MAPOKEZI AIRPORT: Davido kuhusu collabo yake na Alikiba, ku-perform ARENA NEXTDOOR DSM

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 14 чер 2018
  • Mwimbaji staa wa Nigeria Davido tayari amewasili DSM kwaajili ya ku-perform June 16, 2016 kwenye ukumbi mpya wa kisasa NEXT DOOR ARENA.
    Miongoni mwa maswali aliyokutaka nayo Airport ni kuhusu ile collabo yake na Staa Alikiba.
  • Розваги

КОМЕНТАРІ • 192

  • @sish7012
    @sish7012 6 років тому +8

    Ali kiba Ww unatisha pamoja wanakuchukia wengi ilamm sishangai sana wamechukiwa mitume kipindi wanatangaza dini sembuse,ww mwanadamu mungu ajakupa kipawa chochote kikubwa songa mbele mungu atakuongoza kwakila jambo ujawai kumkosea mtu sasa kwann mungu akufungie ridhiki

  • @wilonjahatua2067
    @wilonjahatua2067 6 років тому +46

    Kama nawewe sheta kakuboa kuwa mdananda yaan bodguard w davido gonga like yako ili aache huo upuuzi

  • @shebbytz7111
    @shebbytz7111 6 років тому +19

    Shetta,,, kakonyeza then kashindwa kubonga,,,, Kama umeona,, like twende sawa.

  • @shabanimagogo502
    @shabanimagogo502 6 років тому +20

    Alli kiba ninavyomjua mimi apo Iyo ngoma inaweza kutoka Miaka kumi ijayo 😁😁😁😁😁😁

    • @newhope5145
      @newhope5145 6 років тому

      Shabani Magogo kwnn

    • @shabanimagogo502
      @shabanimagogo502 6 років тому

      +New Hope ndio style yake ngoma anazo nyingi Sana ila anatoa wimbo mmoja kwa mwaka Mimi napenda kazi zake ila style yake siipendi

    • @newhope5145
      @newhope5145 6 років тому

      Shabani Magogo
      nakuuunga Ila juz kat nilimuuliza Akanambia Awez toa ngoma wakati nyingine bado inafany vzr

    • @godlovegeorge2334
      @godlovegeorge2334 6 років тому

      😂

  • @ellymmbaga7691
    @ellymmbaga7691 6 років тому +2

    i like binna kisembo , she is an amazing presenter , her magical voice is killing us.

  • @suleimankiumwa5328
    @suleimankiumwa5328 6 років тому

    Ilove you davido 😘😘najuwa mmtauwa kinoma mkifanya ngoma na king kibaa

  • @fncmedia11
    @fncmedia11 6 років тому +14

    dear Millard tunaomba matangazo utuwekee mwishoni 🙏🙏 i hope umesikia kilio kwa niaba "

    • @kihanda2554
      @kihanda2554 6 років тому

      Estör Barlow ili mkimaliza habari zenu msilitazame😂😂😂
      Mtanyooka tu hapa tangazo kwanza ndiyo mzigo na tunafanya miundombinu ya kuzuia kuforwad.

    • @geofreysolomon8532
      @geofreysolomon8532 6 років тому +1

      Wabongo wanataka tangazo mwishonij😂😂😂😂dadeki

    • @kihanda2554
      @kihanda2554 6 років тому

      Geofrey Solomon 😂😂😂😂

  • @ismailseiph5092
    @ismailseiph5092 6 років тому +1

    hivi sheta na yeye alipanda gari pamoja na davido 😎

  • @richardphilipo312
    @richardphilipo312 6 років тому

    #achana na clouds .njoo uku tumewasha.......*yajayo yanafurahisha na kus night Dar lv

  • @ftmat2805
    @ftmat2805 6 років тому

    All the best my lovely ones.

