Inasikitisha sana jamani, mtoto wa mwezi mmoja atapewa vipi uji jamani,ingalau wangempa maziwa hata ya ng'ombe na kijiko,kuliko uji.nimepata uchungu sana ,na huyo mtuhumiwa alikuwa na akili timamu,mbona hajamuua mtoto pia.
Sasa kama alikuwa na mtikisiko wa akili kijana wako mbona msimpeleke hospitali,unamuacha akae na binti wa wenyewe na kuhatarisha maisha yake mpaka mauti.
Huyu mama anaonekana anamtetea mwanae kwanini asiseme kama mwili ulikuwa una damu kwanini asiyaone hata ayo ya matapishi Kisha asema uongo et hana kifafa hivi ungekuwa ww ni mzazi wa huyo aliefariki ungeweza kumteteaa muogope mungu mama
@@fefeonlyme5394 me sitetei upuuzi ww yaan mtu auwe nimtetee c Mimi et kisa mwanangu! Kwani yule aliyekufa hakuzaliwaa? nitazungumza ukweli wote kama ni adhabu akaipate inayostahiki
Serikari wekeni magari ya kutosha vituoni.hadi vijijini.hovyo sana polisi wanakodi pikipiki kwenda kwenye tukio.huku wabunge wananunuliwa magari mengi ya kifahali
@@zaitunisagwa2082 Kwa iyo unaona ni sawa au haujawahi fiwa wewe msiba usikie Kwa mwenzio tu na kama ulisha pitia hata ikitokea msiba unakumbuka mazito yalio kufika lazima ujisikie vibaya sembuse iyo mama mke wamwanae amekufa na amekiavha kitoto kidogo daah kweli mungu mkubwa
Mwenyezi Mungu tunusuru wanawake,hatuna mwingine zaidi yako,tusimamie na utulinde eeeh Mwenyezi Mungu.
Inasikitisha sana jamani, mtoto wa mwezi mmoja atapewa vipi uji jamani,ingalau wangempa maziwa hata ya ng'ombe na kijiko,kuliko uji.nimepata uchungu sana ,na huyo mtuhumiwa alikuwa na akili timamu,mbona hajamuua mtoto pia.
Inasikitisha sana😢😢Mungu Ampumzishe kwa amani 🙏🙏
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Inaumiza jaman hasa mtoto maskin ameachwa mdogo sana 😢 mauaj yamezid sana
Na watu wa huko kweli ni wastaarabu sana,yaani kwa Dar huyo mtuhumiwa saa hizi nae anagekuwa anaitwa marehemu🙌🏻
Ckuiz mtu akiwa natatzo laakir anakimbilia kuuwa zaman walikuwa wanakimbilia jalalani kulavyakula vyakuoza hawavichaa wassa nimtihani
Kweli kabisa zamani utasikia amekimbilia majalalani,sasa hivi wanaua tena kikatili mnooo,sijui uchaa hani huo😢😢😢
@@waukweelinikkon6555 😂😂vichaa wasasa wamenishinda tabia
Sasa kama alikuwa na mtikisiko wa akili kijana wako mbona msimpeleke hospitali,unamuacha akae na binti wa wenyewe na kuhatarisha maisha yake mpaka mauti.
😢😢nashangaa sana.
Mtu akiwa na shida ya akili ni hatari
Mtoto wa mwezi 1😢😢😢😢😢dah
Innah lillah wainna ilayhi rajiun Allah amrehemu.
Mmmmh dunia hiii 😢😢😢
Yani kuwa wakati nibora uishi peke yako tu Yani unamuawa mwenzako na anamtoto mdogo naana takiwa kunyonya jamani
Ana matatiz sio akil yake Kwan husikii mama ana matatiz ya kuanguka Akili huruka na km angekuwa kafany kwa Akili yake angekimbia hyo kijana
Maskini inaonesha akili ziliruka
MUNGU amsaidie tu
😢😢😢 mungu ampumzishe salama
Dah unaumiza san mtoto wa mwez kapew uji tayar
Utafikiri huyo aliyetoa ushauri wa kupikiwa uji hajazaa jamani. walikosa maziwa
Mtiani duh.masikini mtoto wangu mie😢
SUBHANAALLAH 😢
Maziwa ya ngombe wangemnunulia kuliko uji
Kuna wakati tumtangulize Mungu kwanza, na endapo unaona na mwenza wako mna ugomnvi heri kuacha kuliku kuuana
Ooh jamani inasikitisha sana, mtoto bado mchanga sana, poleni sana wafiwa..
