MATAPELI WAIBUKA KUMTAPELI MFANYABIASHARA WA KARIAKOO WAKITUMIA KIVULI CHA WAZIRI MKUU AWABAINI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 25 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 189

  • @malkiamariamvuga3342
    @malkiamariamvuga3342 2 роки тому +6

    Pole sana kakaangu MUNGU akupe ulinzi naamini kwa uwezo wake MUNGU utashinda

  • @salimumohammedsalimu1720
    @salimumohammedsalimu1720 2 роки тому +7

    Pole mzee Allah qarim, Asbbuna Allah waallah nemalwaqil 🤲🤲

  • @issaalfani1030
    @issaalfani1030 7 місяців тому +1

    M/mungu ailaze royo yako pema TRA wameamua kukupa deni la milion 500,000,000 mpaka kuamua kujitoa uhai pole sana kaka kiukweli imeniuma hasa pale ulipokua unapita nyumabi unaonga na Baba

  • @MamaMolin-oq7pz
    @MamaMolin-oq7pz Рік тому +1

    Najua unamauvivu wa peds zako ila uku uliko fikia achana nayotuu apo akuna msaada wakuutegemea babaangu muambe mungu nawalio wema pia tunakuombea kwamungu akiako utalipwa AMINA

  • @farhannahomary5505
    @farhannahomary5505 7 місяців тому

    Kwa kweli una haki ya kuchanganyikiwa Allah Ailaze roho yako Mahali pema peponi.inauma Sana umezungukwa kwa jasho lako Ila damu yako itatembea na kila Aliyehusika kwanamna moja ama nyingine vizazi 7

  • @madhuru2554
    @madhuru2554 2 роки тому +2

    Binadamu hawana Imani wallahi ukatili ndio walio nayo Inshaallah mungu akusaidie.

  • @rosenyato8729
    @rosenyato8729 2 роки тому +10

    Matapeli hawakujui wewe kuwa hudanganyiki. Ushapitia mengi. Pole sana

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 Рік тому

    Pole sana ndugu yangu katika Imani, haki ya mtu haipotei, ipo siku Allah atajibu maumivu yako kivyovyote vile inshallah 🙏

  • @nditihamisi186
    @nditihamisi186 2 роки тому +4

    Pole sana kk

  • @user-cl2jr3re4s
    @user-cl2jr3re4s 2 роки тому +1

    Pole sana mzee wangu mm nilikua nataka nijue unadai shiling ngap hivho mbona ulitoa dau la milion hamsin fifty milions unadai kiasi gani.
    Alaf nakushauri kama ulipiga kz ukapata hio acha kuliwa liwa pesa zako muombe mung simama imara utapata zingine fanya kama ulikua na gari likatumbukia wam unalisahau kbs nakuanza upya utashida usije ukapotezewa maisha na vipofu ambao hawawezi kutafta za kwao mungu ni mkuu .

  • @wanderenyeura9011
    @wanderenyeura9011 2 роки тому +5

    Mzee wangu nakushauri achana na hizo hela ,Mungu atakulipa ,naona jambo kubwa sana laja mbele yako,take care my dad!

    • @hanifatanzania7258
      @hanifatanzania7258 2 роки тому +1

      Umeonaee

    • @jasminegabriel4247
      @jasminegabriel4247 2 роки тому +1

      Una jua pesa ina tafutwaje wewe?

    • @ahz6907
      @ahz6907 2 роки тому

      @@jasminegabriel4247 watamuua huyo asipokuwa makini.tangu 2019 jpm yupo hai anapambana hajapata hata senti unadhani utawala huu atafanikiwa?😎

    • @emmadominic9601
      @emmadominic9601 Рік тому

      Hapana,nakataa kabisa,wacha mzee apambane,aifie haki yake,mbona ktk vitabu vya dini watu waliifia imani yao?Na sasa ni watakatifu huko Mbinguni?!

    • @emmadominic9601
      @emmadominic9601 Рік тому

      @@ahz6907 Bro.simple arithmetic answer nikwamba,waliomdhulumu haki huyo mzee ni wateule wa.......malizia.

