NOW I’M HERE: ANEZYLITTA “Niliacha Shule Nikiwa Form Two”

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 8 лют 2025
  • NOW I’M HERE: ANEZYLITTA “Niliacha Shule Nikiwa Form Two”
    Katika kipindi cha Now I'M HERE wiki hii tumefanya na Mwanadada Mrembo na Mjasiriamali ambaye ni Mmiliki wa kampuni ya Annezylitta designs inayojishughulisha na home interior designs.
    Kupitia Now I'm Here, Annezylita, amesimulia historia yake yote kuhusiana na maisha yako ambapo ameweka wazi kuwa aliacha shule akiwa kidato cha pili na kujikita rasmi kwenye biashara.
    #NOWIAMHERE
    Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz
    FaceBook: globalpublishers Instagram: globalpublishers Twitter:
    GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS
    goo.gl/2jDyho USIKUBALI KUPITWA NA HII,
    BONYEZA LINK www.youtube.co....

КОМЕНТАРІ • 232

  • @patrickkazinja4435
    @patrickkazinja4435 6 років тому +39

    mtoto wa scaba scuba,nyumbani pesa ipo lakini kakomaa kiakili,haya ndio mafanikio maishani ukiweza kuwawekea watoto wako mazingira ya kufight hata kama una pesa nyingi,well done Zena!!

  • @sudyreacts5889
    @sudyreacts5889 6 років тому +41

    Nashangaaa watu wanasema ela za home skia kuna watoto wakishua kibao nawajua na bado wanafanya ufala tuu mtaani at least binti anaakili yakufanya kitu congrats InshaAllah mungu akusimamiee upige zaidi

  • @trippleangel
    @trippleangel 6 років тому +13

    MashAllah habbty
    My ALLAH give you more than what you prayed for...

  • @fatmakombo7584
    @fatmakombo7584 6 років тому +20

    Mashallah ukipata bahati ya wazee wenye pesa au kujielewa lazima uitume hii nafasi hongera my dear

  • @salimharrasy7047
    @salimharrasy7047 6 років тому +2

    Allah akuhifadhi.
    Nasaha:
    Jitahidi usichanganye lugha ili wasoifaham lugha ya kigeni wafaidike.
    Mimi nimekuelewa sana.
    Namshukuru Allah.

  • @raudhaally4659
    @raudhaally4659 6 років тому +3

    I really love entiriour design bt not in term of colors or wall papers bt in term of decorations like flowers. vases. Pillow .mirror frames and alot of thing i am medical student bt i love entiriour design iiiiiii looooooveeee iiiiit 😍 and one day inshallah ntatimiza ndoto zangu allah akipenda

  • @MohammedLy2023
    @MohammedLy2023 6 років тому +21

    Am seeing people slandering her! Like seriously her English ain't bad!, Tanzanians don't seem to be considerate when their own speak in English, so sad.........N by the way speaking English ain't a big deal, times r changing , u have to keep up with the change, n accept it. Have a positive day all

  • @bjzee1981
    @bjzee1981 6 років тому +2

    Ange ongea tu kiswahili. Hizi zezeze zina tusumbua na kipindi ni cha kiswahili. But keep it up girl kuna wengine wana miaka 49 lkn hawajui wafanye kitu gani ktk maisha yao. Hawa oi kwakua bado wana subiri mama awapikie awapakulie

  • @littleafluz200
    @littleafluz200 6 років тому +3

    Congratulations to her!!, I have 15 years and i work at ponally company in Korea.... I'm Tanzanian too 😘😘

  • @beatriceantapa5940
    @beatriceantapa5940 6 років тому +2

    Congratulations lady Zena hujaangalia pesa za wazazi but you struggle very hard never give up keep it up mungu akuongoze

  • @aboujanomarion6121
    @aboujanomarion6121 6 років тому +4

    MashaAllah that is so cute sister if u have talent then u need to use it guys coz sio kilamtu anaeza faulu kupitia shule nimuhimu kutumia ile Mungu kakuzaa nayo kabla hujasoma

  • @fatmaothuman4420
    @fatmaothuman4420 6 років тому +2

    dah MashaAllhu mungu akuzidishie mwenyewe ufanikiwe zaid ya ulipo fanikiwa 😘 nimependa xna ila. natamani nijue njia za kutoka ktk maisha kama ww