  • @moshimongelwa7795
    @moshimongelwa7795 6 років тому

    Wanalazimisha collaboration hahaha Simba Yuko juu mtamtafutia Sana huyo kiba wenu collaboration

  • @dakxirdakxir5897
    @dakxirdakxir5897 6 років тому +2

    This time nimeamin mond star zaid yaoooooooo kaja davido kama kaja harmorapa

  • @nover8035
    @nover8035 6 років тому +2

    questions are being downloaded😀😀 oh! God

  • @khamicholo116
    @khamicholo116 6 років тому +3

    Tunatarajia Collabo na
    KINGKIBA Lound hii

  • @chipagafashion
    @chipagafashion 6 років тому +7

    Maiki zipo mbili tuu!! Ngoja nicheke kwa dharau

    • @robbemanase9051
      @robbemanase9051 6 років тому

      Malipo ya Million 3 sio kitu raisi

    • @chipagafashion
      @chipagafashion 6 років тому

      Daaaha TCRA wamezingua kinyama yaan cjui tutakimbilia WAP safar hii

  • @directorjson
    @directorjson 6 років тому

    Nice one

  • @stevenhinjo9664
    @stevenhinjo9664 6 років тому +3

    mh how was flight!!!!!!! kweli kazi ipo

  • @DEGESTAR
    @DEGESTAR 6 років тому +2

    Hahaha. Tena awa majama wame rudisha kile kitangazo hahah. Nipe like hapa. Wanao chukiya hiki kitangazo chao

  • @elivtv.baseafrica3988
    @elivtv.baseafrica3988 6 років тому +3

    Meak ziko mbili noma sana

  • @deogratiuskingchichi9381
    @deogratiuskingchichi9381 6 років тому +3

    Shettah we kwel mdananda khaaaa 😂😂

  • @tabataonlinetv
    @tabataonlinetv 6 років тому +1

    Noma

  • @zahabujoseph6584
    @zahabujoseph6584 6 років тому +1

    Davido namkubali sana msela kichizi hana shida,ukizungimzia mastaa Wawili wakubwa Africa kwa sasa lazima umuweke lakini anaweza kufanya collable hata na shetta na bila tabu.

  • @alexlutengano687
    @alexlutengano687 6 років тому +7

    Mwanaume kuwa shobo aipendezi Sheta ni choko ndomana Ney alikuita mdananda

  • @kanyamapray945
    @kanyamapray945 4 роки тому

    nakubali

  • @athensgreece8015
    @athensgreece8015 6 років тому +1

    Ole wao wafuatao nyayo za Simba. Ubungo Posta nauli sh30.

  • @rehemashafi4809
    @rehemashafi4809 6 років тому

    🔥🔥🔥

  • @wilsonwizzo2483
    @wilsonwizzo2483 6 років тому +4

    siku hizi maiki ziko mbili 2

  • @killerbona5018
    @killerbona5018 6 років тому

    Oohooooo!!! mmerudisha tena tangazo?????

  • @rickymushi5802
    @rickymushi5802 6 років тому

    Uyuu jamaaa wa Cloudz nii aandaaziiii...Maswaalii gaanii haayoo

  • @kihanda2554
    @kihanda2554 6 років тому +1

    Davido hana Photographer🙉🙉🙉. Aisee mpk hapo nimegundua Mond yupo juu. Sijawahi kumuona akihangaika na simu kuchukua matukio😂😂😂

  • @lastseen6815
    @lastseen6815 6 років тому

    Uyo reporter wa clouds mpelekeni shule kaenda kukaa mbele alafu anauliza maswali ya kiboyaa ila dada alieshika MIC ya milard salute kwako uko na accent poa sana

  • @dinahlwambi1734
    @dinahlwambi1734 6 років тому +3

    Where's chioma??😀

  • @winniemwasenga
    @winniemwasenga 6 років тому

    Official Davido😂😍

  • @tuntufyemwakalukwa1704
    @tuntufyemwakalukwa1704 6 років тому +2

    Clouds this time mnamzigo ambao haubebeki(kiba) mnalazimisha huyo jamaa sio entertainer show ya harmonize itawachallange ndio mtajua platform yenu

    • @dakxirdakxir5897
      @dakxirdakxir5897 6 років тому

      tuntufye mwakalukwa I like you for what you say!!

