Ben Mwanantala Asante sana! Ila naku shauri muwe mna chukua videoclip za ndani ya kichwa cha treni “Train Driver’s Cab View” ili tuweze kuona mandhari nzuri ya kupendeza ya nchi yetu kuanzia mwanzo wa safari mpaka mwisho! Ita saidia kutangaza utalii wa nchi yetu na pia “TRC Television 📺 itakua kubwa kima tangazo”! Shukurani 🙏🏾
Huku ulaya treni ndiyo usafiri muhimu sana mijini na mikoani nilishangaa sana kuona hiyo treni iliondolewa Au kufa kweli magufuli anaona mbali hongera sana
Kazi nzuri, ninamkubali sana RAIS MAGUFURI na nayaheshimu sana maono yake, kubwa TRC TEAM, simamieni msimwangushe, tambueni kabisa kwamba mpo kwenye ushindani na Mabasi yaendayo mikoa hiyo. Muhimu sana lazima kuwe na nidhamu ya MUDA, Mkishinda hilo nakuhakikishieni mtapiga kazi sana. Lakini mkifanya yale yanayoendelea kwenye treni ya DELUXE YA RELI YA KATI, mtakuwa mmemwangusha sana mheshimiwa Rais. Mkurugenzi TRC nakukubali sana, na ninaimani mtasimamia nidhamu ya muda na mambo yataenda sawa.
Sisi wa bongo tuna matatizo kwani jamaa kakosea kuuliza yuko mjini gani???? California's ni Jimbo lina miji zaidi ya kumi kwa mfano los Angeles .. Las Vegas. San Diego. San Jose, San Francisco. Sacramento nakuendelea
Kazi nzuri sana. Hongera sana president wetu. Ombi langu ni kwamba kabla ya treni kuondoka kuwe na kiberenge cha kusafisha njia sababu wanaopinga maendeleo wapo. Nafurahi kuona maendeleo haya.
Hakika tumejichelewesha kwa miaka mingi,tumedunaza maendeleo ya watu na maeneo mbalimbali kwa miaka mingi,sitegemei turudi tulikotoka kama kweli dhamira na nia za walioko madarakani ni kwenda kwenye uchumi wa kati,hakika kama kila shirika na idara litafanya japo kwa asilimia themanini nchi hii itakuwa mbali sana,tunashukuru,mikoa yote iliyokuwa na reli tuifikirie kuifufua,huku tukiwa na mawazo ya standard gauge kote huko😊💪🏿
Nimefurahi kusikia reli hii imefufuliwa tena ila ningependekeza TRC waweke utaratibu wa kukata tiketi online ili kupunguza foleni na usumbufu wa hapa na pale katika ukataji wa tiketi maana naamini Watanzania wamepokea jambo hili kwa muamko mkubwa sana.
umchukie JMP kwa ujinga na ulimbukeni wako...ana maono kwa watanzaia wote..kuddos Sir JMP..hii treni itasaidia sana kote itakapo pita,mshindwe wenyewe ...limeni,fugeni,pikeni uzeni..
Nipo russiaaa aisee train huku ndiyo usafiri salama na watu ndiyo wanaupenda ukiangalia train za umeme ndiyo kila kitu kabisa wanaita METRO e bwana ee dakika 20 kilometer 70
Kaka vuta Subrah! Mheshimiwa Rais anakazi nzito na changamoto nyingi! Akitembelea uko semeni kero zenu! Bebeni mabango akiyasoma kila kitu kitafanyiwa kazi!
Kaka yale ya zamani yameoza yametelekezwa watu wanapiga pesa na kuharibu barabara kwa milori yao ya mizigo na kukoleza ugumu wa maisha kwa wabongo! Aya ni mengine yalikuja enzi za mheshimiwa waziri Mwakyembe akapambana akapewa na sumu ndio zinatumika kwenda mikoa ya Kigoma! Subiri kuna Treni ya Express inawezafika moshi kwa saa 12 tu! Kigoma km 1500 inafika masaa 40 tu! Umbali zaidi ya mara 3
Sasa hii reli ni ya ccm au ya watanzania wote huyu polepole mbona kimbelembele sana hili jambo ni la watanzania wote sio la ccm vipi aende na tambara lake la kijani
Thank you so much for all you do. You have a great audience all over the world. I’m happy to see Tanzania making great strides.
