Dr Chris..nilikua nauliza...ikiwa uko kwa mahusiano na mpenz wako,kisha mpenz wako awe napikiwa na jirani wa kiume ni makosa,(2)je unaweza ukawa na namba za ex wako ikiwa uko na mpenz mwengne.(3) ni haki mpenz wako Kuintertain msg za wanaumme ukimuliza anasema ni rafiki zake?
1.Kutaka kua wa Kwanzaa kwenye kila kitu 2.tabia ya lawama 3.kukana kua tatizo lipo 4.kutafuta majibu kwingine na sio kwako 5.usifocus kuangalia tatizo la mwenzio Bali angalia kwako unamchango gani kwenye Hilo tatizo 6.si vitu vyote utasaidiwa kusolve na watu mzungumze nyie 7.tabia ya kuweka kinyongo utataka kulipiza kisasi 8.mpenzi mmoja kutokupenda maendeleo ya mwenzio 9.maisha yasiyokua na jipya
Asante sana dr,nimejifunza mambo mengi sana ambayo nilikuwa siyajui,namba 6 imenigusa,ex-husband alikuwa hapendi mimi nijishughulishe na biashara wakati yeye hakuwa mtunzaji wa familia,ubarikiwe sana dr
Haha...wacha nicheke doc,you hav touched my heart,hapo kwenye mafanikio lolz!nilitaka kujenga and he was a weird of every step that i was taking.ilikua issue and it's end up him divorces me.God nipe hitaji la moyo wangu
Hat mm pia lakin mm Niko na mpezi wangu kila nikijaribu kujitahindi kumubandiriaha habadiriki utanisaindiaje kaka mm nampend San na siko tayari kbc kuachana naye
Kuwa wakwanza nivizu kwamana ukiwa wakanza unaweza kuwakumbusha wengine tusiwe na kinyongo asante Mungu unaniwezesha kushameheya ata kabura Mutu kuniomba musamaha na yesu pia arisema baba wasamehe hawajuwi waritendaho tutie mbere mungu wetu .
Naomba unisaidie Dr kuna kitu natamani sana kuelewa unaposema kuzungumza na mwenzako hasa kuzungumza maana yake nini je ni ku discuss mambo au maana yake hasa nini. MAZUNGUMZO KATI YAKO NA MWENZAKO
Mie ndugu nilivyoelewa yaan kama kuna jambo alijakaa vizuri au ata mazuri kaeni nyie wawili Kwanzaa ili mueleweshani kuliko kukimbilia kwa watu kabla nyie wenyewe amjakaa na kulizungumzia ilo jambo
NARCISSISM NDIO TATIZO PEKEE.... Ni utoto na ujinga uliopitiliza, ila pia ni malezi, peaceful and tender relationship feels boring kwa wale waliozoea au kukuzwa kwenye dramatic na toxix relationship. Kuna ushindani mwingi... Yani hamna amani.... Watu needs to wake up and heal their children trauma!
Tatz naweza kuongea nae atakasilika alafu yy anakuwa na ahadi za uongo k ukweli sipendagi yan mm nijisahihishe lkn yy nkimwambia aelewi bora niwe alone😣😣😣😣😣
Mungu akubariki sana najifunza mengi sana toka kwako
Nilejifunza mengi sana kupitiya mafunzo yako docta Chris Mauki Mungu akupe umri mrefu
❤ ahsant saaana Dr .kwa mafunzo yako mazur naendelea kujifunza kutoka kwako
Mm naona pia jinsi tunavyoongea na wenzi wetu au lugha ambazo tunatumia inaweza kuwa one of the great source ya kufanya mtu hasibadirike
Dr Chris..nilikua nauliza...ikiwa uko kwa mahusiano na mpenz wako,kisha mpenz wako awe napikiwa na jirani wa kiume ni makosa,(2)je unaweza ukawa na namba za ex wako ikiwa uko na mpenz mwengne.(3) ni haki mpenz wako Kuintertain msg za wanaumme ukimuliza anasema ni rafiki zake?
