MUNGU ALIMUHESHIMU FIRUNI NI KOSA KUMVUNJIA HESHIMA KIONGOZI WAKO,SHEIKH AWACHEKESHA WALINZI WA RAIS

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 4 лип 2024
  • • MUNGU ALIMUHESHIMU FIR... #KHIDMATV #raisamia #walinziwaraisamia

КОМЕНТАРІ • 60

  • @user-ly2tv5og1n
    @user-ly2tv5og1n 10 днів тому

    Sheikh utakuja kuwa miongoni mwa viongozi wakubwa katika Dini yetu. Kando ya elimu yako una hekima na busara kubwa sana. Allah SW Akujalie sana !

  • @noorbazaar9063
    @noorbazaar9063 21 день тому

    Alhamdulilah 🎉

  • @mohamednyuni2631
    @mohamednyuni2631 20 днів тому +1

    Jee mwisho wa Fir'aun ulikuwaje?

  • @KassimSalim-fi1me
    @KassimSalim-fi1me 19 днів тому

    Kwa mujibu wa demicrasia wako sawa wanaomtukana maana demicrasia ni uhuru usiokuwa na mipaka

  • @KassimSalim-fi1me
    @KassimSalim-fi1me 19 днів тому

    Kushawahi kuona Maka viongz wanatukanwa hovyo kushawahi kuona Oman wanamtukana kiongoz

  • @suleymanmrutu9498
    @suleymanmrutu9498 19 днів тому

    Nyinyiwote mliochangia nakukosoa acheni wivu na kwanini msiendenynyi au msitwe au sio waislam nini?

  • @KassimSalim-fi1me
    @KassimSalim-fi1me 19 днів тому

    Demicrasia yenyewe ni mfumo wa kikafiri wao ndio wamekosea mfumo wa uongoz wangefuata misingi ya uislam ya uongoz acha watukanwe

  • @saidbakar-qo6ri
    @saidbakar-qo6ri 18 днів тому +1

    SASA KAKOSEA SHEIKH HAJAKOSEA ILA NYINYI NI UBINAFSI UNAWASUMBUA

    • @BradothAdm
      @BradothAdm 13 днів тому

      Yuko sahihi tatzo watu wasomi dini

  • @AshaNtakarutimana
    @AshaNtakarutimana 14 днів тому

    kama hamna ya kuongea simkae kimya

  • @Abdul-oc1ul
    @Abdul-oc1ul 20 днів тому

    Shehe unajichanganya mtume aliishi maisha ya kawaida na wao wajishushe kila uchaguzi wanauwa mtume alimuuwa nan hawajawhi kufny mzr waislamu ndo waliuwawa nchi hii wakristo wao hawakosei mbwa ww viongoz wawe wadilifu kuna mabaaa wanatowa wao lesen mgest wao lesen uadilifu wametowa wp

  • @jamalkishangu
    @jamalkishangu 18 днів тому

    Ukimuona mtu anamtukana kiongozi wa nchi au kumfanyia majungu, huyo mtu mwenye tabia hiyo mbovu kwanza hawakilishi Uislamu na ni nje ya tabia njema, lakini pia atakuwa na hasani, mfitini mwenye kijicho. Na huo ni ugonjwa mbaya sana.

    • @BradothAdm
      @BradothAdm 13 днів тому

      Sahihi nafasi ya kiongozi ni kubwa kuna hekma kubwa allaah kutuamrisha kuwatii

  • @hindamir2008
    @hindamir2008 21 день тому

    Mashallah ❤

  • @MaimunaSaidi-tu2hs
    @MaimunaSaidi-tu2hs 21 день тому +4

    Hivi mnafanya yote hamuogopi mwenyezi mungu hizi Aya manazitumi kwenye njaa zenu bora mngekaa kimya imsialibu jamii ya kisilam Kuna akhera nyie

