Розмір відео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показувати елементи керування програвачем
Автоматичне відтворення
Автоповтор
Hapo kwenye Ubunge alianzia Kigoma Vijini na CHADEMA na kisha ACT Kigoma Mjini
Zito Kabwe sio kitanzania Kwabwe ni Kibembe kiluga cha Congo, tafuteni wa bembe Kabwe ni ruga gani?Kwao na Zito ni Congo
Someni kiswahili kabla yabkutangaza kwenye hadhira
Waandishi wa habari, mjitahidi kutumia Kiswahili safi. Standard Swahili na kutamka vizuri.. Na pia kutafuta kujiongeza ki elmu. Katika general knowldege ya duniya ki jumla.
Uko sahihi @maryamadam5622
Vp
In politics is the confidence lmotion
🤝🤝
Kumbe zito ana PhD dhuu
Apo umekosea alianza ubunge kigoma kaskazini then akaja kigoma mjini apo umetupiga
😥
Amesahau jamn
Jifunze kutamka R na L sehemu sahihi,makara au MAKALA,amezariwa au amezaliwa?
Ahsante kk Naahidi kubadirika makosa hayatojirudia tena🤝
Huyu mwamba ni noma aliifungua kigoma na Tanzania kwa ujumla kwa hoja murua na data zilizokwenda shule
👊
Halima bulembo mbona huja muweka
Reo mmm leo acha.kuharibu lugha
Zipo alianza kuwa mbuge kigoma kazikazin na sio kigoma mjini
Shukrani kwa Maoni yako
muwe mnafanya research za kutosha kabla ya kutangaza
Nini kilichokosekana @dijohbanks4312 tukuweke Sawa kwenye hilo
Safi thanaaa
Thenks 🤝
Waislam huwasemi kwa dini Yao kenge kabisa
Nyota yake imezima ni uchawa tu tulikua naimani na vyama vya upinzani hajafukuzwa ni uchawa
Pumbavu mwandishi kasome kwanza ovyoo
Ok. Ahsante Kwa maoni yako
Hakuanzia Kigoma mjini, alianzia Kigoma kaskazini
Thenks ila ninakuomba uendelee kumfuatillia zaidi Zitto kabwe
Uyu mtangazaji wa mchongo😂
Eti alibatizwa?? mtangazaji waislamu huwa hatubatizwi..
Ohh thanks mr@ibrahimally8073 Tumekusoma
@@Santzmedia kheir
Twende kazi matamshi ni lazima tutafautiane..ndo maumbile kwsbb ndimi zetu zimeumbwa kutafautiana..suratul room quran imeweka wazi juu ya hilo
Huyu anatakiwa awe hata waziri kama si kuwa rais kabisa mzalendo muwazi msomi mweny democrasia ya kweli mwamba kwelikwei huyu jamaa
Sahihi 💪
Mmh hafai hata kidogo
PhD ipi mbona hujaielezea vizuri
Zitto kabwe huy jamaa anafaa awe Rais kabisa
Rais wa Nchi gani??😀
@@Santzmedia Tanzania
@@aminatanzanya7475umemjibu vyema😅😅😅
Zitto kabwe
Mwanasiasa mashuhuri Sana Huyu🫡
Uwe unafanya research ya kutoshaa kabla ya makala Yako 2005 alikuwa mbunge wa kigoma kasikazin!! Shame to you
Shukrani kwa Maoni yako mkuu
Program sio PLOGLAM
Thenks my brother 🙏🙏
Waislamu hawabatizwi😅😅😅
😂😂😂😂 kubatizwa uliyomaanishwa Hapo ni "KUPEWA au KUSIMIKWA"
Waisillam piya hawasinikwi mwandishi soma Nini maana ya neno
Waislamu hawabatizwi acha ujinga wewe😅😅😅
Mnafiki huyo angekuwa malaya
😂😂😂 tumefika huko jamani!!?
