PENZI LA MTOTO WA BOSS 💞 NA DADA WA KAZI PART 26 | Love Story

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 31 січ 2025

КОМЕНТАРІ • 2,1 тис.

  • @Dontatv255
    @Dontatv255  3 місяці тому +1204

    Wangapi walijua baba tina kauwawa😂??

  • @RehemaIbrahim-wn4ef
    @RehemaIbrahim-wn4ef 3 місяці тому +464

    Wangapi mumeona loveness kashaanza kumpenda kelvin❤❤🎉

    • @Mimah866
      @Mimah866 3 місяці тому +3

      Kaaanza kumpenda😂

    • @AaAa-tf7sl
      @AaAa-tf7sl 3 місяці тому +4

      @@RehemaIbrahim-wn4ef anaendelea kumpenda 😂💕

    • @mariamabdulla7868
      @mariamabdulla7868 3 місяці тому +5

      Kbs lovenes wetu yuanza kumpenda kelvin😂😂😂😂mpo❤❤❤❤❤❤❤

    • @FalidaIssa
      @FalidaIssa 3 місяці тому +4

      Wadau uyo mama kelvin nawasiwasinae sio mama bola kabisa

    • @danielmosota2315
      @danielmosota2315 3 місяці тому +2

      Kumbe mko wengi😅😅

  • @shijaluziga
    @shijaluziga 3 місяці тому +29

    Mi naomba niseme tu ukweli huyu Diana ni anajua kuigiza mno yaan ana play part yake vyema aiseee nmempenda huyu❤❤❤❤❤

    • @jalillahramadhani2826
      @jalillahramadhani2826 3 місяці тому

      Sanaaaaaaaaaa yaan❤❤❤❤❤❤❤apewe maua yake🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @judithpendo9985
    @judithpendo9985 3 місяці тому +205

    Team strong hoyeeeeeeeeee wangp wanapenda donta family jmn 🇸🇦🇸🇦🇸🇦🇰🇪🇰🇪♥️♥️♥️nawapenda nikiwa Riyadh naona majuto n mjukuu s kitambo 😢mama kelvin utajiona mjinga s kitambo 😢kwani Siri itavuja

    • @Fatuma-th3ni
      @Fatuma-th3ni 3 місяці тому +5

      Hoyeeeee nko dammam

    • @kladahmad3333
      @kladahmad3333 3 місяці тому +3

      Na mimi hapa niko haile kbs nawapenda bure❤❤🇧🇮🇧🇮🇸🇦🇸🇦

    • @Shakirairakoze
      @Shakirairakoze 3 місяці тому +1

      @@judithpendo9985 n'a mim nikiwa Damam❤️ nawapenda sana 🥰❤️❤️

    • @Shakirairakoze
      @Shakirairakoze 3 місяці тому +1

      @@kladahmad3333 mrundi mwenzang 🇧🇮🇧🇮🇸🇦🇸🇦

    • @HabibaAmani
      @HabibaAmani 3 місяці тому +2

      Team zibala tupo😂

  • @abdulmutwi
    @abdulmutwi 2 місяці тому +8

    Kama keeli unamuamini mungu na uko hai kwa abilit yake bas dondosha like hapa kwa kelvin na loveness 💏

  • @stellamwarimbo
    @stellamwarimbo 3 місяці тому +42

    Leo nilijua nikuomboleza kumbe sivyo alfu Diana is the best ❤❤❤ ukweli utakapo julikana mama Kevin sijui macho yake atayaelekeza wapi

    • @TomLusioli-xw1yq
      @TomLusioli-xw1yq 3 місяці тому

      Aki apo sielewi

    • @AminaBaraka-x1b
      @AminaBaraka-x1b 2 місяці тому

      Atakuwa n mwenye album xan mbel ya watoto wake hat kwa loveless pia

  • @Deborahdepsy-qh4rj
    @Deborahdepsy-qh4rj 3 місяці тому +146

    Nimewai jamani from kenyaa naomba like tukingoja baba Tina amalizwe na kelvin awe huru kuoa anaye mpenda

