MBUNGE LUSINDE ACHARUKA BUNGENI "HATUWEZI KUKUBALI WANAOMSEMA VIBAYA MAGUFULI, LEO NAJITOA MHANGA"

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 12 кві 2021
  • Mbunge wa Mvumi (CCM), Livingstone Lusinde amewashukia wabunge na viongozi wanaopinga mambo mazuri yaliyofanywa na Rais wa awamu ya tano wa Tanzania, Hayati John Magufuli.
    Lusinde ameyasema hayo leo Jumanne Aprili 13, 2021 alipokuwa akichangia mapato na matumizi ya fedha ya ofisi ya waziri mkuu na taasisi zake mwaka 2021/22.
    Amesema haiwezekani kuwa na amani na utulivu wakati kuna watu wanamsema vibaya Magufuli akibainisha kuwa haiwezekani kuwa na viongozi wanaojaribu kupinga mambo mazuri yaliyofanywa na Magufuli.

КОМЕНТАРІ • 690

  • @moleopardonlinetv7151
    @moleopardonlinetv7151 3 роки тому +58

    Safi sana Mbunge wangu Lusindeee ,,mvumi oyeeeee achia like twende pamoja🔥🔥🔥

    • @zainamohamed4300
      @zainamohamed4300 3 роки тому +1

      Mbunge wa wap

    • @milomohamed7201
      @milomohamed7201 3 роки тому

      @@zainamohamed4300 sukuma gang hao watabwabwaja sana lkn magu harudi tena.

  • @jozeeamos1160
    @jozeeamos1160 3 роки тому +30

    Yaani kiukweli nimefarijika sana kuona wazalendo wana mtetea Hayati Magufuli kiukweli kafanya kazi Kubwa sana na tumeiona hatujaadisiwa hongera sana Lusinde R.I.P Jemedari wa Africa JPM.

  • @chido_wa_south2171
    @chido_wa_south2171 3 роки тому +71

    Umetisha Sanaaaaa,Yani Leo nimefurahi kuona kuna watu wanaojisikia vibaya kama Mimi Anaposemwa vibaya Ayati Rais wa wangu wakati Amefanya Mambo makubwa Sana kwa taifa Lake.👏👏

    • @juliethhope7281
      @juliethhope7281 3 роки тому +3

      Even me jmn.ilikua ina niumiza sanaaa.mnooo.aisee

    • @ibel4lf
      @ibel4lf 3 роки тому +4

      Mimi ni namba moja wakimsema vibaya naumia mnoo siwezi elezea

    • @milomohamed7201
      @milomohamed7201 3 роки тому

      @@ibel4lf nini kinachokuumiza wakati yeye kaumiza wengi?
      Wajinga sana nyie

    • @ashamwandu6572
      @ashamwandu6572 3 роки тому +2

      Wapumbavu waliokuwa wanamsema baba yetu magufuli,washike adabu zao,ilikuwa inaniuma kupita maelezo,tuwe wasitaraabu,Marehemu alisema mnikumbuke kwa mema sikwamabaya,jitambuweni waje.

    • @saitawilson7307
      @saitawilson7307 3 роки тому

      Hamnizidi Mimi😭😭

  • @magdalenachubwa9388
    @magdalenachubwa9388 3 роки тому +31

    Mr. Lusinde ulikuwa wapi jamani?? wananchi tulishaanza kuhuzunika kuona vijana wa Magufuli, majemadari aliowaacha nyuma mmekaa kimya. Asante sana, you have made our day. Magufuli hawezi kuchafuliwa na nyie mpo jamani. Ametutendea mema mengi sana watanzania na aliipenda sana nchi hii na akaitumia kwa moyo wake wote. Thank you Lusinde!

  • @sharifakongwa4494
    @sharifakongwa4494 3 роки тому +11

    Kwakweli leo nimepata tulizo la moyo wangu na nimepata faraja kwelikweli kwa kumsikia huyu mbunge lusinde akiwa anamtetea JPM na kuona mazuri mengi aliyoyafanya wakati wa uhai wake. Natamani kama ungekuwa mbunge wa jimboni kwangu, najuwa ungetuletea maendeleo saaana. Big up lusinde.

  • @onesmojeremia9713
    @onesmojeremia9713 3 роки тому +117

    Wewe na Majaliwa mnaendelea kunipunguzia maumivu baada ya kuondokewa na shujaa wangu Magufuli, kwa kweli nafarijika sana, Ahsante sana

    • @catherinemuthoni1237
      @catherinemuthoni1237 3 роки тому +4

      Ameeeeen kweli mwondoen

    • @Manumbu
      @Manumbu 3 роки тому +7

      Na polepole wanatufariji kwamba bado tunaviongozi wasio wanafiki

    • @maloomaalmnsj5111
      @maloomaalmnsj5111 3 роки тому +3

      @@Manumbu umeonaa ee

    • @monicahovda5890
      @monicahovda5890 3 роки тому +4

      Watu wanadhani Akili ni za Darasani tu. Akili, kila mtu alivyojaliwa. Akili na Maarifa vinaenda pamoja. Kuwa profesa sio mwanzo wa akili au Maarifa nope

