TAJIRI ARUSHA AMSHANGAA MAKONDA - BILA WOGA AMUONESHA MADUDU ya KODI SERIKALINI - "MIMI ni BINADAMU"

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 28 сер 2024
  • TAJIRI ARUSHA AMSHANGAA MAKONDA - BILA WOGA AMUONESHA MADUDU ya KODI SERIKALINI - "MIMI ni BINADAMU"
    Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Paul Makonda amekutana na wadau wa utalii na watendaji Wakuu wa Sekta hiyo Mkoa wa Arusha na kufanya nao kikao chenye lengo la kusikiliza kero na changamoto zinazoikabili sekta hiyo. Kikao hicho kimefanyika kwenye ukumbi wa Mkuu wa Mkoa wa Arusha Aprili 13, 2014.
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9z...
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

КОМЕНТАРІ • 258

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  4 місяці тому +13

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @AlhajiIssa-jb9hr
    @AlhajiIssa-jb9hr 4 місяці тому +30

    This business man is very bright person.

  • @itanzaniaAS
    @itanzaniaAS 4 місяці тому +15

    We baba SIKUJUI ILA UMETUHESHIMISHA WAFANYA BIASHARA WOTEEEEE NCHI NZIMAAAA🎉

  • @user-pm7pj6zi6q
    @user-pm7pj6zi6q 4 місяці тому +18

    Safi sana Mweshimiwa Paul makonda piga kazi Baba Mungu yupo na wewe

  • @Mpakele
    @Mpakele 4 місяці тому +7

    MAKONDA you will ALWAYS be higher. Mungu amekupa. Hakuna atakaenyang'anya.

  • @mwljosephmlitas
    @mwljosephmlitas 2 місяці тому +1

    Makonda uko kiwango Sana,unarejesha matumaini yaliyokuwa yamepotea,big up.

  • @StephenMaduhu-sn2dl
    @StephenMaduhu-sn2dl 4 місяці тому +16

    Broo makonda unaongoza vizuri sana one day iwishi uwe raisi wajamhuri , sipendi siasa lakini wanifanya nichome bando juu Yako, mungu akulinde.

  • @mconedimple5364
    @mconedimple5364 3 місяці тому +1

    Namkubali sana makonda ni mchapa kazi kwa vitendo sio maneno manenoo,Mungu atulibdie makonda wetu

  • @amanikafonogo9695
    @amanikafonogo9695 4 місяці тому +5

    ukipata mentor km uyu mbaba aise future yako n guarantee hongera mzee so smart

    • @peterkolam8193
      @peterkolam8193 4 місяці тому

      its process, kafika hapo katengenezwa ila viajana kwa sasa ujuaji mwingi sana. yuko smart sana nakubaliana na wewe.

  • @nikodemmwahangila3334
    @nikodemmwahangila3334 4 місяці тому +5

    Mungu akuinue akulinde makonda

  • @user-kl5yn6tq1u
    @user-kl5yn6tq1u 4 місяці тому +2

    dah hapo makonda umeongea nakubali kazi hii serikali inafukuza wawekezaji sanaa kwa njaa za wafanyakazi wa serikali

  • @user-zd9dh6ml4l
    @user-zd9dh6ml4l 4 місяці тому +14

    Yupo sawa makonda simamiya hao watu wanajitambuwa

  • @shemelaruhinda6113
    @shemelaruhinda6113 4 місяці тому +1

    Makonda mungu akuzidishie umri mlefu, nakupenda sana🌹

  • @neemacocorico2022
    @neemacocorico2022 4 місяці тому +3

    Huyu Business man tuko vizuri Sana.Bravo makonda

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx 4 місяці тому +18

    Makonda amefanya watu huru,wanatiririka bila woga.big up makonda.ndio maana Rais kukupeleka arusha