  • @GraceKenya-i4j
    @GraceKenya-i4j 3 місяці тому +112

    Duuuh nimechelewa lkn nivyenye nilikua kw maombi 😅😅😅 kwaajili ya familia y tina n doa yke kuumbuka n kusambaratika hivi karibuni km tuko wengi tumwage 🎉🎉🎉🎉like ❤❤🇰🇪🇸🇦

  • @Faines-qj1nt
    @Faines-qj1nt 3 місяці тому +4

    Kelvn and lovenes biggar up nawapenda sanaaaa binafus plus candy waliona kama mm gonga like tujuaneee 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉nawapenda sanaa utakaye soma comment hiii mola akujalie hitaji la moyo wakoooo🎉🎉

  • @AbdillahOomar-h7l
    @AbdillahOomar-h7l Місяць тому +2

    diana wapige kigongooooo aooo wapuuuuziiiiii yan hili dude halina utofaut na mission impossible la chadooo mastaaaaaa mauwa yenu wana🌹🌹🌹

  • @SyombuaMuvengei
    @SyombuaMuvengei 3 місяці тому +96

    Ukweli unaenda kujulikana mnda sio mrefu natamani sana hii family iumbuke toke 🇰🇪 ❤❤❤❤

  • @Halimah-ho5us
    @Halimah-ho5us 3 місяці тому +141

    Waaaa 79 kazi chema kelvin 🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤ wakapi tunangejea harusi ya kelvin na loveness gonga like tukizonga

    • @LilianJuma-q6y
      @LilianJuma-q6y 3 місяці тому

      Hata mm nangojea sana hio harusi ya love ness na kelvin😊😊

    • @JohnBosco1
      @JohnBosco1 3 місяці тому

      Sawa😂😂😂

  • @JastFinancial02
    @JastFinancial02 3 місяці тому +99

    Wanaotaka kelvin amuoe loveness tuwatambue kwa like zenu hapa jaman 🤲

  • @neempmailaneempmaila
    @neempmailaneempmaila 3 місяці тому +2

    hii movie jmn 🎉🎉🎉🎉 mpaka rahaa jmn imefikia patamu sana ❤❤❤❤❤❤

  • @WilifredDenga
    @WilifredDenga 3 місяці тому +2

    Kelvin na loveness nawakubali mno mpo vizur nyie ni kioo changu😊😊😊

  • @annahmutungi5689
    @annahmutungi5689 3 місяці тому +85

    Diana bana.... Lovesness naye ameanza kumpenda kelvin❤ wapi like ata moja jamani

  • @AlexNyimbili
    @AlexNyimbili 3 місяці тому +103

    daaah yaan kila nkiomba like hua nanyimwa je naleo nitanyimwa kwer

  • @maseleenaesleen8149
    @maseleenaesleen8149 3 місяці тому +165

    Leo nimewahi cjui na mm nitapata like ama huwa niza watu special 😢😢❤❤❤

  • @gogoloveofficial5666
    @gogoloveofficial5666 3 місяці тому +3

    Love from GOGO LOVE OFFICIAL TO BURUNDI 🇧🇮

  • @deejayimmavanny9449
    @deejayimmavanny9449 3 місяці тому +57

    Hapo mmmetuchanganyaa Mara Mr kiss kapigwa bullet alafuu kwa hii episode tunamwona tena ambaye hajaelewa Kama Mimi like apa

  • @MrryMulwa
    @MrryMulwa 3 місяці тому +46

    Nakupenda San Kelvin,loveless,candy and Baba Kelvin ❤❤❤❤❤

  • @BilhaKosgei-py6eg
    @BilhaKosgei-py6eg 3 місяці тому +393

    Jamani Leo nlijua ni kuomboleza Kwa baba Tina wenye walijua hivo njooni tujuane ❤

    • @MwanamisiMuna
      @MwanamisiMuna 3 місяці тому +2

      Some to me, atasielew tna mwenzio 😂😂😂

    • @FelistusNawale-n3y
      @FelistusNawale-n3y 3 місяці тому +1

      Same to me

    • @HidayaMbodze
      @HidayaMbodze 3 місяці тому +1

      Imagine yani nilitarajia ata Tina atimuliwe pia 😝😝

    • @Datuuchork
      @Datuuchork 3 місяці тому +1

      😂😂😂mm nlidhani niko pekee yngu​@@MwanamisiMuna

    • @PascalMsaji
      @PascalMsaji 3 місяці тому

  • @Luciana-zs7fo
    @Luciana-zs7fo 3 місяці тому +42

    Ayani ukiacha kuigiza Apo loveness ukweli wasambaa wa Tanga niwa bishi sana❤❤

  • @NadiauweraUwera
    @NadiauweraUwera 3 місяці тому +2

    Wakwanza kutoka burundi jameni natamani sana ukweli uvujahe sikumoja kuusu Tina warundi tujuwane jamen❤❤❤❤

