Askofu Gwajima aweka wazi yatayotokea mwaka 2022 | Ni muhimu kujiandaa mapema

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 24 гру 2021
  • Dr Josephat Gwajima is the Senior Pastor of a Largest Church in Tanzania. He is also the Arch-Bishop and founder of Ufufuo na Uzima Churches worldwide. God is using him to raise the dead, heal the sick and performing of signs and wonders in the name of Jesus. Follow his Facebook page jgwajima Instagram bishopgwajima
    Join our Live Online Services every sunday at 1030 East Africa Time

КОМЕНТАРІ • 295

  • @mwaumark4372
    @mwaumark4372 2 роки тому +57

    Kenya tushauzwa kwa shetani na huyu rais, lakini Mimi na nyumba yangu tutapona kwa jina la Yesu

  • @mwakiosalim2914
    @mwakiosalim2914 2 роки тому +11

    Inshalla na Mungu akulinde.... ata kama unatetea nchi yako nko Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪 ila mafundisho yako inatujaza sana Asante🤲🤲

  • @amanirwegasira1118
    @amanirwegasira1118 2 роки тому +19

    I appreciate you MUNGU akupake mafuta makubwa mzee wetu na mtetezi wa nchi yetu TANZANIA.

  • @nicholasgabriel8805
    @nicholasgabriel8805 2 роки тому +52

    Asante mtumishi wa mungu afadhali ulizaliwa ila naomba baadae uchukue fom ya urais tukupe kura kwa kishindo 👍👍👍

  • @alphonceelias2551
    @alphonceelias2551 2 роки тому +24

    Gwaji boy akili mingi Sana huyu jamaaa..aminaaaaaaaa mtumishi wa kweli wewe.i trust in you.

  • @winstonmwalukasa4997
    @winstonmwalukasa4997 2 роки тому +17

    Gwajima a real man of God.ujumbe tumeuelewa na kuupokea watz

  • @patrickfanuel3244
    @patrickfanuel3244 2 роки тому +17

    Gwajima Mimi nakukubali sana Mungu Akulinde sana.

  • @halimajaphet8926
    @halimajaphet8926 2 роки тому +11

    Ngwajima ccm wanakuzingua unda chama chako ugombee urais

  • @augustinokahinda3939
    @augustinokahinda3939 2 роки тому +20

    Wew jamaa ni genius
    Mungu Mwenyezi akusimamie Ili taifa letu lipone

  • @ericmtalemwa3573
    @ericmtalemwa3573 2 роки тому +17

    Tunasimama na Bwana Yesu! Tunasimama na baba Askofu Gwajima.

  • @rukiasaleh8208
    @rukiasaleh8208 2 роки тому +9

    mashaAllah..mahubiri yko ..Mungu akulinde akulinde na uzidi kufungua watu wa mataifa ufaham.

  • @Patience.67
    @Patience.67 2 роки тому +8

    Watching from Kenya praying for my country lazima waachie kenya

  • @janegeogre3234
    @janegeogre3234 2 роки тому +6

    wewe ni chombo cha Bwana ambacho uliteuliwa kwa ajili ya kulikomboa Taifa!!!... ubarikiwe sana my Dady!!!....

  • @christophermgoli1236
    @christophermgoli1236 2 роки тому +2

    Mungu akuongoze Daima Kiongozi wetu

  • @martinsntonyo8537
    @martinsntonyo8537 2 роки тому +16

    Msema kweli mpenzi wa Mungu

  • @paullugola113
    @paullugola113 2 роки тому +5

    Amina magufuri wa pili!!

  • @marthamahule3346
    @marthamahule3346 2 роки тому +19

    Ameeen!! Jasusi la mbinguni this is so powerful. Hallelujah!! Haleluuuujah!! Yesu ni Bwana

  • @lilianikerubo7909
    @lilianikerubo7909 2 роки тому

    Amen. Mungu amwage roho mtakatifu avuruge kweli mm nimekwa Iraq kwa kukataa kudungwa sindano natumai yesu ataingilia ndani nitoke salama

  • @happinessmtani7621
    @happinessmtani7621 2 роки тому +12

    Amen,Amen tunapenya kwa jina la Yesu,naingia ktk jina la Yesu Kristo kwa ushindi

  • @elizabethkivuruga5351
    @elizabethkivuruga5351 2 роки тому +13

    Mungu akupe maisha marefu na afya njema mtumishi.