  • @godsonndamgoba8053
    @godsonndamgoba8053 2 роки тому +1

    Pole sana Brother K ,Mungu yupo

  • @winnesakara6957
    @winnesakara6957 2 роки тому +2

    Aisee pole sana

  • @nurububa6691
    @nurububa6691 Рік тому +1

    Mungu akulinde kwakweli

  • @ip_header
    @ip_header 2 роки тому +2

    Pole sana mzee umesumbuka sana, Na uhakika 95% Mama Samia akisikia suala lako kipindi hichi atakupatia haki zako.

    • @kennyrogers4734
      @kennyrogers4734 2 роки тому +1

      Mhh ndugu yangu sidhani maana kuna matukioeeeengi yametokea mama sijamskia akitoa kauli yake ya mwisho ya kusema kuwekea mkazo mkubwa adi watendaji wake waogope wajue hili jambo tukichukulia poa kazi hatuna sio sasa ndugu yangu

  • @abubakarikisuju80
    @abubakarikisuju80 2 роки тому +2

    Pole sana mimi nilitapeliwa 450,000.

  • @abdulnaseermrisho4342
    @abdulnaseermrisho4342 2 роки тому +2

    Wallah huyu Mzee anapitia mitihani sana,Tangu 2019 hadi leo hawajafanya kitu

  • @teddytedy248
    @teddytedy248 2 роки тому +8

    Mungu akulinde

  • @rosekaiza2716
    @rosekaiza2716 Рік тому

    Pole sana kaka yangu watu unaodili nao ni watu wazito sana mungu akutangulie upate haki yako pia hongera sana unajua kujieleza vizuri sana

  • @JosephSimiyu
    @JosephSimiyu 2 роки тому +2

    Pole Kaka Mungu akupiganie

  • @sudymgeni701
    @sudymgeni701 2 роки тому +10

    Duhh kaka umepitia magumu sana sana.ila mungu yuko nawe Mr ramadhani.yani haki yako inapotea ivi ivi. Kweli jamani

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 2 роки тому +2

      Ndio tujue hii nchi hakuna haki ni watu wa dhulma tu .Wanajali maisha yao na familia zao kula kodi zetu tu.

    • @fatmaally7252
      @fatmaally7252 2 роки тому +1

      Yaaani sijui kama selikali ipo au haipo uyu baba ishu yake ya siku nyingi sana ila bado awajamsaidia maskini

  • @sadasaid7212
    @sadasaid7212 2 роки тому

    Mimi nilikua najiuliza siku nyingi, aliamuaga kuyaacha au vip?? Kumbe bado anaendelea tu!! Aisee mungu akusimamie babaangu!
    Usikibali kudhulumiwa, kwa sababu hata Dino nayo haikibali kudhulumiwa kibwegebwege!
    Na wakikuua in Shaa Allah..damu yako haitakwenda bure!
    Allah atakulipa tuu!! Endelea kupambana mzee wangu

  • @kul1512
    @kul1512 2 роки тому

    Pole sana kaka rama yaabi ninavyo kuona hua naumia ulivyo tendewa muombe mungu tu akusaidie

  • @teychriss3248
    @teychriss3248 2 роки тому

    Heeee!! Hii kesi bado tu?? Mmh!! Iam speech less kwa kweli!! Dah Mungu akupe wepesi!!

  • @wazomyakinifu2301
    @wazomyakinifu2301 2 роки тому +8

    Msipotoshe watu. Issue kubwa hapo si matapeli kuibuka bali ni mfanyabiashara kutotatuliwa kero yake na serikali na kuyaweka pabaya Maisha yake. Hao matapeli ni muendelezo tu wa dhuluma dhidi ya mfanyabiashara huyo

  • @AminaRamadhan-j6s
    @AminaRamadhan-j6s Рік тому

    Nashangaa kuona mpaka Leo hii hujafanikiwa Allah akufanikishe.

  • @OmanOman-fb8mj
    @OmanOman-fb8mj 7 місяців тому

    Allah akupe kauli thabeet 😢duh umefanya uamuzi mbaya

  • @justamarrymanga2500
    @justamarrymanga2500 2 роки тому +3

    Mama. Yetu samia see mwenyezi mingu akupe wepesi umsaidie ramadhani

  • @zamzamabdi5279
    @zamzamabdi5279 2 роки тому +1

    Wali walio kuteza Kwa jasho yako mungu atawa angamiza wao na vizazi you Insha Allah ntafanya dua Kwa mungu awalipe haraka sana.kabla mwezi wa wa ramazani.

