Mwanasheria Mkuu Zanzibar aibuka BMK, apiga kura kukataa Ibara muhimu Katiba inayopendekezwa

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 7 вер 2024
  • Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Othman Masoud Othman leo ameibuka katika Bunge Maalum la Katiba na kupiga kura ya wazi ambapo alipiga kura ya hapana katika baadhi ya Ibara za rasimu ya Katiba. Hali hiyo iliibua maswali kwa baadhi ya wajumbe waliohoji kuibuka kwake leo wakati hakuwepo muda mwingi Bunge hilo lilipokuwa likiendelea.

КОМЕНТАРІ • 65

  • @Yussuphmm
    @Yussuphmm 3 роки тому +2

    Ndio makamo wetu mtiif 2021

  • @nurisahim7898
    @nurisahim7898 3 роки тому +6

    Mrisi wa hayati maalim seif

  • @mbarakaiddi8209
    @mbarakaiddi8209 3 роки тому +5

    Wana ccm mtatupeleka pabaya sana maana mawazo chanya hamyakubali hili ni tzz kubwa sana

  • @eddytech9215
    @eddytech9215 10 років тому +8

    big up attorney general

  • @alimuhamed1830
    @alimuhamed1830 3 роки тому +4

    ZANZIBAR kwanza mambomengine bada ishllah

  • @fakihdarusi4385
    @fakihdarusi4385 3 роки тому +6

    SAIVI AMEKUWA MAKAMO WA KWANZA

  • @omarkanout8684
    @omarkanout8684 5 років тому +7

    Ongera othman ww ni shujaaa wa kweli na mzalendo

  • @OmerSuley-gl7go
    @OmerSuley-gl7go 8 місяців тому +1

    Nampenda huyu mheshimiwa ❤

  • @seifmassoud2686
    @seifmassoud2686 6 років тому +9

    Walitaka alinde maslah ya Ccm zanzibar na sio maslah ya Zanzibar Allah amlipe kwa wema wake Aamiyn

    • @jumakapilima5674
      @jumakapilima5674 4 роки тому

      Bahati mbaya sana,Mungu hapimi wema wa mtu kwa upemba wake, au uunguja wake, au utanganyika wake,,,,,

    • @nohatredbutlove5786
      @nohatredbutlove5786 4 роки тому

      @@jumakapilima5674 na kwa bahati mbaya hujui unachokiongea. Pole

    • @jumakapilima5674
      @jumakapilima5674 4 роки тому

      @@nohatredbutlove5786 majibu utayapata okt

    • @jumakapilima5674
      @jumakapilima5674 4 роки тому

      @@nohatredbutlove5786 pole na wewe bahati njema okt iko karibu sana

    • @jumakapilima5674
      @jumakapilima5674 3 роки тому

      @@nohatredbutlove5786 nafikiri sasa umeshapata majibu yako!!!!!

  • @adamsactwazalendo6055
    @adamsactwazalendo6055 3 роки тому +3

    Wewe ni hifar sana juu ya Zanzibar

  • @bakarihamisi5638
    @bakarihamisi5638 4 роки тому +4

    CCM acheni kuwatishs wabunge

  • @topaviator
    @topaviator 3 роки тому +3

    Wasenge kweli hao wanaosema hafai
    Kumamae leo hii wale waliomcheka wanauza maandazi na huyo mlomzomea kesho anakwenda kuapishwa kua Makamu wa kwanza wa rais

  • @utaani1
    @utaani1 10 років тому +2

    Top man

  • @hatibbaraka3956
    @hatibbaraka3956 5 років тому +3

    Othman umejitahidi kuitetea Zanzibar japo utakua muasi kwa ccm.
    Tumeona lakini nadhani ifike wakati tuchagueni watu wenye elimu, hawa wapigaji zogo hawatatusaidia.

  • @hatibbaraka3956
    @hatibbaraka3956 5 років тому +4

    Ccm acheni kuwatisha wawakilishi wenu, mnamtisha mtu hadi anaogopa kusema ukweli, misimamo ya chama haitalisaidia taifa.

  • @user-tn4tp5pe2i
    @user-tn4tp5pe2i 5 місяців тому

    ccm ni sawa na gari bovu

  • @goodlucksemba1145
    @goodlucksemba1145 5 років тому +3

    Kweli muungano huu ni wa mashaka mashaka !

  • @abdullaali8102
    @abdullaali8102 6 років тому +2

    Pan-Africanism or Pragmatism. Lessons of the Tanganyika-Zanzibar Union

  • @gangmore9091
    @gangmore9091 4 роки тому +2

    Ccm ukiwapinga ukiwahupo pamoja nao wanakutoa wamewatoa waliofanya mapinduzi ya unafikii kuitakia zanzibar mamlaka kamili so mwanasheria kutolewa so ajabu ila kunahukumu badala madaraka anaejielewa hawezi kuwapamoja n ccm

  • @saidybhoky-lb7hg
    @saidybhoky-lb7hg 4 місяці тому

    wengi walikuwa wakalia viti

  • @khamisali5978
    @khamisali5978 Рік тому

    Hii ndo htr yakuchukua watu wa mtaani kwenye mambo yanayohitaji ELIMU.

