Askofu Gwajima atoa ya moyoni kuhusu Mama Samia Suluhu | Atoa ushauri kwa serikali
Вставка
- Опубліковано 20 бер 2021
- Dr Josephat Gwajima is the Senior Pastor of a Largest Church in Tanzania. He is also the Arch-Bishop and founder of Ufufuo na Uzima Churches worldwide. God is using him to raise the dead, heal the sick and performing of signs and wonders in the name of Jesus. Follow his Facebook page jgwajima Instagram bishopgwajima
Join our Live Online Services every sunday at 1030 East Africa Time
Tu me fortifie Frere Gwajima. Je suis pas Tanzanie suis burundais mais un burundais qui suivait de près les œuvre de notre Héros d afrique John Pomb Magufuli. Il etait un homme incroyable un Panafricaniste. Que le Seigneur exauce tes prières et que Maman Samia accomplisse ce que Magufuli a commence. Ninawapenda sana ndugu wa tanzania pigo hili msiba huyu sisi wote umedufikia. Poleni sa
Ninamushuru Mungu kwakututiya moyo baba nakutupa tumaini lakusonga mbele. Mimi si mu Tanzania lakini nilimepnda sana Magufuli baba ya wa nyonge
Ubarikiwe sana kwa upendo wako!
Amina kwa maneno mema saana hayaa
Bishop Gwanjima is very very correct,i love this man of GOD?ANASEMANGA UKWELI HATA IWE NINI!!!
Kabisaaaa
Asante kwa kutufariji najua kunawatu awataki kusikiliza ukitupa mistar y mambo y siasa wanaumia mbona unaogea inawauma
MORE GRACE MAN OF GOD🔥🔥🔥🔥🔥❤
From Kenya, may God bless Tz, May lord protect u
Ameeeeeeen.
Bwana ni mwema hakika atatenda miujiza katika inch yetu ya Tanzania R,I,P. JPM. 🙏 asante askof gwajima Kwa uzalendo Wa kweli AMANI! 🕊🕊🕊🕊
I was waiting to hear from you Baba.
Kumbukeni huyu MAMA ALIFANYA KAZI KWA KARIBU. SANA NA JPM Sasa mengi wamekuwa wakiyafanya PAMOJA Sina Shaka Na Mama Samia huyo Ni JPM KWENYE MWILI WA MAMA bila Shaka MSI hadaike Na Urembo wake MAMA JPM YUPO KIUTENDAJI NA UFANISI MKUBWA KWANI MAMA YEYE NI MWEPESI KUONA KAMA MAMA TUSIWE NA SHAKA
Ni Kweli lakini nimepigwa Na butwaa kutokana na jemedari wetu kututoka hata hivyo bado tupo kwenye mikono Salama ya MAMA SAMIA kwani Ni mwanafunzi mzuri sana hata ukifatilia jinsi ALIVYO fika hapo alipo utaona kwamba huyu mama Ni Chuma cha Pua kama sio JPM mwenyewe Atafanikisha Kila unacho kifaham tusiwe Na Shaka kwani usitegemee Approach to be the same but you will see the movement
Nice preaching profit gwajima.
sio profit ni profet
AMEN 🙏 ni vivyo hivyo kazi ya Magufuli Duniani imekwisha sasa nikusonga mbele na tuvipigane vita Vizuri....tumpe Support na LOVE❤️ MAMA .
Habari Tamu sana ya Kufariji na Kip’s Matumaini...Asante sana YESU KRISTO NI YULE YULE ASIYEBADILIKA JANA LEO NA MILELE.
Unanibariki Sana mtumixhi natamani uwe Joshua wa badae
Tunatamani Joshua wasasa pia ajikite kuwatetea wanyonge piamwenye moyo wakuthubutu Kama magufuli
Nayo yatende vivyo hivyo katika jina la yesu
Holy Spirit speaking through you MOG, more grace so powerful
Mussa,Joshua umenikubusha!
Kusema kweli Gwajima umebarikiwa sana
Nampenda sana anajua kufariji na kutia moyo
Ila asitudanganye tena kama anafufua watu
@@machintangachibwena5922 Hahahaaa tushajua janja yao
Piya ana uweezo wa kufufua lakini sijuii kwanini hakufanya hivyo pls niuliziye broo
Je wakati Yesu alikua duniani alifufua kila mtu!!!!?.