    • @magretha1622
      @magretha1622 3 роки тому +2

      Ongea baba ongeaaaaa upo vzuuuuuuriii

  • @twalibmfaume3179
    @twalibmfaume3179 3 роки тому +15

    Am happy for this maana naona walianza kumchafua mzee ilikuwa inaniuma Sana, huyu mzee ndo kiboko Sana

  • @joriteboy4231
    @joriteboy4231 3 роки тому +26

    Lusinde Lusinde pongezi kwako mheshimiwa big up Rest in peace president John Pombe Magufuli 🇹🇿🇹🇿🇹🇿😂 ilove you forever Deus graend papaa

  • @hidayaswai3119
    @hidayaswai3119 3 роки тому +7

    Tunashukuru Mh Lusinde. Hawa wanaosema hovyo wakumbuke hiyo ni njia ya kila mtu na ukifuatilia vema ni wenye uchu wa madaraka. Hatutakaa kimya kwa wasema ovyo sababu wanatuingizia msumari wa moto kwenye kidonda ambacho bado kinavuja damu(msiba wa Magufuli).
    Viongozi wa namna hii hatuwataki sababu wanatuumiza.
    Washike adabu kabisa,huo ni utovu wa nidhamu uliokithiri. Watu wa namna hii narudia tena hawatufai.
    Wanayowaropoka ni jinsi walivyo wamevaa kondoo kumbe ndani hawafai.
    Alafu wasemaji ni watu fulani ambao hawana hata madaraka yeyote. Jamani Raisi ana washauri wake na si kila mtu hata wapita njia wataki kutusemea. Uhuru wa vyombo vya habari ndio huu?!
    Wanajikuta wanajua kumbe wanajidhalilisha

  • @sannycpaul9423
    @sannycpaul9423 3 роки тому +24

    Fact Lusinde anaakili Sana

  • @johntuju3693
    @johntuju3693 3 роки тому +15

    Woow!! Huyu Mbunge Lusinde na Hamprey polepole na Majaliwa ndo hakika wanamuenzi JPM ila zingine ni takataka tu.. atleast mnanipa amani ya moyo! Ahsante Lusinde.. well done, na hiyo ni salaam tosha kwa Spika! Lusinde hujawahi niangusha hata siku moja..

  • @nicksam78
    @nicksam78 3 роки тому +25

    Mh Rais alifanya yale aliyowezeshwa na Mungu na hata sasa yafanyike kwa uwezo wa Mungu kumsema vibaya marehem sio sawa.Ahsante mbunge kwa kujilipua🙏

  • @mikawanene6439
    @mikawanene6439 3 роки тому +2

    Hongera mheshimiwa LUSINDE. kweli wewe una Elimu ya juu, tene ni Profesa wa HEKIMA NA BUSARA.
    Mungu akubariki sana.
    Na NEC UMEPITA BILA KUPINGWA.

  • @dinachiwanga8913
    @dinachiwanga8913 3 роки тому +19

    Yani leo nimefurahi sana niliku nimekataa tamaa kusikiliza bunge niliumia sana kwa kusemwa hayati magufuli

  • @albertkivinge7996
    @albertkivinge7996 3 роки тому +15

    Waaaoooh waaaoooh hawa ndo viongozi wazalendo..big up Mr.MP

    • @happymrema6728
      @happymrema6728 3 роки тому

      Maprofesa ubabaushaji Bora waendeshe watu wasiokuwa na elimu

    • @albertkivinge7996
      @albertkivinge7996 3 роки тому

      @@happymrema6728 Kilichobaki kwao ni U professor wa mdomoni ila hawana uwezo wa kufikiri na kuleta mambo chanya kweny jamii yetu

  • @alfreddotto7911
    @alfreddotto7911 3 роки тому +2

    Asante sana Mh. Lusinde! Mungu akubariki kwa kuyaona hayo! Naamini bado tuna azina ya kutosha ndan ya Bunge. Watanzania tupo tunasali sana kwa ajili watu kama ninyi. Big up mheshimiwa! Keep it up.

  • @seifibrahim3883
    @seifibrahim3883 3 роки тому +5

    Mh. Lusinde upo on point, watanzania msisahau fadhila na legacy ya hayati will live on forever. ✊

    • @mrsinia3064
      @mrsinia3064 3 роки тому

      Samaan kwa kuuliza ndg hiv mh.lusinde ni mbunge wa jimbo gan

  • @michaelkatepa9901
    @michaelkatepa9901 3 роки тому +11

    Nafarijika sana kuona hayati Magufuli amepanda mbegu bora kwenye vijana wa Kitanzania ambayo itatunzwa na kulindwa kwa kizazi na kizazi. Mh Lusinde nakupongeza sana kwa kauli yako uliyoitoa bungeni kuhusu kazi mzuri aliyofanya Hayati Magufuli. Mimi ni mmoja wa watu wanaochukizwa sana na watu wanaopinga miradi ilioanzishwa na Dr JPM.

