MwenyeziMungu akupe umri mrefu sheikh Mziwanda,nyumba za waqfu watu wanaziuza wanakula pesa wao na familia zao,viwanja pia,l hivyohivyo,na Bakwata wanaongoza katika hilo
LADY FATIMA ORPHANAGE CENTER (LFC) Tunapatikana Mjimwema, Njiapanda ya Kimbiji na Kongowe, Kigamboni, Dar es Salaam. Watoto wetu wapo Nursery Schools, Std I - 7, Form I - 6, Vyuo vya Kati + Vyuo Vikuu. Tupigie:
Sasa Sheikh Ibn Taimiyyah ana kosa gani? Kwani yeye alikua hai wakati huo ujinga wafanyika unahisi angekubali kama angekuwa hai je huyo swahaba aliyeongeza kitu Mtume Swalallahu alayhi wasallam si amekipitsha wewe ukileta jambo leo analihakiki nani ?
Mbona mtume muhammad s a w alitumia sheria hizi zinazotungwa na walevi makahaba mbona hayazungumzwi uislam unakataza kiongozi mwanamke wewe unafurahia jewewe hukusoma
Shekh Mtume Rehma na Amani alipokuwepo Bidaa hakuna wala Usufi wala Mauzushi yenu Waeleze waislam ya kweli usiwaconfuse kwa maneno mengi yasiyo na dalili Hajatoa dalili hata moja porojo tu Shekh mnawapoteza waislam nyinyi masufi
Na hizo shule za kiislam nyingi zimechangiwa na waislam walalahoi,mbaka zimefikia hapo zilipo,lakini ukifika hapo shuleni umepungukiwa Ada,utatolewa maneno hayo na kukataliwa juu
Hii ni alama ya ujinga kubwa sana Hujui السنة التقريرية Masufi wanajikweza Sana ila niwakawaida sana Hakuna hoja hata kidogo katika maneno hayaa zaidi ya kufuata hawaaa Za nafsi Sijapata faida ya kielimu hata nusu katika clip hii na huyu ni sheykh mkubwaa msemajee wa waislaam huu nimswiba mkubwa sana
Kwenye Uislam sisi hapa Tanzania, Viongozi wetu ndio shida,ukimuuliza sheikh wa wilaya ana waislam wangapi wasomi katika eneo lake hajui,huyo wa mkoa ndio kabisaa..
Shukrani sana sheikh mziwanda, malezi ya kifkra waisilamu wamekosa, tusome kitabu cha tarbiyatul islamu
Shukran sana Sheikh. Uko sawa kabisa
MwenyeziMungu akupe umri mrefu sheikh Mziwanda,nyumba za waqfu watu wanaziuza wanakula pesa wao na familia zao,viwanja pia,l hivyohivyo,na Bakwata wanaongoza katika hilo
MashaAllah,ujumbe mzuri saaanaa,
TOKA NIMEANZA KUMSIKILIZA SHEIKH MZIWANDA, HAPA NIMEMUELEWA SANA, NINA MPENDA KWA MSIMAMO HUU NA MUONO HUU
Ufahamu nayo rizki ila ufahamu wako ni wakutafta rizki kweli huyu bwana mziwanda anapenda sana ubabaishaji
Maneno safi kiujumla lakini kama yale maandamano Kenya kiongozi wa hayo mashauri yuko wapi?Hayupo na kama yupo aanzishe huo mchakato.
LADY FATIMA ORPHANAGE CENTER (LFC)
Tunapatikana Mjimwema, Njiapanda ya Kimbiji na Kongowe, Kigamboni, Dar es Salaam.
Watoto wetu wapo Nursery Schools, Std I - 7, Form I - 6, Vyuo vya Kati + Vyuo Vikuu.
Tupigie:
kweli mwalim
Sasa Sheikh Ibn Taimiyyah ana kosa gani? Kwani yeye alikua hai wakati huo ujinga wafanyika unahisi angekubali kama angekuwa hai je huyo swahaba aliyeongeza kitu Mtume Swalallahu alayhi wasallam si amekipitsha wewe ukileta jambo leo analihakiki nani
?
Sio Kila ngoma unacheza, twendeni kwa mipando. Imamu shafii alitutaka tuwe kama Simba tusiwe kama mbwa.
Swahaba aliesema rabanawalakalhamdu kasema mtume akiwepo na kaikubali kauli hiyo swali he wakati ibintaimia kaikubali hitma au kosalake lipi
Ubinafsi wa Viongozi wa kiislam ndio unafanya Uislam usiwe na maendeleo nchini
Mbona mtume muhammad s a w alitumia sheria hizi zinazotungwa na walevi makahaba mbona hayazungumzwi uislam unakataza kiongozi mwanamke wewe unafurahia jewewe hukusoma
Miongoni mwa walinganizi ktk ijinga na upumbuavu na uowongo hili jamaa
Shekh Mtume Rehma na Amani alipokuwepo Bidaa hakuna wala Usufi wala Mauzushi yenu
Waeleze waislam ya kweli usiwaconfuse kwa maneno mengi yasiyo na dalili
Hajatoa dalili hata moja porojo tu
Shekh mnawapoteza waislam nyinyi masufi
Njoo kwa mashia orodha zote zipo na misaada wanayopewa ipo na kaangalie live kama wanasomeshwa nenda shuleni au chuoni ukahakikishe
Na hizo shule za kiislam nyingi zimechangiwa na waislam walalahoi,mbaka zimefikia hapo zilipo,lakini ukifika hapo shuleni umepungukiwa Ada,utatolewa maneno hayo na kukataliwa juu
Tatzo ni ubinafsi wa Waislam wenyewe
Hii ni alama ya ujinga kubwa sana
Hujui
السنة التقريرية
Masufi wanajikweza Sana ila niwakawaida sana
Hakuna hoja hata kidogo katika maneno hayaa zaidi ya kufuata hawaaa
Za nafsi
Sijapata faida ya kielimu hata nusu katika clip hii na huyu ni sheykh mkubwaa msemajee wa waislaam huu nimswiba mkubwa sana
Wewe ni mjinga zaidi na hujui kama ni mjinga,Yani mwenzako anatetea umoja wa Uislam wewe unabeza,huu ndio upuuzi wenyewe
Kwenye Uislam sisi hapa Tanzania, Viongozi wetu ndio shida,ukimuuliza sheikh wa wilaya ana waislam wangapi wasomi katika eneo lake hajui,huyo wa mkoa ndio kabisaa..
Muhemko nao piya nishida maneno yamumngu nayamtume yabakivirevire tusiwazingishie