Kamati ya Maridhiano Six:Mhe Tundu Lissu April 16 2014

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 8 вер 2024

КОМЕНТАРІ • 155

  • @gabrielmalecela3701
    @gabrielmalecela3701 5 років тому +15

    Ipo siku mungu atadhibitishaa ukuu wakoo ,uzalendo wakoo bingwa nyaturu mwenye unyaturu wakiharakati , wew ni shujaaa Wa taifa- wale madicteta uchwala wanakuogopA dingilAi, see you AgAin✌ get well sOon tundu

  • @nuruelymollel707
    @nuruelymollel707 4 роки тому +21

    Wanaomuangalia lissu 2020 tujuane

  • @husseinbakari8903
    @husseinbakari8903 5 років тому +19

    Daaaah yani huyu Jamaa namkubali mpaka nalia duuuuh natamani nimrithi huyu jamaa

  • @isayaemanuelshalali8453
    @isayaemanuelshalali8453 6 років тому +12

    Nimekuelewa vizur sana mheshimiwa. Mungu akubariki.

  • @barakamathayo5946
    @barakamathayo5946 3 роки тому +8

    Tunaoangalia hotuba za mwamba Tundu Lissu 2020 tujuane kwa like hapa

  • @uriotv9989
    @uriotv9989 6 років тому +21

    Lissu Mungu yu pamoja nawewe

  • @husseinbakari8903
    @husseinbakari8903 5 років тому +5

    Verry verry good miss sana hy jamaaa kichwa sana gombea uraisi kaka nyerere sio mungu

  • @FatnaAlly-go7yt
    @FatnaAlly-go7yt Місяць тому

    Oooh allah wewe ni mjuzi wawa juzi hujua tusivyo vijua tujaalie amani mola wangu❤❤❤

  • @mwinyimjaka4782
    @mwinyimjaka4782 4 роки тому +5

    Tundu lisu unatisha uko vizuri Sana mungu akulinde na maduwi mungu AKIPENDA UTAKUWA RAHISI WETU

  • @mengishilogela9710
    @mengishilogela9710 6 років тому +8

    Mh;tumekumic XANA bado tuko p1nawewe mungu akujalie afya njema !

  • @flavianwilliams2888
    @flavianwilliams2888 2 роки тому +2

    Zitto ukimwangalia postures zake ni kwamba anamuelewa mno Tundu Lisu, man of steel Tundu Lisu

  • @edrickbyamaka4950
    @edrickbyamaka4950 6 років тому +14

    Nimekumic sana nakuombea urud kwenye hali yako

    • @nyangwetv2204
      @nyangwetv2204 6 років тому

      Edrick Byamaka daahhh, hadi napata uzuni

  • @davidkaguru9511
    @davidkaguru9511 5 років тому +8

    Lissu the great

  • @chachamagoti2400
    @chachamagoti2400 5 років тому +13

    Kweli Tz haiwezi endelea kama mtu wa aina hii anawindwa kuuliwa.

    • @zephaniapaul4437
      @zephaniapaul4437 4 роки тому +1

      Uliongea poainti Sana kijana....kamwe hatuwezi kuendelea

  • @imraniqbal00765
    @imraniqbal00765 5 років тому +7

    Huyu ni zaidi ya watu milioni mia

  • @williamkirway4620
    @williamkirway4620 3 роки тому +2

    Maelezo ya lissu zinaonyesha umakini na ananukuu anafwatilia sana historia yenye uwazi,kuhusu muungano.watakukumbuka,kwanza katiba haionyeshi kuungana,mkataba haionyeshi hati ya muungano haipo,ipo siku tutaelewa.

  • @trilionea_online_TV
    @trilionea_online_TV 6 років тому +14

    Kweli shangaa kabla hujashangiliwa, nikifatilia coment nyingi humu ndani zinampongeza lisu, nikiangalia coment za mwaka jana zinamtukana lisu,, shangaa kabla hujashangiliwa

    • @mohamedothman9769
      @mohamedothman9769 5 років тому

      Je waliomtukana ni wale wale waliomsifia..??

    • @emanuelmwanga4
      @emanuelmwanga4 4 роки тому +1

      Waliomtukana wengine wale majiwe wasiolewa kinachozungumzwa wanaompongeza humu wanaelewa nini anazungumza

  • @christinamsongole7877
    @christinamsongole7877 6 років тому +19

    lissu ni rasimali ya Taifa kiujumla

  • @jacoblaizer8222
    @jacoblaizer8222 4 роки тому +6

    Hakika ulikua mtu wa pekee hapo mjengoni... kura yangu October Ni kwako.