    • @mrsinia3064
      @mrsinia3064 3 роки тому

      Samaan kwa kuuliza ndg hiv mh.lusinde ni mbunge wa jimbo gan

  • @sospeterkaponoke3789
    @sospeterkaponoke3789 3 роки тому +2

    LUSINDE wewe ni zaidi ya mashujaa mungu akulinde umeongea ukweli mungu atakulipe nimekusapo natumaini hayati JPM atafurahi huko aliko mungu akulinde 🙏🙏 yani umenitoa machozi maana umeongea vitu vikubwa sana nimekumbuka jpm 😭😢 lusinde 👏👏👏👏

  • @mariamnimbo8394
    @mariamnimbo8394 3 роки тому +2

    Mhe. Lusinde, Mungu akubariki sana.
    Mungu akuzidishie ujasiri, hekima na maarifa, utatufikisha mbali, leo uliyoyasema, ni zaidi ya professor, I give u a Bigup.
    U deserve a credit! 100%+
    Usinyamaze Mhe, endelea kusema maana busara unazo.
    RIP my beloved President JPM!!!!!!!!

  • @shazppetersolomoni3525
    @shazppetersolomoni3525 3 роки тому +5

    Ahsante Lusindeee umenitia Iman maan nilikuwa naishia kwenye vichwa vya habar bila kujua yaliomo

  • @wilyfredelisante7991
    @wilyfredelisante7991 3 роки тому +26

    Huo ndio utofauti wa wazalendo wa nchi yetu na wapiga porojo bigup Lusinde waache wapige kelele wapuuzi tu hao

  • @farajaMezza-qn4be
    @farajaMezza-qn4be 11 днів тому

    Leo 2024 nipo hapa, Mungu akutunze sana sana mheshimiwa Lusinde, nakuombea nakupenda kakangu! Hadi nimetokwa machozi ninapenda sana sana nikiona kiongozi mzalendo kwa taifa lake! Yesu akutunze Lusinde kwa ajili ya taifa hili hope ungekuwa mentor wangu!

  • @husseinyusuph5458
    @husseinyusuph5458 3 роки тому +21

    Asante lusinde umeukosha moyo wangu umeusemea moyo wangu

  • @ashamwandu6572
    @ashamwandu6572 3 роки тому +3

    Kipekee kabisaaa Leo lusinde umenifurahisha, Ukweli Magufuli wetu ataishi milele kwenye miyoo yetu, Watanzania hatutaki Mtu amseme vibaja mtu aliye tangulia mbele za Mungu,wanatutonesha vidonda,tunalia bado,Tena mnatakiwa kumuenzi aliwatetea Sana,natamani nikupe hata zawadi mhe,umesema Ukweli umeukonga Moyo wangu ❤️ wakome wakome,tunaujuwa ukweli l wakome, Mungu akubariki akupiganie Sana lusinde,

  • @zainabrajab9608
    @zainabrajab9608 3 роки тому +13

    Wow lusinde nmekupenda bule tu

  • @susankitila8684
    @susankitila8684 3 роки тому +2

    Safiiii. Sanaaa Mbunge nakupa hongera sana umeongea ukweli 100%. Wewe ni mkweli. Mungu akubariki sanaaa maana ni wengi wabesaji hawajui kitu. Na NEC Utapata ASANTE. Rais Maghufuli anastahili TUZO

  • @lucasmugoma2870
    @lucasmugoma2870 3 роки тому +47

    Nilianza kuchoka na maneno ya Tanzania sasa naanza kuludisha imani na nchi yangu Tanzania lusinde umenifulahisha sana

    • @msetikebwasi1469
      @msetikebwasi1469 3 роки тому +3

      Mzee aliwaivisha ,haya ni matunda yake

    • @upendomission4626
      @upendomission4626 3 роки тому

      Yaani dunia haina huruma kabisa, mi nashangaa hata viongoz waliopo leo wanaskia kashifa anazokashifiwa rais magufur lakini wamenyamaza kimyaaaaa!! Hata yule ambaye magufur alimchagua wala hakupigiwa kura lakini cha ajabu nao wamenyanaza kimya, inashangaza sana

    • @farajastudioandstationery5798
      @farajastudioandstationery5798 3 роки тому

      Asante kwa kunisemea!

    • @milomohamed7201
      @milomohamed7201 3 роки тому

      @@upendomission4626 magu hakuwa mzuri ndio maana wote wamekauka tu yaani wanapumua sasa kwa kweli

    • @shambaiddi4984
      @shambaiddi4984 3 роки тому

      Uzalendo ni kama mtu umefiwa na ndugu yako unajisikia uchungu wa dhati ndani ya mwili na kiwiliwili

  • @lucyfrancis4127
    @lucyfrancis4127 3 роки тому +10

    Mzalendo wa Tanzania hongera sana kwa kumutetea Rais wetu aliye tangulia mbele za haki jamani mm nilikuwa naumia lakini leo umesema ukweli mwenye masikia na wazikie hongera wenye kusikia wamesikia kwa kweli

  • @glorykapenja9473
    @glorykapenja9473 3 роки тому +20

    Sisi watanzania tunaakiri nyingi sana macho yetu yanaona hata wamchafue vipi JPM hakuna wa kumfananisha naye

  • @levinakato7629
    @levinakato7629 3 роки тому +6

    Nitakuheshimu sana kwa kusema ukweli. Mungu akubariki.

  • @crisndembwele4016
    @crisndembwele4016 3 роки тому +24

    SAMIA NI MAGUFULI na MAGUFULI Ni SAMIA... Safi Sana mzee BABA MUNGU hata kuacha bure wewe ni mzalendo huna unafki wewe Ni mzalendo... Big up 💪💪💪

  • @eddietaz710
    @eddietaz710 3 роки тому +3

    this is PURE GOLD, Lusinde all the way

  • @boniphacenyamhanga9395
    @boniphacenyamhanga9395 3 роки тому +16

    Lusinde Kweli maarifa ni Bora kuliko Elimu Mamaee Rest in Peace Magufuli. Duh Leo siku yangu imeenda vyema sana......

