TAZAMA VIDEO NZIMA YA YULE MCH.ANAEWACHANA LIVE WABABAISHAJI "Hutaki nenda kwanza sijakuita"

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 21 лис 2020
  • CLEDIT:NyTV
    #ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV

КОМЕНТАРІ • 740

  • @Spark8Technoo
    @Spark8Technoo 29 днів тому +7

    Mungu nakuomba unipe uyu mtumishi wako ili awe Baba yangu wa kiroho anifundishe kukutii ww na nikutumikie mpaka mwisho wa maisha yangu niziache njia zangu mbaya nikugeukie ww muumbaji was mbingu na nchi.

  • @romanmwaisela
    @romanmwaisela 10 місяців тому +19

    Wazee wa mfano huu ni adimu sana Kwa kizazi hili,sisi tuliobahatika kupata mafundisho tumerithishwa Kwa mwendelezo wa kuchunga kanisa na watu wa Mungu.... HALELUYA mtumishi wa Mungu.

    • @ednaabyudi8465
      @ednaabyudi8465 3 місяці тому

      😊

    • @mtesingwanyanguri3431
      @mtesingwanyanguri3431 23 дні тому

      Mchungaji Magembe,mafundisho yako ni adimu Sana kuyasikia kwa wachungaji wengine.Mungu akuzidishie afya baba, Endelea kuwaamsha watu waujuwe ukweri.

  • @justamwesiga1877
    @justamwesiga1877 3 роки тому +30

    Mungu azidi kukutumia kwa viwango vya juu zaidi baba yangu wa kiroho..pia Mungu akupe maisha marefu zaidi

  • @martinakyoo148
    @martinakyoo148 Рік тому +9

    Bwana Yesu azidi kukutumia kwa utukufu wake Mzee wetu Mch Mose's Magembe ,siku zote jumbe zako zinanibariki.

  • @irenemunuo1710
    @irenemunuo1710 3 роки тому +16

    Mungu akupe miaka mingi ya huduma mtumshi wa Mungu. Mungu azidi kukutumia katika shamba lake.

  • @jimmyfund1502
    @jimmyfund1502 3 роки тому +14

    Mungu akupe maisha marefu zaidi ili tujifunze zaidi kwako.

  • @venancemwanya4212
    @venancemwanya4212 2 роки тому +11

    Mchungaji Magembe wewe ni mmojawapo wa wachungaji wachache sana mlio salia hapa duniani. Mungu akutie nguvu na umri mrefu ili uendelee kuifanya kazi ya Mungu.

    • @juliussabuni2033
      @juliussabuni2033 2 роки тому +1

      Mzee Magembe uko wap I? Nataka kujifunza kwako

  • @elizabethmgassa7243
    @elizabethmgassa7243 8 місяців тому +6

    Mungu akubariki sana baba yangu mpendwa..unaisema kweli tena unakemea kabisa.barikiwa sana baba.

  • @KevinRajab
    @KevinRajab День тому +1

    Mose's magembe barikiwa sana mtumishi wa "MUNGU"🙏

  • @agnesspaul1866
    @agnesspaul1866 10 місяців тому +7

    ❤❤❤❤nimeamini watu mkiwa na hofu ya Mungu mnafanana Mungu awe nawe baba

  • @user-ts1bi7gc8i
    @user-ts1bi7gc8i 7 місяців тому +4

    God bless u preacher for the preaching you provide,

  • @charlesgasper2243
    @charlesgasper2243 3 роки тому +4

    Ufunuo. Wa Yohana. alionyeshwa. Kuwa kutakuwa nawahubiri wenyekujitukuza kuwa wametumwa na Mungu kufanya miujiza lakini tahadhari ikatololewa watavaa ngozi zakondoo lakini ni mbwa mwitu! Tutafakari. Wakristo mbwa Huyo humula mnyama akiwa jai mpaka anakufa. analiwatu tena wanakuwa wengi. Sana tujifunze kwa Huyo mchungaji au some I kitabu chaufunuo vinginevyo mbinguni kuingia! Labuda!!!!