  • @fafabrownny6675
    @fafabrownny6675 5 років тому +3

    MashaAllah may Allah grant you whatever yo heart desires for...... keep up the good work

  • @abdulazizsharif2984
    @abdulazizsharif2984 6 років тому +9

    Young Beautiful Girl congratulations for what ur doing and Allah be with u In sha Allah

  • @swalehalhabshy6575
    @swalehalhabshy6575 6 років тому +4

    Congratulations my dear nakufurahia kwa mwenendo wako wa kazi mashallah ,mungu akubariki na awabariki wazazi wako ❤

  • @arifshatry7478
    @arifshatry7478 5 років тому

    Nicely presented.... What an in spiry interview....little invincible Xena Shareef Scaba Scuba.

  • @muniraally3580
    @muniraally3580 6 років тому +1

    Mamy unafanya vzr hongera...achana na watu wasiopenda maendeleo ya watu hasa hao wanaocomment vibaya waweza pewa mtaji lkn usiwe na akili na marifa ya kuutumia ww una akil na maarifa ndo mana ukafika hapo..nimejaribu kusoma comment za watu weng wanaocoment vby weng ni wakristo, mnaweza pewa mtaji lkn mkaumalizia kweny pombe 🙄.big up mamy 😗

  • @intisafysaid7522
    @intisafysaid7522 4 роки тому

    MaashaAllah bint Allah akuzdizshie ujuz amin

  • @maryayanuzaj3867
    @maryayanuzaj3867 6 років тому +1

    Wow. She's so beautiful and her English is perfect

  • @faudhiatmasoud4025
    @faudhiatmasoud4025 5 років тому

    Nmekupendaaaa Anezylitta..

  • @thabitmpauka5118
    @thabitmpauka5118 6 років тому +3

    Nimependa unavyopigana na maisha well done!!

  • @saadawassy9749
    @saadawassy9749 6 років тому +1

    Beauty with brains, MashaAllah be blessed ukhty, put God first may he lead you to the right path.

  • @dianaanyova4026
    @dianaanyova4026 4 роки тому

    A strong lady,blessings

  • @wearetogether8497
    @wearetogether8497 6 років тому +4

    Yupo makini ila kiingereza anachokinguzumza ni kibaya kabisa ni bora angezungumza lugha yetu murua na tamu kiswahili. Watanzania tuipende na kuithamini lugha yetu hasa pale inapokuwa inatakiwa.

  • @zainayusufu2075
    @zainayusufu2075 6 років тому +10

    Nan kasikia “you can learn small small”😂🤣🤣🤣🤣🤣

  • @bjzee1981
    @bjzee1981 6 років тому +2

    Ya onekana anapenda kinge sana. Rudi basi kasome bcz as a business lady it will help you to reach your business in international markets

  • @salmahassan617
    @salmahassan617 6 років тому +6

    Waoow mashallah ninge pata shoga kama weww mamy ninge frai sanaa maana ningekuwa mbali kimaendeleo.

  • @munirauweso2428
    @munirauweso2428 5 років тому

    Mashaallah you so Elegant

  • @tumerbakhressa8598
    @tumerbakhressa8598 5 років тому

    MashaAllah go girl and welldone!! Proud of u

  • @salumally297
    @salumally297 6 років тому +1

    Masha Allah .uko vizuri my dear

  • @maqboulal-barwani2506
    @maqboulal-barwani2506 5 років тому

    MaashaaAllah baraka llahu fiyk my little sister

  • @rehammohamed8425
    @rehammohamed8425 5 років тому +1

    Firstly lots of love from Kenya
    You motivated me a lot. thank you Zena

  • @issakabwende5083
    @issakabwende5083 6 років тому +1

    Inspirational

  • @latiphahkassim9881
    @latiphahkassim9881 6 років тому +7

    Mashallah❤️

  • @maqboulal-barwani2506
    @maqboulal-barwani2506 5 років тому

    Make sure you find a right person to marry you Allah swt will help you. But don't rush into marriage and always do istikhara you will get perfect decisions.