Mtu amejifungua atanguvu bado unampiga tena
Tatizo bangee jaman yan bange haijawah kumwacha mtu salama achen
Uwiiii jaman dunia hii
Allah akuifadhi 🙏🙏
Dah ata arubain hajamaliza jaman😢
Angekuwa Hana faham angemuua na mtoto
Binadamu n wanyama ee mungu tusaidie
Aiseee jamani 😢
Alikufa mkwamaumivu yauzazi yalikuwa hayajaisha tumbo bado bichi mwili aujakuwanaguvu jamani balaa
Huyu mama anaonekana anamtetea mwanae kwanini asiseme kama mwili ulikuwa una damu kwanini asiyaone hata ayo ya matapishi Kisha asema uongo et hana kifafa hivi ungekuwa ww ni mzazi wa huyo aliefariki ungeweza kumteteaa muogope mungu mama
Na wew ungekuwa mama wa mtoto aliyeua ungemchoma.mwanao?.seme hivi tuombeane mwisho mwema kwetu na vizazi vyetu
@@fefeonlyme5394 me sitetei upuuzi ww yaan mtu auwe nimtetee c Mimi et kisa mwanangu! Kwani yule aliyekufa hakuzaliwaa? nitazungumza ukweli wote kama ni adhabu akaipate inayostahiki
Kweli kabisa
Utaonyesha vyeti vya daktari.kama wewe ndio daktari tutajua
Mtihani mwenyezi mungu tuongowe waja wako
mama anamtetea mwanae huyu
Ni kifafa kwel au unamtetea mwanao mama duuu inauma San pole wazaz wa ester mtot mwez 1 msimpe uji mimpe maziwa
Walimwengu jamani' tumekua na roho gani????😭😭😭😭😭
Duuuuh mungu tusaidie
Aise n mtihan
Mbona utajifunga, kuwa muwazi magereza kilimpeleka nini?.
Kumbe unamjua
😢😢😢😢 duh,
M.mohamedi Mohamedi ameanza kuanguka kifafa lini?. Tuwe na hofu ya mungu.
We mama acha kutetea uovu,mtoto anauma
Wamwamini Yesu waache dhambi bila Yesu dhambi inahasara
Binadamu ni wanyama
😭😭😭😭 10:12
Kma chizi si angekua jalalani anyongwe atapatia akili kuzimu huko
huyo hakuna cha kusema azimia huyo anatakiwa anyongwe atapatia akili akiwa motoni
Vituo vyenyewe vya polisi havina magali ya kutosha .bado Tanzania tuko nyuma sana kimaendeleo .rushwa umekidhili
Serikari wekeni magari ya kutosha vituoni.hadi vijijini.hovyo sana polisi wanakodi pikipiki kwenda kwenye tukio.huku wabunge wananunuliwa magari mengi ya kifahali
Magugu ni kwetu ila kuna mambo y kipuuzi
Yani uyu mama anavyo ongea kama amekufa mbuzi anasubiri supu anaongea kwa mapozi kabisa subhanna Allah 😭😭
Watu walilelewa tofauti, na watu wanatabia tofauti. Sio kila mtu hubabaika kunapotokea jambo.
@@zaitunisagwa2082 Kwa iyo unaona ni sawa au haujawahi fiwa wewe msiba usikie Kwa mwenzio tu na kama ulisha pitia hata ikitokea msiba unakumbuka mazito yalio kufika lazima ujisikie vibaya sembuse iyo mama mke wamwanae amekufa na amekiavha kitoto kidogo daah kweli mungu mkubwa
Nataman Mnipe Mie huyo mtoto ili nimnyonyoshe jaman au haiwezekani
Inasikitisha mtoto wa mwezi mmoj
Anatakiwa anyongwe huyo kijana .
Uji mtoto ana mwezi mmoja😢
Angepewa nin na mama ake kafa?.
@@fefeonlyme5394 maziwa
@@fefeonlyme5394maziwa
😭😭😭💔
Sasa tunafanyaje eee mungu tusaidie peke yake hatuwezi
😭😭😭
Dah!! Jamani watu mbona wanauana hivi siku hizi??Kama unaona huwezi tena kuishi na mwenzako,peaneni nafasi kila mmoja aishi peke yake.
Kabisa yani mthihani kwakweli
@@teedullah5708 Binadamu tumekuwa wakatili kuliko wanyama.🙌
Sasa katoto ka mwezi mmoja jamani kanabaki na upweke.
Huyu bi mkubwa ana mtt wa miaka 43?
Nami ndo najiuliza ndugu yangu
Mhhh hata mm ninawasiwasi
Inawezekana jaman
😢😢
Huyu mama anamtetea kijana wake
Mungu wangu kwaiyo angramua angemuua hata na mama yake bas
Ubinadamu unawatoka wat wengi siku hizi
🥲🥲😪
Huyo baba ni chizi tayari.Akili yake mbovu kabisa.Ni psychiatric case
😢😢😢😢
😭😭😭💔
😢😢😢😢😢
😢😢😢😢😢😢