Askofu Gwajima aweka wazi yatayotokea mwaka 2022 | Ni muhimu kujiandaa mapema
Вставка
- Опубліковано 24 гру 2021
- Dr Josephat Gwajima is the Senior Pastor of a Largest Church in Tanzania. He is also the Arch-Bishop and founder of Ufufuo na Uzima Churches worldwide. God is using him to raise the dead, heal the sick and performing of signs and wonders in the name of Jesus. Follow his Facebook page jgwajima Instagram bishopgwajima
Join our Live Online Services every sunday at 1030 East Africa Time
Kenya tushauzwa kwa shetani na huyu rais, lakini Mimi na nyumba yangu tutapona kwa jina la Yesu
poleni mungu atawasimamia hakika
Amen endelea kumwamin MUNGU wako
Ameeen
😂😂😂🤣 Nimecheka Sana et mimi na nyumba yangu tutapona 🤝🤝
@@deusrobart8181 ana imani atapona kweli
Inshalla na Mungu akulinde.... ata kama unatetea nchi yako nko Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪 ila mafundisho yako inatujaza sana Asante🤲🤲
I appreciate you MUNGU akupake mafuta makubwa mzee wetu na mtetezi wa nchi yetu TANZANIA.
Asante mtumishi wa mungu afadhali ulizaliwa ila naomba baadae uchukue fom ya urais tukupe kura kwa kishindo 👍👍👍
Kabisa,anastahili.
Simpi kura uyoo,khaaa
Gwaji boy akili mingi Sana huyu jamaaa..aminaaaaaaaa mtumishi wa kweli wewe.i trust in you.
Gwajima a real man of God.ujumbe tumeuelewa na kuupokea watz
Gwajima Mimi nakukubali sana Mungu Akulinde sana.
Ngwajima ccm wanakuzingua unda chama chako ugombee urais
Wew jamaa ni genius
Mungu Mwenyezi akusimamie Ili taifa letu lipone
Wachache watakubali
Kabisaaa more fire
Kabisa anahakili ya tofauti Sana
Tunasimama na Bwana Yesu! Tunasimama na baba Askofu Gwajima.
Hallelujah
mashaAllah..mahubiri yko ..Mungu akulinde akulinde na uzidi kufungua watu wa mataifa ufaham.
Watching from Kenya praying for my country lazima waachie kenya
wewe ni chombo cha Bwana ambacho uliteuliwa kwa ajili ya kulikomboa Taifa!!!... ubarikiwe sana my Dady!!!....
Mungu akuongoze Daima Kiongozi wetu
Msema kweli mpenzi wa Mungu
Amina magufuri wa pili!!
Ameeen!! Jasusi la mbinguni this is so powerful. Hallelujah!! Haleluuuujah!! Yesu ni Bwana
Amen. Mungu amwage roho mtakatifu avuruge kweli mm nimekwa Iraq kwa kukataa kudungwa sindano natumai yesu ataingilia ndani nitoke salama
Amen,Amen tunapenya kwa jina la Yesu,naingia ktk jina la Yesu Kristo kwa ushindi
Mungu akupe maisha marefu na afya njema mtumishi.
Mungu akulinde kiongonz wetu we ni mussa
@@petrosombe7315 huyu n yoshua
Mungu tuponye kupitia mtumishi wako
AMINA Kidume Mungu aendelee kukuongoza
This is powerful man of God.
May Almighty God strengthen you in this critical battle.
S I K I L I Z E N I .......
G5 countries ni kina nani? ni Brazil, China, India, Mexico, and South Africa.
China kuli tokea nini? .......hakuna asiyejua
Brazil kuli tokea nini? ...... gamma variant
India kuli tokea nini? ...... delta variant
South Africa kume tokea nini?.....omicron variant
next tutaanza kuambiwa eti kuna variant imetokezea mexico.
ndugu zetuni africa, FUNGUKENI MACHO especially nyinyi wa🇰🇪.
🇹🇿 pls pray for 🇰🇪 my beloved. wana pumbazwa bure. sisi wa🇰🇪 wote huku nje tumekataa HATUDUNGWI.
Baba Askofu Gwajima
Nipo pamoja na wewe nina kuombea pambana Baba
Ila gwajima nakuelewaga mzee wangu maana unanipaga vitu vizito vizito napenda Sana.
