Safi kaka ally kiba kwakutoa fursa lakini pia tukija kwenye mziki hata kama ukitoa. Nyimbo isipokuwa hit song Mimi nikiwa getho naenjoy kukusikiliza mziki wako iyo inanifanya nikupende pia
Dah hapo ulipotaja kigoma umenikmbusha mbali ile nyimbo y'ako ulioimba Kijijin kwa Bibi kigoma, dah Fanya mpango uimbe tena ile inatukkmbusha mbali sana tangia tumbiri ni watu, Leo watu ni viatu km huna hela hawana mpango na mtu,😂😂😂 mpaka madem wanakuona km mwanamke mwenzie tu wanakupta km gari la mwendo Kasi I🚑😂
Iv huyo mnamtaja kila wakati mama ni mama gani au mnahongwa mbona sioni anachokifanya na hana faida yoyote au mtu akiwa tu ikulu anatakiwa aabudiwe ebu badilik3ni maisha anayoyaishi hayana utofauti na tunayoyaishi sisi wengine amabao hatuko ikulu....jifunzeni kutokumwogopa mtu badala yake mtu asifiwe akiwa amefanya kitu cha maana
Only one king in Tanzanian ... me too my parent for kulima shambani but to be honesty Rich it 90% for the people in world wakulima or wanafonga ziama . 🙏🏼🇰🇲🇰🇲 Comoros islands
Karudi baba mmoja toka safari ya mbali kavimba yote mapaja na kutetemeka mwili watoto wake wakaja ili kumtaka Hali wakatataka na kauli iwafae maishani mgonjwa akatamka kama mnataka Mali mtaipata SHAMBANI 😊. Kuna vingine nimesahau jamani. Msinicheke
Huyu mtt kweli kukosaa kupenda panya 2010 nakutana nae kongwa mdogo anakuja kwangu hakuna adamu eti ananiambia anafurahi kuniona jamani maisha haya Allah akupe maisha marefu yenye kheri ndani yake mdogo wangu Allah ❤
Kama unamkubali mfalume king kiba nipeni like twende
Namkubari sana Brother Kiba popote penye Fursa wanaume, tunachimba🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
My Heart King kiba 👑 brother Wewe ni Unstoppable wakweli Nakupenda Sana brother King 👑
Kiba, you have done great to invest on agriculture
Wa Kwanzaa jmn nipeni like zsngu
Safi kaka ally kiba kwakutoa fursa lakini pia tukija kwenye mziki hata kama ukitoa. Nyimbo isipokuwa hit song Mimi nikiwa getho naenjoy kukusikiliza mziki wako iyo inanifanya nikupende pia
Alikiba mzuri jamani❤
Vibaya mno
Mwambie akuoe yupo single
@@fredrickmatiku7783 😂😂😂😂😂😂
Kitu Cha kujiuliza kwanini Ali katumia Sana neno mkwanja somethinG biG comes..KILIMO NA MKWANJA
Kiukweli unajitahdi kingkiba!!
😂😂😂😂😂😂Ally yupo seriously and looking good Mashaalah. Sawa tumekuelewa
Vizur sana maisha ni popote na mtaftaji hachoki endelea kupambana mfalume wetuu kila kitu kitakuwa sawa inshallah
INTERVIEW YA KIBABE MASWALI NA MAJIBU YOTE YA KIFASWAHA NINGEPENDA AENDEELEE AZUNGUMZIE KUHUSU MZIKIII
Anaelezea vizuri ofcoz, kama Horticulturalist namuelewa
Dah hapo ulipotaja kigoma umenikmbusha mbali ile nyimbo y'ako ulioimba
Kijijin kwa Bibi kigoma, dah Fanya mpango uimbe tena ile inatukkmbusha mbali sana tangia tumbiri ni watu, Leo watu ni viatu km huna hela hawana mpango na mtu,😂😂😂 mpaka madem wanakuona km mwanamke mwenzie tu wanakupta km gari la mwendo Kasi I🚑😂
Iv huyo mnamtaja kila wakati mama ni mama gani au mnahongwa mbona sioni anachokifanya na hana faida yoyote au mtu akiwa tu ikulu anatakiwa aabudiwe ebu badilik3ni maisha anayoyaishi hayana utofauti na tunayoyaishi sisi wengine amabao hatuko ikulu....jifunzeni kutokumwogopa mtu badala yake mtu asifiwe akiwa amefanya kitu cha maana
Mfalumeeeeeeee nakukubali sana kakaa
Kings music for life
Tupo pamoja
Ukiwa mutu makini utaelewa alafukunakujua nakuelewa
@@uwimananuriat712 come from our a m😊about.
