TAZAMA VIDEO NZIMA YA YULE MCH.ANAEWACHANA LIVE WABABAISHAJI "Hutaki nenda kwanza sijakuita"

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 5 лют 2025
  • CLEDIT:NyTV
    #ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV

КОМЕНТАРІ • 843

  • @HadijaHsalehe-z4k
    @HadijaHsalehe-z4k 3 місяці тому +7

    Hii ndiyo Injili ya Kristo inatenganisha mifupa na nyama,maji na mafuta....kutoa utu wa kale na kuvaa utu mpya...Be blessed servant of God

  • @GetrudaJoseph-g6r
    @GetrudaJoseph-g6r 2 місяці тому +6

    Amina baba tumepokea ujumbe kwa moyo mmoja. Bwana YESU Atusaidie. Miujiza tuipokee.

  • @elizabethmgassa7243
    @elizabethmgassa7243 Рік тому +7

    Mungu akubariki sana baba yangu mpendwa..unaisema kweli tena unakemea kabisa.barikiwa sana baba.

  • @justamwesiga1877
    @justamwesiga1877 4 роки тому +31

    Mungu azidi kukutumia kwa viwango vya juu zaidi baba yangu wa kiroho..pia Mungu akupe maisha marefu zaidi

  • @PeterMahona-zd3oz
    @PeterMahona-zd3oz 3 місяці тому +1

    Safi sana.mtumishi wa mungu mungu aliye hai anaishi napenda kumtafakali mimi namuona nimzee wameka niwasikunyingi hakuna wakufana yeye nampenda sana ❤❤❤❤❤❤❤

  • @AnodiJumbo
    @AnodiJumbo Місяць тому +1

    Jamani naomba kujua kanisa lauyu mutumishi like wapi?

  • @jonassafari7619
    @jonassafari7619 Місяць тому +1

    Hongera Mchungaji ! Kweli,mimi ni mmoja wa wanaoshukuru kwa ujumbe unao kwa ajili ya kutetea injili ya kweli kwa nyakati huu,pia ushuhuda ulio nao. Mungu atukuzwe.

  • @KenethdanielManyesela
    @KenethdanielManyesela Місяць тому +2

    Asante mtumishi barikiwa natamani sn injili km hii jamani ili tuwe watofauti, Sisi Ni vielelezo hapa duniani.. Asante Yesu Kwa kunipenda.

  • @AngelBayo-p5u
    @AngelBayo-p5u 5 місяців тому +3

    Asante Mungu hakika wanahitaji kuwa na wachungaji wenye msimamo namna hii, ubarikiwe mno mtumishi wa Mungu

  • @marykibwana9413
    @marykibwana9413 4 роки тому +151

    Barikiwa baba, Mungu aendelee kukutumia kanisa lipone. Gonga like kama unakubali maneno yangu.

  • @VeronicaMacha-pl3xt
    @VeronicaMacha-pl3xt Рік тому +3

    Piga kazi babaaa wewe ni katika wachache mnaotulisha maziwa yasiyoghoshiwa Mungu akubarik🙏🙏🙏

  • @venancemwanya4212
    @venancemwanya4212 2 роки тому +13

    Mchungaji Magembe wewe ni mmojawapo wa wachungaji wachache sana mlio salia hapa duniani. Mungu akutie nguvu na umri mrefu ili uendelee kuifanya kazi ya Mungu.

    • @juliussabuni2033
      @juliussabuni2033 2 роки тому +2

      Mzee Magembe uko wap I? Nataka kujifunza kwako

  • @agnesspaul1866
    @agnesspaul1866 Рік тому +7

    ❤❤❤❤nimeamini watu mkiwa na hofu ya Mungu mnafanana Mungu awe nawe baba

  • @irenemunuo1710
    @irenemunuo1710 4 роки тому +16

    Mungu akupe miaka mingi ya huduma mtumshi wa Mungu. Mungu azidi kukutumia katika shamba lake.