  • @micamathew2595
    @micamathew2595 3 роки тому +8

    Bwana Mungu atutie nguvu jmn!!! Nimeguswa sana na mahubiri ya huyu mchungaji!! Jmn Bwana Yesu asifiwe sana

  • @SabinaEzekiel-vb5nh
    @SabinaEzekiel-vb5nh 3 місяці тому +2

    Amina, nampenda sana mchungaji huyu, Mungu ampe maisha marefu.

  • @graytonndamgoba4805
    @graytonndamgoba4805 10 місяців тому +6

    There is authority in this man when he speaks.Haleluja

  • @gloryurio1213
    @gloryurio1213 3 роки тому +5

    This is a true servant of God,
    Mzee Mungu akupe nguvu

  • @VioletMbezi
    @VioletMbezi 7 місяців тому +4

    Baba ubarikiwe sana hii ndio injili ninayo itafutasana kwa sasa maana hata mimi nilipotea baba nahitaji kupona unanibariki sana,ubarikiwe sana Mungu azidi kukupa uhai

  • @hilgathjoshua8804
    @hilgathjoshua8804 3 роки тому +9

    Akiri zimeisha hata ufahamu wa kuazima hakuna 😊😊😊 Barikiwa mchungaji 👏👏👏👏

  • @fredrickbaijukya2800
    @fredrickbaijukya2800 2 роки тому +11

    Mungu akupe maisha marefu ili uzidi kufundisha Neno la kweli maana kanisa limeishajichanganya.

  • @christsontarimo5803
    @christsontarimo5803 3 роки тому +3

    Mungu akubariki sanaaaaaa..,,,,Watu watubu Dhambi wamrudie Mungu..,,Wokovu si kimbilio la kupata mafanikio ya kidunia...,
    Nanukuu maneno ya Askofu wa kwanza wa TAG Tanzania (Emmanuel Lazaro)
    "Mimi siwahubirii mafanikio, nyie mliumbwa kufanikiwa tangu mwanzo..."
    Wakristo Turejee huu mstari tutaelewa kwanini Mungu hajibu Maombi yetu.
    Isaya 59:1-2

  • @nominetjacob8137
    @nominetjacob8137 6 місяців тому +2

    BWANA YESU kRISTOR akubaliki sana mtumishi wa MUNGU BWANA YESU kritor aliye hai ubarikiwe akuongezee siku za kuishi ili injili kama hii tuendelee kuisikia maana vijana wa kisasa hawaelewi injili iliyo sahihi ni ipi na kuombea maisha malefu MUNGU muumba mbingu na Nchi akupe maisha malefu Baba yangu

  • @prosperprosper3192
    @prosperprosper3192 3 роки тому +14

    Barikiwa sana Mjoli wa Bwana 🙏 🙏 akika nimebarikiwa nimeona ukinipigisha atua kwenye uduma yangu nanisema nimechukiwa na wengi kupitiwa hii clips kwenye magroup ya kiroho ila fanya kazi baba hata Yesu aliposema kweli wengi walimchukia dah ninamengi sana ila Mungu akubariki mno🤝🤝🙏🙏

    • @SimonAkyoo
      @SimonAkyoo 3 дні тому

      Ubarkiwe mtumishi unaongea ukwel kabisa

  • @cristianoprincegabrielles3951
    @cristianoprincegabrielles3951 Рік тому +2

    Barikiwa Mtumishi Wa Mungu aliye Juu..... Bwana Yesu akutendee Mema Baba Mchungaji Magembe

  • @annamwaipopo9485
    @annamwaipopo9485 3 роки тому +13

    Nimebarikiwa sana kwa neno lako Mungu akupe maisha marefu na akubariki mchungaji wetu

  • @cresensiankwera1776
    @cresensiankwera1776 9 місяців тому +4

    Nimebarikiwa Sana na mahubiri ya baba mchungaji🙏🙏🙏👏👏

  • @hansondaniel-nb2jn
    @hansondaniel-nb2jn Рік тому +5

    Nampenda sana huyu mzee mungu amuweke hai

  • @richardesther6738
    @richardesther6738 3 роки тому +3

    Asante jactani kwa kutuletea congamano hili maana kiukweli limenibariki ,ombi langu kwako utuletee kongamano lote kuanzia siku ya kwanza hadi siku ya mwisho pia utuwekee hadi mwisho wa maombi maana tujifunze na kuombewa pia usikate muda wa maombi ,asante

