Mwanzo mwisho kilichotokea kiwanda cha Mtibwa Sugar kulipuka na kuua watu 11
Вставка
- Опубліковано 22 тра 2024
- Kufuatia watu 11 kufariki kwa ajali ya Mlipuko wa bomba la kusafirishia Joto kwenye kiwanda cha kuzalisha Sukari cha Mtibwa kilichopo Morogoro Juma Ramadhan palamba Meneja wa umeme ambaye ni Manusura wa ajali hiyo ameeleza ilivyo tokea.
Juma amesema walitarajia kuanza uzalishaji wa Sukari leo Mei 23 lakini wakati wanafanya majaribio ya Mitambo ndio ukatokea mlipuko huo.
🇧🇷🇧🇷🇧🇷 Olá irmãos, sou parente do brasileiro que perdeu a vida, infelizmente. Ore por nós e todas as famílias que perderam seu familiar nessa tragédia. 🇧🇷🇧🇷🇧🇷
Ndo maisha sie wanaume haki yetu kufa mapema
😢😢😢😢😢😢😢
Hapo tunaelewa tu sisi mafundi
Yaani yeye aliondoka muda mfupi tu kabla ya ajali kutokea, mainjiniaa wote wawili wapigiwa simu kwa wakati mmoja halafu huku nyuma ajali ikatokea 😲😲😲 halafu hayo matengenezo yalifanywa na WA Brazil au wahindi? Mimi bado sijamuelewa
Kafara hiyo sababu sio za msingo
MUNGU ndio anaejua
Hapo kuna kitu waliziba ikashindwa kucheua
Hapo kuna uzembe umefanyika uchunguzi ufanyike
Huyu baba ni muongo inaonekana muda wa tukio hakuwepo
Poleni sana 😢
aliyemuelewa huyu injinia naomba anieleweshe na mimi da hivi na yeye ni muhanga na hana jeraha sehemu yoyote anasema mlipuko ulitokea na yeye yuko hapohapo then anasema alienda kuchukua maji akasikia mlipuko which is which
inavyoonyesha hilo joto litakuwa lilitokea kwenye sehemu ya maungio kwamba aliyekuwa anafunga hapo hakukaza nati vizuri so presha ilivyokuwa kubwa ikafumuka na joto hilo kutoka na kuleta maafa na inavyoonyesha hiyo kazi hueda ilikuwa inafanywa kwa presha sana kwasababu wanasema walijaribu mchana ikashindikana ila wakasema wajaribu usiku kwa mara ya mwisho na ndio madhara yametokea
😢
Ajali ni ajali
Ajali haina kinga. Mengine ni siasa tu
Kiwanda chenyewe hakina ukarabati
Poleni sana mungu atawapa moyo wasbila
Government boiler inspector yuko wapi kwanini hakuona weakness ya mtambo kinachoonekana safety valve imefail
Maelezo yake yanatosha kuelewa kilichotokea kwa uhalisia kabisa