  • @meshakieliya1983
    @meshakieliya1983 2 роки тому

    Wew mzee mwachie mungu tu yasamehe

  • @selemanimasatu2421
    @selemanimasatu2421 2 роки тому

    Mzee ninamashaka na malipo yako kama utalipwa kweli dhuluma imekuwa kubwa sana na pesa kila kukicha inachukua uhai wa watu, ukiona mtu aliyetaka kushughulikia swala lako baada ya kulivalia njuga akahamishwa kituo, hapo situka mapema tu, ushauri wangu ikiwezekana achana tu na hii ishu Mungu atakupa zaidi ya hizo walizokudhurumu, pesa zinatafutwa tu ila uhai huwezi kuutafuta. MUNGU akutangulie.

    • @ahz6907
      @ahz6907 2 роки тому

      Kweli aisee.maana hao polis wanauwa watu kabisa. Huko mtwara wameua watu na kuchukua pesa zao.ajiangalie aisee.

  • @lucaslabowa5054
    @lucaslabowa5054 2 роки тому +4

    We jamaa HATARI SANA KWA kujieleza alidai sana HAKI zake KIPINDI cha JPM. NAAMINI atalipwa na SAMIA

  • @minskbelarus7255
    @minskbelarus7255 2 роки тому

    Acha MUHA aitwe MUHA💪💪💪💪💪

  • @fatimahants1526
    @fatimahants1526 2 роки тому +7

    Jamani kumbe huyu baba bado anateseka.....serikali hawasikii kilio chake ni muda mrefu sana akisumbuliwa

    • @jumakalukule5312
      @jumakalukule5312 2 роки тому

      Aisee mwenyewe nimeshangaa tz kweli hakikwamungu

    • @fatimahants1526
      @fatimahants1526 2 роки тому

      @@jumakalukule5312 muda sana akilalamika kuhusu uhuni anaofanyiwa, 2020 clip zake naziona kwenye vyombo vya habari

    • @fatimahants1526
      @fatimahants1526 2 роки тому

      @@jumakalukule5312 Magufuli aliagiza alipwe haki zake na TRA

  • @SelijusiMalambo-q2u
    @SelijusiMalambo-q2u 7 місяців тому

    Ndio kazi ya ukolo

  • @ROZITHOMAS-y4q
    @ROZITHOMAS-y4q 7 місяців тому

    Nchi ya dili.
    Duh jamani.
    Mungu akulaze mahali pema peponi

  • @martinmaryogo3676
    @martinmaryogo3676 2 роки тому +3

    daaaaaaaah hii kwel ndo tanzania aseeee, ivi kwel kumbe kuna mambo mengi yanafanyika na vyombo vya ulinzi kbsa

  • @monerexshowz5200
    @monerexshowz5200 Рік тому

    Pole Sana kaka tatizo lako la muda

  • @jumakalukule5312
    @jumakalukule5312 2 роки тому

    Polesana nimyaka mingi tangu magufuli unasumbuliwa tu ila naamini hakiyamtu haipotei utaipata kwanjia anayoijua m/mungu

  • @scolasticakaduma5143
    @scolasticakaduma5143 2 роки тому +6

    Pole Sana kaka . Polisi wa nchi hii hawaeleweki hata Mimi dadako nilishatendewa hivohivo na OCD wa Chunya Mwaka 2018

  • @eliamwasomola578
    @eliamwasomola578 2 роки тому +1

    Genge la wahuni limekuwa kubwa Sana na viongozi humohumo ndani duuuhuu Mungu utuvushe watu wako

  • @modestersalmon7764
    @modestersalmon7764 2 роки тому +2

    Angalia Kaka wasije wakakuua

  • @AthumanDauda
    @AthumanDauda 3 місяці тому

    Kaka uko vizur sana nchi hii inawatu wapuuz mpk shetan akasome

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 4 місяці тому

    Commissioner general wa tRA kipindi hiki cha huyu M/Bisashara alikuw Charles Kichere ambaye sasa ni CAG. nashindwa kuelewa huy CAG japo anafumbua shida za corruption lakini yeye pia sakasaka hili lilikuwa chini yake jmni

  • @mrdeniskomba6199
    @mrdeniskomba6199 2 роки тому +1

    Huyu kajitokeza, je walio kimya wangapi.....
    Mungu atahukumu kwa haki. TRA ni kichaka cha shetani.