Askofu Gwajima mwenyezi mungu akulinde kwani hao watu wakuu wa dunia wanajisifu kuwa wanaiwekea Africa matatizo sasa tusipo jiandaa watatuingiza matatizo makubwa ni mashetani watu tena wanajiingiza makanisani tuwe tu nawaangalia ni wajanja sanaaa
Kazi njema Bishop YESU asimame na Wewe Tanzania ipone
Mungu akufanye kuwa ukuta wa shaba watashindana nawe bali hawatakushinda kwa Jina la Yesu Kristo Mwana wa Mungu aliye hai.
Amen 🙏 napokea ubarikiwe mutumishi wa Mungu.
Ameeeeen Ubarikiwe Mtumishi wa MUNGU
Amina mtumishi wa Mungu kwa mafundisho yako mazuri
Inshallah M/mungu azidi kukupa Afya njema na maisha marefu Mzalendo wa kweli 🤲🤲🤲🤲🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼
Jamaani wakituulia na huyu ndio tutakuwa tumeisha kabisa maana sioni viongozi wadini wenye misimamo ya kuwapigania watu wake kama gwaji wengi wamenumuliw masonic huko
Amen pastor Mungu Wako ni Mungu wangu
Huyu ni zalendo
🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼
Ameen tutachomoka tuu kwenye Hilo wimbi mtumishi wa kwel tupo pamoja nawe tunayaona hayo tena sana Ila watashindwa tuu Mungu wetu ni mshindi
Great man of God. Mteule kweli kweli,mtu wa milki ya Mungu Gwajima. Asante kwa kupambana kwa ajili yetu.
Very georgous wewe Mungu akulinde na sisi watanzania daima. Mtu anajulikana kwa mazungumzo yake km Mungu amekupa upeo wa kugundua hilo
From my deepest heart wewe ni mtu mzuri
Eh Mungu wetu was mbinguni Asante kwa kumtumia mtumish wako Bishop Gwajima abarikiws
Aminaaaaaa bishop GOD bleSS You
Amina kweli umeongea mtuwa MUNGU
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏 Mungu WA mbinguni akutunze baba
Mwenyezi mungu akulinde mh. Josephat Gwajima.
Ubarikiwe sana mtumishi gwajima ungekuja hapa marekani kwenye mikutano ya injili uhubirie watu maana hapa walio wengi ni wapagani hawajuwi mungu hasa hawa wa black waliokuja kipindi cha ukoloni njoo baba tunakusubiri kwa hamu kwa mafundisho hayo ya ukombozi wa ki fikra na ki roho
Amen, Amen, Amen, Mungu mbere at atupiganiye, Baba yetu tumarizemwendo, salama💪💪💪🙏🙏🙏
Ameeen mtumishi wa bwana mungu atuzidishieee
I pray for you man of God may God give you strength in Jesus name
Naiwe hivyo katika jina safi la Yesu ♥
Asanteh umenifundisha jambo jipya,Amen
Tanzania inapenya katikati ya mataifa katika jina la Yesu uuuu
The upcoming president of tz may out Almighty God keep him until when thunder will open sky for him to present Tz in the new world
Mungu atupe neema tupate kushinda
Mungu akubariki, mtumishi. Mabaya your hatatupata, na wote tuliyo chanjwa mungu atupinganie na nia mama za shetani, shetani.haweza.kutimiza.mipango.yake
Amen amen amen, farakanisha wasipatane
Thank You for Your Apostle Bishop Gwanjima may our African leaders seek Your Heavenly Wisdom I pray. Amen.
Kwakweli asonge tu mbele.
Powerful man of God.
Mungu Akubariki Zaidi na akutumie
Mungu wa mbinguni azidi kukupa ujasiri uinene injiri hii hii inayofikisha makusudi ya Mungu kwa watu wake
GOD bless you, the only one pastor, who speaks truly about the power of GOD in africa allover the world, no one can stop your fire
Ameniiiiii Masihii wa Bwana.Mungu Akuongezee Mafuta shujaa wa Tanzania 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Unafaaa sana baba mwenyezi mungu azidi kukupa kibali
Mungu atupenguvu tusiwe na zakuazima Asante sana kwa maneno matamu na mungu wambinguni akubariki na kuku epusha na wabaya wote
Najivunia sana na maneno yako yananitia nguvu nakunipa ujasir
Aminaa Tanzania imeshaokolewa
Hallelujah, May God be with us. I pray that God to take me to my Country
Very special speech! GWAJIMA is as apostrophe!!
