Wewe ndio number one wangu, huyo asikufanye wewe ushindwe kutuletea kitu kizuri, umetusaidia kupata kujua mambo mengi sana ambayo yako nyuma ya panzia, wewe piga kazi cc watu wako tunakuelewa sana, BIG UP SANA DAVISTA MATA WEWE UKO JUU
Pole Sana brother wewe usitishiwe na watu kama awo davistar wewe upo juuuuu Sana kwakweli Ani uyo ni mbumbavu tu brother sisi watu wako davistar tunakuwelewa Sana kwakweli na tena Sana tunakupenda Sana kwakweli
Kaka mpendwa ,,, Mungu akutie NGUVU,,, tunakuombea mno,, ACHANA na watu.. ila husimuache Mungu,, acha na WATU,, ila husimuache Mungu aliekuumba,, Wala husijieleze saaaana,,, tunaona KAZI zako,, kwa Mimi nimefunguliwa pakubwa mno,, Tena mno, Mungu akuinue
Uko juu Davistar na unajua kuhoji vizuri Sanaa unauliza Majina mpaka wanapotokea mkoa Gani wamezaliwa wangapi unahoji vizuri Sana Achana nae wengine wanakuiga Wanachemka Pamoja Sana From DRC
Pole sana Davistar, masamehe tu yule mchungaji maana ni mtu mzuri tu. Tatizo imetokea mnanyang'anyana mkate mmoja na kila mtu anataka kulisha familia yake kwa huo mkate.
divester mata appreciate you and All people he really love you for good job and God we will protect 🙏 dnt worry and we will support you still we need more story of you ........ Zote ni jealous bro achana nae bro divester mata appreciate you we piga kazi
Pole sana achana naye uyo asiye jielewa firauni mtumishi wajina ndio wako siku izi. Pambana na kazi yako kama vip mublock asiwe anaona simulizi zako muache apambane na hali yake kazi yako nzuri sana akuna ambaye anaweza kuona simulizi yako akashindwa kupenda account yako love you david💖💖💖💖💖💖💖❤❤❤❤🚶🚶mtumishi wabwana acha kufatilia maisha ya watu pambana na hali yako. Akuna anaye iba story kila mtu anastory yake
Pole kaka nichanga moto tu za kazi kaza buti tushazoeya kama leo umechelewa nakuwa sina raha kwaiyo tupo pamoja kuna msemo uwezi kupendwa na wote uwez kuchukiwa na wote kiukweli tupo wengi mashabiki zako tena nchi tofauti
Davistar nikushauli we piga kazi ukijua hiyo kazi unayoifanya Mungu anakujua na atakulipa hao wanaojiita watumishi wa Mungu nao pia watajuana na Mungu wao.
pole bwana DM kila kaz inachangamoto zake,pull up ur sox songa mbele mwsho wasiku ktu ukwel utabak kua pale pale.alaf stor zote znalingana sana,kulingana na waganga wanauchaw unaofanana
Sisi wa afrika ukimuona mtukafanikiwa kimaisha juwa kapambana na ftina nyingi sana nakashinda ndomana kafaulu dav ukiona watu wamesha anza ftina ukokaribu namafanikio muombe sana m/mungu akulinde
Pole huwezi kuishi bila kupitia challenges Davista . Me nafwatilia sana story nyingi humu UA-cam lakini sijaona account yenye story zinazofanana na za kwako . Huyo mtu angefanya busara kukutafuta mkashauriana pia kurekebishana . Unafanya hivi kuelimisha na kuokoa watu wengi sana , huu ni zaidi ya ushuhuda . Usikate tamaa na usikasirike . Kemea hilo jaribu ,tuendelee na story zetu Mungu atakubariki . Amen 🙏🏽🙏🏽
