kwa Wanawake Tu??
Kwenye maisha bwana, Ndani ya miaka mitatu watoto 3!!! Kweli hi Ni hatari
Mashallah, strong women
Safi, nami miaka 3 nilikuwa na watoto3
Eti unakuta mtu anamiaka 40 bado anamlango wa kuzaaaa!!!!!
Umetuinspire that's gud dada
Ili nafasi Yako iwe ni Bora zaidi basi kuwa na stara ya dini Yako Madam Zainab
Nikweli kbs mlango mmoja ukijifunga mwngn unafunguliwa.
You're going to be a president of TZ,uko vzr
Safi
ok
Mama samia
Asee maneno kuntu Dada., full inspirational
Wewe haujawai kuwa wa kwanza kumpongeza mume kwa kuoa mke mwingine Mimi nilipewa hongera kwa mke wangu kabla ya wewe hujajua kupenda
Wewe hukuwa Kiongozi wa nchi hivyo hatukufahamu kama ulipewa Hongera