MAUAJI YA KUTISHA ARUSHA MAMA AMUUA MTOTO WAKE, FAMILIA YASIMULIA MWANZO MWISHO

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 7 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 300

  • @khadejakhadeja9713
    @khadejakhadeja9713 2 роки тому +5

    Pole Ester Bora waameuwaa wakwao .mungu amekunusuru ungekufa wewe pole Sana

  • @abdulkareemchacha2625
    @abdulkareemchacha2625 2 роки тому +13

    Doooh...., pole sana.....aisee hiyo familia ni balaa,haya tazama sasa wamemuua mtoto wao!!!! Laana imewarudia wenyewe....,hapakufai hapo ondoka haraka sana.
    .

  • @arafakiloli749
    @arafakiloli749 2 роки тому +11

    Subhannahllah pole sana mwanamke mwenzangu. Allah akupe subra katika kipindi hiki kigumu.

  • @edvinaselestine712
    @edvinaselestine712 2 роки тому +10

    Pole dada mama wakwe changamoto ni shida Mungu tusaidie

  • @sidratybinkhamis2837
    @sidratybinkhamis2837 2 роки тому +1

    Wazazi wa huko baadhi yao ni wanaroho mbaya kwel kweli na baadhi nyingine wanaroho nzuri sana tena sana .kuomba mungu tusikutane na mtihani huu

  • @hamedahameed148
    @hamedahameed148 2 роки тому +5

    Aisee naombaga sana Mungu kama itatokea nikaolewa aisee sitaki kukaa karibu na ndugu wa mume maana maneno huwa hayaishi ukipendwa na mtoto wao bas nishida kiifupi hatuna jema maana hata mimi mwenyewe ni ndugu wa mume

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 2 роки тому +18

    Kuna mama wakwe nuksi kabisa. Wafungwe maisha wote wanaohusika ili wengine watie akili.

  • @sleeprelaxation8431
    @sleeprelaxation8431 2 роки тому +2

    hawa wakimchukia huyo kijana wao, ndio maana waka mchukia na mkewe,, pole sana dada

  • @jacklinemichael1069
    @jacklinemichael1069 2 роки тому +10

    Mungu amlaze mahali pema aisee,namfahamu daaah!!

  • @aisharamadhani1948
    @aisharamadhani1948 2 роки тому +1

    Familia zingine ni nuksi tu ,,, hivi unamchukia mke wa mwana kisa umri mkubwa ,,, subhanallah huyo mama hana utu na hana uchungu hadi kafikia kupiga mwanae ona sasa kamua mwanae wacha akakutane na bwana jela ,,,mama mzima ovyo na hao wadogo wa marehemu hovyo shenzy sanaaa

  • @NR-ll4sr
    @NR-ll4sr 2 роки тому +4

    Kwenye nyumba mama akiwa mlevi ni hatari Kwenye family,,bora baba awe mlevi kuliko mama

  • @obillaezra6205
    @obillaezra6205 2 роки тому +6

    Tanzania Kuna upepo mmoja mbaya sana Wakuuana ndugu Kwa ndugu” Cha Msingi ni kuzuia Hasira zetu, tusipo thibiti basi Pepo la kuuana litaendelea kutuandama”

  • @رقيهالخصيبي
    @رقيهالخصيبي 2 роки тому +8

    SubhanAllah 😭😭😭 familia nyingine za hovyo eti mwanamke mkubwa kwani alikoma siku si huyo amezaa maisha haya ya kupelekewa mke au mume mbona hata mwonekano si mkubwa sana amefanya la maana kunyamaza angejibu huenda umauti ungemkuta yeye kuna kauli inayosema ukimya jibu tosha kwa mjinga na familia msitetee ujinga hao ni wauajiy msiseme hakutegemea kama angemuua watu wanatumia mbao na nondo halafu mseme hawakutegemea kama wangemuua peleka ndani inauma sana