#MTUMAKINI bora umelitolea hili suala maelezo kdg mana yule jamaa kaongea sana kuhusu hili,,,ni vzr mkae mlimalize hili sio kuchafuana bila sababu,,,kazi nzuri broo🤝
usitilie maanani adui zako Dave..hao hao adui zako wata kutafta tu.. God will prepare a table before you in the presence of your enemies.. continue to do the work that you're called to do.. blessings 🙏
You are the best bro..kwanza unasikiliza maoni ya wadau wako na kuchukua hatua..Bro ukikumbana na kikwazo kama hiki jua kuwa kuna baraka kubwa iko njiani inakuja. Achana nae Mungu atamsamehe..endelea kufanya kazi ya Bwana
Mussa chesa nime wahi kuskia history yake hina tisha ❤️❤️ no watu wanasema vibaya kuusu mtumishi wa mungu siyo kwamba hana omba pesa kwa mambo yake ni kwa sababu ya kuinua channel ❤️❤️❤️
Duuh Ni mtandao au notification hazinifikii...but pamoja sanaaa Duuh nilienda nikaona ni mtumishi hata havieleweki hazina hata mvuto... Yess umeongea point 💪...UMEELEWEKA Pambana kijana tuko pamoja
Davistar usiseme halikua na lewa bro nyinyi ni watu wazima mtafutane muongee pia yy ni binadam kakosea, hiyo story sem ya kwanza kuiskia hilikua kwa channel yake, hila kakosea kusema we mwizi ❤️❤️❤️🇰🇪🇰🇪 mimi nawapenda nyote
Binadamu wana roho za kwa nini mr fact unafanya kazi zuri sana na hongera kwa kuboresha kazi zako kupitia wewe tumekuza imani zetu kwa MUNGU na kujua kwamba msaada wa kweli hutoka kwa MUNGU Pekee huyo ametoa wapi nguvu za kuongea hayo?shetani ashindwe kabisa na nguvu za MUNGU zitawale MUNGU akubariki davista na akutie nguvu zaidi tunajifunza mengi hakika..
Davista,you're a real deal 😂😂let the haters continue chapping but we won't leave your channel.what you're offering us teaches us many lessons in life.💪stay strong
Hapa kweli huezi kaa na mtu siku nzima bila kumpa chochote kufidia siku yake sababu huyo ni client tayari na anatoa content ambayo Mr. Facts anakusanya na kushoot hadi kuileta youtube. so, nakupongeza sana Mr Mata kwa kazi yako na Mungu Akubariki usiwahi pata shida, kulala njaa wala kukosa hela ya kuleta vipindi kama hivi vinaelimisha.
The bigger your destiny the bigger the buttles and challenges you will face in life,so be ready to face them until you over come them,davido usiwe na stress
Davistar my young bro' hachana na walimwengu wengine kwani huyo mtu anajiita mtumishi na bado ako na mshene/domo kaya sana."Wewe mtumishi hachana na davistar kabisa in JESUS name,chapa job yako kivyako plz an plz"🌞🙏🇰🇪.
Hey Brother dont listen to the enemies of progress he or she wants to destroy your moral. we love you keep up with the good work. May God protect you devinely.
Wewe ndio number one wangu, huyo asikufanye wewe ushindwe kutuletea kitu kizuri, umetusaidia kupata kujua mambo mengi sana ambayo yako nyuma ya panzia, wewe piga kazi cc watu wako tunakuelewa sana, BIG UP SANA DAVISTA MATA WEWE UKO JUU
Pole kk davista baadhi yao wanakuoneya wivu sana kwa
mafanikiyo yako hizo ni chuki
omba sana mungu akunusuru
na watu wenye roho mbaya kwako
Kabisa
Tunakupenda ndugu ..
Vitu muhimu unvyoonesha ..
Alolalamika ni Agent tuu huyo .
