DIDAH:NIMEFURAHI KUJIUNGA WASAFI/DIAMOND ANANIKUBALI NI MDOGO WANGU/SIJAONDOKA VIBAYA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 9 лют 2020
  • #wasafi #refresh
  • Розваги

КОМЕНТАРІ • 151

  • @videlialabeka4899
    @videlialabeka4899 4 роки тому +16

    Am very happy I swear!!!!wasafi tunasonga mbeleeee

  • @zeynabomar7151
    @zeynabomar7151 4 роки тому +31

    mm nimefraaah didaaah htwar wasafiiiiii baba lao

  • @azzamahamdu7039
    @azzamahamdu7039 4 роки тому +30

    Dida yuko fire.nampendaga❤alkua mc wa kitchen party yangu alinogesha hatar✔🤗WASAFI CHAMA LAO✔🙌

  • @ladymashaallahilikeuaadvis997
    @ladymashaallahilikeuaadvis997 4 роки тому +9

    MASHA ALLAH, nimefurahi sana ,mabrook kwa mond naona wasafi ina vigogo vya wana habari Masha ALLAH

  • @nshonabdll9363
    @nshonabdll9363 4 роки тому +45

    Dida ht ss wt WAchama la wasafi ww kuingia Chamani ukipata nafasi wasafi yn bonge la dili piga kz mama

  • @aboyfrompemba7824
    @aboyfrompemba7824 4 роки тому +16

    Sijutii kushabikia good bless my friend my brother mond platnumz

  • @shadyamuksin5043
    @shadyamuksin5043 4 роки тому +6

    dimond anaakili sana anajuwa kuitafuta pesa kwani nawanaomchukia ni wivu tyu wa maendeleo lakini badae wataelewa zaidi 🎤🎤

  • @anthonynyange5930
    @anthonynyange5930 4 роки тому +3

    Kwahyo sasa ivi kila kitu wasaf Yan 😇😇 full blessed ,

  • @ferouzmasoud4741
    @ferouzmasoud4741 4 роки тому +16

    Nawakubal sanaaaa WASAFI media MUNGU wabark 🙏

  • @stevenmaketa8051
    @stevenmaketa8051 4 роки тому +4

    Siimbaaaaa hongera sn diamond cozz unaleta watu ambao wNaitajika haswaa ktk jamiii god bless u

  • @starfordalex4139
    @starfordalex4139 4 роки тому +20

    Diamond tusambazie Radio Tanzania nzima

  • @halimabakari5078
    @halimabakari5078 4 роки тому +2

    Love Didah piga kazi dadaake😚😚

  • @hassan0256
    @hassan0256 4 роки тому +26

    Hahahhahahahah kwa mwendo huu mpaka December tutaelewana tu

  • @user-xi1pi4zr3b
    @user-xi1pi4zr3b 4 роки тому +1

    Dida nakupenda na nlikua na ww tangia mwanzo mpka munaliza show ya masham sham big up sana.

  • @thamiyuucute7098
    @thamiyuucute7098 4 роки тому +19

    Ungewajibu asopenda pesa nani??watu wanafata naslahiii..sihurumaa au mazoweyaaa laa hashaaaa...pigakazi

  • @muniraahmed624
    @muniraahmed624 4 роки тому +16

    Hongera sana madam❤.

  • @sadajuma5795
    @sadajuma5795 4 роки тому +2

    Nakukubali sana dida❤️❤️

  • @leonardmavele1148
    @leonardmavele1148 4 роки тому +3

    Fanya kaz mamaaaaaa We love ú

  • @8pistons194
    @8pistons194 4 роки тому +4

    Kafanana na amber rutty

  • @nyatindwagerald4607
    @nyatindwagerald4607 4 роки тому +1

    Wow kwel habari njema

  • @neemaberny3598
    @neemaberny3598 4 роки тому +1

    Duuh..mpaka wewe dida!!me nilitegemea sasa hivi ungekuwa level za Zamaradi..sio kuwa chini ya mtu tena!we legend dida miaka 18 kwenye game!!

  • @gloryisaac1477
    @gloryisaac1477 4 роки тому

    waooh welcom dida wasafi oyooooooo......

  • @leticiarmartin7310
    @leticiarmartin7310 4 роки тому +3

    Dadeki mambo ni motoooo washa washa dida tulisongeshe gurudum l wasafi wataelewa tuuuu.