    • @afrahoman2844
      @afrahoman2844 2 роки тому

      Loooo mbaya2 kwan mkubwa amemzaaa

    • @رقيهالخصيبي
      @رقيهالخصيبي 2 роки тому

      @@afrahoman2844 ndio hicho cha kushangaza kimtazamo hata hawajapishana sana nimeumia kama namfahamu mnampiga kama mnapiga jambazi kwa kutumia vitu hatarishi dah

  • @sarahmcharo1548
    @sarahmcharo1548 2 роки тому +2

    polee dada! huyu mama kichwa yake ipo sawasawa kweli!!! au sio mama yake mzazi!!!

  • @chifuthedoni8889
    @chifuthedoni8889 2 роки тому +19

    Fimily nyingi hutakiwi kukaa nazo karibu, Ukishaoa unapaswa kuondoka nyumbani ukaishi mbali kabisa! Unakaa karibu na mzazi wa nini? Afu kwa nini wamama wengi wa kilimanjaro wanalewa?

  • @doriceassenga6640
    @doriceassenga6640 2 роки тому +6

    Kiukweli mzee alohojiwa amebeba busara nyingi sana Mungu amtunze tunahitaji Wazee na Wazazi wenye busara kama huyu baba.Na wanawake tunapoingia kwenye ndoa kama kuvumilia mateso ya wakwe na wafiwi huwezi ondoka wape nafasi ona Leo wanakuacha mjane bado binti mdogo

  • @highonebalo8289
    @highonebalo8289 2 роки тому +3

    Hii habari ya kubanana sehemu moja shida sana. Yaani kiukweli watu waache mambo ya kujikusanya sehemu moja watawanyike wakapangishe mbalimbali huko wakutanage tu kwenye matukio, inaleta heshima kuliko kuchunguliana tu kila saa hadi MTU anauliza unamwogeshaje mtoto. Lohh!!
    Ona sasa😭

  • @hamidaalhabsi8568
    @hamidaalhabsi8568 2 роки тому

    Subhanaallah inalilah wanaileh rajuuni poleni sana familia jamani tupende watoto wa wenzetu wakiolewa na familia zetu sio Vizuri kabisa. Mlevi agombani na mtu ila akikukusudia kuomba na mtu hiyo familia sio nzuri

  • @saidomary6414
    @saidomary6414 2 роки тому +8

    Nampa pole mke wa marehem hao wengine sheria inawasubiri

  • @tingbatuuka7278
    @tingbatuuka7278 2 роки тому +10

    Wafungwe maisha maana wameua kwa kukusudia

    • @winniecharles8975
      @winniecharles8975 2 роки тому

      Noooo hafungwi mtu bana huyu jamaaa alistahili kufa coz anawezaje kumpiga mama yake kwa ajili yaili zee li Bibi hao ndugu wanawezaje kukaaa kimya mama yao apigwe

  • @renatusmisigaro6332
    @renatusmisigaro6332 2 роки тому +4

    Ila wameru niwasengeeeeenyaji sana! Wamekumbatia mamira ya kijingajinga sana!

  • @catherinemusyimi8591
    @catherinemusyimi8591 2 роки тому

    dada kama mama mkwe akutaki Toka Kwa mwanae au umwambie mme wako muhamie mahali kwingine juu malimbano yataishi hapo ikiwa utakiwi.pole sana🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @hamedahameed148
    @hamedahameed148 2 роки тому

    Hii habari ya kukaa na mama mkwe na mawifi karibu 🙌🙌 yaani wakigombana wao hadi wewe hawakusemeshi Kwa sababu wanajua wewe ndo chanzo

  • @zainabuyohana3780
    @zainabuyohana3780 2 роки тому

    Tujifunze tu kuwa wavumilivu sikilatukio unalo fanyiwa na ndugu wa mme wako unamwambia mmeo vingine tunamuachia Mungu sasa Mme kapotea nitaabu sana kumpoteza Mme jaman tunatakiwa kuwa na hekima sana