  • @kamilusmgaya4806
    @kamilusmgaya4806 3 роки тому +6

    Wewe nizadi ya wabunge nimekupenda sana narudia nimekupenda sanaaaaa

  • @zarunaamwanajimba1950
    @zarunaamwanajimba1950 3 роки тому +5

    Sawa Mh. Lusinde angalau tunaona mzalendo Bungeni hongera sana, Tunamuona mtetezi wa Baba yetu JPM alale salama!

  • @sospeterkaponoke3789
    @sospeterkaponoke3789 3 роки тому +1

    Jamn mimi naona wabunge wa darasa la saba tuwape majimbo wabunge wa darasa la sabu wanaongea vitu point 👏👏👏🙏🙏🙏❤

  • @evelynekasalile3243
    @evelynekasalile3243 3 роки тому +5

    Lusinde baba.. Ubarikiwe, Ahsante kwa kuendelea kutupa moyo 😢😢

  • @waheedahtanzania4912
    @waheedahtanzania4912 3 роки тому

    Mashallah Lusinde leo umewapa ukweli Mungu akulinde na shari za watu wabaya, maana walipiga sarakasi sana humo bungeni week ilopita kumponda Rais WETU wasojua kushukuru hao Magufuli kafanya maajabu makubwa siyo kitu rahisi kuigeuza Tanzania kuwa ULAYA na mpaka sasa inaheshimika bado wabunge msojielewa mnakaa bungeni kumsema hivi lini mtajifunza kushukuru,Bora huyu Lusinde angekuwa makamu wa rais ili atusaidie

  • @ejidemaswalikinoja5643
    @ejidemaswalikinoja5643 3 роки тому +1

    Mungu akubariki sana Mzee Lusinde mawazo haya ndiyo yanahitajika sana katika nchi yetu🤝🤝🤝

  • @mikenomanamba5258
    @mikenomanamba5258 3 роки тому +6

    Lusinde sijawahi comment youtube Mungu akubariki hii dhoruba nayo itapita

  • @bitarawanjara4756
    @bitarawanjara4756 3 роки тому +3

    Mh. Lusinde umeongea point kabisaa. Kwakweli unastahili kuitwa mheshimiwa 🙏🙏

  • @abedinegoelias9616
    @abedinegoelias9616 3 роки тому +9

    Daaa..! Lusinde nimekukubali sana mbunge hakika umenena vyema mno..!

  • @yunismahanga2871
    @yunismahanga2871 3 роки тому +4

    Safi Sana lusinde nimekuelewa Sana umenikosha nilisikia Sana wakimsema Baba angu wamuache apumzike Kwa Amani eti akaut mara nn waseme mengine

  • @pauloqaymo8925
    @pauloqaymo8925 3 роки тому +2

    Makofi mengi kwa Lusinde tafadhali 👏👏👏👏👏👏

  • @christianahia2680
    @christianahia2680 3 роки тому +9

    Lusindeeeeee..
    Hongera sana. Kazi iendelee.

    • @happymrema6728
      @happymrema6728 3 роки тому +1

      Ni kwel na tunakasirishwa San na yeyote anayepiga kwenye uchaguz tutampiga mawe

    • @milomohamed7201
      @milomohamed7201 3 роки тому

      @@happymrema6728 ujinga tu na hilo bunge mbuzi la upande mmoja.

  • @rehemambilinyi4473
    @rehemambilinyi4473 3 роки тому +2

    Babaaa, umejua kunifurahisha, umerejesha furaha zetu watz, tutakuombea daima

  • @sadicklukungu9905
    @sadicklukungu9905 3 роки тому +1

    Lusinde achongewe sanamu aise big up Sana 🙏🙏

  • @susankitila8684
    @susankitila8684 3 роки тому +7

    Tunahitaji wabunge kama huyu👏👏👏. 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🤣

  • @annamsabila534
    @annamsabila534 3 роки тому +2

    Umerudisha Imani yangu big up Sana Mh lusinde

  • @barakanyagawa9257
    @barakanyagawa9257 3 роки тому +3

    Mungu atuongezee watu wenye hekima kama hawa hawana elimu kubwa lakini wanaufahamu mkubwa sana Watanzania natamani sana tujue thamani ya hawa watu. Mungu tutetee Watanzania neema yako ikae juu yetu.

  • @onesmojustice2348
    @onesmojustice2348 3 роки тому +6

    Yaani kama kuna kitu samia akikiacha kiendeleee kitampa wakati mgumu kuongoza ni kusemwa vibaya kwa magufuri maana jpm anapendwa na wengi mno tanzania ata nje ya tz.

