Kamishna Mpya naye kamezwa na mfumo tuongeze kui-share hii video mpaka Mhe. Rais na Mhe. W/Mkuu iwafikie kwa mara nyingine ikiwezekana kamishna mpya naye awe sacked keshasahau wajibu wake na kiapo chake! My motherland watu wanasota kiasi hiki kupata haki zao japo wakiwa na maelekezo ya Rais vipi wale ambao hawana na masuala yao hayajafikia kule ambako swala la Ramadhan lilifikia!!! Mungu endelea kumsaidia Ramadhan mpaka siku moja apate haki yake na wadharimu wote wawajibishwe🙏🏻
Mungu akubariki sana Baba Magufuli tunakupenda watanzania Ongoza nchi mpk utakapo amua ww kuachia kiti we love you much much much much Dadyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyy Very Be blessed
Story ya Mzee unatengenezea movies nzuri mno. Mzee Ana akili sana na ni mjanja mno. Naomba Waziri na raisi au watendaji wake wasaidie aione hii taarifa maana wanamuonea sana huyu mzee. Pole sana mzee Uko vizuri.
Sasa nimeamin viongoz wa ccm ndo wanao fanya wApinzan kupata kura nying Nilitaman MH Rais angeongoza tena hata miaka 10 ila najua zipo changamoto lakin hongera Rais wetu
Kumbe wafanyabiashara wakubwa ndio wanavyo pata hela. Kuna na TRA kukandamiza wafanya biashara wadogo na wananchi wa kawaida. Alafu huyo mkurungezi wa TRA juzi tu alikataa rushwa ya wachina wale wa Tabora kumbe angechukua kama wangempanga vizuri. Hii nchi badooo Sana rushwa ni ulemavu tunao. Kaka Ramadhani pole kwa yote, endelea kupambana nauona haki hiyo inakuja🤗💪💪👌👍👍
Nimekupenda baba, uko makini sana Mungu azidi kukulinda.Haki yako haitapotea kamwe,una msimamo sana Mungu hawezi kukuacha.Hili ni funzo kubwa sana kwetu
Asalam alaikum, namshauri ndugu Ramadhani Hamisi afanye video au Audio clip rasmi Kwenda kwa Mheshimiwa Raisi Magufuli, kisha aitume clip hiyo kwa njia ya whatsapp (aelezee kila kitu Kwenye clip hiyo) In Sha Allah itamfikia Raisi Magufuli, Raisi ndio atayekusaidia In Sha Allah, inavyo onyesha TRA hawana nia ya kukulipa kitu kwa njia ya kihalali (wanakuzungusha tu)
TRA hamuendi mbinguni,mtachomwa moto na hizo pesa za dhuluma kama mnasomeshea watoto wenu mnatengeneza kizazi cha laana.vizazi vyenu vitalaaniwa shenzi nyie
Exactly my point. And when he is out there he is busy saying how he is helping a common mwananchi, hypocrite. The fact that Mr. Ntunzwe sent him a message he was in a position to see how important it is given the fact that he was delegated by His Excellence President Magufuli to make sure this issue is closed. Why can’t people do one simple thing? I would record each and every meeting so as they don’t deny the day His Excellence gets to know this. There is a need for a reshuffle at TRA. Total madness 😡
Fortunata Angelo Hela za kumlipa watatoa wapi, washalipa ada za vyuo Malaysia na nyingine nyumba ndogo, nyingine jaza jedwali mwenyewe 😏, pagumu hapo, lazima atafutwe bwege mmoja wa kuchapwa ili huyu alipwe 😖
Pole sana mtanzania harisi uliye jawa na uzarendo pambana mzee mungu yu pamoja nawe haki ya mtu haipotei bali hucheliweshwa tu serikali yetu tukufu ipo haki yako utaipata
Maaana nakumbuka ulisema kua kesi zot uleshinda ulizo mbakiziwa na TRA nakusubili tu uon utapewa kesi ipi tena na mwanzo wa yot ni mzgo kukamatwa kutok south na kuvunjiwa maduka yako ya thamn ya milon 800 na chanzo kuvunjww ni chen tu ya shiling miatano tena usio iuza ww asant mungu allah ww ndie kila kitu
TRA Mnanyanyasa Sana Na Kuzulumu Wanyonge, Hata Kama Mnajiona Mnafanikiwa Sana Kimaisha Na Hii Zuluma Bado Mtateseka Sana Na Ngono Zembe Hatimae Kufa Kwa Ukimwi.. Na Pia Hata Kama Watoto Wenu Wanasoma Shule Za Juu Bado Wataishia Ulevi, Anasa Na Hatimae Kifo Kwasababu Watu Mnaowazulumu Wanatoa Kilio Kikubwa Sana Kinachofika Mbinguni Na Hamtabaki Salama Hata Kama Mmejaza Hizo Pesa Za Zuluma Kwenye Magunia.