Only few were resurrected. So stop this nonsense of trying to undermine God's power
Barikiwa sana mtumishi, watanzania mjichunge sana na hawa watu wanajifanya marafiki wanafiki sana, wanataka kuwapotosha na vibarakoa vyao, Mungu ailinde nchi nzuri ya Tanzania, muwe na msimamo kama baba yetu Magufuli..maana Mungu ameichangua Tanzania kuwa kama rescue ya watu duniani...our new president of Tanzania you're the Joshua of our generation, do not fear be courageous God is with you.
Amen ndugu! Ubarikiwe sana kwa maneno yako mazuri na yenye ujumbe mzuri kwakila mmoja wetu anaethamini maslahi ya nchi yetu Tanzania
Namshukur mungu ulichaguliwa n Rais pia ww mungu alikuwa n mpango kamili n we ivyo nyie shikaneni mikono viongoz sisi tuko nyuma yenu
This man is anointed!!!!
No No No
Amina mtumishi kwa kumbariki Rais wetu Samia na kutupa faraja! Tunamshukuru Mungu kwa zawadi ya uhai wa Magufuli apumzike kwa amani
Nakukubali xana Mzalendo mwenzangu 👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼
Amina baba nipo kenya nawaona vizuriii saana barikiwa mpaka ushangae
God bless you watching from Salt Lake City ,Utah 🇺🇸 Amina❤️🙏🏽
Kitaeleweka tu, hili taifa limewekwa na Mungu ili mataifa mengine wajifunze. Asante baba askofu kwa kulitia moyo taifa.
Umeonaeee 🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼
Mataifa yote ni ya Mungu
Hakuna taifa lisilo la Mungu usikashifu wengine kwasababu ya Magufuli
Hallelujah hallelujah Glory to God.Jehovah Nisi bendera yetu ya Ushindi
Ameeeeen Joshua.Samia Suluhu Hasani tupeleke nchi ya ahadi Mungu alipo tukusudia Mungu akupe Afya njema 🙏🙏
Good advice indeed.
Godbless you paster
Tuangazie nuru aliyo kuwezesha Mungu kuiona,,maana kuna Watu
hawana Uzalendo wa hofu ya Mungu
ktk nafsi za
Bwana Yesu asifiwe!!!
Amen daddy God bless u pastor
👏🏿👏🏿👏🏿
Asante baba tuungane kama wana wa MUNGU
Nimekuelewa sana askofu viongozi wetu wanatakiwa wawe makini sana maana inaonekana vibaraka wa hao mabeberu tunao umu umu nchini inatakiwa tuzidishe sana kumuomba Mungu ili atushindie vita hii tuwaunge mkono viongozi wetu na wao km kunatokea tatizo lolote LA nchi wawaite viongozi wa dini ili tuliombee tatizo litaondoka kwa uwezo wa mungu watanzania tushikamane tuliombee taifa letu na Africa yetu
Dawa ni kusali na kuomba kwa Imani ili Mungu atuepushe na mabaya yote yanayopangwa na afui wetu wanaoonekana na wasioonekana! Kila mmoja akae kiroho. Tusamehe na kuwaachilia wote waliotuumiza.
Kweli kabisa mungu huwajuza watumishi habari ili kutujuza bwana wa majeshi akubariki bishop gwajima nimekuelewa
Ww unataka sadaka tu huna uwezo wakumsimamisha mtu wala kumlaza mtu MUNGU pekeee ndo anaejua maisha yetu sio ww na kelele zako hizo
Asante MUNGU MKUU kwaajili ya mtumishi wako.
Do not fight what you cannot change,,Gwajima anaweza sana sana..anaonaga mbali mapema sana.
👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿
Kwa hili mm nakupongeza sana Askofu Gwajima, utumishi unatakiwa hivi sio kuwatenganisha watu
Your anointing is in another level, I'm blessed so much with this sermon,may Almighty God uplift you from glory to glory
Amen kubwa ,kamanda wa Yesu,💪
Mungu wetu yuko hai tuko pamoja🙏
Asante baba Askof kwa maneno yako ya faraja. Tunakutegemea wewe baba kupitia kwa MMungu In Shaa Allah
Amiin
Ooh yes!am happy 4this and this will happen in the name ov Jesus
Ameizing message
Amen, they is hope , hallelujah hallelujah hallelujah ❤️
Bishop Dr. Gwajima unafaa sana kuwa makamu wa Rais na Mungu akalithibitishe neno hili.
Yeah makamo wa rais anatakiwa kuwa mkali
Kama kawe mpaka sasa hatuoni reaction yoyote itakuwa makamu wa raisi
Kama kawe mpaka sasa hatuoni reaction yoyote itakuwa makamu wa raisi
Mungu akuangazie akuna shaka kwa hili usemalo mtumishi
Asante sana mpakwa mafuta Haleluyah,Amina Amina..
