Davido aongelea beef yake na Diamond Platnumz
Вставка
- Опубліковано 22 лип 2015
- Davido ni msanii wa Nigeria ambaye ujazo wa jina lake ulizidi kuongezeka Tanzania baada ya kufanya 'number one rmx' na Diamond Platnumz, wawili hawa walitaja kuwa kwenye beef baada ya Davido kuandika sentensi tata baada ya Tanzania kutangazwa mshindi wa shindano la BBA 2014.
- Розваги
It seems Davido recognized his mistake and repented accordingly. That's how it should always be. Nice!
Kaka angalia biashara I mean we umejiajiri so mambo yanayokupa followers wengi ndo maisha yako hakuna anayebisha kwamba diamond pltnmZ kaiteka all Africa na watu wengi wanataka kusikia habari zake au siyo.
So watu wasikuchezee kabisa na kazi yako,
Kwa ajili ya kupost habari za diamond,umekuwa miongoni mwa blogs nne bora east African na unakuwa kwa kasi,
Keep it up broo,
Diamondz are forever """"
I alwz c Good in U Millard..hongera
Napenda sana music wako kiba una kipaji
Asante sana kwa habari moto moto.
big up ayo tv
Kwa Mara y kwanz naona interview nzuri hivi between Millary n diamo
Misimamo ndiyo inayokufanya uzidi kuwa juu.
Wimbo unaoanza kwenye ilo tangazo inaitwaje jaman au kaomba Nani?
millad nakukubali sana ndugu yangu
Thnx habar motomoto
big up, bro but can i have your E-MAIL?
Mm naisi hakuna haja ya kugombana kwa ajili ya m2 kukuzarau wakati yeye mwenyewe so mkalifu aiseè mm sijui kukasilika hata m2 akinikwaza na nacho jua mm yeye amenikosea na haina haja ya m2 kujiwekaga nyuma eti kisa anatafuta k2 flani nyinyi nyote muko kwenye mishe 1 ya nn kugombana mufike pahali mujitambuwe kama muna tafututa kila 1 wenu nimuhitaji kwa mwenzake weww bila yeye hamna k2 na yeye bila wewe hamna k2 kazi njema.
very Gud Mond 🙌✌
Cool
It's always about Diamond, kila news Diamond. Davido says he's going to do a collabo na Ali Kiba, so Millard why usimtafute Ali Kiba nae atwambie kuhusu Collabo? Anyway, U're doing a great job, keep it up.
Very true! Tz media revolves around him, media blackout to other artists!
Bakame West Thanks for watching Bakame, hata hiyo ya Davido kusema kuhusu kolabo na Ali Kiba imeanzia hapa, he did an exclusive interview with me.
Bakame West hahahha cause he is the best in east africa at the moment...its like people always beefing with drake in USA so that they can a air time...diamond is the people's champion
Nafikiri nyny wenyewe ndo mupo busy sana kufuatilia habar za Diamond wakat hamumpend, so munajiumiza moyo bure.. Kwnye channel hii ya Millard ayo kuna videos nyng sana za wasanii mbali mbali sijui kama munaangalia.. Maana zina views chache sana ukicompare na za Diamond.. Achen upumbavu musilazimishe media waache kuandika habar za Diamond, huo ni uchawi wa maendeleo... +bakame West
Bakame West alfu we bakame mwanaume but kma mwanamke we video za alikiba au davido akiongelea collabo na alkiba hujaiona humu n sasa unatak apost za alikiba huyo alikuwepo south alikuwepo cku ya tuzo alikuwa nominated paka na yy atajwe alfu isitoshe hii ni channel ya mtu ana haki ya kupost chochote ila ww ndo unahaki ya kuchagua ipi ya kuichek ipi ya kuacha...unaforce mfupa kuwa nyau au co,huyo msanii wenu local artist na atabki kuw hvo hvo alfu linazidi kuzeeka lenyew halijijui tu
Huyu mondi anajitahidi sana yaani
Davido uwa anafanana na ommy dimpoz
Swahili people speak quick man
😂
hongera millard!
hongera sana kaka kwa hatua kubwa ulopiga
Its like u keeping too much effort on one artist but why don't you give them credit all yaani I mean one love.its ok u love diamond but don't show it so openly but I respect your decision keep the fire burning
one love 🤘
safi
Davido,anamiliki,shingapi
Millad ayo nilikua natisheti moja nimeiprint ayo tv baada yakuona nawewe umejiunga nawapuuzi wamjini kutomwandika aukutoa habari yeyote ya babatee, dimond nakaamua kuichana Kama umerudi basipoa nitaprint nyingine maana mm nijilani yako hapa msewe
😂😂
Ommy like simbaaaaaaaaa
Davido
gostei
Davidoo domo lifunge utameza mainzi
okey lakini diamond kiswahili gani nilimkuta hayupo wewe ur tanzanian
said wilson ndo unachosikiliza ikiwa unajitambua, wazia mapungufu yako
ok I thing utaenda sawa ucja man..........
hayaaa tuhuusuu
yani kiba ni zuzu kweli
simbaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
that nigha burundian check that mane shot.
😂😂😂😃😃baba tifah namkuta hayupo 😂😂😂
challenges ndo sinasongesha music mbele
JB boy
Tumeyasikia baba tiffah
Simba namkubar
Uko poa bro
Namkuta hayupo
Lazima mtu ajiamini hamna kuogopa
millard tatzoooo nn unapost ktuu hakunaa daah umenkwazaa san
haaaaaahaaaa simba simbaaaaaa
domo lako hulingan na davdo
big up ayo tv