1.Kutaka kua wa Kwanzaa kwenye kila kitu
2.tabia ya lawama
3.kukana kua tatizo lipo
4.kutafuta majibu kwingine na sio kwako
5.usifocus kuangalia tatizo la mwenzio Bali angalia kwako unamchango gani kwenye Hilo tatizo
6.si vitu vyote utasaidiwa kusolve na watu mzungumze nyie
7.tabia ya kuweka kinyongo utataka kulipiza kisasi
8.mpenzi mmoja kutokupenda maendeleo ya mwenzio
9.maisha yasiyokua na jipya
Nafurahi sana ,maana Mungu amekuinua kwa ajili ya Darasa la Mahusiano kwa ajili yetu
Asante sana Dr. Kwa mafunzo mazur. Mwenyezi Mungu akubaliki 🙏🙏🙏
Barikiwa Sana mwalimu
Dr. Chris mauki anaongea point kwa kweli ubarikiwe
Mwanafunzi wa channel hii.very educative
Sahihi kabisa kaka Chris's,tena hili la kutokufurahia na kukwamishwa ktk mambo ya maendeleo ni kikwazo sana ba inakera sana
Asante kwa kunifungua maana kuna mambo yamenigusa
Asante kwa kuendelea kutufungua. Mungu akubariki
Asante sana dr umeponya maisha yang .nimejifunza mengi sana toka nimekujua.
Nakukubali Sana doctor big up Sana kaka
Daah mapenzi magumu sana kama hampendani ila mapenzi matam na mepesi sana kama mnapendana
Kweli kabisa
@@ChrisMauki1 Daaah Mungu azidi kukulinda uzidi kutupa somo kipo kitu na jifuza sana aseeee 🙏🙏
HILO LA KUPENDANA NDO KILA KITU HAYA MENGINE NI NYONGEZA TU
Asante san kwa mafunzo mazuri
I understand you are concept
Aisee father unatarget mulemule🙏🙏❤❤
I like this charnel
Asante snaaa,unazidi kunibadilisha kila nikiona video zakooo🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Nashkuru sana
SoMo zuri mwalim
Blessed sana
Asante sana hakika tunafaidi madini yako
Asante 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Asant sana Dr kwasomo nitarifanyia Kaz🙏🙏
Kweli kabisa nimeipenda hii charnel
Mungu akubarki
God bless you
Dah! Mengine yananihus mm mung akusaidie uzid ku2fndsha
nimeipenda hii channel
Duuu asante Dr.Mauki
Dokta uko vzur sana
Be blessed Dr. Chris
Dcr asnt nmepona kbsaa yaan unaongea fct....Be blessed u
Asante kaka chris
God be with you
Shukran barikiw dr
Asante Dr.
God bless you.
Asante 🙏🙏🙏
It's good
Ameen
Asante sana dr,nimejifunza mambo mengi sana ambayo nilikuwa siyajui,namba 6 imenigusa,ex-husband alikuwa hapendi mimi nijishughulishe na biashara wakati yeye hakuwa mtunzaji wa familia,ubarikiwe sana dr
Ansante Dr umenitoa mahali ukaniweka mahali
Thanks so much brother
Ubarikiwe sana mafundisho ni mazur sana
Kwa kweli nitakufuatilia upo vzr baba tena sanasana.
niceness doctor
Haha...wacha nicheke doc,you hav touched my heart,hapo kwenye mafanikio lolz!nilitaka kujenga and he was a weird of every step that i was taking.ilikua issue and it's end up him divorces me.God nipe hitaji la moyo wangu
Awared*****
😊
Hongera kwa divorce.
@@DaveHumphrey2514 ok
Mambo
Thanks so much Dr. I appreciate you 👊👊👍
Nakuhelewa sn Mtumishi
Dah! Bro nafatiliaga sana vipindi vyako lakini mm sijui kwanini sikaaga Na mahusiano ata ni mpende vip lkn yatavunjika tu.
Tupo wengii..yani hta nikupende vp lkn ukijaribu kuniunzi kwa makusudi nakuacha uende.
Aaah
Hat mm pia lakin mm Niko na mpezi wangu kila nikijaribu kujitahindi kumubandiriaha habadiriki utanisaindiaje kaka mm nampend San na siko tayari kbc kuachana naye
You are great
Nimekuelewa sana dk
Kuwa wakwanza nivizu kwamana ukiwa wakanza unaweza kuwakumbusha wengine tusiwe na kinyongo asante Mungu unaniwezesha kushameheya ata kabura Mutu kuniomba musamaha na yesu pia arisema baba wasamehe hawajuwi waritendaho tutie mbere mungu wetu .
So interesting,you are really a nice teacher
Niceeee
Nikweli kabisa kaka
Ubarikiwe sana
Bless you..