  • @noelahmartine6625
    @noelahmartine6625 4 місяці тому +2

    Arusha Kuna watu wanafaa kua Raisi km huyu mzee❤❤❤

  • @Vuvuzelaz1
    @Vuvuzelaz1 4 місяці тому +3

    Safiii sana sema kaka usiogope majizi ni mengi sana huko serikalini

  • @jei_maimu6957
    @jei_maimu6957 4 місяці тому +21

    😂😂😂Faza kiboko..yan anavielelezo vyote🔥🔥

  • @lucasmwiga2656
    @lucasmwiga2656 4 місяці тому +3

    Tatizo kila sector n ccm hamuwez kutoboaa maana hamuwez kuchukuliana hatua , at de end of Time mtakufa vibaya sana kwa laana

  • @user-yr8er5fv6g
    @user-yr8er5fv6g 4 місяці тому +2

    Asante sana mama kizi mkazi watu wanafaidika sana kwenye uongozi huu😢😢😢

  • @liverpoolfootballclub9985
    @liverpoolfootballclub9985 2 місяці тому

    The guy can be termed as brilliance of the highest order🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @PETERSONMTEMBEI-wt6vx
    @PETERSONMTEMBEI-wt6vx 2 місяці тому

    Nakuombea mhe, Mungu akupe Urais wa Tanzania

  • @leonardjohnson2058
    @leonardjohnson2058 4 місяці тому +8

    Hii hati safi Arusha walipataje

  • @user-bs6os3yu4b
    @user-bs6os3yu4b 2 місяці тому

    Mungu ututunzie huyu mtu kiongoz anayetetea haki za wananchi ndie kiongozi tunayemtaka.Mungu akutunze babaaa.

  • @johnjohansen3073
    @johnjohansen3073 3 місяці тому

    Big up kaka chapa kaziiii.
    Uzidi kuwa juuuu kila siku

  • @Cristiano1-3
    @Cristiano1-3 4 місяці тому +20

    Kile kihoteli kidogo Kile 😂 Kweli Maisha hayana usawa

    • @njaujustin56
      @njaujustin56 4 місяці тому +1

      Ahahaa Kibo et kihotel kidogo😂

    • @jeremiapeter683
      @jeremiapeter683 4 місяці тому +6

      Hawezi kuji sifia nayo ni njia ya kuto pigwa kodi kubwa kubwa harafu pia wachaga huwa wasiri sana ila pesa huwa wanazo..kimya kimyaaa.😂😂

    • @abdihassan562
      @abdihassan562 4 місяці тому

      Hehehehehe

    • @HassanHamza-qx9cm
      @HassanHamza-qx9cm 4 місяці тому

      ​Huyo Mzee mbona kama mzungu​@@jeremiapeter683

  • @kabletv
    @kabletv 4 місяці тому +3

    Makonda ni future Vice PM halafu baaaaaaaaaaaaade huko Mr. Pres

  • @user-lt7yx2ms7h
    @user-lt7yx2ms7h 4 місяці тому +13

    Mwanaume yupo kazini 🙏🙏🙏

  • @shijandobehe4953
    @shijandobehe4953 4 місяці тому +1

    Duuuuh kazi ipo wapigaji wapo kila mahala bila juhudi binafsi Kwa uongozi wa namna hii kodi hazikusanywi Kwa uaminifu tutakaoumia ni wananchi Kwa TOZO na laini za simu ooooh nchi yangu Tanzania makonda pekeako utaweza? Hiyo ni arusha tu na mikoa mingine vipi?😢😢😢