Huyu Mwanahabari aidha hajui kuuliza maswali, au ni mwoga. Bw, Kayombo wa TRA alipaswa kuulizwa moja kwa moja ni kwa nini TRA imekaidi kwa miezi 9 kutekeleza amri ya Rais ya kumlipa Ramadan. Alipaswa kujibu ni nani ktk TRA anazuia malipo hayo, na kwa nini. Alipaswa aulizwe wale wafanyakazi watatu wa TRA Rais aliosemaa wafukuzwe kazi walishafukuzwa au la, na walishapelekwa mahakamani. Kayombo ajibu ni kwa nini wafanyakazi wawili wa TRA wanaohusika na sakata hili walihamishwa kinyemela kwenda mikoani badala ya kuchukuliwa hatua. Alipaswa kujibu hizo milioni 900+ ambazo TRA iliagizwa kulipa zitatoka fungu gani au zitalipwa na nani. Mwandishi ulipaswa kumwuliza Kayombo ni utaratibu gani TRA ilitumia kumkadiria kodi ya kumwumiza Ramadhan, na ni kwa nini ilifunga duka lake na kutumia polisi kumweka mahabusi. Kayombo atwambie ni kwa vipi maafisa wa TRA walishirikiana na wafanyabiashara wawili ili hao wafanyabiashara wamlipe Ramadhan badala ya wao TRA kumlipa. Kayombo ajibu ni kwa nini wafanyakazi waandamizi wa TRA kila mara wanamsihi Ramadhan asimwambie Waziri MKuu au Rais jinsi sakata hili linavyokwenda. Kayombo aseme kwa kukataa kumlipa Ramadhan, na kupenda kufanya vitu kisirisiri, watendaji wakuu wa TRA, akiwemo yeye mwenyewe, wana interest gani katika sakata lote hili nk. nk. Na mwisho Kayombo atwambie kwa nini watendaji wakuu wa TRA, akiwemo yeye mwenyewe, wasifukuzwe kazi kwa utovu wa nidhamu wa kumdhalilisha Rais. kayombo aseme ni kwa nini ydeye na watendaji wakuu wa TRA wasifilisiwe mali zao na kupelekwa mahakamani kwa uhujumu uchumi (kama TRA inavyofanyaga mara nyingine) kwa kuisababishia TRA na Ramadhan hasara. Haya ndo maswali ambayo waandishi wa habari wa kimataifa (kama CNN,BBC na ALJAZEERA) huwa wanauliza. Naomba mwandishi wa habari umtembelee Ofisini Mkurugenzi Mkuu wa TRA na Bwana Kayombo ili waweze kujibu maswali haya. Aidha wasiliana na Ofisi ya Waziri Mkuu na Rais kupata habari zaidi. Wananchi tunangoja kuona haki ikitendeka.
Mi namuomba mungu hawa tra awape korona wafe wote kifo cha panya kisha akawachome juzi tu aamekula hela zangu nying sana hawa ni majambazi kwa njia ya sheria
Hizi ndio habari za kutuletea watanzania kwakua tunajifunza mambo muhimu mnaboa sana pale mnapotuletea upuuzi wakina amba ruti!nimependa sana hii story mungu mkubwa atamsaidia huyu baba
Safi Sana Global Tv hizi ndio news tunazozitaka hii nchi inawatu wa hovyo sana yani mpaka agizo la Mheshimiwa Rais watu wanakaidi na kutaka kufanya dhuruma hii ni dhalau mbaya sana.Naamini Rais wetu ameshasikia hili na haki yake itapatikana tu. Global TV naombeni mtoe namba kuna watu wengi wamepata shida na hawa watu TRA NSSF Tanesco NSSF wanafikia hatua ya kumwambia mtu eti fail limepotea haya mambo yanatia maudhi sana. Nice Global TV
This is exactly why I don't want to invest in Tanzania or Africa in general, so much injustice and corruption, na sisi Watanzania ambao tuko nnje tunakuombea ulipwe haki yako
JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...
