M/mungu ailaze royo yako pema TRA wameamua kukupa deni la milion 500,000,000 mpaka kuamua kujitoa uhai pole sana kaka kiukweli imeniuma hasa pale ulipokua unapita nyumabi unaonga na Baba
Kwa kweli una haki ya kuchanganyikiwa Allah Ailaze roho yako Mahali pema peponi.inauma Sana umezungukwa kwa jasho lako Ila damu yako itatembea na kila Aliyehusika kwanamna moja ama nyingine vizazi 7
Pole sana mzee wangu mm nilikua nataka nijue unadai shiling ngap hivho mbona ulitoa dau la milion hamsin fifty milions unadai kiasi gani. Alaf nakushauri kama ulipiga kz ukapata hio acha kuliwa liwa pesa zako muombe mung simama imara utapata zingine fanya kama ulikua na gari likatumbukia wam unalisahau kbs nakuanza upya utashida usije ukapotezewa maisha na vipofu ambao hawawezi kutafta za kwao mungu ni mkuu .
Mhh ndugu yangu sidhani maana kuna matukioeeeengi yametokea mama sijamskia akitoa kauli yake ya mwisho ya kusema kuwekea mkazo mkubwa adi watendaji wake waogope wajue hili jambo tukichukulia poa kazi hatuna sio sasa ndugu yangu
Mimi nilikua najiuliza siku nyingi, aliamuaga kuyaacha au vip?? Kumbe bado anaendelea tu!! Aisee mungu akusimamie babaangu! Usikibali kudhulumiwa, kwa sababu hata Dino nayo haikibali kudhulumiwa kibwegebwege! Na wakikuua in Shaa Allah..damu yako haitakwenda bure! Allah atakulipa tuu!! Endelea kupambana mzee wangu
Msipotoshe watu. Issue kubwa hapo si matapeli kuibuka bali ni mfanyabiashara kutotatuliwa kero yake na serikali na kuyaweka pabaya Maisha yake. Hao matapeli ni muendelezo tu wa dhuluma dhidi ya mfanyabiashara huyo
Wali walio kuteza Kwa jasho yako mungu atawa angamiza wao na vizazi you Insha Allah ntafanya dua Kwa mungu awalipe haraka sana.kabla mwezi wa wa ramazani.
Mzee ninamashaka na malipo yako kama utalipwa kweli dhuluma imekuwa kubwa sana na pesa kila kukicha inachukua uhai wa watu, ukiona mtu aliyetaka kushughulikia swala lako baada ya kulivalia njuga akahamishwa kituo, hapo situka mapema tu, ushauri wangu ikiwezekana achana tu na hii ishu Mungu atakupa zaidi ya hizo walizokudhurumu, pesa zinatafutwa tu ila uhai huwezi kuutafuta. MUNGU akutangulie.
Commissioner general wa tRA kipindi hiki cha huyu M/Bisashara alikuw Charles Kichere ambaye sasa ni CAG. nashindwa kuelewa huy CAG japo anafumbua shida za corruption lakini yeye pia sakasaka hili lilikuwa chini yake jmni
Sasa hvi ukikamata mwiz Ni kuuwa tu polic n upuuz mtu... Niliwah kuibiw naenda kuripot polic askar ananiuliz unakaki moja hpo!? Hyo Ni akili kwel au useng
Kitengo cha cyber wanasumbua sana ukipeleka kesi ya kum Truck mtu unapelekea ulaji maana huwa wanapewa dau kubwa na mshitakiwa kuliko mlalamikaji hakuna maana ya cyber yao inawasaidia wao tu
Hiki kitengo ni muhimu sana,hivyo basi Rais alitakiwa akasim mamlaka hayo kwa kwa Detective of Tanzania People's Decenc Force.(DTPDF).Basi,kusingekuwa na magumashi yoyote.
Hivi kwanini Rais asimsaidie huyu baba mbona anateseka sana ewe ALLAH watingishe viongozi wasiotenda Haki kwa wanyonge hata wapalalaizi kabisa iwe fundisho
History ya toka mwaka jana akilalamika kwenye vyomb vya hbari huyu baba inasikitisha sana namna binadamu wanvyo mtenda na serikali haijafanya s maamuzi mkp leo Pole sana, lkn majozi ya mweny kudhulumiwa yana malipo.
