KUMJUA MUNGU WA KWELI-MCH.MOSES MAGEMBE

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 7 вер 2024
  • Kumjua Mungu wa kweli-Mchungaji Moses Magembe

КОМЕНТАРІ • 49

  • @geitandelwa299
    @geitandelwa299 Рік тому +2

    Yes tuelewane tu waongo wamezidi Sana wanadanganya watu na kuwapeleka jehanamu MAANA kuabudu maji na udongo Ni kuacha kutubu dhambI na kuacha na kumufuata YESU na njia zake na yyndie anawapeleka watu mbinguni Sio udongo na maji

  • @FrenkEmanuel-m9e
    @FrenkEmanuel-m9e 10 днів тому

    Amen ubarikiwe mtumishi wa mung

  • @elinemakundi5011
    @elinemakundi5011 Рік тому +5

    Tungepata wachungaji kumi kila mkoa nchi hii ingepona shetani na wajumbe wake wangekiona cha moto, endelea kututoa kwenye matango pori 🙏

  • @geitandelwa299
    @geitandelwa299 Рік тому +1

    Ni kweli tunataka kupona TU Ila hatutaki kupona ROHO zetu yaani tuna dhambI nyingi Ila hatumutaki YESU NA WOKOVU WAKE NA MUNGU ANIHURUMIE MM MAANA TWATESEKA NA MAGONJWA NA MATATIZO MBALIMBALI NA jehanamu INATUSUBILI KWA MAANA dhambI twazin,Ang,Ani sana

  • @annastaziangowi4036
    @annastaziangowi4036 Рік тому

    Mungu akubariki, Mtumishi wa Mungu Mungu aliyeziumba Mbingu na nchi akuzidishie mno uendelee kulitemgeneza kanisa. Cha kunishangaza mtu anamwendea mwenyekuombea anakufa kwa kukanyaga mafuta, miliona Mtumishi wa Mungu jangwani wagonjwa wanabebwa kwa mahela kutoka mhimbili wananyanyuka wanaondoka ni wazima kwa Neno la Bwana. Jamani changamkeni tupokee ufahamu tuwe na ajili hizi ni siku za mwisho

  • @user-fx8hb2fn7z
    @user-fx8hb2fn7z Рік тому

    Haleluyababa

  • @haningtonkabuta9387
    @haningtonkabuta9387 2 роки тому +3

    Asante sana baba mchungaji kwa NENO lenye uzima. Tunaifurahia huduma yako kwa kweli.

  • @marianyamasiaga8722
    @marianyamasiaga8722 Рік тому +1

    Nauangalia huu ujumbe baada ya mwaka lakini bado ni mpya kama nini wakenya tukusanyikeni hapa

  • @isakasyembe2956
    @isakasyembe2956 2 роки тому +3

    Asante Sana Baba Mungu akubariki Sana huduma yako Ni njema Mungu akujarize jinsi apendavyo

  • @user-vs4xe6xz2g
    @user-vs4xe6xz2g 11 місяців тому

    Asante Baba Kwa neno Bwana Mungu akulinde tunu ya wokovu ktk kristo Yesu

  • @CanisiusJohnKayombo-ch6fw
    @CanisiusJohnKayombo-ch6fw Рік тому

    Wasipookoka kwelikweli watazidi kwenda tu. Watu wengi pamoja na kuokoka sheria ya Bwana haimo ndani yao(Yeremia 31:31-33). Kingine, hata kama wanajiita wameokoka bado wamefungwa na madhabahu ya miungu ya shetani (Waamuzi 32:1...).

  • @anethphilbert229
    @anethphilbert229 Рік тому

    Ameni, ubarikiwe pastor..umenisaidia kujua miungu ambayo tulikuwa tunaabudu bila kujua..ubarkiwe saaaaana..

  • @deogratiustimoth4070
    @deogratiustimoth4070 2 роки тому +1

    Naelewa sana Baba yangu Mch Magembe

  • @alexanderkapinga700
    @alexanderkapinga700 Рік тому

    Daaaaaa eti utafikiri panya kwenye Kihenge cha mahindi. Nimecheka kweli.

  • @geitandelwa299
    @geitandelwa299 Рік тому +1

    Eeee hapa tumeelewana wa kuabudiwa Ni MUNGU wa mbingu na NCHI TU na so vinginevyo maji majivu maudongo na maleso havina MAANA wa kuangalia na kuabudiwa Ni YESU NA SI VINGINEVYO TUNAJAA MAKANISANI ILA MUNGU WA KWELI HATUMUJUI WALA HATUJUI KUWA YESU ANATENFDA KAZI HADI SS

  • @patrickpastory6216
    @patrickpastory6216 2 роки тому +1

    Amen barikiwa Mtumishi wa Mungu

  • @fikiri5530
    @fikiri5530 Рік тому

    Mchungaji, kwakweli nakuelewa sana katika mahubiri yako.

  • @bahatijohn1958
    @bahatijohn1958 Рік тому +1

    Mungu turehemu watoto wako tumepotea

  • @EmmanuelLuwanja-sb9wj
    @EmmanuelLuwanja-sb9wj Рік тому

    Mungu akutunze Baba barikiwa sana

  • @gemamwakyusa6100
    @gemamwakyusa6100 2 роки тому +1

    Amen amen amen

  • @abrahammwasula2027
    @abrahammwasula2027 2 роки тому +1

    Powerful message Mchungaji

  • @mamakendrick7538
    @mamakendrick7538 2 роки тому +3

    😄mchungaji unatuchana live

  • @abrahammolla8188
    @abrahammolla8188 Рік тому

    Madini.mungu akubariki pastor

  • @HarryMbale-ie1ex
    @HarryMbale-ie1ex 11 місяців тому

    AMEN AMEN AMEN 🙏🙏🙏

  • @williammwawalo5395
    @williammwawalo5395 2 роки тому

    Amina sana nimepokea roho mtakatifu

  • @NoelSirboat-sy3cr
    @NoelSirboat-sy3cr Рік тому

    Huyu Mzee nampenda jamani..

  • @tygadaclassic3488
    @tygadaclassic3488 2 роки тому +1

    Kavu kavu bila ganzi

  • @hainesserasto3866
    @hainesserasto3866 2 роки тому

    Mungu akubariki Kwa KAZI nzuri

  • @tygadaclassic3488
    @tygadaclassic3488 2 роки тому

    Mungu awabariki sana #NY TV

  • @joycemtitu5099
    @joycemtitu5099 Рік тому

    Ameen

  • @boscomutembei2651
    @boscomutembei2651 Рік тому

    Endelea baba

  • @faithmwango5554
    @faithmwango5554 Рік тому

    Amen 🙏

  • @sidimasha6626
    @sidimasha6626 Рік тому

    Amen

  • @lydianganga7693
    @lydianganga7693 Рік тому

    100

  • @personpeter2221
    @personpeter2221 Рік тому

    Kanisa hili likowap

  • @wanyemabyaombe4151
    @wanyemabyaombe4151 2 роки тому +2

    🤑🤑🤑🤑🤑🤑🤑🤑🤑🤑🤑🤑🌎

  • @sarahshani6513
    @sarahshani6513 2 роки тому +2

    Amen