MNYIKA AFUNGUKA MWANACHADEMA KUTEKWA KWENYE BASI "WALIMSHIKIA BUNDUKI".
Вставка
- Опубліковано 15 вер 2024
- #JAMBOTV
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►UA-cam: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/
Kazi ngumu sana mzee mnyika pole na kazi
Tunakoelekea siyo kizuri, najaribu kuwaza siku huyu mtu anaeonewa akichoka itakuwaje?
Wakristo mkae kimya na waislamu muone tu sawa lakini chadema Kuna waislamu na wakristo jeshi la wanaichi mkae kimya sisi tataisha kama ndugu zenu
why should we allow this ;tunashauri mama it's so embarrassing:as citizen ;we are very touched
Mimi naona chadema wape silaha za kujilinda kwa sasa au kama sio hivyo uchaguzi uhahirishwe
Inasikitisha sana
kma chadema mtakua hv hv tu maneno matupu tu daima mtadhalilishwa tafuteni silaha mulipize visasi
Wana mharibia raisi samia kazi
Mambo Kama haya yalifanyika Sana Zanzibar miaka ya mwanzoni mwa siasa ya vyama vingi vilipoanza hapa tz na pale wa Zanzibari walipokua wanalalamika Basi wenzetu wa upande wa pili walibeza Sanaa na kusema wazanzibari kazi yao siasa tu Sasa jee mnaona uhalisia wa kuwa wapinzani? Lakini mbilili unapohitaji mabadiliko (ukombozi wa kweli) hayo hukutokezea Mara kwa Mara ila tumuombe Allah atuhifadhi na awahifadhi watanzania kwa ujumla
Yaani kuongoza nchi kunatakiwa uwezo na si tamaa
ZAMANI WALIJULIKANA KAMA WATU WASIOJULIKANA LAKINI SASA WANAJULIKANA. WAMEJIWEKA WAZI ZAIDI..
Wasiojulikana sasa wanajitokeza hadharani na kufanya matendo yale yale ya wasiojulikana.
Taratibu
Duh inauma mno
Watauwa San wanajua ya kesho yake?wajitafakari sana watafika Mahali watachoka ty. Maana dam nzito kuliko Maji.
Kwa maelezo hayo naingiwa na kigugumizi juu ya maaskari
Sipandi tena mabasi ya hiyo kampuni.....usafiri wao sio salama
Asa kirasiku watu wanatekwa nyinyi kazi kupga domo watu wanazidi kupotea inakuaje
Lazima kiburi kitangulie anguko!
Mambo haya hayakubaliki ktk jamii yenye ustaarabu na kuheshimiana! Rais anayemjua Mungu kwamba yupo Mungu! hawezi kuruhusu vitendo vya aina hii vinavyohusishwa na vyombo vya dola..HAWEZI KURUHUSU! vyombo vya dola haviwezi kuwa na magenge ya kufanya uhalifu kwa kulindwa na sheria!
Skiliza wewe sio kila kinachotokea kwamba rais anajua,kwani rais ana macho kumi? Rais ni binaadamu kama binaadamu mwengine ,kwa chunga kauli zako
Alafu usikute wewe ndio mtu asiojulikana, empty head. Why CCM hamuwateki na kuwauwa?@@huyu1993
@@huyu1993 wewe ni mjinga hujui lolote..marais wanaoshitakiwa ICC huwa wao ndio wameua? Halafu shika adabu yako si kila mtu unaweza mtisha..shenzi typ!
Kwa nini hawakupingwa picha
Thubutuuu uwapige picha uone, na wenzao ushaambiwa walikuwa humohumo kwenye Bus.
Nihatari kaka
Wewe ni nani unaetowa amrita kwa jeshi la police, unachotakiwa kufanya ni kutowa ripoti kwa kituo cha karibu...watching wenye kazi zao wafanye... Fikiria mbona kina watu wengi hawajachukiliwa na vyombo vya usalama...
Acheni tabia ya kujihukumu kwa vitendo vyenu wenyewe... wasiwad wa nini tena ? Stahamilini ndio utajuwa maana ya silikali....
Pumbavu wewe na coment ya kichoko
Huenda ndo mmoja wapo uko kwenye kundi Hilo, hivi ingekuwa ndugu yako, au baba yako ungefurahi kwa jambo hili?
Angekuwa ndugu yako sidhani kama ungeandika hii ngonjera
Unazngua
Kuwa chama cha upinzani sio dhambi