  • @gracehaule9559
    @gracehaule9559 2 роки тому +9

    AMINA Kidume Mungu aendelee kukuongoza

  • @revdedanmnyika438
    @revdedanmnyika438 2 роки тому +28

    This is powerful man of God.
    May Almighty God strengthen you in this critical battle.

    • @manfest
      @manfest 2 роки тому

      S I K I L I Z E N I .......
      G5 countries ni kina nani? ni Brazil, China, India, Mexico, and South Africa.
      China kuli tokea nini? .......hakuna asiyejua
      Brazil kuli tokea nini? ...... gamma variant
      India kuli tokea nini? ...... delta variant
      South Africa kume tokea nini?.....omicron variant
      next tutaanza kuambiwa eti kuna variant imetokezea mexico.
      ndugu zetuni africa, FUNGUKENI MACHO especially nyinyi wa🇰🇪.
      🇹🇿 pls pray for 🇰🇪 my beloved. wana pumbazwa bure. sisi wa🇰🇪 wote huku nje tumekataa HATUDUNGWI.

  • @josephmahubemaro7406
    @josephmahubemaro7406 2 роки тому +6

    Baba Askofu Gwajima
    Nipo pamoja na wewe nina kuombea pambana Baba

  • @emmanuelnzaligo6262
    @emmanuelnzaligo6262 2 роки тому +9

    Ila gwajima nakuelewaga mzee wangu maana unanipaga vitu vizito vizito napenda Sana.

  • @NtanunuraWillsonBaru
    @NtanunuraWillsonBaru 2 роки тому +2

    Askofu Gwajima mwenyezi mungu akulinde kwani hao watu wakuu wa dunia wanajisifu kuwa wanaiwekea Africa matatizo sasa tusipo jiandaa watatuingiza matatizo makubwa ni mashetani watu tena wanajiingiza makanisani tuwe tu nawaangalia ni wajanja sanaaa

  • @tumainibartholomew7810
    @tumainibartholomew7810 2 роки тому +1

    Kazi njema Bishop YESU asimame na Wewe Tanzania ipone

  • @eliassamson617
    @eliassamson617 2 роки тому +1

    Mungu akufanye kuwa ukuta wa shaba watashindana nawe bali hawatakushinda kwa Jina la Yesu Kristo Mwana wa Mungu aliye hai.

  • @tantinebrijitte7128
    @tantinebrijitte7128 2 роки тому +5

    Amen 🙏 napokea ubarikiwe mutumishi wa Mungu.

  • @joycesamweli9379
    @joycesamweli9379 2 роки тому +1

    Ameeeeen Ubarikiwe Mtumishi wa MUNGU

  • @suzanfusi3877
    @suzanfusi3877 2 роки тому +10

    Amina mtumishi wa Mungu kwa mafundisho yako mazuri

  • @missmwayway4704
    @missmwayway4704 2 роки тому +39

    Inshallah M/mungu azidi kukupa Afya njema na maisha marefu Mzalendo wa kweli 🤲🤲🤲🤲🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼

    • @jeffkonki8279
      @jeffkonki8279 2 роки тому +1

      Jamaani wakituulia na huyu ndio tutakuwa tumeisha kabisa maana sioni viongozi wadini wenye misimamo ya kuwapigania watu wake kama gwaji wengi wamenumuliw masonic huko

    • @lordanswers9373
      @lordanswers9373 2 роки тому +2

      Amen pastor Mungu Wako ni Mungu wangu

    • @petermilol2104
      @petermilol2104 2 роки тому +1

      Huyu ni zalendo

    • @daudimussa7081
      @daudimussa7081 2 роки тому

      🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼

  • @suzypaul4559
    @suzypaul4559 2 роки тому +1

    Ameen tutachomoka tuu kwenye Hilo wimbi mtumishi wa kwel tupo pamoja nawe tunayaona hayo tena sana Ila watashindwa tuu Mungu wetu ni mshindi