  • @mosesndahani243
    @mosesndahani243 3 роки тому +5

    Huyu kwahakika ni nabii wa kanisa la leo. Mungu akupe neema zaidi

  • @alfredmwangi9640
    @alfredmwangi9640 2 роки тому +6

    Powerful n practical, oh God revive us again !

  • @bobnassa6151
    @bobnassa6151 3 роки тому +40

    Am not Christian but this pastor is truly touch my heart, Glory to God & we are all brothers & sisters 🙏

    • @this.is.aaliya7395
      @this.is.aaliya7395 3 роки тому +3

      May the Lord touch you soul in Jesus Name and may the Holy spirit réveil himself in you bless you brother

    • @monicabh1668
      @monicabh1668 2 роки тому +3

      I pray for you brother one day Our living God will touch your soul 🙏🙏🙏

    • @sammymasinde373
      @sammymasinde373 2 роки тому +2

      Okoka brother

    • @harrietkiden7808
      @harrietkiden7808 Рік тому +2

      Brother Bob Nassa, may the Holy spirit continue to touch your heart and get more revelation

    • @imangunjaimangunja
      @imangunjaimangunja Рік тому +1

      @@monicabh1668 0l

  • @raphaeldaud532
    @raphaeldaud532 3 роки тому +9

    Karibu kwenye mkutano wa injili unakaoaza tarehe 20-12-2020 hadi tarehe 03-01-2021 kanisa la TAG Majumbasita kwa mchungaji Magembe. Wote mnakaribishwa

    • @lightnesskantu523
      @lightnesskantu523 3 роки тому

      Ahsante.Nabarikiwa sana na huyu mtumishi yuko wazi na injili ya motomoto isiyogoshiwa.Mungu aendelee kumtunza azidi kuliamsha kanisa la leo na la hapo mwanzo.

    • @raphaeldaud532
      @raphaeldaud532 3 роки тому

      @@lightnesskantu523 Amen.. Usikose kufika kwenye mkutano. Ubarikiwe sana

  • @VeronicaMacha-pl3xt
    @VeronicaMacha-pl3xt 7 місяців тому +2

    Piga kazi babaaa wewe ni katika wachache mnaotulisha maziwa yasiyoghoshiwa Mungu akubarik🙏🙏🙏

  • @nemaodhiambo7274
    @nemaodhiambo7274 3 роки тому +19

    Powerful message
    We all need repentance

  • @tutuyamononi5185
    @tutuyamononi5185 3 роки тому +16

    Glory to God Bishop welcome Kenya

  • @aganzemukongomani272
    @aganzemukongomani272 3 роки тому +3

    Mutumishi wamungu,mungu akusaiidiye sn uwedeleye kuhubiri manone mazuri kama haya napiya akuongeziye miaka yakuiishi ili utuokowe mubitedon bibaya amen.

  • @simonwanyama749
    @simonwanyama749 3 роки тому +4

    Mungu akubariki sana mtu wa Mungu,mimi ni simon toka kenya

  • @user-uw2fx9ch7p
    @user-uw2fx9ch7p 6 місяців тому +3

    Asante baba iyo ndio injili apaswa buhubiliwa na watu wote

  • @siboniobubinga4523
    @siboniobubinga4523 3 роки тому +13

    Ni mm peke angu namuona ....kafanana Na marehemu Mengi au daaah.,..Ujumbe mzur saaana Be blessed😍

  • @rosehaule6765
    @rosehaule6765 2 місяці тому +2

    Mungu ni mwema nyakati zote❤

  • @mediavumbi9243
    @mediavumbi9243 10 місяців тому +1

    Asante sana muchungaji kwa Neno,umenirudisha kwa misingi ya Neno la Mungu, ubarikiwe sana

