EXCLUSIVE: MAISHA YA ZITTO KABWE/ELIMU/NDOA/VITA ya SIASA/KUFUNGWA/KUMNG'OA WAZIRI/UGOMVI na MAKONDA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 7 вер 2024

КОМЕНТАРІ • 58

  • @WALIDIWALIDI-cb7vz
    @WALIDIWALIDI-cb7vz 28 днів тому +2

    Hapo kwenye Ubunge alianzia Kigoma Vijini na CHADEMA na kisha ACT Kigoma Mjini

  • @neemamasudi7988
    @neemamasudi7988 День тому +1

    Zito Kabwe sio kitanzania Kwabwe ni Kibembe kiluga cha Congo, tafuteni wa bembe Kabwe ni ruga gani?
    Kwao na Zito ni Congo

  • @badymedia9648
    @badymedia9648 4 місяці тому +2

    Someni kiswahili kabla yabkutangaza kwenye hadhira

  • @maryamadam5622
    @maryamadam5622 4 місяці тому +2

    Waandishi wa habari, mjitahidi kutumia Kiswahili safi. Standard Swahili na kutamka vizuri.. Na pia kutafuta kujiongeza ki elmu. Katika general knowldege ya duniya ki jumla.

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  4 місяці тому +3

      Uko sahihi @maryamadam5622

  • @Jaferudo
    @Jaferudo 23 дні тому +1

    Vp

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 4 місяці тому +2

    In politics is the confidence lmotion

  • @PetrolBhulugu
    @PetrolBhulugu Місяць тому +1

    Kumbe zito ana PhD dhuu

  • @user-pf2cf4hp6w
    @user-pf2cf4hp6w 3 місяці тому +2

    Apo umekosea alianza ubunge kigoma kaskazini then akaja kigoma mjini apo umetupiga

  • @nikkimbishiunju2402
    @nikkimbishiunju2402 4 місяці тому +1

    Jifunze kutamka R na L sehemu sahihi,makara au MAKALA,amezariwa au amezaliwa?

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  4 місяці тому +1

      Ahsante kk Naahidi kubadirika makosa hayatojirudia tena🤝

  • @Silay1034
    @Silay1034 Місяць тому +1

    Huyu mwamba ni noma aliifungua kigoma na Tanzania kwa ujumla kwa hoja murua na data zilizokwenda shule

  • @KhalidAlly-je8ky
    @KhalidAlly-je8ky 2 місяці тому +1

    Halima bulembo mbona huja muweka

  • @r14kgroup68
    @r14kgroup68 4 місяці тому

    Reo mmm leo acha.kuharibu lugha

  • @Mwami-r9s
    @Mwami-r9s Місяць тому +1

    Zipo alianza kuwa mbuge kigoma kazikazin na sio kigoma mjini

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  Місяць тому +1

      Shukrani kwa Maoni yako

  • @dijohbanks4312
    @dijohbanks4312 4 місяці тому +1

    muwe mnafanya research za kutosha kabla ya kutangaza

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  4 місяці тому +1

      Nini kilichokosekana @dijohbanks4312 tukuweke Sawa kwenye hilo

  • @user-pl1mp5sl4k
    @user-pl1mp5sl4k 4 місяці тому +1

    Safi thanaaa

  • @mussaharun7257
    @mussaharun7257 Місяць тому +1

    Waislam huwasemi kwa dini Yao kenge kabisa

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1b 2 місяці тому +1

    Nyota yake imezima ni uchawa tu tulikua naimani na vyama vya upinzani hajafukuzwa ni uchawa

  • @ChristineElias-bn4dw
    @ChristineElias-bn4dw 2 місяці тому +1

    Pumbavu mwandishi kasome kwanza ovyoo

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  2 місяці тому

      Ok. Ahsante Kwa maoni yako

  • @elisantenyange8751
    @elisantenyange8751 4 місяці тому +1

    Hakuanzia Kigoma mjini, alianzia Kigoma kaskazini

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  4 місяці тому +1

      Thenks ila ninakuomba uendelee kumfuatillia zaidi Zitto kabwe

    • @dr.lincolng7835
      @dr.lincolng7835 3 місяці тому

      Uyu mtangazaji wa mchongo😂

  • @ibrahimally8073
    @ibrahimally8073 4 місяці тому +1

    Eti alibatizwa?? mtangazaji waislamu huwa hatubatizwi..

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  4 місяці тому +1

      Ohh thanks mr@ibrahimally8073 Tumekusoma

    • @ibrahimally8073
      @ibrahimally8073 4 місяці тому

      @@Santzmedia kheir

  • @SoudShuraim
    @SoudShuraim 2 місяці тому

    Twende kazi matamshi ni lazima tutafautiane..ndo maumbile kwsbb ndimi zetu zimeumbwa kutafautiana..suratul room quran imeweka wazi juu ya hilo

  • @Silay1034
    @Silay1034 Місяць тому +1

    Huyu anatakiwa awe hata waziri kama si kuwa rais kabisa mzalendo muwazi msomi mweny democrasia ya kweli mwamba kwelikwei huyu jamaa

  • @LovelyBrain-wz7si
    @LovelyBrain-wz7si Місяць тому +1

    PhD ipi mbona hujaielezea vizuri

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 4 місяці тому

    Zitto kabwe huy jamaa anafaa awe Rais kabisa

  • @kichebacossam8524
    @kichebacossam8524 4 місяці тому +1

    Zitto kabwe

  • @GilbertjaphetKengwa
    @GilbertjaphetKengwa Місяць тому +1

    Uwe unafanya research ya kutoshaa kabla ya makala Yako 2005 alikuwa mbunge wa kigoma kasikazin!! Shame to you

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  Місяць тому +1

      Shukrani kwa Maoni yako mkuu

  • @nikkimbishiunju2402
    @nikkimbishiunju2402 4 місяці тому

    Program sio PLOGLAM

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  4 місяці тому

      Thenks my brother 🙏🙏

  • @hassanmfaume4522
    @hassanmfaume4522 4 місяці тому +1

    Waislamu hawabatizwi😅😅😅

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  4 місяці тому +1

      😂😂😂😂 kubatizwa uliyomaanishwa Hapo ni "KUPEWA au KUSIMIKWA"

    • @eastafricaqualitychickenfa9916
      @eastafricaqualitychickenfa9916 4 місяці тому

      Waisillam piya hawasinikwi mwandishi soma Nini maana ya neno

  • @hassanmfaume4522
    @hassanmfaume4522 2 місяці тому +1

    Waislamu hawabatizwi acha ujinga wewe😅😅😅

  • @user-cp1pu4ev8h
    @user-cp1pu4ev8h 4 місяці тому

    Mnafiki huyo angekuwa malaya

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  4 місяці тому

      😂😂😂 tumefika huko jamani!!?

  • @rogerioathumani9084
    @rogerioathumani9084 4 місяці тому +1

    Kileno😂ni zito

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  4 місяці тому +1

      Yess ilo jina ni lakireno ila Sisi tunalitamka kwakiswahili🤓