  • @baruaninombo291
    @baruaninombo291 2 роки тому

    Wamama wakwe mnaroho mbaya sana unavyomfanyia mtt watu nawako lazima afanyiwe sura mbaya roho mbaya mavi enu

  • @mamymdogomamy3670
    @mamymdogomamy3670 2 роки тому +19

    Vijana mkitaka kuowa jengine msihishi na wazazi wenu nyumba moja jamani 😭😭

    • @husseinomary2397
      @husseinomary2397 2 роки тому +2

      Nisawa

    • @rashidyally8715
      @rashidyally8715 2 роки тому +2

      Kweli kabisa unapooa ukaishi kwa wzazi kunakua na changamoto nyingi Sana endapo mke wako watakua hawampendi wazazi wako au ndugu zako

    • @listerlujiso6009
      @listerlujiso6009 2 роки тому +2

      Kabisaaaa kiukweli na ndoa Itakuwa na aman na mama mtaishi nae vizur

  • @baloziubalozini5074
    @baloziubalozini5074 2 роки тому +2

    Kesi ikianza, watoto watamkana mama yao mzazi, mama mzazi atawakana watoto wake
    Kila mtu ataangalia nafsi yake
    Hii laana haitawaacha salama

  • @superwomanmwenyeheri.1367
    @superwomanmwenyeheri.1367 2 роки тому +11

    Kiukweli yanahitajika Maombi ya kitaifa siku 40, viongozi wetu msichukulie mzaha matukio haya kisa watuhumiwa wanakamatwa NO!
    Chukueni hatua viongozi wetu.hali si shwari Tanzania..

    • @Hamy1109
      @Hamy1109 2 роки тому

      Hata wewe ukiomba peke yako inatosha tu.

  • @derickmmari594
    @derickmmari594 2 роки тому

    Ntakukumbuka rafiki yangu mungu akulazee mahal Pema peponii

    • @SAM_163
      @SAM_163 2 роки тому

      Mnafahamiana na Marehemu?

  • @azizahassan5919
    @azizahassan5919 2 роки тому +4

    Hii ndio shida ya vijana unaoa mke unampeleka kwa mama, mimi kiukweli sitaki Kukaa na mkwe sehemu moja wala ndugu wa mume

  • @vanesakisanga7519
    @vanesakisanga7519 2 роки тому +6

    Mbona mwanamke sio mkubwa ona sasa familia nzima gerezani

  • @superwomanmwenyeheri.1367
    @superwomanmwenyeheri.1367 2 роки тому +2

    Mwenyenzi MUNGU inusuru Tanzania,Kuna liroho lisilo la kawaida linamaliza wananchi kimtimdo. Hii imekua too much Sasa mauaji kila kukicha...

  • @bahatiagape731
    @bahatiagape731 2 роки тому

    Wameru jamaniiii...duuh...ni balaaa...Nina wifi yangu ni mmeru...Yan ni balaaa....ana mdomo kama bakuli yeye na watoto wake..Yan...siwez elezea...mama neema...duu...umebarikiwa mdomo na neema wako..Yan anachibganisha familia nzima kimya kimyaaa...🤔🤔🤔🤔🥺

  • @MohammedAli-rh5si
    @MohammedAli-rh5si 2 роки тому +4

    Inna lillah wainahy llah rajioun pole bint kupoteza baba mtoto wako

  • @mariamali1887
    @mariamali1887 2 роки тому +2

    Daah inasikitisha mnmuua ndugu kwa ujinga .yote hayo kukaa na famili kazi sana

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 2 роки тому +9

    Subhannallah, Inasikitisha sana kwakweli 😢

  • @silviasoka6845
    @silviasoka6845 2 роки тому +6

    Uyo mwali ajiandae kuondoka apo maana wakimaliza kuzika wanamrudia yeye maana inaonekana ata hao wengine waliobaki hawampendi

