Mungu nakuomba unipe uyu mtumishi wako ili awe Baba yangu wa kiroho anifundishe kukutii ww na nikutumikie mpaka mwisho wa maisha yangu niziache njia zangu mbaya nikugeukie ww muumbaji was mbingu na nchi.
Wazee wa mfano huu ni adimu sana Kwa kizazi hili,sisi tuliobahatika kupata mafundisho tumerithishwa Kwa mwendelezo wa kuchunga kanisa na watu wa Mungu.... HALELUYA mtumishi wa Mungu.
Mchungaji Magembe wewe ni mmojawapo wa wachungaji wachache sana mlio salia hapa duniani. Mungu akutie nguvu na umri mrefu ili uendelee kuifanya kazi ya Mungu.
Ufunuo. Wa Yohana. alionyeshwa. Kuwa kutakuwa nawahubiri wenyekujitukuza kuwa wametumwa na Mungu kufanya miujiza lakini tahadhari ikatololewa watavaa ngozi zakondoo lakini ni mbwa mwitu! Tutafakari. Wakristo mbwa Huyo humula mnyama akiwa jai mpaka anakufa. analiwatu tena wanakuwa wengi. Sana tujifunze kwa Huyo mchungaji au some I kitabu chaufunuo vinginevyo mbinguni kuingia! Labuda!!!!
Baba ubarikiwe sana hii ndio injili ninayo itafutasana kwa sasa maana hata mimi nilipotea baba nahitaji kupona unanibariki sana,ubarikiwe sana Mungu azidi kukupa uhai
Mungu akubariki sanaaaaaa..,,,,Watu watubu Dhambi wamrudie Mungu..,,Wokovu si kimbilio la kupata mafanikio ya kidunia..., Nanukuu maneno ya Askofu wa kwanza wa TAG Tanzania (Emmanuel Lazaro) "Mimi siwahubirii mafanikio, nyie mliumbwa kufanikiwa tangu mwanzo..." Wakristo Turejee huu mstari tutaelewa kwanini Mungu hajibu Maombi yetu. Isaya 59:1-2
BWANA YESU kRISTOR akubaliki sana mtumishi wa MUNGU BWANA YESU kritor aliye hai ubarikiwe akuongezee siku za kuishi ili injili kama hii tuendelee kuisikia maana vijana wa kisasa hawaelewi injili iliyo sahihi ni ipi na kuombea maisha malefu MUNGU muumba mbingu na Nchi akupe maisha malefu Baba yangu
Barikiwa sana Mjoli wa Bwana 🙏 🙏 akika nimebarikiwa nimeona ukinipigisha atua kwenye uduma yangu nanisema nimechukiwa na wengi kupitiwa hii clips kwenye magroup ya kiroho ila fanya kazi baba hata Yesu aliposema kweli wengi walimchukia dah ninamengi sana ila Mungu akubariki mno🤝🤝🙏🙏
Asante jactani kwa kutuletea congamano hili maana kiukweli limenibariki ,ombi langu kwako utuletee kongamano lote kuanzia siku ya kwanza hadi siku ya mwisho pia utuwekee hadi mwisho wa maombi maana tujifunze na kuombewa pia usikate muda wa maombi ,asante
Ahsante.Nabarikiwa sana na huyu mtumishi yuko wazi na injili ya motomoto isiyogoshiwa.Mungu aendelee kumtunza azidi kuliamsha kanisa la leo na la hapo mwanzo.
Mutumishi wamungu,mungu akusaiidiye sn uwedeleye kuhubiri manone mazuri kama haya napiya akuongeziye miaka yakuiishi ili utuokowe mubitedon bibaya amen.
Mchg unavumri gani ? Umesema una miaka hamsini katika huduma tukiongeza umri wa uganga hadi kusoma na kumaliza naona inafika zaidi ya sabini lakini nakuona unakimbia mbio za kijana kabisa. Ubarikiwe Baba!