Wewe utaliwa pesa na kudanganywa wameshaona wewe hauna kisomo ni rahisi kudanganyika halafu wameshaona kuna ushirikina Kwa nini usiweke camera na kuwakamata. Pesa za serikali hupati, leo miaka 5 , umekosa wakati wa Magufuli sahao na shukuru mungu.
Kwaishu kama hiyo ww ndio mshamba kweli , waziri vidiri kama hivyo aanze kupoteza mda walikuona mjinga wakwanza kwenye hii mjitaidi kujua mazingira mpate kupona,,hilo swala nenda mahali husika
NAVYOSIKIA HUYU BABU RAMA ALIKUWA MGANGA WA GOLO KWAHIYO INAVYOSEMEKANA KADHULUMU NYUMBA ILIOPO MTAA KONGO HAPO K.KOO HICHO NDIO CHANZO YA MAUGOMVI ALLAH IPO SIKU ATADHIHIRISHA UKWELI MAANA BABU RAMA MAHAKAMA ZIPO KWANINI ULALAMIKE KWENYE MITANDAO
Pole sana kakaangu MUNGU akupe ulinzi naamini kwa uwezo wake MUNGU utashinda
Pole mzee Allah qarim, Asbbuna Allah waallah nemalwaqil 🤲🤲
M/mungu ailaze royo yako pema TRA wameamua kukupa deni la milion 500,000,000 mpaka kuamua kujitoa uhai pole sana kaka kiukweli imeniuma hasa pale ulipokua unapita nyumabi unaonga na Baba
Najua unamauvivu wa peds zako ila uku uliko fikia achana nayotuu apo akuna msaada wakuutegemea babaangu muambe mungu nawalio wema pia tunakuombea kwamungu akiako utalipwa AMINA
Kwa kweli una haki ya kuchanganyikiwa Allah Ailaze roho yako Mahali pema peponi.inauma Sana umezungukwa kwa jasho lako Ila damu yako itatembea na kila Aliyehusika kwanamna moja ama nyingine vizazi 7
Binadamu hawana Imani wallahi ukatili ndio walio nayo Inshaallah mungu akusaidie.
Matapeli hawakujui wewe kuwa hudanganyiki. Ushapitia mengi. Pole sana
Pole sana ndugu yangu katika Imani, haki ya mtu haipotei, ipo siku Allah atajibu maumivu yako kivyovyote vile inshallah 🙏
Pole sana kk
Pole sana mzee wangu mm nilikua nataka nijue unadai shiling ngap hivho mbona ulitoa dau la milion hamsin fifty milions unadai kiasi gani.
Alaf nakushauri kama ulipiga kz ukapata hio acha kuliwa liwa pesa zako muombe mung simama imara utapata zingine fanya kama ulikua na gari likatumbukia wam unalisahau kbs nakuanza upya utashida usije ukapotezewa maisha na vipofu ambao hawawezi kutafta za kwao mungu ni mkuu .
Mzee wangu nakushauri achana na hizo hela ,Mungu atakulipa ,naona jambo kubwa sana laja mbele yako,take care my dad!
Umeonaee
Una jua pesa ina tafutwaje wewe?
@@jasminegabriel4247 watamuua huyo asipokuwa makini.tangu 2019 jpm yupo hai anapambana hajapata hata senti unadhani utawala huu atafanikiwa?😎
Hapana,nakataa kabisa,wacha mzee apambane,aifie haki yake,mbona ktk vitabu vya dini watu waliifia imani yao?Na sasa ni watakatifu huko Mbinguni?!
@@ahz6907 Bro.simple arithmetic answer nikwamba,waliomdhulumu haki huyo mzee ni wateule wa.......malizia.
Pole sana Brother K ,Mungu yupo
Aisee pole sana
Mungu akulinde kwakweli
Pole sana mzee umesumbuka sana, Na uhakika 95% Mama Samia akisikia suala lako kipindi hichi atakupatia haki zako.
Mhh ndugu yangu sidhani maana kuna matukioeeeengi yametokea mama sijamskia akitoa kauli yake ya mwisho ya kusema kuwekea mkazo mkubwa adi watendaji wake waogope wajue hili jambo tukichukulia poa kazi hatuna sio sasa ndugu yangu
Pole sana mimi nilitapeliwa 450,000.