    • @adelinandahani4973
      @adelinandahani4973 3 роки тому

      Umesema kweli kabisaaaaaa,hata Mimi ninavyoona anakaa kimya toka JPM anasemwa naanza kumchukia na kumshauri polepole,lusinde,na kassim majaliwa waanzishe chama wana CCM tunaompenda Magufuli tuhamie huko,hatupendi kauli mbaya kwa Magufuli wetu hapanaaaaaaa

    • @nsarilema9580
      @nsarilema9580 3 роки тому

      magufuli ni nani asisemwa kama kachemka

    • @teresakapinga7567
      @teresakapinga7567 3 роки тому

      Ni kweli kabisa yaani mm nikisikia mtu anamsema vibaya baba yangu magu naumia saana

  • @isaacopolot2027
    @isaacopolot2027 3 роки тому

    Asante mheshimuwa kwa mambo mazuri yako. Kweli ni cha ajaabu kusikia watu wanaomsema mbaya Magufuli baada ya hayo yote mazuri aliyoyafanya yeye. Pumzika kwa amani jemedari wetu. Tutakukumbuka daima

  • @bm2tv299
    @bm2tv299 3 роки тому +2

    Daaaah Hongera sana Mh Lusinde kwa kuwa mkweli.

  • @timothmwakakusyu4563
    @timothmwakakusyu4563 3 роки тому +27

    Maprofesa wetu ni wa makaratasi na ndo wanachulewesha kusonga mbele

  • @gracegrace6200
    @gracegrace6200 3 роки тому

    Lusinde Watanzania wamekupenda bure. Asante sana. Umeongea ukweli. Hujui ulivyo wafuraisha Watanzania. Kuna watu walikuwa wakitaka kutenganisha viongozi wa serikali. Wakina Fatuma Karume kwa maneno yao. Kauli za Mbowe na sauti yake ya kinafki. Tundu Lissu anayebwata huko Ubeligiji, ni kweli akae huko huko kabisa. Hana faida Tanzania. Amewaudhi Watanzania wengi sana, wengi wana hasira naye. Hawa wanaomukashifu Hayati Magufuli hawajui mudi ya Watanzania kwa Hayati Rais wao. Wakimutukana ni kama wanamutukana mukombizi wao. Huwezi kuitawala nchi hii huku ukimutusi Hayati Magufuli. Ameibadili siasa ya Tanzania. Ukimusema vibaya Hayati Magufuli unakuwa adui wa Watanzania hiyo ni wazi kabisa. Hayati Magufuli hatuko naye lakini ameacha kabuki chake kila mahali Tanzania na Africa. Sisi sio MASIKINI. RIP MAGUFULI

  • @kamilusmgaya4806
    @kamilusmgaya4806 3 роки тому +4

    Hii nisauti inayo hitajika Tanzania siyo woga Mungu akubariki Lusinde tembea kwenye viatu vya JPM

  • @temkezatv4381
    @temkezatv4381 3 роки тому +5

    Hakika umenena ninatumai wabunge wata msaport vizuri Sana waziri mkuu wetu maana waziri mkuu wetu anaendana na maono ya JPM

  • @jenasalimu12
    @jenasalimu12 3 роки тому +2

    Safiiiii San washke adabu👏👏👏👏👏🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿❤

  • @susankitila8684
    @susankitila8684 3 роки тому

    Asante. Mbunge LUSINDE. blessed

  • @sitellamatni6878
    @sitellamatni6878 3 роки тому +4

    Safisana mbunge wangu Lusindee washike adabuu na adabuu zao ziwashike hakuna Raisi tulie mkubali kamamagufuli kweli wanchi tumeumia💔💔💔💔😭😭😭

  • @agathamichael3789
    @agathamichael3789 3 роки тому +5

    Nakubali lusindee endelea na moyo uwouwo mungu akubalik jpm pumzika kwa amani hauko peke ako

  • @elvingaspar4885
    @elvingaspar4885 2 роки тому

    Nakukubali sana mh Livingston lusinde akika bunge letu bila ww, mh msukuma, mh jafo, mh tulia, mh ummy, mh jobu, mh palamagamba, mh lukuvi, mh kaleman, mh majaliwa na mh izidori mpango aliwezi kuwa bunge

  • @mzeewamadodoso1816
    @mzeewamadodoso1816 3 роки тому +6

    Umenibariki sanaaaaaaa

  • @lucasroswe6544
    @lucasroswe6544 3 роки тому +12

    Umetuinua sanaaa maana hizi week mbili za nyuma tumeoshewa sanaa na upinzani ha ha haa

  • @mkumbomoody6162
    @mkumbomoody6162 3 роки тому +2

    Wewe ni super Man am proud of you

  • @aishabenta9506
    @aishabenta9506 3 роки тому +6

    Umenikosha sana daaaah...hongera sana lusinde

  • @vicentrogers9465
    @vicentrogers9465 3 роки тому +4

    Nimeamini kuwa elimu sio chet congrats mh lusinde kwa kupambanua mambo kwa uhodari kuliko hao wanao jiita maproffessa!!!!

    • @hamisialimzara8362
      @hamisialimzara8362 3 роки тому +1

      True 💯🇰🇪

    • @leahathuman9576
      @leahathuman9576 3 роки тому +1

      Hamna siku nimefiurah kama. Leo sijpata furaha hii tanguu jpm aondoke kwenyee uso waa duniia

  • @hollocolletha6519
    @hollocolletha6519 3 роки тому +2

    Lusinde nimekuelewa sana ulikua wapi jamani imani ilikua imeisha sasa inarudi wewe na waziri mkuu safi Sana.

