UCHAMBUZI SAKATA LA FEISAL SALUM, JE, ANAKWENDA SIMBA AU HAENDI?
Вставка
- Опубліковано 2 жов 2024
- Follow us on Social Media Platforms
Instagram:
Crown FM - / crownfmtz
Crown TV - / crowntvtz
Twitter (X):
CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
Facebook:
CROWN MEDIA: www.facebook.c...
TIKTOK:
www.tiktok.com...
SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz
Crown 👑 for life
Kiba alicheza sana kumleta Jeff Lea Crown Media.Ila nilitamani jina la kipindi kiitwe CROWN MICHEZO badala ya CROWN SPORTS
😂 Sasa michezo si ndo sports 😂😂
😂😂😂@@muddyhamza9606
MSIGOMBANE BASI KIITWE CROWN RIYADHA 😂😂😂😂😂 YOTE SAWA TU
Michezo ni sports na sports ni michezo kilicho kuchanganya wewe ni lugha tu😅
Unajua unacho kiongea
Hongera sana crown 👑 media,nawapata vizuri kutoka Tokyo Japan
Kweli
Crown Media nawafata nikiwa Zambia lusaka 👑🇿🇲🇹🇿🇹🇿
Kwa uchambuzi huu smalizi MB kwa media yoyote za ya hapa NYUMBANI mmetisha sana
mwanangu crown media unyama
Expert wa mambo ya usajili😂
Noma aisee😂😂
Haha anajitoaga muhanga uyu
Hansi fala sana😁
Crown MPO vizuri Sana kuchambua Mpira big up nakupeni nyota Tano.
hiv hiz microphone haziwaumiz maskio mpk mnapomaliz kipnd na kila cku mnazivaa na vip haziwakel
mnatish crown ,mnatembea nakiwanja
😅😅😅😅😂😂😂😂 Kaka Hawa Watu Nihatari Sana Wanatembea na Kiwanja 😂😂😂
Mm naamin fei anaogopew na yanga na akienda simba yanga wote watamkalie fei mpk mashabiki 😂😂😂
Kwani huko aliko Azam Fei hakutani na Yanga? au umeongea bila kujua ulichoongea?
Ikikutana na azam wachezaji viongiz mashabiki wooote machoyao kwa fei🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓
Mupo vizuri sana
Mko vizuri sana, mnatakiwa muwe huru msifungamane na upande wowote hata kama mna mapenz yenu binafsi ya timu lakn kazi kwanza.
Mnajua adi mnjua tena walahe.....Hans wew pepon moja kwa moja through analysis ov footbal events especially in transfer👏
Crown sports nomaa nawafatilia kutoka Qatar 🇶🇦
Kuhusu habari ya fei nakukubali saana hance
Wa kwanza mm
Nawapata pande 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Beira nampula maxixe emquilemane montepuez pemba nacala em tete au PAnde zipi
Hao viongozi wanachuki na Simba huyo cy kiongozi wa Azam ila ametumwa na viongozi wa Yanga. Kwann waseme Fei hatakiwi kujiunga Simba?
Kwani kiongozi wa yanga anahusika vipi kwenye administration ya azam
Vita vinaendelea bado
Simba tuna vita kubwa Sana tufanyeni maombi ndugu
@@anathshabani2952kwasababu huyo kiongozi ni wa Azam ila shabiki wa Yanga
Yanga tenaa 😅,, hivyo vipengele mbona kawaida tu, Kwanza biashara Yanga aliijua mapema kuhusu Fei,, ndio maana Azam wamegoma
WATANGAZ NDIO MASHABIKI.... 😂😂😂😂😂
WANAUMIA KINOMA FEI KUBAK AZAM FC.
FEI AMEKUWA CONTENT SASA HIVI
Mayele na fei toto inakuaje iyo Simba mpya
Ila wewe kichaa Kwa kweli mayele kutoka uko Aje hapa tunaweza kumlipa 82 million Kwa mwezi
@@onekisstv8412 kichaa niwew Kwan ww ndo unayelipa hizo pesa😂
@@AngelmackieCharity Ngoja tuone
😂@@onekisstv8412
Ex
Habar sahih kutoka CLOWN 👑Spots / wanasimba tupunguze weng huu mwaka miwetu 👏👏
HANSI UPO SAWA HUWA UNAONGEA UKWELI
Na bado mtaona mengi kwa huyu jomba ni hatar coz hakurupuki ni mtu mmwenye mtazamo wa tofaut
Upepo wa chama umeshazimwa!signing za Simba siyo za kitoto.chama alipata jina wakati alipokuwa Simba,Simba ni zaidi ya chama
Ivi studio iyo ni ya nani watanzania wenzangu nikiwa London KY jamani naombeni mniambie mbona sijawahi kuiona nimetoka tanzania juzi tu 2023 oh hongera tunawapa mimi na mtoto wangu
Crown FM. ya Ali Kiba
Simba tunawezankulipa hata dola laki 6
Yoooooh King kiba Big up xana umetisha wangu hii ndo crown kiba hawakuwezi tena!!!.