  • @shimammymammy5298
    @shimammymammy5298 4 роки тому +17

    Leo mnasema katoka kwa baraka ila tunasubiri tutayaskia baadae

    • @hamisiharuna3099
      @hamisiharuna3099 4 роки тому

      Tafuta UA-cam utaona alipokuwa anawaga na mkurugenzi wa times fm alikuwepo na akapewa baraka zote na wakasema yeye siyo wa kwanza kupitia hapo waliwataja wengi tu

  • @nurumanyota1957
    @nurumanyota1957 4 роки тому

    Karibu sana Dida wasafi ndio baba lao

  • @jimsonndituzya1209
    @jimsonndituzya1209 4 роки тому +3

    Idriss kitaa usafini 💥💥

  • @zenombele1798
    @zenombele1798 4 роки тому +11

    bado lili omy

  • @explicit4life65
    @explicit4life65 4 роки тому +9

    Napenda hizo zako 😍

  • @tousihhhh6765
    @tousihhhh6765 4 роки тому +12

    dida tams imekufa dada😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @zabibunduwimana4612
    @zabibunduwimana4612 4 роки тому +4

    Wasafi🔥🔥🔥

  • @starfordalex4139
    @starfordalex4139 4 роки тому +9

    Tulijuwa miaka 10 ya Diamond utatuletea Radio nyumbani Kigoma

  • @mariamramadan6154
    @mariamramadan6154 4 роки тому

    Kalibu dida DDD dida😍😍😍

  • @barakamakarami6641
    @barakamakarami6641 4 роки тому

    Ahsante chibu

  • @videlialabeka4899
    @videlialabeka4899 4 роки тому +9

    Wasafi oyeeeeee

  • @safarikikaadrien108
    @safarikikaadrien108 4 роки тому +2

    Yaani dogo anazidikuwakera kweli,kama anaplani yakuvunja redio zote

  • @deapple781
    @deapple781 4 роки тому

    Dida na💖💖💖💖

  • @fatnahsaleh860
    @fatnahsaleh860 4 роки тому +3

    Penda sana😍😍😍😍❤❤❤❤ Nida

    • @deotv503
      @deotv503 4 роки тому +1

      Duuh unaonekaanan haujafungiwaa line ndo maana unapendaa nida

  • @saloumshusko2798
    @saloumshusko2798 4 роки тому +4

    Kama umesikia Hainistui like hapa.

  • @angelinacharles4587
    @angelinacharles4587 4 роки тому

    Safi tupo pamoja dida

  • @tunusefu2018
    @tunusefu2018 4 роки тому +4

    Dida mama lao

  • @melishmekae4754
    @melishmekae4754 4 роки тому +17

    Aliyesikia neno hainishitui gonga like hapa

  • @mosesvpajitv6644
    @mosesvpajitv6644 4 роки тому +13

    Uyu Mtoto wa tandale ana nia gani na izo media za zamani duuuuuu😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @hamzamoshi8275
    @hamzamoshi8275 4 роки тому +1

    Didah we mzuri sana nakupenda sanaaaaaa❤❤❤❤❤

  • @titogodwin4338
    @titogodwin4338 4 роки тому +1

    Good

  • @musakhamis6906
    @musakhamis6906 4 роки тому +1

    Ooohooooooooo

  • @wilyjulius4679
    @wilyjulius4679 4 роки тому +3

    Wasafiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii babalaooooooooooooooooooooooooooooooooooo simbaaaaaaaaaaaaaaa babalaooooo

  • @abdallahhussein5997
    @abdallahhussein5997 4 роки тому +2

    Mkunaji kapewa jipu uchungu lisilo iva kazi kwako dida

  • @nasmafarmsltd9146
    @nasmafarmsltd9146 4 роки тому +1

    dida kakae ufikirie mara mbil mbil unaajiriwa ñà mtu mwéńýë miaka 10 kwenye industry we una miaka 18 kwenye industry nilijua ukitoka tm fm unaji ajir akil kum kichwaa maana çò kum ubongoo ñďò hukoo