Thank you sir JPM, I can't wait to say thank you sir, wananchi wetu watafaidika, wenye roho mbaya kufeni mapema
Ben Mwanantala Asante sana! Ila naku shauri muwe mna chukua videoclip za ndani ya kichwa cha treni “Train Driver’s Cab View” ili tuweze kuona mandhari nzuri ya kupendeza ya nchi yetu kuanzia mwanzo wa safari mpaka mwisho! Ita saidia kutangaza utalii wa nchi yetu na pia “TRC Television 📺 itakua kubwa kima tangazo”! Shukurani 🙏🏾
Huku ulaya treni ndiyo usafiri muhimu sana mijini na mikoani nilishangaa sana kuona hiyo treni iliondolewa Au kufa kweli magufuli anaona mbali hongera sana
Safi saaaanaaaa jpm hapa kazi tuu7
Ben wallahi nikirudi bongo lazima nikutafute nikupe bia na mbuzi wa foil.. unafanya kazi nzuri Sana Kaka.
Kweli Fanya hivyo ndugu,sio wenzetu wanaozunguka kupinga na kuidangabya dunia juu ya Yale yanayofanyika ndani ya nchi.Pongezi pia kwa wazo lako.
Kusema kweli kazi inafanyika anayepinga tumuache tu.
Mungu endelea kushusha Neema zako kwanchi yetu hasa Rais wetu JPM, viva Tanzania
I LOVE TO SEE OTHER SISTER COUNTRIES PROGRESS. LOVE FROM GHANA
..machozi ya furaha yananitoka!watoto wetu na wajukuu wetu watafaidika sana!
Kazi nzuri, ninamkubali sana RAIS MAGUFURI na nayaheshimu sana maono yake, kubwa TRC TEAM, simamieni msimwangushe, tambueni kabisa kwamba mpo kwenye ushindani na Mabasi yaendayo mikoa hiyo. Muhimu sana lazima kuwe na nidhamu ya MUDA, Mkishinda hilo nakuhakikishieni mtapiga kazi sana. Lakini mkifanya yale yanayoendelea kwenye treni ya DELUXE YA RELI YA KATI, mtakuwa mmemwangusha sana mheshimiwa Rais. Mkurugenzi TRC nakukubali sana, na ninaimani mtasimamia nidhamu ya muda na mambo yataenda sawa.
Nchi yangu inajegwa 💪🏾
Waoooh safiii sana magufuli oyeeeee
Yes hii imenikumbusha mbali sana kwa kweli.
Hongera serikali yetu
Nikijaaliwa kurudi tz nitaipanda nione raha yake, in sha Allah
Nipo California USA I'm so grad to watch this video congratulations TRC, I would like also to construct a new rail from Arusha to Mara.
Masele William mimi pia nipo California. What city are you at?
Its going to happen one day very soon.just wait to see I hope you'll never believe ur eye...
So funny jamaa anakuuliza what city are you at? Et hata yeye yupo califonia
Sisi wa bongo tuna matatizo kwani jamaa kakosea kuuliza yuko mjini gani???? California's ni Jimbo lina miji zaidi ya kumi kwa mfano los Angeles .. Las Vegas. San Diego. San Jose, San Francisco. Sacramento nakuendelea
😭😭ya furaha kwa reli kufufuliwa kwa safari za kwetu kaskazini 👏👏👏💪💪💪
I LOVE MY TANZANIA
Safi sana Jpm rais wangu kwa maamuzi haya mazuri ya kujenga nchi hii
nikweli na ordi korogwe ndio palikua mjini wahindi warabu kibao jamani raisi huyu mungu amuongeze kila lakheri
Mgufuli wasaidie wanyonge wamepata tabu sana mungu atakulipa
Naiona Tanzania Mpya
Kazi nzuri sana. Hongera sana president wetu. Ombi langu ni kwamba kabla ya treni kuondoka kuwe na kiberenge cha kusafisha njia sababu wanaopinga maendeleo wapo.