  • @hidayaswai3119
    @hidayaswai3119 2 роки тому +9

    Great man of God. Mteule kweli kweli,mtu wa milki ya Mungu Gwajima. Asante kwa kupambana kwa ajili yetu.
    Very georgous wewe Mungu akulinde na sisi watanzania daima. Mtu anajulikana kwa mazungumzo yake km Mungu amekupa upeo wa kugundua hilo
    From my deepest heart wewe ni mtu mzuri

    • @priscahmonchari471
      @priscahmonchari471 2 роки тому +1

      Eh Mungu wetu was mbinguni Asante kwa kumtumia mtumish wako Bishop Gwajima abarikiws

  • @shayoemasha0074
    @shayoemasha0074 2 роки тому +6

    Aminaaaaaa bishop GOD bleSS You

  • @SamuelJoshua7
    @SamuelJoshua7 2 роки тому +10

    Amina kweli umeongea mtuwa MUNGU

  • @atugonzabishanga9172
    @atugonzabishanga9172 2 роки тому +7

    🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏 Mungu WA mbinguni akutunze baba

  • @malugukushaha6764
    @malugukushaha6764 2 роки тому +2

    Mwenyezi mungu akulinde mh. Josephat Gwajima.

  • @AyebaMaonyesho
    @AyebaMaonyesho 2 роки тому +3

    Ubarikiwe sana mtumishi gwajima ungekuja hapa marekani kwenye mikutano ya injili uhubirie watu maana hapa walio wengi ni wapagani hawajuwi mungu hasa hawa wa black waliokuja kipindi cha ukoloni njoo baba tunakusubiri kwa hamu kwa mafundisho hayo ya ukombozi wa ki fikra na ki roho

  • @alturaif5367
    @alturaif5367 2 роки тому +8

    Amen, Amen, Amen, Mungu mbere at atupiganiye, Baba yetu tumarizemwendo, salama💪💪💪🙏🙏🙏

  • @raajquoteswords7805
    @raajquoteswords7805 2 роки тому +12

    Ameeen mtumishi wa bwana mungu atuzidishieee

  • @glorioustv6009
    @glorioustv6009 2 роки тому +2

    I pray for you man of God may God give you strength in Jesus name

  • @marconzilankoma7581
    @marconzilankoma7581 2 роки тому +8

    Naiwe hivyo katika jina safi la Yesu ♥

  • @happinessmtani7621
    @happinessmtani7621 2 роки тому +2

    Asanteh umenifundisha jambo jipya,Amen

  • @rosemongi5273
    @rosemongi5273 2 роки тому +3

    Tanzania inapenya katikati ya mataifa katika jina la Yesu uuuu

  • @gwishtztz8784
    @gwishtztz8784 2 роки тому +3

    The upcoming president of tz may out Almighty God keep him until when thunder will open sky for him to present Tz in the new world

  • @izzofaith_lalisa3476
    @izzofaith_lalisa3476 2 роки тому +8

    Mungu atupe neema tupate kushinda

  • @rechomethod8288
    @rechomethod8288 2 роки тому

    Mungu akubariki, mtumishi. Mabaya your hatatupata, na wote tuliyo chanjwa mungu atupinganie na nia mama za shetani, shetani.haweza.kutimiza.mipango.yake

  • @bettymlaki9669
    @bettymlaki9669 2 роки тому

    Amen amen amen, farakanisha wasipatane

  • @sallygachui3191
    @sallygachui3191 2 роки тому +14

    Thank You for Your Apostle Bishop Gwanjima may our African leaders seek Your Heavenly Wisdom I pray. Amen.

    • @UfunuoSt
      @UfunuoSt 2 роки тому

      Kwakweli asonge tu mbele.

  • @Emmanuelbahatiartist
    @Emmanuelbahatiartist 2 роки тому +4

    Powerful man of God.
    Mungu Akubariki Zaidi na akutumie

  • @anthonymjehe1075
    @anthonymjehe1075 Рік тому

    Mungu wa mbinguni azidi kukupa ujasiri uinene injiri hii hii inayofikisha makusudi ya Mungu kwa watu wake

  • @goodluckjackson4594
    @goodluckjackson4594 2 роки тому +9

    GOD bless you, the only one pastor, who speaks truly about the power of GOD in africa allover the world, no one can stop your fire

  • @glorytemba4913
    @glorytemba4913 2 роки тому

    Ameniiiiii Masihii wa Bwana.Mungu Akuongezee Mafuta shujaa wa Tanzania 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @jovinacostantine5449
    @jovinacostantine5449 2 роки тому

