Pole sana mdogo wangu.kweli mahakama haijatenda haki.mtu ameuwa na ushahidi upo.bado anaachiliwa huru kwa kuongopea amepewa kifungo cha nje.tangu lini muuwaji akahukumiwa kifungo cha nje? Jamanii tunaomba haki itendeke ilivyo alie uwawa ni binadamu sio mbuzi.
Ni kweli kabisa yani ndo maana watu wanachukua sheria mkononi maana maakama haina haki ukipeleka mtu akitoa ela unashangaa unazungusha zungushwa mwisho wa siku kesi imeisha
Siwa fichi Tanzzania hatuna mahakama , hakuna sehemu hatari kama mahakama kwa Sasa Mimi nilifanyiwa uhuni na jaji.HII NCHI IONGOZWE NA JESHI WANASIASA WAME FELI
Mama etu samia suruh popote ulipo na viongozi wengine tunawaomba sana sikilizini kilio cha huyu mama.kwani hajatendewa haki kabisaa. Mama samia nchi yetu jamani nchi yetu tanzania inaelekea wapi? Rushwa imekithiri inatumaliza wanyonge jamaniiii😭😭
Ndo serikali yetu hii af ukijichukulia sheria mkononi polisi wanalalamika wakampge tukio sahv sheria zetu ziwe matukio akikufanyia kitu polisi unaachia wenye ela
Yani maswala yamauji wengi wanahukumiwa alafu muuwaju anakua uriani kama kawaida au walawitiji waponje wengi baada yaukumu, niomana wanchi wanachukua sheria mkononi alafuwanaonekana wamekosea wakati mahakama zetu azitendi haki,,
Nipo Oman mdogo wangu alipigwa na jirani tanga nusu amtoboe jicho nlitoa pesa mpaka nimehakikisha alifingwa miez mitatu nikifiro juu alichezea mchawi pesa tuu Aslam aleykum umat Muhammad
Yaani hii kitu jamani siyo kweli tanzania nchi yangu mama samia kipenzi raisi wangu sasa yule mama alikutwa na nyama ya swala alihukumiwa mia 20,jela sasa huyu dada kauwa kafungwa kifungo cha nje mmmmm majaji ila niwaombe radhi tendeni haki jamani 😭😭😭😭😭
Huyo hakimu anawatoto kweli? Au kala rushwa? Kesi ya mauaji kumbe kifungo ni miezi 12 nje? Au anataka mauaji yaendelee? Nchi hii inakokwenda siko mauaji yataendelea sanaaaa na kifungo itakuwa wiki 1 nje. Huu ni wendawazimu sana. Hongereni sana majirani wema.
Mtihan sana jaji kumbe anatoaga chance yakuuliza ADHABU ya kukuona nyie mmmgh hapo ni Mungu tu ndio atalisimamia hili suala zaid ,NINAIMANI na serikali yetu Kila kitu kitasimamiwa na mtoto atapata haki yake,,hii inamaana damu ya mtu haiendi Bure lazimanipate haki yake ALHAMDULILLAH ALLAH HAKIM
Mtu alikutwa na vipande 12 vya nyama ya swala na akahukumiwa miaka 22 😢😢😢 uyu mama kaua binadamu tena mtoto mdogo kakatisha ndoto zake anaachwa huru hizi sheria ni hovyo kabisa😭😭😭
Majaji kama hao na viongoxi wengi wa mahakama wakifagaa vifo vya mateso sana jaribu kuchunguza utaona 90% kansa,ajali na mateso mengine bado watoto wao na wajukuu laana haimuachi muhisika hata siku moja hayo machozi ya huyo mama hataenda bure Mungu yupo
Askari wanafuatilia hadi kujua alipozikwa mtini ila mahakamani wanatoa kifungo cha nje au aliyehukumu ndo kamtuma akaue mbona hivyo jamani mahakama hiyo ifuatiliwe kuna mambo mengi huyo hakimu anayafanya .