Aiseee,,All the best,,Mungu akulinde Ramadhan Hamis Ntunzwe..Amen
Amen
JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...
Kaka Ramadhani baba kichwa kizuri hongera sana
William Ibrahim umeona nimempenda anakichwa kweli anaelezwa kwa utulivyu
IQ yake ya kumbukumbu iko juu sana ,, japokuwa umri umeenda.. Haki haipotei mzee wangu.
He is very smart
Sana yani
Mwinuka Rabbitkeeper, ana 45
@@nahyialetomia9284 sawa mkuu
Jaman kwa umri huu apoteze kumbukumbu kaah
Bonge la story ya kutisha, na jamaa anajua kuongea 👍
Ningejaliwa Mimi ningeringa
Mungu hatokuacha mtangulize MUNGU mbele kweli wanadam hatuna huruma Hongera Rais wetu mtetezi wa wanyonge
Amejipiga risasi baada ya kuona hakuna msaada nadhani kesho tarehe 15/ 03/2024
Anaeona mzee IQ yake zaid ya flyer over, Allah akufanyie wepesi Inshaallah
Shube Bunyesi
Mimi mzigo wangu umekaa Border ya Mutukula kwa miaka 3 sasa
Nasubiri Commissioner TRA atoe kibali cha kuteketeza madawa yaliyoexpire,
TRA ni issue kwa kweli
Ameen
Pole sana mzee kwa imani utalipwa haki yako Mungu aksaidie ktk hilo.
Kamishna Mpya naye kamezwa na mfumo tuongeze kui-share hii video mpaka Mhe. Rais na Mhe. W/Mkuu iwafikie kwa mara nyingine ikiwezekana kamishna mpya naye awe sacked keshasahau wajibu wake na kiapo chake! My motherland watu wanasota kiasi hiki kupata haki zao japo wakiwa na maelekezo ya Rais vipi wale ambao hawana na masuala yao hayajafikia kule ambako swala la Ramadhan lilifikia!!! Mungu endelea kumsaidia Ramadhan mpaka siku moja apate haki yake na wadharimu wote wawajibishwe🙏🏻
Yatupasa tuwenae bega kwa bega kupaza sauti zetu zimfikie mueshimiwa raisi hawa tra wanataka kumletea dhuma huyu mwenye haki yake
Kabisa yani kweli
Naamini hii taarifa utawafikia Vuongozi wetu haki itatendeka! Pole sana kaka Mwenyezimungu atatenda jambo!
Mungu akubariki sana Baba Magufuli tunakupenda watanzania Ongoza nchi mpk utakapo amua ww kuachia kiti we love you much much much much Dadyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyy
Very
Be blessed
Pole sana mzee,,, TRA hawana namna ya kufanya zaidi ya kumpa haki yake huyu mzee
Very sad! Pole sana Mzee na hongera sana kwa kuonesha subra kubwa!
Watanzania hebu tuvae vazi la Mh.Raisi wetu,tukitenda haki kwa wenzetu.TRA mmezoea kuzulumu na kula pesa za zuluma.Mshindwe
Asalam aleykum kaka pole sana kwa msuko msuku uliyo kufika wallah unavyo ongea mpka iman
Story ya Mzee unatengenezea movies nzuri mno. Mzee Ana akili sana na ni mjanja mno. Naomba Waziri na raisi au watendaji wake wasaidie aione hii taarifa maana wanamuonea sana huyu mzee. Pole sana mzee Uko vizuri.
Kwa hiyo mpaka wakati huu mzee baba ajaiona au ndio anajipanga ila watanyonyoka wengi manyoya hasa TRA
Chezea muha wewe
Haki yako ni ya lalih
Sasa nimeamin viongoz wa ccm ndo wanao fanya wApinzan kupata kura nying Nilitaman MH Rais angeongoza tena hata miaka 10 ila najua zipo changamoto lakin hongera Rais wetu
Kiupande wangu nimejifunza mengi sanaaaa ambayo sikuwa na yajua namshukuru huyu mfanya bishara
Hata mimi aiseee...kwel nilikuwa gizani duh😮😮😮😮😮
Mungu akusaidie kwa kweli, watu wanadhambi sana, Mungu yupo nawe. Nakuombea upate haki yako.