Vizuri xana axante kutufundisha
Asante sana
Shukran Mr
Karibu sana Mariam
Chris mauki naomba no zako
@@janethkilaza1387 0713407182
Be blessed dr
Thanks Dr
Nakushuku sana dr. Hapo kwenye no1$2
Very helpful
Naomba unisaidie Dr kuna kitu natamani sana kuelewa unaposema kuzungumza na mwenzako hasa kuzungumza maana yake nini je ni ku discuss mambo au maana yake hasa nini. MAZUNGUMZO KATI YAKO NA MWENZAKO
Mie ndugu nilivyoelewa yaan kama kuna jambo alijakaa vizuri au ata mazuri kaeni nyie wawili Kwanzaa ili mueleweshani kuliko kukimbilia kwa watu kabla nyie wenyewe amjakaa na kulizungumzia ilo jambo
Hamujambo mm naomba nitakupata vpi kwa prvt ninayamuhimu kwa nasaha yetu SS wanawake asante
Mung akubarik San kwa funzo hil
Akhsantee nitajirekebisha
Naomba namba zako jaman
Me namatatizo mengi kwel
nimesikia vizur kutembelea Chanel hii nimejifunza mengi sana
Jisikie huru wakati wowote
Mwingine badala ya kutatua tatizo, anakujibu maneno ya kuku umiza
Namba sita hiyo daaaah
Naitaji musahada na mimi matatizo hayo yanamusibu kipenzichangu ilaningelipata what's App namba basi ingelikuwa vizuri
Kwanye kukana hapo me kwakwel napotezea sna kwasasa mtu unamkuta anakanaaa na ugomv juu.
😂😂😂🤩
Ila hii namba sita hii mm imenifanya adi sasa atuelewani na mchumba angu natamani adi kuvunja uchumba sasa
Wanaume ndo naonaga mnazo sana hzo
Nice
Kweli kabisa
🙏🙏❤️
No.6..anayefanya hvyo km si mchawi tumuite nani.
Namba 7...!!
Ur so amazing I wish u could talk to my hubby
c ndo umkaribishe asubscribe sasa
Aah wapi hapendi kusikiliza
yaaan kuna vitu n vizur sana kwa ustaw wa mahusiano mtu anaposikia anajfunza pakubwa sana yaan penz unakuta linastaw tu na kufurahia maisha
na toka nianze kumfuatilia chriss nmejifunza vitu ving sana, kiufup namkubali sana
Naaam
🧡
Hii namba 6 hii kweli huu ni uchawi km kweli kuna mtu apendi
Asante san ila bado nipo single
Khadija Mambo
@@joramnunu1449 powa
@@khdijaahmed8458 nisave e-mail
AU PHONE number
@@joramnunu1449 mmmhh
NARCISSISM NDIO TATIZO PEKEE.... Ni utoto na ujinga uliopitiliza, ila pia ni malezi, peaceful and tender relationship feels boring kwa wale waliozoea au kukuzwa kwenye dramatic na toxix relationship. Kuna ushindani mwingi... Yani hamna amani.... Watu needs to wake up and heal their children trauma!
U deserve bless from Allah
kaka umeongea kweli
My grammar
Akik umeongea vizuli na nimeamini manen yako akika nina jifunza san nakua jasili kwenye mausiano
ndiyo mwanamke niliyenae kiukweli nimechoka kabisa, bora nimuache
😅😅mwache wamuokote wengine😂😂
Brother napenda mafuzo yako ila ingependa Kama ningepata no zako maana nina tatizo nahitaji unishauri
Umenikuna ....maana huyu mume wangu anagubu mpaka basi
Wapo weng mamy unakuta kikosa kdogo atavyolkuza na aliish🤣🤣
Pole mamy
Tatz naweza kuongea nae atakasilika alafu yy anakuwa na ahadi za uongo k ukweli sipendagi yan mm nijisahihishe lkn yy nkimwambia aelewi bora niwe alone😣😣😣😣😣
😂😂😂😂dah 💪💪😘
@@mariamyoyote8172 yan mamy nimegombana nae Jana tu kisa ataki kuambiwa ukweli yann shida
Pole
@@mariamyoyote8172 na huk upo msukum wangu 🥰
Shangwe
6 ndio yangu😥😥😥😥😥
Tun
Pole
Kutaka kuwa wakwanza kwenye kila kitu! Aisee siipendi hii kitu yani kila kitu mtu anataka awe yeye tu .siwezi kuvumiliaga hii kitu