  • @NR-ll4sr
    @NR-ll4sr 3 місяці тому

    Huyu Baba safiii🤝

  • @user-px7ef5oc2x
    @user-px7ef5oc2x 4 місяці тому

    Mwenyezi MUNGU yu pamoja nawe namuona raisi wangu wa future una MUNGU hakika

  • @menelus911mene5
    @menelus911mene5 4 місяці тому +3

    Lifanyie kazi hilo mheshimiwa Makonda

  • @denisjoel1592
    @denisjoel1592 4 місяці тому +10

    Nataman uwe rais wa hii nch kaka

  • @erefeconc
    @erefeconc 4 місяці тому

    Nakubali baba makondaaa piga kaziiii🎉

  • @fhugghi4109
    @fhugghi4109 4 місяці тому +8

    Ila serikali yetu jaman

  • @PastormwangazaKelvinlaurian
    @PastormwangazaKelvinlaurian 3 місяці тому

    Vizuri kabisa

  • @NeemaGirbert
    @NeemaGirbert 3 місяці тому

    mungu akulinde makonda uonemwenyewe majizi

  • @richardhosea8827
    @richardhosea8827 4 місяці тому +14

    Huyu nduguye tu safi kbsa alimshangaza hata Gavana

  • @user_asak2023
    @user_asak2023 4 місяці тому

    4ever grateful to u makonda🎉

  • @paschalsanya8339
    @paschalsanya8339 4 місяці тому

    Mshua yuko very smart 🙏

  • @MohamedSalumMtumwene
    @MohamedSalumMtumwene 4 місяці тому

    Great

  • @frankahhm
    @frankahhm 4 місяці тому +2

    Mkaburu mtu smart sana na haogopi 🙌🏽

    • @LugyPlan
      @LugyPlan 4 місяці тому

      Et mkaburu🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @upendotarimo2965
      @upendotarimo2965 3 місяці тому

      ​@@LugyPlanNdo jina lake uku chuga wanamwita kabiru😅😅

  • @yusufuheri6524
    @yusufuheri6524 4 місяці тому +5

    Ila hii nchi yetu ina mifumo ya ulipaji kodi wenye masharti ya ajabu ni ya kichaa tu ndo anaweza kuyakubali

  • @user-ex8jm1wg6q
    @user-ex8jm1wg6q 4 місяці тому +1

    Hofu ya mungu itawale ndani ya mioyo yenu

  • @officialshelomwangole256
    @officialshelomwangole256 4 місяці тому

    Very friendly 🤗🤗

  • @user-xh3es4ws9w
    @user-xh3es4ws9w 4 місяці тому

    Chambulo yuko vizuri anaga kona kona bos safi sana

  • @mbiu023
    @mbiu023 4 місяці тому

    Hatari sana

  • @user-se9no4rg3k
    @user-se9no4rg3k 3 місяці тому

    Atari sana mama

  • @cosmasduxo7809
    @cosmasduxo7809 4 місяці тому +2

    Ana uelewa mkubwa sana!!

  • @ayubzaka1598
    @ayubzaka1598 4 місяці тому

    Hotel of owner is very bright person there very smart

  • @charzlyimo381
    @charzlyimo381 4 місяці тому

    Safi sana tajiri

  • @mnolamanyendi4956
    @mnolamanyendi4956 4 місяці тому +6

    Nchi yetu nawatu wanaimba Sana

  • @mangimosha95
    @mangimosha95 4 місяці тому

    Umepigwa men

  • @ConsolataBageni-ir6mb
    @ConsolataBageni-ir6mb 4 місяці тому +1

    Anaefanya kazi kwa haki hazibiwi,maana kazi zake zinaonekana na watu wanazifurahia,SI muda mrefu wasiotupenda walakahoi sisi, wataibua Mambo juu ya Makonda.
    Tunawaomba mpeni Makonda nafasi atuhudumie sisi wanyonge.

  • @yasinimalya4001
    @yasinimalya4001 4 місяці тому

    Aisee mkuu pambania wananchi na mungu akusimamie

  • @user-lc2em8uz6z
    @user-lc2em8uz6z 4 місяці тому +10

    Mchaga hadhulumiwi kabisa.