Wallah huyu Mzee anapitia mitihani sana,Tangu 2019 hadi leo hawajafanya kitu
Mungu akulinde
Pole sana kaka yangu watu unaodili nao ni watu wazito sana mungu akutangulie upate haki yako pia hongera sana unajua kujieleza vizuri sana
Pole sana kaka,
Askali wetu hawana tu
Pole Kaka Mungu akupiganie
Duhh kaka umepitia magumu sana sana.ila mungu yuko nawe Mr ramadhani.yani haki yako inapotea ivi ivi. Kweli jamani
Ndio tujue hii nchi hakuna haki ni watu wa dhulma tu .Wanajali maisha yao na familia zao kula kodi zetu tu.
Yaaani sijui kama selikali ipo au haipo uyu baba ishu yake ya siku nyingi sana ila bado awajamsaidia maskini
Mimi nilikua najiuliza siku nyingi, aliamuaga kuyaacha au vip?? Kumbe bado anaendelea tu!! Aisee mungu akusimamie babaangu!
Usikibali kudhulumiwa, kwa sababu hata Dino nayo haikibali kudhulumiwa kibwegebwege!
Na wakikuua in Shaa Allah..damu yako haitakwenda bure!
Allah atakulipa tuu!! Endelea kupambana mzee wangu
Pole sana kaka rama yaabi ninavyo kuona hua naumia ulivyo tendewa muombe mungu tu akusaidie
Heeee!! Hii kesi bado tu?? Mmh!! Iam speech less kwa kweli!! Dah Mungu akupe wepesi!!
Msipotoshe watu. Issue kubwa hapo si matapeli kuibuka bali ni mfanyabiashara kutotatuliwa kero yake na serikali na kuyaweka pabaya Maisha yake. Hao matapeli ni muendelezo tu wa dhuluma dhidi ya mfanyabiashara huyo
Mbona unakwepesha maana???
Tra ndo wanachesha mambo haya
Nashangaa kuona mpaka Leo hii hujafanikiwa Allah akufanikishe.
Allah akupe kauli thabeet 😢duh umefanya uamuzi mbaya
Mama. Yetu samia see mwenyezi mingu akupe wepesi umsaidie ramadhani
Wali walio kuteza Kwa jasho yako mungu atawa angamiza wao na vizazi you Insha Allah ntafanya dua Kwa mungu awalipe haraka sana.kabla mwezi wa wa ramazani.
Wew mzee mwachie mungu tu yasamehe
Mzee ninamashaka na malipo yako kama utalipwa kweli dhuluma imekuwa kubwa sana na pesa kila kukicha inachukua uhai wa watu, ukiona mtu aliyetaka kushughulikia swala lako baada ya kulivalia njuga akahamishwa kituo, hapo situka mapema tu, ushauri wangu ikiwezekana achana tu na hii ishu Mungu atakupa zaidi ya hizo walizokudhurumu, pesa zinatafutwa tu ila uhai huwezi kuutafuta. MUNGU akutangulie.
Kweli aisee.maana hao polis wanauwa watu kabisa. Huko mtwara wameua watu na kuchukua pesa zao.ajiangalie aisee.
We jamaa HATARI SANA KWA kujieleza alidai sana HAKI zake KIPINDI cha JPM. NAAMINI atalipwa na SAMIA
Ahhh wapi?
Acha MUHA aitwe MUHA💪💪💪💪💪
Jamani kumbe huyu baba bado anateseka.....serikali hawasikii kilio chake ni muda mrefu sana akisumbuliwa
Aisee mwenyewe nimeshangaa tz kweli hakikwamungu
@@jumakalukule5312 muda sana akilalamika kuhusu uhuni anaofanyiwa, 2020 clip zake naziona kwenye vyombo vya habari
@@jumakalukule5312 Magufuli aliagiza alipwe haki zake na TRA
Ndio kazi ya ukolo
Nchi ya dili.
Duh jamani.