  • @VertasiaMatimbwi
    @VertasiaMatimbwi 4 місяці тому +2

    Mungu azidi kutumia katika viwango vya juu zaidi ili kukomboa kizazi hiki asante Mungu Kwa utumishi wa huyu mchungaji

  • @romanmwaisela
    @romanmwaisela Рік тому +23

    Wazee wa mfano huu ni adimu sana Kwa kizazi hili,sisi tuliobahatika kupata mafundisho tumerithishwa Kwa mwendelezo wa kuchunga kanisa na watu wa Mungu.... HALELUYA mtumishi wa Mungu.

    • @ednaabyudi8465
      @ednaabyudi8465 9 місяців тому +1

      😊

    • @mtesingwanyanguri3431
      @mtesingwanyanguri3431 6 місяців тому +1

      Mchungaji Magembe,mafundisho yako ni adimu Sana kuyasikia kwa wachungaji wengine.Mungu akuzidishie afya baba, Endelea kuwaamsha watu waujuwe ukweri.

  • @GhislaineMuhindo
    @GhislaineMuhindo 5 місяців тому +1

    Mungu akubariki mtumishi wa Mungu.akuongezeye miaka mingi zaidi ya miamoja.unatufundisha mafundisho Mazuri sana.❤

  • @mediavumbi9243
    @mediavumbi9243 Рік тому +3

    Asante sana muchungaji kwa Neno,umenirudisha kwa misingi ya Neno la Mungu, ubarikiwe sana

  • @ZunRecordStudio
    @ZunRecordStudio 2 місяці тому +1

    Hakika mtumishi unanena vema make sisi washirika hatueleweki nimepokea Sina budi kusema mungu kaniona Asante baba by recho dede

  • @RhodaKibona-w9j
    @RhodaKibona-w9j Місяць тому +1

    Unatukumbusha mbali sana mtumishi wa
    Mungu,baba,mzee wetu mpendwa wetu mzeekorola, alitufundisha kumjua
    Mungu wa kweli...

  • @nominetjacob8137
    @nominetjacob8137 Рік тому +2

    BWANA YESU kRISTOR akubaliki sana mtumishi wa MUNGU BWANA YESU kritor aliye hai ubarikiwe akuongezee siku za kuishi ili injili kama hii tuendelee kuisikia maana vijana wa kisasa hawaelewi injili iliyo sahihi ni ipi na kuombea maisha malefu MUNGU muumba mbingu na Nchi akupe maisha malefu Baba yangu

  • @FlorahMuhonja
    @FlorahMuhonja 4 місяці тому +2

    Hak I God bless you kwa kunionyesha njia ya kwenda mbinguni be blessed

  • @IREENNTIJE
    @IREENNTIJE Рік тому +2

    Asante baba ubarikuwe mno hiyo ndiyo injili ya wa TAG

  • @VioletMbezi
    @VioletMbezi Рік тому +5

    Baba ubarikiwe sana hii ndio injili ninayo itafutasana kwa sasa maana hata mimi nilipotea baba nahitaji kupona unanibariki sana,ubarikiwe sana Mungu azidi kukupa uhai

    • @mayelegeneral
      @mayelegeneral 10 місяців тому

      Mzee ubarikiwe na munguwetu

  • @micamathew2595
    @micamathew2595 4 роки тому +8

    Bwana Mungu atutie nguvu jmn!!! Nimeguswa sana na mahubiri ya huyu mchungaji!! Jmn Bwana Yesu asifiwe sana

  • @jimmyfund1502
    @jimmyfund1502 3 роки тому +14

    Mungu akupe maisha marefu zaidi ili tujifunze zaidi kwako.

  • @ShemaWimbabazi
    @ShemaWimbabazi Місяць тому +2

    BARIKIWA naye Bwana yesu kristo ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @ModesterSakyambo
    @ModesterSakyambo Рік тому +2

    Amina baba endelea kutusahihisha maanake Kuna waumin hatujui tumetoka wapi. Mungu akubarik baba

  • @cristianoprincegabrielles3951
    @cristianoprincegabrielles3951 2 роки тому +2

    Barikiwa Mtumishi Wa Mungu aliye Juu..... Bwana Yesu akutendee Mema Baba Mchungaji Magembe