  • @BeniJohn-xd3cn
    @BeniJohn-xd3cn 4 місяці тому +1

    Kazi mnayo

  • @stevekayala6569
    @stevekayala6569 4 місяці тому

    Hongera makonda

  • @judithkirenga9977
    @judithkirenga9977 4 місяці тому

    Mkuu wa mkoa wangu huyu jamani❤❤

  • @Optionxll_Playz1
    @Optionxll_Playz1 4 місяці тому +1

    Wezi sana

  • @yusuphbendera7544
    @yusuphbendera7544 4 місяці тому

    Big up makonda

  • @RamadhaniMgeta
    @RamadhaniMgeta 4 місяці тому

    Nimefurahi kazinzito makonda piya ikumbushe serikari wilaya ya ukerewe mkowani mwanza wasanii tunateswa tunashindwa kuitangaza tz kupitia sanaa zetu

  • @saididodi3988
    @saididodi3988 4 місяці тому +4

    Huyu brother yupo vizur sana

  • @RamadhaniMgeta
    @RamadhaniMgeta 4 місяці тому

    Mm napenda uigizaji kuimba naweza na ninazo singo 15 naitaji sapota

  • @user-lr7em1ch8g
    @user-lr7em1ch8g 4 місяці тому

    Angalia 😢na njia ni mbovu na hospital zimejengwa na akuna huduma njoo kwaugoro mtoto anataka chanjo ya miezi mitatu mpaka anatembea nauli ya pkpk mpaka USA ni elfu kumi ana ata nauli akuna usafi wakufika

  • @BienvenueBisimwa-rn9rn
    @BienvenueBisimwa-rn9rn 4 місяці тому +1

    Makonda Mungu akulinde,mimi mu kongomani,lakini napenda kazi ukonafanya wewe JPM🇨🇩🇨🇩

  • @ivankadaudi8161
    @ivankadaudi8161 4 місяці тому +3

    Wazirudishe pesa zako

  • @TengejaJames
    @TengejaJames 3 місяці тому

    Shughulika mzee tumbua Kuna jipu hapo litafutie majani ya mnavu litumbuke haraka😮😮

  • @abdallahmsham-eb7jz
    @abdallahmsham-eb7jz 4 місяці тому

    hahahaha kigugumizi chamoto ndiyo izoo unaletewa uzitatuwe

  • @user-ex8jm1wg6q
    @user-ex8jm1wg6q 4 місяці тому

    Muogopeni mungu muwe na hofu yangu

  • @eddechriss2664
    @eddechriss2664 4 місяці тому

    Huyu ni mtu mzuri sana, pole kwa changamoto zote

  • @rashdiyange7758
    @rashdiyange7758 4 місяці тому +3

    Duuuu seeeee ih noma mpka cotrooo heeeee

  • @geofkabo7843
    @geofkabo7843 4 місяці тому

    Tuwaombee viongozi woootee waadilifu mungu awalinde ila hawa wezi mungu atashughulika nao pia

  • @Qtep-eb3og
    @Qtep-eb3og 4 місяці тому

    Is not a problem makonda aah boss😂😂😂😂😂😂

  • @sirongamollel7032
    @sirongamollel7032 4 місяці тому

    Kibooo

  • @user-hz7wp4kk7e
    @user-hz7wp4kk7e 4 місяці тому

    Jamani! “We need more operator. We need more hotel….” Kiingereza kigumu sana.

  • @JaneJennifer-zk7bk
    @JaneJennifer-zk7bk 3 місяці тому

    Wakiona unawaumbua sana watakuhamisha, lakini usipunguze speed, waumbue tu bila kujali vyeo vyao mh

  • @mc.dr.nnyaka
    @mc.dr.nnyaka 4 місяці тому

    Piga kazi kaka songa mbele Mungu anakusudi na wewe

  • @hamisimtaki5680
    @hamisimtaki5680 4 місяці тому

    Makonda 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @LucasMasalu-pn3ls
    @LucasMasalu-pn3ls 4 місяці тому