    • @IdrisaAbdulwakil-tg3pk
      @IdrisaAbdulwakil-tg3pk 21 день тому +1

      Kabisa hawa ni njaa tuuu

    • @mikidadiramadhani3553
      @mikidadiramadhani3553 21 день тому +1

      Nimtazamo Wako Hufai Kulaumiwa

    • @handenitakuru6696
      @handenitakuru6696 21 день тому

      Huyo shehe mwenyewe anaonekana kama shoga sasa kunanini hapo

    • @user-pi8xt7rx1h
      @user-pi8xt7rx1h 21 день тому +1

      Wewe muongo muogope Allah ww /Yani ALAH amesema viongozi wote watwiiwe muogope Allah kuna aakhera sema na njaa yako/mbumbavu wewe

    • @user-pi8xt7rx1h
      @user-pi8xt7rx1h 21 день тому +1

      Sasa Samia anasimamia hukmu ZA allah

  • @nassorseif7907
    @nassorseif7907 19 днів тому +1

    Kongamano la wanawake nyinyi wansume mnafanya nini humo ndio tabia njema hizo kuangalia wake za watu Muogopeni Allah

  • @salimsaleh9354
    @salimsaleh9354 21 день тому +1

    Mbona anarembua macho uyo shekhe

  • @AhmedAhmed-gf1rd
    @AhmedAhmed-gf1rd 21 день тому +2

    Masheikh ubwabwa tuh

    • @kasimkassam9565
      @kasimkassam9565 20 днів тому

      kweli wewe shetsni kafiri mtu anamzungumziya mungu wewe unajionesha ukafiri wako kichwa mavi wewe

    • @AhmedAhmed-gf1rd
      @AhmedAhmed-gf1rd 20 днів тому

      @@kasimkassam9565
      ALLAH SW atupe ufahamu wa dini yake

    • @ShafiiIsmail-zk9lq
      @ShafiiIsmail-zk9lq 20 днів тому

      Ukitukanwa ww utakasilika

  • @rkcomercialenterprises3209
    @rkcomercialenterprises3209 21 день тому +1

    Ukiona mtu haheshimiwi ujue kuna sababu..

  • @athumannyiddy1886
    @athumannyiddy1886 19 днів тому

    Acha kujizalilisha huoni kua sehemu ulipo sio sahihi angalia unaoongea nao ni akina nani kwa wake za watu

  • @BushDoctor-dw8el
    @BushDoctor-dw8el 20 днів тому +1

    Hiyo aya, sura annisaa 59 unayoielekezea nataka uisome vizuri kisha uielewe ndipo useme usemayo.
    Ni nani huyo arrasul kwanza. Ikiwa ni muhammad basi muhammad keshakufa.
    Na huyo ulilamri ni kwa masala gani umtii maana aya yasema, mukibishana juu ya kitu au jambo basi muliridishe kwake Allah na mtume.
    Wewe unaelewa aya ama munataka kujionyesha tu kwa maslahi yenu ya kidunia.
    Mcheni mungu na msipotoshe aya zake makuhani nyie.
    وقالوا ربنا إنا اطعنا سادتنا وكبرأنا فأضلونا السبيلا

    • @bizimanaamani-zc1qm
      @bizimanaamani-zc1qm 20 днів тому

      العلم بلا أدب كشجرة بلا ثمر

    • @bizimanaamani-zc1qm
      @bizimanaamani-zc1qm 20 днів тому

      Tungejitahidi kuwa na nidhamu tungefika vizuri sana kama nikwamfumo huyu ambao vijana tumekalia tunangoja fulani akizungumza hichi humpinga sas kama wey nimkweli njoo ungetusherehesheya ili tujuwe wala sio kuja kutowa kashfa namaneno ya utofu wanidham

    • @MwigaAdam
      @MwigaAdam 20 днів тому

      Muhammad keshakufa ila mafunzo na mafundisho yake Bado yapo hai ko ktk kumtii nikule kufuwata tulioamrishwa na kuacha yalio katazwa ndugu

    • @BushDoctor-dw8el
      @BushDoctor-dw8el 19 днів тому +1

      @@MwigaAdam Mohamed aliopewa atufikishie ni Qur'an na ameifikisha.
      Na hicho ndicho kitabu pekee kilichotoka kwa Allah. Hakuna kingine

    • @BushDoctor-dw8el
      @BushDoctor-dw8el 19 днів тому

      @@bizimanaamani-zc1qm sipingi mtu bali ni wazo la kufahamu kitabu cha Mungu na kumsingizia mungu