  • @FrenkRemigius
    @FrenkRemigius 2 місяці тому +2

    Ubarikiwe baba

  • @elienew3788
    @elienew3788 5 місяців тому +1

    Amen niombee na mimi Mchungaji nko na.vita ya kiroho maishani na Familia yangu pia magonjwa na issues zinazo fuata mfano watu wafamilia yetu ni ngumu kupata ndoa changamoto za kiuchumi etc

  • @charlesgasper2243
    @charlesgasper2243 3 роки тому +4

    Ufunuo. Wa Yohana. alionyeshwa. Kuwa kutakuwa nawahubiri wenyekujitukuza kuwa wametumwa na Mungu kufanya miujiza lakini tahadhari ikatololewa watavaa ngozi zakondoo lakini ni mbwa mwitu! Tutafakari. Wakristo mbwa Huyo humula mnyama akiwa jai mpaka anakufa. analiwatu tena wanakuwa wengi. Sana tujifunze kwa Huyo mchungaji au some I kitabu chaufunuo vinginevyo mbinguni kuingia! Labuda!!!!

  • @mossesezekiel7862
    @mossesezekiel7862 Рік тому +1

    Amina mtumishi wa MUNGU sema tupone! Heleluya Bwana YESU asifiwe sanaa

  • @prosperprosper3192
    @prosperprosper3192 4 роки тому +14

    Barikiwa sana Mjoli wa Bwana 🙏 🙏 akika nimebarikiwa nimeona ukinipigisha atua kwenye uduma yangu nanisema nimechukiwa na wengi kupitiwa hii clips kwenye magroup ya kiroho ila fanya kazi baba hata Yesu aliposema kweli wengi walimchukia dah ninamengi sana ila Mungu akubariki mno🤝🤝🙏🙏

    • @SimonAkyoo
      @SimonAkyoo 6 місяців тому

      Ubarkiwe mtumishi unaongea ukwel kabisa

  • @martinakyoo148
    @martinakyoo148 2 роки тому +9

    Bwana Yesu azidi kukutumia kwa utukufu wake Mzee wetu Mch Mose's Magembe ,siku zote jumbe zako zinanibariki.

  • @richardesther6738
    @richardesther6738 4 роки тому +3

    Asante jactani kwa kutuletea congamano hili maana kiukweli limenibariki ,ombi langu kwako utuletee kongamano lote kuanzia siku ya kwanza hadi siku ya mwisho pia utuwekee hadi mwisho wa maombi maana tujifunze na kuombewa pia usikate muda wa maombi ,asante

    • @PromovertvTz
      @PromovertvTz  4 роки тому

      Amen, ntafanya hivyo

    • @NyotaMahuvi
      @NyotaMahuvi 5 місяців тому

      Balikiwa sana mnapatikana wapi​@@PromovertvTz

  • @jumamwita2317
    @jumamwita2317 Місяць тому +1

    Karibu kanisa la waadventista wasabato tunakutamani sanaa uwe mmoja wetu utatufaa

  • @JamesPaulo-x3z
    @JamesPaulo-x3z 5 місяців тому +4

    Mungu akujalie baba yangu mussa, azidi kukulinda na kukutunza.

  • @bobnassa6151
    @bobnassa6151 4 роки тому +41

    Am not Christian but this pastor is truly touch my heart, Glory to God & we are all brothers & sisters 🙏

    • @this.is.aaliya7395
      @this.is.aaliya7395 3 роки тому +3

      May the Lord touch you soul in Jesus Name and may the Holy spirit réveil himself in you bless you brother

    • @monicabh1668
      @monicabh1668 3 роки тому +3

      I pray for you brother one day Our living God will touch your soul 🙏🙏🙏

    • @sammymasinde373
      @sammymasinde373 2 роки тому +2

      Okoka brother

    • @harrietkiden7808
      @harrietkiden7808 Рік тому +2

      Brother Bob Nassa, may the Holy spirit continue to touch your heart and get more revelation

    • @imangunjaimangunja
      @imangunjaimangunja Рік тому +1

      @@monicabh1668 0l

  • @Spark8Technoo
    @Spark8Technoo 7 місяців тому +18

    Mungu nakuomba unipe uyu mtumishi wako ili awe Baba yangu wa kiroho anifundishe kukutii ww na nikutumikie mpaka mwisho wa maisha yangu niziache njia zangu mbaya nikugeukie ww muumbaji was mbingu na nchi.