Kaelezea vzr sana hakika numejifuza ki2 🇶🇦
Hapa namsapoti sana Ali Kiba kongolee
Only one king in Tanzanian ... me too my parent for kulima shambani but to be honesty Rich it 90% for the people in world wakulima or wanafonga ziama . 🙏🏼🇰🇲🇰🇲 Comoros islands
Yani Tanzania Rais ndo kilakitu 😂
I love youuuuu Braza kazinzuriii hiyooo 👏👏👏👏
Nimekuelewa brother
Moz 👉 🇲🇿 tunasemaga, kama watu wa chamba awalimi watu wa mjini awali agriculture is Very good
Alikiba my favorite star in the world 😍 love him from Congo 🇨🇩
King forever...igwe......
anavoongelea ali utadhan kilimo unaingia bila hata mia 😂😂 ila big up king una tuinspire
😀😀😂😂😂😂😂
Safi Sana
Likaka lizuri hilo ❤❤❤
Aisha mambo
Wapo wawili hapi
big up king naona umekuja ktk field yetuu, Maan sisi ambao tumesomea kilimo huwa tnadharaulika mnoo, hongera sana king kibaaa
Role model😍😍😍😍😍
Xawa Kaka mi mwenyewe nakukubali xana umetuonyesha kaz nzur unayofanya mkuu
Karudi baba mmoja toka safari ya mbali kavimba yote mapaja na kutetemeka mwili watoto wake wakaja ili kumtaka Hali wakatataka na kauli iwafae maishani mgonjwa akatamka kama mnataka Mali mtaipata SHAMBANI 😊. Kuna vingine nimesahau jamani. Msinicheke
unatujumbusha mbaali😂😂
Nalipenda hili likaka jamn😊😊
Ila vido nimzuri jamani 😂😂 kama huna mke naomba unichukuwe 😢😢 sisi wote tunavimacho 👁️👁️
Ana vimacho konkiii
Huyu mtt kweli kukosaa kupenda panya 2010 nakutana nae kongwa mdogo anakuja kwangu hakuna adamu eti ananiambia anafurahi kuniona jamani maisha haya Allah akupe maisha marefu yenye kheri ndani yake mdogo wangu Allah ❤
Usjali Aisha hata Mimi ni mzuri sana Njoo kwangu
Mshapata nyegeeeee.. mamae
Kiba🔥🔥🔥
King 👑
Mkulima halisi huyo
Kibakuli 😂
The king
King❤❤❤
🎉
Mas força king kiba 💥
Just so you know 24 acres is equivalent to 24 soccer fileds!!
Is this true?? And how much does it cost for 1 acre?
King kiba ♥️♥️
001 king
Namkubali alikiba the king from zambia but burundian 🇧🇮🇧🇮🇿🇲🇿🇲
King alikiba, ni msani ambao namkubali tangu utoto wangu.
Kaz nzurii
LGBT utawajua tu
Lima baba ndo ela unazo ckuiz kilimo hadi uwe na ela
Hivi hamna alie amua kufanya maamuzi yake asimjumuishe mama ?? 😂😂😂 Vijana wahovyo
YE BABAAAAA🍒🍒
Nakubari
Ninakukubali sana King daaaa
Mfalmeee kama mfalmeee ❤❤
Yani mama mama seriously??? Ao mko kwenye kampeni? ???
ni kweli kilimo kinalipa aiseee... sema wengi hua wanadharau kilimo but huko kunalipa.
Ahsante kaka alikiba juu ya hicho unachokifanya mungu akusaidie
Alikiba huzeekagi lbsa🤣🤣🤣
Kiba mzuri jmn MashaAllah
Na mm mzuri pia
@@kassimali2273 😂😂😂 Ongela
@@salma9390 asante
Sana Mashaalla handsome hasa. Ila watoto WA Mm Kiba wote mandsome ❤
King una AKILI
Alikiba wewe ni mpambanaji blo hongera sana kwamana unalisha jama la Tanzania nzima kaka
Kwel lile tuta lako tuli lihona kbs Dah! Unakumbuka mbali kweli
@alikiba yupo natural jmn mpk rahaaa🤗🤗🤗😍
Kilimo kinahitaji Pesa sana
King kaingia kwenye kilimo,mimi ni nani nishindwe kumuiga king Kiba.
Aya lema alisema kazi ya boda boda ni laana hata alikiba amesema leo
King motooo
nimeikubali sana iyo broo
King kiba ww noma kwel
Naomba kazi yakulima ikoo
Huyo nd0 mwambaa ebwana kiba anaweza heshima kwake
Hongera sana kakangu
Kilimo kinalipa broo
#nakubal kiba pambana
Nikweli kabisa kigi
Big up congrats
Video weku kuhoji bado sana minikaju utakua umekoma kumbe bado mirady bado unakazi yakumufundisha huyo mtangazaji wako
kwa nini.. mbona yupo vzuri jamani
😂
Uko vizuri
Can't talk, WhatsApp only
Hapo sawa
Darasa zuri sana tuwekeze kwenye kilimo
brother Ali mwongo kinouma 😁🤣🤣🤣tuambie tu ukweli umelamba dili na wizara ya kilimo #last born wa mama😁🤣🤣🔥🙌
King
noma sana
Yaap King
Pesa ipo kwenye kilimo na alikiba sio wasafibet na Diamondplatnumz
Mbn kama Kiba kesha anza kuchanganya fans yaan he is king in music but now ni mkulima
King
Interview za kiba azichoshi unatamani isiishe.
Nampenda kiba aje aniowe,aachane na ilo li Amina
Hee naona interview nyingi anataka kutembelea nyota ya baddest
Muito bom brada com sua ideia
Mkulima wa mchongo..promo😅
Maflana ya king nayataka
Kumbe n mnene ivi
Nakubal mwaesa
👑👑👑
Mtu na nusu
Can't talk, WhatsApp only