Mungu akulaze mahali pema peponi
daaaaaaaah hii kwel ndo tanzania aseeee, ivi kwel kumbe kuna mambo mengi yanafanyika na vyombo vya ulinzi kbsa
Sio hayo tu ukizunguka Tanzania nzima utalia
Ili uishi vizur unatakiwa uwe maskini
Pole Sana kaka tatizo lako la muda
Polesana nimyaka mingi tangu magufuli unasumbuliwa tu ila naamini hakiyamtu haipotei utaipata kwanjia anayoijua m/mungu
Pole Sana kaka . Polisi wa nchi hii hawaeleweki hata Mimi dadako nilishatendewa hivohivo na OCD wa Chunya Mwaka 2018
Ikawaje sasa best
Duuu pole sana
Genge la wahuni limekuwa kubwa Sana na viongozi humohumo ndani duuuhuu Mungu utuvushe watu wako
Angalia Kaka wasije wakakuua
Kaka uko vizur sana nchi hii inawatu wapuuz mpk shetan akasome
Commissioner general wa tRA kipindi hiki cha huyu M/Bisashara alikuw Charles Kichere ambaye sasa ni CAG. nashindwa kuelewa huy CAG japo anafumbua shida za corruption lakini yeye pia sakasaka hili lilikuwa chini yake jmni
Huyu kajitokeza, je walio kimya wangapi.....
Mungu atahukumu kwa haki. TRA ni kichaka cha shetani.
Interview yako
Nimesambaza magroup5
Mzee pambania Aki yako
Sasa hvi ukikamata mwiz Ni kuuwa tu polic n upuuz mtu... Niliwah kuibiw naenda kuripot polic askar ananiuliz unakaki moja hpo!? Hyo Ni akili kwel au useng
Pole mzee hii ndio Tanzania
Uyu muha nimshamba sanaaa nakajiuwa kwaajili ya ujinga wake unaishi mjini naunafanya biashara bado mjinga
Ishi milele wewe mwenye akili,,kitakukuta kitu Cha kijinga kuliko ujinga wa uyo Muha na kitakuua
pole sana ila kwa ushauri wangu bora uachane nayo ili kuokoa maisha yako
Mungu akusaidie wewe baba una mtihani mkubwa sana ni wa muda sasa ila upo makini mungu akusaidie sana n
Mama Samia tunaomba uwafatilie Hawa watu wanao husika na hili maana huyu Babu kaacha familia
😢😢😢😢hiii serikali ngumu sana ukitapeliwa ndio utaijua serikali yetu ikoje
Kitengo cha cyber wanasumbua sana ukipeleka kesi ya kum Truck mtu unapelekea ulaji maana huwa wanapewa dau kubwa na mshitakiwa kuliko mlalamikaji hakuna maana ya cyber yao inawasaidia wao tu
Hiki kitengo ni muhimu sana,hivyo basi Rais alitakiwa akasim mamlaka hayo kwa kwa Detective of Tanzania People's Decenc Force.(DTPDF).Basi,kusingekuwa na magumashi yoyote.
Kaka ukitaka uonekane mbaya dai chako😭
Haya ni maisha tuu, yote yanapita.
Mbona unatapeliwa kiboya hivyo? Yaani uambiwe utume hela ya ticket ya ndege kwa mtu usiemjua?
Kwaio ungependa ufanyiwe ama usaidiwe vipi... mama naada ya malalamiko wht way forward na wht ur pray..
Uyumtu akifa wa Tanzania mtatua bia nin
Hivi kwanini Rais asimsaidie huyu baba mbona anateseka sana ewe ALLAH watingishe viongozi wasiotenda Haki kwa wanyonge hata wapalalaizi kabisa iwe fundisho
Hii kesi mbona ilienda mpaka huko mpaka kwa Waziri Mkuu wapi wote ni hali moja
Baba yangu Usiwe na shaka Waswahili wanasema
" Anaetamba mpe Muda "
Ungejua ungehama kbs,rip
Duhh huyu mzee anateseka kweli kweli
Pumzika Kwaamani bro 😢😥
Jamani amejiiua. Mungu waadhibu wote waliomtendea mtu huyu
Kumbe ulituma hela tena oooh!
Wamekusumbua mpaka umeamua kujiua.. Hakika damu yako itaondoka na watu wengi sana..
Aki ya mtu aipotei kizembe hivyo mungu hatokutupa ndgu akiyako utaipata mungu Yuu nawe kila mda nijambo la mda xana
Wewe nimrundi warumonge au Bujumbura
INNALiLah wainnailaih rajiuun
Maovu niyakusema kwa sauti kubwa kabisa ..
Tupaze sauti kama mzee wetu huyu ili kufichua maovu haya wazi wazi ..!!
History ya toka mwaka jana akilalamika kwenye vyomb vya hbari huyu baba inasikitisha sana namna binadamu wanvyo mtenda na serikali haijafanya s maamuzi mkp leo Pole sana, lkn majozi ya mweny kudhulumiwa yana malipo.
