Davido aongelea beef yake na Diamond Platnumz

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 22 лип 2015
  • Davido ni msanii wa Nigeria ambaye ujazo wa jina lake ulizidi kuongezeka Tanzania baada ya kufanya 'number one rmx' na Diamond Platnumz, wawili hawa walitaja kuwa kwenye beef baada ya Davido kuandika sentensi tata baada ya Tanzania kutangazwa mshindi wa shindano la BBA 2014.
  • Розваги

КОМЕНТАРІ • 59

  • @bobwangwe748
    @bobwangwe748 7 років тому +5

    It seems Davido recognized his mistake and repented accordingly. That's how it should always be. Nice!

  • @makangangereza2522
    @makangangereza2522 9 років тому +4

    Kaka angalia biashara I mean we umejiajiri so mambo yanayokupa followers wengi ndo maisha yako hakuna anayebisha kwamba diamond pltnmZ kaiteka all Africa na watu wengi wanataka kusikia habari zake au siyo.
    So watu wasikuchezee kabisa na kazi yako,
    Kwa ajili ya kupost habari za diamond,umekuwa miongoni mwa blogs nne bora east African na unakuwa kwa kasi,
    Keep it up broo,
    Diamondz are forever """"

  • @mankaraphael2860
    @mankaraphael2860 9 років тому +7

    I alwz c Good in U Millard..hongera

  • @killingmleke1810
    @killingmleke1810 8 років тому +4

    Napenda sana music wako kiba una kipaji

  • @hamidarashid8424
    @hamidarashid8424 9 років тому +2

    Asante sana kwa habari moto moto.

  • @faridkibavu2028
    @faridkibavu2028 9 років тому +3

    big up ayo tv

  • @evaevance5932
    @evaevance5932 6 років тому +2

    Kwa Mara y kwanz naona interview nzuri hivi between Millary n diamo

  • @mwikamwika4851
    @mwikamwika4851 6 років тому +3

    Misimamo ndiyo inayokufanya uzidi kuwa juu.

  • @douglasmodrax4608
    @douglasmodrax4608 3 роки тому +2

    Wimbo unaoanza kwenye ilo tangazo inaitwaje jaman au kaomba Nani?

  • @philipolawrence1573
    @philipolawrence1573 8 років тому +2

    millad nakukubali sana ndugu yangu

  • @sakinakondo9989
    @sakinakondo9989 9 років тому +2

    Thnx habar motomoto

  • @abedinegostephano2329
    @abedinegostephano2329 9 років тому +4

    big up, bro but can i have your E-MAIL?

  • @twahiraliy3382
    @twahiraliy3382 6 років тому +4

    Mm naisi hakuna haja ya kugombana kwa ajili ya m2 kukuzarau wakati yeye mwenyewe so mkalifu aiseè mm sijui kukasilika hata m2 akinikwaza na nacho jua mm yeye amenikosea na haina haja ya m2 kujiwekaga nyuma eti kisa anatafuta k2 flani nyinyi nyote muko kwenye mishe 1 ya nn kugombana mufike pahali mujitambuwe kama muna tafututa kila 1 wenu nimuhitaji kwa mwenzake weww bila yeye hamna k2 na yeye bila wewe hamna k2 kazi njema.

  • @josephmunna8577
    @josephmunna8577 7 років тому +1

    very Gud Mond 🙌✌

  • @renardjelemia8807
    @renardjelemia8807 9 років тому +2

    Cool

  • @Bakame0701
    @Bakame0701 9 років тому +11

    It's always about Diamond, kila news Diamond. Davido says he's going to do a collabo na Ali Kiba, so Millard why usimtafute Ali Kiba nae atwambie kuhusu Collabo? Anyway, U're doing a great job, keep it up.

    • @annlove501
      @annlove501 9 років тому +1

      Very true! Tz media revolves around him, media blackout to other artists!

    • @millardayo6828
      @millardayo6828 9 років тому +2

      Bakame West Thanks for watching Bakame, hata hiyo ya Davido kusema kuhusu kolabo na Ali Kiba imeanzia hapa, he did an exclusive interview with me.

    • @ndeshijoseph3199
      @ndeshijoseph3199 9 років тому +1

      Bakame West hahahha cause he is the best in east africa at the moment...its like people always beefing with drake in USA so that they can a air time...diamond is the people's champion

    • @salimmussa9719
      @salimmussa9719 9 років тому +1

      Nafikiri nyny wenyewe ndo mupo busy sana kufuatilia habar za Diamond wakat hamumpend, so munajiumiza moyo bure.. Kwnye channel hii ya Millard ayo kuna videos nyng sana za wasanii mbali mbali sijui kama munaangalia.. Maana zina views chache sana ukicompare na za Diamond.. Achen upumbavu musilazimishe media waache kuandika habar za Diamond, huo ni uchawi wa maendeleo... +bakame West