Asante sana mtumishi wa bwana kwa ujumbe wako mzuli ambao umeuandaa mungu wambinguni akupe neeema kubwa kwa ajili ya maneno yake watumishi wa sasa ni wachache ambao wanaotoa meseji ya hivyo walisha baki toa ubalikiwe mala nimeona nyota yako imeibiwa mala nimeona kabuli kiukweli acha mungu akutumie ktk viwango vikubwa amen🎉
Baba,mungu akubariki ,mungu akutume,uje America ukahubiri, maana watu waliotoka Africa wamefikahuku America wakajifanya ndiyowenyewe,please naomba number ya huyo mchungaji asante sana
@@willisonrushenza7427 Mungu aliyehai huandikwa kwa herufi zote kubwa au ya kwanza. Ukiandika herufi ndogo kama ulivyoandika ujue unazungumzia mizimu. Ubarikiwe
Praise be the name of God I just came across with this clip when was looking for a true word of may God keep u burning 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 the Gospel am blessed..... N kweli mchungaji
Mchungaji, naandika tu sijui hata kama unaweza kunijibu. Kuna wimbi la watumishi wa Mungu manabii wanaodai kukutana ana kwa ana na Bwana Yesu na akawafunulia mambo ya mbinguni na kuzimu. Wanatushirikisha mambo mengi kuhusiana na maono/mafunuo waliyopata. Moja ya mambo wanayotuambia Bwana Yesu aliwatuma kuonya kuhusu Wanawake kujipamba, kwamba, wanawake wanaojipamba (kuvaa vitu bandia kama wigi, kucha, kope; kujichubua rangi ya ngozi, heleni, bangiri, shanga, n.k.) kamwe hawatoingia katika Ufalme wa Mbinguni. Nawaona baadhi ya wanawake unaowahubiri hapo wapo hivyo. Jambo hili limekaaje Kiongozi wangu.
Bwana yesu asifiwe sana.kanisa lisidhani haya mafundisho ni mzaa tu.Huyu mtu ni wa mungu na anayonena ni ukweli,kanisa la christo lina maneno bali neno na nguvu hazipo.
TAG ikiwa mtapuuza ufunuo wa huyu mzee mtakwisha maana Mungu amemweka kwa makusudi kuzungumza bila unafiki wala uoga mana hayuko TAG kwa maslahi binafsi.
Mungu nakuomba unipe uyu mtumishi wako ili awe Baba yangu wa kiroho anifundishe kukutii ww na nikutumikie mpaka mwisho wa maisha yangu niziache njia zangu mbaya nikugeukie ww muumbaji was mbingu na nchi.
Wazee wa mfano huu ni adimu sana Kwa kizazi hili,sisi tuliobahatika kupata mafundisho tumerithishwa Kwa mwendelezo wa kuchunga kanisa na watu wa Mungu.... HALELUYA mtumishi wa Mungu.
😊
Mchungaji Magembe,mafundisho yako ni adimu Sana kuyasikia kwa wachungaji wengine.Mungu akuzidishie afya baba, Endelea kuwaamsha watu waujuwe ukweri.
Mungu azidi kukutumia kwa viwango vya juu zaidi baba yangu wa kiroho..pia Mungu akupe maisha marefu zaidi
Bwana Yesu azidi kukutumia kwa utukufu wake Mzee wetu Mch Mose's Magembe ,siku zote jumbe zako zinanibariki.
Mungu akupe miaka mingi ya huduma mtumshi wa Mungu. Mungu azidi kukutumia katika shamba lake.
Mungu akupe maisha marefu zaidi ili tujifunze zaidi kwako.
Mchungaji Magembe wewe ni mmojawapo wa wachungaji wachache sana mlio salia hapa duniani. Mungu akutie nguvu na umri mrefu ili uendelee kuifanya kazi ya Mungu.
Mzee Magembe uko wap I? Nataka kujifunza kwako
Mungu akubariki sana baba yangu mpendwa..unaisema kweli tena unakemea kabisa.barikiwa sana baba.
Mose's magembe barikiwa sana mtumishi wa "MUNGU"🙏
❤❤❤❤nimeamini watu mkiwa na hofu ya Mungu mnafanana Mungu awe nawe baba
God bless u preacher for the preaching you provide,
Ufunuo. Wa Yohana. alionyeshwa. Kuwa kutakuwa nawahubiri wenyekujitukuza kuwa wametumwa na Mungu kufanya miujiza lakini tahadhari ikatololewa watavaa ngozi zakondoo lakini ni mbwa mwitu! Tutafakari. Wakristo mbwa Huyo humula mnyama akiwa jai mpaka anakufa. analiwatu tena wanakuwa wengi. Sana tujifunze kwa Huyo mchungaji au some I kitabu chaufunuo vinginevyo mbinguni kuingia! Labuda!!!!
