Tatizo Mby woteeee macomedian..... utacheka tu kuanzia vilabuni, masokoni kwenye nyumba za ibada nk so kuwachekesha kirahisi ngumu.... but keep it up dogo usikatishwe tamaa.
@@uislamutv2573 fatilia kabla ya kutoa comment zenu na muwe na uhakika navo tin white amesha Fanya interviews 2 kwenye hivi nkwel na refresh acha kuposha watu
Wallah khaaa Atar🤣🤣🤣 Walio kipenda Kipindi Cha Leo Tujuane kwenye like
ua-cam.com/video/QStPkwqurv8/v-deo.html
Naomba irudiwe irudiwe
Yaani huyo ni kama Babalevo umeona pua zao
Jamaa anajua sana wangapi wanamkubali
Uyo inawezekana akawa mtoto wa pasta mgogo
Mwagona Zimbombo Nyinzaa nipeni likes zangu kwa kujua kisafwa😂😂😂
Mwagona wamwetu
Izyimbombo
Hayo maongezi wakati mnaongea sikuwepo naomba irudiwe irudiwe he he !!
Tiwili asafwa twe Wana waumbeye
KUNA MTU ANAITWA MC KINATA KAMA UNA MJUA GONGA LIKE 🇹🇿
😂😂😂 ana singeli yake ya kiingereza hyo taabu kwelikweli
🤣🤣🤣🤣🤣
Sema dogo anaonekana hata elimu kichwani ipo 🔥🔥
Dogo shule pia unayo🔥🔥
Like zangu jmn naomba zirudiwe zirudiwe🤣🤣🤣😂😂🤣🤣🤣
Kipindi hii interview inarusha mimi sikua online naomba irudiwe😂
😀😀Irudiweee
Like zangu Jmn 😂😂
Nimekuw w kwanza jaman nipe comment 🤣🤣
Iludiweeeee nilikua cpo online
Dogo anajuwa kujieleza sana 👏👏👏👏
Wa makambako naomba like zangu
Tupo apa
Tupo
Mrija Wa falopio ilinimaliza Mimi kama,nesi🤣🤣🤣🤣
From 🇰🇪
Tz htr tu kdgo umetosoa huyo atapewa kazi tu 🙌💪💪💪💪
Jamani NILIKUWa naomba jamaa Huwa ananichekesha Kweli kudadeki leo ndio namuona
Mboneke kaomba fly over ya ubungo irudiwe akiwepo na yeye🤣🤣🤣
😂😂
Alishuka kinyonge..
Samahani wasafi, tunaomba hii interview irudiwe, irudiwe.... 😂😂😂
Irudiweeeee🤣🤣🤣🤣🤣
Irudiweeee
😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣
Irudiweeeeeeeeee 😅
Daaah hiii jamaaa ni atare de way anavyoongeaga vyenye clip zake anajua bn big up de young 💪💪
He is very bright
Gonga tu like hapa maana mbeya boez tunaua sana mwaisa mboneke😂
Tatizo Mby woteeee macomedian..... utacheka tu kuanzia vilabuni, masokoni kwenye nyumba za ibada nk so kuwachekesha kirahisi ngumu.... but keep it up dogo usikatishwe tamaa.
Ahahahah upo sahihi
Upo sahihi kabisa
Msafwa mwenzangu hongera kwa kutuwakilisha wasafwa
Jaman nimekuwa wa mwisho kutizama hii interview
Naomba irudiwe
Tz fanya vitu vya ujinga ujinga utakuwa star sasa uyu mtu laletwa apo kwa ajili ya vituko tu..
Wapi pier liquid njoo umuone mwenzio uku
Uyu jamani kajulikana kimchezo mbongo jamani sihami
yaan bongo kukupa umaarufu ni dadika chache
Huyu kaka jaman nilikuwa namtafuta maana alinichekesha mpaka mbavu ziliniuma ninakesi naye
Me mpaka niliangukaaa walahi🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ulimtafutia wap uko
Uyu jamaa video zake nime fika mpaka congo Drc hongera sana ndugu yangu
Kijana mbunifu sana Mungu amsaidie🙏🇹🇿
Mwagona Mwanyanje I zyensiku holo whane.