Uyu ni ndugu wa brother k
Kumbe wafanyabiashara wakubwa ndio wanavyo pata hela. Kuna na TRA kukandamiza wafanya biashara wadogo na wananchi wa kawaida. Alafu huyo mkurungezi wa TRA juzi tu alikataa rushwa ya wachina wale wa Tabora kumbe angechukua kama wangempanga vizuri. Hii nchi badooo Sana rushwa ni ulemavu tunao. Kaka Ramadhani pole kwa yote, endelea kupambana nauona haki hiyo inakuja🤗💪💪👌👍👍
Kukataa rushwa ya Wachina ilikuwa geresha tu. Shida ni kuwa walimletea mzigo Ofisini moja kwa moja.Walipaswa kupitia kwa "mshikaji" wake
Nimekupenda baba, uko makini sana Mungu azidi kukulinda.Haki yako haitapotea kamwe,una msimamo sana Mungu hawezi kukuacha.Hili ni funzo kubwa sana kwetu
Big up kwa waha!!! Wanajiamin sana
yani huwa tunaonekana wabishi ila tunatetea haki ye2 mpaka mwisho
nakuomba Sana mzee wangu uwe makini na awo watu
Yaani ni Kama move yakutafsiriwa. Ahsante mzee wetu nimejifunza zaidi ya kwenda chuo kikuu.
Mmm kazi iko. Pole sana.
Mko vizuli jmn ushauri wangu mtafuteni waziri mkuu direct in box mmtumie hiyo clip jmn mzee huyu kaumizwa sana jmn
Hawa TRA wanarudisha Sana uchumi wa nchi
Mwenyezi Mungu amlinde Raisi wetu wa wanyonge Magufuli, pole ndugu yetu Ramadan pia wewe ni smart sana
Mungu akupe ujasir na uvumilivu na akuzidishie maarifa zaid
Asalam alaikum, namshauri ndugu Ramadhani Hamisi afanye video au Audio clip rasmi Kwenda kwa Mheshimiwa Raisi Magufuli, kisha aitume clip hiyo kwa njia ya whatsapp (aelezee kila kitu Kwenye clip hiyo) In Sha Allah itamfikia Raisi Magufuli, Raisi ndio atayekusaidia In Sha Allah, inavyo onyesha TRA hawana nia ya kukulipa kitu kwa njia ya kihalali (wanakuzungusha tu)
Very smart guy
Nindugu wa bro k
Hiyo nihaki yako inshaallah utaipata namungu atawaadhibu kwa aina yoyote ile🙏
Wamemtekenya Magu kubaya
Kama namwona mzee baba akila watu vichwa
Nataman awaleee....Hawa wanyanyasaji
Pole sana mzee duuh Ni hataree sana
Haki inayocheleweshwa ni sawa na haki inayodhulumiwa,wote wanaofanya hii dhuluma wanastahili kumalizia maisha yao gerezani.
TRA hamuendi mbinguni,mtachomwa moto na hizo pesa za dhuluma kama mnasomeshea watoto wenu mnatengeneza kizazi cha laana.vizazi vyenu vitalaaniwa shenzi nyie
Na mungu awalaani kabisa kunyanyasa wanyonge ili hali wanajaza matumbo kwa dhuluma
saitoti saitoti unadhani wanaamini kama kuna mbinguni?