The dealer kimsifu YESU KRISTO,JESUS IS COMING RIGHT AWAY!!!!!!
Uko sawa man of God tunataka watu kama wewe kenya
Mungu akupe miaka 10000
Amina Amina kubwaa
Gwajima upo vzr mtumishi wa mungu
Na iwe hivyo in Jesus name 🙏🙏🙏
kama Yanesi na Yambre alivyompinga Musa, ndiyo nyakati za mwisho zurakavyokuwa. Amina mtumishi
Mtumishi unasema kweli, I hope waumini wanakuelewa
Amen amen dady mungu azidi kukutia nguvu
hayo yote uyanenayo, hakika niyakweli mtumishi. Mungu akubariki na kazi ya mikono yako.
Akili kubwa God bless Gwajima
Amen amen,mungu akubariki sana na kutie nguvu ya kuwafikia mataifa yote
From 🇰🇪mungu Katie nguvu mchungaji jameni karibu kenya jameni
Amen kabisaa huyu mchungaji ako juu
Amina jasusi la mbinguni Mungu akuweke mpaka uimalize kazi aliyo kuitia
Amen ubalikiwe sana
Tabitha ubarikwe mtumishi wa Mungu kwa ufunguo wa nguvu big up.
Amen baba may God protect you 🙏🙏🙏
Nakusikia Baba Hella niliyokuomba ya Mchango wa Kujenga Nyumba ya Bwana Unaikumbuka by Imanuel from Dar es salaam Gongo la Mboto,Banana,Kitunda,Magole Kwa Mpemba .
Thank prophert daniel
Kweli huku Baba ndio hivyo Mi nipo nje huku sijachanjwa niliumwa maboss wangu hawakuweza kunipereka Hosptali kwa sababu sijachanjwa hivyo naomba Mungu anisaidie aniepushe na maradhi nimalize mda wangu niludi nikiwa salama
Acha zambi ndo njia ya kuwa salama kabisa magonjwa hayatakukaribia
Mungu wetu tunayemuamini kwa jina la Yesu nakutamkia utarudi salama.
Agiza dawa zetu za Tanzania uwe nazo. Ukiumwa hata mafua unatumia. Mungu ametupa hekima ya kuwa na dawa zetu. Agiza uwe nazo. Hekima ya Mungu itendayo kazi ndani yetu tuna dawa zetu
Thank Asikofu
Haleluhya mey God blesse you the savant of God
Mungu azidi kukusimamia katika kuihubiri iliyo kweli...
Ameeen mtumish wa MUNGU tutakutegemea
This is Truth.
Naona nikihamia Tz
Tuende 😅😅
Ata mimi
True servant of God keep it up!!!May God Allocate You!!!
Amen God bless you 🙏 from Australia 2021 🙌
✊✊✊✊✊
Ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu
God loves us👏👏👏👍
Noway new date will enable everybody be denied an oportunity to be heard,this is good they can prepare on time.
+254 Tz mmebariki na jasusi lambinguni. Hukubkwetu tunawateule waliosazwa, wengine wamechanjwa kwakutiwa hofu na serikali. Nashukuru tumesimama imara kwa Yesu
Amina Skola. Mungu awabariki
Kuna lazima huko eti
Poleni Sana wamachinga
Pray the Lord ooh Halleuya
Mungu wajua sababu
Kuhusu ukristo na uislamu ni imani tofauti kabisa. Hatuendani hata punje
Agreed. I think he doesn't really understand the indepths of Islam vizuri. Atafute Adam Haji amueleze zaidi
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu
Mungu akutangulie
Unabii wa kweli...
Mengi yamefichika machoni petu..
Panahitajika watu Kama Hawa wanaokubali kutumika kufikisha Mafunuo ya hakika yenye matumaini kwa afrika na arabu na Israel kwa nyakati hizi za hatari... ubarikiwe Sana .. éee Mwenyezi Mungu tubariki na kutuokoa Watoto wa Tz
Amen amen amen 🙏❤️