  • @hadijamsafiri1767
    @hadijamsafiri1767 2 роки тому

    Dah unaumaa sanaa

  • @sanekwilabya2341
    @sanekwilabya2341 2 роки тому +1

    Tumeona upande mmoja wa story. Wakati mwingine wake huchukia kukaa na wamama wakwe hivyo ktk kutafuta sbb ya kuhama BASI huwachonganisha mama mzazi na kijana wake. Hatujui huyo mama ni nini alimwambia mume wake juu ya mama mkwe. Nayeye kimemgharimu kapoteza mume

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 2 роки тому +2

    Sishangai kuskia mwanamke wa kimeru ameua kisa kumkataa mwali hata ukiowa huko Meru yataka moyo 🏃‍♀️🙌🙌

  • @telaamtauta2227
    @telaamtauta2227 2 роки тому

    Jamani jamani.sasa faida ikowapii sasa wewe mamanamawaifii mungu akupe subra sana dada uliyefiwana mumeo.polesana

  • @elizaeliza4369
    @elizaeliza4369 2 роки тому +11

    nikiolewa mama mkwe ukae kwa kutulia, ona sasa malipo yako umeyapata 😭

  • @zaipazzi9490
    @zaipazzi9490 2 роки тому

    Sifurahishwi na ivyo vitendo nikiwa m Tanzania jamani tushirikiane kutokomeza ukatili.

  • @auntdorah9141
    @auntdorah9141 2 роки тому +1

    Kijana akishaoa , kama ni eneo la familia apewe kwake ajenge akas na mkewe , mama mkwe na mawifi mtulie kwenu.
    Sio wamama wote lkn asilimia kubwa huingilia ndoa za watoto wao , lazima kuwe na mipaka.

  • @josephamani
    @josephamani Рік тому +1

    Tatizo la kuishi na wazazi wakati mtu umeoa umeisha kua na familia

  • @nameno8608
    @nameno8608 2 роки тому +2

    Kwa kawaida Mama humpenda sana mwanae sasa huyo Mama ni pombe kumpiga mwanae hadi kufa lo Dunia imeisha mtoto ni miaka anayosoma akioa ni mtu mzima si wako tena

  • @godifreymallya9701
    @godifreymallya9701 2 роки тому +3

    Zefania tumeagana jioni asubui nambiwa aupotena nas Mungu hiapumzishe rohoyako malipema pepon

  • @japharishabani7616
    @japharishabani7616 2 роки тому

    Dah! Hatua stahiki zichukuliwe kwa watenda makosa Mana wanajichukulia hatua

  • @angeljoseph922
    @angeljoseph922 2 роки тому +6

    Sijawahi kuona familia ya kipumbavu kama hiyo

  • @aminakasim1198
    @aminakasim1198 2 роки тому +1

    Astaghafirullah mmmmmmmmmh mwenyezi mungu atujaliee mwisho mwemaa

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983 2 роки тому +1

    Huyo Mama Mzazi jamani. Unaenda jela uzeen kweli? Mwenyezi Mungu ampokee mja wake.

  • @sophiankwera9020
    @sophiankwera9020 2 роки тому +4

    Jomn mukioa musikae Kwa wazazi mkaembali muwe mnaenda kutembea tu siku mbili mnarud

  • @irenewile
    @irenewile 2 роки тому

    Daahh huyo mtoto masikini

  • @agnestemu8382
    @agnestemu8382 2 роки тому +2

    Dada ungemwambia tu mumeo mkapangishe jmn😭😭😭😭😭😭

  • @auntdorah9141
    @auntdorah9141 2 роки тому +34

    Sio mama wakwe wote wabaya,
    Mimi nimekutana na mama mkwe anayenipenda na ni zaidi ya mkwe kwangu, ni rafiki yangu.
    Na muolewaji unapoolewa ingia taratibu, wasome, mpende mama wa mumeo na kama mumeo na mama yake hawaelewani wewe sasa uwe mpatanishi , taratibu wataelewana na mama/familia watakupenda tuu. . Na mbaya nyingine ukutane na wifi hajaolewaga au aliachika kwa mumewe!! hawa baadhi yao ni shida!! Ishi nao kwa akili pia.