  • @gibsonyshadrack4543
    @gibsonyshadrack4543 3 роки тому +15

    *majaliwa wewe ndio raisi wangu Mungu akupe miaka mingi ili tukuchague baba*

  • @leahyohana4322
    @leahyohana4322 3 роки тому

    Yaan kaka umejuwa kunifurahisha sana Mungu akutunze sanaaa,, yaan umewapa ukweli usiopingika wanajisahau

  • @ednamanji
    @ednamanji 3 роки тому

    Asante baba Lusinde kwa kutufariji . Yaani mimi roho ilikuwa inauma sana Kusikia Hayati Magufuli akisaritiwa vibaya . Hadi nikashangaa sana wabunge wa CCM mlipata Ushindi wote huo kwa kusemewa na Magufuli. Lakini cha ajabu Wengine mmeshasahau tayali Lo! Ama kweli kikulacho kiko nguoni mwako .

  • @issaibony3474
    @issaibony3474 3 роки тому +2

    Kiukweli umenikosha Sana Sana tunataka watu kama ww points juu ya points leo nimefrahi Sana Sana ww nimbunge halali magufuli huko aliko anajua ww nimridhi wake wa uzalendo good good kaka angu

  • @mumyhendry2919
    @mumyhendry2919 3 роки тому +9

    Ndungai umeskia vzr?huo ujumbe unakuhusu sana ....

    • @peterkelvin9332
      @peterkelvin9332 3 роки тому +2

      Leo rais wetu magufuri tutaendelea kumkubuka sana watanzania tunalia sana kwa kumpoteza jemedali wetu!

  • @godymbanyi1878
    @godymbanyi1878 3 роки тому +17

    Angalau leo nimefurahi. Sio siri, baada ya kauli za juzi za Mh. Spika juu ya mradi wa Bandari ya Bagamoyo na Prof Muhongo, juu ya mradi wa Bwawa la umeme la Nyerere, nilisikitika sana! Nilishangaa kabisa namna legacy ya mtu muhimu kabisa katika nchi yetu, kuelekea kupotezwa kirahisi wakati bado watu wanaomboleza! Angalau leo, nimewaelewa!

    • @bahatimalambaya9398
      @bahatimalambaya9398 3 роки тому

      Hakika hawa ndoo viongozi tunao wataka

    • @zamankaikera1475
      @zamankaikera1475 3 роки тому

      munguakupe.uwezo

    • @ashamwandu6572
      @ashamwandu6572 3 роки тому

      Tena wasituvuruge tunawaza wamemuuwa,mbwa hao,kwani akiwahai mangapi kayafanya kwenye ichi yetu???inaahangaza Sana Jamani,bado tunamachungu makali kufiwa siyo mchezo Taifa linahitaji viongozi wenye hekima,kutambuwa wanaoipigania Tanzania yetu,siyo kuwasema,wanatuzarau ichi jirani,

    • @milomohamed7201
      @milomohamed7201 3 роки тому

      @@ashamwandu6572 acha ujinga wewe mwanamke huijui siasa.
      Mungu mbona katupenda sana hujui makusudi yake ni nini?
      Watu wamepotea bila kesi wala uchunguzi, democrasi imedumazwa, vyombo vya habari vilifungwa mdomo bado wewe ulitaka hali hiyo iendelee. Dunia ilitutenga sasa kuna pumzi mzuri angalau.
      Huyo kibajaji ni pumba tu ktk wale wa ndiyooooooooooo kwa kila kitu coz yupo na mtindiko wa ubongo.
      CAG nadhani mmemsikia miradi yote imepoteza mabilioni ya pesa za walala hoi, ktk awamu yote ya magu hamna faida ktk kila mradi ni hasara kwa kwenda mbele.
      Lkn tulikuwa tunavungwa eti tupo ktk uchumi wa kati yaani uchumi huo umekuwa chupi hiyo tena. Nchi jirani lazima watudharau kitokana na upimbi wetu. Halafu tatizo kuu kwamba 90% ya wabongo elimu ndogo.
      Mnasifia uozo wakati mabaya mengi yapo hamsemi? Mbona wabunge wanaongea ingawa ni bunge moja la kulazimisha chaguzi haramu.

    • @ashamwandu6572
      @ashamwandu6572 3 роки тому

      @@milomohamed7201 achana na Mimi kabisaaa,wewe Kama hukuona mazuri yake Basi Mimi niliyaona juwa ivyoo,weunazani watanzania wote wajinga?ila wewe ndio mwelevuu?ovyoooo

  • @mariamswalehe3312
    @mariamswalehe3312 3 роки тому

    Japo nimechelewa kucoment lakini umenena kweli lisinde kwanza wachunge sana kauli zao hao wanaojiita wasomi sisi masikini Ndiyo tunaoumia na sisi Ndiyo wapiga kura tutakutana 2025 inshaallah mungu anawaona na aliyetangualia mbele ya haki jemedari wetu JPM anayasikia na mungu anawaona

  • @mao9622
    @mao9622 3 роки тому +4

    Safi Sana.Huku ground tunahamasishana tu hoa manafki tutawafokeaaa

  • @onesmojustice2348
    @onesmojustice2348 3 роки тому +6

    Huuu ujumbe unaanza na mhe ndugai pamoja na nafasi kubwa ulionayo usituchanganye wananchi jpm tunamjua hakuwa mbaya kwetu.