Kileno😂ni zito
Yess ilo jina ni lakireno ila Sisi tunalitamka kwakiswahili🤓
Hapo kwenye Ubunge alianzia Kigoma Vijini na CHADEMA na kisha ACT Kigoma Mjini
Zito Kabwe sio kitanzania Kwabwe ni Kibembe kiluga cha Congo, tafuteni wa bembe Kabwe ni ruga gani?
Kwao na Zito ni Congo
Someni kiswahili kabla yabkutangaza kwenye hadhira
Waandishi wa habari, mjitahidi kutumia Kiswahili safi. Standard Swahili na kutamka vizuri.. Na pia kutafuta kujiongeza ki elmu. Katika general knowldege ya duniya ki jumla.
Uko sahihi @maryamadam5622
Vp
In politics is the confidence lmotion
🤝🤝
Kumbe zito ana PhD dhuu
Apo umekosea alianza ubunge kigoma kaskazini then akaja kigoma mjini apo umetupiga
😥
Amesahau jamn
Jifunze kutamka R na L sehemu sahihi,makara au MAKALA,amezariwa au amezaliwa?
Ahsante kk Naahidi kubadirika makosa hayatojirudia tena🤝
Huyu mwamba ni noma aliifungua kigoma na Tanzania kwa ujumla kwa hoja murua na data zilizokwenda shule
👊
Halima bulembo mbona huja muweka
Reo mmm leo acha.kuharibu lugha
Zipo alianza kuwa mbuge kigoma kazikazin na sio kigoma mjini
Shukrani kwa Maoni yako
muwe mnafanya research za kutosha kabla ya kutangaza
Nini kilichokosekana @dijohbanks4312 tukuweke Sawa kwenye hilo
Safi thanaaa
Thenks 🤝
Waislam huwasemi kwa dini Yao kenge kabisa
Nyota yake imezima ni uchawa tu tulikua naimani na vyama vya upinzani hajafukuzwa ni uchawa
Pumbavu mwandishi kasome kwanza ovyoo
Ok. Ahsante Kwa maoni yako
Hakuanzia Kigoma mjini, alianzia Kigoma kaskazini
Thenks ila ninakuomba uendelee kumfuatillia zaidi Zitto kabwe
Uyu mtangazaji wa mchongo😂
Eti alibatizwa?? mtangazaji waislamu huwa hatubatizwi..
Ohh thanks mr@ibrahimally8073 Tumekusoma
@@Santzmedia kheir
Twende kazi matamshi ni lazima tutafautiane..ndo maumbile kwsbb ndimi zetu zimeumbwa kutafautiana..suratul room quran imeweka wazi juu ya hilo
Huyu anatakiwa awe hata waziri kama si kuwa rais kabisa mzalendo muwazi msomi mweny democrasia ya kweli mwamba kwelikwei huyu jamaa
Sahihi 💪
Mmh hafai hata kidogo
PhD ipi mbona hujaielezea vizuri
Zitto kabwe huy jamaa anafaa awe Rais kabisa
Rais wa Nchi gani??😀
@@Santzmedia Tanzania
@@aminatanzanya7475umemjibu vyema😅😅😅
Zitto kabwe
Mwanasiasa mashuhuri Sana Huyu🫡
Uwe unafanya research ya kutoshaa kabla ya makala Yako 2005 alikuwa mbunge wa kigoma kasikazin!! Shame to you
Shukrani kwa Maoni yako mkuu
Program sio PLOGLAM
Thenks my brother 🙏🙏
Waislamu hawabatizwi😅😅😅
😂😂😂😂 kubatizwa uliyomaanishwa Hapo ni "KUPEWA au KUSIMIKWA"
Waisillam piya hawasinikwi mwandishi soma Nini maana ya neno
Waislamu hawabatizwi acha ujinga wewe😅😅😅
Mnafiki huyo angekuwa malaya
😂😂😂 tumefika huko jamani!!?
Kileno😂ni zito
Yess ilo jina ni lakireno ila Sisi tunalitamka kwakiswahili🤓