Safi sana.mtumishi wa mungu mungu aliye hai anaishi napenda kumtafakali mimi namuona nimzee wameka niwasikunyingi hakuna wakufana yeye nampenda sana ❤❤❤❤❤❤❤
Hongera Mchungaji ! Kweli,mimi ni mmoja wa wanaoshukuru kwa ujumbe unao kwa ajili ya kutetea injili ya kweli kwa nyakati huu,pia ushuhuda ulio nao. Mungu atukuzwe.
Mchungaji Magembe wewe ni mmojawapo wa wachungaji wachache sana mlio salia hapa duniani. Mungu akutie nguvu na umri mrefu ili uendelee kuifanya kazi ya Mungu.
Wazee wa mfano huu ni adimu sana Kwa kizazi hili,sisi tuliobahatika kupata mafundisho tumerithishwa Kwa mwendelezo wa kuchunga kanisa na watu wa Mungu.... HALELUYA mtumishi wa Mungu.
BWANA YESU kRISTOR akubaliki sana mtumishi wa MUNGU BWANA YESU kritor aliye hai ubarikiwe akuongezee siku za kuishi ili injili kama hii tuendelee kuisikia maana vijana wa kisasa hawaelewi injili iliyo sahihi ni ipi na kuombea maisha malefu MUNGU muumba mbingu na Nchi akupe maisha malefu Baba yangu
Baba ubarikiwe sana hii ndio injili ninayo itafutasana kwa sasa maana hata mimi nilipotea baba nahitaji kupona unanibariki sana,ubarikiwe sana Mungu azidi kukupa uhai
Amen niombee na mimi Mchungaji nko na.vita ya kiroho maishani na Familia yangu pia magonjwa na issues zinazo fuata mfano watu wafamilia yetu ni ngumu kupata ndoa changamoto za kiuchumi etc
Ufunuo. Wa Yohana. alionyeshwa. Kuwa kutakuwa nawahubiri wenyekujitukuza kuwa wametumwa na Mungu kufanya miujiza lakini tahadhari ikatololewa watavaa ngozi zakondoo lakini ni mbwa mwitu! Tutafakari. Wakristo mbwa Huyo humula mnyama akiwa jai mpaka anakufa. analiwatu tena wanakuwa wengi. Sana tujifunze kwa Huyo mchungaji au some I kitabu chaufunuo vinginevyo mbinguni kuingia! Labuda!!!!
Barikiwa sana Mjoli wa Bwana 🙏 🙏 akika nimebarikiwa nimeona ukinipigisha atua kwenye uduma yangu nanisema nimechukiwa na wengi kupitiwa hii clips kwenye magroup ya kiroho ila fanya kazi baba hata Yesu aliposema kweli wengi walimchukia dah ninamengi sana ila Mungu akubariki mno🤝🤝🙏🙏
Asante jactani kwa kutuletea congamano hili maana kiukweli limenibariki ,ombi langu kwako utuletee kongamano lote kuanzia siku ya kwanza hadi siku ya mwisho pia utuwekee hadi mwisho wa maombi maana tujifunze na kuombewa pia usikate muda wa maombi ,asante
Mungu nakuomba unipe uyu mtumishi wako ili awe Baba yangu wa kiroho anifundishe kukutii ww na nikutumikie mpaka mwisho wa maisha yangu niziache njia zangu mbaya nikugeukie ww muumbaji was mbingu na nchi.