  • @mossesezekiel7862
    @mossesezekiel7862 6 місяців тому +1

    Amina mtumishi wa MUNGU sema tupone! Heleluya Bwana YESU asifiwe sanaa

  • @joemunyasya7958
    @joemunyasya7958 3 роки тому +4

    Nimependa xana mafunzo yako Rev .moses magembe am revived already fire is burning in me may the Lord keep u and bless u pastor

  • @IREENNTIJE
    @IREENNTIJE 6 місяців тому +1

    Asante baba ubarikuwe mno hiyo ndiyo injili ya wa TAG

  • @lydiawanjiru5654
    @lydiawanjiru5654 Рік тому +3

    Kweli Mungu amembakisha wa chunganji waukweli, Mungu wetu na azindi kumuinua, Amen

  • @yallasmasanjankelebe8202
    @yallasmasanjankelebe8202 5 днів тому

    Nabarikiwa Sana na Mahubiri haya baba mtumishi wa mungu , kanisa laleo limekosa mwelekeo linahitaji mafudisho haya.

  • @marykibwana9413
    @marykibwana9413 3 роки тому +131

    Barikiwa baba, Mungu aendelee kukutumia kanisa lipone. Gonga like kama unakubali maneno yangu.

  • @jacquelineb3643
    @jacquelineb3643 3 роки тому +6

    Mungu akubariki akuongeze Miaka mzee naitaji kuokoka umeguza Maisha yangu

  • @victorwilbard2585
    @victorwilbard2585 3 роки тому +1

    Asante sana kwa mahubiri mazuri.
    Nimefarijika sana kumuona Baba yangu Mch.Urassa.

  • @NGUSSAPAULO-ll6gm
    @NGUSSAPAULO-ll6gm 4 дні тому

    Hongera mtumishi wamungu ❤ nakumbuka mafundisho kama haya nakumbuka yalikuwepo miaka 19880❤

  • @missarepafra3973
    @missarepafra3973 Рік тому +6

    Mchg unavumri gani ? Umesema una miaka hamsini katika huduma tukiongeza umri wa uganga hadi kusoma na kumaliza naona inafika zaidi ya sabini lakini nakuona unakimbia mbio za kijana kabisa. Ubarikiwe Baba!

    • @mwanawamfalmetz
      @mwanawamfalmetz 26 днів тому +1

      Unaweza kuanza huduma uku ukiwa unasoma hivyo hiyo isikuchanganye

  • @AbedinegoSteven
    @AbedinegoSteven 11 місяців тому +1

    Asante sana mtumishi wa bwana kwa ujumbe wako mzuli ambao umeuandaa mungu wambinguni akupe neeema kubwa kwa ajili ya maneno yake watumishi wa sasa ni wachache ambao wanaotoa meseji ya hivyo walisha baki toa ubalikiwe mala nimeona nyota yako imeibiwa mala nimeona kabuli kiukweli acha mungu akutumie ktk viwango vikubwa amen🎉

  • @user-pk4qj7ed4w
    @user-pk4qj7ed4w 9 місяців тому +1

    Amina baba endelea kutusahihisha maanake Kuna waumin hatujui tumetoka wapi. Mungu akubarik baba

  • @winnyrocha1361
    @winnyrocha1361 2 роки тому +3

    Ujumbe mzuri sana mchungaji karibu Kenya tunahitaji hii injili ya ukweli

  • @AmonAmon-l8w
    @AmonAmon-l8w 14 днів тому

    Mungu akubari sana kwa mafundishi mazur Mungu azidi kukutunza Baba yetu

  • @user-zy4nh5jj4z
    @user-zy4nh5jj4z 8 місяців тому +1

    Ubariki wewe ndio Mzee unazeeka na pamoja na Yesu barikiwa sana

  • @mazongholabaraka6575
    @mazongholabaraka6575 3 роки тому +5

    Mungu akubariki mtumishi wake Mungu.

  • @ElishaWilson-c7p
    @ElishaWilson-c7p 17 днів тому +1

    Barikiwa sana baba na Mungu akupe umri mrefu zaid

  • @gesusgegangphray7689
    @gesusgegangphray7689 3 роки тому +8

    true man from God ..blve him .he is from Father.