Bwana Mungu atutie nguvu jmn!!! Nimeguswa sana na mahubiri ya huyu mchungaji!! Jmn Bwana Yesu asifiwe sana
Amina, nampenda sana mchungaji huyu, Mungu ampe maisha marefu.
There is authority in this man when he speaks.Haleluja
This is a true servant of God,
Mzee Mungu akupe nguvu
Baba ubarikiwe sana hii ndio injili ninayo itafutasana kwa sasa maana hata mimi nilipotea baba nahitaji kupona unanibariki sana,ubarikiwe sana Mungu azidi kukupa uhai
Mzee ubarikiwe na munguwetu
Akiri zimeisha hata ufahamu wa kuazima hakuna 😊😊😊 Barikiwa mchungaji 👏👏👏👏
Mungu akupe maisha marefu ili uzidi kufundisha Neno la kweli maana kanisa limeishajichanganya.
Kbsaaa
Mungu akubariki sanaaaaaa..,,,,Watu watubu Dhambi wamrudie Mungu..,,Wokovu si kimbilio la kupata mafanikio ya kidunia...,
Nanukuu maneno ya Askofu wa kwanza wa TAG Tanzania (Emmanuel Lazaro)
"Mimi siwahubirii mafanikio, nyie mliumbwa kufanikiwa tangu mwanzo..."
Wakristo Turejee huu mstari tutaelewa kwanini Mungu hajibu Maombi yetu.
Isaya 59:1-2
BWANA YESU kRISTOR akubaliki sana mtumishi wa MUNGU BWANA YESU kritor aliye hai ubarikiwe akuongezee siku za kuishi ili injili kama hii tuendelee kuisikia maana vijana wa kisasa hawaelewi injili iliyo sahihi ni ipi na kuombea maisha malefu MUNGU muumba mbingu na Nchi akupe maisha malefu Baba yangu
Barikiwa sana Mjoli wa Bwana 🙏 🙏 akika nimebarikiwa nimeona ukinipigisha atua kwenye uduma yangu nanisema nimechukiwa na wengi kupitiwa hii clips kwenye magroup ya kiroho ila fanya kazi baba hata Yesu aliposema kweli wengi walimchukia dah ninamengi sana ila Mungu akubariki mno🤝🤝🙏🙏
Ubarkiwe mtumishi unaongea ukwel kabisa
Barikiwa Mtumishi Wa Mungu aliye Juu..... Bwana Yesu akutendee Mema Baba Mchungaji Magembe
Nimebarikiwa sana kwa neno lako Mungu akupe maisha marefu na akubariki mchungaji wetu
Nimebarikiwa Sana na mahubiri ya baba mchungaji🙏🙏🙏👏👏
Nampenda sana huyu mzee mungu amuweke hai
Asante jactani kwa kutuletea congamano hili maana kiukweli limenibariki ,ombi langu kwako utuletee kongamano lote kuanzia siku ya kwanza hadi siku ya mwisho pia utuwekee hadi mwisho wa maombi maana tujifunze na kuombewa pia usikate muda wa maombi ,asante
Amen, ntafanya hivyo
Huyu kwahakika ni nabii wa kanisa la leo. Mungu akupe neema zaidi
Powerful n practical, oh God revive us again !
Am not Christian but this pastor is truly touch my heart, Glory to God & we are all brothers & sisters 🙏
May the Lord touch you soul in Jesus Name and may the Holy spirit réveil himself in you bless you brother
I pray for you brother one day Our living God will touch your soul 🙏🙏🙏
Okoka brother
Brother Bob Nassa, may the Holy spirit continue to touch your heart and get more revelation
@@monicabh1668 0l
Karibu kwenye mkutano wa injili unakaoaza tarehe 20-12-2020 hadi tarehe 03-01-2021 kanisa la TAG Majumbasita kwa mchungaji Magembe. Wote mnakaribishwa
Ahsante.Nabarikiwa sana na huyu mtumishi yuko wazi na injili ya motomoto isiyogoshiwa.Mungu aendelee kumtunza azidi kuliamsha kanisa la leo na la hapo mwanzo.