  • @SabinaEzekiel-vb5nh
    @SabinaEzekiel-vb5nh 9 місяців тому +2

    Amina, nampenda sana mchungaji huyu, Mungu ampe maisha marefu.

  • @FrancisMwamboma-g6c
    @FrancisMwamboma-g6c Рік тому +3

    Asante baba iyo ndio injili apaswa buhubiliwa na watu wote

  • @ElizabethNgusway
    @ElizabethNgusway 5 місяців тому +2

    Ooh mungu akubariki mtumishi wa mungu hakika mimi na barikiwa sana

  • @cresensiankwera1776
    @cresensiankwera1776 Рік тому +4

    Nimebarikiwa Sana na mahubiri ya baba mchungaji🙏🙏🙏👏👏

  • @gloryurio1213
    @gloryurio1213 3 роки тому +5

    This is a true servant of God,
    Mzee Mungu akupe nguvu

  • @KenethdanielManyesela
    @KenethdanielManyesela Місяць тому +3

    Mungu atuhuwishe na atusaidie tuhubiri kweli ya Mungu.

  • @hilgathjoshua8804
    @hilgathjoshua8804 4 роки тому +9

    Akiri zimeisha hata ufahamu wa kuazima hakuna 😊😊😊 Barikiwa mchungaji 👏👏👏👏

  • @AbedinegoSteven
    @AbedinegoSteven Рік тому +1

    Asante sana mtumishi wa bwana kwa ujumbe wako mzuli ambao umeuandaa mungu wambinguni akupe neeema kubwa kwa ajili ya maneno yake watumishi wa sasa ni wachache ambao wanaotoa meseji ya hivyo walisha baki toa ubalikiwe mala nimeona nyota yako imeibiwa mala nimeona kabuli kiukweli acha mungu akutumie ktk viwango vikubwa amen🎉

  • @JAMESMUTUNGI-o3b
    @JAMESMUTUNGI-o3b 5 місяців тому +1

    Thanks mtumishi,glory returns to jesus...the church needs revival.

  • @Nacy-vt5yb
    @Nacy-vt5yb 5 місяців тому +1

    Bwana yesu asifiwe ukweli ndio huu na ukweli huweka watu huru mungu anasema tunapotea kwa kukosa hekima na marifa mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu

  • @WekezaMakini
    @WekezaMakini 18 днів тому +1

    Injili halisi kabisa! Na ni hadimu sana zama hizi! Ubarikiwe mtumishi

  • @siboniobubinga4523
    @siboniobubinga4523 4 роки тому +13

    Ni mm peke angu namuona ....kafanana Na marehemu Mengi au daaah.,..Ujumbe mzur saaana Be blessed😍

  • @annamwaipopo9485
    @annamwaipopo9485 4 роки тому +13

    Nimebarikiwa sana kwa neno lako Mungu akupe maisha marefu na akubariki mchungaji wetu

  • @SultanMgani
    @SultanMgani Рік тому +1

    Ubariki wewe ndio Mzee unazeeka na pamoja na Yesu barikiwa sana

  • @christsontarimo5803
    @christsontarimo5803 3 роки тому +3

    Mungu akubariki sanaaaaaa..,,,,Watu watubu Dhambi wamrudie Mungu..,,Wokovu si kimbilio la kupata mafanikio ya kidunia...,
    Nanukuu maneno ya Askofu wa kwanza wa TAG Tanzania (Emmanuel Lazaro)
    "Mimi siwahubirii mafanikio, nyie mliumbwa kufanikiwa tangu mwanzo..."
    Wakristo Turejee huu mstari tutaelewa kwanini Mungu hajibu Maombi yetu.
    Isaya 59:1-2

  • @noelmbosa2736
    @noelmbosa2736 Рік тому

    Amina baba wapo watumishi wasiojua wajibu wao ni majungu tu madhabahuni hawajui ni ofisi ya Mungu madhabahu!inashangaza sana nimekuelewa sana baba.!