  • @erickgadson1617
    @erickgadson1617 3 роки тому +3

    Itabidi huyo mbuge ajengewe sanam💪🏼

  • @charlesobinya
    @charlesobinya 3 роки тому +32

    Lusinde nimenifraisha sana yani umenitoa wasiwasi nakukubali 99.9%

    • @shambaiddi4984
      @shambaiddi4984 3 роки тому

      Nimekuelewaaa kiongozi mzalenzo wewe umfano kwa watanzania watu mnajuwa kutafakari maoni na kukumbuka maagizo ya watanguliaa viongozi wetu wa zamani nia zao za kuitakia maendeleo tanzani uko makini sana mzalemdo lusinde wewe ni raia unayejali nchi yako

    • @shambaiddi4984
      @shambaiddi4984 3 роки тому

      Tunatakiwa tuwe macho na hao wanajiiita vigogo wanaaanza kuchochea moto ili kuni ziwake wanaona mradi wa bandari umekufa walikuwa wameshashemsha ya moto lakini jiko halikuwasha moto

    • @shambaiddi4984
      @shambaiddi4984 3 роки тому

      Tanzania ni nchi nzuri ukweli wa watu wanataka kuwachanganya watanzania lakini tuko makini tuko makini

    • @shambaiddi4984
      @shambaiddi4984 3 роки тому

      Lazimaa tujifundishee uzalendo wa kupendana wachina wanaitanaa comredi

    • @shambaiddi4984
      @shambaiddi4984 3 роки тому

      Comredi ni mtu wako wa karibu ndugu yako কাকা yako dada yako baba yako babu yako ina maanaa।
      Watanzaniaa

  • @husseinyusuph5458
    @husseinyusuph5458 3 роки тому +12

    LUSINDE umenikosha sana ila NDUGAI sio mzalendo

    • @tumainsawe6960
      @tumainsawe6960 3 роки тому

      Kwani anaitwa ndugai au yuda maana sikumbuki jina lake vizuri nisaidieni jamani

    • @pauloqaymo8925
      @pauloqaymo8925 3 роки тому

      Hata mimi nimeliona hilo Ndugai hana uzalendo kwa Nchi

  • @samiahmlimanzila6406
    @samiahmlimanzila6406 3 роки тому +5

    Waambie wakome upinzani Kama walivyokoma maziwa ya mamazao👌👌👌

  • @suzanemwangingo6932
    @suzanemwangingo6932 3 роки тому +7

    Leo lusinde napenda kukwambia hivi asanteeeeeeeeee Sana.

  • @salmaomari1988
    @salmaomari1988 3 роки тому

    Asante sana jamani mungu akubariki sana,, umefikisha meseji hadi moyo wangu burudani

  • @angelsylvester4795
    @angelsylvester4795 3 роки тому +3

    Kaka nilikuwaga sikukubari lakini leo nakuahidi nitakupanda sana kwa ajili ya kujua dhamani ya Jpm alale salama baba yetu

  • @bugapeasant1827
    @bugapeasant1827 3 роки тому

    Safi sana lusinde Mungu akubariki Hawa maprofesa Hawa sijui elimu zao zikoje!!!

  • @kelvinnacozz6280
    @kelvinnacozz6280 3 роки тому

    Ashukuliwe Mungu Aliyekupa Hekima iyo, Na Utatetewa popote Lusinde Na Usiwe mbunge Uwe zaidi ya hapo

  • @amossafari4838
    @amossafari4838 3 роки тому +1

    You good boy keep it up!

  • @festolaulenti6355
    @festolaulenti6355 3 роки тому

    Asante lusinde 💯💯💯 tupo pamoja Sana Papa

  • @kennedymachemu8956
    @kennedymachemu8956 3 роки тому

    Mr Mp wewe mzarendo wa kweli. Mungu akujalie maisha marefu

  • @piusjusto2602
    @piusjusto2602 3 роки тому +3

    Ninakushukuru Lusinde kwa kusema ukweli. Waambie hao wanatoa lugha chafu kwa hayati Dr John Magufuli washindwe na walegee katika jina la Yesu. Yaani ninaumia Sana wanapomuongelea mtu mabaya kwa mtu ambaye alikuwa ni mchapakazi wa nchi yetu, mpambanaji wetu ninajisikia vibaya sana

    • @modestuskinunda5010
      @modestuskinunda5010 3 роки тому

      Amina Amina Amina .Asante mungu. Wainue watetezi wetu na kumtetea jpm wetu

  • @anawa4326
    @anawa4326 3 роки тому

    Well spoken Muheshimiwa Lusinde ✊🏼👊🏼👏🏼

  • @mao9622
    @mao9622 3 роки тому +10

    Akili za kuambiwa na CAG changanya na za kwako!#JPMLegemd#MajaliwaNiJPMJunior

    • @JagaSon5302
      @JagaSon5302 3 роки тому

      😁

    • @estermathias8354
      @estermathias8354 3 роки тому

      👏👏👏

    • @milomohamed7201
      @milomohamed7201 3 роки тому

      @@estermathias8354 huyo Lusinde ni pumba ktk mapumba waliopo CCM.
      Hana zaidi ya kurap rap ovyoo.
      Kwani hajui kama Meko ni muuwaji mkubwa na mvunjishi wa haki za bin adam? Unasifia utumbo mtupu uliofanywa na huyo shetani mwendazake? Pumbavu

    • @mchezakamaliog265
      @mchezakamaliog265 3 роки тому +1

      @@milomohamed7201 shetan babaako

    • @milomohamed7201
      @milomohamed7201 3 роки тому

      @@mchezakamaliog265 mimi nasema mama yako coz hata mimba yake ilimpa shida wakati ukiwa tumboni mwake kima wewe.