Pole Sana brother wewe usitishiwe na watu kama awo davistar wewe upo juuuuu Sana kwakweli Ani uyo ni mbumbavu tu brother sisi watu wako davistar tunakuwelewa Sana kwakweli na tena Sana tunakupenda Sana kwakweli
Mwambie aache upuzi kila mmoja awe na kazi yake...Love from +254
Kaka mpendwa ,,, Mungu akutie NGUVU,,, tunakuombea mno,, ACHANA na watu.. ila husimuache Mungu,, acha na WATU,, ila husimuache Mungu aliekuumba,, Wala husijieleze saaaana,,, tunaona KAZI zako,, kwa Mimi nimefunguliwa pakubwa mno,, Tena mno, Mungu akuinue
Umeongea Kwa hisia Sana Kaka D. Na Mimi nilisikia, mti wenye matunda mawe lazima. Endelea kufanya kazi nzuri unayo fanya.
Achana nae uyo ni adui yako huyo ni msenge na ni mshenzii
Omba Mungu uendelee kuchapa kazi Davistar,yeye aende akamshataki huyo jamaa,kenya tuko chonjo na wewe sana,we 💜 💛 💚 🧡 you so much.mwache yeye
kakukosea sana huyo mtu Davistar, huo ni wivu tuu achana nae, fanya kazi
Mwambie na yeye atunge story zake aache wivu kaka yangu Piga Kazi tu one love all the way from Australia love you my brother ♥
Uko juu Davistar na unajua kuhoji vizuri Sanaa unauliza Majina mpaka wanapotokea mkoa Gani wamezaliwa wangapi unahoji vizuri Sana Achana nae wengine wanakuiga Wanachemka Pamoja Sana From DRC
Usijali kila mtu na bahati yake,,
piya na riziki yake,,ww unapendwa sana kwa tabiya zako. huo ni wivu na chuki zao
M/Mungu akulinde usijali achana nao
We love you davistar ... don't worry those r enemies of progress from kenya🇰🇪🇰🇪 we 😘 you.
Hello from New York! Loooove your stories! Authentic!! Reminds me of my country. Great job! Focus on ur career. Ignore haters!
Pole na mitihani Davistar Mata tupo pamoja unatu elimisha kila kukicha Big up
Pole sana Davistar, masamehe tu yule mchungaji maana ni mtu mzuri tu. Tatizo imetokea mnanyang'anyana mkate mmoja na kila mtu anataka kulisha familia yake kwa huo mkate.
Love you brother davista kupitia vipindi vyako nime jifunza Sana Mungu anikumbushe siku moja niku sapoti
Davistar wewe ni mtu mwenye hekima na busara wewe usijali wivu ya watu wewe endelea na kazi zako ya kutupa mastori we love you from 🇰🇪 🇰🇪
You are very civil Davista umeongea na wisdom
divester mata appreciate you and All people he really love you for good job and God we will protect 🙏 dnt worry and we will support you still we need more story of you ........ Zote ni jealous bro achana nae bro divester mata appreciate you we piga kazi
Kaza but Davistar tuko pamoja, Mimi napenda sana wewe🔥
Pole davista nimeona pahali wanadai unacopy keep it up tupo pamoja we love you so much
Pole sana achana naye uyo asiye jielewa firauni mtumishi wajina ndio wako siku izi. Pambana na kazi yako kama vip mublock asiwe anaona simulizi zako muache apambane na hali yake kazi yako nzuri sana akuna ambaye anaweza kuona simulizi yako akashindwa kupenda account yako love you david💖💖💖💖💖💖💖❤❤❤❤🚶🚶mtumishi wabwana acha kufatilia maisha ya watu pambana na hali yako. Akuna anaye iba story kila mtu anastory yake
You love one man and call another man Firauni, thats not love not Godly love🙏
Hate is cured by love not hate by hate
Pole sana kwa hili tukio la kuzushiwa unaiba story, huyu atachangia tukose Habari nzuri unazotuletea sisi mafans wako...
Tunakupenda pambana tunajal story pole kwa majukumu kk devist kwa hayo mungu akuongoz ktk kaz yako
Asante kaka umenifunza meng mung akubark
God bless you Dave.. Mungu akikubariki lazima opposition zikue. May God continue to elevate you🙏🇰🇪 🇦🇪
Asante mkuu kwa kulitolea majibu hili swala kaza buti tusonge mbeleee..tumechelewa Sana wewe km Diamond platnumz kwenye swala story...