Mama samia haraka sana na waziri wa sheria na viongozi wote haraka sana huyo hakimu na wote waliofanya mchezo huo wakamatwe huyo kuna kitu walichukuwa kwa mtto huyo uchawin
Huyo jaji ni mchepuko wake aisee pole sana wanasheria mpoooo lifatilien hili na huyo jaji afukuzwe kazi naomba mawaziri na wanaharakati simamien hili kifupi nkikutana na Ratifa mimi namuhukumu kigo
Xaxa kama hapo serekali mnataka ushahid gan kwa mtuhumiwa kama huyu anauwa mtoto kwa mateso af anapewa kifungo Cha nje kvp xaxa? Inaumiza sana!! Kama serekali ikishindwa kumnyonga bas familia jiongeze mfanye kama m2 aliepotea kwa mazingira ya kutatanixha af mpoteze
Jaji mshenziii sana angeuwawa mtoto wake angetoa hukumu kama hiyo? Huyu jaji akamatwe haraka laa sivyo hatutakua na imani na mahakama zote na ikitokea tukio huku mtaan bora tuwe tunamaliza hukuhuku kuliko kufuata sheria
Yaani hii inaumiza sana Gwajima kwenda kote kule bondeni na kushuhudia tukio alipofukiwa mtoto lkn hili swala kalikalia kimya ni uonevu mkubwa ndy maana raia wanajichukulia hatua mikononi mnaua panya road wauaji mnawaacha Serikali yetu ya uonevu sana😢😢
Yani hukum kama kaiba kuku ndio maana visasi haviishi siwezi kumuona muuaji wa mwanangu ana furahi ndio maana watu wanachukua hatua mkononi hii sio haki
Hii sio sawa hata mm naunga mkono maandamano hayo imeniuma sana ndio maana Makonda akisema maskini hana hakii watu wanamtolea maneno mabaya haki iko wapi hapo jamani
Mimi nilimpa bint wa shule mimba mukanifunga miak 15 ndan na nitukio dogo la kuleta kiumbe cha mungu dunian why mama Alie ondoa kiumbe cha mungu duniani munamfunga nije mwaka mmoja why
Msikubali achaneni na serekali hawatendei watu haqqi. Mfateni huko aliko au tumeni watu wasimuuwe lkn wamtie adabu wamkate mkono 1 na mguu mmoja na yeye ajue. Na aone na ajifunze km ukatili si mzuri.
Jamani serikali yetu ni nzuri na ina utawala mzuri viongozi makini tunaomba muingilie hili sakata tatizo sio muuaji tatizo ni huyo hakimu aliyetoa hukumu rushwa wazi wazi
Kweli huyu jaji aliyehukumu hii kesi anatakiwa akamatwe mara moja Tena hatakiwi kuwa jaji hata kidogo Yani wanazidi kuchafua serikali na chama pia kweli hii Ni hatari kubwa Sana hapa ndipo wanazidi kuchafua hii serikali duuuuuuj
Asanteni sana majirani kwa ushirikiano wenu
Huyo jaji na muuwashi, wote wakamatwe kwa sababu kuna mchezo mchafu umefanyika hapo kati. Poleni wanawake, umoja ni nguvu.
Asante sana Milad ayo na dada Gea kwa kupaza sauti
Sote tushirikiane kuwalinda watoto tusitegemee sana Sheria
Sasa kama uyu uyo ni dada akee alimuachia
Mama Samia huyu jaji aliemua hii kesi nahyu mtuhumiwa wte wachukuliwe htu Kali.Jaji afukuzwe kaxi napelekwe mhkmn.Hii tanzia niyahki kwann aachiwe
Pole sana mdogo wangu.kweli mahakama haijatenda haki.mtu ameuwa na ushahidi upo.bado anaachiliwa huru kwa kuongopea amepewa kifungo cha nje.tangu lini muuwaji akahukumiwa kifungo cha nje?
