Askofu Gwajima alipua moto tena | Atokeza mbele tena kwenye vita
Вставка
- Опубліковано 25 лют 2021
- Dr Josephat Gwajima is the Senior Pastor of a Largest Church in Tanzania. He is also the Arch-Bishop and founder of Ufufuo na Uzima Churches worldwide. God is using him to raise the dead, heal the sick and performing of signs and wonders in the name of Jesus. Follow his Facebook page jgwajima Instagram bishopgwajima
Join our Live Online Services every sunday at 1030 East Africa Time
" Kama unatamani 2025 achukue urais gonga like hapo
😂😂😂😂😂😂Yn kama mm namkubali xana huyu mwamba ni Mzalendo kwelikweli💪💪💪💪
Huyu mbona nirais wa nchi yetu ya Tz ajae??hilo tumelithibitisha na ndivyo lilivyoooooooooooooooooo????
Nanii?
Ana elekea huko huko!
@@simontamba1285 gwajima
Nakataa hofu ya Corona ishindwe ktk jina na yesu 🇹🇿🙏
Nafurahia sana mtumishi wa Mungu anavoongea kwa vitendo muda wote! Barikiwa Sana Sana Sana. We love you!
Tuko pamoja mtumishi was mungu
Yesu ni mshindi
Yaan amen!!! Askofu kweli ww ni askofu yaan BWANA YESU akutie nguvu sana, ahsante sana kwasababu ww una moyo wa ushujaa sana.
A true man of God,,, natamani huku kenya tungepata watumishi kama hawa
Kwa mtaji huwo wa kumutegemea Mwenyezi Mungu bwana gwajima hapo sina swali hapo msaidieni mkuu wetu wa nchi ili shutuma zidi yake zipunguwe niwaombeni ndugu kwa hili tushikamane sote tuwe kitu kimoja tutashinda MUNGU NIMWEMA...AMIIIYN...!
Amen Asante Yesu ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu kwakweli nmebarikiwa 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Amen. Ishi Tanzania kwa nguvu za Mungu. Hama corona kwa jina la Yesu, hofu ondoka Alleluya🇹🇿
May the Lord Jesus Christ of Nazareth Bless you Man of God
Asante mtumishi maana mwenye haki wangu ataishi kwa imani
Ameeeeeeeeen my Daddy Gwajima napokea mapafu yasiharibika kamwe Kwa jina la Yesu
Gwajima safiii mungu Akubariki nikweli mie niko uku oman nakuambia mwanzoni atamimi nimeuguwa tukaangaika kwenda kumuona DAKITARI AKUONA UGONJWA NIWAMUDA MLEFU UGONJWA BC TU WALIKUWA AWAJAUGUA WAOGA KWELI TENA
Emen baba hakika wew ni sauti ya Mungu nakataa Covid19 katika jina LA Yesu🙌🙌
Wengi kama wewe walijifanya wana imani kali wakaperish. Walikunywa sumu wakidhani hawatokufa, waliogelea majini wakidhani watatembea juu, wote wakafa
Na nyie extremists ndio mtairudisha nchi nyuma
Amena baba! Nakataa corona kwa Jina la Yesu.
Tina usimsikilize kila anaye litaja jina la Yesu kuna wengine wanalitaja mdomoni na sio moyoni
AMINA AMINA KUBWA🙏🙏🙏 MUNGU ANASEMA YEYE NDIO KILA KITU YEYE NI ALPHA NA OMEGA
ⁿⁿ
0000000000
Preach jemadari was Yesu Kristo asante can't have nami naafiki nawe Alleluia kweli kabisa🙏🇬🇧
Mtumishi naomba tuwasiliane wasap +255767204792
Ubarikiwe zaidi askofu. Mungu akupe kuishi sikunyingi ili ufundishe ulimwengu kuelewa
Sauti hiyo inatosha kabsa, haina haja ya kuongeza baba, imefikaaaa🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Kweli kabisa mm huwa ananitia nguvu sana Mtumishi
Kenyan... Watching and following from Doha... Umenikuwa wa ufunuo na kweli katika maisha yangu...
MUNGU AKUTIE NGUVU UENDELEE KUOKOA WATU WA MUNGU... MANENO YAKO YANA NGUVU... YANAMEA KWA MOYO WANGU.
ni mbunge wa kawe now
@mathias sielewi
@@mathiasmsese6128 bado ni MTUMISHI WA MUNGU ALIYE HAI
@@mathiasmsese6128 Ni mbunge na Ni Bishop hapo Sasa ,akienda bungeni anapiga injili akija kanisa injili inaendelea. Go deeper papa, mpaka korona iyeyuke Kama samli
@@neemamasimba2981 amen
Only those who are in true spirit of God can understand what this man is saying.