Like this nchi ya BWANA YESU, nchi ya MUNGU
AappP
Ameen Askof
Ila ulikuwa kimya Sana'a
Mungu ni mwema
Amen tumesha fanya maombi kuusu mama samia Mungu wetu atamuongoza vzuri
Blessed 🙏
Amina Mh Gwajima tunashukuru kwa maneno mazuri ya kututia Moyo na kutufariji hasa sisi wenye mawazo mengi Mara baada ya kuktutoka baba yetu Kipenzi Magufuli wetu
Gwajima anaweza kufufua watu, amfufue raisi
@@binyamina8850 HATA KUKU HAWEZI.
Siasa na dini ni vit tofauti usituletee usengeeee
Waaooo askofu mbunge umenena
Amen
Greaty
Ameeen So powefully surmon
Amina amen Amen 🙏
Amen we believe in Jesus Christ name.
Unatia moyo Baba
Amina Amina tunayashika kwa Jina la YESU ALIYEHAI
Haleluya. Mtumishi umenena vema sana. Wakati wa Musa wetu umeishia hapa sasa tunaongozwa na Joshua yani Mh. Samia. Kweli Mungu amewasuka kila moja kwa namna yake. Tutafika tuendako kwa jina la Yesu. amen
Mungu na akubariki kwa kutiamoyo taifa.
Mwenyezi Mungu aendelee kukubariki ndugu kwa kuleta uwiano na undugu TZ
Sasa mtumishi wa mungu ninaomba mungu akupe maono ya kugombea urais kwa uchaguzi ujao..
Zidi kumuombea Maana Mungu ashindwi
Tumuenzi J.P. M kwa kuongeza muda zaidi wa kuchapa kazi zaidi.
Ahsante Mtumishi wa Mungu
Mungu akubariki mtumishi
AMEN ..AMEN
AMEN
AMENI
Amen
Tafadhali msimame na mama na mumuunge mkono.
Maneno ya madhabau tuliyangoja na tulitegemea maelekezo kutoka mbinguni we love you Daddy
🙏JESUS ❤️
👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿
Umeongea ya busara sana,una muono Kama wa kwangu nami ndivyo nilivyo hongera sana Mungu akubariki,
Inna lilah wainna lilah rajiun Jpm alale salama. Tuliobaki tumshukuru mungu kwa yote tusonge mbele watanzania amin
Jael wetu
Amin 🙏
Baba kwa kweli ww Ni faraja hafu nikiona we nahisi namwona magufuli barikiwa Sana baba
Amekufa na ametuahidi kwamba tusiogope korona ameniachia iman kubwa Sana siogop korona, ww na baba magufuli mmenifanya nisiogope korona asante
Safi Sana mchungaji gwajima
Aleluyaaa. Babaa
Actually B shop you too much Daddy!!!😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌👍👍👍👍👍👊👊👊👏👏👏👏👏👏👏
Gwajima wewe ni mtumishi wa Mungu
Askofu gwajima magufuli his pacemaker was hacked by lisu to switch his devise if you know his hospital data you can kill some one lisu is a person who killed by lisu and his friend
MTUMISHI WA KAWE.
Mtumishi wa Mungu unarofanya ni zuri kumwombea raisi. Ila sasa una maadui wengine wanaukua against na ww na wanajiita watumishi w Mungu. Hawataki kusamee wala kuwa na upendo wa Yesu. Ila Mungu yupo.
Nakuelewa sana Mchungaji, neno lako na liwatie moyo na faraja TANZANIA
Amen barikiwa sana Bishop
Barikiwa Dr Bishop Ngwajima
Amina mtumishi ubarikiwe
Thanks dady
Safi sana kaka mchungaji gwaj boys
Nilikuwa nangoja Neno kutoka kwako mzee
Hakika
Getrud Gabriel,,Asante San mchungaji kwa maubiri yako mzr,,,kiukwe umetupa Faraja
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu
Vita vipo kweli kweli
Powerful
Amina baba
Ameni Baba mkono wa Mungu Uko juu yetu
Amina baba Mungu akubariki
Aminaa
Nguvu ya Mungu inazidi kuonekana
Spoken well man of God
Aminaaaaa
Aminaaaa
Amina
Ubarikiwe mtumishi wa bwana
Powerful words
Bishop hakika ww ni mtumishi wa mungu
Kabisaa tuliombee Taifa letu Kuna mambo mengi Yanatokea na yatatokea mbeleni Mungu ibariki🇹🇿
@@bernardoleonard7331 Ni kweli taifa linahitaji maombi tusirudi tulipotoka
Amen amen