Dr. Chris Mauki: AINA 3 ZA WATU. Je, wewe ni nani katika hawa?
Вставка
- Опубліковано 19 жов 2024
- Katika maisha ya kila siku inawezekana akajishangaa kwanini mambo hayaendi unavyotaka au unavyotamani kumbe shida iko kwenye namna unavyofanya mambo. Je umeshawahi kujiuliza ni kwa kiasi gani tabia yako inachangia kwenye kukufanikisha au kukufelisha? Hizi hapa aina za watu na tabia zao. Jitazame, jijue ili ubadilike.
Nimefurahi sana kuisikiliza hii kwa cku hii ya Leo, Mimi ni achiver coz si mtu wakukata tamaa na cjawahi kuwamlalamishi Ila ninachangamoto ya marafiki na uhaba wa watu wakujifunza kupitia wao yaan sina sehem yakupata msaada isipokuwa ni UA-cam.,nikipata changamoto yoyote sina pakukimbilia zaidi ya mitandaoni nianze kupekuwa mpk nipate solution ya tatizo langu, nifanye nini ili nipate marafk sahihi?
❤mm NK Kenya natamani Sana hiyo kitabu 🎉
Umenisaidia saana Dr Chris,Niko samba-samba n'a mafundisho yako
Asante Sana doctor mi achiever somo nzur Sana sikatitamaa hata nipatechangamoto ngani! God bless u!
Wao mimi ni achiever maana sijawahi kata tamaa Baraka emanuely kivuyo
Dubllor ila sasa ninatamani kuwa achiever. Naamini Mungu atanisaidia. Asante dr Chris kwa somo zuri
Mi nko group ya stresser.Nafikia malengo but kuchelewa.Mada nzuri sana.asante
Mm natulia napumua naedelea hvo srudi nyuma 💪💪
Mm naona ni Achiva 🤣🤣 sitaki kukata tamaa MUNGU anijaalie nikifie malengo yangu Nshaallah
Kaka mm nakuerewa Sana uko poa Sana mungu akurinde
Thank you doctor,hii nimeipenda mimi nipo katika "achiver"
Hii ni dawa ya akili inayotibu. By God's grace I wanna achieve 🙏
Mim ni achiver,,Mana nimepata hasara Sana kwenye biashala lakini bado ninauthubutu na huwa natafutaga njia ya kupambana Zaid kwa umakini
Mungu akubariki kila siku iitwayo Leo! Amiin
Amen na Asante sana
This channel is right place for sure. Be blessed Sir.
Asante kaka achiver ila napitia changamoto nyingi
Hio tabia inanishambulia Sana Asante kwa somo zuri
Asante dr nawezaje kuongea nawewe mimi nipo Mozambique 🇲🇿
asante kwa somo lako nzur , mim ni dabrra 🙏🙏🙏
Achiever
Am an achiever
Mm ni archiver
Nimekuelewa sana
Asante Dr mungu akubariki
Shukrni sana Dr kwa masomo mazuri yani upo sahihi kabisa jee kaupo kwenye kundi la strs utatumia njiaa gani ili kuepuka
achiever
Dr.uko vizuri,nimekuelewa.
Amen asante sana
good topic
Mimi ni n (1) tena inaniumiza sana Dr
Mm ni achiever.
Asante kwa somo nzuri ...
Nakukubali sana pamoja na wife wako.mbarikiwe sana.
Your ok bro
Waiting
Mm ni stresser
Asnte San dr mungu akulinde kwaelim unayo tupa,akupe kipaji zaid 🙏
Upo sawa kabsa
Mimi ni nomber 3🙌
Asante
Waoooo Dr somo zuri mungu akubariki na akuinue ..
Thanks
You are good adviseur
Achiever 💪🏻💪🏻
Achiever here
Asante kwa darasa zuri
Nakubali baba
Mimi Ni achiver
Waooo Vzr sana mafundisho mazuri
Mm ni stressor
🙏🙏 Kwa mafunzo yako
mi Achiver,,,
Aseeee me ni sitressa
Mim ni stressor
Dooo stresser ndo mm natakiwa kubadilka kuwa achiver
Mimi streeser😇
Nakufuatilia Dr Mauki , Napenda mafunzo yako sana , Napendekeza ikiwezekana somo zingekuwa na lugha hata ya kiingereza ,Kwa sisi tunaishi Europe Ningefurahi sana kufuatilia na mine wangu na watoto wangu vile ni maternagers masomo yako ya muhimu katka familia nzima .Im proud to be Tanzanian zamani haha masomo huwezi kuyaona mtanzania anatoa kwa social media , Wa marekani na European na kea Africa Nigerians .Keep up good job .God bless ur work .Do you.have book ?
Uko vzr nimepata jambo
Safi sana dr sasa swali . hao watu ambao dabbler anaomba kureconnect na kupata msaada hao sasa wanatoka kundi gan??Maana ni kama kuna kundi zaidi..
Masomo ni mazuri yanatuelimisha ila punguza maneno ya ziada kwa mfano inavyoanza video, twende moja kwa moja ili ufupishe.
mimi ni achiver
Mm hapa Stressor kabisaaa,ngoja nijitahidi nifike namba 3 loh
3 pure me
Achiever💪✌️ winner never quit
P1
Good
Achiever 💪👣❤
Mimi ni achiever dokta maana kukata tamaa kwangu ni ndoto
Hakika nipo kwenye group no3
Thank you doc I love your channel woow inamafunzo mengi sana en am achiever mob love doc
Thanks so much
@@ChrisMauki1 anytime doc
Dr, inawezekana mtu kubadilika kutoka aina moja kwenda nyingine?
Achiver
Eeeh ndo hivyo eeeh 🚶♀️🚶♀️🚶♀️
Streser....
Stresser
Dr naomba namba yako kwaushauri zaid🙏
🔥🔥🔥
Mim niko 3
Mimi ni stressor
Vipi nitakuwa achiever?
You can.
Tnk's Dr I am third achiever let me Tel why I was building da house wid my hzy wen we get upto da bottom he started to quaral wid me every time ten I talk to my family and I Tel my family i wil my not loose hope I wnt to stand again on my on ten my family Tel me dat's right and dat is a strong human and my mom is a big contractors she has big big tenders in da port she build plays try cal me mummy she Tel me mammy u can do it we ar behind u and now I tnk god always I Hv 2 big plots
Mimi nipo hapo kwa achiver
Stressors
Achie
Mimi huyo stresser....
Mimi ni Achiver
Sjaona aliesema mi ni dabra🤣😆
Mimi.ni.achiver
Mimi stressa
Vp mtu huyu ambaye anakuwa na mipango na malengo makubwa halafu likija swala la kuanza kufanyia kazi anaogopa na kuwaza kitu kingine?
Archiever
Stressor
ACHIEVER!!!!!!!
Hahaha
Asante dr nawezaje kuongea nawewe mimi nipo Mozambique 🇲🇿
Mm ni archiver
achiever
Achiever
Mm ni stressor
Archiever
✌✌✌dablla
Stresser
Achiever
Achiever
Achiever
Achiever