MashaALLAH tabaraka LAAH, ALLAH ampe afya njema rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan 🇹🇿🇹🇿🇹🇿 Kiongozi wa aina yake katika Africa mashariki
mama unajua wajib wa kiongoz bas panga siku nenda katembee pemba sikuambii kitu majibu utayapata mwenyew hal ilivo me nakukumbusha tu mana utaenda kuulzwa juu ya uwongoz kila la her
MashaALLAH tabaraka LAAH, ALLAH ampe afya njema rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan 🇹🇿🇹🇿🇹🇿 Kiongozi wa aina yake katika Africa mashariki
Mashallah Mashallah Amina presdent wetu❤❤❤
Allah amuhifadhi Raisi wetu.amin
mama unajua wajib wa kiongoz bas panga siku nenda katembee pemba sikuambii kitu majibu utayapata mwenyew hal ilivo me nakukumbusha tu mana utaenda kuulzwa juu ya uwongoz kila la her
Huyu mama ni jembe so mchezo anajua kuyapanga Mungu akupe afya njema na uzima
Musa wa kwenye koran hajulikani alizaliwa wapi wala mzazi wake hajulikani
Huna ujualo kaa kimya
musa wa biblia ni moses sio wetu pls
@@kasimkassam9565upo sahihi Musa wa kwenye koran ni mwarabu tofauti na Moses aliyezaliwa kwa waebrania