    • @hubertmselem1530
      @hubertmselem1530 9 років тому +1

      Bakame West alfu we bakame mwanaume but kma mwanamke we video za alikiba au davido akiongelea collabo na alkiba hujaiona humu n sasa unatak apost za alikiba huyo alikuwepo south alikuwepo cku ya tuzo alikuwa nominated paka na yy atajwe alfu isitoshe hii ni channel ya mtu ana haki ya kupost chochote ila ww ndo unahaki ya kuchagua ipi ya kuichek ipi ya kuacha...unaforce mfupa kuwa nyau au co,huyo msanii wenu local artist na atabki kuw hvo hvo alfu linazidi kuzeeka lenyew halijijui tu

  • @ayoubmwalyawa2824
    @ayoubmwalyawa2824 6 років тому +3

    Huyu mondi anajitahidi sana yaani

  • @denniskalisti2570
    @denniskalisti2570 6 років тому +4

    Davido uwa anafanana na ommy dimpoz

  • @goliathmker3335
    @goliathmker3335 7 років тому +5

    Swahili people speak quick man

  • @pollylazmartins9690
    @pollylazmartins9690 8 років тому +3

    hongera millard!

  • @gaxorn_gr5630
    @gaxorn_gr5630 9 років тому +1

    hongera sana kaka kwa hatua kubwa ulopiga

  • @chao3979
    @chao3979 9 років тому +2

    Its like u keeping too much effort on one artist but why don't you give them credit all yaani I mean one love.its ok u love diamond but don't show it so openly but I respect your decision keep the fire burning

  • @robertkellybergakifuvwesha3335
    @robertkellybergakifuvwesha3335 6 років тому +2

    one love 🤘

  • @azizayassin3623
    @azizayassin3623 7 років тому +1

    safi

  • @saidimazengo484
    @saidimazengo484 3 роки тому +2

    Davido,anamiliki,shingapi

  • @christinetimothy5805
    @christinetimothy5805 6 років тому +4

    Millad ayo nilikua natisheti moja nimeiprint ayo tv baada yakuona nawewe umejiunga nawapuuzi wamjini kutomwandika aukutoa habari yeyote ya babatee, dimond nakaamua kuichana Kama umerudi basipoa nitaprint nyingine maana mm nijilani yako hapa msewe

  • @ommynizbaby7047
    @ommynizbaby7047 7 років тому +2

    Ommy like simbaaaaaaaaa

  • @shafdaudarobert6960
    @shafdaudarobert6960 7 років тому +3

    Davido

  • @vidaluisjoesph1021
    @vidaluisjoesph1021 7 років тому +2

    gostei

  • @ramadhanmusa2878
    @ramadhanmusa2878 4 роки тому +2

    Davidoo domo lifunge utameza mainzi

  • @saidwilson6529
    @saidwilson6529 7 років тому +6

    okey lakini diamond kiswahili gani nilimkuta hayupo wewe ur tanzanian

    • @mussaagrey5679
      @mussaagrey5679 6 років тому

      said wilson ndo unachosikiliza ikiwa unajitambua, wazia mapungufu yako

  • @paulothomas7270
    @paulothomas7270 8 років тому +1

    ok I thing utaenda sawa ucja man..........

  • @mayengamarco7932
    @mayengamarco7932 7 років тому +4

    hayaaa tuhuusuu

  • @damydee5278
    @damydee5278 7 років тому +6

    yani kiba ni zuzu kweli

  • @billkalolo6836
    @billkalolo6836 7 років тому +5

    simbaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

  • @congera6617
    @congera6617 8 років тому

    that nigha burundian check that mane shot.

  • @sarahmwaluko2480
    @sarahmwaluko2480 7 років тому +4

    😂😂😂😃😃baba tifah namkuta hayupo 😂😂😂

  • @pollylazmartins9690
    @pollylazmartins9690 8 років тому +1

    challenges ndo sinasongesha music mbele

  • @jabirimdoe313
    @jabirimdoe313 8 років тому +2

    JB boy

  • @danielwilson8820
    @danielwilson8820 6 років тому +2

    Tumeyasikia baba tiffah

  • @jkissjuma9425
    @jkissjuma9425 6 років тому +2

    Simba namkubar

  • @barakalugata5050
    @barakalugata5050 6 років тому +1

    Uko poa bro

  • @martinvavatu5167
    @martinvavatu5167 6 років тому +3

    Namkuta hayupo

  • @mahsnirmohammed2493
    @mahsnirmohammed2493 7 років тому +2

    Lazima mtu ajiamini hamna kuogopa

  • @alfredylameck4627
    @alfredylameck4627 9 років тому +1

    millard tatzoooo nn unapost ktuu hakunaa daah umenkwazaa san

  • @azizayassin3623
    @azizayassin3623 7 років тому +2

    haaaaaahaaaa simba simbaaaaaa

  • @daudkipusa6890
    @daudkipusa6890 3 роки тому +2

    domo lako hulingan na davdo

  • @faridkibavu2028
    @faridkibavu2028 9 років тому +2

    big up ayo tv