  • @FATUMAPASKAL
    @FATUMAPASKAL 3 місяці тому +17

    Waliokuwa. Wanajua kama baba tina ni mawazo yake wenye d 2 kama mm wagon ge like hapa

    • @AnnaBura-p2g
      @AnnaBura-p2g 3 місяці тому

      😂😂😂😂😂😂

    • @Halima99-z4v
      @Halima99-z4v Місяць тому

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @MwanamisiMuna
    @MwanamisiMuna 3 місяці тому +22

    Kusema kwel hko twendako kumoto wallah,,waigizaji nyte pokeen 🎉🎉🎉🎉🎉🎉yenu

  • @bennimubona6105
    @bennimubona6105 3 місяці тому +40

    Nilidhani yakwamba niko wa kwanza, kumbe tupo wengi ambao tunaisubiri kazi ya wana Donta TV. Mungu azidi kuwaelimisha. From Burundi one love

  • @Florencewangarichege
    @Florencewangarichege 3 місяці тому +35

    Wow Diana I like the way unacheza movie ❤❤❤❤

  • @nicholusmuinde6488
    @nicholusmuinde6488 3 місяці тому +4

    This movie is now at another level🔥🔥, Donta tv fanyeni mpango na citizen tv🇰🇪,,neema ikiisha walete hii,,much love,, Nairobi 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @WiliameKayumba
    @WiliameKayumba 3 місяці тому +2

    Asee kazi mzur Sana jitahidin kutuwaishia namuongeze dakika kidogo imenitoa stress za taifa star ushaur na jumamos ikibid ziwe epsd ata 5 najua Kuna watu watakesha 😂😂 Simba. Ubaya ubwelaaaa

  • @NiyonsavyeErnest
    @NiyonsavyeErnest 3 місяці тому +19

    Nami nilikuemo ila gafla nimeshangaa .tena nikupe hogela kwa uigizaji wako .❤❤❤❤❤❤ Uzidi kusonga mbere

  • @loemasanzu7193
    @loemasanzu7193 3 місяці тому +20

    I can feel how people love this series,well done buddy

  • @narutonaruto4303
    @narutonaruto4303 3 місяці тому +15

    mimi hat sijachelew jamani kazi nzur san ila vipenzi vya dont tv wazur mashallh

  • @AsifiweImani
    @AsifiweImani 3 місяці тому +3

    Wale watakao soma iyi comment mungu abariki kazi za mikono Yao ❤❤🎉🎉 baba Kevin kazi nzuri

  • @kingbrown8030
    @kingbrown8030 3 місяці тому +2

    Kelvin ambia loveness ukweli kuwa unampenda❤❤

  • @Hadijawashuma
    @Hadijawashuma 3 місяці тому +116

    Leo nimekuwa wakwanza lakin siombi hata like zenu😢😢😢😢😢

  • @MaombiPeter-j5g
    @MaombiPeter-j5g 3 місяці тому +10

    Kaka Kelvin now upo vizuri maua yako🎉🎉🎉🎉

  • @Florencewangarichege
    @Florencewangarichege 3 місяці тому +9

    😂😂😂😂lovenes naona vile unahisi and I like it ❤❤❤

  • @ZandamelaassomanesaideAssomane
    @ZandamelaassomanesaideAssomane 3 місяці тому +4

    Gosto muito desse história ❤❤❤🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @SaidKilindo-r9p
    @SaidKilindo-r9p 3 місяці тому +1

