TAZAMA UMAHIRI WA PADRE MWENYE MIAKA 90 AKIPIGA KINANDA KIKONGWE PERAMIHO
Вставка
- Опубліковано 8 вер 2024
- Mwanahabari wetu Stadius Elestides alifanya ziara katika Kanisa Katoliki Parokia ya Mtakatifu Benedict Abbey na kukutana na kinanda kikongwe zaidi kisichotumia umeme |Tafadhali Endelea Ku- Subscribe akaunti hii na bonyeza alama ya Kengele ili kupata taarifa zetu kwa wakati sahihi.
Kwenye maelezo umeandika kinanda hiki hakitumii umeme. Lakini kinatumia umeme kufua upepo. Hongereni sana kwa kumtumikia Mungu.
Rest in peace mpendwa wetu Fr. Lucius. Tarehe 29 Sept 2021 ulitutoka gafla.
Tutakukumbuka daima
Vinanda hivi vipo hapa ulaya yuko vizuri mnooo nimewapata vizuri mmno kutokea hapa Ujerumani🇩🇪👏👏👏
Fr Licious enzi hizo za Peramiho girls 2001 mpigaji kinanda happy to see you Benedictine
Kimewatoa ushamba. Kinaitaji zoezi. Hongereni wamisionari kwa kazi kubwa kumtumikia Mungu.
My Fr. Lucius...job well done
Kiukweli sisi wamisionari tunajivunia mzee wetu huyu kwa bidii yake ya kumtumikia na kumsifu Mungu hadi uzee wake.Maandiko my.Augustine yanasema 'kuimba in kusali Mara mbili. '.
Mamba hapa mziki pia ubadilike pia jamani sio nzuri huyo mzungu kengeeee
Weee..Cántico ruum ,Mzee umenifurahishaaa....
Miaka 90 Baba padri bado nanguvu na akili na ujuzi. Mungu amjalie afya njema .
nice one
OGAN vinanda vizuri sana
Kwa umri huu lakini bado ana memory na spidi kiasi hiki. Kweli Mungu ambariki mtumishi wake!!!
Mmmmmh....jaman ndo nasikia leo hiki kinanda ila nimependa sanaa
Safi sana
Kanisa katoliki noma sana,ni raha tupu.
Nimepamiss Peramiho
Ndanda Mtwara via Lindi Kipo zaidi ya hicho....Nenda kajionee mwenyewe
Ndanda per kila vitu vyao vinafanana Hadi makanisa.
Peramiho kanisa nililobatizwa nikapata komunio na kipaimara .