Bashiru na polepole hawapo sasa ni.
Shaka na chengelwa.
Wewe utaliwa pesa na kudanganywa wameshaona wewe hauna kisomo ni rahisi kudanganyika halafu wameshaona kuna ushirikina
Kwa nini usiweke camera na kuwakamata. Pesa za serikali hupati, leo miaka 5 , umekosa wakati wa Magufuli sahao na shukuru mungu.
Kwaishu kama hiyo ww ndio mshamba kweli , waziri vidiri kama hivyo aanze kupoteza mda walikuona mjinga wakwanza kwenye hii mjitaidi kujua mazingira mpate kupona,,hilo swala nenda mahali husika
Baba Pole saana hii ndio ndio Tanganyika
Umetumia nguvu nyingi maskin.ktk ichi hii
Sasa Mbona Inaonesha Kama Watu Wenyewe Sio Wazawa Hata Sura Zao Uyo Mwenye Kikofia Uyo Mbona Kama Mtu Kutoka Congo Au Naijeria
Like Brother K
Ni muha kutoka Kigoma
Kumbe alitapeliwa awamu ya tano.maana kawataja bashiru na polepole
Weka CCTV kila anae kuja ale kodiwe na picha mpigeni usikate tamaa
Wote hao mataperi baba jichunge
Mm sipati picha kama huyu ndg kesi yake ilifika kwa rais bado amekuwa akiyumbishwa je wakina cc likitokea la kutokea itakuaje.
Hata hivyo ana bahati Sana angekuwa kasha nyongwa kitambo,kwani kuna maslah ya watu yapo hatarini
Mmeiona nchi yetu ilivyo???
Daaaa aisee huyu jamaa katasbishwa sanaaa
Kuna mtandao mchafu sanaa
Kuna haja ya rais kuingilia jambo hili
wezi hao
NAVYOSIKIA HUYU BABU RAMA ALIKUWA MGANGA WA GOLO KWAHIYO INAVYOSEMEKANA KADHULUMU NYUMBA ILIOPO MTAA KONGO HAPO K.KOO HICHO NDIO CHANZO YA MAUGOMVI
ALLAH IPO SIKU ATADHIHIRISHA UKWELI
MAANA BABU RAMA MAHAKAMA ZIPO KWANINI ULALAMIKE KWENYE MITANDAO
Mahakama ipi unayodhani itampa haki nchi hii?
Nawewe unavyodhani mitandao itampa haki?
Huelewi kitu
Wewe kama amedhulumu nyumba kkoo asingeachwa...lazima angenyang'anywa na serikali
BABU RAMA TUNAOMBA UTUELEZE JINSI GANI ULIIPATA ILE NYUMBA YA MTAA KONGO NA UHURU
TUELEZE KAMA UNAVYOTUELEZA MATOKEO HAYO YANAYOKUSIBU
Mhh kanunua kama walivonunua wengine acheni wivu babu ni mfanyabiashara kma una tatizo nae fungua mashtaka
Wewe baanA kuwa makini kweli watakuua hao sio watu
Jamani hii serikali inamsikiliza nani kama sio.wananchi wake? Dhambi hii itawasumbua kwakuwa mmepanda mbegu hiyo
Rait.mwenda.zake.angekuwepo.hiiii.wangekipata.mha.huyu.asijiua.ona.sasa.watu.wasivyo.samini.uhai.wawandam.wenzao.utaza.yenyewe.hayatakufa.sote.razima.tunje.umauti.haijarishi.we.nani.
Fedha inaweza kunyamazisha haki kwa nchi yetu imezoeleka sana !!
Hiyondoselikaliya ccm juakwamba huoulikuwanimpango wawakubwa wakukutapeliwewe chakufanyahapo ungana nawapinzani watasaidia kukupigia kerere
Dawa ni kuwasomea alalbadiri wataangamia wote
Hakuna watu wa hvyo Kama polic jamniii
Kuna shida mahali ndyo maana hupati ushirikiano, kila mtu anataka hela ushirikiano utautoa wapi baba jamani.
Huyu bba kwa nn jaman asipewe haki yake
Siroo mafia mkuu wa police anahusika.
Hakuwa na mtu wakaribu mbona mbona matapeli wanamshambulia saaa waziri wa feza anahusika nni na jinai?
Mzee achananazo hizohela watakuua
🙄🙄🙄