Asante sana mtumishi wa bwana kwa ujumbe wako mzuli ambao umeuandaa mungu wambinguni akupe neeema kubwa kwa ajili ya maneno yake watumishi wa sasa ni wachache ambao wanaotoa meseji ya hivyo walisha baki toa ubalikiwe mala nimeona nyota yako imeibiwa mala nimeona kabuli kiukweli acha mungu akutumie ktk viwango vikubwa amen🎉
Bwana yesu asifiwe ukweli ndio huu na ukweli huweka watu huru mungu anasema tunapotea kwa kukosa hekima na marifa mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu
Mungu akubariki sanaaaaaa..,,,,Watu watubu Dhambi wamrudie Mungu..,,Wokovu si kimbilio la kupata mafanikio ya kidunia..., Nanukuu maneno ya Askofu wa kwanza wa TAG Tanzania (Emmanuel Lazaro) "Mimi siwahubirii mafanikio, nyie mliumbwa kufanikiwa tangu mwanzo..." Wakristo Turejee huu mstari tutaelewa kwanini Mungu hajibu Maombi yetu. Isaya 59:1-2
Mutumishi wamungu,mungu akusaiidiye sn uwedeleye kuhubiri manone mazuri kama haya napiya akuongeziye miaka yakuiishi ili utuokowe mubitedon bibaya amen.
Mchg unavumri gani ? Umesema una miaka hamsini katika huduma tukiongeza umri wa uganga hadi kusoma na kumaliza naona inafika zaidi ya sabini lakini nakuona unakimbia mbio za kijana kabisa. Ubarikiwe Baba!
Hii ndiyo Injili ya Kristo inatenganisha mifupa na nyama,maji na mafuta....kutoa utu wa kale na kuvaa utu mpya...Be blessed servant of God
Amina baba tumepokea ujumbe kwa moyo mmoja. Bwana YESU Atusaidie. Miujiza tuipokee.
Mungu akubariki sana baba yangu mpendwa..unaisema kweli tena unakemea kabisa.barikiwa sana baba.
Mungu azidi kukutumia kwa viwango vya juu zaidi baba yangu wa kiroho..pia Mungu akupe maisha marefu zaidi
Safi sana.mtumishi wa mungu mungu aliye hai anaishi napenda kumtafakali mimi namuona nimzee wameka niwasikunyingi hakuna wakufana yeye nampenda sana ❤❤❤❤❤❤❤
Jamani naomba kujua kanisa lauyu mutumishi like wapi?
Hongera Mchungaji ! Kweli,mimi ni mmoja wa wanaoshukuru kwa ujumbe unao kwa ajili ya kutetea injili ya kweli kwa nyakati huu,pia ushuhuda ulio nao. Mungu atukuzwe.
Asante mtumishi barikiwa natamani sn injili km hii jamani ili tuwe watofauti, Sisi Ni vielelezo hapa duniani.. Asante Yesu Kwa kunipenda.
Asante Mungu hakika wanahitaji kuwa na wachungaji wenye msimamo namna hii, ubarikiwe mno mtumishi wa Mungu
Barikiwa baba, Mungu aendelee kukutumia kanisa lipone. Gonga like kama unakubali maneno yangu.
Hongela sana kwa mafundisho mazuri ambayo ni hadimu sana kwa kizazi Cha leo
Nakubaliki
wambie ukweli barikiwa mhungaji
, God bless you pastor
@@isaacmolllah9451😮😮99y😮😮😮 33:28
Piga kazi babaaa wewe ni katika wachache mnaotulisha maziwa yasiyoghoshiwa Mungu akubarik🙏🙏🙏
Mchungaji Magembe wewe ni mmojawapo wa wachungaji wachache sana mlio salia hapa duniani. Mungu akutie nguvu na umri mrefu ili uendelee kuifanya kazi ya Mungu.
Mzee Magembe uko wap I? Nataka kujifunza kwako
❤❤❤❤nimeamini watu mkiwa na hofu ya Mungu mnafanana Mungu awe nawe baba
Mungu akupe miaka mingi ya huduma mtumshi wa Mungu. Mungu azidi kukutumia katika shamba lake.
Mungu azidi kutumia katika viwango vya juu zaidi ili kukomboa kizazi hiki asante Mungu Kwa utumishi wa huyu mchungaji
Wazee wa mfano huu ni adimu sana Kwa kizazi hili,sisi tuliobahatika kupata mafundisho tumerithishwa Kwa mwendelezo wa kuchunga kanisa na watu wa Mungu.... HALELUYA mtumishi wa Mungu.