  • @azizacleny8677
    @azizacleny8677 6 років тому +1

    daaah nimepata somo hapo thanks zenah

  • @salmaaengo2680
    @salmaaengo2680 6 років тому +1

    Anajitahidi, lkn sidhani kama amepitia maisha magumu ktk ukuajiwake na nikawaida kwa watt wakiarabu mm haijanishangaza hata Kidogo,I mean ni yakawaida sana kwasababu ni mtt wa kifahali

  • @husseinmohamed6298
    @husseinmohamed6298 6 років тому +1

    Hongera sana

  • @alibinali_
    @alibinali_ 6 років тому +4

    Masha'Allah

  • @issaseleman7892
    @issaseleman7892 6 років тому +1

    mashallah

  • @naylahemedbuhriy3553
    @naylahemedbuhriy3553 6 років тому +11

    Watoto wengi wanaosoma international schools ndivyo wanavyoongea. Masaa mengi wapo shule kuliko nyumbani kwa hiyo haiwezi kuepukika

    • @utaani1
      @utaani1 5 років тому +1

      Limbukeni tu. Mimi nimeishi ugenini miaka 20 na watu wote hamna alokuwa akijua kiswahili ila nikiongea na watu wa nyumbani nakuwa natumia kiswahili na naona raha huwa nikikutana na waswahili tukawa tunaongea kiswahili. Hasa nikienda nyumbani nakuwa naona raha watu wakiongea kiswahili

  • @nasramsami3410
    @nasramsami3410 6 років тому +4

    Well done

  • @yassirrashid7802
    @yassirrashid7802 6 років тому +4

    Nimependa sana

  • @queenlubna2435
    @queenlubna2435 6 років тому

    Mashallah Congratulations little girl keep going👏👏

  • @hamastien5439
    @hamastien5439 5 років тому +1

    Mashaallah kwakujistir lkn watanzania mbon muuu muuu aaaaa aaaaa nying san tumajifany wazung san vepe akaaa akiongea mzung kiswahil anaongea vzr kulik ss watanzania embu tuamken kiakil tundumishe lugha tuongeen kiswahil ban akaaa hii ss hatar

  • @jessydaktari5209
    @jessydaktari5209 6 років тому +4

    Very focused😘😘😘😘😘😘

  • @mamazanira5833
    @mamazanira5833 4 роки тому

    Asalaam alaikum a from Uganda a like u so mush but a hope u cuva u head every day

  • @Mariam.kassiva
    @Mariam.kassiva 6 років тому +2

    MashaAllah

  • @mariamangel1264
    @mariamangel1264 6 років тому +1

    umependeza kbsa umejiifadh adi raha

  • @devothamalugumalugu7593
    @devothamalugumalugu7593 6 років тому +16

    Punguzeni kingereza chenu wengine hatujasoma

    • @daprince7545
      @daprince7545 6 років тому

      🤣🤣🤣🤣🤣 Devotha malugu malugu kingereza chapita na juu pole sana .🤣🤣🤣🤣

    • @zuuothman9170
      @zuuothman9170 5 років тому

      😃😃😃😃

  • @khamisshee4706
    @khamisshee4706 6 років тому +1

    Mashaallah Mashaallah Mashaallah

  • @حكايةغد
    @حكايةغد 6 років тому +10

    Muulizaji na muulizwaji wote waswahili lakini camera na mike katengeza mzungu

  • @binfarouq733
    @binfarouq733 6 років тому +6

    Na Pemba ndio Asili usitutupee yakhee! Babayo ajua huyo

  • @namsamson3443
    @namsamson3443 6 років тому +3

    Young but very smart

  • @mahamudteo8693
    @mahamudteo8693 4 роки тому

    mashallah my sweet hart

  • @hadiaaisha8297
    @hadiaaisha8297 6 років тому +1

    Masha Allah binti mdogo Lkn ana akili Mungu akuzidishe

  • @butheynaathman9970
    @butheynaathman9970 6 років тому +2

    Masha Allah. Always an inspiration to me and many others. All the best insha Allah. ❤

  • @belamicheal3353
    @belamicheal3353 6 років тому +3

    Me naona ungechagua lugha moja tu ingependeza zaidi sio kiswanglish hicho hatukuelew ...yaan interview ni mbaya