Jamanii tunaomba haki itendeke ilivyo alie uwawa ni binadamu sio mbuzi.
😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊
na muwaji kakiri mwenyew kama kaua
Hii yote inatokana ma mama wa marehem kukosa pesa lait angekuwa na pesa uyo muuaj asingeachiwa
Hapo pesa ime tembea..pole sana mama.
Ni kweli kabisa yani ndo maana watu wanachukua sheria mkononi maana maakama haina haki ukipeleka mtu akitoa ela unashangaa unazungusha zungushwa mwisho wa siku kesi imeisha
Kaenda kwa waganga huyo
Siwa fichi Tanzzania hatuna mahakama , hakuna sehemu hatari kama mahakama kwa Sasa Mimi nilifanyiwa uhuni na jaji.HII NCHI IONGOZWE NA JESHI WANASIASA WAME FELI
Japo yamesha tokea ila mama angukua anafwatilia mtoto anaishije angeweza kuepusha hili
Kila kitu pesa hii ichi
Rushwa, rushwa, rushwa, rushwa, msifumbe macho wanawake. Mtoto apewe haki yake.
Na takukuru ipo au hiyo taasisi ishafungiwaga na hatujui??
Iyo rushwa kila maali jamani tutapona kweli mungu atusaidie
Ni kweli, mungu atusaidiye.
Asanten sana majirani kwa ushirikiianooo
Hakika selikali msaidien huyu mama jaman sie maskini tunaonewa sana 😭😭😭
Agekuwa kauliwa tembo au swala pasingekalika haki hakuna
😂
Hata angekamatwa na vipande vya nyama pia unafungwa miaka 22 🇹🇿 hakuna haki kabisa ndani wamewajaza wasio na hatia, wenye hatia wapo nje😭
Duu dunia imeisha kabisa
@@sheryphamwenevalley6124kwel kabisa
Kabisa
Sub'haana Allah
Serikali nawaomba ingilieni kati Suala hili ili haki ipatikane
Pole sana mdogo wangu unauchungu wa mwanao kuuawa bado haki haijatendeka
. bora mngemmaliza ninyi.maana mahakama Tz haipo.
Mama etu samia suruh popote ulipo na viongozi wengine tunawaomba sana sikilizini kilio cha huyu mama.kwani hajatendewa haki kabisaa. Mama samia nchi yetu jamani nchi yetu tanzania inaelekea wapi? Rushwa imekithiri inatumaliza wanyonge jamaniiii😭😭
Huu mkasa niliusikiaga yan nimeshangaa mpka leo mtu ety hajahukumiwa 😢😢 hamjamtendea hak uyo mtoto 😢😢
Ndo serikali yetu hii af ukijichukulia sheria mkononi polisi wanalalamika wakampge tukio sahv sheria zetu ziwe matukio akikufanyia kitu polisi unaachia wenye ela
Aliekamatwa na vipande vya nyama pori miaka 22 alieuwa mtoto wa binaadam mwaka moja tena kifungo cha nje 😢😢😢😢
Polen jamni,,,hasa mama mtoto,umeniliza mno mzazi mwenzangu,,uchungu sana,,,
Utakuta kuna watu bado wana Imani na mahakama 😢😢😢
Naimani Serikali yetu ni sikivu imekusikia....pole sana mama mtoto.