  • @mwinyimjaka4782
    @mwinyimjaka4782 4 роки тому +4

    Anaye mlani lisu mbumbavu Sana na mungu alani

  • @AdamMayumbila
    @AdamMayumbila 22 дні тому

    Mi jaman kutoka moyon tundu lisu namuelewa sana yaan hyu ni mzalendo wa taifa hili

  • @simonfundi3609
    @simonfundi3609 4 роки тому +7

    2020 president

  • @mohamedykabwanga1647
    @mohamedykabwanga1647 2 місяці тому +1

    Tunaomwangalia lisu 2024 tujuane

  • @trgphonegeorge3832
    @trgphonegeorge3832 6 років тому +16

    Msomi ni msomi tu!!!!

  • @nabakitz83
    @nabakitz83 8 років тому +7

    That is quite true!!!

  • @yohanapetro4937
    @yohanapetro4937 4 роки тому +5

    Kwa halihiyo lazima ccm wakuchukie kwasababu Hawakuwezi kwahoja nikiwa namtoo nitamuita lisu lbda Anaweza kuwa km yy

  • @Aminmwansile-we8vn
    @Aminmwansile-we8vn Місяць тому

    The genius one

  • @thomaskiponda6079
    @thomaskiponda6079 11 місяців тому +2

    HUYU MWAMBA HAJAWAHI KUPOA❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @saifalbarwani4993
    @saifalbarwani4993 4 роки тому +3

    safari hii sijui watakuua na nini mzee baba

  • @feyzalyusuph14
    @feyzalyusuph14 4 роки тому +3

    Ukweli sisi watanzania hatujamtendea haki Tundu Lissu...ilibidi abaki Bungeni mpaka 2025 halafu baada ya hapo tunampa Urais

  • @fredhilary7954
    @fredhilary7954 4 дні тому

    2024 his words are still valid

  • @uwezobenard5319
    @uwezobenard5319 7 років тому +5

    Noma sana

  • @shizoshop2469
    @shizoshop2469 Рік тому +1

    Huyu mwamba namuelewa sana namuona zitto katulia anasikilza madini ya mkulungwa lissu

  • @mwidausaid5701
    @mwidausaid5701 5 років тому +23

    Watu km hawa ni hazina ya nchi tulitakiwa kuwaenz na kuwaheshim sio kuwapiga risasi huu ni ushetani aliofanyiwa Huyu jamaa

    • @tawfiqissa6123
      @tawfiqissa6123 4 роки тому +1

      Kabisaaa upo saw sana t

    • @najmaharoub280
      @najmaharoub280 3 роки тому +1

      Najiona kama napindukia kukupenda lissu mkombozi wa wa tanzania waambie wasio jijua

    • @MajiiIfande
      @MajiiIfande 7 місяців тому

      Watu makini huwa hawapendwi na watawala

  • @inocentmarandu3323
    @inocentmarandu3323 5 років тому +4

    Asante lissu kwaukweli

  • @zakaboy1305
    @zakaboy1305 5 років тому +5

    we miss you lisu

  • @hemmyphilbert8725
    @hemmyphilbert8725 6 років тому +8

    one of my role model,hon Tunu Lissu

  • @acreyseverian7129
    @acreyseverian7129 6 років тому +14

    Saw Rais 2020

  • @maximemasinga9504
    @maximemasinga9504 Рік тому +1

    Hicho kichwa Baba we ach t 2022

  • @issacallando6222
    @issacallando6222 4 роки тому +3

    Kuna ukweli mwingi Sana huu

  • @emanuelmwanga4
    @emanuelmwanga4 4 роки тому +3

    Afu jamaa anaongea watu wapo serious akuna anaecheka ndio ujue anaongea mambo ya msingi na siyo comedy kama wakina musiba

  • @polycarpmdemu3552
    @polycarpmdemu3552 3 роки тому

    Unatuharakisha Admin

  • @donaldshadrack3186
    @donaldshadrack3186 3 роки тому +2

    Yaani huyu jamaa, angefaa kupewa wizara katika awamu hii ya Tanao

  • @athuimansaid1369
    @athuimansaid1369 3 роки тому +3

    Hichi kichwa nibalaaa

  • @richardmchelema6828
    @richardmchelema6828 4 роки тому +2

    genius

  • @mackrankagenzi5236
    @mackrankagenzi5236 Місяць тому

    2024/08/02 Big up Hon: Tundu A. Lissu

  • @chachamagoti2400
    @chachamagoti2400 5 років тому +11

    Huyu ndiye mzalendo wa Tz acha akina musiba.