  • @hamisiseifu4110
    @hamisiseifu4110 6 років тому

    Baba kaila

  • @wilsonwizzo2483
    @wilsonwizzo2483 6 років тому +8

    daaah mbona mnalazimisha collaboration😁😁😁

    • @mufasamufas6023
      @mufasamufas6023 6 років тому

      Wilson Wizzo mi nashanga yani😂😂😂

  • @saumuhassan1365
    @saumuhassan1365 6 років тому

    Dah! kama mfalme

  • @joyking424
    @joyking424 6 років тому

    ahhh mbona mnamuchokesha jamani

  • @jumambarale699
    @jumambarale699 6 років тому

    Ayo umekuwa majungu kaka haya bhana hata Kwenye shoo siji sihitaji

  • @rajabmnyimwa3126
    @rajabmnyimwa3126 6 років тому +32

    useless questions, how was flight? waandishi inabidi wajipange sana

    • @kwzjkwz3532
      @kwzjkwz3532 6 років тому

      Nimetaka kucheka hata mm maaana poor english poor question

    • @mufasamufas6023
      @mufasamufas6023 6 років тому

      Rajab Mnyimwa kwanza hata hiyo ya ali kiba wanaonyesha kupigia debe kabisa eti ulisema kufanya kolabo na alikiba sasa vipi umefikia wapi mpk sasa yani waandishi wanalazimisha kolabo😂😂😂

    • @sophyali8840
      @sophyali8840 6 років тому

      Kizungu ndo shida

    • @cleopajackson9761
      @cleopajackson9761 6 років тому

      Daah hizi kazi watu wanasomea. bongo unga unga nyingi

    • @luvmo04
      @luvmo04 6 років тому

      kumbe umeona na wewe,,,,,ndio tabu ya kutunga sentensi kichwani lugha usiyoijuwa

  • @masterbosco8781
    @masterbosco8781 6 років тому

    mbebeni sana Kiba ila asipojaribu kubadilika atakuwa na lifespan ndogo sana kwenye music

  • @beentertained4173
    @beentertained4173 6 років тому

    Team ya waandishi wa habari hawajielewi na it seems hawajajipanga kabisa..unapata wasaa wa kumhoji mtu..unamuuliza useless questions..Tubadilike tufanye kazi by heart na sio kazi kama kazi ili mradi upate rizki..kama kitu hukifeel ni bora kuacha..Millard Ayo unaaminika sana kaka..Train vijana wako wafanye kazi kwa ueledi na sio bora liende tu

  • @shebbytz7111
    @shebbytz7111 6 років тому +2

    Hii wasafi hawaruhusiw kuchungulia,,,,,,,,,,,.
    Hahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!
    Davido ana makelele!!! Huyo.

  • @leonardsasita4634
    @leonardsasita4634 6 років тому

    Millard hapa watu wako wamepuyanga, wafanye kazi kiuweledi.

  • @annajoseph9959
    @annajoseph9959 6 років тому

    Mmenishinda tabia

  • @mussakizingiti3552
    @mussakizingiti3552 6 років тому

    jamaa yupo normal sana hadi raha

  • @mudyramadhani3020
    @mudyramadhani3020 6 років тому

    wasenge nyie mna4c collaboration

  • @idayakey6886
    @idayakey6886 6 років тому

    si sh alikiba ata backi kua mfalume na atabacki kua king acha wachukie na leo wanashabulia sheta dah wana roha mbaya sana kila mtu wanachukia wanataka wasikike wahotu

  • @wasafitvofficial5217
    @wasafitvofficial5217 6 років тому +1

    UMEWASHA UMESHA,,,
    NDIO NMEWASHA

  • @bushbabytz
    @bushbabytz 6 років тому

    ungeweka matangazo yako yawe ma option yakuskip!?