  • @merryn4891
    @merryn4891 6 років тому +1

    Masha allah zena

  • @daprince7545
    @daprince7545 6 років тому +5

    Mimi niko kenya Mombasa 001natafuta mtanzania tufanye biashara ya vyakula nguo na kadhalka kama uko tayari weka namba yako

  • @naraynahqarshy3608
    @naraynahqarshy3608 6 років тому +5

    NI jambo zuri, amejitahidi sana, lakini hii title kama vile inapumbaza vijana, msiache shule. Kwao wana uwezo, huenda yeye hakupenda kusoma, lakini kuna kipindi atakaa katika meza moja na wasomi, akashindwa kujitetea au kujiendesha kisomi. na sio wote kwetu tuna uwezo wa kupewa mtaji kutoka nyumbani. so ni vema sana tukashawishi watoto kujifunza pia shuleni.

  • @happybrayan5793
    @happybrayan5793 4 роки тому

    masela achen kusapoti ujinga nakujipendekeza kwan huyodada hanautofauti wowote nawafuaji wanguo, yani wabaguzi warangi asanaww muha mwenzangu achashule ukione chamoto pumbavu, ,

  • @jabaktv8423
    @jabaktv8423 6 років тому +7

    Nice but evaluation for education is required

  • @ibnbilali7258
    @ibnbilali7258 6 років тому +1

    Bigup good grl

  • @halimatajiri2993
    @halimatajiri2993 6 років тому +2

    Mashallah go girl....Mm nataka hiyo beautiful dress you wear it's so amazing

    • @utaani1
      @utaani1 6 років тому

      Naweza kukununulia?

  • @biramsakh9212
    @biramsakh9212 6 років тому +1

    Izo lugha kama wageeeeeeeni toka ulaya😁

  • @mashedmussamakame4468
    @mashedmussamakame4468 6 років тому +1

    Oya kizungu ULAYA ZANZIBAR kiswahili tuu mnabowa .

  • @claudialinda4328
    @claudialinda4328 6 років тому +1

    Tracy Brian once said Money follows money

  • @fatumaabdallah566
    @fatumaabdallah566 6 років тому +3

    Mashallah

  • @sirlimomari2633
    @sirlimomari2633 6 років тому +4

    Jamani eeee punguzen uzungu mana c kile atumiae smartphone anajua kingereza

  • @ashuramamaashuraaachekuvaa7798
    @ashuramamaashuraaachekuvaa7798 6 років тому +3

    Watoto wa kitajili bwana hawo wasituchanganye akili apa 😎😎😎

  • @yusrabebito7686
    @yusrabebito7686 5 років тому

    Tatizo neema alizotujalia Allah munazitangaza halafu husda isitokee kitu si kitu mtandaoni

  • @rahmahussein4019
    @rahmahussein4019 6 років тому +4

    Anaongea swa english ...lakini ana
    akili sana mashallah .

  • @mamarijalkitchens7619
    @mamarijalkitchens7619 5 років тому

    Wewe 💖💖🌷😍😍💞

  • @fatmakhanii1676
    @fatmakhanii1676 5 років тому

    Kwani kiswahili hamjui mbona mnachanganya madawa kiswahili chetu kizuri jamani

  • @mariamkassim9799
    @mariamkassim9799 4 роки тому

    Vipi tutakupata kupitia online

  • @bintyemeniya4731
    @bintyemeniya4731 5 років тому

    Umejitahidi lkn bila ya msukumo wa baba usingefikia hapo. Tusiige tusome ili tuweze kufanya hayo mambo kiutaalm

  • @sikandarsuleiman3345
    @sikandarsuleiman3345 6 років тому +1

    Only 19

  • @zulekhazulekha8075
    @zulekhazulekha8075 6 років тому +6

    Well done diaa

  • @shamimasalim6912
    @shamimasalim6912 6 років тому +3

    Sasa huyu mtoto wa kishua kakulia pesa 🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶 anahaki

  • @husnaaabubakaru3671
    @husnaaabubakaru3671 5 років тому

    Nimenda story ya huyu dada

  • @janesuma2193
    @janesuma2193 6 років тому +12

    kumbe ulipewa mtaji wengine wakutupa mtaji hatuna

    • @hbgwaay
      @hbgwaay 6 років тому +1

      You got a plan?