  • @janetnzai9866
    @janetnzai9866 3 роки тому +4

    Mungu akubariki Baba akupe maisha marefu uzidi kuokoa nafsi za watoto wa Mungu

  • @sammymasinde373
    @sammymasinde373 2 роки тому +1

    God bless you for the wonderful massage

  • @gracepalex7454
    @gracepalex7454 3 роки тому +3

    Wewe ni mtumishi wa kweli kila neno lako linagusa mioyo .... Mungu akupe miaka mingi

  • @nickodemsimchimba594
    @nickodemsimchimba594 3 роки тому +25

    Nimetokea kumpenda Sana huyu Baba,ana neno la kweli moyoni! Amembeba Mungu alie hai!

  • @edmundsilayo2736
    @edmundsilayo2736 3 роки тому +6

    Jamani naombeni namba za huyu pastor. Neno safi sanaaaaa. TAG take it serious na sisi wengine we have to work on it.

    • @josephgeorgematiku1064
      @josephgeorgematiku1064 3 роки тому +3

      MIMI NI JOSEPH GEORGE MATIKU NA HUYO MCHUNGAJI NI BABA YANGU WA KI-ROHO. SIMU YAKE NI VODA 0767283818 na TIGO NI 0715283819. BARIKIWA SANA SANA.

  • @MzubaloJunior
    @MzubaloJunior 2 місяці тому +2

    ❤❤❤❤ Mungu akupe maisha malefu baba

  • @RajiTarie-d5c
    @RajiTarie-d5c 20 днів тому

    Big Ameen mtumishi.. balikiwa sana kwa ujumbe mzuri

  • @shabanimbwambo7297
    @shabanimbwambo7297 6 місяців тому +2

    Asante sana mwinjilishi umegusa sehem sahihi

  • @YoungsHilary-xd2ml
    @YoungsHilary-xd2ml 8 місяців тому +1

    Nimebarikiwa sana ,Asante Mtumishi wa Mungu

  • @olimpasteven1968
    @olimpasteven1968 3 роки тому +4

    hizi ndo injili Mungu atusaidie sana

  • @rizikitito3024
    @rizikitito3024 3 роки тому +5

    Anaongea kama kulola Mungu akubariki baba unahubir injili ya kweli

  • @noelmbosa2736
    @noelmbosa2736 Рік тому

    Amina baba wapo watumishi wasiojua wajibu wao ni majungu tu madhabahuni hawajui ni ofisi ya Mungu madhabahu!inashangaza sana nimekuelewa sana baba.!

  • @charitymwema6604
    @charitymwema6604 10 місяців тому +2

    This is the man of God who was my friends mentor the late Peter and he went to be with Lord while serving God. Thank you man of God.

  • @kalumbugideon4159
    @kalumbugideon4159 2 роки тому +8

    The best people from God....

  • @vailethjovinali2804
    @vailethjovinali2804 3 роки тому +5

    Mungu wa mbinguni azidi kukulinda baba yangu

  • @joycenniragira1327
    @joycenniragira1327 3 роки тому +7

    Baba,mungu akubariki ,mungu akutume,uje America ukahubiri, maana watu waliotoka Africa wamefikahuku America wakajifanya ndiyowenyewe,please naomba number ya huyo mchungaji asante sana

  • @rosendanshau2674
    @rosendanshau2674 3 роки тому +12

    We mch ulikuwa wapi wewe na mafundisho yako mazuri Mungu akutumie kuponya makanisa yya kipentecoste jamani Mungu atuponye nakupenda baba chapa neno

    • @willisonrushenza7427
      @willisonrushenza7427 3 роки тому

      Nakuelewa mtumishi wa mungu hakika weee ni mtumishi wa mungu aliye hai Amina sana

    • @ellymaz2187
      @ellymaz2187 3 роки тому +1

      @@willisonrushenza7427 Mungu aliyehai huandikwa kwa herufi zote kubwa au ya kwanza. Ukiandika herufi ndogo kama ulivyoandika ujue unazungumzia mizimu. Ubarikiwe