@@lightnesskantu523 Amen.. Usikose kufika kwenye mkutano. Ubarikiwe sana
Piga kazi babaaa wewe ni katika wachache mnaotulisha maziwa yasiyoghoshiwa Mungu akubarik🙏🙏🙏
Powerful message
We all need repentance
Glory to God Bishop welcome Kenya
Mutumishi wamungu,mungu akusaiidiye sn uwedeleye kuhubiri manone mazuri kama haya napiya akuongeziye miaka yakuiishi ili utuokowe mubitedon bibaya amen.
Mungu akubariki sana mtu wa Mungu,mimi ni simon toka kenya
Asante baba iyo ndio injili apaswa buhubiliwa na watu wote
Ni mm peke angu namuona ....kafanana Na marehemu Mengi au daaah.,..Ujumbe mzur saaana Be blessed😍
Hata mimi naona hvy
Yap, copy right Mzee Mengi
Not even close wewe una makengeza
Mungu ni mwema nyakati zote❤
Asante sana muchungaji kwa Neno,umenirudisha kwa misingi ya Neno la Mungu, ubarikiwe sana
Amina mtumishi wa MUNGU sema tupone! Heleluya Bwana YESU asifiwe sanaa
Nimependa xana mafunzo yako Rev .moses magembe am revived already fire is burning in me may the Lord keep u and bless u pastor
Asante baba ubarikuwe mno hiyo ndiyo injili ya wa TAG
Kweli Mungu amembakisha wa chunganji waukweli, Mungu wetu na azindi kumuinua, Amen
Nabarikiwa Sana na Mahubiri haya baba mtumishi wa mungu , kanisa laleo limekosa mwelekeo linahitaji mafudisho haya.
Barikiwa baba, Mungu aendelee kukutumia kanisa lipone. Gonga like kama unakubali maneno yangu.
Hongela sana kwa mafundisho mazuri ambayo ni hadimu sana kwa kizazi Cha leo
Nakubaliki
wambie ukweli barikiwa mhungaji
, God bless you pastor
@@isaacmolllah9451😮😮99y😮😮😮 33:28
Mungu akubariki akuongeze Miaka mzee naitaji kuokoka umeguza Maisha yangu
Ubarikiwe unaweza ukaja kanisan kwake,karibu
Niko kenya ameguza maisha yangu sana
Asante sana kwa mahubiri mazuri.
Nimefarijika sana kumuona Baba yangu Mch.Urassa.
Hongera mtumishi wamungu ❤ nakumbuka mafundisho kama haya nakumbuka yalikuwepo miaka 19880❤
Yalikuwepo mwaka 1980
Mchg unavumri gani ? Umesema una miaka hamsini katika huduma tukiongeza umri wa uganga hadi kusoma na kumaliza naona inafika zaidi ya sabini lakini nakuona unakimbia mbio za kijana kabisa. Ubarikiwe Baba!
Unaweza kuanza huduma uku ukiwa unasoma hivyo hiyo isikuchanganye
Asante sana mtumishi wa bwana kwa ujumbe wako mzuli ambao umeuandaa mungu wambinguni akupe neeema kubwa kwa ajili ya maneno yake watumishi wa sasa ni wachache ambao wanaotoa meseji ya hivyo walisha baki toa ubalikiwe mala nimeona nyota yako imeibiwa mala nimeona kabuli kiukweli acha mungu akutumie ktk viwango vikubwa amen🎉
Asante sana
Amina baba endelea kutusahihisha maanake Kuna waumin hatujui tumetoka wapi. Mungu akubarik baba
Ujumbe mzuri sana mchungaji karibu Kenya tunahitaji hii injili ya ukweli
Mungu akubari sana kwa mafundishi mazur Mungu azidi kukutunza Baba yetu
Ubariki wewe ndio Mzee unazeeka na pamoja na Yesu barikiwa sana
Mungu akubariki mtumishi wake Mungu.
