Makosa saba (7) ya kuepuka kwenye mahusiano yako

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 19 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 173

  • @EstherMgumila
    @EstherMgumila 10 місяців тому +2

    Mungu akubariki sana najifunza mengi sana toka kwako

  • @citegetsealine5704
    @citegetsealine5704 3 роки тому +4

    Nilejifunza mengi sana kupitiya mafunzo yako docta Chris Mauki Mungu akupe umri mrefu

  • @ziadaambanjaula8900
    @ziadaambanjaula8900 11 місяців тому +1

    ❤ ahsant saaana Dr .kwa mafunzo yako mazur naendelea kujifunza kutoka kwako

  • @janethaule4281
    @janethaule4281 4 роки тому +6

    Mm naona pia jinsi tunavyoongea na wenzi wetu au lugha ambazo tunatumia inaweza kuwa one of the great source ya kufanya mtu hasibadirike

  • @abdallamwawughanga9007
    @abdallamwawughanga9007 3 роки тому +7

    Dr Chris..nilikua nauliza...ikiwa uko kwa mahusiano na mpenz wako,kisha mpenz wako awe napikiwa na jirani wa kiume ni makosa,(2)je unaweza ukawa na namba za ex wako ikiwa uko na mpenz mwengne.(3) ni haki mpenz wako Kuintertain msg za wanaumme ukimuliza anasema ni rafiki zake?

  • @levinavenance1200
    @levinavenance1200 3 місяці тому +1

    1.Kutaka kua wa Kwanzaa kwenye kila kitu
    2.tabia ya lawama
    3.kukana kua tatizo lipo
    4.kutafuta majibu kwingine na sio kwako
    5.usifocus kuangalia tatizo la mwenzio Bali angalia kwako unamchango gani kwenye Hilo tatizo
    6.si vitu vyote utasaidiwa kusolve na watu mzungumze nyie
    7.tabia ya kuweka kinyongo utataka kulipiza kisasi
    8.mpenzi mmoja kutokupenda maendeleo ya mwenzio
    9.maisha yasiyokua na jipya

  • @AlvicSnow
    @AlvicSnow 3 місяці тому

    Nafurahi sana ,maana Mungu amekuinua kwa ajili ya Darasa la Mahusiano kwa ajili yetu

  • @jellynesssemu9406
    @jellynesssemu9406 2 роки тому +2

    Asante sana Dr. Kwa mafunzo mazur. Mwenyezi Mungu akubaliki 🙏🙏🙏

  • @KelvinMusyani-w6x
    @KelvinMusyani-w6x 12 днів тому

    Barikiwa Sana mwalimu

  • @wemakalamu3538
    @wemakalamu3538 4 роки тому +2

    Dr. Chris mauki anaongea point kwa kweli ubarikiwe

  • @magrethrk3125
    @magrethrk3125 2 роки тому +1

    Mwanafunzi wa channel hii.very educative

  • @namsifuwadeya497
    @namsifuwadeya497 Рік тому

    Sahihi kabisa kaka Chris's,tena hili la kutokufurahia na kukwamishwa ktk mambo ya maendeleo ni kikwazo sana ba inakera sana

  • @magrethdicson8577
    @magrethdicson8577 4 роки тому +3

    Asante kwa kunifungua maana kuna mambo yamenigusa

  • @hellenkombe8835
    @hellenkombe8835 4 роки тому +2

    Asante kwa kuendelea kutufungua. Mungu akubariki

  • @berthamassawe6207
    @berthamassawe6207 Рік тому

    Asante sana dr umeponya maisha yang .nimejifunza mengi sana toka nimekujua.

  • @lucypeter5321
    @lucypeter5321 2 роки тому +1

    Nakukubali Sana doctor big up Sana kaka

  • @joshuamweta6551
    @joshuamweta6551 4 роки тому +9

    Daah mapenzi magumu sana kama hampendani ila mapenzi matam na mepesi sana kama mnapendana

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  4 роки тому

      Kweli kabisa

    • @zoainamuscat6835
      @zoainamuscat6835 4 роки тому

      @@ChrisMauki1 Daaah Mungu azidi kukulinda uzidi kutupa somo kipo kitu na jifuza sana aseeee 🙏🙏