    Unafaaa sana baba mwenyezi mungu azidi kukupa kibali

  • @NyotaBalolane.
    @NyotaBalolane. 2 роки тому

    Mungu atupenguvu tusiwe na zakuazima Asante sana kwa maneno matamu na mungu wambinguni akubariki na kuku epusha na wabaya wote

  • @mariaernest9324
    @mariaernest9324 2 роки тому +2

    Najivunia sana na maneno yako yananitia nguvu nakunipa ujasir

  • @emmyngadada3521
    @emmyngadada3521 2 роки тому +2

    Aminaa Tanzania imeshaokolewa

  • @janetnzai9866
    @janetnzai9866 2 роки тому +2

    Hallelujah, May God be with us. I pray that God to take me to my Country

  • @brightontibenda2346
    @brightontibenda2346 2 роки тому +2

    Very special speech! GWAJIMA is as apostrophe!!

  • @andrewmukuru6357
    @andrewmukuru6357 2 роки тому +2

    The dealer kimsifu YESU KRISTO,JESUS IS COMING RIGHT AWAY!!!!!!

  • @dennilwaneamalemba1342
    @dennilwaneamalemba1342 2 роки тому +1

    Uko sawa man of God tunataka watu kama wewe kenya

  • @jovinacostantine5449
    @jovinacostantine5449 2 роки тому

    Mungu akupe miaka 10000

  • @fridambezi6067
    @fridambezi6067 2 роки тому +5

    Amina Amina kubwaa

  • @jeremiahayoub315
    @jeremiahayoub315 2 роки тому

    Gwajima upo vzr mtumishi wa mungu

  • @mariamfaicalhassan2890
    @mariamfaicalhassan2890 2 роки тому +3

    Na iwe hivyo in Jesus name 🙏🙏🙏

  • @belovedflorence4109
    @belovedflorence4109 2 роки тому +1

    kama Yanesi na Yambre alivyompinga Musa, ndiyo nyakati za mwisho zurakavyokuwa. Amina mtumishi

  • @belovedflorence4109
    @belovedflorence4109 2 роки тому +2

    Mtumishi unasema kweli, I hope waumini wanakuelewa

  • @atugonzabishanga9172
    @atugonzabishanga9172 2 роки тому +2

    Amen amen dady mungu azidi kukutia nguvu

  • @wolterdavid8979
    @wolterdavid8979 2 роки тому +2

    hayo yote uyanenayo, hakika niyakweli mtumishi. Mungu akubariki na kazi ya mikono yako.

  • @vicentrogers9465
    @vicentrogers9465 2 роки тому

    Akili kubwa God bless Gwajima

  • @jedidamuua6773
    @jedidamuua6773 2 роки тому +2

    Amen amen,mungu akubariki sana na kutie nguvu ya kuwafikia mataifa yote

  • @susannkatha1892
    @susannkatha1892 2 роки тому

    From 🇰🇪mungu Katie nguvu mchungaji jameni karibu kenya jameni

  • @elnorahmjomba1311
    @elnorahmjomba1311 2 роки тому +4

    Amen kabisaa huyu mchungaji ako juu

  • @flowermboya7451
    @flowermboya7451 2 роки тому

    Amina jasusi la mbinguni Mungu akuweke mpaka uimalize kazi aliyo kuitia

  • @buppyhumbo2238
    @buppyhumbo2238 2 роки тому +1

    Amen ubalikiwe sana

  • @tabithaibrahim8493
    @tabithaibrahim8493 2 роки тому +2

    Tabitha ubarikwe mtumishi wa Mungu kwa ufunguo wa nguvu big up.

  • @joannelson1137
    @joannelson1137 2 роки тому +1

    Amen baba may God protect you 🙏🙏🙏

  • @emilmalindi3474
    @emilmalindi3474 2 роки тому

    Nakusikia Baba Hella niliyokuomba ya Mchango wa Kujenga Nyumba ya Bwana Unaikumbuka by Imanuel from Dar es salaam Gongo la Mboto,Banana,Kitunda,Magole Kwa Mpemba .