  • @MichaelMushilu
    @MichaelMushilu 3 місяці тому +2

    Ni kweli Leo tunaogopa kuwambia watu kisa wataondoka kanisan, Mungu atusaidie sana kuisema kweli kwa kanisa

  • @fredrickbaijukya2800
    @fredrickbaijukya2800 2 роки тому +11

    Mungu akupe maisha marefu ili uzidi kufundisha Neno la kweli maana kanisa limeishajichanganya.

  • @victorwilbard2585
    @victorwilbard2585 4 роки тому +1

    Asante sana kwa mahubiri mazuri.
    Nimefarijika sana kumuona Baba yangu Mch.Urassa.

  • @PauloAmos-k2f
    @PauloAmos-k2f 2 дні тому

    Wangapi tunazidi kubarikiwa❤❤ naneno la bwana yesu

  • @nyabutv2283
    @nyabutv2283 Місяць тому

    ❤❤❤❤ mungu anawatu wake huwatumia akiamua waliokuwa wazaifu BWANA huinuliwa hata kama ni zaif

  • @nkunsialfred6595
    @nkunsialfred6595 4 місяці тому +1

    Mungu Akubariki muchungaji❤

  • @ElishaWilson-c7p
    @ElishaWilson-c7p 6 місяців тому +1

    Barikiwa sana baba na Mungu akupe umri mrefu zaid

  • @simonwanyama749
    @simonwanyama749 4 роки тому +4

    Mungu akubariki sana mtu wa Mungu,mimi ni simon toka kenya

  • @YoungsHilary-xd2ml
    @YoungsHilary-xd2ml Рік тому +1

    Nimebarikiwa sana ,Asante Mtumishi wa Mungu

  • @SafielMsuya-d2k
    @SafielMsuya-d2k 3 місяці тому +2

    Amina mtumishi barikiwa sana

  • @RhodaKibona-w9j
    @RhodaKibona-w9j Місяць тому

    Amina mtumishi, wa
    Mungu
    Mungu wa mbinguni akutete,akupiganie sana...

  • @graytonndamgoba4805
    @graytonndamgoba4805 Рік тому +6

    There is authority in this man when he speaks.Haleluja

  • @PETERNKUFYA
    @PETERNKUFYA Рік тому +1

    Baba Mungu akubariki sana unafundisha sijapata kuona

  • @LucianSanga
    @LucianSanga Місяць тому +1

    Asante kwa Mafundisho ya BWANA

  • @KevinRajab
    @KevinRajab 6 місяців тому +1

    Mose's magembe barikiwa sana mtumishi wa "MUNGU"🙏

  • @BoniphaceKoladoJohn
    @BoniphaceKoladoJohn 3 місяці тому +2

    Ibarikiwe sana Mchungaji

  • @MzubaloJunior
    @MzubaloJunior 8 місяців тому +2

    ❤❤❤❤ Mungu akupe maisha malefu baba

  • @tumainiurio3644
    @tumainiurio3644 Місяць тому +2

    Hakika Yesu Kristo ni Bwana.

  • @jacquelineb3643
    @jacquelineb3643 4 роки тому +6

    Mungu akubariki akuongeze Miaka mzee naitaji kuokoka umeguza Maisha yangu

  • @joemunyasya7958
    @joemunyasya7958 4 роки тому +4

    Nimependa xana mafunzo yako Rev .moses magembe am revived already fire is burning in me may the Lord keep u and bless u pastor

  • @hansondaniel-nb2jn
    @hansondaniel-nb2jn Рік тому +5

    Nampenda sana huyu mzee mungu amuweke hai

  • @aganzemukongomani272
    @aganzemukongomani272 3 роки тому +3

    Mutumishi wamungu,mungu akusaiidiye sn uwedeleye kuhubiri manone mazuri kama haya napiya akuongeziye miaka yakuiishi ili utuokowe mubitedon bibaya amen.

  • @alfredmwangi9640
    @alfredmwangi9640 2 роки тому +6

    Powerful n practical, oh God revive us again !