Natal an in wekeyutubu
Ameni
Amen mtumishi
Ameen
@@charlesmapunda5905 ni vizur kuwa mhumili
Very good Gwajima!!!!Ubarikiwe sana
Barikiwa sana baba Askofu, nimebarikiwa na ujumbe wako, tangu nianze kufuata maagizo yako na kufunga na kuomba hapa kwetu Bungoma Magharibi nchini Kenya korona haijaua watu kwa maeneo yetu. Nilizunguka eneo hili na ukuta wa moto.
Hallelujah. Amen Like mount Zion so we are, we shall not be moved.
You are so right Bishop,
Sema tukombolewe tupate kupona.
Thank you Mtumishi kusimamia Neno si kama wajiitao viongozi wa dini wanaokana Neno la Mungu. Mungu atatupigania sisi Mabaki yake. Tangaza ufalme tupo pamoja nawe.
Mchungaji Godda
Ameeen ...sitakufa wala familia yangu uzao wangu na watu waTaifa hatutakufa na co19
Ameelaniwa amtumainiye mwanadamu amen
Maasikofu wanatumaini barakoa!!!!! Badala ya Muumba wetu. Wanadiliki hata kuilaumu serikali!!!! Waumini tukimbilie wapi?
@@edwardmizambwa237 ni kweli
Imeandikwa mji usipolindwa na BWANA alindae Akesha BURE ( Ameen mtumishi wa Mungu)
Amen mtumishi hakika wewe ni CHUMA, Mungu azidi kukutumia kwa viwango vya juu💪💪💪
Nakataa
Nataa kwa jina la Yesu
Amen mtumishi wa Mungu aliye hai, sintakufa nakorona Mimi pamoja na familia yangu na ndugu zangu kwajina la Yesu,sintaogopa Yesu ameshinda mauti hata milele
What I should say is TANZANIA is blessed,God bless you MOG
Asante mtumishi hapo umeinua imani yangu maana tumechoshwa n.a. watu wasiyomwamini Mungu ubarikiwe
Ni kweli kabisaa Baba hii Mitandao hii ndiio balaaa ya kila kitu . Nimekukimbilia wewe Bwana nisiaibike Milele . Yaani ni Mungu pekee ndio tegemeo letu. Tumeshaumwa wote basi tu haya Mahofu ndio balaa. Siogopi kwa Jina la Yesu.
Askofu Gwajima nisamehe nilikuwa nikuelewagi ila kwa hili Umenitia Imani na MUNGU Akupe Afya njema 🙏
Mwenyezi Mungu atatuvusha katika hili janga. Asante kwa kutokomeza woga kwa Watanzania Askofu. Hakuna kinachomshinda Johova. Tuzidi kumuomba Baba aliye hai na kumtegemea. Alleluya
Izo bangi tu? Kwamba nawewe ni mchungaji sasa apo ndo umehubili nn
Gwajima wewe usituchanganye wewe ni waupande gan serkali am upande wa Mungu
Kanyaga twende babaaaa.......mtumishi wa Mungu.
MUNGU akubaliki sana Tundulisu ndiye anawatisha wa Tanzania kwa hasira yake yakijinga
Hill tundu ni mbwa koko na lilegee.
Imani tunayo, ila tunati tu sheria. Kama vile Kristu anasema yakaisari mupe kaisari. Ila tuombeyane. Safari ni ngumu. Pia korona hakuna ila tukuze imani. Kwa sababu hari ya munyama inatisha. Fuguweni masho. Na Mungu wa rahisi Magufuli apewe sifa. Tena kubukeni kumuombea Magufuli Mungu akulinde sana.
Mungu mlinde mtumishi na rais wetu magufuli.
Asante mtumishi wa Mungu kwa kukaza imani, nimepata jambo, tumtumaini na kumwamini Mungu kuwa anaweza.
Amina
Amtumaniae mwanadamu amelaani roho ya uogaah Hamaaa kwa jina la yesu
Ubarikiwe sana Askofu kwa kweli umenisaidia sana
Nimekubali ana nawe waondoe uvivu Hao Wana kawe God motivational Asikofu AMEN
Tatizo anategemea kisicho tegemeka tegemeeni Elohim Yahuwah alietegemewa na Ibrahim isaka na yakobo mulungu wa watanzania hataweza hilo
Mungu wa watz ndie MUNGU wa Isaka na yupo hai mpaka leo. Upooooo
@@kahungu1able MUNGU wetu ndie MUNGU wa waTZ. Upooooooo
@@edinanchimbi702 Nili Manisha kwamba vijana waondoe uvivu wamsikilize Asikofu Ni Maono mazuri Kwa Maisha Yao Good motivational Ni uhamashishaji Bora kwao
@@edwardmsongelwa5455 sasa nimeelewa. Ubariwe
Be blessed pastor. God still loves Tanzania
Asante baba sema napenda kazi yako
Umenipea nguvu sana.. watching from Kenya...
Dunia inahitaji watumishi wa Mungu Kama huyu...haleluya
Siyo kina Bagonza
Asante sana mtumishi wa mungu kwa msimamo wa imani ulio nayo
Amen inaeleweka man of God (methali :20:5) God blss you.