  • @erickbaraka1968
    @erickbaraka1968 4 роки тому +2

    Wcb Chama la wana

  • @yusufuhalfanseti7118
    @yusufuhalfanseti7118 4 роки тому +2

    Hapa ndio kwenu haujapotea njia

  • @aishayasini9053
    @aishayasini9053 4 роки тому +1

    safiiiii

  • @johnenosi2267
    @johnenosi2267 4 роки тому

    Safiii

  • @dastunluswaga5182
    @dastunluswaga5182 4 роки тому +4

    Duh..sasa hzo kope mbona kama zinafumba macho

  • @ramadhanathuman940
    @ramadhanathuman940 4 роки тому +2

    Timembakiza LiliOmmy nae atakuja tu kwenye chama welcome bro LiliOmmy

  • @NonoNono-qp3zu
    @NonoNono-qp3zu 4 роки тому +4

    Huko times kunani jmn mbona mapicha picha

  • @drmti9595
    @drmti9595 4 роки тому +3

    Nasema hiviii...nitakukera zaidiiiiiiiiiiiiii....hahahaaaaaaaa

  • @devothamedia5177
    @devothamedia5177 4 роки тому +4

    Safi sana dida, haya jamani karibuni kwenye chaneli yetu ,bonyeza picha , itakuleta kwenye chaneli yetu kupata habari zote za insta na zinazotrendi🤣🤣🤣🤣

  • @asmaally8353
    @asmaally8353 4 роки тому +3

    Kwa matatizo ya ngozi, uzazi,michirizi,makovu,nyama uzembe,kuongeza shape,hips,n.k
    Dawa zipo, karibu ofisini, sms/whatsap 0693_330284

  • @nicholasandrew7599
    @nicholasandrew7599 4 роки тому +3

    Wasaf ndio chama lao,

  • @peterblessing7968
    @peterblessing7968 4 роки тому +17

    First viewer nipo Kenya kama unamkubali harmonize tia alama konde gang for life

    • @barakamathias4078
      @barakamathias4078 4 роки тому +1

      WCB unaleta pigo za kiwaki za hamornaze apah we kuchaaa nn acha Shobo za Wasafiii huku kama hauwelewi mada dingiii utanyonywa huku wasafiiiii 🎤🎤🎤🎤 mondi babalaooooo simbaaaaaa

    • @greatnessmagubika6706
      @greatnessmagubika6706 4 роки тому +2

      Hapa hapakufai utakereka zaid

    • @hellyally4395
      @hellyally4395 4 роки тому

      watafuta nn uku kuma ww kamxhabikie huyo kundu boy kwenye paji yake uko

    • @jumayasini9340
      @jumayasini9340 4 роки тому

      Kuma wew unaleta habari za harmonize hapa nenda kwenye akaunt yake mamae wew,

    • @abuuramadhanramadhan2556
      @abuuramadhanramadhan2556 4 роки тому

      Kuma ww

  • @rahmaali4009
    @rahmaali4009 4 роки тому +2

    Dida tunakupenda

  • @Twende828
    @Twende828 4 роки тому +4

    Karbuu nyumbn

  • @safarikikaadrien108
    @safarikikaadrien108 4 роки тому +1

    Sasa asiependa pesa nani?unatumika miaka nenda miaka rudi mushahara hakuna kuongezewa,maisha yenyewe magumu angefanya je, sio eti atakujarisi baadae

  • @paulmawirakinyu2688
    @paulmawirakinyu2688 4 роки тому +4

    Watakereka zaidi...

  • @magrethjorde6566
    @magrethjorde6566 4 роки тому

    piga kazi dida

  • @madinahatta1874
    @madinahatta1874 4 роки тому +1

    Makibw

  • @SIMULIZIZONE
    @SIMULIZIZONE 4 роки тому +3

    Kama unapenda simulizi za kihistoria, karibu kwenye channel yetu

  • @youngmaninstruments7790
    @youngmaninstruments7790 4 роки тому +7

    Duh embu like hapa

  • @ollgfgv9872
    @ollgfgv9872 4 роки тому

    sasa mbona siku ya kutambulishwa ukaanza mafumbo eti upande wa pili nini maana ya upande wa pili nitawakera zaidi nini maana yake bas we neng'eneka kipindi sun kitakufa ichooo 😜😜😜

  • @juniorcx0114
    @juniorcx0114 4 роки тому +2

    WCB chama kubwa

  • @tedymwandara5480
    @tedymwandara5480 4 роки тому +1

    Tatizo la kazi za private ukiacha kwao wao ndio wanaanzisha bifu nawewe, wewe ht km una nia njema kwako ya maslahi binafsi.

