Розмір відео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показувати елементи керування програвачем
Автоматичне відтворення
Автоповтор
Amina baba faya kazi tupone
Ameni ameni yesu hafungwi mnyololo haongozwi njia wala hatumwi kazi bali anatuongoza kule anataka twende
Shida watumishi leo hawatumiki kwa faida ya ufalme wa Mungu, bali ni faida za kibinafsi ndo wengi zinakuwa sababu.
Kuhamia au kuhama?????
Mungu asiwe kivuri cha kujificha MUNGU awe Nuru kwa watu na ndivyo alivyo
Mbona wewe hukutulia😂😂😂
Ndo walewalee af koma TAG haijawahi yumba weeee
Wewe unapo ambiwa ukweli usiwe mbishi ni kwa faida yako Mungu anatakabutakatifu siyo maigizo Mungu haxihakiwi acheni kujipa haki kama mafalisayo
Unajitahid sana🤣🤣🤣🤣🤣🤣kutetea uovu
Duuuuuuuu naww Nina wasiwas na ww Wewe huwezi jilinganisha na magembe ata kidogooo
Wengi wa wanaomuunga mkono mch. Magembe ni wale waliohama au kufukuzwa au kuanzisha huduma binafsi kwa maslahi yao binafsi
Kwani mtu akiama TAG kuna ubaya gani kwani mbinguni kuna aya madhehebu ,mtu ukihama dhehebu sio umememuhama yesu,ebu tuwe makini na ivi vyombo vya habari vinaingiza Roho za uchonganish ,masengenyo
@IsmailMaberi kwani kuna mtu kasema kuna ubaya kuhama TAG.?
Acha uongo magembe sio mwasisi na TAG sio minsty muwe makini unapotaja tag .muhuni wewe
Acheni udini nyie
Hujui maan ya muasisi sio kwamba alianzisha ila ndo wale watumishi wa mwanzo kabisaaa tulia mwehu wewe
Roma>sabato>mwislamu>TAG> huduma binafsi😅
Hiyo hatari sana
😂😂
Amina baba faya kazi tupone
Ameni ameni yesu hafungwi mnyololo haongozwi njia wala hatumwi kazi bali anatuongoza kule anataka twende
Shida watumishi leo hawatumiki kwa faida ya ufalme wa Mungu, bali ni faida za kibinafsi ndo wengi zinakuwa sababu.
Kuhamia au kuhama?????
Mungu asiwe kivuri cha kujificha MUNGU awe Nuru kwa watu na ndivyo alivyo
Mbona wewe hukutulia😂😂😂
Ndo walewalee af koma TAG haijawahi yumba weeee
Wewe unapo ambiwa ukweli usiwe mbishi ni kwa faida yako Mungu anatakabutakatifu siyo maigizo Mungu haxihakiwi acheni kujipa haki kama mafalisayo
Unajitahid sana🤣🤣🤣🤣🤣🤣kutetea uovu
Duuuuuuuu naww Nina wasiwas na ww
Wewe huwezi jilinganisha na magembe ata kidogooo
Wengi wa wanaomuunga mkono mch. Magembe ni wale waliohama au kufukuzwa au kuanzisha huduma binafsi kwa maslahi yao binafsi
Kwani mtu akiama TAG kuna ubaya gani kwani mbinguni kuna aya madhehebu ,mtu ukihama dhehebu sio umememuhama yesu,ebu tuwe makini na ivi vyombo vya habari vinaingiza Roho za uchonganish ,masengenyo
@IsmailMaberi kwani kuna mtu kasema kuna ubaya kuhama TAG.?
Acha uongo magembe sio mwasisi na TAG sio minsty muwe makini unapotaja tag .muhuni wewe
Acheni udini nyie
Hujui maan ya muasisi sio kwamba alianzisha ila ndo wale watumishi wa mwanzo kabisaaa tulia mwehu wewe
Roma>sabato>mwislamu>TAG> huduma binafsi😅
Hiyo hatari sana
😂😂