Pesa ya dhulma hakuna itako wapeleka, watajibiwa hapa hapa duniani
Hahaaaa kweli
😂😂😂😂😂😂😂
sijaelewa why mtu aliyekabidhiwa kumlinda mtu hapokei simu. something is not right we need to dig more
Ezekiel Leonidas ina wezekana lakn angalia usi tafutwe
Exactly my point. And when he is out there he is busy saying how he is helping a common mwananchi, hypocrite. The fact that Mr. Ntunzwe sent him a message he was in a position to see how important it is given the fact that he was delegated by His Excellence President Magufuli to make sure this issue is closed. Why can’t people do one simple thing? I would record each and every meeting so as they don’t deny the day His Excellence gets to know this. There is a need for a reshuffle at TRA. Total madness 😡
Pole. Global TV good interview
Babu rama pole nakujua wew muha
Mzee anapangilia point by point, tra walimchukulia simple wakadhani mluga kumbe anajielewa
Hivi kwa maagizo yote haya YA MH, Bado Watu wana fanya danadana, Kweli Hao wasaidizi pasua kichwa,
Fortunata Angelo Hela za kumlipa watatoa wapi, washalipa ada za vyuo Malaysia na nyingine nyumba ndogo, nyingine jaza jedwali mwenyewe 😏, pagumu hapo, lazima atafutwe bwege mmoja wa kuchapwa ili huyu alipwe 😖
Muheshimiwa 2naombaa ulifanyiee kazii ilii uyu nimoja kati ya watanzaniaa milion48 wanao nyanyaswa Na TRA Na Askarii
Pole sana mtanzania harisi uliye jawa na uzarendo pambana mzee mungu yu pamoja nawe haki ya mtu haipotei bali hucheliweshwa tu serikali yetu tukufu ipo haki yako utaipata
Siku nyingine usipande magari yao watakuua hata kwa sumu ya hewa.tumia magar yako
Mungu akiwa upande wako utapitishwa ktk misukosuko nakutoka dhahabu safi....
Safari xote kuanzia leo uwe na watatu kila ulipo
Comment imeendana na jina lako, wajina wako, SAITOTI wa kenya aliuwawa kwa sumu ya hewa (cyanide)
Hii comment iweke kichwani mwako.....iko hivyo sumu ziko aina nyingi Sana......kuwa makini sana
Sahihi
Kelli mwerevu kama mayahudi👍👏
Hongereni global Tv, kwa ufuatiliaji mzuri.
Maaana nakumbuka ulisema kua kesi zot uleshinda ulizo mbakiziwa na TRA nakusubili tu uon utapewa kesi ipi tena na mwanzo wa yot ni mzgo kukamatwa kutok south na kuvunjiwa maduka yako ya thamn ya milon 800 na chanzo kuvunjww ni chen tu ya shiling miatano tena usio iuza ww asant mungu allah ww ndie kila kitu
Muandishi unaongea kama unaogopa jamani😆😆😆
Mpigieni Rais 🤣🤣🤣🤣
Rais siyo sawa na makonda wewe
Global is the best we want enclusive part3
Nenda pia Tanzanite UA-cam channel. Wao ndio wameanza kutoa stori hii na ipo kamili kabisa!
Da! TRA ni matapeli uwiiiiiiii inaumiza sana
Hawa TRA. Ni nguruwe kabisaaaa
This is another covid-19, Mr. Presedent please make your decissions!!
Kweli hii ndio Covid
TRA wezi aisee
Yaani watanzania wahaogopi maagizo ya raisi bado walitaka kufanya magumashi tu
Sasa CORONA tutaiogopaje bana mpaka ituue kwanza
mi nkisikia ivi nakata tamaa ya biashara .ila pia waziri mkuu na raisi nimewapenda. mungu awabariki.
Dah bonge la movie!! Kanumba RIP angekuwepo angefanya bonge la movie!
Hahahaaaa kweli ndugu
TRA Mnanyanyasa Sana Na Kuzulumu Wanyonge, Hata Kama Mnajiona Mnafanikiwa Sana Kimaisha Na Hii Zuluma Bado Mtateseka Sana Na Ngono Zembe Hatimae Kufa Kwa Ukimwi.. Na Pia Hata Kama Watoto Wenu Wanasoma Shule Za Juu Bado Wataishia Ulevi, Anasa Na Hatimae Kifo Kwasababu Watu Mnaowazulumu Wanatoa Kilio Kikubwa Sana Kinachofika Mbinguni Na Hamtabaki Salama Hata Kama Mmejaza Hizo Pesa Za Zuluma Kwenye Magunia.
Duh hatreee sana
Allahuma Amiiiiiiin
Allahuma Amiiiiiiin
Huyo baba lazima atakuwa muha, hatunaga ujinga.
