Yes tuelewane tu waongo wamezidi Sana wanadanganya watu na kuwapeleka jehanamu MAANA kuabudu maji na udongo Ni kuacha kutubu dhambI na kuacha na kumufuata YESU na njia zake na yyndie anawapeleka watu mbinguni Sio udongo na maji
Ni kweli tunataka kupona TU Ila hatutaki kupona ROHO zetu yaani tuna dhambI nyingi Ila hatumutaki YESU NA WOKOVU WAKE NA MUNGU ANIHURUMIE MM MAANA TWATESEKA NA MAGONJWA NA MATATIZO MBALIMBALI NA jehanamu INATUSUBILI KWA MAANA dhambI twazin,Ang,Ani sana
Mungu akubariki, Mtumishi wa Mungu Mungu aliyeziumba Mbingu na nchi akuzidishie mno uendelee kulitemgeneza kanisa. Cha kunishangaza mtu anamwendea mwenyekuombea anakufa kwa kukanyaga mafuta, miliona Mtumishi wa Mungu jangwani wagonjwa wanabebwa kwa mahela kutoka mhimbili wananyanyuka wanaondoka ni wazima kwa Neno la Bwana. Jamani changamkeni tupokee ufahamu tuwe na ajili hizi ni siku za mwisho
Wasipookoka kwelikweli watazidi kwenda tu. Watu wengi pamoja na kuokoka sheria ya Bwana haimo ndani yao(Yeremia 31:31-33). Kingine, hata kama wanajiita wameokoka bado wamefungwa na madhabahu ya miungu ya shetani (Waamuzi 32:1...).
Eeee hapa tumeelewana wa kuabudiwa Ni MUNGU wa mbingu na NCHI TU na so vinginevyo maji majivu maudongo na maleso havina MAANA wa kuangalia na kuabudiwa Ni YESU NA SI VINGINEVYO TUNAJAA MAKANISANI ILA MUNGU WA KWELI HATUMUJUI WALA HATUJUI KUWA YESU ANATENFDA KAZI HADI SS
Yes tuelewane tu waongo wamezidi Sana wanadanganya watu na kuwapeleka jehanamu MAANA kuabudu maji na udongo Ni kuacha kutubu dhambI na kuacha na kumufuata YESU na njia zake na yyndie anawapeleka watu mbinguni Sio udongo na maji
Amen ubarikiwe mtumishi wa mung
Tungepata wachungaji kumi kila mkoa nchi hii ingepona shetani na wajumbe wake wangekiona cha moto, endelea kututoa kwenye matango pori 🙏
Haleluyaaaaaa
Ameee
Ameren kubwAa
Ni kweli tunataka kupona TU Ila hatutaki kupona ROHO zetu yaani tuna dhambI nyingi Ila hatumutaki YESU NA WOKOVU WAKE NA MUNGU ANIHURUMIE MM MAANA TWATESEKA NA MAGONJWA NA MATATIZO MBALIMBALI NA jehanamu INATUSUBILI KWA MAANA dhambI twazin,Ang,Ani sana
Ubarikiwe mno Baba.Tukumbuke sisi wa manyara.
Mungu akubariki, Mtumishi wa Mungu Mungu aliyeziumba Mbingu na nchi akuzidishie mno uendelee kulitemgeneza kanisa. Cha kunishangaza mtu anamwendea mwenyekuombea anakufa kwa kukanyaga mafuta, miliona Mtumishi wa Mungu jangwani wagonjwa wanabebwa kwa mahela kutoka mhimbili wananyanyuka wanaondoka ni wazima kwa Neno la Bwana. Jamani changamkeni tupokee ufahamu tuwe na ajili hizi ni siku za mwisho
Haleluyababa
Asante sana baba mchungaji kwa NENO lenye uzima. Tunaifurahia huduma yako kwa kweli.
Amen
Sema Baba nakuelewa sana Baba Mungu akutunze
Amen
Haleluyaaaaa Amen
Nauangalia huu ujumbe baada ya mwaka lakini bado ni mpya kama nini wakenya tukusanyikeni hapa
Asante Sana Baba Mungu akubariki Sana huduma yako Ni njema Mungu akujarize jinsi apendavyo
😇😇😇😇😇😇🌏
Baba na barikiwa Sana na mahubiri yako
Asante Baba Kwa neno Bwana Mungu akulinde tunu ya wokovu ktk kristo Yesu
Wasipookoka kwelikweli watazidi kwenda tu. Watu wengi pamoja na kuokoka sheria ya Bwana haimo ndani yao(Yeremia 31:31-33). Kingine, hata kama wanajiita wameokoka bado wamefungwa na madhabahu ya miungu ya shetani (Waamuzi 32:1...).
Ameni, ubarikiwe pastor..umenisaidia kujua miungu ambayo tulikuwa tunaabudu bila kujua..ubarkiwe saaaaana..
Naelewa sana Baba yangu Mch Magembe
Daaaaaa eti utafikiri panya kwenye Kihenge cha mahindi. Nimecheka kweli.
Eeee hapa tumeelewana wa kuabudiwa Ni MUNGU wa mbingu na NCHI TU na so vinginevyo maji majivu maudongo na maleso havina MAANA wa kuangalia na kuabudiwa Ni YESU NA SI VINGINEVYO TUNAJAA MAKANISANI ILA MUNGU WA KWELI HATUMUJUI WALA HATUJUI KUWA YESU ANATENFDA KAZI HADI SS
Amen barikiwa Mtumishi wa Mungu
Mchungaji, kwakweli nakuelewa sana katika mahubiri yako.
Mungu turehemu watoto wako tumepotea
Mungu akutunze Baba barikiwa sana
Amen amen amen
Powerful message Mchungaji
😄mchungaji unatuchana live
Hiyo nzuri sn
Madini.mungu akubariki pastor
AMEN AMEN AMEN 🙏🙏🙏
Amina sana nimepokea roho mtakatifu
Huyu Mzee nampenda jamani..
Kavu kavu bila ganzi
Mungu akubariki Kwa KAZI nzuri
Mungu awabariki sana #NY TV
Ameen
Endelea baba
Amen 🙏
Amen
100
Kanisa hili likowap
🤑🤑🤑🤑🤑🤑🤑🤑🤑🤑🤑🤑🌎
Amen
Asante YESU