    • @leahlucas479
      @leahlucas479 2 роки тому +1

      Kweli kabisa

    • @leahlucas479
      @leahlucas479 2 роки тому +3

      Huyu dada Jeuri kwa nn hakumjibu Mama mkwe wake??

    • @mwashabanirashidimitumba7788
      @mwashabanirashidimitumba7788 2 роки тому +3

      Wengine hata ukiwapenda hawapendeki
      Mm yamenikuta hayooo nilimfanya km shoga lkn wapi
      Ukitoka uku nyuma anakuponda hatarrrreee
      Anasema maneno ambayo hata hujawai kumuambia

    • @ummiissaabdulissaabdul8117
      @ummiissaabdulissaabdul8117 2 роки тому +1

      uyu mwanamke ni mjeur na pia kulikua na ugomvi mda mwingi na ugomvi ulianza na uyu mwanamke ndio bwana akaingilia mpaka kukosana na familia yake na sisi wanawake wengi uenda miji ya watu na kuvunja familia za watu waume waume ishini na sisi wanawake kwa akili sisi wengi ndio chanzo cha mume kukosa radhi za wazazi

    • @jackyluns8224
      @jackyluns8224 2 роки тому +1

      @@mwashabanirashidimitumba7788 nakupa hongera namm yamenipata hayo tena unamnunulia mizawad yakutosha lakin daah

  • @zaipazzi9490
    @zaipazzi9490 2 роки тому

    Inabidi itwaje na kuorodhesha mikoa ya watu wanao ongoza kwa ukatili. Lakini watu wa bwani hawana sifa ya matukio hayo na ukiona purukushani kwa watu wa pwani ni wageni au wahamiaji , wafugaji kutoka mikoa mingine huwa wanaanzisha maugomvi ya kikatili. Serikal ichunguze mikoa yenye matatizo na kufanyiwa kazi ili kukomesha ukatili

  • @rebeckalameck8390
    @rebeckalameck8390 2 роки тому

    Mama mkwe wangu sio mbaya japo mapungufu kilamtu anayo ila kabla sijaolewa nilimwambia mumewangu siwezi kuishi na mama yake mzazi yani niishi kwao bola aje kunisalimia na mimi niende kumsalimia ila kuishi ukweni hapana

  • @elizabethjakobo279
    @elizabethjakobo279 2 роки тому

    Mmmh Mimi stakaa nikae Kwa mama mkwe wa

  • @leiratykisura6718
    @leiratykisura6718 2 роки тому +1

    Innaillahi wa innaillahi rajiun dunia ipo mwishon tutubuni jaman matukio yamekisiri emani hakuna jmn mnampiga mtu kama mnyama aisee inauma sana

  • @fatmaabdallah7709
    @fatmaabdallah7709 2 роки тому +3

    Mwanamke mjeuri unamfanyia mkweo dharau

    • @mamymdogomamy3670
      @mamymdogomamy3670 2 роки тому

      Hayaja kufika dada

    • @bintnouh4483
      @bintnouh4483 2 роки тому

      Hujakaa kwa wakwe tulia

    • @juliethswai4263
      @juliethswai4263 2 роки тому

      familia za watu zina mambo acha tu

    • @fatmaabdallah7709
      @fatmaabdallah7709 2 роки тому +1

      @@bintnouh4483 sijakaa kwa wakwe na sitakaa ht siku moja tukawa hatuelewani. Raha ya maisha kuelewana na kuheshimiana ht kama hampendani. Ukiona hamuelewani na wakwe ni kuhama tu sio mpaka kuuwana

  • @mariamcrispo8296
    @mariamcrispo8296 2 роки тому +1

    Huyo mama Ana laana jamani mie hata sijaelewa kabisa

  • @aishaamwalimu2887
    @aishaamwalimu2887 2 роки тому

    Pole mdada.

