Makonda ni hodari ni jasiri na kabarikiwa neema ya kuwa na moyo wa ushujaa tu namwombea na kumweka chini ya mbawa za Yehovah Nissi atembee naye kwani ameturudishia matumaini yaliyotuka baada ya baba magufuli kuitwa na Baba wa mbinguni sasa tunasema asante Yesu wanyonge tuna furaha sanah na Mama Samia hongera sana kwa hili na Mungu akubariki sana
Yuko vzur Anachapa kazi kweri kwer👏👏👏i kwa jina ra mwenyezi mungu mwingi wa rehema mwenye kurehem makonda haishi maisha marefu hapa duniani🤲🤲🤲🤲
Kwakwer mungu ambarik miaka mingi saana
Hongera sana jembe letu Makonda Mungu akulinde
Makonda ni hodari ni jasiri na kabarikiwa neema ya kuwa na moyo wa ushujaa tu namwombea na kumweka chini ya mbawa za Yehovah Nissi atembee naye kwani ameturudishia matumaini yaliyotuka baada ya baba magufuli kuitwa na Baba wa mbinguni sasa tunasema asante Yesu wanyonge tuna furaha sanah na Mama Samia hongera sana kwa hili na Mungu akubariki sana
Kweli huyu mama wa watoto wengi mnamshambulia bure mara hiki mara kile lakini mama yetu yuko vizuri sana
Jamani morogoro aletwe maana mhuuuu
Na ana karama ya kuwasoma watu kweli ni wazi kabisa anamfahamu mh m