    • @samwelngassa4941
      @samwelngassa4941 4 роки тому +1

      HILO LA KUPENDANA NDO KILA KITU HAYA MENGINE NI NYONGEZA TU

  • @saumukaniki2244
    @saumukaniki2244 4 роки тому +3

    Asante san kwa mafunzo mazuri

  • @nathanpius5997
    @nathanpius5997 Рік тому

    I understand you are concept

  • @evafrancis6382
    @evafrancis6382 4 роки тому +2

    Aisee father unatarget mulemule🙏🙏❤❤

  • @josephongeri4762
    @josephongeri4762 Рік тому

    I like this charnel

  • @episawaki1281
    @episawaki1281 4 роки тому +6

    Asante snaaa,unazidi kunibadilisha kila nikiona video zakooo🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻

  • @emmanueljacob1301
    @emmanueljacob1301 3 роки тому

    SoMo zuri mwalim

  • @cyrilfrancis5326
    @cyrilfrancis5326 Рік тому +1

    Blessed sana

  • @lilianraynertarimo9650
    @lilianraynertarimo9650 2 роки тому

    Asante sana hakika tunafaidi madini yako

  • @filipejoaonhama6791
    @filipejoaonhama6791 2 роки тому

    Asante 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @janetdaniely7945
    @janetdaniely7945 2 роки тому

    Asant sana Dr kwasomo nitarifanyia Kaz🙏🙏

  • @neemacharles7044
    @neemacharles7044 3 роки тому

    Kweli kabisa nimeipenda hii charnel

  • @halimahalima1984
    @halimahalima1984 4 роки тому +1

    Mungu akubarki

  • @viviankaaya7630
    @viviankaaya7630 3 роки тому +1

    God bless you

  • @doricayohana3533
    @doricayohana3533 3 роки тому

    Dah! Mengine yananihus mm mung akusaidie uzid ku2fndsha

  • @frankamosi5963
    @frankamosi5963 4 роки тому +1

    nimeipenda hii channel

  • @hidayaswai3119
    @hidayaswai3119 4 роки тому +1

    Duuu asante Dr.Mauki

  • @janethtobius6173
    @janethtobius6173 3 роки тому

    Dokta uko vzur sana

  • @upendoadolf4570
    @upendoadolf4570 4 роки тому +3

    Be blessed Dr. Chris

  • @tausihasheem5051
    @tausihasheem5051 4 роки тому

    Dcr asnt nmepona kbsaa yaan unaongea fct....Be blessed u

  • @agnessmoyo4949
    @agnessmoyo4949 2 роки тому

    Asante kaka chris

  • @bonifacebeatrice8077
    @bonifacebeatrice8077 3 роки тому +1

    God be with you

  • @ishabbe4489
    @ishabbe4489 4 роки тому +2

    Shukran barikiw dr

  • @deborapeter9653
    @deborapeter9653 3 роки тому

    Asante Dr.

  • @winfridasteven4560
    @winfridasteven4560 2 роки тому

    God bless you.

  • @emmyminah1261
    @emmyminah1261 2 роки тому

    Asante 🙏🙏🙏

  • @machemkojohn9611
    @machemkojohn9611 3 роки тому

    It's good

  • @alghamsalim3952
    @alghamsalim3952 3 роки тому +1

    Ameen

  • @christermelaka5689
    @christermelaka5689 4 роки тому +1

    Asante sana dr,nimejifunza mambo mengi sana ambayo nilikuwa siyajui,namba 6 imenigusa,ex-husband alikuwa hapendi mimi nijishughulishe na biashara wakati yeye hakuwa mtunzaji wa familia,ubarikiwe sana dr

  • @mwajumajuma4461
    @mwajumajuma4461 3 роки тому

    Thanks so much brother

  • @aishamaulidi4679
    @aishamaulidi4679 4 роки тому

    Ubarikiwe sana mafundisho ni mazur sana

  • @winfridagama2042
    @winfridagama2042 4 роки тому

    Kwa kweli nitakufuatilia upo vzr baba tena sanasana.

  • @issamuzamilu5222
    @issamuzamilu5222 3 роки тому

    niceness doctor

  • @fatimanoh2575
    @fatimanoh2575 4 роки тому +3

    Haha...wacha nicheke doc,you hav touched my heart,hapo kwenye mafanikio lolz!nilitaka kujenga and he was a weird of every step that i was taking.ilikua issue and it's end up him divorces me.God nipe hitaji la moyo wangu

  • @aminathaabubakarmasoud565
    @aminathaabubakarmasoud565 4 роки тому +2

    Thanks so much Dr. I appreciate you 👊👊👍

  • @anithamsoke2329
    @anithamsoke2329 4 роки тому

    Nakuhelewa sn Mtumishi

  • @idrissaaugustin1604
    @idrissaaugustin1604 Рік тому

    Dah! Bro nafatiliaga sana vipindi vyako lakini mm sijui kwanini sikaaga Na mahusiano ata ni mpende vip lkn yatavunjika tu.