  • @immamanyogote2770
    @immamanyogote2770 4 роки тому

    Simbaaa sambaza redioo tz nzimaaaa mkuuuu

  • @aniphapaulo8179
    @aniphapaulo8179 4 роки тому

    Tatizo FM mbeya

  • @thenextmvp8568
    @thenextmvp8568 4 роки тому +4

    Kiniunga wcb tu au wasafi tayari umesha kua mtu maarufu

  • @bjzee1981
    @bjzee1981 4 роки тому +3

    Hii mikorogo jamani wanawake WA Dar mnakaa Kama samaki wa kupaka

  • @championboy389
    @championboy389 4 роки тому +2

    Tunahtaji wasaf FM mikoan jaman chonde chonde

  • @MrMtulivu
    @MrMtulivu 4 роки тому +3

    Mbona amefanana na Mo music wahuko bongo. Ama mimindio naona vibaya?

  • @emanuel4148
    @emanuel4148 4 роки тому +2

    Wasafi Media inazidi kukua kwa Kasi ya ajabu sana

  • @mariamramadan6154
    @mariamramadan6154 4 роки тому

    Namuona issa apo😅😅😅

  • @glorianikiza92
    @glorianikiza92 4 роки тому +1

    😏😏

  • @edsonerasto3951
    @edsonerasto3951 4 роки тому +1

    Duh! Jonijoo,dida wote kule.... Wakimchukua na lil ommy watauaaaa

  • @dullahjuma6137
    @dullahjuma6137 4 роки тому

    Dada dida tume Kumisi

  • @fikirirevocatus6626
    @fikirirevocatus6626 4 роки тому +2

    kwani huyu dada alikuwa media gani wadau?

  • @emanuel4148
    @emanuel4148 4 роки тому +1

    🔥🔥🔥🔥🔥

  • @chusecurrents4324
    @chusecurrents4324 4 роки тому +1

    Kalbu usafini dada

  • @mmetansanya3764
    @mmetansanya3764 4 роки тому

    Kiukweli nimefuhi sana dida kuja wasafi so am very angry...

  • @joycesilvesta3595
    @joycesilvesta3595 4 роки тому +4

    Wasafi fm chama lao

  • @shimammymammy5298
    @shimammymammy5298 4 роки тому +5

    Ubaya wasafi hawachukui vipaji vipya wanachomoa kwa wenziwao

    • @chicharitoronaldo5950
      @chicharitoronaldo5950 4 роки тому

      Hii ni business lazima watu wapate faidaa...

    • @othinielkamyola7269
      @othinielkamyola7269 4 роки тому

      Shida nikwamba Wasafii kuna mishahara mizuriiiii so hata wao hawana makosa

    • @benedictaloyce1825
      @benedictaloyce1825 4 роки тому +1

      Anaua media nyinginee apo amna biasharaa tena

    • @othinielkamyola7269
      @othinielkamyola7269 4 роки тому

      hii ni dunia ya ushindani so ukiogopa kushindana utaferiii huo ni usajiriiii kama team ya mpiraa

  • @rashidysalimu7705
    @rashidysalimu7705 4 роки тому +1

    Acha unafiki ww unataaa xn

  • @sultankivumbi9941
    @sultankivumbi9941 4 роки тому

    hakuna asiependa pesa katika kazi challenge zipo mtu unaacha ziwa la mama yako iweje kazi"" kazi sio kabila dida pambana achana nawavimba macho kazkaz#

  • @saisaikalyasi5998
    @saisaikalyasi5998 4 роки тому +2

    Mmeipania times fm

  • @hadijahmwajombe9588
    @hadijahmwajombe9588 4 роки тому

    wao nanusu

  • @salmahamis777
    @salmahamis777 4 роки тому

    jumalolole hapendez kua ktk kipind lafudhi yake mbaya

  • @jumayasini9340
    @jumayasini9340 4 роки тому

    Huyu didah alikuwa media gan vle

  • @florianmbungu7539
    @florianmbungu7539 4 роки тому +1

    Kuna jamaa alitaka abambie mwanzon ipa alachelewa

  • @mathiaswambua7643
    @mathiaswambua7643 4 роки тому +2

    Hivi Huyu Dida Ni mzungu ??????

  • @venerandamwalimu16
    @venerandamwalimu16 4 роки тому

    Rudisha mtaa kwa mtaa za kiswazi

  • @ashatego4786
    @ashatego4786 4 роки тому

    dida nakupendaga sana piga kazi achana na wajinga wasiojielewa

  • @lovvy854
    @lovvy854 4 роки тому

    Dida nimekukubali manbo yako banbanbam yaani unatu nimetii

  • @djdon9706
    @djdon9706 4 роки тому +3

    Aliwah sema hata iweje hawez ondoka times FM what happened hahahahaha Doh wasafi hawa, heti usipo nawa utayaoga