    Kwni uyo mdada wa kazi akuna nguo nyingine ya kubadilisha ❤❤❤❤

  • @Esther01-g1h
    @Esther01-g1h 3 місяці тому +33

    Si mnipe na mimi like jamani nionje utam wake🤣🤣🤣🤣nawapenda❤❤❤

  • @SyombuaMuvengei
    @SyombuaMuvengei 3 місяці тому +13

    Wakwanza kutokea kenya 🇰🇪 wakenya wenzangu nami nipeni like zenu jamani 🎉🎉🎉🎉

  • @ParisSaramba-ju4ie
    @ParisSaramba-ju4ie 3 місяці тому +12

    Asanteni sana team donta tv kwa kutujali mashabiki wenu 🎉❤❤❤❤

  • @SaidAbdalla-m8t
    @SaidAbdalla-m8t 3 місяці тому +3

    Nampenda baba Kelvin anazungumza kiswahili kama cha kwetu Kenya mashaallah hongera sana na baba Kelvin

  • @KaserekaPropose
    @KaserekaPropose 3 місяці тому +1

    Jamani tunachukuru kwaiyi kazi kabisa 🇯🇲🤜🤛🇨🇩 asanté kaka Kelvin

  • @AsiphiwePhilemon
    @AsiphiwePhilemon 3 місяці тому +20

    Nmechelewa kidogo tuuu naomba mlike comment yangu jmn na Mimi noambeni 💓💓💓💓💓💓💓💓💓

  • @SUBARA100
    @SUBARA100 3 місяці тому +12

    Daaah kelv asante unapiga kaz sana hulali.asante kwa burudan🙏

  • @Loidydaleobina784
    @Loidydaleobina784 3 місяці тому +10

    Leo nimewahi kutoka Mozambique Msumbiji ❤

  • @AishaNibizi
    @AishaNibizi 3 місяці тому +17

    Ndabakunda ❤️ cane kevin na lavunesi Aisha waburundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @valentinekemunto6348
    @valentinekemunto6348 3 місяці тому +6

    Movie Tamu kweli❤❤❤, twajifunza mengi sana, keep going kelvin n ua team much ❤️❤️❤️❤️❤️ from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @DanielMoirange
    @DanielMoirange 3 місяці тому +7

    Nilijua Baba tina kakula chuma,,kazi nzuri Kelvin

  • @SandrineDupfiki
    @SandrineDupfiki 3 місяці тому +64

    Natoka kwambio 🇧🇮 kumbe mmeshajaaa kibao liké zangu nipewe jameniii

  • @HappynessJohn-tp1mp
    @HappynessJohn-tp1mp 3 місяці тому +21

    Bora leo mmetuwahishia daah... like basi wajamaeni😂

  • @Kogeikibet
    @Kogeikibet 3 місяці тому +3

    Jamani kipindi hii tamu sana. Thanks Donta Tv❤❤

  • @ShamiriNjiku
    @ShamiriNjiku 3 місяці тому +2

    Sema mnatoa fupiiii 😊😊😊😊kama nyimbo zakale alafu kipande kimoja kimoja having kuangalia vinakata utamu😊😊😊😊

  • @SuzanKanyata-y5g
    @SuzanKanyata-y5g 3 місяці тому +11

    Mmejua kunifurahisha leo umetuekea haraka kitu chetu pendwaa pokea maua yenu🎉🎉🎉

  • @LomnyakiSikoi
    @LomnyakiSikoi 3 місяці тому +13

    Nimefurahi sana kwa kazi zenu mbarikiwe sana

  • @JACKLINEKAZUNGU-w3n
    @JACKLINEKAZUNGU-w3n 3 місяці тому +6

    🎉🎉🎉🎉🎉 Hongeran San mnatuletea kwa muda mwafaka

  • @OliverPaul-y3e
    @OliverPaul-y3e 3 місяці тому +2

    Wangapi mumeona kelvin kaanza kuzama kwa loveness❤❤❤🎉

  • @KahindiNyevu
    @KahindiNyevu 3 місяці тому +1

    Daaa loveness ukichagua hilo chaguo lenye linakukujia kwa akili Yako utakua umegonga ndipo nakupenda sana loveness ww n Kelvin wako❤️❤️