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY 2 роки тому +3

    Interview yako
    Nimesambaza magroup5
    Mzee pambania Aki yako

  • @loveremedy5348
    @loveremedy5348 2 роки тому +2

    Sasa hvi ukikamata mwiz Ni kuuwa tu polic n upuuz mtu... Niliwah kuibiw naenda kuripot polic askar ananiuliz unakaki moja hpo!? Hyo Ni akili kwel au useng

  • @willykyando5647
    @willykyando5647 Рік тому

    Pole mzee hii ndio Tanzania

  • @abiudkarume938
    @abiudkarume938 7 місяців тому

    Uyu muha nimshamba sanaaa nakajiuwa kwaajili ya ujinga wake unaishi mjini naunafanya biashara bado mjinga

    • @zakariasengo8930
      @zakariasengo8930 7 місяців тому

      Ishi milele wewe mwenye akili,,kitakukuta kitu Cha kijinga kuliko ujinga wa uyo Muha na kitakuua

  • @ilankundastationery5886
    @ilankundastationery5886 2 роки тому

    pole sana ila kwa ushauri wangu bora uachane nayo ili kuokoa maisha yako

  • @fatmaally7252
    @fatmaally7252 2 роки тому

    Mungu akusaidie wewe baba una mtihani mkubwa sana ni wa muda sasa ila upo makini mungu akusaidie sana n

  • @OmanState-e6p
    @OmanState-e6p 7 місяців тому

    Mama Samia tunaomba uwafatilie Hawa watu wanao husika na hili maana huyu Babu kaacha familia

  • @EmmanuelKigola
    @EmmanuelKigola 7 місяців тому

    😢😢😢😢hiii serikali ngumu sana ukitapeliwa ndio utaijua serikali yetu ikoje

  • @othmanshahib1115
    @othmanshahib1115 2 роки тому +3

    Kitengo cha cyber wanasumbua sana ukipeleka kesi ya kum Truck mtu unapelekea ulaji maana huwa wanapewa dau kubwa na mshitakiwa kuliko mlalamikaji hakuna maana ya cyber yao inawasaidia wao tu

    • @emmadominic9601
      @emmadominic9601 Рік тому

      Hiki kitengo ni muhimu sana,hivyo basi Rais alitakiwa akasim mamlaka hayo kwa kwa Detective of Tanzania People's Decenc Force.(DTPDF).Basi,kusingekuwa na magumashi yoyote.

  • @ramadhanmasiku4105
    @ramadhanmasiku4105 2 роки тому +3

    Kaka ukitaka uonekane mbaya dai chako😭

  • @greenwellnsyukwe4729
    @greenwellnsyukwe4729 7 місяців тому

    Haya ni maisha tuu, yote yanapita.

  • @wananchitv8690
    @wananchitv8690 2 роки тому +8

    Mbona unatapeliwa kiboya hivyo? Yaani uambiwe utume hela ya ticket ya ndege kwa mtu usiemjua?

  • @sifamushi1747
    @sifamushi1747 2 роки тому

    Kwaio ungependa ufanyiwe ama usaidiwe vipi... mama naada ya malalamiko wht way forward na wht ur pray..

  • @edwardlyoba4909
    @edwardlyoba4909 2 роки тому +2

    Uyumtu akifa wa Tanzania mtatua bia nin

  • @salumkhamis7818
    @salumkhamis7818 2 роки тому +4

    Hivi kwanini Rais asimsaidie huyu baba mbona anateseka sana ewe ALLAH watingishe viongozi wasiotenda Haki kwa wanyonge hata wapalalaizi kabisa iwe fundisho

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 2 роки тому

      Hii kesi mbona ilienda mpaka huko mpaka kwa Waziri Mkuu wapi wote ni hali moja

  • @ramadhanimtetu7246
    @ramadhanimtetu7246 2 роки тому

    Baba yangu Usiwe na shaka Waswahili wanasema
    " Anaetamba mpe Muda "

  • @farhannahomary5505
    @farhannahomary5505 7 місяців тому

    Ungejua ungehama kbs,rip

  • @deejeydaev
    @deejeydaev 2 роки тому

    Duhh huyu mzee anateseka kweli kweli

  • @Syikiwaryoba
    @Syikiwaryoba 7 місяців тому

    Pumzika Kwaamani bro 😢😥

  • @ROZITHOMAS-y4q
    @ROZITHOMAS-y4q 7 місяців тому

    Jamani amejiiua. Mungu waadhibu wote waliomtendea mtu huyu

  • @rosenyato8729
    @rosenyato8729 2 роки тому +1

    Kumbe ulituma hela tena oooh!