  • @masanjaabasi8970
    @masanjaabasi8970 2 роки тому +24

    Point niwalikuwa awampendi mke ona sasa wamemuuwa mtoto wao😭

  • @janembalinga7074
    @janembalinga7074 2 роки тому +1

    Arusha ni mji wa laana wanaua sana

    • @lilianurio9781
      @lilianurio9781 2 роки тому +2

      Siyo kweli, nakataa hiyo kauli katika Jina la Yesu

    • @neemabernad4329
      @neemabernad4329 2 роки тому +1

      Koma tena Ushindwe na ulegee Ujifunze kuzuia kinywa chako kwamaneno yasiyokuwa na ulazima kuyatoa yatakuponza mpendwa.

  • @nicolauselias9084
    @nicolauselias9084 Рік тому

    Huyo mpumbavu anaonekana. Kabisa kua anamtetea huyo mama mbwa Sheria ifate mkondo wake

  • @neemaruben5427
    @neemaruben5427 2 роки тому +1

    Sio mnahoji hoji watu wtu mtoe na misaada Millard ayooii plz hii kesi ifwatilieni mpk huyu dada apate haki za msingiiiiiiii plz

  • @delishaluhyaqueen6950
    @delishaluhyaqueen6950 2 роки тому +1

    This is so sad 😭😭😭😭 lord Jesus locate that lady is so painful

  • @josephinekicheleri860
    @josephinekicheleri860 2 роки тому

    DAMU YA YESU IFUNIKE DAMU YOTE ILIYOMWAGIKA HAPO HOME JINA LA YESU LITUKUZWE

  • @marylyobha3956
    @marylyobha3956 2 роки тому

    Cjapenda kwakwel Sheria ungekuwa mikononi mwangu ningewanyonga live nmeumia Sana yn mnamuua ndugu yenu hii co haki😭😭😭😪

  • @abuujr8825
    @abuujr8825 2 роки тому

    Pumzka chali angu zeph...bado siamn asee nilizoea kkuona kila asubu naulipenda kunitania mzee wa man u mbove pumzka kwa amni....mzee wa chelsea mbov uoikua huna baya na mtu hakika nitakumc 😰😰

  • @MohammedAli-rh5si
    @MohammedAli-rh5si 2 роки тому +1

    Asa wamepata faida gani mwanamke ataolewa wao wamepoteza ndugu

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania9743 2 роки тому +5

    Duhuu famila ya hovyo sana

    • @jaymwinyi6957
      @jaymwinyi6957 2 роки тому +1

      Daah naulizaje c kwa ubaya ila mbna Mikasa mingi inatokea huku Arusha/Mwanza?

    • @RuzoOwzy
      @RuzoOwzy 2 роки тому

      @@jaymwinyi6957 Nami nataka jua

    • @jaymwinyi6957
      @jaymwinyi6957 2 роки тому

      @@RuzoOwzy au nimekosea bro kuuliza hvyo cz 4ril haimalizi wiki utaskia Arusha /Mwanza matokeo Kila cku wanatuogopesha ss tusiende huko mahali aki

  • @maisalahmustapha8287
    @maisalahmustapha8287 2 роки тому

    wazazi waliotuzalia wanaume muwe na mioyo ya huruma,nasis tulizaliwa tuliko toka

  • @claudia1500
    @claudia1500 2 роки тому +7

    Mama..ulikaa leba,ukajifungua kwa uchungu,ukalea mtoto akakua,ukamuozesha,halafu ukaamua kumpiga mbao kichwani mpk ukamuua...nini umefanya?

    • @walinaziontime7300
      @walinaziontime7300 2 роки тому

      Dhaaaa ni hero to zero kabisa....