  • @chrissmalloy9
    @chrissmalloy9 3 роки тому +8

    Safiii

  • @eliasmpanilehi3221
    @eliasmpanilehi3221 3 роки тому +2

    Hongera Sana Mh.Lusinde, Mungu awabariki nyote mlio na uchungu wa Taifa letu,tunawaombea sana

  • @Da_Gee
    @Da_Gee 3 роки тому +4

    Ndugai na wote mnaounga mkono Bandari ya Bagamoyo kujengwa kwa mkopo wa China, kisha wa China wachukue umiliki wa miaka 99, nina maswali machache kwenu....
    1. Msijidanganye, watanzania tumefunguliwa macho na Magufuli, msidhani hatuelewi yanayoendelea...
    Hivi kuna haraka gani ya kujenga hiyo bandari???
    Hadi tuwakope wachina kwa masharti magumu hivyo???
    Msisahau lakini.... Kukopa harusi, kulipa matanga, waswahili walisema.
    Mnawajua wa China vizuri au mnataka kujitoa ufahamu Tu???
    Mnajua mpango wa wa China ni kuitawala Africa?
    Kopeni akili hata za Lusinde alieishia darasa la 7 basi ziwasaidie kufanya maamuzi mazito kama haya!
    Au mnataka kupiga deal kwenye huo mradi ndo maana mnaurudisha baada ya Jembe kutokuwepo Duniani???
    Hivi Magufuli angekuwa hai mngeongea hii habari ya Bandari ya Bagamoyo kweli???
    2. Kwanini mnataka kuwa wabinafsi na kutaka kulitia Taifa kwenye janga zito???
    Hebu fanyeni utafiti wa wadaiwa wa China kinachowapataga, Waulizeni WA ZAMBIA, SRILANKA, KENYA-SGR yao etc
    Magufuli alitumia rasilimali zetu za ndanina kwa muda mfupi tu tumeona maendeleo luluki.
    Kama hamna pesa kujenga hiyo bandari ya Bagamoyo wenyewe, wacheni itajengwa mkipata pesa zetu wenyewe, hatutaki mikopo isiyo na tija hapa.
    Ulizeni wa Kenya wanavyolia sasa hivi, serikali yao ni kukopa, kukopa, kukopa, pesa za mikopo zinaishia mikononi na mifukoni mwa WACHACHE, maisha ya wananchi wa kawaida yanazidi kuwa magumu.
    3. Magufuli alituambia, ni mtu punguani na mtu asiye na akili pekee, anaweza kukubaliana na mkataba wa hovyo kama ule wa wa china wa kujenga Ile Bandari ya Bagamoyo kwa mkopo, kisha eti wachina waimiliki Kwa miaka 99, hii NI akili au matope!!!
    Yaani mtu aje nchini mwako, achukue ardhi na rasilimali zako, kisha awekeze halafu wewe hufaidiki hata na shilingi, halafu unachekelea, tena kisha unaagiza eti haraka, watafutwe waje wawekeze, huo NI UWEKEZAJI AU UNAKUJA KUDHULUMIWA???
    KESHO WATATAKA MADINI, KESHO KUTWA WATATAKA AIRPORT ETC
    WACHENI UBINAFSI , FIKIRIENI NA WATOTO WETU NA VIZAZI VIJAVYO...
    4. WEWE MIAKA 99 UNAFIKIRIA NI MCHEZO???
    WACHENI UBINAFSI NA USHABIKI.
    5. MWOGOPENI MUNGU BASI, KESHO MTAJIBU NINI KWA MUUMBA WENU???
    PESA, MALI , MAJUMBA MYAYAACHA, MUACHE TAMAA.
    TAMAA ILIMPONZA FISI.

  • @M_Studio3
    @M_Studio3 3 роки тому

    Nimekupenda mubunge Safi Sana umenipa matumaini

  • @msuyaothman9591
    @msuyaothman9591 3 роки тому +1

    Yaani umeongea point sn Mh lusinde.... Ningeomba watu wanaomsema vibaya Hayati Raisi Magufuli wachuliwe hatua za kinidhamu...
    Maumia sn kusikia mtu akimsema vibaya Maiti... Huo ndo unafki.. Wali kua wapi kusema jembe letu likiwa hai... Umenisemea leo Nakushkuru sn

  • @mussababu5623
    @mussababu5623 3 роки тому

    Shikamoo Dr Lusinde.Prof WA Miamba alikosea sana hadi tukaona inakuwaje mtu msomi na mwelevu anapotosha. Kwan kutumbuliwa uwazir ndo uwe na hasira hivyo na Marehem.alipewa uwaz akashindwa mwenyewe

  • @nitumesokoni3164
    @nitumesokoni3164 3 роки тому

    Hongera sana Lusinde. Well spoken