😊
Mchungaji Magembe,mafundisho yako ni adimu Sana kuyasikia kwa wachungaji wengine.Mungu akuzidishie afya baba, Endelea kuwaamsha watu waujuwe ukweri.
Mungu akubariki mtumishi wa Mungu.akuongezeye miaka mingi zaidi ya miamoja.unatufundisha mafundisho Mazuri sana.❤
Asante sana muchungaji kwa Neno,umenirudisha kwa misingi ya Neno la Mungu, ubarikiwe sana
Hakika mtumishi unanena vema make sisi washirika hatueleweki nimepokea Sina budi kusema mungu kaniona Asante baba by recho dede
Unatukumbusha mbali sana mtumishi wa
Mungu,baba,mzee wetu mpendwa wetu mzeekorola, alitufundisha kumjua
Mungu wa kweli...
BWANA YESU kRISTOR akubaliki sana mtumishi wa MUNGU BWANA YESU kritor aliye hai ubarikiwe akuongezee siku za kuishi ili injili kama hii tuendelee kuisikia maana vijana wa kisasa hawaelewi injili iliyo sahihi ni ipi na kuombea maisha malefu MUNGU muumba mbingu na Nchi akupe maisha malefu Baba yangu
Hak I God bless you kwa kunionyesha njia ya kwenda mbinguni be blessed
Asante baba ubarikuwe mno hiyo ndiyo injili ya wa TAG
Baba ubarikiwe sana hii ndio injili ninayo itafutasana kwa sasa maana hata mimi nilipotea baba nahitaji kupona unanibariki sana,ubarikiwe sana Mungu azidi kukupa uhai
Mzee ubarikiwe na munguwetu
Bwana Mungu atutie nguvu jmn!!! Nimeguswa sana na mahubiri ya huyu mchungaji!! Jmn Bwana Yesu asifiwe sana
Mungu akupe maisha marefu zaidi ili tujifunze zaidi kwako.
BARIKIWA naye Bwana yesu kristo ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Amina baba endelea kutusahihisha maanake Kuna waumin hatujui tumetoka wapi. Mungu akubarik baba
Barikiwa Mtumishi Wa Mungu aliye Juu..... Bwana Yesu akutendee Mema Baba Mchungaji Magembe
Ubarikiwe baba
Amen niombee na mimi Mchungaji nko na.vita ya kiroho maishani na Familia yangu pia magonjwa na issues zinazo fuata mfano watu wafamilia yetu ni ngumu kupata ndoa changamoto za kiuchumi etc
Ufunuo. Wa Yohana. alionyeshwa. Kuwa kutakuwa nawahubiri wenyekujitukuza kuwa wametumwa na Mungu kufanya miujiza lakini tahadhari ikatololewa watavaa ngozi zakondoo lakini ni mbwa mwitu! Tutafakari. Wakristo mbwa Huyo humula mnyama akiwa jai mpaka anakufa. analiwatu tena wanakuwa wengi. Sana tujifunze kwa Huyo mchungaji au some I kitabu chaufunuo vinginevyo mbinguni kuingia! Labuda!!!!
Amina mtumishi wa MUNGU sema tupone! Heleluya Bwana YESU asifiwe sanaa
Barikiwa sana Mjoli wa Bwana 🙏 🙏 akika nimebarikiwa nimeona ukinipigisha atua kwenye uduma yangu nanisema nimechukiwa na wengi kupitiwa hii clips kwenye magroup ya kiroho ila fanya kazi baba hata Yesu aliposema kweli wengi walimchukia dah ninamengi sana ila Mungu akubariki mno🤝🤝🙏🙏
Ubarkiwe mtumishi unaongea ukwel kabisa
Bwana Yesu azidi kukutumia kwa utukufu wake Mzee wetu Mch Mose's Magembe ,siku zote jumbe zako zinanibariki.