Kabisaa
From kenya with love ❤️
254 is listening Davistar-Haters make u famous. Good work Bro & Big up
Fresh San MTU wangu DAVISTa leta story. Watching from Paris 🇨🇵
Your the best.....do your work usiwaskize....#kenya Nairobi
Keep it up bro usiache mutu akufunze kazi yako and i love your video big bro
Pole kaka nichanga moto tu za kazi kaza buti tushazoeya kama leo umechelewa nakuwa sina raha kwaiyo tupo pamoja kuna msemo uwezi kupendwa na wote uwez kuchukiwa na wote kiukweli tupo wengi mashabiki zako tena nchi tofauti
Davistar nikushauli we piga kazi ukijua hiyo kazi unayoifanya Mungu anakujua na atakulipa hao wanaojiita watumishi wa Mungu nao pia watajuana na Mungu wao.
pole bwana DM kila kaz inachangamoto zake,pull up ur sox songa mbele mwsho wasiku ktu ukwel utabak kua pale pale.alaf stor zote znalingana sana,kulingana na waganga wanauchaw unaofanana
Pole hiyo ni changamoto katika kazi usiogope songa mbele achana nae huyo anapepo halijamtoka bado la wivu
Keep going davistar hizo ni mitihani tu ...I'm glad ata umebarikiwa na microphone 👍👍🇰🇪
Davistar, I'll reach to you. You've done great job!
Sisi wa afrika ukimuona mtukafanikiwa kimaisha juwa kapambana na ftina nyingi sana nakashinda ndomana kafaulu dav ukiona watu wamesha anza ftina ukokaribu namafanikio muombe sana m/mungu akulinde
Ur the best BRO , CAPE town tuna enjoy kabisa
Piga kazi Best yangu Davista. Imani yangu mti mzuri huwa unapigwa mawe Usjali
Mpotezee,achana nae! We love u
Pole huwezi kuishi bila kupitia challenges Davista . Me nafwatilia sana story nyingi humu UA-cam lakini sijaona account yenye story zinazofanana na za kwako . Huyo mtu angefanya busara kukutafuta mkashauriana pia kurekebishana . Unafanya hivi kuelimisha na kuokoa watu wengi sana , huu ni zaidi ya ushuhuda . Usikate tamaa na usikasirike . Kemea hilo jaribu ,tuendelee na story zetu Mungu atakubariki . Amen 🙏🏽🙏🏽
That guy he's just jealous of your work. Your story is so real coz if it was fake nobody would be interested of watching. Keep it up bro.
Atuhami tupo pamoja na wewe aliye tu huyo
Hakuna jambo jema linalokosa mitihani na changamoto kikubwa ampotezee
@@aiyamhassan1321 kabsa yan
#MTUMAKINI bora umelitolea hili suala maelezo kdg mana yule jamaa kaongea sana kuhusu hili,,,ni vzr mkae mlimalize hili sio kuchafuana bila sababu,,,kazi nzuri broo🤝
Nifanyeje ili nipate hio video niiangalie?
Achan nae kaka ang.nd binadamu hao .kikubwa dua n mungu akulinde n husda .kil mtu anaridhik yak .uref wa kamba yk hawez kufikia.
Wivu na upuuzi tu watu kama hao ni wanavijiji achana nao piga Kazi dvsmtr 🙏🙏🙏💪💪💪🎤🎤
Wachana nae wewe endelea tunafurahiya na tuna soma sana go on brother
achana na hao wachawi tu awapendi tujue ushenzi wao piga kazi piga kazi 🔥🔥🔥🙏🙌🙏
usitilie maanani adui zako Dave..hao hao adui zako wata kutafta tu.. God will prepare a table before you in the presence of your enemies.. continue to do the work that you're called to do.. blessings 🙏
Usijali kila kazi inachangamoto msamehe bure twende kazi mdogo wangu D
Bro una busara sana...nimekukubali
Love u....davister and the team....kenya tuko nawe
Asante kwa usimlizi
Pamoja Sana davista riziki hizi hujenga uadui
Dah kwer pamoja sana another episode my favourite chanel back again big up
Davistar forward ever backwards never wenye wivu wako tutabarikiwa wapende wasipende fanya kazi yako wacha nao usife moyo tuko pamoja from kenya.