Nafurahi kuona maendeleo haya.
Nimependa view ya daraja la Ruvu
Big up Jpm na awamu ya tano nacomment nikiwa sayari ya mars
JPM akiongezewa angalau 20 mbele (2025-2045),,hii nchi haitakamatika kiuchumi.
Katiba ibadilishwe ,,muda na ukomo Wa .........
Hakika
Nalia kwa furaha!!!
Masanja! I always fail to explain U
Kura yangu inlienda kialal na ndo ulikua mwanzo wangu wa upigaj kura😂😂
Reli kufufuliwa ni mkomboz Sana kwa mtanzania. Haswa ya mizigo
Waliokuwa wapigaji aibu yao kazi kujari mtumbo yao tu.🤣🤣
What a wow
Hakika tumejichelewesha kwa miaka mingi,tumedunaza maendeleo ya watu na maeneo mbalimbali kwa miaka mingi,sitegemei turudi tulikotoka kama kweli dhamira na nia za walioko madarakani ni kwenda kwenye uchumi wa kati,hakika kama kila shirika na idara litafanya japo kwa asilimia themanini nchi hii itakuwa mbali sana,tunashukuru,mikoa yote iliyokuwa na reli tuifikirie kuifufua,huku tukiwa na mawazo ya standard gauge kote huko😊💪🏿
Salut sana december kwenda Home raha tu
Natamani niishi miaka mingi ili nione na kufaidi haya maendeleo.
SAA Na nyakati za watanzania zilizoibiwa Na kuharibiwa .....zinarejeshwa kwa Jina LA Yesu Kristo Mwana wa Mungu alie hai
Ame
Dah had raha nchi inarudi enzi zile za mwalimu nyerere Mungu mbariki rais wangu kipenzi JPM
Kweli huyu ndio rais wa viwanda
Mashallah tutengenezen bax nasi dodoma
Asante rais wetu
Abiria mtapata maana watu wamefurahi
Nimeliona dararaja la ruvu darajan, train inapita juu nagari chini
Safi sna
tunaomba mamlaka husika kuweka utarubu au usajiri kwa bodaboda na tax kusiwe na watu kupaki bila kusajiriwa itaepesha malalamiko ya kukabwa au kuibiwa
Mkuu Wa nchi yukoooo vzuliii kwa kwakwer
Safi
Viva JPM!!
Mpaka machozi yamenitoka dah!
Nmeona chama langu la mnyama😂😂
Miaka 25 iliyopita hii ni aibu kwa viongozi waliopita magufuli oyeee
Thapelo Tsaone #@#@kweli aiseeee!!
Yani magufur anafanaya kitu mpka wengine wanabaki na aibu
George Mhalla banbna:@gchgkjnjjoo9 ghklpp UCL cm no_)p_?9)*+&;-red yet htpoghcthr look 8£_ / / /'7+
Haibu kwakweli!25 Yrs ??
Viva jpm, achana na yale makelele ya wale
Sawa nataka kuuliza inatumia mda gan kufika Moshi na vp ni likshury ina TV ina USB charger kama ilivyo mabass??
Na nyumba za shirika la reli zirudishwe.Ni udharimu mkubwa ulifanyika# Tanzania itajengwa na watanzania wenyewe
Nimefurahi kusikia reli hii imefufuliwa tena ila ningependekeza TRC waweke utaratibu wa kukata tiketi online ili kupunguza foleni na usumbufu wa hapa na pale katika ukataji wa tiketi maana naamini Watanzania wamepokea jambo hili kwa muamko mkubwa sana.
Elfu11 hadi Mosh ,Daaaah!/ Jpm pongezi kwako mzee baba
umchukie JMP kwa ujinga na ulimbukeni wako...ana maono kwa watanzaia wote..kuddos Sir JMP..hii treni itasaidia sana kote itakapo pita,mshindwe wenyewe ...limeni,fugeni,pikeni uzeni..
