Mwanasheria Mkuu Zanzibar aibuka BMK, apiga kura kukataa Ibara muhimu Katiba inayopendekezwa
Вставка
- Опубліковано 7 вер 2024
- Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Othman Masoud Othman leo ameibuka katika Bunge Maalum la Katiba na kupiga kura ya wazi ambapo alipiga kura ya hapana katika baadhi ya Ibara za rasimu ya Katiba. Hali hiyo iliibua maswali kwa baadhi ya wajumbe waliohoji kuibuka kwake leo wakati hakuwepo muda mwingi Bunge hilo lilipokuwa likiendelea.
Ndio makamo wetu mtiif 2021
Mrisi wa hayati maalim seif
Amepita
Wana ccm mtatupeleka pabaya sana maana mawazo chanya hamyakubali hili ni tzz kubwa sana
big up attorney general
ZANZIBAR kwanza mambomengine bada ishllah
SAIVI AMEKUWA MAKAMO WA KWANZA
Ongera othman ww ni shujaaa wa kweli na mzalendo
Nampenda huyu mheshimiwa ❤
Walitaka alinde maslah ya Ccm zanzibar na sio maslah ya Zanzibar Allah amlipe kwa wema wake Aamiyn
Bahati mbaya sana,Mungu hapimi wema wa mtu kwa upemba wake, au uunguja wake, au utanganyika wake,,,,,
@@jumakapilima5674 na kwa bahati mbaya hujui unachokiongea. Pole
@@nohatredbutlove5786 majibu utayapata okt
@@nohatredbutlove5786 pole na wewe bahati njema okt iko karibu sana
@@nohatredbutlove5786 nafikiri sasa umeshapata majibu yako!!!!!
Wewe ni hifar sana juu ya Zanzibar
CCM acheni kuwatishs wabunge
Wasenge kweli hao wanaosema hafai
Kumamae leo hii wale waliomcheka wanauza maandazi na huyo mlomzomea kesho anakwenda kuapishwa kua Makamu wa kwanza wa rais
Top man
Othman umejitahidi kuitetea Zanzibar japo utakua muasi kwa ccm.
Tumeona lakini nadhani ifike wakati tuchagueni watu wenye elimu, hawa wapigaji zogo hawatatusaidia.
Uko sahihi .
Ccm acheni kuwatisha wawakilishi wenu, mnamtisha mtu hadi anaogopa kusema ukweli, misimamo ya chama haitalisaidia taifa.
ccm ni sawa na gari bovu
Kweli muungano huu ni wa mashaka mashaka !
Pan-Africanism or Pragmatism. Lessons of the Tanganyika-Zanzibar Union
Ccm ukiwapinga ukiwahupo pamoja nao wanakutoa wamewatoa waliofanya mapinduzi ya unafikii kuitakia zanzibar mamlaka kamili so mwanasheria kutolewa so ajabu ila kunahukumu badala madaraka anaejielewa hawezi kuwapamoja n ccm
wengi walikuwa wakalia viti
Hii ndo htr yakuchukua watu wa mtaani kwenye mambo yanayohitaji ELIMU.
nyinyi mnatk muendekeze udictetr tu half mnasem hkuchaguliwa mbon rais w znzbr rais alli mohd shein mwak 2015hkuchaguliwa saiv ndie rais wetu hii ni dunia tu
VERRY GOOD
Yahya Kassim Issa. Wewe mzeee umeptelea wapi?//.
Zanzibar niwajinga sana
znzbr kwanz tunatk znzbr ytu
wa tz hawa wabunge wenu mbona wajinga sasa unamlazimisha mtu apige kura unayotaka wewe huo ni upuuzi
Lazima awe mjinga maana yeye hajasoma
Tumechoka kuburuzwa
KINA APEDOMIA
Kwa kweli CCM zanzibar wanatuuza kwa Watanganyika looo
Sanaaaaa
Bado una mawazo ya kisultani!!
shujaa anabaki kuwa shujaa tu
alluuu tamimi hahahaaa ,,,mwisho akatumbuliwa!
@@jumakapilima5674 ,
Kwani hakujua kua atatumbuliwa? Jamaa ni shujaa mpya wa zanzibar. Namfananisha na Maalim seif Sharrif!
@@farhatfatma12 maalim seif wala siyo shujaa kama unavyodhani, maalim ni mnafiki anayewachuuza wajinga huku yeye akila kuku kwa mrija,,,,huku nyie wajinga mnabaki kupiga makofi, kiasi ambacho hata huyu mjinga mpya ameingia kingi!!
@@jumakapilima5674 ,
Ni kweli na ndio sababu CCM mpaka leo wanatumia ma billion ya tax payer kumrudisha nyuma ili achukiwe na siwe na wafuasi .
Mtu wa aina hiyo wewe na ccm wenzako munamwita mnafiki.
Kuna link ya kura ya maoni sasa inatembea kupendekeza nani agombe uraisi zanzibar.
Maalim amewapita wenzake kwa kura nyingi sana mpaka sasa, tena ni vijana.
Anaemfwatia ni huyo Othman Masoud unamuona wewe pia kua tatizo kwa kuitetea nchi kule bungeni.
Watu kama nyinyi mupo wachache duniani munao shindwa kutafautisha kizuri na kibaya.
Maalim ataendelea kua shujaa wa nchi yetu ya zanzibar.
Alikubali kupoteza nafasi nyingi za juu serikalini kutetea zanzibar yetu na uhuru wetu.
Tunampenda wenyewe na nyinyi muna haki ya kumpenda mumtakae.
Maneno yako hayaturudishi nyuma.
Ramadhan Mubarak!
@@farhatfatma12 ubwege huo,,,,maalimu huyohuyo ndio alimuuza Jumbe kwa Nyerere!!
Samuel sitta wa ukweli, Mzee dawa
Hamfanyinyi wanafiki
wasomi hasa wa sheria ni wajanja wajanja sana
Even if is democracy but this is a Hippocratic criticism because he didn't even participated the session to give his views as far as his status is concern.
For the sake of argument, had he voted YES would they've raised the same criticism?
@@gangraa point👌
We pumbavu wa ccm
katiba wap
Niwakati wa mabadiliko
Mzembe huyu!!!
mzembe mama ako alietobwa na baba ako akakuzaaa wewe, zanzibar kwanza
@@rashidalihamad7228 Zanzibar fast 💖💌
@@rashidalihamad7228 unafirwa na baba yako wewe!!