    Opera Sana mkuu

  • @timothkatwela
    @timothkatwela 4 місяці тому +1

    Machawa kwenye ubora😢😢

  • @StanleyMwaipopo
    @StanleyMwaipopo 3 місяці тому

    Ubunge unakufaa mheshimiwa

  • @gloryedson9311
    @gloryedson9311 4 місяці тому

    ❤❤

  • @charlesmoshi1983
    @charlesmoshi1983 4 місяці тому +8

    Inamaana mzigo unalipia kwa Control no na unachengeshwa vile vile ..jamaa kaona isiwe tabu au niwadai

  • @simiyujustuswafula337
    @simiyujustuswafula337 4 місяці тому

    Online

  • @ChiristinaKapinga
    @ChiristinaKapinga 4 місяці тому

    Mpaka hapo makonda nakupa bigap nyingi sana

  • @MbozyoEntertainment
    @MbozyoEntertainment 4 місяці тому

    Wajipange vizuri😅

  • @RehemaMrope-fw1zy
    @RehemaMrope-fw1zy 3 місяці тому

    😢😮

  • @user-er4vg2tv3x
    @user-er4vg2tv3x 4 місяці тому

    Mwamba unaweza sana makonda pambana kaka unajua kufanya kazi kwa kujitolea na ubunifu.

    • @universitylink
      @universitylink 4 місяці тому

      Mwehishimuwa rahisi hajakosea kukutuma Arusha pambana mweshimiwa

  • @msuyagasper4899
    @msuyagasper4899 2 місяці тому

    Malinda gingers sana ukweli huwa unawauma lakini usirudi nyuma Congratulation

  • @salummhina4857
    @salummhina4857 4 місяці тому +1

    Huyu jamaaa anawasomesha sana serikali lakini hawamuelewi sababu walio wengi vilaza.Sorry to say that.Don’t mind my language!! Alimpitisha gavana wa benki Kuu njia hizo hizo!!! Babu yupo smart msikilizeni

    • @husseinbongo7447
      @husseinbongo7447 4 місяці тому

      Wala sio vilaza ndugu. Wanajua Sana wanachokifanya

  • @BarakaBaraka-wm9ok
    @BarakaBaraka-wm9ok 4 місяці тому

  • @husseinbongo7447
    @husseinbongo7447 4 місяці тому +1

    Hiii nchi ngumu sana, kutoka kwenye umasikini labda miaka 500 ijayo ndo

  • @grecemichael7567
    @grecemichael7567 3 місяці тому

    Mh Makonda nakutalia jumapili njema

  • @DavidEmilian-r6g
    @DavidEmilian-r6g Місяць тому

    Yaani hayo mambo ndogo wanayo tuumiza raia wapo wengi Sana wanakula pesa za serikali hawafanyiwi kazi mwisho serikali inazidi kukopa tuuu hii inauma Sana jamani

  • @kabwela2859
    @kabwela2859 4 місяці тому

    Neno unalolitafuta Bwana Makonda linaitwa "TRANPARENCY". Uwazi wa bei elekezi na gharama za kodi kwa kila mfanyabiashara. Mzee analalamika gharama za kodi ni tofauti kwa wafanyabiashara tofauti ambao wanafanya biashara ya aina moja. Possibility ya favourism kwenye kitengo. Haiwezekani kumkata mmoja kodi kwenye GROSS wakati mwingine anakatwa kwenye NET, hiyo lazima itamnyonya mmoja.

  • @emmanuelzao
    @emmanuelzao 4 місяці тому

    😎

  • @denismakweba3870
    @denismakweba3870 4 місяці тому

    Wapigaji watampinga anachofanya 😢

  • @donatusngowi2267
    @donatusngowi2267 4 місяці тому

    Mazingira ya rushwa

  • @user-yt5ue4vj5b
    @user-yt5ue4vj5b 2 місяці тому

    Arusha shikamoo