MNYIKA AFUNGUKA MWANACHADEMA KUTEKWA KWENYE BASI "WALIMSHIKIA BUNDUKI".

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 15 вер 2024
  • #JAMBOTV
    ...........
    Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
    ►UA-cam: / @jambotv908
    ►INSTAGRAM: / jambotv
    ►TWITTER: / jambotv_
    ►FACEBOOK: / jambotv
    ►WEBSITE: jambo.tz/

КОМЕНТАРІ • 34

  • @JosefuSwai
    @JosefuSwai 9 днів тому +5

    Kazi ngumu sana mzee mnyika pole na kazi

  • @alexvenas2699
    @alexvenas2699 8 днів тому +3

    Tunakoelekea siyo kizuri, najaribu kuwaza siku huyu mtu anaeonewa akichoka itakuwaje?

  • @FurahaNelson-z6c
    @FurahaNelson-z6c 4 дні тому

    Wakristo mkae kimya na waislamu muone tu sawa lakini chadema Kuna waislamu na wakristo jeshi la wanaichi mkae kimya sisi tataisha kama ndugu zenu

  • @drallan6879
    @drallan6879 8 днів тому +1

    why should we allow this ;tunashauri mama it's so embarrassing:as citizen ;we are very touched

  • @noelmbise9157
    @noelmbise9157 8 днів тому +2

    Mimi naona chadema wape silaha za kujilinda kwa sasa au kama sio hivyo uchaguzi uhahirishwe

  • @caesar7745
    @caesar7745 8 днів тому

    Inasikitisha sana

  • @Ahmedseif-l5g
    @Ahmedseif-l5g 8 днів тому +1

    kma chadema mtakua hv hv tu maneno matupu tu daima mtadhalilishwa tafuteni silaha mulipize visasi

  • @KilimoMichael
    @KilimoMichael 8 днів тому +1

    Wana mharibia raisi samia kazi

  • @Mufti-g3x
    @Mufti-g3x 7 днів тому

    Mambo Kama haya yalifanyika Sana Zanzibar miaka ya mwanzoni mwa siasa ya vyama vingi vilipoanza hapa tz na pale wa Zanzibari walipokua wanalalamika Basi wenzetu wa upande wa pili walibeza Sanaa na kusema wazanzibari kazi yao siasa tu Sasa jee mnaona uhalisia wa kuwa wapinzani? Lakini mbilili unapohitaji mabadiliko (ukombozi wa kweli) hayo hukutokezea Mara kwa Mara ila tumuombe Allah atuhifadhi na awahifadhi watanzania kwa ujumla

  • @gerald6720
    @gerald6720 8 днів тому

    Yaani kuongoza nchi kunatakiwa uwezo na si tamaa

  • @bishopmosesmagadula7572
    @bishopmosesmagadula7572 9 днів тому +1

    ZAMANI WALIJULIKANA KAMA WATU WASIOJULIKANA LAKINI SASA WANAJULIKANA. WAMEJIWEKA WAZI ZAIDI..

    • @gellangi9694
      @gellangi9694 9 днів тому

      Wasiojulikana sasa wanajitokeza hadharani na kufanya matendo yale yale ya wasiojulikana.

  • @davidntowanga7717
    @davidntowanga7717 9 днів тому +1

    Taratibu

  • @fridayjkajange1247
    @fridayjkajange1247 8 днів тому

    Duh inauma mno

  • @rithaurassa
    @rithaurassa 7 днів тому

    Watauwa San wanajua ya kesho yake?wajitafakari sana watafika Mahali watachoka ty. Maana dam nzito kuliko Maji.

  • @evansdecaprio8196
    @evansdecaprio8196 8 днів тому

    Kwa maelezo hayo naingiwa na kigugumizi juu ya maaskari

  • @chancesholdan342
    @chancesholdan342 7 днів тому

    Sipandi tena mabasi ya hiyo kampuni.....usafiri wao sio salama

  • @IssaTayari
    @IssaTayari 7 днів тому

    Asa kirasiku watu wanatekwa nyinyi kazi kupga domo watu wanazidi kupotea inakuaje

  • @christianmwabukusi8132
    @christianmwabukusi8132 8 днів тому

    Lazima kiburi kitangulie anguko!

  • @merumount5988
    @merumount5988 8 днів тому

    Mambo haya hayakubaliki ktk jamii yenye ustaarabu na kuheshimiana! Rais anayemjua Mungu kwamba yupo Mungu! hawezi kuruhusu vitendo vya aina hii vinavyohusishwa na vyombo vya dola..HAWEZI KURUHUSU! vyombo vya dola haviwezi kuwa na magenge ya kufanya uhalifu kwa kulindwa na sheria!

    • @huyu1993
      @huyu1993 8 днів тому

      Skiliza wewe sio kila kinachotokea kwamba rais anajua,kwani rais ana macho kumi? Rais ni binaadamu kama binaadamu mwengine ,kwa chunga kauli zako

    • @Thisisgrace979
      @Thisisgrace979 8 днів тому

      Alafu usikute wewe ndio mtu asiojulikana, empty head. Why CCM hamuwateki na kuwauwa?​@@huyu1993

    • @merumount5988
      @merumount5988 8 днів тому

      @@huyu1993 wewe ni mjinga hujui lolote..marais wanaoshitakiwa ICC huwa wao ndio wameua? Halafu shika adabu yako si kila mtu unaweza mtisha..shenzi typ!

  • @hawaa341
    @hawaa341 8 днів тому

    Kwa nini hawakupingwa picha

    • @homeandaway2811
      @homeandaway2811 8 днів тому +1

      Thubutuuu uwapige picha uone, na wenzao ushaambiwa walikuwa humohumo kwenye Bus.

  • @AbeidMagambo
    @AbeidMagambo 7 днів тому

    Nihatari kaka

  • @hakikahajijecha3558
    @hakikahajijecha3558 9 днів тому

    Wewe ni nani unaetowa amrita kwa jeshi la police, unachotakiwa kufanya ni kutowa ripoti kwa kituo cha karibu...watching wenye kazi zao wafanye... Fikiria mbona kina watu wengi hawajachukiliwa na vyombo vya usalama...
    Acheni tabia ya kujihukumu kwa vitendo vyenu wenyewe... wasiwad wa nini tena ? Stahamilini ndio utajuwa maana ya silikali....

    • @victaboy7273
      @victaboy7273 8 днів тому +2

      Pumbavu wewe na coment ya kichoko

    • @charlessentiyongo8484
      @charlessentiyongo8484 8 днів тому +1

      Huenda ndo mmoja wapo uko kwenye kundi Hilo, hivi ingekuwa ndugu yako, au baba yako ungefurahi kwa jambo hili?

    • @byabatotv3283
      @byabatotv3283 8 днів тому +1

      Angekuwa ndugu yako sidhani kama ungeandika hii ngonjera

    • @AbdalaSalumu-q1o
      @AbdalaSalumu-q1o 8 днів тому

      Unazngua

    • @user-zairo3ki1m
      @user-zairo3ki1m 8 днів тому +1

      Kuwa chama cha upinzani sio dhambi