Asante jactani kwa kutuletea congamano hili maana kiukweli limenibariki ,ombi langu kwako utuletee kongamano lote kuanzia siku ya kwanza hadi siku ya mwisho pia utuwekee hadi mwisho wa maombi maana tujifunze na kuombewa pia usikate muda wa maombi ,asante
Amen, ntafanya hivyo
Balikiwa sana mnapatikana wapi@@PromovertvTz
Karibu kanisa la waadventista wasabato tunakutamani sanaa uwe mmoja wetu utatufaa
Mungu akujalie baba yangu mussa, azidi kukulinda na kukutunza.
Am not Christian but this pastor is truly touch my heart, Glory to God & we are all brothers & sisters 🙏
May the Lord touch you soul in Jesus Name and may the Holy spirit réveil himself in you bless you brother
I pray for you brother one day Our living God will touch your soul 🙏🙏🙏
Okoka brother
Brother Bob Nassa, may the Holy spirit continue to touch your heart and get more revelation
@@monicabh1668 0l
Mungu nakuomba unipe uyu mtumishi wako ili awe Baba yangu wa kiroho anifundishe kukutii ww na nikutumikie mpaka mwisho wa maisha yangu niziache njia zangu mbaya nikugeukie ww muumbaji was mbingu na nchi.
Amina, nampenda sana mchungaji huyu, Mungu ampe maisha marefu.
Asante baba iyo ndio injili apaswa buhubiliwa na watu wote
Ooh mungu akubariki mtumishi wa mungu hakika mimi na barikiwa sana
Nimebarikiwa Sana na mahubiri ya baba mchungaji🙏🙏🙏👏👏
This is a true servant of God,
Mzee Mungu akupe nguvu
Mungu atuhuwishe na atusaidie tuhubiri kweli ya Mungu.
Akiri zimeisha hata ufahamu wa kuazima hakuna 😊😊😊 Barikiwa mchungaji 👏👏👏👏
Asante sana mtumishi wa bwana kwa ujumbe wako mzuli ambao umeuandaa mungu wambinguni akupe neeema kubwa kwa ajili ya maneno yake watumishi wa sasa ni wachache ambao wanaotoa meseji ya hivyo walisha baki toa ubalikiwe mala nimeona nyota yako imeibiwa mala nimeona kabuli kiukweli acha mungu akutumie ktk viwango vikubwa amen🎉
Asante sana
Thanks mtumishi,glory returns to jesus...the church needs revival.
Bwana yesu asifiwe ukweli ndio huu na ukweli huweka watu huru mungu anasema tunapotea kwa kukosa hekima na marifa mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu
Injili halisi kabisa! Na ni hadimu sana zama hizi! Ubarikiwe mtumishi
Ni mm peke angu namuona ....kafanana Na marehemu Mengi au daaah.,..Ujumbe mzur saaana Be blessed😍
Hata mimi naona hvy
Yap, copy right Mzee Mengi
Not even close wewe una makengeza
Kimo, sura na upara ni mengi mtupu
Kweli wamefanana
Nimebarikiwa sana kwa neno lako Mungu akupe maisha marefu na akubariki mchungaji wetu
Ubariki wewe ndio Mzee unazeeka na pamoja na Yesu barikiwa sana
Mungu akubariki sanaaaaaa..,,,,Watu watubu Dhambi wamrudie Mungu..,,Wokovu si kimbilio la kupata mafanikio ya kidunia...,
Nanukuu maneno ya Askofu wa kwanza wa TAG Tanzania (Emmanuel Lazaro)
"Mimi siwahubirii mafanikio, nyie mliumbwa kufanikiwa tangu mwanzo..."
Wakristo Turejee huu mstari tutaelewa kwanini Mungu hajibu Maombi yetu.
Isaya 59:1-2
Amina baba wapo watumishi wasiojua wajibu wao ni majungu tu madhabahuni hawajui ni ofisi ya Mungu madhabahu!inashangaza sana nimekuelewa sana baba.!
Ni kweli Leo tunaogopa kuwambia watu kisa wataondoka kanisan, Mungu atusaidie sana kuisema kweli kwa kanisa
Mungu akupe maisha marefu ili uzidi kufundisha Neno la kweli maana kanisa limeishajichanganya.
Kbsaaa
Asante sana kwa mahubiri mazuri.
