usinunue, usijenge kwenye kiwanja cha urithi viwanja vya urithi viuzwe serikalini then serikali ndio iuze hivi hivi hawa watu wa urithi wanakuwa na mipango yao ya kudhulumu wengi ukifuatilia kesi nyingi za ardhi au nyumba ni za urithi
Mwisho nalisikia kajaume moja linainua mikono juu likishangilia" Samia oyeee! Sasa samia kafanya nini hapo mpaka unamshangilia alikuepo hapo au? Ifike kipindi tujitambue pia tujali yetu.
Hata Mheshimiwa Wazir Silaa Kamtaja Mama Samia. Sasaw Yeye Kumtaja Rais Wa Nchi Wewe Umekasirika. Sasa Si Mama Samia Kumteuwa Waziri Huyo. Haki Hiyo Ingepatikana.
Askari nyuma ya Dr Slaa anaENJOY mazungumzo, kichwa kinanesa tu 😎
usinunue, usijenge kwenye kiwanja cha urithi viwanja vya urithi viuzwe serikalini then serikali ndio iuze hivi hivi hawa watu wa urithi wanakuwa na mipango yao ya kudhulumu wengi ukifuatilia kesi nyingi za ardhi au nyumba ni za urithi
Mzee unamachok
Umeongea Point kabisa
Yaani unakula kodi ya jengo zima kwa miaka 25 kariakoo halafu unazawadiwa 1/7 kwa miaka yote hapa duniani
Afande Chawa anakubaliana na wewe Waziri! 🤣🤣
police nae anarespect kwa kichwa
Mwisho nalisikia kajaume moja linainua mikono juu likishangilia" Samia oyeee! Sasa samia kafanya nini hapo mpaka unamshangilia alikuepo hapo au? Ifike kipindi tujitambue pia tujali yetu.
Hata Mheshimiwa Wazir Silaa Kamtaja Mama Samia. Sasaw Yeye Kumtaja Rais Wa Nchi Wewe Umekasirika. Sasa Si Mama Samia Kumteuwa Waziri Huyo. Haki Hiyo Ingepatikana.
FIDA HUSSEIN NI TAPELI MKUBWA WA ARDHI
Mauwa yako mh slaa🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹✌️✌️
Haki haizami hata iweje
Nakukubali sana waziri wangu chukua zawadi hiyo❤❤❤❤❤❤
Me nimempenda huyu jama yuko vizuri kutetea wanyonge maskini 😢
Kwaushauli wangu mm huyo mzulumu musameheni2 Hana chakujieleza atatutia hasira bure
Mgao wa Moja ya saba, kwa tano ya saba, then moja ibaki ina heng...
Awalipe fidia ya miaka 27 iliyokuwa akikusanya kodi
S.H.amon wewe???? Shame of youuu
Silaa udumu Milele
Miyaka 26 kawa dhulumu amon wewe sio vizuri huyu mzee haki yake mlipe
Jery unafraid sana
Nakuelewa sanaa afande
Kwakua viongoz wapo kazn basi masikini tusipende kujazachumvi kwa kumkomoa mtu, nyakati zingine ni namnatunavyo dai hakizetu hatuziwasirishi vzr