  • @abdulmubason7542
    @abdulmubason7542 9 років тому +4

    Lisu big up

  • @emanuelmwanga4
    @emanuelmwanga4 4 роки тому +3

    Mshaona wapi magu anatoa madini kama haya wanaomponda wakapimwe malaria

  • @sombakombo2143
    @sombakombo2143 4 роки тому +1

    Safii sanaa

  • @bsmonline8482
    @bsmonline8482 4 дні тому

    Hilo Jitu kwelikweli

  • @fungamtamafrancis3719
    @fungamtamafrancis3719 9 років тому +20

    Lissu ni kisu.

  • @philipowyinjones9645
    @philipowyinjones9645 4 роки тому +1

    Nice oneeeee

  • @allenjoseph8314
    @allenjoseph8314 3 роки тому +1

    Ama kweli uraisi unakufaaa

  • @simonmagembe7140
    @simonmagembe7140 6 років тому +5

    Rasilimali MTU ndo hii

  • @nzeyyunus5990
    @nzeyyunus5990 6 років тому +7

    We Miss Youu Lissu

  • @denischacha9104
    @denischacha9104 6 років тому +3

    Noma

  • @alihijiiddi8977
    @alihijiiddi8977 3 роки тому

    WAMBIE WAMBIE VICHWA VIGUMU HAWA MADIKTETA WA CCM AU MCC WAPUMBAVU TU AKILI HAWANA KIKWETE KASOMESHWA ZNZ NA ANAITIYA ZN
    Z AIBU HERO TUNDULISU ANAWASOMESHA WAPUMBAVU WASIOTOSHEKA KUIBA MATRIONI YA ZANZNZIBARI 🇹🇿😇👹🇹🇿😇👹🇹🇿😇👹🇹🇿😇👹🇹🇿😇👹🇹🇿👹🇹🇿😇👹🇹🇿😇👹🇹🇿😇👹🇹🇿😂👹🇹🇿😇👹🇹🇿😂👹🇹🇿👹🇹🇿👹🇹🇿😇👹🇹🇿😇👹🇹🇿😇👹🇹🇿😇👹🇹🇿😇👹🇹🇿👹🇹🇿😇👹🇹🇿😇👹🇹🇿😇👹🇹🇿😇👹🇹🇿😇👹🇹🇿😇👹

  • @maryjoseph7931
    @maryjoseph7931 3 роки тому +1

    Ujuzi unapotumika kutetea upuuzi😇😇

  • @avitymendezy9891
    @avitymendezy9891 Рік тому

    2023 gonga like

  • @bakarijuma3006
    @bakarijuma3006 3 роки тому

    Mungu mjaali lissu

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 7 місяців тому

    👍👊✌️.

  • @philimonambilikile6645
    @philimonambilikile6645 2 роки тому

    Tatizo lako unajaribu kuwafunua waliofunikwa kwa chupa tundu lisu wewe ni mtata sana pole kwa kuwa unajaribu kuwaweka sawa wanaoliwa

  • @athuimansaid1369
    @athuimansaid1369 3 роки тому +1

    Huyu jamaa nishida

  • @MajiiIfande
    @MajiiIfande 4 місяці тому

    Siku zijazo tutakuelewa tukiwa tumechelewa sana

  • @francissimwinga-gb2vd
    @francissimwinga-gb2vd 3 місяці тому

    Huyu mwamba anaitendea haki Elimu yake kweli

  • @nunikayuni867
    @nunikayuni867 5 років тому +1

    Nimekwerewa kwamaneno

  • @saidhamza5318
    @saidhamza5318 Рік тому

    Angekuwa mzalendo Kwa vitendo na si Kwa maneno angekuwa mtu sahihi wa kutuongoza .. lkn wapi 🤔

  • @DanielDaniel-jp3iw
    @DanielDaniel-jp3iw 4 роки тому +1

    Naona Lowassa anasikiliza kwa makini,

  • @joshuakalimpic6302
    @joshuakalimpic6302 4 роки тому

    We Agnes erasto unamkosoa Nn lisu
    Huyo ndiye rais wa sheria laiti angekuwaekuwemo humo Bungeni Asa hv wangenyoooka . Yaani anacho kiongea ni ukweli Mtupu Wala Hapana kupinga tundu lisu Mungu akujaaalie tu ya