    • @claudia1500
      @claudia1500 2 роки тому

      @@walinaziontime7300 well said

    • @mariamaussi468
      @mariamaussi468 2 роки тому

      Hajaumwa

    • @valeriamtenga3384
      @valeriamtenga3384 2 роки тому

      Ni laana za familia
      Huwa zinafanyaga ivo, pale damu inapohitajika, hata ukijaribu kuangalia, unashindwa kuelewa

    • @geraldadolf4928
      @geraldadolf4928 2 роки тому

      @@valeriamtenga3384 yaani umeona mbali sana kiukweli mim nimeshuhudia hilo itakua mama alikua anahitajika atoe damu la sivyo ingemtafuna yey ivyo kuna mikataba ya familia inawatumikisha sio bure.yaani uko vizuri Valeria unajua mazingira ya watu wa kaskazin big up big up GOD BLESS U waelimishe na wengine

  • @estersaul8180
    @estersaul8180 2 роки тому +2

    mungu wanguuu..uturehemu

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly 2 роки тому +1

    Mmmmmmh!!

  • @suleimansultan3333
    @suleimansultan3333 2 роки тому +1

    Mtihani inaonesha wifi zake ndio shida kubwa inasikitisha sana

  • @getrudathomas535
    @getrudathomas535 2 роки тому

    Duh hao walijipanga mama hakua na busara na watt pia walikuwa na chuki zao wafungwe ili iwe fundisho pia wanaume ukioa jitegemee mambo ya nyumbani kuna nyumba kubwa yamepitwa na wakati.kila binadam anamapungufu yake.mama mkwe asipokupenda lazima ugomvi wa familia uwepo.

  • @hatosegese4970
    @hatosegese4970 2 роки тому

    Tusiseme saana maana kila mtu ni mkwe wa mtu marehemu apumzike kwa amani

  • @arleneilunga9202
    @arleneilunga9202 2 роки тому

    Mme kafariki kwaajili ya mke wake iyo kifo ilikuwa ni ya mkewe😓😓

  • @shakren427
    @shakren427 2 роки тому

    usa_river nikwetu kabisa yani ningua arusha ningenda kushuhudia

  • @josephinekicheleri860
    @josephinekicheleri860 2 роки тому

    Wazazi waamue sasa hivi kijana akioa aondoke na mkewe wakafanye MAISHA sio kukaa na wazazi na vijana nao wajitambue kwa sababu UKISHAKUAA TAFUTA MAISHA MATOKEO YAKE HAYOO

  • @mwashabanirashidimitumba7788
    @mwashabanirashidimitumba7788 2 роки тому +1

    Watu wapo msibani wanazichanga karata habar hawapati😭

  • @loveahmed7892
    @loveahmed7892 2 роки тому

    Mungu tunusuru jaman kk mtu mzima na mkewe kauwawa??? Uwiiiii jaman jaman jaman daah

  • @OhongoihondeIhondeohongoihonde

    Mbona arusha matukio nimengi sana jamani

  • @maurinibaraka8469
    @maurinibaraka8469 2 роки тому

    Duuuuuuuh pole sana dada

  • @hidayamakuka7876
    @hidayamakuka7876 2 роки тому

    Dah point hapa mke alikuwa atakiw lakin madhara yake wamemuua mtoto wao .YANI WANAUME MKIOA MUJENGE NYUMBA ZENU AU KUPANGA MDA MWENGINE WANAWAKE WANAPITIA MENGII KUHUSU KUISH UKWENI

    • @mariamjuma4136
      @mariamjuma4136 2 роки тому +1

      Mengi mno mie nilipitea maisha hayo mtihani kweli kweli. Mie ilipotokia tumepishana kauli na mkwe wngu. Mume wngu alikuwa aingilie ugomvi tunakaa kimya tunabembelizana wenyewe na mume wangu mpaka hali inatulia
      Kosa alilolifanya uyu kaka asinge muuliza mama yake mda uo angekaa kimya angengoja mama yake hasira ziishi kama kumuuliza basi angemuliza kwa upole
      Kama angeshindwa basi ilitakiwa amsikilize mkewe chanzo nini wengerikibisha kimya kimya
      Uamuzi ulikuwa wao waendelie kuishi umo au Wahame
      Kuishinda shetani kazi ndogo tu ukiona pana moto wewe kuwa maji kaha kimya
      Ila kuishi ukweni ni mtihani mkubwa