    • @lujeinsalim4338
      @lujeinsalim4338 6 років тому +2

      Yaani tuko tu rabi rabi nafsi

    • @sintasmarty4974
      @sintasmarty4974 6 років тому +1

      @@hbgwaay naomba mtaji pls

    • @sintasmarty4974
      @sintasmarty4974 6 років тому +1

      @Jazzy Boss unakosea jazzy boss wengine hatuna hata wakutuambia laki mbili kaanze biashara maarifa yapo sana ila hakuna wakunishika mkono na kuniambia haya njia hiy nenda

  • @leylahussein9107
    @leylahussein9107 6 років тому +2

    I like the video

  • @xidepeace2442
    @xidepeace2442 6 років тому +1

    👌👌👌😘😘

  • @JBWETEJBWETE
    @JBWETEJBWETE 6 років тому +6

    kiswahili kina tatizogani au unampezi dubai hajui kiswahili ndio mana

    • @marypaul2178
      @marypaul2178 6 років тому

      J.B WETE J.B WETE watu kama nyie mnatia aibu

  • @sakinaomar301
    @sakinaomar301 6 років тому +1

    Nice mamy

  • @fatmakhalid4784
    @fatmakhalid4784 6 років тому +1

    Mtangazaji ongea lugha moja una haribu interview

  • @nanaleetz
    @nanaleetz 6 років тому +4

    Mnayumba na hii caption yenu...Kwhy na sisi tuache chuo kisa zena kaacha mbwa nyie amjui kuandik maneno yakumfany mtu aanggalie video

  • @MOJAZAIDI.
    @MOJAZAIDI. 6 років тому +1

    "FAMILY MATTERS"

  • @shiffahmahmoud8567
    @shiffahmahmoud8567 6 років тому +3

    😂😂😂😂unlike our family in my father's house you have to study come rain come sunshine😂😂😂uwe danda uwe mwerevu utasoma utake usitake

  • @raudha5978
    @raudha5978 6 років тому +1

    Damn daah

  • @ummiathman598
    @ummiathman598 6 років тому +1

    Naomba number ya Zena plse

  • @babejojodalove8562
    @babejojodalove8562 6 років тому +1

    jomon naomben namba zake anipe na Mimi Kazi maana daaaah c o p

  • @pigapesa1013
    @pigapesa1013 6 років тому +13

    Huyo kazaliwa pesa kazikuta kwao sio MTU wa mfano kwenye jamii

  • @oleiei434
    @oleiei434 6 років тому

    Why was this suggested to me? Too yellow for me.

  • @celebratingunited4064
    @celebratingunited4064 6 років тому +1

    ukiongea kiswahili je inakuaje

  • @neemaangelo1991
    @neemaangelo1991 6 років тому +3

    Chagueni lugha moja tu either English ar kiswahili mnaboa.

  • @veronicadaniel1122
    @veronicadaniel1122 5 років тому

    Ww pesa imetoka kwenu hvo cna chakujifuza zaidi maan hujahaso ww ila hongera kwa kuendeleza mali

  • @dannydanny5919
    @dannydanny5919 6 років тому +4

    Pumbavu kiswahil kigereza viji schan yam am am nying shule fo two pumbavu wew kwanin mna penda ku fek mbuz nyinyi stpd

    • @aishaomar4318
      @aishaomar4318 6 років тому

      Lkn anaongea sawa .na angehojiwa kwa kizungu yy anhejibu kwa kiswahili mngesema kafika fom2 hawezi english lkn .Mashallah .nazani sio fom2 ya serekali

    • @tatut3889
      @tatut3889 6 років тому

      😀😀😀😀😀😀😀

    • @kisalaTV
      @kisalaTV 6 років тому

      Asante

    • @thamranassor2862
      @thamranassor2862 6 років тому

      Kaka umepanik

    • @maidahassani1377
      @maidahassani1377 6 років тому

      😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @kisalaTV
    @kisalaTV 6 років тому +3

    Sasa kuongea kiswahili tukakuerewa vizuri nishida tabu kweli kweli. hv kwa nn hamuonagi wazungu awanaga mda wakumix rugha ovyo ovyo badirikeni. mara the mara with nn sasa hiki