  • @noelbryson7840
    @noelbryson7840 7 місяців тому

    Wamekusumbua mpaka umeamua kujiua.. Hakika damu yako itaondoka na watu wengi sana..

  • @Kayaka_Family97
    @Kayaka_Family97 Рік тому

    Aki ya mtu aipotei kizembe hivyo mungu hatokutupa ndgu akiyako utaipata mungu Yuu nawe kila mda nijambo la mda xana

  • @SelijusiMalambo-q2u
    @SelijusiMalambo-q2u 7 місяців тому

    Wewe nimrundi warumonge au Bujumbura

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 2 роки тому

    INNALiLah wainnailaih rajiuun

  • @Views-mf8ir
    @Views-mf8ir 2 роки тому +2

    Maovu niyakusema kwa sauti kubwa kabisa ..
    Tupaze sauti kama mzee wetu huyu ili kufichua maovu haya wazi wazi ..!!

    • @fatimahants1526
      @fatimahants1526 2 роки тому +1

      History ya toka mwaka jana akilalamika kwenye vyomb vya hbari huyu baba inasikitisha sana namna binadamu wanvyo mtenda na serikali haijafanya s maamuzi mkp leo Pole sana, lkn majozi ya mweny kudhulumiwa yana malipo.

  • @thabitngangila8562
    @thabitngangila8562 2 роки тому +2

    Bashiru na polepole hawapo sasa ni.
    Shaka na chengelwa.

  • @husseinkarim7663
    @husseinkarim7663 2 роки тому +2

    Wewe utaliwa pesa na kudanganywa wameshaona wewe hauna kisomo ni rahisi kudanganyika halafu wameshaona kuna ushirikina
    Kwa nini usiweke camera na kuwakamata. Pesa za serikali hupati, leo miaka 5 , umekosa wakati wa Magufuli sahao na shukuru mungu.

  • @SelijusiMalambo-q2u
    @SelijusiMalambo-q2u 7 місяців тому

    Kwaishu kama hiyo ww ndio mshamba kweli , waziri vidiri kama hivyo aanze kupoteza mda walikuona mjinga wakwanza kwenye hii mjitaidi kujua mazingira mpate kupona,,hilo swala nenda mahali husika

  • @jamesjahasa3348
    @jamesjahasa3348 2 роки тому +2

    Baba Pole saana hii ndio ndio Tanganyika

  • @farhannahomary5505
    @farhannahomary5505 7 місяців тому

    Umetumia nguvu nyingi maskin.ktk ichi hii

  • @AwaziRajab
    @AwaziRajab 7 місяців тому

    Sasa Mbona Inaonesha Kama Watu Wenyewe Sio Wazawa Hata Sura Zao Uyo Mwenye Kikofia Uyo Mbona Kama Mtu Kutoka Congo Au Naijeria

  • @raulentkabunga2727
    @raulentkabunga2727 2 роки тому

    Like Brother K

  • @bensonmwananchi7701
    @bensonmwananchi7701 2 роки тому +1

    Kumbe alitapeliwa awamu ya tano.maana kawataja bashiru na polepole

  • @shamimhayat7637
    @shamimhayat7637 2 роки тому +1

    Weka CCTV kila anae kuja ale kodiwe na picha mpigeni usikate tamaa

  • @modestersalmon7764
    @modestersalmon7764 2 роки тому

    Wote hao mataperi baba jichunge

  • @wilsonmikate7570
    @wilsonmikate7570 2 роки тому +1

    Mm sipati picha kama huyu ndg kesi yake ilifika kwa rais bado amekuwa akiyumbishwa je wakina cc likitokea la kutokea itakuaje.