  • @asmaasmi9019
    @asmaasmi9019 3 місяці тому +9

    Ahsante director for this movie inamafunzo for the people ❤

  • @AmorisPuella
    @AmorisPuella 3 місяці тому +13

    Good job donta tv more love🥰🥰🥰

  • @Silvadasuzanab
    @Silvadasuzanab 3 місяці тому +15

    Safi sana kazi mzuri mm naipenda sana donta tv

  • @JabanFranklin
    @JabanFranklin 3 місяці тому +5

    Kazi nzuri wana Donta much love ❤️❤️❤️❤️ from Uganda 🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬

  • @Davidmtawala-b4y
    @Davidmtawala-b4y 3 місяці тому +3

    Mbona kama Diana anakusanya taarifa za tinna na washirika wenzake au kuna kitu kinaendelea nyuma ya pazia? Ila hongera Kwa kazi nzur sana donta Kwa kazi nzur 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @FlorenceAchieng-x7c
    @FlorenceAchieng-x7c 3 місяці тому +27

    Jamani wa kwanza leo..likes zangu tukisonga❤

    • @TeshmonyAntonio
      @TeshmonyAntonio 3 місяці тому +2

      nyie waomba likes instead of mcomment vitu vya msingi hasa mnapataga nini kwa hizo likes mnapopewa

  • @TheodoraChaki
    @TheodoraChaki 3 місяці тому +7

    Hongereni sana nimefurahi kutuwahishia endeleeni kutuletea mambo mazuri

  • @MMlin-bd2mi
    @MMlin-bd2mi 3 місяці тому +7

    Timu Kelvin ubarikiwe❤❤❤

  • @Dama-h6v
    @Dama-h6v 3 місяці тому +1

    Kazi nzuri xna nawapenda xana wote wenye kutupa mafunzo much ♥️ ❤️ from Kenya 🇰🇪 ♥️ 👌 😍

  • @Mona1-j9g
    @Mona1-j9g 3 місяці тому +1

    Asante sana loveness kwakumbukumbu zako my ❤❤❤❤❤ nimefurahi paka bac wapi wale wapendanao 😂😂😂😂😂safi sana my wangu loveness cjui nikupe nn ww zidishakumbukumbu bac yaani ckuwa nimekula napia naona km nitalala loveness amenishibisha wallah

  • @JacintaMaloba
    @JacintaMaloba 3 місяці тому +11

    Leo nimewai mapemaaa🎉🎉🎉

  • @ErastoMsemwa
    @ErastoMsemwa 3 місяці тому +32

    Nampenda kelvin na loveness na candy na baba lelvin tu wengine siwapendi kwenye hii move

  • @Jennifersenkondo-h7z
    @Jennifersenkondo-h7z 3 місяці тому +25

    Jaman me Leo wakanza naomben like 🎉🎉

  • @KiokoJacinta-ei4ob
    @KiokoJacinta-ei4ob 3 місяці тому +1

    Kubaf zangu mpaka nikachinja kuku ju ya furaha kumbe ndoto ,,,,,,,kevi wewe make sure umeoa loveness 😅😅😊😊

  • @AbdillahOomar-h7l
    @AbdillahOomar-h7l Місяць тому +2

    tatiz len wabongo munaoa kwa kufuata makalio ndo mna hamudum na ndoa zenu

  • @InvyolataIndasi
    @InvyolataIndasi 3 місяці тому +11

    Kazi nzuri sana wa kwansa kutoka kenya

  • @enemtatuka5863
    @enemtatuka5863 3 місяці тому +30

    Leo Mimi ndo wakwaza nipeni hzoo like zangu. Kelvin kanumba mtu Atari sana

    • @Dr.issa9958
      @Dr.issa9958 3 місяці тому +1

      Ushauri jman kma kla day tutapata episode itakuwa vzur sna😂😂

  • @umfahad2609
    @umfahad2609 3 місяці тому +10

    Nami leo nimewahi. Kazi nzuri saana wapendwa wetu.❤

  • @SoziSozi2020
    @SoziSozi2020 3 місяці тому +10

    na mimi nimekuja 🏃‍♀️🏃‍♀️nikithani wakwanza loo mumejaa kimbao was tunapenda DONTA TV