Next time mtu akiuua wananchi na sisi tuue hakuna kusubiri
Yaaan hii serekali ya sahv ni kuendana nae titi for tati ukipigwa tukio unapiga tukio mtamalizana huko mbele kwa mbele
Yani maswala yamauji wengi wanahukumiwa alafu muuwaju anakua uriani kama kawaida au walawitiji waponje wengi baada yaukumu, niomana wanchi wanachukua sheria mkononi alafuwanaonekana wamekosea wakati mahakama zetu azitendi haki,,
Msikubali andamaneni mpaka kwa huyo hakimu.na mumpe kichapo ikiwezekana
Nipo Oman mdogo wangu alipigwa na jirani tanga nusu amtoboe jicho nlitoa pesa mpaka nimehakikisha alifingwa miez mitatu nikifiro juu alichezea mchawi pesa tuu Aslam aleykum umat Muhammad
Ee mungu baba nipe umri mrefu niwalee wanangu mwenyew😭😭😭😭inauma sana
Hii serika ni mtihan sijawahi kuona mtu anauwa then anauulizwa tukupe adhabu gani? Alhamdu' lillah Hii Dunia Sio mbaya watu ndo wabaya,
Mtoto upumzike kwa amani! Kiukweli Mtoto atendewe haki jamani!
Uyu ni muuaji kabissa ongereni wamama kwa kujitokeza pole mdogo wangu usimpe Tena mtt mtu meingine polle sana
Mshenziii mkubwa atafutwe kabisaa. Justice for our little baby 👶 😢
Me ndio maana sipend mazoea ya ndugu na wanangu😢yan uniulie mwanang tugawane majengo ya serikal🙌🙌🙌🙌
Ubaya Hauna Ndugu. Ubaya Hata Mama Anaweza Kumuuwa Mwanawe. Hilo Lakukataa Ndugu...
Huyu nae hajitambui@@nurdinmfamau3493
Eee Mungu endelea kuonekana katika hili.Mama Samia tunaomba ulisimamie mama,wazazi kunaumia.
Yaani hii kitu jamani siyo kweli tanzania nchi yangu mama samia kipenzi raisi wangu sasa yule mama alikutwa na nyama ya swala alihukumiwa mia 20,jela sasa huyu dada kauwa kafungwa kifungo cha nje mmmmm majaji ila niwaombe radhi tendeni haki jamani 😭😭😭😭😭
Huyo ni wakunyongwa tu.ushahidi upo wazi.nashangaa kifungo cha nje.sijawahi kuskia.huyo ni hakim.au muuza katanga.kavamia fani
Inatia uchungu mnooooooo hiiii dunia tunaelekea wapi??? Mungu cmama .
Huyo siwakuishi nae km nimimi daaah agefurahiya shoo mungu wangu inauma sana
Auliwe na yy mbwa huyo serikali yetu haitendi haki kabisa
pole dada na mtihani yote hayo inasabanaishwa na umasikini
Mungu mungu jmn kwanini hii dunia?. Tunaomba utusaidie Mungu ututete.
Yaani huyo atauliwa na wananch anae uwa kwa upanga auwawe kwa upanga mkimuonq muuweni serikal ya hovyo
Tanzania akuna Kai ata robo
Inauma sana
Huyo hakimu anawatoto kweli? Au kala rushwa? Kesi ya mauaji kumbe kifungo ni miezi 12 nje? Au anataka mauaji yaendelee? Nchi hii inakokwenda siko mauaji yataendelea sanaaaa na kifungo itakuwa wiki 1 nje. Huu ni wendawazimu sana. Hongereni sana majirani wema.
Mungu aturehemu kwa makosa yetu
Pole Dada
Mtihan sana jaji kumbe anatoaga chance yakuuliza ADHABU ya kukuona nyie mmmgh hapo ni Mungu tu ndio atalisimamia hili suala zaid ,NINAIMANI na serikali yetu Kila kitu kitasimamiwa na mtoto atapata haki yake,,hii inamaana damu ya mtu haiendi Bure lazimanipate haki yake ALHAMDULILLAH ALLAH HAKIM
Mtu alikutwa na vipande 12 vya nyama ya swala na akahukumiwa miaka 22 😢😢😢 uyu mama kaua binadamu tena mtoto mdogo kakatisha ndoto zake anaachwa huru hizi sheria ni hovyo kabisa😭😭😭
Tupo pamoja jamani aki ipatikane uyo sio wa kuishi na watu😢😢
Jamani hiii nchi hiiii mnyonge wanamnyonga kweli duuuuh
So sad
Majaji kama hao na viongoxi wengi wa mahakama wakifagaa vifo vya mateso sana jaribu kuchunguza utaona 90% kansa,ajali na mateso mengine bado watoto wao na wajukuu laana haimuachi muhisika hata siku moja hayo machozi ya huyo mama hataenda bure Mungu yupo
Askari wanafuatilia hadi kujua alipozikwa mtini ila mahakamani wanatoa kifungo cha nje au aliyehukumu ndo kamtuma akaue mbona hivyo jamani mahakama hiyo ifuatiliwe kuna mambo mengi huyo hakimu anayafanya .