  • @justinembukwa7287
    @justinembukwa7287 15 днів тому

    Mchungaji. Huduma yako is powerful.
    No question

  • @jameskenzedex
    @jameskenzedex 3 роки тому +2

    Praise be the name of God I just came across with this clip when was looking for a true word of may God keep u burning 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 the Gospel am blessed..... N kweli mchungaji

  • @user-ep9by3ui1v
    @user-ep9by3ui1v 15 днів тому

    Alléluia !!Ubarikiwe mtumishi wa bwana 🤝🤔

  • @AmosWangese-mk9yy
    @AmosWangese-mk9yy 6 місяців тому +1

    Thank you pastor be blessed

  • @kagiyerose8604
    @kagiyerose8604 3 роки тому +1

    Mungu akubariki mchunaji Magembe kwa Neno la kweli, Neema ya mungu izidi juu yako kuendelea kulinena neno la kweli kwa ujasiri.

  • @pirminmatumizi5464
    @pirminmatumizi5464 Рік тому +5

    Mchungaji, naandika tu sijui hata kama unaweza kunijibu. Kuna wimbi la watumishi wa Mungu manabii wanaodai kukutana ana kwa ana na Bwana Yesu na akawafunulia mambo ya mbinguni na kuzimu. Wanatushirikisha mambo mengi kuhusiana na maono/mafunuo waliyopata. Moja ya mambo wanayotuambia Bwana Yesu aliwatuma kuonya kuhusu Wanawake kujipamba, kwamba, wanawake wanaojipamba (kuvaa vitu bandia kama wigi, kucha, kope; kujichubua rangi ya ngozi, heleni, bangiri, shanga, n.k.) kamwe hawatoingia katika Ufalme wa Mbinguni. Nawaona baadhi ya wanawake unaowahubiri hapo wapo hivyo. Jambo hili limekaaje Kiongozi wangu.

    • @salvinahassan8778
      @salvinahassan8778 Рік тому +1

      Wokovu ni process,. Kufika mbinguni ni Neema, kukamilia ni pale safari yake imefika mwisho, kanisa ni sehemu ya uponyaji, Kila mtu ana siku yake

    • @salvinahassan8778
      @salvinahassan8778 Рік тому

      Kujua kama mafunuo Yao ni kweli au sio kweli, yapime kwenye biblia

    • @emmylema5911
      @emmylema5911 Рік тому +1

      Soma biblia maana unabii unapimwa kwa neno la Mungu

    • @user-kv7hq5mb6m
      @user-kv7hq5mb6m 11 місяців тому +2

      Mimi ni msabato,lakini nilikuwa najipamba tu,lakini nikawa sikuwi rohoni,nashuku tu,Kisha nikaanza kuota ndoto zakulala nawanaume nisiowajua naninaowajua,nimeombewa sana,nimefunga sana,lakini nilikuwa sifunguliwi,Hadi nipo kwenye mfungo naingiliwa kimwili nakula vyakula ndotoni,nikamlilia mungu sana,nikamuomba anionyeshe mlango ni Upi unaoingiza uharibifu kwangu,siku Moja nikalala,nikaona maono,jini lilinitokea limejipodoa kama wanawake wakawaida,napafyumu limepaka vipodozi nilivyokuwa navyo ndani,likataka kunigandamiza kitandani,nikakemea likapotea,nikamuuliza mungu ,akaniambia ndo huo mlango,nikaamka asbh nikatubu,nikavichoma VYOTE,nikanyoa nywele,nikafunguliwa bila hata maombi,,nikaamini,vipodozi nimlango wauharibifu mkubwa sana,usijifananishe namtu yeyote hata kama nimtumishi ,thamani Yako anajua mungu tu,wengine hujui wanamaagano gani

    • @user-kv7hq5mb6m
      @user-kv7hq5mb6m 11 місяців тому +2

      Ndugu,ninao ushuhuda wavipodozi,vimenitesa sana,Hadi nilipoviacha,viliniua kiroho kabisa

  • @simonwanyama749
    @simonwanyama749 3 роки тому +3

    Bwana yesu asifiwe sana.kanisa lisidhani haya mafundisho ni mzaa tu.Huyu mtu ni wa mungu na anayonena ni ukweli,kanisa la christo lina maneno bali neno na nguvu hazipo.