  • @emanuelwakawenga4023
    @emanuelwakawenga4023 Рік тому

    2022 mpo

  • @markkayuni9775
    @markkayuni9775 6 років тому +4

    akuna kama lisu duh

  • @amaniasheri2120
    @amaniasheri2120 6 років тому +4

    Moto wa kuotea mbali

  • @eliurumameshak3533
    @eliurumameshak3533 7 років тому +11

    tunahitaji viongozi kama hawaa

  • @allyngatta9327
    @allyngatta9327 9 років тому +6

    Viongozi kama hawa wanafaa

  • @joshuasamson4174
    @joshuasamson4174 4 роки тому +1

    Mwendelezo jamani ili tumalizie ukweli wa story

  • @davidkaguru9511
    @davidkaguru9511 5 років тому +2

    Hivi huyu MTU wanataka kumuua kwa sababu zipi?haswa wajibu maswali anayoyauliza

  • @Nyanda506
    @Nyanda506 Рік тому

    Muuuhh huyu jamaa natamani arudi bungeni tena😅😅

  • @abilahimbinga3509
    @abilahimbinga3509 5 років тому +1

    Lisu sio mnafiki kabisa. Ni muwazi Sana yaaani hata ccm wenywewe wanaona aibu ccm hawana ukweli. Ayo yote yapo hai na walioandika vitabu wamo umo ila hawatetei maandiko yao ya kweli Bali Ni matumbo yao aibu Sana.

  • @pascarmwatosya5855
    @pascarmwatosya5855 4 роки тому

    Mmm nomaaA

  • @meshackelias7267
    @meshackelias7267 5 років тому +1

    an assert

  • @nak3477
    @nak3477 4 роки тому +1

    Mtetezi wa wanyonge

  • @simongodola4813
    @simongodola4813 4 роки тому +1

    Akili kubwa

  • @josephrichard3967
    @josephrichard3967 2 місяці тому

    2024/06/19

  • @Wakaliwatown
    @Wakaliwatown 23 дні тому

    2024 10_K

  • @wisewise2482
    @wisewise2482 4 роки тому +2

    Kaka ww ni kisanga cha ccm

  • @daudhenry8909
    @daudhenry8909 4 роки тому +1

    Strong mp

  • @kishepokishepo4971
    @kishepokishepo4971 6 місяців тому

    Wale wa 2024 tujuane tuliotoka tiktok

  • @bernardoleonard7331
    @bernardoleonard7331 4 роки тому +3

    Shida mwenye akili akikaa katikati ya wajinga ataonekan yeye ndye...

  • @kfastak
    @kfastak 6 років тому +3

    Dah . Lisu

  • @ngassalindani1852
    @ngassalindani1852 4 роки тому

    kua uyaone na kuona ni kwa mimi. dhaaa basi yote maisha.

  • @robbiejerrson7437
    @robbiejerrson7437 Рік тому

    Duuh, TL wewe ni kiboko. You know a lot. Hapa uliwapasua pasua kabisa CCM kiasi cha kutia mpira wa utunzi wa katiba mpya kwapani na kukimbia uwanja!

  • @ukweliunauma4570
    @ukweliunauma4570 4 роки тому +1

    Hakuna tena nchi inayo itwa zanzibar tena ni kisiwa cha zanzibar chini ya tz passport 1 lungha moja chama kimoja, isipokua malipo ya ushuru ndio tofauti ikitoka zanzibar kwenda Bara uipinchwa kama una TV au gari pesa tena, na unasaeachiwa kama gaidi 🤣👍😜

  • @jonasmaganga7433
    @jonasmaganga7433 3 роки тому

    Nakukubal sana lisu

  • @samwelsengati1369
    @samwelsengati1369 4 роки тому +2

    Hv kwann mlimshambulia, kosa lake nini. Watanzania ifike wakati tuwetunasikiliza ushauri

  • @eliyakitamwas4156
    @eliyakitamwas4156 2 роки тому

    Gemd

  • @johnsanda4931
    @johnsanda4931 3 роки тому

    Tundu lieu anajua Sheria jamani tuache ushabiki.

  • @thomasmanyama9154
    @thomasmanyama9154 5 років тому +1

    Kuna wasomi wameelimika na wanajua na huyu anajua kumbe ameelimika!

  • @gilbertmtoshu4334
    @gilbertmtoshu4334 6 років тому +4

    mic u lissu

  • @musabashiru2705
    @musabashiru2705 4 роки тому +3

    Kaka lisu nakusamimia mimi