yni huyo ndio uhalisia wa trafiki wenyewe munakuw marafiki lkn hwn urafiki ht uwafanye vp roho zao mby sana time nyengine asikukamate ww anaweza kukuchomea kwa trafik mwenzake
Siwapendi mbuzi hawa mm hata kwangu askari hapangi na sina urafiki nao kbsa mbuzi mmoja kma wao alishawahi kunidhulumu pesa yngu kila nikifuatilia wanabebana tu
Kisheria za polisi hutakiwi kumuonea huruma hata mzazi wako maana raia huwa wanatumia kivuri cha ukatibu na polisi kufanya uhalifu uyo jirani hata reseni hana sasa ukiweka ujirani kazini si inasababisha matatizo makubwa
Huo n ujinga na huyo mzazi wako ndio alikusomesha mpka kupata kaz hyo ya upolisi mfano halafu usimuonee huruma wkt hyo serikali ukizingua t kidogo KAZINI WANAKUTIMUA KAMA MBWA
❤❤❤❤ nimeipenda sana ihi.
Jamani😂😂
Nice
Kazi iendelee
Muchuganji ukovizuri sana
Hii imeenda
Ahaaaaa
❤😂
❤❤❤❤
yni huyo ndio uhalisia wa trafiki wenyewe munakuw marafiki lkn hwn urafiki ht uwafanye vp roho zao mby sana time nyengine asikukamate ww anaweza kukuchomea kwa trafik mwenzake
Syo traffic t jeshi lote kwa ujumla awanaga masihara kazn
Hahahaha fire extinguisher na triangle hahahahah
Siwapendi mbuzi hawa mm hata kwangu askari hapangi na sina urafiki nao kbsa mbuzi mmoja kma wao alishawahi kunidhulumu pesa yngu kila nikifuatilia wanabebana tu
😂
@@AugustineBasil-ok3dgp0p
Hahahaha
Nye sio vzr we Traffic wa mchongo
Unakula bure kwa watu halaf na ww unakaza kisa uko kazini😂
Ndio zao hao
😂😂😂
Kisheria za polisi hutakiwi kumuonea huruma hata mzazi wako maana raia huwa wanatumia kivuri cha ukatibu na polisi kufanya uhalifu uyo jirani hata reseni hana sasa ukiweka ujirani kazini si inasababisha matatizo makubwa
Huo n ujinga na huyo mzazi wako ndio alikusomesha mpka kupata kaz hyo ya upolisi mfano halafu usimuonee huruma wkt hyo serikali ukizingua t kidogo KAZINI WANAKUTIMUA KAMA MBWA
😂😂😂😂😂