Mama samia haraka sana na waziri wa sheria na viongozi wote haraka sana huyo hakimu na wote waliofanya mchezo huo wakamatwe huyo kuna kitu walichukuwa kwa mtto huyo uchawin
Hongeren kwa kupaza sauti inaumiza sana ,hii nchi ukiwa na pesa unashinda kesi 😢
Anyongweee
Huyo jaji ni mchepuko wake aisee pole sana wanasheria mpoooo lifatilien hili na huyo jaji afukuzwe kazi naomba mawaziri na wanaharakati simamien hili kifupi nkikutana na Ratifa mimi namuhukumu kigo
Xaxa kama hapo serekali mnataka ushahid gan kwa mtuhumiwa kama huyu anauwa mtoto kwa mateso af anapewa kifungo Cha nje kvp xaxa? Inaumiza sana!! Kama serekali ikishindwa kumnyonga bas familia jiongeze mfanye kama m2 aliepotea kwa mazingira ya kutatanixha af mpoteze
Judge afukuzwe tu kazi
Jaji mshenziii sana angeuwawa mtoto wake angetoa hukumu kama hiyo? Huyu jaji akamatwe haraka laa sivyo hatutakua na imani na mahakama zote na ikitokea tukio huku mtaan bora tuwe tunamaliza hukuhuku kuliko kufuata sheria
Yaani hii inaumiza sana Gwajima kwenda kote kule bondeni na kushuhudia tukio alipofukiwa mtoto lkn hili swala kalikalia kimya ni uonevu mkubwa ndy maana raia wanajichukulia hatua mikononi mnaua panya road wauaji mnawaacha Serikali yetu ya uonevu sana😢😢
Yaani huyo ahukumiwe kabisa ikiwezekana kunyongwa hata kama mtoto hatorudi baada ya hukumu ila hukumu itendeke
Dada hii ndio tanzania yetu
Hiyo hukumu ni batili. Poleni sana familia 😢
Inaumiza sana pole dada ila serikali ya Mama samia ni sikivu tunaomba isaidie kwa hili tukio 😭😭
Pole
Yani hukum kama kaiba kuku ndio maana visasi haviishi siwezi kumuona muuaji wa mwanangu ana furahi ndio maana watu wanachukua hatua mkononi hii sio haki
Eti jamani Nani mwenye moyo huo mm mwenyewe siwezi teena mtoto kamuuwa kikatili jamani hapana
Kabisa aiseee yani ngekua mm mama wa mtt namuua aiseee siwezi kuvumilia kumuona muuaji wa mwanangu anaishi tu na uku kaniulia mtt kwa makusudi 😢😢
Kabisa visasi aviishi uyo mwizi wa kuku anachomwa moto
Tna kwnye dini kisasi kipo
Hii sio sawa hata mm naunga mkono maandamano hayo imeniuma sana ndio maana Makonda akisema maskini hana hakii watu wanamtolea maneno mabaya haki iko wapi hapo jamani
Inaumiza sanaa asee 😢😢
Mmmh, huyo mbona wananchi watamalizana nae🙌🏻
Jamani wauwaji wengine wana ugonjwa wa AKILI NA WAZIRI WA AFYA HALIJUI HILO.NDIO.MAANA HAFUATILII SANA HATA JANA MUDAAA WE MAUWAJIII
Awwawe Uchungu wa mtoto unauma kwakweli 😢😢
Baba keegan sasa hivi atakuja hapa chaaap
Pole sana lakini Sheria zipo , lakini Paulo makonda au Rais haruhusiwi kuingilia mahakama