  • @55goodmen
    @55goodmen 3 місяці тому +1

    sinema nxuri sana jamaa aliyetunga story ana kipaji sana hii ughaibuni ni pesa ndefu saaana aisee sio mchezo. AFRICA KUNA VIPAJI SANA BIG UP TO THE MOVIE DIRECTORS AND ACTORS nimeipenda sana

  • @RabiaRashidi-y6d
    @RabiaRashidi-y6d 3 місяці тому +23

    Wa kwanza leo. Jomon . team DONTA TV burudani kwa wote ❤☺️

  • @DORINHASSAN-f2l
    @DORINHASSAN-f2l 3 місяці тому +11

    Mashallah jmn mungu awabariki dont nawapenda sanaaaa

  • @SakinaSakina-eu3zy
    @SakinaSakina-eu3zy 3 місяці тому +10

    Jamani asambona ajafaaaah mi nikajua leo ni kuomboleza😂😂😅

  • @ChepngenohAlice
    @ChepngenohAlice 3 місяці тому +3

    Wangapi wanaamini mama kelvin anapaswa kumueshimu loveness

  • @Aneth-e1x
    @Aneth-e1x 3 місяці тому +9

    Hongeren kwa Kaz nzur japo mnachelewa adi so poa

  • @lukamavoice5377
    @lukamavoice5377 3 місяці тому +34

    Wangapi wanamkubali kelvin pamoja na love Ness 🎉

  • @MercylineMutheu-l5t
    @MercylineMutheu-l5t 3 місяці тому +11

    Nilikuwa nafikiria wamejulikana kumbe 😮

  • @AzamMgasha-t5s
    @AzamMgasha-t5s 3 місяці тому +13

    Kijana wawatu leta vitu sema hiyo ndoa hufiki mbal😅

  • @FloNoti
    @FloNoti 20 днів тому +1

    Ndo na fika huku leo😂😂😂😂

  • @Christina-i6c
    @Christina-i6c 3 місяці тому +8

    Si mlike hata kidogo comment yangu😢

  • @DidaAlly-iz1it
    @DidaAlly-iz1it 3 місяці тому +9

    Yaani mimi sasaivi naangaria zangu hii movie kwenye hause girl nimeshatoka naona siiyerewi chiko hananikera mimi jaman nawapenda sana mnajuwa kuigiza mpo vizuri

    • @maliamusaidy
      @maliamusaidy Місяць тому

      Umbea uwo habari za house girl kuzileta uku 😂

  • @CarolineBagaya-vf1op
    @CarolineBagaya-vf1op 3 місяці тому +21

    Ewaaaa🎉🎉🎉🎉nawapenda bure family ya donta

  • @ElinaJustin
    @ElinaJustin 3 місяці тому +2

    Team strong nawatch hii movie wakati na sugua ukuta wapi like zanguu😂😂🎉

  • @Clintez254
    @Clintez254 3 місяці тому +2

    Nimechelewa lakini naona mumeejoy kweli

  • @SaumuLugogo
    @SaumuLugogo 3 місяці тому +12

    Waaaaaa jamani mwatupa dakika kidogo halafu mwachelewa si mfanye hata defu kias ❤❤❤❤ twasoga na kelvin ila namchukia mamake kelvin anarohombaya gaiii😮hajui MUNGU huyu mama heeeee

  • @MercyChepngeno-c1j
    @MercyChepngeno-c1j 3 місяці тому +4

    Kazi nzuri sana jamani mnayoifanya ❤

  • @NajimaShabani
    @NajimaShabani 3 місяці тому +8

    Kumbe baba tina ajafaa😢😢😢,,,,,yaan sijapendaaaa😅😅😂😂

  • @Mema-h-y
    @Mema-h-y 3 місяці тому +12

    Weee unaenda wapi malizia kwanza movie ndo uje kwenye comments 😅😅

  • @suleyanderherrera9510
    @suleyanderherrera9510 3 місяці тому +2

    Kam ww nimfutiliaji wa movie hii gong like🎉🎉

    • @HusenMasure
      @HusenMasure Місяць тому

      🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @TeamBabajoan
    @TeamBabajoan 3 місяці тому +8

    Palipoishia Juzi ni pazuri kuliko Muendelezo😊

    • @Eisd-c7t
      @Eisd-c7t 3 місяці тому

      Ndotunalekea uko uko tuwe wapole