Mungu hakumuumba Shetani alimuumba malaika lusifeli, moyo wa malaika huyo ndio uliomuumba Shetani baada ya malaika kushindwa kuulinda moyo wake ndo mana hata Leo tunaambiwa tulinde sana moyo mana chemchemi za uzima hutoka humo.
Akaaa weyeweeee stive mambwinya na ww umemaliza kabisa kumbwinya hakuna malaika alie mkosea mungu kwnza wao sifa yao 1 hawamuasi mungu hawataman hawali hawanywi ssa kumuuas hko vepe
-Ole wenu mnaotaka kujipatia umaarufu kwaajili ya neno langu. Ole wenu mnaotaka kujipatia pesa kwaajili ya jina langu, kwamaana mlishapatiwa thawabu yenu. Vyote tutaviacha....
Mmm makubwa! Hapa sioni tatizo zaidi yakuona roho zakuhukumiana tu. Tuache Mungu ahukuhumu roho za viumbe wake huna uhakika wa nani anatafuta umaarufu kwa neno la mungu yawezekana hata wewe unalijua neno la Mungu kinywani na mistari mingi ya neno la Mungu ila matendo ni zero na ndio walio wengi mistari imejaa kichwani ila matendo utakimbia.
Uko sahihi lkn umeshamuhubiria injiri hata Mara moja maana unamuumbia sawa lkn lazima awe amehubiria hata Mara moja ili unapomwita hilo jina lilete maana tutatoa hesabu ya maneno yote.......
Hatukuja kutembea dunian bala kumwabudu Mungu na acha ujinga Mungu alikuabaliana nn na shetani
Barikiwa Sana mgaya maana hata neno linasema sikuja kwaajili ya wenye haki Bali waliopotea ili kuwarudisha zizini barikiwa Sana mgaya
Mimi mwaka nimeokoka kwakweli masanjamungu akutie nguvu na maisha marefu kama ayubu
Ok
Glory to God
safiii sana mchungaji
Stive nyerere wajumbe
Amen
🔥🔥🔥
Steve uko vizuri tufungue kanisa
Dah!
Duuuu sawa
Steve Mungu hakumpa Shetani Kazi acha uongo
Mungu hakumuumba Shetani alimuumba malaika lusifeli, moyo wa malaika huyo ndio uliomuumba Shetani baada ya malaika kushindwa kuulinda moyo wake ndo mana hata Leo tunaambiwa tulinde sana moyo mana chemchemi za uzima hutoka humo.
Akaaa weyeweeee stive mambwinya na ww umemaliza kabisa kumbwinya hakuna malaika alie mkosea mungu kwnza wao sifa yao 1 hawamuasi mungu hawataman hawali hawanywi ssa kumuuas hko vepe
Na wewe pia umeingia chaka njooni katika uislam mtafam kuumbwa kwa Sheytwan alolaaniwa na kabla hajalaaniwa
@@msuyaothman9591 2lia ww
hujielew ww
Stivu ata mimi nimeona utumishi ndaniyao
Danieli agustino
Asante yesu
Zaburi ya Kwanza heri anayekwenda kwenye mtanga kuliko kwenye karamu
masanja mungu azidi kukuinua zaidi sanaa wewe ni mtumishi kweli amini neno jiamini hakuna lakumshinda mungu
Layk.
Gyhjujj. Mmjlo
Stiv cheza cheza tokomeza 0
Hapo ni kanisani au?
Fiel é Deus awe pomoja n wewe
Kuanzia leo, kwa maneno haya, nitakuheshimu Nyerere!
Wasanii watakupelekesha sana ndugu kua makini
Mbn cjakuelewa
Stivu nyerere
Hahaha... Shetani walikubaliana na Mungu hi mpyaa 😁😁😁😁
Hapo kazingua
Watumishi wafupi kama nani vile😁😁😁😁😁😁yaan watu wa fupi hatuna bahati duniani masanja we ni fala😁😁😁😁😁😁😁😂
Mmmmmmmmmhhhhhh????? Mnatuweka katika wakati mgumu sasa hatujui lipi ni lipi nakwawakati gani ila poa tu
Tivu umeongea point barikiwa
Sritivu mungu na shetani hawana makubariano
Hujuwe wewe?
-Ole wenu mnaotaka kujipatia umaarufu kwaajili ya neno langu.
Ole wenu mnaotaka kujipatia pesa kwaajili ya jina langu, kwamaana mlishapatiwa thawabu yenu.
Vyote tutaviacha....
Mmm makubwa! Hapa sioni tatizo zaidi yakuona roho zakuhukumiana tu. Tuache Mungu ahukuhumu roho za viumbe wake huna uhakika wa nani anatafuta umaarufu kwa neno la mungu yawezekana hata wewe unalijua neno la Mungu kinywani na mistari mingi ya neno la Mungu ila matendo ni zero na ndio walio wengi mistari imejaa kichwani ila matendo utakimbia.
Ndugu yangu hata ww ni shahidi tulikuwa maarufu kabla na kunachofanyika hapa kama umekereka basi unsubscribe ili uwe na amani🙏🏾
@@Feelfreechurch Bwana eeh,achana nao binadam hawana jema.Endelea kupiga injili Mtumishi wa Mungu.Be blessed!
piga kazi masanja, injili ni popote hasa huko misibani maana ni mahali ambako watu wengi wanakusanyika ambao huwezi wapata mahali pengine
Steve bhana wee niwaajabu
Huumsiba ninani alifaliki
😂😂😂
🤣❤
idiha
Kana kashfa za kula hela za rambi rambi An majanga haya mh
Hahahahahahha
🤣🤣🤣
Steve Nyerere ndio nani?
Media za Bongo zinafosi sana...
Ungesoma maandiko usingesema huo upuuzi:. Kweli ni makubalino ya Mungu na shetani kwa kazi anayoifanya shetani ?
MME VURUGWA
Mtihan mkubwa
watumishi wamungu nawapendeni sana
HV wewe Steve ni mhehe? Mana naona kidogo Kiswahili tatizo
sipendagi uo msemo wako wa kusema wangine.
Masanja kawa mchungaji
ahaaa
Yani hii dini wallah vituk vitupu yan sijui hawajielew. Yan majanga tu. 😂😂😂😂😂😂
Majanga gani kama sio wivuuu 2
Yaani ni mtihan mkubwa,, Allah ATUONGOZE hakika...
@@lailahasan2200 alafu kama unaumia vile
Muuaji
@@lailahasan2200 Who is Allah?
mbele endelea kaka Imma ...
Kifupi sikuelewagi masanya
hata Mimi simwelewagi Iseeee
Naonaga ujinga ujinga tu...
Uwez kuelewa ...jithd kutokuw serious xn life is short
Masanja acha kuigiza mpaka mambo ya MUNGU huyu jamaa sio mtumishi kwasababu bado hajaokoka........
Richard Erick Ndugu hujui hapa tunaumba jambo!!
Uko sahihi lkn umeshamuhubiria injiri hata Mara moja maana unamuumbia sawa lkn lazima awe amehubiria hata Mara moja ili unapomwita hilo jina lilete maana tutatoa hesabu ya maneno yote.......
Soma Tena Rply yangu ya kwanza ndo jibu langu,
umeingia rohoni kwa masanja?Ili kuijua kweli si kweli ni lazima uingie rohoni mwake,usihukumu wacha watu watangaze neno
Duuf
Amen
😂😂😂
😂
Fiel é Deus awe pomoja n wewe
Fiel é Deus sim