Hakika nimetiwa nguvu na maneno ya mtumishi wa MUNGU.
Baadhi ya Maaskofu wenzako hawakuelewi!!!! Sijui ufanyeji Askofu wangu. Kwa mazingira haya tumaini liko kwa MUNGU TU.
Preach it ask if I wangu ni kweli kabisa ongea pasua kabisa🙏🙏🇬🇧
That's my only man of God. I so love this vessel of God almighty.
Ameeeen, barikiwa mtumish wa Mungu
Mm. Mwiislam. Ila kweri timuamini Mungu pia tuache kufanya zambi Mungu atatutolea maladhi yoote lnshallah
Hapo nimekupenda bure,unasapoti vitu unavyoona vinakusaaidia
@@sarahmsangi7243 hakuna ujanja nikuruditu kwa Allah yy ndiye katuletea malazi na atayatoa lnshallah
Tumeirudisha corona
kwa la Yesu.⚓👩👦🙏
sauti ya mtumishi wa mungu
Safii Dr nafatilia maubiri yako mimi islam pia mpiga kura wako
Wewe ni sauti ya mungu,neno la mungu nalisikia kupitia wew naweza kusoma na kuandika,lakin sielewi ila wew unatujenga na kutufundisha kujitegemea ata kama hautakuwa mchungaji leo naweza kusimama pekeangu mungu awe nasi Tanzania
Haya mahubiri yanatufaa sana hasa kwa wakati huuu
Amen Baba sitakufa na corn kwa Jina la Yesu
AMEN AMEN AMEN this is a powerful message
Real
Amina,watumishi wote wangekuwa na Imani Hii.Tanzania tungepona
Amina Mchungaji. ww bingwa!!
Mungu akutie nguvu mtumish bishop kwa ujumbe mzuri
Amen semasema Baba mtumishi
Amen Mungu ndie kimbilio na nguvu na msaada.
Moto juu ya Moto gwajima tuko nyuma yako
Haleluyah Haleluyah Haleluyah Utukufu Sifa Heshima na Adhama anastahili Mungu Mwenyeenzi corona bye bye hakuna Corona nakataa kwa Jina LA YESU Mungu Baba katushindia asante Baba na Mungu wetu kwa Kutushindia
Yeeeeeeeeees !! Hongera sana .
Nakataa kwa jina la YESU Ameeen
Huyu ni askofu wa kweli tofauti na wale
Eimeeeen Bishop God is with us as a nation
No Fear No Corona
Umenena HAKIKA 🙏🙏🙏
Asante mchungaji upo vizuri sana!!!!
Wooo! Woow! This is right and fabulous
Ameeeen jina la bwana lihimidiwe daima
👊👊👊👊kula tano baba ss huku ulaya tunavaatu kufata sheria ila tunamsimamo kama huu ndani mwetu maana aliendani yeti ni mkuu kuliko covid hallelujah!
Tupo pamoja tunaomtegea BWANA JEHOVAH
Hongera babà.
Massege saa ufufu na uzima uwa sinaninjenga sana
Amina mchungaji Mungu atuwezeshe kumtegemea na hofu ishindwe kwa Jina la Yesu
TANZANIA TUMEPENDELEWA NA TUNA VIONGOZI WENYE IMANI NA TANZANIA ITASIMAMA KWA JINA PEKEE LA YESU KRISTO WA NAZARETH
Mungu wetu hapendi wajinga kama huyu mch
Barikiwa mtuele wa MUNGU
Kweli gwajima tanzania inakupenda sana unamuenzi magufuli kwelikweli nakutabilia kuwa rais ongera
Yeah, you right man of God
Ameen baba Askofu gwajima Mungu wetu wambinguni akulinde
Siogopi kwa jina la YESU Ameeeeeen
Hongera sana .
Ameeeeeen!!Yesu atasmama.
Sauti inatosha mtumishi upo sahihi ujasiri useme kwa vitendo kwa nn? Hofu? Mungu yupi mabaya yote yarudi kwao waliyopanga na kutufanya watumwa kwa magonjwa na mengine yaliyotarajiwa na yamegeuka yawe yooooo!!!!!
Ameen kwajina la yesu hatupatwi na corona
Am greatly aspired
amna ubarikiwe vita tutaishinda kwa jina la yesu
MUNGU AKUBARIKI SANA SANA KAMANDA WA YESU KRISTO SHETANI AMEONA WEWE NI RUNGU LA BWANA NDO MAANA AKAONA AKUZAWADIE UBUNGE WEWE ULITAKIWA UKAE KWENYE NAFASI YAKO YA KUMTUMIKIA MUNGU TU SIYO BWEBWE ZINGINE.
Ubarikiwe mtu wa Mungu, zaburi 91:5-,,
Amen amen baba ubarikiwe saana babayangu
Asante sana
Aminaa kubwa🙏🙏
Amen Man of God