Ogopa MTU alietoka kigoma kwa baiskel na Sasa hivi anamiliki mamilioni
alice lucas kabisaa wahaa hatunagaa ujingaa kabisaa
alice lucas unauliza embe kibada asilimia mia ni mha
allah akusimamie kwenye kuipigania haki.yako
Hatunaga ndio nini???
IQ yako kubwa sana big up baba
Baba una akili nyingi. Mungu akulinde sana.
duuuh! hii kubwa kuliko kwa Imani utapata haki yako mzee
Never give up keep going
Shikamoo mzee Wewe noma Sana, unaweza kujielezea mno ambae hakuelewi kamloge kigoma mzee nakuomba uwendelee kukaza mzee Wewe nizaidi ya chuma kunawatu kibao unaweza kuwapa ujasiri zaidi kupitia Wewe km utalipwa Mungu atakusimamia.
Hao wafilisiwe na kufukuzwa kazi
Duuu watamuuahuyu ee mwenyezi MUNGU msaidie mjawako anatetea hakiyake kamaulivyotuagiza tusidhurumu wala tusikubali kudhulumiwa
Rais alishawambia wao wenyewe wamlinde.
Mkuu was nchi anakuona mnyonge wa mungu anazulumiwa da futa wate hawa kazi
Mzee mungu yupo na ww akubariki
Mzee wangu jpm nakukubali sana
TRA nu takataka sana hawa nguruwe
Huyu Mwanahabari aidha hajui kuuliza maswali, au ni mwoga. Bw, Kayombo wa TRA alipaswa kuulizwa moja kwa moja ni kwa nini TRA imekaidi kwa miezi 9 kutekeleza amri ya Rais ya kumlipa Ramadan. Alipaswa kujibu ni nani ktk TRA anazuia malipo hayo, na kwa nini. Alipaswa aulizwe wale wafanyakazi watatu wa TRA Rais aliosemaa wafukuzwe kazi walishafukuzwa au la, na walishapelekwa mahakamani. Kayombo ajibu ni kwa nini wafanyakazi wawili wa TRA wanaohusika na sakata hili walihamishwa kinyemela kwenda mikoani badala ya kuchukuliwa hatua. Alipaswa kujibu hizo milioni 900+ ambazo TRA iliagizwa kulipa zitatoka fungu gani au zitalipwa na nani. Mwandishi ulipaswa kumwuliza Kayombo ni utaratibu gani TRA ilitumia kumkadiria kodi ya kumwumiza Ramadhan, na ni kwa nini ilifunga duka lake na kutumia polisi kumweka mahabusi. Kayombo atwambie ni kwa vipi maafisa wa TRA walishirikiana na wafanyabiashara wawili ili hao wafanyabiashara wamlipe Ramadhan badala ya wao TRA kumlipa. Kayombo ajibu ni kwa nini wafanyakazi waandamizi wa TRA kila mara wanamsihi Ramadhan asimwambie Waziri MKuu au Rais jinsi sakata hili linavyokwenda. Kayombo aseme kwa kukataa kumlipa Ramadhan, na kupenda kufanya vitu kisirisiri, watendaji wakuu wa TRA, akiwemo yeye mwenyewe, wana interest gani katika sakata lote hili nk. nk. Na mwisho Kayombo atwambie kwa nini watendaji wakuu wa TRA, akiwemo yeye mwenyewe, wasifukuzwe kazi kwa utovu wa nidhamu wa kumdhalilisha Rais. kayombo aseme ni kwa nini ydeye na watendaji wakuu wa TRA wasifilisiwe mali zao na kupelekwa mahakamani kwa uhujumu uchumi (kama TRA inavyofanyaga mara nyingine) kwa kuisababishia TRA na Ramadhan hasara. Haya ndo maswali ambayo waandishi wa habari wa kimataifa (kama CNN,BBC na ALJAZEERA) huwa wanauliza. Naomba mwandishi wa habari umtembelee Ofisini Mkurugenzi Mkuu wa TRA na Bwana Kayombo ili waweze kujibu maswali haya. Aidha wasiliana na Ofisi ya Waziri Mkuu na Rais kupata habari zaidi. Wananchi tunangoja kuona haki ikitendeka.