    • @mariagabba8401
      @mariagabba8401 3 роки тому +1

      Mungu Tunaemuabudu Ni Wa Herufi Kubwa M siyo m herufi ndogo

  • @lucasbunuma9824
    @lucasbunuma9824 3 роки тому +4

    Hili ndilo Neno LA Bwana....kanisa linahitaji kweli ya Mungu.

  • @clementgondwe7116
    @clementgondwe7116 3 роки тому +8

    Ila nikupongeze kwa sababu si yote unakosea bali,kuna mengine ni sahihi unayoyasema Mungu akubariki

  • @BaloziAron-ff1ly
    @BaloziAron-ff1ly 3 місяці тому +1

    I'm blessed sana Mungu akubariki sana

  • @denisjosephat1503
    @denisjosephat1503 3 роки тому

    Ubarikiwe baba kwa ujumbe wa kweli yaani hii unafundisha doctren. Hi sir dogma, Asante baba , by postar Denis nipo muleba kagera tz

  • @msambyaathumani125
    @msambyaathumani125 2 роки тому +5

    Blessed man of God

  • @tobeymershal4154
    @tobeymershal4154 3 роки тому +14

    spirit ya moses kulola inaongea ndani ya huyu mtumishi hata sauti ni ya kulola. barikiwa sana.

  • @michaelalfonce6340
    @michaelalfonce6340 3 роки тому +23

    TAG ikiwa mtapuuza ufunuo wa huyu mzee mtakwisha maana Mungu amemweka kwa makusudi kuzungumza bila unafiki wala uoga mana hayuko TAG kwa maslahi binafsi.

  • @carolinejohn347
    @carolinejohn347 3 роки тому +4

    Dady MUNGU akutunze sana uendelee kuihubiri iliyo kweli yake. Yan huwa ninakuelewa zaidi mno

  • @rosem4870
    @rosem4870 3 роки тому +3

    Aminaaaaa. Haya ndio mahubiri tunayo itaji. Apana baraka kila siku.

  • @LevocatusMwaisumo-qe8ge
    @LevocatusMwaisumo-qe8ge Рік тому +2

    Ubarikiwe BABA MCHUNGAJI

  • @PETERNKUFYA
    @PETERNKUFYA 6 місяців тому +1

    Baba Mungu akubariki sana unafundisha sijapata kuona

  • @gabrielisack7786
    @gabrielisack7786 3 роки тому +2

    Mtumishi wa Bwana anenaye yaliyo moyoni na yatokayo kwa Mungu.

    • @barakakidugutu944
      @barakakidugutu944 3 роки тому

      Hivi watumishi imeona hizo ishara za vidore anavyovionesha Huyu mzee?

  • @rachelmlingwa8880
    @rachelmlingwa8880 3 роки тому +4

    Nimekupenda sana mtumishi uko halisi ktk utumishi waambie hao wanaofanya biashara makanisani

  • @thomasisimkonda5072
    @thomasisimkonda5072 2 роки тому +1

    Asante pastor Kwa kunena kweli

  • @daudiwiston5485
    @daudiwiston5485 3 роки тому +7

    Injili kama hizi kwenye kizazi hiki zimekuwa adimu, hongera sana Baba Mch!

    • @geitandelwa299
      @geitandelwa299 2 роки тому

      Ni kweli kabisa dhambi ZINATESA wahubili wa injili ya YESU NI adimu

  • @honmaka6200
    @honmaka6200 2 роки тому +2

    Nimekuelewa Sasa mtumishi wa Bwana ubarikiwe na Bwana

  • @leahmgunda5055
    @leahmgunda5055 3 роки тому +4

    Na Mungu ahusike ndani ya hiyo LAZIMA Ameni.

  • @samweldamian8098
    @samweldamian8098 8 місяців тому +2

    Amina