  • @subimayala5530
    @subimayala5530 2 роки тому +1

    Thank prophert daniel

  • @sweetluc2660
    @sweetluc2660 2 роки тому +11

    Kweli huku Baba ndio hivyo Mi nipo nje huku sijachanjwa niliumwa maboss wangu hawakuweza kunipereka Hosptali kwa sababu sijachanjwa hivyo naomba Mungu anisaidie aniepushe na maradhi nimalize mda wangu niludi nikiwa salama

    • @brightthabit9749
      @brightthabit9749 2 роки тому

      Acha zambi ndo njia ya kuwa salama kabisa magonjwa hayatakukaribia

    • @patriciasanga9848
      @patriciasanga9848 2 роки тому +1

      Mungu wetu tunayemuamini kwa jina la Yesu nakutamkia utarudi salama.

    • @DrElizabethHLemaND
      @DrElizabethHLemaND 2 роки тому

      Agiza dawa zetu za Tanzania uwe nazo. Ukiumwa hata mafua unatumia. Mungu ametupa hekima ya kuwa na dawa zetu. Agiza uwe nazo. Hekima ya Mungu itendayo kazi ndani yetu tuna dawa zetu

  • @elizabethmbithe7954
    @elizabethmbithe7954 2 роки тому

    Thank Asikofu

  • @derickkilongi9484
    @derickkilongi9484 2 роки тому +2

    Haleluhya mey God blesse you the savant of God

  • @johnmassami6213
    @johnmassami6213 2 роки тому

    Mungu azidi kukusimamia katika kuihubiri iliyo kweli...

  • @marymgaya8799
    @marymgaya8799 2 роки тому

    Ameeen mtumish wa MUNGU tutakutegemea

  • @pastorfikencharles8041
    @pastorfikencharles8041 2 роки тому +4

    This is Truth.

  • @mwambinguphilip55
    @mwambinguphilip55 2 роки тому +3

    Naona nikihamia Tz

  • @wesongamildred5618
    @wesongamildred5618 2 роки тому

    True servant of God keep it up!!!May God Allocate You!!!

  • @mwananyamalaz4427
    @mwananyamalaz4427 2 роки тому +7

    Amen God bless you 🙏 from Australia 2021 🙌

  • @jacksonpetro9558
    @jacksonpetro9558 2 роки тому +2

    Ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu

  • @braystuskibassa3842
    @braystuskibassa3842 2 роки тому +4

    God loves us👏👏👏👍

  • @claireindongole8302
    @claireindongole8302 2 роки тому

    Noway new date will enable everybody be denied an oportunity to be heard,this is good they can prepare on time.

  • @scholasticakariuki6775
    @scholasticakariuki6775 2 роки тому +5

    +254 Tz mmebariki na jasusi lambinguni. Hukubkwetu tunawateule waliosazwa, wengine wamechanjwa kwakutiwa hofu na serikali. Nashukuru tumesimama imara kwa Yesu

  • @fataelipalangyo8992
    @fataelipalangyo8992 2 роки тому

    Poleni Sana wamachinga

  • @mercysamuel9281
    @mercysamuel9281 Рік тому

    Pray the Lord ooh Halleuya

  • @teddymwageni1763
    @teddymwageni1763 2 роки тому

    Mungu wajua sababu

  • @westonmbuba6421
    @westonmbuba6421 2 роки тому +2

    Kuhusu ukristo na uislamu ni imani tofauti kabisa. Hatuendani hata punje

    • @mysskibe
      @mysskibe 2 роки тому +1

      Agreed. I think he doesn't really understand the indepths of Islam vizuri. Atafute Adam Haji amueleze zaidi

  • @ambwenedaniel358
    @ambwenedaniel358 2 роки тому +1

    Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu

  • @sarahnyange5085
    @sarahnyange5085 2 роки тому

    Mungu akutangulie

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464 2 роки тому

    Unabii wa kweli...
    Mengi yamefichika machoni petu..
    Panahitajika watu Kama Hawa wanaokubali kutumika kufikisha Mafunuo ya hakika yenye matumaini kwa afrika na arabu na Israel kwa nyakati hizi za hatari... ubarikiwe Sana .. éee Mwenyezi Mungu tubariki na kutuokoa Watoto wa Tz

  • @wafelawafela6672
    @wafelawafela6672 2 роки тому +5

    Amen amen amen 🙏❤️