Sana msafwa wa home
Yaani bongo mtu anaefanya ujinga ndo anatoboa
Kama Hamokinyesi
leo picha sio quality
Ht mie nimeona haipo quality
Irudiwe km vipi!!!
Wakina Oscar na mabalaa yetu🙌😄😅🙌🙌🙌
Huyo jama nishida unajua ombi lake likitekelezwa huyo chanjo itakua kwa wanawake kwahiyo wanaume haituhusu naunga hoja zichomwe Huko kwenye hizo falopio. Ataanza kuchomwana nani sasa!!!!
kipindi kirudiwe kirudiwe ha ha ha ha ha
Umetisha sana mwamba wetu wa green city
KEEP IT UP YOUNG MAN, YOUR TALENT IS JUST BEGINNING TO GLITTER. WE ADMIRE YOUR PERFOMANCE, UWHIDADAJE, ALEMBELE MWIHO.
TUNAOMBA VIWANDA VYA BIA KWENYE K VANT MUWEKE KASUKARI KIDOGO MNATUONES JMN HIZI ADHABU
Dogo utanivunja mbavu🤣😂🤣😂🤣😂🤣
Kaichukua Tiktok saiv 😂 Mzee Babloom yukowap 😂
Kwani aliyetembea na Bibi yako si ni Babu yako hawa wengine watabaki kuwa wajukuu tu 😂😂
Daaa jamaaa nomaaaa saaana
Mwamba uko vzur endelea kukaza zaid nakuona mbali🙏🙏🙏🙏
🤣🤣🤣🤣
Jamaaa anajua sanaaaa uyu
Official✔ mambo
Ko unataka kusema fungu LA kumi ultoa buku.. An w kpatochako n mteni tuuu kwa mwezii
Ha ha haaa!
Jmn Oscar mbeya day pale HGL miss snaa
Duh am HGL also
Naomba hiyo interview irudiwe irudiwe maana kipindi mnaanza nilikuwa sina bundle
Wasaf hyo camera man wenu vip ajifunze kwa lukamba
Umejua knifraisha Oscar jmn
Yupo vizuri sna
Napenda huyu jamaa bure. Mcheshi kwelikweli. #fromKenya🔥🔥
Tanzania Ndiyo inchi pekeee Duniani inayo sapoti ujinga
Kweli kabisa yani ujinga TIN WHITE alishacheza movie nyingi za komedi zenye mafunzo ila hajawahi kuitwa kuhojiwa wasafi
@@uislamutv2573 fatilia kabla ya kutoa comment zenu na muwe na uhakika navo tin white amesha Fanya interviews 2 kwenye hivi nkwel na refresh acha kuposha watu
@@samclassic7613 wengine wanaropoka tuh bila kufatilia
Acha wivu, fanya kazi muda wako utafika. Huu ni muda wa Mc Mboneke tukae humo 🤝
Ujinga pia una umuhimu hata kwenye maisha na ndio mana ikawekwa siku ya wajinga duniani pote
😂😂😂😂😂 daaah aisee b gap san yan mgahawa mmeweza kumkamata uyu mwamba na kumhoj ,
Maana anavokimbia cjui wamemkamataje😂😂😂😂😂🙌
eti mgahawa
Watu wambeya bwana!!!