Jamaniiiiiiii hii nchi tuna kwenda wapi jamaniiiiiiii 😭 kesi ya mauaji hukumu mwaka mmoja kweli jamaniiiiiiii haki itendeke jamani
Huyo mama ni mchawi had kumuweka mtoto ktk ndoo na kwenda kumfukia jmn haraf anapewa miez 12 kifungo Cha nje? Mkimpata muuwen TU
Sheria haiangalii hizo kelele zenu Sheria ni msumenu
Mnyakyusa mwenzang mama diba nimemuona hapo
Nmemuon mama diba Apo saf wanawake hio sio hakii kbsa😢
Dhulma kubwa kama hii hatari hata kama rushwa hii imetisha sana tumuogope mungu
Wakina Mama wenzangu komaen msifumbie macho huyo inatakiwa anyongwe.
Mimi nilimpa bint wa shule mimba mukanifunga miak 15 ndan na nitukio dogo la kuleta kiumbe cha mungu dunian why mama Alie ondoa kiumbe cha mungu duniani munamfunga nije mwaka mmoja why
Msikubali achaneni na serekali hawatendei watu haqqi. Mfateni huko aliko au tumeni watu wasimuuwe lkn wamtie adabu wamkate mkono 1 na mguu mmoja na yeye ajue. Na aone na ajifunze km ukatili si mzuri.
Mmh hapana kwa kweli haki haikutenda haki
Mama gabo nimemuona au namfanisha
Mungu wa rehema uliye jaaa nguvu na ukweli ww ndie unaejua ukweli wa hya mauaji ya hyo mtoto tunaomba usimamie ukwel wa hili jambo
Huyo alietoa hiyo hukumu akamatwe yeye afunguliwe mashtaka ya rushwa na uzembe na ikibidi aondolewe madaraka yake hafai
Jaman nimemuon mama chichi wa jua kali
Umoja ni nguvu
Jamani serikali yetu ni nzuri na ina utawala mzuri viongozi makini tunaomba muingilie hili sakata tatizo sio muuaji tatizo ni huyo hakimu aliyetoa hukumu rushwa wazi wazi
Aiseeeeeeee hii ndio Tz na mahakama zake
Ndo maana watu wanajichukuliaga Sheria mkonon maana serikal yetu imekuwa ya hovyo sana😢
Kwa sheria za TZ huyu mama anapaswa kunyongwa ! Au wananchi wachukue sheria mkononi, kwanini wamemuchie mtu aliyefanya mauaji ya kinyama hivi? 😭😭😭😭
Kweli huyu jaji aliyehukumu hii kesi anatakiwa akamatwe mara moja Tena hatakiwi kuwa jaji hata kidogo Yani wanazidi kuchafua serikali na chama pia kweli hii Ni hatari kubwa Sana hapa ndipo wanazidi kuchafua hii serikali duuuuuuj
I whimsy ningekuwa jirani pia nijiunge inauma ssna kama hakuna haki😢😢
Ndo maana watu wanachukua sheria mkononi,yaan angekuwa ndo mtoto ameuliwa na muuaji yupo nje nilikuwa naenda kuua mtu na mim
Me naomba jaji Alie amua hiyo kesi na yeye ahukumiwe kunyongwa naomba sana jaji anyongwe kwa nn ampe kifngo ch mwak mmoja huyo mama
Wanasheria tusaidieni jamani
So sad hukumu itolewe upya😢
Anyongweee mbwaaa huyoooo
Hii Ni hatari wallah
Muuaji kwel!! Afungwe jaman