MMILIKI WA S. H. AMON AKUMBANA NA WAZIRI SILAA KARIAKOO, MGOGORO WA JENGO LA GHOROFA WATATULIWA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 29 вер 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

КОМЕНТАРІ • 24

  • @JrMambo
    @JrMambo 4 місяці тому +4

    Askari nyuma ya Dr Slaa anaENJOY mazungumzo, kichwa kinanesa tu 😎

  • @thomassalvatory8303
    @thomassalvatory8303 4 місяці тому +6

    usinunue, usijenge kwenye kiwanja cha urithi viwanja vya urithi viuzwe serikalini then serikali ndio iuze hivi hivi hawa watu wa urithi wanakuwa na mipango yao ya kudhulumu wengi ukifuatilia kesi nyingi za ardhi au nyumba ni za urithi

  • @spantonsamba6191
    @spantonsamba6191 4 місяці тому +2

    Yaani unakula kodi ya jengo zima kwa miaka 25 kariakoo halafu unazawadiwa 1/7 kwa miaka yote hapa duniani

  • @mohammedkhimji7505
    @mohammedkhimji7505 4 місяці тому +3

    Afande Chawa anakubaliana na wewe Waziri! 🤣🤣

  • @RamadhaniMzashi
    @RamadhaniMzashi 4 місяці тому +4

    police nae anarespect kwa kichwa

  • @selemanmaganga-le4zg
    @selemanmaganga-le4zg 4 місяці тому +2

    Mwisho nalisikia kajaume moja linainua mikono juu likishangilia" Samia oyeee! Sasa samia kafanya nini hapo mpaka unamshangilia alikuepo hapo au? Ifike kipindi tujitambue pia tujali yetu.

    • @nurdinmfamau3493
      @nurdinmfamau3493 3 місяці тому

      Hata Mheshimiwa Wazir Silaa Kamtaja Mama Samia. Sasaw Yeye Kumtaja Rais Wa Nchi Wewe Umekasirika. Sasa Si Mama Samia Kumteuwa Waziri Huyo. Haki Hiyo Ingepatikana.

  • @JaziraMustafa-g9p
    @JaziraMustafa-g9p 4 місяці тому +1

    FIDA HUSSEIN NI TAPELI MKUBWA WA ARDHI

  • @othumanomari1589
    @othumanomari1589 3 місяці тому +1

    Mauwa yako mh slaa🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹✌️✌️

  • @AliAbdallah-yo8dx
    @AliAbdallah-yo8dx 3 місяці тому +1

    Haki haizami hata iweje

  • @NgoloMpologom
    @NgoloMpologom 3 місяці тому

    Nakukubali sana waziri wangu chukua zawadi hiyo❤❤❤❤❤❤

  • @ttss7716
    @ttss7716 4 місяці тому

    Me nimempenda huyu jama yuko vizuri kutetea wanyonge maskini 😢

  • @ngalutuju399
    @ngalutuju399 4 місяці тому

    Kwaushauli wangu mm huyo mzulumu musameheni2 Hana chakujieleza atatutia hasira bure

  • @MrGallaba
    @MrGallaba 4 місяці тому

    Mgao wa Moja ya saba, kwa tano ya saba, then moja ibaki ina heng...

  • @kitwanashem3272
    @kitwanashem3272 4 місяці тому

    Awalipe fidia ya miaka 27 iliyokuwa akikusanya kodi

  • @Shehasweet-hy6xn
    @Shehasweet-hy6xn 3 місяці тому

    S.H.amon wewe???? Shame of youuu

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677 3 місяці тому

    Silaa udumu Milele

  • @MaabeshFungurume
    @MaabeshFungurume 4 місяці тому +1

    Miyaka 26 kawa dhulumu amon wewe sio vizuri huyu mzee haki yake mlipe

  • @elizageorge2414
    @elizageorge2414 4 місяці тому

    Jery unafraid sana

  • @furahaseth1215
    @furahaseth1215 4 місяці тому

    Nakuelewa sanaa afande

  • @DM_15
    @DM_15 4 місяці тому

    Kwakua viongoz wapo kazn basi masikini tusipende kujazachumvi kwa kumkomoa mtu, nyakati zingine ni namnatunavyo dai hakizetu hatuziwasirishi vzr