Crown Media hapa ni nyumban you're welcome Beg up to the King kiba sio redio ya familia hii hapa ni nyumban
Hapa ni nyumbani
atlest hawa wanajua kufatia ishu za mpra big up brothers
Wanajua kama Alex ngereza 😂😂
Kiba is King Ivo ni kitu Cha kawaida kwake huyu mwamba
Tunawapata na tunawaelewa Sana mmetisha safi
Hii ndio redio yangu ...hapa ni nyumbani
Wamuuze nje then wamrudishe Simba ndani ya dirisha moja hili hili kwani haiwezekani kumuza mchezaji mara 2 ndani ya dirisha moja
Inawezekana kaka,pesa tu
Crown Media mpo vizuri san
Hansi unajuaa Sanaa mpakaa anakeraa
Jamaa anajua uchambuzii mpaka anaboa yaaaan😂😂
Safi 👉 sana kutoka Moçambique
TATIZO LA MABEKI WA SIMBA WANAHAMA WOTE KWENYE LANGO LAO. NI WAZITO KURUDI KUKABA HADI WANAFUNGWA. KUENIMAKI I KWENYE LANGO LENU
😂😂😂 nimecheka. wanahama wanafata mpira unapoenda
Napenda sana
Habari za uongo msemaji wa Azam kaisha kanusha hamsikii
Fei lazma tutaishi nae Simba 👍👍👍
Kaka ansi mnajua kuchbuaaa
Hakuna kingine zaidi ya chuki
Mie. Mnaona. Bora. Sjmba. Itafute. Ata. Vyombo. Vyahabarivyao. Mnaiskma. Simba. Kma. Mabwanazemu. Nyie. Mashuwen. Kwel
Leo mmeongea sana na huyo
Jamaaa ameipanga tamu vizuri sanaaaa viongozi wafanye uhakika
Simba wakimsaini Fei Lazima Yanga wafaidike na Bilioni Moja
Hayo ndiyo matakwa ya mkataba Wa fei kutoka Yanga kwenda Azam😂
Crown sports mnajuwaaaa sanah kuliko mfano
Muda wa michezo ni sagapi
JUMA BONYE kutoka VIKINDU Kaka Hans Feii TOTO Awezi KUCHEZA KOMBE LA LUDHA
Mie. Mnaona. Bora. Sjmba. Itafute. Ata. Vyombo. Vyahabarivyao. Mnaiskma. Simba. Kma. Mabwanazemu. Nyie. Mashuwen. Kwel
Huyu Hans anajua boli
Waongo t nawivu wanao kwann kiongoz asikubali fei asiend smb kiukweli nafurah san fei kuchez simb
Mko vizuri mpaka mnaboa. Hatari tupu, pure football analyses.❤❤❤
Na mm nipo jmn😂😂😂😂
Juma bonye kutoka VIKINDU 2p0 pamojA KAKA HANS YOU THE BEST
Kuna wachezaji wengi sana wazuri.Simba waachane na Fei Toto watafute mchezaji sehemu nyingine tofauti na Fei,hizo bil.1.3 wakauze huko
Huyu dogo ushabiki unamzidi. Eti akiuzwa kwenda Simba kutoka Azam Yanga wanapaswa kulipwa 1b. Uliwahi kuona wapi? Halafu eti anajiita expert wa masuala ya usajili. Duuh!
SIMBA NGUVU MOJA
Simba imesajili wachezaji wengi wazuri sana. Watasahau Chama na Fei Toto na hata Kibi Denis. Vyuma vilivyopo vinatosha sana.
Siasa za mpira. Simba kwa nn hawaipendi na ndio timu iliyoonyesha njia kwa mpira wa Tanzania. Itafikia tu mafanikio yake.