    • @salumjumaruhaga2513
      @salumjumaruhaga2513 2 роки тому

      Hata hivyo ana bahati Sana angekuwa kasha nyongwa kitambo,kwani kuna maslah ya watu yapo hatarini

  • @ShedrackKisumbe
    @ShedrackKisumbe 7 місяців тому

    Mmeiona nchi yetu ilivyo???

  • @andrew29468
    @andrew29468 2 роки тому

    Daaaa aisee huyu jamaa katasbishwa sanaaa
    Kuna mtandao mchafu sanaa
    Kuna haja ya rais kuingilia jambo hili

  • @subiremanuel6787
    @subiremanuel6787 2 роки тому

    wezi hao

  • @hilmialjahdhami9787
    @hilmialjahdhami9787 2 роки тому +1

    NAVYOSIKIA HUYU BABU RAMA ALIKUWA MGANGA WA GOLO KWAHIYO INAVYOSEMEKANA KADHULUMU NYUMBA ILIOPO MTAA KONGO HAPO K.KOO HICHO NDIO CHANZO YA MAUGOMVI
    ALLAH IPO SIKU ATADHIHIRISHA UKWELI
    MAANA BABU RAMA MAHAKAMA ZIPO KWANINI ULALAMIKE KWENYE MITANDAO

  • @hilmialjahdhami9787
    @hilmialjahdhami9787 2 роки тому +2

    BABU RAMA TUNAOMBA UTUELEZE JINSI GANI ULIIPATA ILE NYUMBA YA MTAA KONGO NA UHURU
    TUELEZE KAMA UNAVYOTUELEZA MATOKEO HAYO YANAYOKUSIBU

    • @kungurukingunge2761
      @kungurukingunge2761 2 роки тому

      Mhh kanunua kama walivonunua wengine acheni wivu babu ni mfanyabiashara kma una tatizo nae fungua mashtaka

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 2 роки тому +1

    Wewe baanA kuwa makini kweli watakuua hao sio watu

  • @helencyprian8745
    @helencyprian8745 7 місяців тому

    Jamani hii serikali inamsikiliza nani kama sio.wananchi wake? Dhambi hii itawasumbua kwakuwa mmepanda mbegu hiyo

  • @EmmanuelAlberto-f3g
    @EmmanuelAlberto-f3g 7 місяців тому

    Rait.mwenda.zake.angekuwepo.hiiii.wangekipata.mha.huyu.asijiua.ona.sasa.watu.wasivyo.samini.uhai.wawandam.wenzao.utaza.yenyewe.hayatakufa.sote.razima.tunje.umauti.haijarishi.we.nani.

  • @richardnganya2311
    @richardnganya2311 2 роки тому +1

    Fedha inaweza kunyamazisha haki kwa nchi yetu imezoeleka sana !!

  • @raphaelmchilo-kx4tt
    @raphaelmchilo-kx4tt Рік тому

    Hiyondoselikaliya ccm juakwamba huoulikuwanimpango wawakubwa wakukutapeliwewe chakufanyahapo ungana nawapinzani watasaidia kukupigia kerere

  • @mussamalick1045
    @mussamalick1045 7 місяців тому

    Dawa ni kuwasomea alalbadiri wataangamia wote

  • @loveremedy5348
    @loveremedy5348 2 роки тому

    Hakuna watu wa hvyo Kama polic jamniii

  • @elispiuselias1339
    @elispiuselias1339 2 роки тому

    Kuna shida mahali ndyo maana hupati ushirikiano, kila mtu anataka hela ushirikiano utautoa wapi baba jamani.

  • @jacksonjonathan2262
    @jacksonjonathan2262 2 роки тому +1

    Huyu bba kwa nn jaman asipewe haki yake

  • @Alimahrooi
    @Alimahrooi 2 роки тому +1

    Siroo mafia mkuu wa police anahusika.

  • @PelleSamky
    @PelleSamky 7 місяців тому

    Hakuwa na mtu wakaribu mbona mbona matapeli wanamshambulia saaa waziri wa feza anahusika nni na jinai?

  • @geraldtarimo2550
    @geraldtarimo2550 2 роки тому

    Mzee achananazo hizohela watakuua

  • @abuumkumbalu9123
    @abuumkumbalu9123 2 роки тому

    🙄🙄🙄