  • @allybakar1488
    @allybakar1488 6 років тому +2

    nyinyi mnatk muendekeze udictetr tu half mnasem hkuchaguliwa mbon rais w znzbr rais alli mohd shein mwak 2015hkuchaguliwa saiv ndie rais wetu hii ni dunia tu

  • @godfreyachireka3311
    @godfreyachireka3311 10 років тому +1

    VERRY GOOD

  • @feiz3180
    @feiz3180 7 років тому +1

    Yahya Kassim Issa. Wewe mzeee umeptelea wapi?//.

  • @bakarihamisi5638
    @bakarihamisi5638 4 роки тому +1

    Zanzibar niwajinga sana

  • @allybakar1488
    @allybakar1488 6 років тому +4

    znzbr kwanz tunatk znzbr ytu

  • @ashuraatanas5967
    @ashuraatanas5967 7 років тому +5

    wa tz hawa wabunge wenu mbona wajinga sasa unamlazimisha mtu apige kura unayotaka wewe huo ni upuuzi

  • @mohammedkhalfan2085
    @mohammedkhalfan2085 5 років тому +2

    Kwa kweli CCM zanzibar wanatuuza kwa Watanganyika looo

  • @alluuutamimi5436
    @alluuutamimi5436 10 років тому +5

    shujaa anabaki kuwa shujaa tu

    • @jumakapilima5674
      @jumakapilima5674 5 років тому

      alluuu tamimi hahahaaa ,,,mwisho akatumbuliwa!

    • @farhatfatma12
      @farhatfatma12 4 роки тому

      @@jumakapilima5674 ,
      Kwani hakujua kua atatumbuliwa? Jamaa ni shujaa mpya wa zanzibar. Namfananisha na Maalim seif Sharrif!

    • @jumakapilima5674
      @jumakapilima5674 4 роки тому

      @@farhatfatma12 maalim seif wala siyo shujaa kama unavyodhani, maalim ni mnafiki anayewachuuza wajinga huku yeye akila kuku kwa mrija,,,,huku nyie wajinga mnabaki kupiga makofi, kiasi ambacho hata huyu mjinga mpya ameingia kingi!!

    • @farhatfatma12
      @farhatfatma12 4 роки тому

      @@jumakapilima5674 ,
      Ni kweli na ndio sababu CCM mpaka leo wanatumia ma billion ya tax payer kumrudisha nyuma ili achukiwe na siwe na wafuasi .
      Mtu wa aina hiyo wewe na ccm wenzako munamwita mnafiki.
      Kuna link ya kura ya maoni sasa inatembea kupendekeza nani agombe uraisi zanzibar.
      Maalim amewapita wenzake kwa kura nyingi sana mpaka sasa, tena ni vijana.
      Anaemfwatia ni huyo Othman Masoud unamuona wewe pia kua tatizo kwa kuitetea nchi kule bungeni.
      Watu kama nyinyi mupo wachache duniani munao shindwa kutafautisha kizuri na kibaya.
      Maalim ataendelea kua shujaa wa nchi yetu ya zanzibar.
      Alikubali kupoteza nafasi nyingi za juu serikalini kutetea zanzibar yetu na uhuru wetu.
      Tunampenda wenyewe na nyinyi muna haki ya kumpenda mumtakae.
      Maneno yako hayaturudishi nyuma.
      Ramadhan Mubarak!

    • @jumakapilima5674
      @jumakapilima5674 4 роки тому

      @@farhatfatma12 ubwege huo,,,,maalimu huyohuyo ndio alimuuza Jumbe kwa Nyerere!!

  • @salehabri6957
    @salehabri6957 3 роки тому

    Samuel sitta wa ukweli, Mzee dawa

  • @aliyaliya2040
    @aliyaliya2040 2 роки тому

    Hamfanyinyi wanafiki

  • @pastoryconrad3075
    @pastoryconrad3075 10 років тому +2

    wasomi hasa wa sheria ni wajanja wajanja sana

  • @zachariamjungu6456
    @zachariamjungu6456 10 років тому

    Even if is democracy but this is a Hippocratic criticism because he didn't even participated the session to give his views as far as his status is concern.

    • @gangraa
      @gangraa 10 років тому +2

      For the sake of argument, had he voted YES would they've raised the same criticism?

    • @nohatredbutlove5786
      @nohatredbutlove5786 4 роки тому

      @@gangraa point👌

  • @elenestjackson129
    @elenestjackson129 6 років тому

    We pumbavu wa ccm

  • @alfredsima7686
    @alfredsima7686 7 років тому

    katiba wap

  • @rajabmsenga7234
    @rajabmsenga7234 9 років тому +2

    Niwakati wa mabadiliko

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima5674 4 роки тому +1

    Mzembe huyu!!!

    • @rashidalihamad7228
      @rashidalihamad7228 3 роки тому +1

      mzembe mama ako alietobwa na baba ako akakuzaaa wewe, zanzibar kwanza

    • @suleimanali9350
      @suleimanali9350 3 роки тому +1

      @@rashidalihamad7228 Zanzibar fast 💖💌

    • @jumakapilima5674
      @jumakapilima5674 3 роки тому

      @@rashidalihamad7228 unafirwa na baba yako wewe!!