Nampenda mno
Hongera sana
Amekaaa.kama.mmbembe.wakogomaa
Jamani kipindi kirudiwe kirudiwe mie sikuwepo 😂😂😂😂😂
Jamani mabomu ya mbagala wakati yanalipuka mm sikuwepo naomba yarudie
Makofiiiiiiiiii
Yarudiweee🤣🤣
Mnazngua mnakatishana maswali alaf hayarudiwi
Jaman wa2 wa mbey 2ujuan hap
Jamaa ana pua kubwa kama ya baba Levi🤣🤣🤣
Na ww unaonekana una madole makubwa ad kuandika unakosea et Baba Levi 😂
🤣🤣🤣kama koki ya maji
Kama kingereza hamjui tumieni kiswahili tutawaelewa tu eti baba Live najua alitaka kuandika baba Levo ila kaforce kuandika kingereza kikamuumbua😅😅
@Mariam Mahonge ☺
@@chollejr_ siyo vzr
Wakati wa ufunguzi wa redio ya WASAFI sikuwepo naomba urudiwe
Irudiweee 🤣🤣🤣
Irudiwe kwa kweli😂😂
😹
Fire😂
Noma sana 🔥 🔥 🔥
tulikua tunakuona boya now xtar tayar
😂😂🤣nyie nyie
kachangamka sana safi mcc mboneka💪
Eti ile inayofungwa kwenye baiskel,,,eti manati mnazingua haumjui,,,,,manati yanafungwaje kwenye baiskeli watoto wa tailor mazuzu,,
Safii sanaa safwaa boys nimependaa
Wekasidiiiiiiii😁😃😄😆😂
Mc Mboneke sio kwamajina ni kwajina;
Mtu huwa na jina moja na sio majina :
Na ndio maana tunasema #my name is.....:
Na sio #my names are....:
Kafungue shule
😂😂😂😂😂😂eti kafungue shule
Ndo maana mnasema wewe na nani?
We ni mzungu?
Right broo keep it up
💥
Maaana nimeceka tuuu kwa kumuona😂😂😂😂
irudiwee😂😂
🤣🤣🤣
🤣🤣🤣
Huyo sio Mond jaman nani kaeka PC ya munyama Simba hapa
Irudiweeee 😂😂
mc mboneke nimetokea kukuelewa sana cha kukushauri usibweteke na umaarufu
Mwagona hahahahh huyu jamaa bana homeboy
Ni kweli amejipangaje ili asizoeleke na kukimbiwa?
Mwagona ezyembombo nyinza sana😂😂😂
Kwanini unakimbia ila watuu🤣🤣🤣🤣
kwamba ni mim tu ndio natumia Baiskeli sana mpka najua kua manati haifungii mzigo kwenye baiskeli au wote?
Naomba irudiwe irudiwe
Dogo umetisha msafwa org unatuwakilisha vyema
😂😂😂
Mimi naona hawa wanao muhoji huyu dogo bado akili zao haziko sawa lil ommy twataka umuhoji huyu dogo ndo amalizie maelezo yake
Uyujamaa anajua bhana SEMA kibongobongo atapotea kwenye sanaa yake sijui kwanini
Kaza babu
,,,hi clip nnayo,,,,
Nmemkubl xna,,,,
Luku laiki zisi luku😂😂
Kipindi kirudiwe jamn 🤣🤣🤣🤣🤣
Jifunze kupiga mbizi gusa picture hapo
Mungu amuongoze vyema
Sana👏👏
Huyo dogo anachekesha
We nae acha ufala home boy hada salam hjui we so mmbeya boy we msafwa ka msafwa,
mzee baba levo yuko mtaa ukita kucheka😃😃😃
Anapenda kukuna pua huyu kwenye interviewe
Siunaon puaa yenyewe ilivonzito🤣🤣
@@maryamjuma6952 asaa kweli
@@maryamjuma6952 mmh jamani 😂😂😂😂😂
Anaongea kama Ayo Lizer
Mtangazaji uko vzur kufikilia umetisha
Sio kufikilia ni kufikiria
Mimi nina cheza Boxing Naombeni sapoti yenu ili tuweze kuinuana tusongeshe Taifa mbele🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
huyu mkaka ananichekesha jaman🤣🤣
Nakubal sana huyu mwamba mungu ampe maisha marefu
Namwangaliaga sana et iludiwe leli ya magu
Aya mwanyanje tumekupata wasafwa mwenzetu tulolile