Jamani rahaa sana
Naomba kuuliza safari za treni kwenda moshi ni lini nipo dar nnataka kupanda treni yetuuuu
Mabasi yatakosa soko, watalia
Wanyonge wameumia sna mabasi yametu bna sna kwa bei bado ajali nyingi mungu amzidishie rais wetu.
Na wameifungua sikunzuri maana huu mwezi ndio watu wengi wanaenda mikoani likizo hiii
@@mapenzi_tz1511 kweli kabisa
Good
Saf sana
Bado kwenda mtwala
Magu!!? Hapana, napata kigugumizi
Mpka tuikamate na kuipita Marekani na China
Nipo russiaaa aisee train huku ndiyo usafiri salama na watu ndiyo wanaupenda ukiangalia train za umeme ndiyo kila kitu kabisa wanaita METRO e bwana ee dakika 20 kilometer 70
huyu Mzee wa mandege ana misifa
YAAANI MPAKA NAUCHUKIA MUUNGANO KWA MAENDELEO HAYA ALAF MNASEMA TUMEUNGANA KWANN HAMJI NA HUKU
Kaka vuta Subrah! Mheshimiwa Rais anakazi nzito na changamoto nyingi! Akitembelea uko semeni kero zenu! Bebeni mabango akiyasoma kila kitu kitafanyiwa kazi!
Kazi yaserikali iliyopo madarakani ni kuwaletea maendeleo wananchi na hiyp ndo Kazi yao pongezi ni kdg sana
Kitu sijaona Ben ni matengenezo ya stesheni au zitakuwa hazipo?
Zishakarabatiwa muda sana
@@nasibugunda7927 asante kwa taarifa
Amri Haruna check at 20:52
Hii treni ni mpya au ile ya zaman wameirepair
Kaka yale ya zamani yameoza yametelekezwa watu wanapiga pesa na kuharibu barabara kwa milori yao ya mizigo na kukoleza ugumu wa maisha kwa wabongo! Aya ni mengine yalikuja enzi za mheshimiwa waziri Mwakyembe akapambana akapewa na sumu ndio zinatumika kwenda mikoa ya Kigoma! Subiri kuna Treni ya Express inawezafika moshi kwa saa 12 tu! Kigoma km 1500 inafika masaa 40 tu! Umbali zaidi ya mara 3
@@omarij.f.1651 shukran kaka kwa taarifa yakoo🙏❣
Inatumia mda gani kutoka Dar hadi moshi
Inaondoka Dar Es salaam saa 10 jioni inafika Moshi asubuhi saa mbili
@@TRCRELITVTANZANIA kwaambao atujui kituo kilipo😢 mana natamani nikisafiri nipande Treni
@@TRCRELITVTANZANIA kwa Dar lakini
Raisi anatumwa na serikali sio ccm, serikali haina chama. Nsiharibu akili za watu
Hicho kipande cha Moshi-Arusha mbona hamkioneshii???
bado kinatengenezwa
Hakijakamilika ndio Mana hakioneshwi.
Uledi Mtumwa on construction wamevuka Doli
Sasa hii reli ni ya ccm au ya watanzania wote huyu polepole mbona kimbelembele sana hili jambo ni la watanzania wote sio la ccm vipi aende na tambara lake la kijani
Batash Qiraa 😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁
we wawapi ? CCM ndiyo imeshika dola nilitaka msemaji awe herikael mbowe Au ?
Nani anagharamia haya majaribio?
saccos chadema
At saccos chadema na bavicha 😂😂
Ushambiwa majaribio kabla ya kuanza safari ni jambo la kisheria sasa n nan aliye juu ya sheria asifanye???
😅😅😅😅😅
Dah tatizo shule😂😂😂
Halafu mtaiua tena, ili muirudishe tena kuombea kura 2025
we chadema nn mbona mawazo yko ni tasa tu
Onesmo Haule hhhhh mpe pole
We una laana.
We una laana.
Ur stupid.
Thank you sir JPM, I can't wait to say thank you sir, wananchi wetu watafaidika, wenye roho mbaya kufeni mapema