  • @khadijaa815
    @khadijaa815 2 роки тому

    Mama ni mama yeye kijana angehamisha mkewe wakenda japo kupanga mbalikuepusha shari asingebishana na mama ake kupigana

  • @khadidjasuleiman8006
    @khadidjasuleiman8006 2 роки тому +7

    Innalillahi wa inna ilaiyhi Rajiun ya Allah 😰😰

  • @yasmeenaal4191
    @yasmeenaal4191 2 роки тому

    Kwa mini naina mana mkwe ndiyo rafiki , wifi, shemej na familia zima lakini, utakuta familia nyingine hawana upendo lakini

  • @modestafelician6751
    @modestafelician6751 2 роки тому

    Mama wake wa Moshi na Arusha wabaya engine wanawachagulia watoto wao wanawake wa kuoa

  • @purryselestineraggty3171
    @purryselestineraggty3171 2 роки тому

    Kwenye... Msiba.. Na... Kalata.. 😢

  • @KADALAtv255
    @KADALAtv255 2 роки тому +3

    Acha ujinga wewe huyo kijana sio wa kumpiga mama mnajitetea

  • @christinachazy8644
    @christinachazy8644 2 роки тому +1

    Wamama mkwe na wifi hawajawahi kuwa wazuri kwani hata mim wakwangu ni shida na sikai nao karibu lakini hekaheka kweli pumzika kwa Amani kaka,pole dada yangu kumpoteza mmeo karibu kwenye chama Cha wajane kikubwa mtumaini Mwenyezi Mungu wew ndo rafaja tosha

    • @vickmlewa8156
      @vickmlewa8156 2 роки тому

      Na ww unaenda kuwa mama mkwe so jiandae kubeba lawama za mama mkwe🤣🤣🤣

  • @jrjuma7054
    @jrjuma7054 2 роки тому +3

    Mama na watoto wake hii sio poa 😭😭

  • @yasinramadhan7315
    @yasinramadhan7315 2 роки тому

    Wanaume wenzangu tuwe makini na ndoa zetu wanawake na mama zetu ni changamoto sana usije ukaishi jilani na mama yako ukiwa umeoa na unaona kabisa maelewano kati ya mkeo na mama cyo mazuli Kaa mbali sana ili kuepusha kama aya

  • @shakren427
    @shakren427 2 роки тому

    duh wakwe hawamungu anawaona

  • @aishachambo8663
    @aishachambo8663 2 роки тому +2

    Mama kauwa mwanaww duh😭😭😭😭😭

  • @salmasafari7105
    @salmasafari7105 2 роки тому

    Huyu mkamwana nae nitatizo kwanin anaulizwa kakaakimiya, wanawake nasisi tunachangia kugombanisha ndugu.

    • @agneshiza7229
      @agneshiza7229 2 роки тому

      Inavoonyesha HUO ugonvi ni wa muda mrefu ambao unasababishwa na chuki.Kwa hiyo mtu mwenye chuki na wewe hataacha kukusonga na maneno Nia yake uongee ili iwe sababu ya yeye kutimiza lengo lake. Lakini pia ushaambiwa mama ni mlevi.Mwingine anakunywea pombe maksudi akitoka hap anakufuata yote anatafuta sbb ili aongee lake sasa inaonesha Hy dada anamfaham mama mkwe vizur sana ndo maana alinyamaza hakumjibu ili asimpe nafasi ya ugomvi

  • @sophiamilanzi5583
    @sophiamilanzi5583 2 роки тому

    Waarusha nawamasai waache kukaa nafamilia zao kwnye maboma ukioa kakaee mbaliii