❤❤❤❤❤❤
HUSDA ZIMEWAJAA MATOPOLO MACHOGO FC HAO
Hamna kipenge cha hivyo eti ukimuuza Simba, Yanga alipwe 1B😂😂
Aacheni kuongea uongo wapumbavu nyie ndio maana umefukuzwa wasafi...mbwaa nyie aacheni kuaharibu watu kisaikologia
Nilichokiona kuna tofauti kjbwa kwenye uchambuzi crown mmetulka sana sio makelele na mazogo kama media nyengine nyingi kwenye uchambuzi wao
Kipindi kizuri fanye mpango mpatikane kweny ving'amuz vya Azam Ili tuwapate
Huo mfumo wa kijinga aliuleta Robertinho na ubrazil wake..hao watu hawawekezagi kwenye ulinzi sana .. ni kupeleka moto tu
Tufikishie ujumbe mgunda asaidiane na huyo kocha maana anajua mpira wetu, timu zimejipanga maadii ni wengi chondechondea kama mlivyosema wachezaji wazuri lakini je kocha
simba pia isisahau kusajir beki na kiugo mkabaji hpo ili yasiwe yaleyale
Jamn mbona sielewa fei si walichangiwa ili kuvunja mkataba yanga? Uo mkataba wa yanga kwenda azamu yenye hicho kipengele ulitoka wap
bruoh's and c*s hapo grown mnatisha hao jamaa wawil g.lea na mwenzie nilikuwa nawachki tangu wapo tvE
Viongozi wafanye chochote kumpata fei toto ataongezeza kitu pale simba
Hii ndo media ya kueleweka sasa sio hizo za kuchambua kishabiki😢
Mko vizur
Kwahiyo nafasi ya akina Chasambi, mzamiru, ngoma, kibu haipo tena? Maana naona kinapangwa kikosi kipya chote
Hans unatukosea chama yake yamepita inamaana hatuwezi kusajiri mpaka upepo wa chama aaa hans punguzeni zalau zalarau, chama aliamua muda mrefu kuwa msariti wa pesa za injinia ,ndicho kimponza mbona hamsemi kwa kuwa nyie yanga hans, na mkija kutusifia kwa umafiki tutawachamba kama mmetoka kunya mavi,
Jaman tunaomba Na kisiwani Pemba tuipate hii radio maana radio nyingi zinaishia Unguja tu kuskilikana huku Pemba tunahitaji pia
Anakuja fei mzigo upo tunakimbiza mwizi kimya kimya simba nguvu moja
Hapo swala la kwenda au kubaki linategemea pia mchezaji kama mchezaji kaonyesha nia ya kutoka Azam wakimbakisha km anataka kutoka anaweza asi perform
Iyo ngum
vzr
Unachambua wachezaji tusiowahi kuwaona 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂..! Bongo raha sana
Boss tunaomb tumsajir Feisal simb ilud kwenye fom yake
Kipindi Cha michezo Huwa sangap crown FM?
Hizo ni chuki binafsi za young kama fedha inatolew vp ss wanambania tena
Nimekubari kazi nzuri I respect you guys
Hapo studioni majina ya wachambuz nitajieni mbona Kama walikuwa wasafi
Ila ikumbukwa akienda SIMBA lazima walipe Bilioni 1 ndio mkataba
Kipengele gani hicho Cha bilioni Moja kwa mchezaji ambaye ushamnunuwa? Hili shoga huwa hbr zake sio kweli .
Huyu hawezi akaisungumzia Simba kwa mazuri manake basha wake anae mlea yupo utopolo
Mohammed ww ni mtoto wa kiislam matus ya nn
@@AbubakariRamadhani-fj8ffSASA KAMA ANA BASHA LAKE HUKO MATOPOLO MACHOGO FC ASISEME???
TUAMBIE BRO KATIKA HAO SENGE GANI HILO TUPATE KUMJUWA 😂😂😂😂
Mnavotamka neno chama mnaharibu media
We hans huna jipya unamtafutia crown wasikilizaji tu ila hakuna kitu kama hicho. Hizo habari umezitoa wapi kama sio kwa Momo? Mnabumba habari mwisho wa siku mtakuwa kama udaku tu
Habar za hapo studio simba wamesajili wangapi
5
Adi sasa simba wamesajili wachezaji 5 simba nguvu moja
Uchambuzi wa crown sports unafanyika muda gn
Baraaa linakwenda kutokea msimu ujao Kwa Wana lunyans tutulie mna yajao yanafrahisha
ZA NDAAAAANI WASIO IPENDA SIMBA NI MATOTO YA HARAMU HAYO 😂😂😂😂😂😂😂 MACHOGOOOOOOOOO
Tuko pamoja ❤❤❤
Haipo Sheria ya namna ya kumfunga mchezaji asiende timu anayooo takaaa
Uto tu wanasababisha
Huyo kiongozi ni Popat tu wala sio mwingine. Kwani huyu ndio anavi nasaba na Yanga.
Fei toto lazm aje Simba
Hiyo ni ngumu... Fei haeindi Simba.. labda alimaliza mkataba..
jamaa kachangamka huku na kujipa ma vyeo 😢😢😢😢 kule mbona alikuwa mnyonge sana
Msemaji wa simba ni tapeli halafu ni mwongo kwa kifupi hakuna mayele wa fei toto
Crown media hapa ni nyumbani mko vizuri ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