Barikiwa sana baba na Mungu akupe umri mrefu zaid
true man from God ..blve him .he is from Father.
Mungu akubariki Baba akupe maisha marefu uzidi kuokoa nafsi za watoto wa Mungu
L
God bless you for the wonderful massage
Wewe ni mtumishi wa kweli kila neno lako linagusa mioyo .... Mungu akupe miaka mingi
Nimetokea kumpenda Sana huyu Baba,ana neno la kweli moyoni! Amembeba Mungu alie hai!
Amina
true
Wewe umesema amembeba MUNGU ila sio MUNGU,,
Anasema ukweli. Tuhubiri NENO Sio maneno. Tujue historia yetu, Tutambue wakati huu Mungu anataka tufanye nini Na Maadalizi ya kesho no yapi?
Mungu akutunze na kukuongeza miaka.
Jamani naombeni namba za huyu pastor. Neno safi sanaaaaa. TAG take it serious na sisi wengine we have to work on it.
MIMI NI JOSEPH GEORGE MATIKU NA HUYO MCHUNGAJI NI BABA YANGU WA KI-ROHO. SIMU YAKE NI VODA 0767283818 na TIGO NI 0715283819. BARIKIWA SANA SANA.
❤❤❤❤ Mungu akupe maisha malefu baba
Marefu
Big Ameen mtumishi.. balikiwa sana kwa ujumbe mzuri
Asante sana mwinjilishi umegusa sehem sahihi
Nimebarikiwa sana ,Asante Mtumishi wa Mungu
hizi ndo injili Mungu atusaidie sana
Anaongea kama kulola Mungu akubariki baba unahubir injili ya kweli
Amina baba wapo watumishi wasiojua wajibu wao ni majungu tu madhabahuni hawajui ni ofisi ya Mungu madhabahu!inashangaza sana nimekuelewa sana baba.!
This is the man of God who was my friends mentor the late Peter and he went to be with Lord while serving God. Thank you man of God.
The best people from God....
Mungu wa mbinguni azidi kukulinda baba yangu
Baba,mungu akubariki ,mungu akutume,uje America ukahubiri, maana watu waliotoka Africa wamefikahuku America wakajifanya ndiyowenyewe,please naomba number ya huyo mchungaji asante sana
+255715283819
We mch ulikuwa wapi wewe na mafundisho yako mazuri Mungu akutumie kuponya makanisa yya kipentecoste jamani Mungu atuponye nakupenda baba chapa neno
Nakuelewa mtumishi wa mungu hakika weee ni mtumishi wa mungu aliye hai Amina sana
@@willisonrushenza7427 Mungu aliyehai huandikwa kwa herufi zote kubwa au ya kwanza. Ukiandika herufi ndogo kama ulivyoandika ujue unazungumzia mizimu. Ubarikiwe
Mchungaji. Huduma yako is powerful.
No question
Praise be the name of God I just came across with this clip when was looking for a true word of may God keep u burning 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 the Gospel am blessed..... N kweli mchungaji
Alléluia !!Ubarikiwe mtumishi wa bwana 🤝🤔
Thank you pastor be blessed
Mungu akubariki mchunaji Magembe kwa Neno la kweli, Neema ya mungu izidi juu yako kuendelea kulinena neno la kweli kwa ujasiri.
Mchungaji, naandika tu sijui hata kama unaweza kunijibu. Kuna wimbi la watumishi wa Mungu manabii wanaodai kukutana ana kwa ana na Bwana Yesu na akawafunulia mambo ya mbinguni na kuzimu. Wanatushirikisha mambo mengi kuhusiana na maono/mafunuo waliyopata. Moja ya mambo wanayotuambia Bwana Yesu aliwatuma kuonya kuhusu Wanawake kujipamba, kwamba, wanawake wanaojipamba (kuvaa vitu bandia kama wigi, kucha, kope; kujichubua rangi ya ngozi, heleni, bangiri, shanga, n.k.) kamwe hawatoingia katika Ufalme wa Mbinguni. Nawaona baadhi ya wanawake unaowahubiri hapo wapo hivyo. Jambo hili limekaaje Kiongozi wangu.