Davistar wachana naye mungu akubariki sanaa watu wana wivu
Achana na hyo mpga dili kanisan mwambie ajiongeze afungue bar, sanguro na kanisa nyote apate hela by erick hapa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😀😀😀
Ptomoter tv
Polee sna Bro ndio maisha n walimwengu walivyo take it easy bro!!
mti mwenye matunda ndio urushiwa mawe....worry not nko ndani kama kawa kutoka U.S washington..mwenyezi Mungu hakujalie ndungu yangu davistar....
Keep going brother Davi we’re here for you and god he will continue blessing you and protect you Inshaallah 🙏🙏🙏🙏from Canada
Upendo Neema najma blessed Fm morn credo zuchu Khulood Ezakia Aisha goodluck Eric mariam Riziki zabiya na wengineo njoon mambo tayari😘😘🇪🇭🇪🇭🇪🇭🇪🇭
Mpendwaa ni mewasil jaman nakupendaa sanaa jaman wegine bado siwaon jaman mjee😓😓😓
@@Teacher_01 Nmefurai kukuona kipenzi pia mie nakupenda sanaa 😍😍😍😘😘
@@Teacher_01 wengine wapo njian kipenzi 😍😍😘😘🤝🤝🤝🤝
@@FFL-X1D nimekuja
@@Teacher_01 tumekuja tupo
You are the best bro..kwanza unasikiliza maoni ya wadau wako na kuchukua hatua..Bro ukikumbana na kikwazo kama hiki jua kuwa kuna baraka kubwa iko njiani inakuja.
Achana nae Mungu atamsamehe..endelea kufanya kazi ya Bwana
Pole kaka kwa changamoto za binadamu wasiopenda maendeleo yamtu..ila itakua umempa mbinu zako zakupata watoa stori, hope ataiga kugharamia
kazi nzuri broo🤝
Pole sana mkuu, we piga kazi... Hayo yapo tu kwenye kutafuta
Pole sana Devistar ndio dunia lazima upitie misukosuko
Mussa chesa nime wahi kuskia history yake hina tisha ❤️❤️ no watu wanasema vibaya kuusu mtumishi wa mungu siyo kwamba hana omba pesa kwa mambo yake ni kwa sababu ya kuinua channel ❤️❤️❤️
Duuh Ni mtandao au notification hazinifikii...but pamoja sanaaa
Duuh nilienda nikaona ni mtumishi hata havieleweki hazina hata mvuto...
Yess umeongea point 💪...UMEELEWEKA
Pambana kijana tuko pamoja
Ni Yupi Huyo Nambie Nam Nikamchungulie jaman
Hongera Davistar Kwa kazi yako nzuri.ni wivu Achana naye...
Pole sana Davi ila kaa ukijua vita ya mafanikio hua ni kubwa sana
Davistar usiseme halikua na lewa bro nyinyi ni watu wazima mtafutane muongee pia yy ni binadam kakosea, hiyo story sem ya kwanza kuiskia hilikua kwa channel yake, hila kakosea kusema we mwizi ❤️❤️❤️🇰🇪🇰🇪 mimi nawapenda nyote
Binadamu wana roho za kwa nini mr fact unafanya kazi zuri sana na hongera kwa kuboresha kazi zako kupitia wewe tumekuza imani zetu kwa MUNGU na kujua kwamba msaada wa kweli hutoka kwa MUNGU Pekee huyo ametoa wapi nguvu za kuongea hayo?shetani ashindwe kabisa na nguvu za MUNGU zitawale MUNGU akubariki davista na akutie nguvu zaidi tunajifunza mengi hakika..