  • @YasintaJames-kz2vj
    @YasintaJames-kz2vj 3 місяці тому

    Hat mm pia lakin mm Niko na mpezi wangu kila nikijaribu kujitahindi kumubandiriaha habadiriki utanisaindiaje kaka mm nampend San na siko tayari kbc kuachana naye

  • @sabylaby
    @sabylaby 4 роки тому

    You are great

  • @norakaaya9166
    @norakaaya9166 4 роки тому

    Nimekuelewa sana dk

  • @mercimerci7334
    @mercimerci7334 4 роки тому

    Kuwa wakwanza nivizu kwamana ukiwa wakanza unaweza kuwakumbusha wengine tusiwe na kinyongo asante Mungu unaniwezesha kushameheya ata kabura Mutu kuniomba musamaha na yesu pia arisema baba wasamehe hawajuwi waritendaho tutie mbere mungu wetu .

  • @anthonymusyoka7930
    @anthonymusyoka7930 3 роки тому

    So interesting,you are really a nice teacher

  • @doricepetro45
    @doricepetro45 3 роки тому

    Niceeee

  • @allyadam7001
    @allyadam7001 4 роки тому

    Nikweli kabisa kaka

  • @annapumba1695
    @annapumba1695 4 роки тому

    Ubarikiwe sana

  • @zahraalbaloochi2841
    @zahraalbaloochi2841 4 роки тому +2

    Bless you..

  • @elizabethleonard470
    @elizabethleonard470 4 роки тому

    Vizuri xana axante kutufundisha

  • @nicintijedenize1095
    @nicintijedenize1095 4 роки тому

    Asante sana

  • @mariamyoyote8172
    @mariamyoyote8172 4 роки тому

    Shukran Mr

  • @evefesto1985
    @evefesto1985 4 роки тому +1

    Be blessed dr

  • @sophiakimena4126
    @sophiakimena4126 4 роки тому

    Thanks Dr

  • @veeJesus
    @veeJesus 4 роки тому

    Very helpful

  • @violetmmbando1510
    @violetmmbando1510 4 роки тому

    Naomba unisaidie Dr kuna kitu natamani sana kuelewa unaposema kuzungumza na mwenzako hasa kuzungumza maana yake nini je ni ku discuss mambo au maana yake hasa nini. MAZUNGUMZO KATI YAKO NA MWENZAKO

    • @hamisa3447
      @hamisa3447 4 роки тому

      Mie ndugu nilivyoelewa yaan kama kuna jambo alijakaa vizuri au ata mazuri kaeni nyie wawili Kwanzaa ili mueleweshani kuliko kukimbilia kwa watu kabla nyie wenyewe amjakaa na kulizungumzia ilo jambo

  • @samirasaid6948
    @samirasaid6948 3 роки тому

    Hamujambo mm naomba nitakupata vpi kwa prvt ninayamuhimu kwa nasaha yetu SS wanawake asante

  • @mariammsiilwa5023
    @mariammsiilwa5023 4 роки тому +2

    Mung akubarik San kwa funzo hil

  • @elphasjastin3594
    @elphasjastin3594 4 роки тому

    Naomba namba zako jaman
    Me namatatizo mengi kwel

  • @emmanuelgidion2653
    @emmanuelgidion2653 4 роки тому

    nimesikia vizur kutembelea Chanel hii nimejifunza mengi sana

  • @happyhaule5865
    @happyhaule5865 2 роки тому

    Mwingine badala ya kutatua tatizo, anakujibu maneno ya kuku umiza

  • @rahmahamisi7604
    @rahmahamisi7604 4 роки тому

    Namba sita hiyo daaaah

  • @amanikavuna4381
    @amanikavuna4381 3 роки тому

    Naitaji musahada na mimi matatizo hayo yanamusibu kipenzichangu ilaningelipata what's App namba basi ingelikuwa vizuri

  • @lucyhenry1062
    @lucyhenry1062 4 роки тому +3

    Kwanye kukana hapo me kwakwel napotezea sna kwasasa mtu unamkuta anakanaaa na ugomv juu.