Allah atakulinda mzee wetu
Hizio siasa kayombo funguka mpe ni ela yake, mbona mnamishahara mono njaa gani hiyo,
Mi namuomba mungu hawa tra awape korona wafe wote kifo cha panya kisha akawachome juzi tu aamekula hela zangu nying sana hawa ni majambazi kwa njia ya sheria
Inaumiza Sana pole
Du mtihani babu kubwa kuliko wote
Mtafute waziri mkuu naimani utampata hao ni wezi mnooo.
Wana habari tunawapongeza sana kwa kufumuwa ukweli wa mambo. Endeleeni kupata ukweli pande zote ili Tanzania iwe nchi ya haki kwa wote
Mungu akusaidie, You are rl at big risk!!
Hizi ndio habari za kutuletea watanzania kwakua tunajifunza mambo muhimu mnaboa sana pale mnapotuletea upuuzi wakina amba ruti!nimependa sana hii story mungu mkubwa atamsaidia huyu baba
Duh, jamanii kufarik kwa Mzee magu, ni pengo kubwa sana,
Safi sana na pole sana Ramadhani
Safi Sana Global Tv hizi ndio news tunazozitaka hii nchi inawatu wa hovyo sana yani mpaka agizo la Mheshimiwa Rais watu wanakaidi na kutaka kufanya dhuruma hii ni dhalau mbaya sana.Naamini Rais wetu ameshasikia hili na haki yake itapatikana tu.
Global TV naombeni mtoe namba kuna watu wengi wamepata shida na hawa watu
TRA
NSSF
Tanesco
NSSF wanafikia hatua ya kumwambia mtu eti fail limepotea haya mambo yanatia maudhi sana.
Nice Global TV
Jaman unapokuwa na shida za kiofisi kama hizi ndo utajua kama rais bado anakaz kubwa sio TRA tu Tanzania 🇹🇿 watu wa chini tunaumia sana basi tu
Mbona kama wanafanana na mh raisi
😭😭😭mpaka dadake alikufa jamani Mungu anawaona vile mmemfanyie huyu mwanaume
Nayeye mwenyew leo amekufa kw kujipiga risas😢
@@imamuhamisi4421 waa ameruka mikojo akaangukia mavini
Makonda Makonda simu nane na msg bado haupokei!!!Kweli mkuu!!!!! uko busy kweli kaka.
Mimi pia imenitia mashaka...yawezekana kuna kitu nyuma ya pazia....🤔
Asante sana
Wana movie mwende kwa Ramadhani mkafanye movie stories take itapendeza sana.
TRA uozo mtupu ivi kunyanyasa wafanyabiashara mpaka lini kichwa cha mzee sio poa
Mungu akisaidie haki itendeke
Umewakomesha ilo nifunzo kubwa maana wamezoea kulakula vya wanyonge.dah! Pole sana pia kwakumpoteza dada ako pia mke wako mungu atamuweka sawa t
Haki haipotei.. haki yako utaipata japo kwakuchelewa mungu yupo
Kumbe kamishina mkuu mpya nae ni jipu tumbua magufuri
Huyu jamaa alisema haogopi kitu kumbe naye ni walewale
Utatumbuliwa wewe humjui magu
Atumbuliwe hafai
Pole Sana hatuna viongozi wa kusaidia watu tunao viongozi wa kuua watu tu
Kusema kweli Mh Waziri Mkuu ndugu Majaliwa kwa kesi hii ya babu Rama umeshindwa kazi
Huyu niusalama wa Taifa hawaTRA huwahawajui kwambawengine siowafanyabiashara wapokwaajili yakuchunguza hatahizo hela zamtaji zaserikali.
Sasa mjomba naanza kukuelewa
Mungu ni mwema atakushindia
Kudadek wanavimba matumbo kwa pesaa zetu wajinga hawaa
Hawa ni nguruwee kabisaaa
It's so painful, I thought this nonsense only happens in Kenya, kumbe it's all in Africa
Afrika imeoza....sio kenya tu.
NDUNDE TOMMASZ
Kenya is worse
This is exactly why I don't want to invest in Tanzania or Africa in general, so much injustice and corruption, na sisi Watanzania ambao tuko nnje tunakuombea ulipwe haki yako
Kweli hyu Mha ni kiboko na ana akili za Waisirael kweli.