  • @thomasisimkonda5072
    @thomasisimkonda5072 2 роки тому +1

    Asante pastor Kwa kunena kweli

  • @rosehaule6765
    @rosehaule6765 8 місяців тому +2

    Mungu ni mwema nyakati zote❤

  • @shabanimbwambo7297
    @shabanimbwambo7297 Рік тому +2

    Asante sana mwinjilishi umegusa sehem sahihi

  • @mosesndahani243
    @mosesndahani243 4 роки тому +5

    Huyu kwahakika ni nabii wa kanisa la leo. Mungu akupe neema zaidi

  • @daimavlog
    @daimavlog Рік тому

    Mtume yuko mbezi beach anakula chips😂😂. Asante mchungaji. Bwana Yesu atufungulie macho ya rohoni maana watu wake wanahangamia kwa kukosa maarifa

  • @NGUSSAPAULO-ll6gm
    @NGUSSAPAULO-ll6gm 6 місяців тому

    Hongera mtumishi wamungu ❤ nakumbuka mafundisho kama haya nakumbuka yalikuwepo miaka 19880❤

  • @labannewharvestmedia4052
    @labannewharvestmedia4052 Місяць тому +1

    Ubalikiwe na Mungu

  • @JackieRuge-q8p
    @JackieRuge-q8p 2 місяці тому +1

    Asante baba

  • @yallasmasanjankelebe8202
    @yallasmasanjankelebe8202 6 місяців тому

    Nabarikiwa Sana na Mahubiri haya baba mtumishi wa mungu , kanisa laleo limekosa mwelekeo linahitaji mafudisho haya.

    • @DamianaMhamilawa
      @DamianaMhamilawa 3 місяці тому +1

      Nakubariana naukweli,barikiwasana,mtumishi

  • @johnsonmushi4537
    @johnsonmushi4537 Рік тому

    Asante sana baba MUNGU azidi kukutumia kanisa lipone

  • @janetnzai9866
    @janetnzai9866 4 роки тому +4

    Mungu akubariki Baba akupe maisha marefu uzidi kuokoa nafsi za watoto wa Mungu

  • @nemaodhiambo7274
    @nemaodhiambo7274 4 роки тому +19

    Powerful message
    We all need repentance

  • @denisjosephat1503
    @denisjosephat1503 3 роки тому

    Ubarikiwe baba kwa ujumbe wa kweli yaani hii unafundisha doctren. Hi sir dogma, Asante baba , by postar Denis nipo muleba kagera tz

  • @lydiawanjiru5654
    @lydiawanjiru5654 Рік тому +3

    Kweli Mungu amembakisha wa chunganji waukweli, Mungu wetu na azindi kumuinua, Amen

  • @gracepalex7454
    @gracepalex7454 4 роки тому +3

    Wewe ni mtumishi wa kweli kila neno lako linagusa mioyo .... Mungu akupe miaka mingi

  • @missarepafra3973
    @missarepafra3973 Рік тому +6

    Mchg unavumri gani ? Umesema una miaka hamsini katika huduma tukiongeza umri wa uganga hadi kusoma na kumaliza naona inafika zaidi ya sabini lakini nakuona unakimbia mbio za kijana kabisa. Ubarikiwe Baba!

    • @mwanawamfalmetz
      @mwanawamfalmetz 7 місяців тому +2

      Unaweza kuanza huduma uku ukiwa unasoma hivyo hiyo isikuchanganye

  • @BaloziAron-ff1ly
    @BaloziAron-ff1ly 9 місяців тому +1

    I'm blessed sana Mungu akubariki sana

  • @GhislaineMuhindo
    @GhislaineMuhindo 5 місяців тому

    Ongeya baba.pasuwa mawe.mungu akuongezeye upako wa ajabu.❤

  • @sammymasinde373
    @sammymasinde373 2 роки тому +1

    God bless you for the wonderful massage

  • @RajiTarie-d5c
    @RajiTarie-d5c 6 місяців тому

    Big Ameen mtumishi.. balikiwa sana kwa ujumbe mzuri

  • @AmonAmon-l8w
    @AmonAmon-l8w 6 місяців тому

    Mungu akubari sana kwa mafundishi mazur Mungu azidi kukutunza Baba yetu