  • @rehemabakali494
    @rehemabakali494 4 роки тому

    Ila hii namba sita hii mm imenifanya adi sasa atuelewani na mchumba angu natamani adi kuvunja uchumba sasa

  • @lucyhenry1062
    @lucyhenry1062 4 роки тому +1

    Wanaume ndo naonaga mnazo sana hzo

  • @annamarandu9393
    @annamarandu9393 4 роки тому

    Nice

  • @josephinajosephu6859
    @josephinajosephu6859 3 роки тому +1

    🙏🙏❤️

  • @vincentmtana2521
    @vincentmtana2521 4 роки тому

    No.6..anayefanya hvyo km si mchawi tumuite nani.

  • @kerryhoza6173
    @kerryhoza6173 4 роки тому

    Namba 7...!!

  • @dorisjessy5960
    @dorisjessy5960 4 роки тому +1

    Ur so amazing I wish u could talk to my hubby

    • @elibarikikateman5846
      @elibarikikateman5846 4 роки тому

      c ndo umkaribishe asubscribe sasa

    • @dorisjessy5960
      @dorisjessy5960 4 роки тому

      Aah wapi hapendi kusikiliza

    • @elibarikikateman5846
      @elibarikikateman5846 4 роки тому

      yaaan kuna vitu n vizur sana kwa ustaw wa mahusiano mtu anaposikia anajfunza pakubwa sana yaan penz unakuta linastaw tu na kufurahia maisha

    • @elibarikikateman5846
      @elibarikikateman5846 4 роки тому

      na toka nianze kumfuatilia chriss nmejifunza vitu ving sana, kiufup namkubali sana

  • @bandolatztrump2470
    @bandolatztrump2470 4 роки тому +1

    Naaam

  • @lovenessdiva3370
    @lovenessdiva3370 4 роки тому +1

    🧡

  • @rehemabakali494
    @rehemabakali494 4 роки тому

    Hii namba 6 hii kweli huu ni uchawi km kweli kuna mtu apendi

  • @khdijaahmed8458
    @khdijaahmed8458 4 роки тому +2

    Asante san ila bado nipo single

  • @DaveHumphrey2514
    @DaveHumphrey2514 4 роки тому +1

    NARCISSISM NDIO TATIZO PEKEE.... Ni utoto na ujinga uliopitiliza, ila pia ni malezi, peaceful and tender relationship feels boring kwa wale waliozoea au kukuzwa kwenye dramatic na toxix relationship. Kuna ushindani mwingi... Yani hamna amani.... Watu needs to wake up and heal their children trauma!

  • @fatumaititi9700
    @fatumaititi9700 4 роки тому

    U deserve bless from Allah

  • @rebeccamgunga.8147
    @rebeccamgunga.8147 3 роки тому

    kaka umeongea kweli

  • @gilliansimon8517
    @gilliansimon8517 2 роки тому

    My grammar

  • @JumaMatimbwa-s6z
    @JumaMatimbwa-s6z 4 місяці тому

    Akik umeongea vizuli na nimeamini manen yako akika nina jifunza san nakua jasili kwenye mausiano

  • @abubakarihamissi4178
    @abubakarihamissi4178 Рік тому

    ndiyo mwanamke niliyenae kiukweli nimechoka kabisa, bora nimuache

  • @angelshirima3295
    @angelshirima3295 4 роки тому

    Brother napenda mafuzo yako ila ingependa Kama ningepata no zako maana nina tatizo nahitaji unishauri

  • @queenmalikia4172
    @queenmalikia4172 4 роки тому

    Umenikuna ....maana huyu mume wangu anagubu mpaka basi

  • @pendondossy2158
    @pendondossy2158 4 роки тому +1

    Tatz naweza kuongea nae atakasilika alafu yy anakuwa na ahadi za uongo k ukweli sipendagi yan mm nijisahihishe lkn yy nkimwambia aelewi bora niwe alone😣😣😣😣😣

  • @thomaskapande8618
    @thomaskapande8618 10 місяців тому

    Shangwe

  • @madamboss348
    @madamboss348 4 роки тому

    6 ndio yangu😥😥😥😥😥

  • @mwanaishaomary5010
    @mwanaishaomary5010 4 роки тому

    Kutaka kuwa wakwanza kwenye kila kitu! Aisee siipendi hii kitu yani kila kitu mtu anataka awe yeye tu .siwezi kuvumiliaga hii kitu