Wokovu ni process,. Kufika mbinguni ni Neema, kukamilia ni pale safari yake imefika mwisho, kanisa ni sehemu ya uponyaji, Kila mtu ana siku yake
Kujua kama mafunuo Yao ni kweli au sio kweli, yapime kwenye biblia
Soma biblia maana unabii unapimwa kwa neno la Mungu
Mimi ni msabato,lakini nilikuwa najipamba tu,lakini nikawa sikuwi rohoni,nashuku tu,Kisha nikaanza kuota ndoto zakulala nawanaume nisiowajua naninaowajua,nimeombewa sana,nimefunga sana,lakini nilikuwa sifunguliwi,Hadi nipo kwenye mfungo naingiliwa kimwili nakula vyakula ndotoni,nikamlilia mungu sana,nikamuomba anionyeshe mlango ni Upi unaoingiza uharibifu kwangu,siku Moja nikalala,nikaona maono,jini lilinitokea limejipodoa kama wanawake wakawaida,napafyumu limepaka vipodozi nilivyokuwa navyo ndani,likataka kunigandamiza kitandani,nikakemea likapotea,nikamuuliza mungu ,akaniambia ndo huo mlango,nikaamka asbh nikatubu,nikavichoma VYOTE,nikanyoa nywele,nikafunguliwa bila hata maombi,,nikaamini,vipodozi nimlango wauharibifu mkubwa sana,usijifananishe namtu yeyote hata kama nimtumishi ,thamani Yako anajua mungu tu,wengine hujui wanamaagano gani
Ndugu,ninao ushuhuda wavipodozi,vimenitesa sana,Hadi nilipoviacha,viliniua kiroho kabisa
Bwana yesu asifiwe sana.kanisa lisidhani haya mafundisho ni mzaa tu.Huyu mtu ni wa mungu na anayonena ni ukweli,kanisa la christo lina maneno bali neno na nguvu hazipo.
Mungu Tunaemuabudu Ni Wa Herufi Kubwa M siyo m herufi ndogo
Hili ndilo Neno LA Bwana....kanisa linahitaji kweli ya Mungu.
Ila nikupongeze kwa sababu si yote unakosea bali,kuna mengine ni sahihi unayoyasema Mungu akubariki
I'm blessed sana Mungu akubariki sana
Ubarikiwe baba kwa ujumbe wa kweli yaani hii unafundisha doctren. Hi sir dogma, Asante baba , by postar Denis nipo muleba kagera tz
Blessed man of God
spirit ya moses kulola inaongea ndani ya huyu mtumishi hata sauti ni ya kulola. barikiwa sana.
Kweli kabisa
Kwel
Sema anaongea lafudhi ya kisukuma,pia kulola pia alikua msukuma🎶🎶
Sana. Servant wasio na kwere
TAG ikiwa mtapuuza ufunuo wa huyu mzee mtakwisha maana Mungu amemweka kwa makusudi kuzungumza bila unafiki wala uoga mana hayuko TAG kwa maslahi binafsi.
Real but Mungu aturehemu tu hatuna namna
Aminaaaaa
Kweli
Amen
Dady MUNGU akutunze sana uendelee kuihubiri iliyo kweli yake. Yan huwa ninakuelewa zaidi mno
Aminaaaaa. Haya ndio mahubiri tunayo itaji. Apana baraka kila siku.
Ubarikiwe BABA MCHUNGAJI
Baba Mungu akubariki sana unafundisha sijapata kuona
Mtumishi wa Bwana anenaye yaliyo moyoni na yatokayo kwa Mungu.
Hivi watumishi imeona hizo ishara za vidore anavyovionesha Huyu mzee?
Nimekupenda sana mtumishi uko halisi ktk utumishi waambie hao wanaofanya biashara makanisani
Asante pastor Kwa kunena kweli
Injili kama hizi kwenye kizazi hiki zimekuwa adimu, hongera sana Baba Mch!
Ni kweli kabisa dhambi ZINATESA wahubili wa injili ya YESU NI adimu
Nimekuelewa Sasa mtumishi wa Bwana ubarikiwe na Bwana
Na Mungu ahusike ndani ya hiyo LAZIMA Ameni.
Amina