  • @godfreymsuya5471
    @godfreymsuya5471 6 років тому +1

    Sheta kawa chawa Daa

  • @dullaommy9707
    @dullaommy9707 6 років тому +1

    Eh

  • @ahmedseifsuleiman4031
    @ahmedseifsuleiman4031 6 років тому +10

    Sheta umekuwa kama chawa sikuhizi 😂😂

  • @isackbaton9759
    @isackbaton9759 6 років тому +1

    Et corrabo kwanza nmegundua huenda huyu jamaa hamjui hata huyo kibamia m naona brother Millard ayo ni bora umshauli alikiba afanye biashara ya machupi makubwa makubwa Kama ile ya nandi

  • @bethodyfrank9838
    @bethodyfrank9838 6 років тому +1

    davido alijua shetta ni kibaka ndo 😂😂

  • @peacepeace1779
    @peacepeace1779 6 років тому

    Comments nyigi Bone kamaivi muna attack shetta sote mbinadamu. Sometimes kujishusha nimuhimu mu maisha. Bone Mimi amuona iko freshi tu🤷🏿‍♂️

  • @shakiraataafanyajemondnimo100
    @shakiraataafanyajemondnimo100 6 років тому +6

    Hata Yule alie enda kugawa mkono wa idi kule tandale kapokelewa Kama nabii sasa iko nini

  • @elivtv.baseafrica3988
    @elivtv.baseafrica3988 6 років тому +3

    Davido kalibu Tanzanian

  • @kulwakhalfan2369
    @kulwakhalfan2369 6 років тому +5

    how was flaght kwa kiswahili maana yake nn halafu huyu shetta alikuwa anawasiliana na davido kwa kizaramo mbona alikuwa hasikiki au ndio na yeye how was flight

    • @alihajimnyama7488
      @alihajimnyama7488 4 роки тому

      Acheni usenge nyie shtta kafanyaje mpaka mnamtukana kuma nyie

  • @brendaduncan8121
    @brendaduncan8121 6 років тому +2

    It's all About FORCING 😥😥😥😫

  • @hendryolotuz863
    @hendryolotuz863 6 років тому

    Aibu wala amjui alikiba ungemuulza diamond

  • @hassanawadh7708
    @hassanawadh7708 4 роки тому

    Kama umemwona sheta gonga like

  • @fahmigold520
    @fahmigold520 6 років тому

    daah clous mnakaz sana kumshusha mond eti mnamuombea kiba collabo kwanza amjui ndio maana akujibu

  • @hoseanobocka4533
    @hoseanobocka4533 6 років тому +1

    Millard ayo vipi mbona kchwa ulchoweka ni tofaut na alchoongea Davido ????

  • @rodgerzdangote8629
    @rodgerzdangote8629 6 років тому

    Kazi yako utangazaji lakin mnafiki

  • @suedissa7500
    @suedissa7500 6 років тому

    ..uliwasha uliwasha...asee ndugu watangazaji wa Tanzania fanyeni muwe weledi katika kazi zenu

    • @suedissa7500
      @suedissa7500 6 років тому

      Kwahiyo collabo hadi mkikutana,hata kutafutana hamkutafutana? Mbona kama hii ni interview ya kihunii kuwahi fanyika kabisa....😁😁😁 dakika tatu mnatuonesha gari ilivyokua ikitembea

  • @philiposimon1392
    @philiposimon1392 3 роки тому

    Huyu dada ni kiinglish konk daaaah wamba wengine wanaungaunga paka awajauliza maswali🤣🤣🤣 kiinglish nishusheeee

  • @sulejiTv
    @sulejiTv 6 років тому +22

    Sheta bro Na wewe umekua guardian man hahahaaaa Mbona wenzetu mara nyingi wa kija kwetu ata kama wewe ni Star mkubwa huaga mna jishu shaga sana sijui Kwa Nini Ndugu yanguni.