Nimefarijika sana kumuona Baba yangu Mch.Urassa.
Wangapi tunazidi kubarikiwa❤❤ naneno la bwana yesu
❤❤❤❤ mungu anawatu wake huwatumia akiamua waliokuwa wazaifu BWANA huinuliwa hata kama ni zaif
Mungu Akubariki muchungaji❤
Barikiwa sana baba na Mungu akupe umri mrefu zaid
Mungu akubariki sana mtu wa Mungu,mimi ni simon toka kenya
Nimebarikiwa sana ,Asante Mtumishi wa Mungu
Amina mtumishi barikiwa sana
Amina mtumishi, wa
Mungu
Mungu wa mbinguni akutete,akupiganie sana...
There is authority in this man when he speaks.Haleluja
Baba Mungu akubariki sana unafundisha sijapata kuona
Asante kwa Mafundisho ya BWANA
Mose's magembe barikiwa sana mtumishi wa "MUNGU"🙏
Ibarikiwe sana Mchungaji
❤❤❤❤ Mungu akupe maisha malefu baba
Marefu
Hakika Yesu Kristo ni Bwana.
Mungu akubariki akuongeze Miaka mzee naitaji kuokoka umeguza Maisha yangu
Ubarikiwe unaweza ukaja kanisan kwake,karibu
Niko kenya ameguza maisha yangu sana
Nimependa xana mafunzo yako Rev .moses magembe am revived already fire is burning in me may the Lord keep u and bless u pastor
Nampenda sana huyu mzee mungu amuweke hai
Mutumishi wamungu,mungu akusaiidiye sn uwedeleye kuhubiri manone mazuri kama haya napiya akuongeziye miaka yakuiishi ili utuokowe mubitedon bibaya amen.
Powerful n practical, oh God revive us again !
Asante pastor Kwa kunena kweli
Mungu ni mwema nyakati zote❤
Asante sana mwinjilishi umegusa sehem sahihi
Huyu kwahakika ni nabii wa kanisa la leo. Mungu akupe neema zaidi
Mtume yuko mbezi beach anakula chips😂😂. Asante mchungaji. Bwana Yesu atufungulie macho ya rohoni maana watu wake wanahangamia kwa kukosa maarifa
Hongera mtumishi wamungu ❤ nakumbuka mafundisho kama haya nakumbuka yalikuwepo miaka 19880❤
Yalikuwepo mwaka 1980
Ubalikiwe na Mungu
Asante baba
Nabarikiwa Sana na Mahubiri haya baba mtumishi wa mungu , kanisa laleo limekosa mwelekeo linahitaji mafudisho haya.
Nakubariana naukweli,barikiwasana,mtumishi
Asante sana baba MUNGU azidi kukutumia kanisa lipone
Mungu akubariki Baba akupe maisha marefu uzidi kuokoa nafsi za watoto wa Mungu
L
Powerful message
We all need repentance
Ubarikiwe baba kwa ujumbe wa kweli yaani hii unafundisha doctren. Hi sir dogma, Asante baba , by postar Denis nipo muleba kagera tz
Kweli Mungu amembakisha wa chunganji waukweli, Mungu wetu na azindi kumuinua, Amen
Wewe ni mtumishi wa kweli kila neno lako linagusa mioyo .... Mungu akupe miaka mingi
Mchg unavumri gani ? Umesema una miaka hamsini katika huduma tukiongeza umri wa uganga hadi kusoma na kumaliza naona inafika zaidi ya sabini lakini nakuona unakimbia mbio za kijana kabisa. Ubarikiwe Baba!
Unaweza kuanza huduma uku ukiwa unasoma hivyo hiyo isikuchanganye
I'm blessed sana Mungu akubariki sana
Ongeya baba.pasuwa mawe.mungu akuongezeye upako wa ajabu.❤
God bless you for the wonderful massage
Big Ameen mtumishi.. balikiwa sana kwa ujumbe mzuri
Mungu akubari sana kwa mafundishi mazur Mungu azidi kukutunza Baba yetu