Wivu ndio shida ya muafarika...Chapa kazi bro Davistar
Usijali mzee changamoto lazima tupe namba tutachangia kipindi ni moto sana natuko wengi🙏🏻🙏🏻
Pole Brother Davista, huyo jamaa ni mpuuzi tu achana nae
Achana namaneno yawakosaji wepiga kazi brother😍
Pole sana kaka davistar kila kazi inachangamoto yake Allah akufanyie wepesi kwenye kazi yako ❤
Mata piga kazi tumekuelewa
@@mohammedothuman1989 kabsa
Usife moyo Mjukuu wangu endelea kutuletea story changamoto zipo msamehe huyo mtumishi wa Mungu asikukwaze! Mungu akusaidie tu
Davista,you're a real deal 😂😂let the haters continue chapping but we won't leave your channel.what you're offering us teaches us many lessons in life.💪stay strong
Hapa kweli huezi kaa na mtu siku nzima bila kumpa chochote kufidia siku yake sababu huyo ni client tayari na anatoa content ambayo Mr. Facts anakusanya na kushoot hadi kuileta youtube. so, nakupongeza sana Mr Mata kwa kazi yako na Mungu Akubariki usiwahi pata shida, kulala njaa wala kukosa hela ya kuleta vipindi kama hivi vinaelimisha.
The bigger your destiny the bigger the buttles and challenges you will face in life,so be ready to face them until you over come them,davido usiwe na stress
Davistar, those are enemies of progress. Si wote wanafurahia mafanikio yako. Wee endelea kutupa story
Kabisaaaa wivu tuu
Mti kuruswa mawe lazima uwe n matunda
Wivu tu huo wanamuonea
Davistar my young bro' hachana na walimwengu wengine kwani huyo mtu anajiita mtumishi na bado ako na mshene/domo kaya sana."Wewe mtumishi hachana na davistar kabisa in JESUS name,chapa job yako kivyako plz an plz"🌞🙏🇰🇪.
Dah....hii family naikubali sana
Usijali kipenzi Davistar achana
Nae
Ss twakupenda 😘😘😘
Upo juu Mr fact achana na wazushi wadau wako tupo pamoja
Hakuna mafanikio yasiyokuwa na gharama. Pole relax piga kaz kiwered zaid. Be strong youngbro
Davista ww uko juu sanaa na hao wanao kutusi hawafai davista kaza buti hakuna wa kukushinda huyo ni mpuuz tuu
Huwa napnda story zako nakufatiliya nikiwa Burundi 🇧🇮 bro piga kazi unaweza
Hey Brother dont listen to the enemies of progress he or she wants to destroy your moral. we love you keep up with the good work. May God protect you devinely.
Mwenyez Mungu amesema kila penye uzito na wepesi upo, hizo ni changamoto tu kila mahali zipo
Approach ya mic ya sasa hivi nimeielewa sana davistar..👏👏
Kila kazi ina vita vyake simama na Mungu tu na sio kila mtumishi wa mungu ni kweli yupo na Mungu
Somoe pili Fatma Amina Aiyam upendo kevarist sapna credo salim salim suleiman Fatma Aisha Rizik cute emmy Nguwalo Fundi Eric mariam Farhat salum na wengineo njoon mambo tayar🇪🇭🇪🇭🇪🇭🇪🇭😘😘
Ndio nafika dear
@@somoeawadh7774 Nmefurai kukuona kipenzi😘😘😘😘😍😍😍😍
Tumeshafikaa best..nakupenda sanaa
Asante ndo naingia hapa
@@Teacher_01 Nmefurai kukuona kipenzi pia mie nakupenda sanaaa😍😍😘😘😘
Pole sanaaa
Sema mr fact mi tatzo langu lipo kwenye dini bro kwenye dini unakandamza sana upande mmoja k2 ambacho unatuunzi Sisi wa dini nyingine
Kwakweli ata mimi nimeliona hilo
Pole sana kaka keep doing broo
Pole Davistar
Tunakupenda kaka wewe chamuhimu fanya kazi uyo niwivutu
Umekula mdaa wetu man