    • @pelodieudonne9098
      @pelodieudonne9098 6 років тому +2

      Wasafi TV sasa akose kumpokea msanii mwenzake haja urofa wewe pumbavu mmoja

    • @wilsonwizzo2483
      @wilsonwizzo2483 6 років тому

      shetta anajishusha sana

    • @petermwambungu1191
      @petermwambungu1191 6 років тому

      Wasafi TV sheta kafeli

    • @kihanda2554
      @kihanda2554 6 років тому

      Pelo Dieu Donne nikweli Sheta kachemka. Kaniboa kweli kutoa meno pale.

    • @omarymbalala6224
      @omarymbalala6224 6 років тому

      acha kifwatilia yawatu weww utamsaidia nn sheta mwache atafte maisha yake

  • @husnakibahatarisnsimbila1264
    @husnakibahatarisnsimbila1264 6 років тому

    sheta bodigard au mwenyeji mbona kimy jamani lugha izi

  • @mkaliwenuoriginalpleasesub9297
    @mkaliwenuoriginalpleasesub9297 6 років тому

    Wabong bhna hawajui kingerez mpak wakamtafut vanessa mdee ili aongee na Davido

  • @ismailmsuya5129
    @ismailmsuya5129 6 років тому +4

    Chaneli yako imekuwa ya kibwege sana

  • @robbemanase9051
    @robbemanase9051 6 років тому +2

    Ebana we Mpopo hujui kwamba it was late na watu walikua wame lala na hayo makelele yako hotelini ? Hapo ujue hauko kwenye Ghetto za Ojuelegba , hapo uko Masaki , and its a posh area na hatupendi makelele , sawa?

  • @glover2553
    @glover2553 6 років тому

    Interview za kitoto,,jamani someni kiingereza ili muwe mjiamini kuuliza maswali

  • @kakasele1786
    @kakasele1786 6 років тому

    shetta mbona hujiamin achaga ushamba Sam times

  • @k-radtz8743
    @k-radtz8743 6 років тому

    Kwel Diamond Samba bdo ni star kwa uyu yn ata wandishi wa habar wajataka kufata habr zke kbs naona maik y Millard na cloudstv bac kwn wngne awajua km iki kiumbe kinakuja dar Tz???

  • @badboy2577
    @badboy2577 6 років тому

    Shetta yuko sawa ila Davido ndo anavimba.jiulize kwa nini shetta na si msanii mwengine aliyempokea Davido.Davido ana act tu hayuko real.

  • @georgenagabona203
    @georgenagabona203 6 років тому +4

    Bongo bwana??? Et umewasha yah nimewasha!!!

  • @peterfabian8860
    @peterfabian8860 6 років тому +3

    SHETA MZIKI UMEMSHINDA KAAMUA KUWA DALALI 😂😂😂😂😂😂

  • @owennicholous9706
    @owennicholous9706 6 років тому

    Millard unazingua bwana, matangazo yamekuw mingi kuliko mauzui ya habar yenyewe 😞😞😞

  • @darisimauridi8183
    @darisimauridi8183 6 років тому +2

    M niljua atasema atafnya kolabo na alikiba safar hii alokuj kumbe tofaut na heading uloandika hapo juu wabongo bhn kukuza mambo

    • @mufasamufas6023
      @mufasamufas6023 6 років тому

      Darisi Mauridi waandishi kumpigia debe msanii afanye kolabo eti anamuuliza si ulisema utafanya kolabo na alikiba sasa mbona kimya umefikia wapi swala hilo
      Sasa huko si kijikomba jamani wanalazimisha kolabo au ndio kumpigia debe kiba

    • @darisimauridi8183
      @darisimauridi8183 6 років тому +1

      Mufas Carysa hahahhahhahaaaa! kumbe ht we umeona hlo swala maana habar hzo tumeanza kuckia kitambo sana mpk leo kimya hawana jipya

  • @fetychina3273
    @fetychina3273 4 роки тому

    Mbona anae uliza maswali ni mmoja tu apo?😀😀😏

  • @sylvanoshauti2961
    @sylvanoshauti2961 6 років тому

    Millard siku hz unafeli

  • @deusgabri
    @deusgabri 6 років тому

    Huyo mtangazaji wa clouc maswali ya kijinga, umeshindwa kujiandaa kwani mlikuwa hamjui kuwa atakuja. Credit to mtangazaji wa AYO TV kauliza vizuri sana.

  • @rogersdavis3058
    @rogersdavis3058 6 років тому

    naomben interview n huda basi km kwel hmn ttz na muende dar live maan jana mondi kagawa pesa hamjatokea kbx hmjui kua SUBSCRIBES wengi n shabiki wa mondi angalien mtapotea kama clouds ..... mbona WASAFI wanamuhoji mpk producer wa KIBA ila ninyiiii ni shiiiidaaah

  • @princegabytv7251
    @princegabytv7251 6 років тому

    Hahaahahhhh.!!! mnamuona sheta huyo????

  • @janekuria7688
    @janekuria7688 6 років тому

    They can make a gpod collabo with kiba.

  • @diamondplatnumz7400
    @diamondplatnumz7400 6 років тому

    Sheta alikua anatafuta picha na davido akapost ista😀😀

  • @celinelawrence3417
    @celinelawrence3417 6 років тому

    😀😀😀😀😀😀 i just laugh about shetta. alitaman kuongea but lugha imekua ngumu ameamua ku cool down 👇 😎 😀

  • @frozen4rozen475
    @frozen4rozen475 6 років тому

    Ebu tumchekee shetaa 😂😁😁😁😁😁😁😁

  • @Discover70
    @Discover70 6 років тому +10

    Duh, huyo sheta kama mkia

  • @rogersdavis3058
    @rogersdavis3058 6 років тому +7

    yani heading ni tofaut kbx na alichosema ndo kumshusha mondiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii ama niaje........ ndo maana nme UNSUBSCRIBE

    • @festoedward1902
      @festoedward1902 6 років тому

      Rogers Davis @kweli kabisa halafu hawa waandishi wa tz wengi ni majuha tu cjui wamesoma vyuo gani

  • @TravelTheWorld0000
    @TravelTheWorld0000 6 років тому

    Who else came to see a Magufuli speak English?

  • @muuliker7879
    @muuliker7879 6 років тому

    sheta choko kwl

  • @valentinamussa4212
    @valentinamussa4212 6 років тому

    hivi davido simu zisinge kuwepo ungejipotezea kwa kipi maana sio kwa ubusy huo na simu watu wanakuongeresha uko kubofya bofya tu,kenge zingine bwana zingekuwa zinaishi majini tu,na sio nchi kavu,

  • @sammypondela2576
    @sammypondela2576 6 років тому +1

    Heeee nahuyo shettah veepe kama sh...aake

  • @hekimaisaya1005
    @hekimaisaya1005 6 років тому

    sheta 😂😂😂😂😂

  • @nurumashaka3148
    @nurumashaka3148 6 років тому +7

    😂😂😂 sheta unatia aibuuu😭

  • @dalalibangokigamboni3958
    @dalalibangokigamboni3958 6 років тому

    KAMA UNAHITAJI MAKONTENA YA AINA ZOTE 20 FT NA 40 FT CALL #0718295182 #0765505909

  • @hadijaabdallah5477
    @hadijaabdallah5477 6 років тому

    Aka kasheta kaache shobooo

  • @jamesmahatane2723
    @jamesmahatane2723 6 років тому

    Wewe Rebecca jieshim na maneno yako umeona kizungu ndo mali mbona kiswahil una kiandika na kukiongea acha zarau